logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Michezo

  • Pata Habari za Michezo Kwa Undani
news
SOKA
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Argentina Yapokelewa Kishujaa Licha ya Kupoteza Fainali ya Kombe la Dunia

Maelfu ya mashabiki wa Argentina walijitokeza licha ya baridi kali na mvua kuwakaribisha wachezaji wa timu yao ya taifa waliorejea nyumbani baada ya kupoteza fainali ya K . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Mzamiru Yassin Aaga Rasmi Simba Baada ya Miaka Tisa ya Utumishi

Klabu ya Simba SC imethibitisha rasmi kuachana na kiungo wake mkongwe Mzamiru Yassin, baada ya mkataba wake kumalizika, ikiwa ni sehemu ya mabadiliko ya kikosi kuelekea m . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 15, 2026

Mbappe akiri timu yake haikucheza kwa viwango

Ufaransa yaambulia patupu kwenye mchuano wa nusu fainali dhidi ya Uhispania. Lakini je Uhispania inatosha kutwaa kombe la dunia.Nahodha wa Ufaransa, Kylian Mbappe, amesem . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 14, 2026

Ni Lamine ama Mbappe nusu fainali Kombe la Dunia

Ufaransa na Uhispania wanakutana baadae leo kwenye nusu fainali za michuano ya Kombe la Dunia, katika mechi inayotarajiwa kuwa ya mvutano na mvuto wa hali ya juu.Ufaransa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 12, 2026

Jayden Adams, kiungo wa Bafana Bafana amefariki dunia

Kiungo wa kati Jayden Adams, ambaye alishiriki michuano ya Kombe la Dunia la 2026 akiichezea timu yake ya Afrika Kusini, , Bafana Bafana amefariki ghafla siku ya Jumamosi . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 12, 2026

Kocha Pape Thiaw afutwa kazi baada ya timu yake kushindwa kufanya vizuri Kombe la Dunia

Pape Thiaw si kocha tena wa timu ya taifa ya soka ya Senegal. Analipa gharama ya matokeo mabaya ya Simba kwenye Kombe la Dunia la 2026: kushindwa dhidi ya Ufaransa, na vi . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 10, 2026

Ufaransa yafuzu nusu fainali ya kombe la dunia, yaiondoa Morocco

Wachezaji wa timu ya taifa ya Ufaransa, Kylian Mbappe na Ousmane Dembele, usiku wa kuamkia leo walifunga magoli muhimu yaliyotamatisha safari ya wawakilishi pekee wa Afri . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 9, 2026

France na Morocco Kukutana Katika Robo Fainali ya Moto ya Kombe la Dunia 2026

Ulimwengu wa mpira wa miguu unasubiri kwa hamu mchezo wa leo Alhamisi, tarehe 9 Julai 2026, ambapo mabingwa wa zamani France watakabiliana na Morocco katika hatua ya robo . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 8, 2026

Kocha Misri Awaka “Kombe la Dunia 2026 Wamepanga Argentina Awe Bingwa”

Baada ya Mafarao, Misri kutupwa nje ya michuano ya Kombe la Dunia 2026, Kocha mkuu wa timu hiyo, Hossam Hassan amelalamikia maamuzi ya waamuzi waliochezesha mchezo huo ul . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 6, 2026

FIFA Yamruhusu Balogun Kucheza Dhidi ya Belgium

FIFA imeondoa adhabu ya kutocheza mechi moja kwa mshambuliaji wa Marekani, Folarin Balogun, baada ya Donald Trump kuripotiwa kuwasiliana na Rais wa FIFA, Gianni Infantino . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 6, 2026

England Yaiondoa Mexico Ikiwa na Wachezaji 10

 England imefuzu robo fainali ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Mexico katika mchezo uliokuwa na ushindani mkubwa.Jude Belling . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 5, 2026

Morocco, Ufaransa kukutana robo fainali Kombe la Dunia 2026

Timu ya taifa ya soka ya Morocco imefuzu kuingia hatua ya robo fainali baada ya kuifunga moja ya timu wenyeji wa Kombe la dunia 2026, Canada mabao 3 kwa 0. Timu hiyo sasa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 30, 2026

Enzo Maresca Kurithi Kiti cha Guardiola Manchester City

Manchester City imemtangaza Enzo Maresca kuwa kocha mkuu mpya wa klabu hiyo, akichukua nafasi ya Pep Guardiola na kuanza rasmi enzi mpya katika kikosi hicho cha Ligi Kuu . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 30, 2026

Morocco yaiondoa Uholanzi kwa penalti, yatinga hatua ya 16 Bora Kombe la Dunia 2026

Timu ya taifa ya Morocco imefuzu hatua ya 16 Bora ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuiondoa Uholanzi kwa ushindi wa penalti 3-2, kufuatia sare ya 1-1 iliyodumu hadi mwisho . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 29, 2026

Huzuni Durban baada ya Bafana kuaga Kombe la Dunia

Kocha wa timu ya taifa ya Afrika Kusini Hugo Broos ametoa tathmini ya wazi kuhusu kiwango cha kikosi chake baada ya safari ya Bafana Bafana kwenye Kombe la Dunia kukatika . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 28, 2026

DR Congo yafanikiwa kusonga mbele Kombe la Dunia

Timu ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kwa mara ya kwanza imefuzu kuingia katika hatua ya mtoano ya Kombe la Dunia baada ya kuifunga Uzbekistan mabao 3 kwa 1.Ushindi hu . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 24, 2026

Manchester United Yapata Eneo la Ujenzi wa Uwanja wa Watu 100,000

Klabu ya Manchester United imepiga hatua kubwa katika mpango wake wa kujenga uwanja mpya wa kisasa wenye uwezo wa kuchukua mashabiki 100,000 baada ya kuthibitisha kuwa ta . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 22, 2026

Ronaldo Adaiwa Kuwahidi Wachezaji Ureno Magari Ya Mabilioni Itabebea Kombe

Nahodha wa Cristiano Ronaldo ameripotiwa kuahidi kuwazawadia wachezaji wenzake wa timu ya Taifa ya Ureno magari mapya ya kifahari aina ya Rolls-Royce Phantom iwapo watafa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 19, 2026

Achraf Hakimi kushtakiwa rasmi kwa ubakaji

Mahakama ya Rufaa nchini Ufaransa imethibitisha leo kuwa nyota wa soka wa Morocco, Achraf Hakimi, atashtakiwa rasmi na kufikishwa mahakamani kwa tuhuma za kumbaka mwanamk . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 18, 2026

Mexico na South Korea Kukutana

Timu zote mbili zilianza mashindano kwa ushindi, ambapo Mexico iliifunga Afrika Kusini mabao 2-0 huku South Korea ikiibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Czechia. Hivyo . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 16, 2026

Aliyetimuliwa Man Utd Kuwa Kocha Mpya AC Milan ya Italia

Kocha raia wa Ureno, Ruben Amorim, anatarajiwa kuwa kocha mkuu mpya wa klabu ya Italia, AC Milan, baada ya kukubaliana kwa masharti ya awali kujiunga na timu hiyo.Kwa muj . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 16, 2026

Cape Verde na Misri zaitoa kimasomaso Afrika kombe la Dunia

Katika michezo iliyochezwa hapo awali Cape Verde iliwashangaza wapenda kandanda duniani kwa kutoka sare ya bila kufungana dhidi ya mabingwa wa Ulaya Uhispania. Misri nao . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 12, 2026

Shabiki afariki akiingia uwanjani Kombe la Dunia

SHABIKI wa soka mwenye umri wa miaka 80 amefariki muda mfupi kabla ya kuingia uwanjani kuitazama Mexico ikivaana na Afrika Kusini katika mchezo wa ufunguzi wa fainali za . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 11, 2026

Michuano ya soka kuwania kombe la dunia inaanza leo

Michuano ya soka kuwania  kombe la dunia, inaanza leo nchini Marekani, Mexico na CanadaSherehe za ufunguzi wa michuano hii mikubwa itafanyika kwa wakati mmoja katika . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 10, 2026

Somalia Yasikitishwa na Kuzuiwa kwa Mwamuzi Omar Artan Kuingia Marekani

Serikali ya Somalia imemtetea mwamuzi wake maarufu Omar Artan baada ya kunyimwa ruhusa ya kuingia Marekani, jambo lililomfanya kushindwa kuwa mwamuzi wa kwanza kutoka Som . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • June 9, 2026

Iran yalalamikia vikwazo vya tiketi na visa Kombe la Dunia

Mvutano mpya umeibuka kuelekea Kombe la Dunia 2026 baada ya Iran kulalamikia Marekani kufuta mgao wa tiketi kwa mashabiki wake.Shirikisho la Soka la Iran limeilaumu Marek . . .

news
Magari
  • Na Asha Business
  • June 8, 2026

Kimi Antonelli Ashinda Monaco GP kwa Mara ya Tano Mfululizo, Lewis Hamilton Atajwa

Mashindano ya Monaco Grand Prix mwaka 2026 yameendelea kuvuta hisia za mashabiki wa Formula One duniani baada ya kijana wa Mercedes, Kimi Antonelli, kuibuka mshindi wa mb . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • June 5, 2026

Ronaldo kuongoza kizazi cha wachezaji wakongwe Marekani 2026

Wachezaji saba wenye umri wa miaka 40 na zaidi wanatarajiwa kushiriki kwenye Kombe la Dunia la FIFA 2026 jambo linaloonyesha uimara na maisha marefu ya soka kwa baadhi ya . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • June 4, 2026

Algeria yaifunga Uholanzi 1-0, maandalizi ya Kombe la Dunia

Algeria iliwashangaza Uholanzi kwa kuwafunga bao 1-0 mjini Rotterdam hapo Juni 03,2026 katika mchezo wa kirafiki wa kujiandaa na Kombe la Dunia wiki moja kabla ya mashind . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 4, 2026

Mechi za Tanzania Dhidi ya Uganda na Rwanda Zafutwa Morocco

Mechi za kirafiki za Tanzania zilizokuwa zichezwe nchini Morocco dhidi ya Uganda na Rwanda zimeripotiwa kufutwa kutokana na changamoto za upangaji wa ratiba na maandalizi . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • May 30, 2026

WENGER AIPONGEZA SERENGETI BOYS KWA KUFUZU KOMBE LA DUNIA

Arsène Wenger amesema mafanikio ya timu ya taifa ya vijana chini ya miaka 17, Serengeti Boys, yanaonyesha kuwa Tanzania ina kizazi kipya cha wanasoka wenye uwezo wa kush . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • May 30, 2026

Uchovu Watishia Ndoto za Arsenal Kwenye Fainali Dhidi ya PSG Leo

Arsenal wanatarajiwa kuingia katika mchezo wa fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Paris Saint-Germain (PSG) leo Mei 30, 2026 wakiwa na changamoto kubwa ya uchovu w . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • May 30, 2026

Raheem Sterling akamatwa Kwa tuhuma za Dawa za Kulevya

Mchezaji wa zamani wa timu ya Timu ya Uingereza Raheem Sterling amekamatwa na polisi kufuatia ajali aliyopata akiwa anaendesha gari lake la kifahari aina ya Lamborghini k . . .

Kurasa 1 ya 31

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • WIZARA YA MADINI YAZITAKA KAMPUNI ZA KIGENI KUHESHIMU SHERIA, YAWAHAMASISHA WATANZANIA KUCHANGAMKIA FURSA MIGODINI.

    • 13 masaa yaliopita
  • MHE. SALEHE MBWANA MHANDO: UCHAGUZI UMEKWISHA, SASA NI MUDA WA KAZI NA MAENDELEO

    • 24 masaa yaliopita
  • Maandamano yakupinga mpango wa kubadilisha katiba yahairishwa

    • 24 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode