Maelfu ya mashabiki wa Argentina walijitokeza licha ya baridi kali na mvua kuwakaribisha wachezaji wa timu yao ya taifa waliorejea nyumbani baada ya kupoteza fainali ya K . . .
Klabu ya Simba SC imethibitisha rasmi kuachana na kiungo wake mkongwe Mzamiru Yassin, baada ya mkataba wake kumalizika, ikiwa ni sehemu ya mabadiliko ya kikosi kuelekea m . . .
Ufaransa yaambulia patupu kwenye mchuano wa nusu fainali dhidi ya Uhispania. Lakini je Uhispania inatosha kutwaa kombe la dunia.Nahodha wa Ufaransa, Kylian Mbappe, amesem . . .
Ufaransa na Uhispania wanakutana baadae leo kwenye nusu fainali za michuano ya Kombe la Dunia, katika mechi inayotarajiwa kuwa ya mvutano na mvuto wa hali ya juu.Ufaransa . . .
Kiungo wa kati Jayden Adams, ambaye alishiriki michuano ya Kombe la Dunia la 2026 akiichezea timu yake ya Afrika Kusini, , Bafana Bafana amefariki ghafla siku ya Jumamosi . . .
Pape Thiaw si kocha tena wa timu ya taifa ya soka ya Senegal. Analipa gharama ya matokeo mabaya ya Simba kwenye Kombe la Dunia la 2026: kushindwa dhidi ya Ufaransa, na vi . . .
Wachezaji wa timu ya taifa ya Ufaransa, Kylian Mbappe na Ousmane Dembele, usiku wa kuamkia leo walifunga magoli muhimu yaliyotamatisha safari ya wawakilishi pekee wa Afri . . .
Ulimwengu wa mpira wa miguu unasubiri kwa hamu mchezo wa leo Alhamisi, tarehe 9 Julai 2026, ambapo mabingwa wa zamani France watakabiliana na Morocco katika hatua ya robo . . .
Baada ya Mafarao, Misri kutupwa nje ya michuano ya Kombe la Dunia 2026, Kocha mkuu wa timu hiyo, Hossam Hassan amelalamikia maamuzi ya waamuzi waliochezesha mchezo huo ul . . .
FIFA imeondoa adhabu ya kutocheza mechi moja kwa mshambuliaji wa Marekani, Folarin Balogun, baada ya Donald Trump kuripotiwa kuwasiliana na Rais wa FIFA, Gianni Infantino . . .
England imefuzu robo fainali ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Mexico katika mchezo uliokuwa na ushindani mkubwa.Jude Belling . . .
Timu ya taifa ya soka ya Morocco imefuzu kuingia hatua ya robo fainali baada ya kuifunga moja ya timu wenyeji wa Kombe la dunia 2026, Canada mabao 3 kwa 0. Timu hiyo sasa . . .
Manchester City imemtangaza Enzo Maresca kuwa kocha mkuu mpya wa klabu hiyo, akichukua nafasi ya Pep Guardiola na kuanza rasmi enzi mpya katika kikosi hicho cha Ligi Kuu . . .
Timu ya taifa ya Morocco imefuzu hatua ya 16 Bora ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuiondoa Uholanzi kwa ushindi wa penalti 3-2, kufuatia sare ya 1-1 iliyodumu hadi mwisho . . .
Kocha wa timu ya taifa ya Afrika Kusini Hugo Broos ametoa tathmini ya wazi kuhusu kiwango cha kikosi chake baada ya safari ya Bafana Bafana kwenye Kombe la Dunia kukatika . . .
Timu ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kwa mara ya kwanza imefuzu kuingia katika hatua ya mtoano ya Kombe la Dunia baada ya kuifunga Uzbekistan mabao 3 kwa 1.Ushindi hu . . .
Klabu ya Manchester United imepiga hatua kubwa katika mpango wake wa kujenga uwanja mpya wa kisasa wenye uwezo wa kuchukua mashabiki 100,000 baada ya kuthibitisha kuwa ta . . .
Nahodha wa Cristiano Ronaldo ameripotiwa kuahidi kuwazawadia wachezaji wenzake wa timu ya Taifa ya Ureno magari mapya ya kifahari aina ya Rolls-Royce Phantom iwapo watafa . . .
Mahakama ya Rufaa nchini Ufaransa imethibitisha leo kuwa nyota wa soka wa Morocco, Achraf Hakimi, atashtakiwa rasmi na kufikishwa mahakamani kwa tuhuma za kumbaka mwanamk . . .
Timu zote mbili zilianza mashindano kwa ushindi, ambapo Mexico iliifunga Afrika Kusini mabao 2-0 huku South Korea ikiibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Czechia. Hivyo . . .
Kocha raia wa Ureno, Ruben Amorim, anatarajiwa kuwa kocha mkuu mpya wa klabu ya Italia, AC Milan, baada ya kukubaliana kwa masharti ya awali kujiunga na timu hiyo.Kwa muj . . .
Katika michezo iliyochezwa hapo awali Cape Verde iliwashangaza wapenda kandanda duniani kwa kutoka sare ya bila kufungana dhidi ya mabingwa wa Ulaya Uhispania. Misri nao . . .
SHABIKI wa soka mwenye umri wa miaka 80 amefariki muda mfupi kabla ya kuingia uwanjani kuitazama Mexico ikivaana na Afrika Kusini katika mchezo wa ufunguzi wa fainali za . . .
Michuano ya soka kuwania kombe la dunia, inaanza leo nchini Marekani, Mexico na CanadaSherehe za ufunguzi wa michuano hii mikubwa itafanyika kwa wakati mmoja katika . . .
Serikali ya Somalia imemtetea mwamuzi wake maarufu Omar Artan baada ya kunyimwa ruhusa ya kuingia Marekani, jambo lililomfanya kushindwa kuwa mwamuzi wa kwanza kutoka Som . . .
Mvutano mpya umeibuka kuelekea Kombe la Dunia 2026 baada ya Iran kulalamikia Marekani kufuta mgao wa tiketi kwa mashabiki wake.Shirikisho la Soka la Iran limeilaumu Marek . . .
Mashindano ya Monaco Grand Prix mwaka 2026 yameendelea kuvuta hisia za mashabiki wa Formula One duniani baada ya kijana wa Mercedes, Kimi Antonelli, kuibuka mshindi wa mb . . .
Wachezaji saba wenye umri wa miaka 40 na zaidi wanatarajiwa kushiriki kwenye Kombe la Dunia la FIFA 2026 jambo linaloonyesha uimara na maisha marefu ya soka kwa baadhi ya . . .
Algeria iliwashangaza Uholanzi kwa kuwafunga bao 1-0 mjini Rotterdam hapo Juni 03,2026 katika mchezo wa kirafiki wa kujiandaa na Kombe la Dunia wiki moja kabla ya mashind . . .
Mechi za kirafiki za Tanzania zilizokuwa zichezwe nchini Morocco dhidi ya Uganda na Rwanda zimeripotiwa kufutwa kutokana na changamoto za upangaji wa ratiba na maandalizi . . .
Arsène Wenger amesema mafanikio ya timu ya taifa ya vijana chini ya miaka 17, Serengeti Boys, yanaonyesha kuwa Tanzania ina kizazi kipya cha wanasoka wenye uwezo wa kush . . .
Arsenal wanatarajiwa kuingia katika mchezo wa fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Paris Saint-Germain (PSG) leo Mei 30, 2026 wakiwa na changamoto kubwa ya uchovu w . . .
Mchezaji wa zamani wa timu ya Timu ya Uingereza Raheem Sterling amekamatwa na polisi kufuatia ajali aliyopata akiwa anaendesha gari lake la kifahari aina ya Lamborghini k . . .