logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Zote Za Kisiasa

  • Pata Habari Zote Za Kisiasa
afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • jana

Samboja awindwa tena kuhusu cheti cha chuo kikuu baada ya kuponyoka

MASAIBU yanayomkumba Gavana Granton Samboja yameibuka upya, baada ya mpigakura kujaribu tena kumzuia kutetea kiti hicho katika uchaguzi unaopangiwa kufanyika Agosti. Bw Jeremiah Kiwoi, ameenda ko . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • jana

kina Mdee kortini tena leo

Waliokuwa wanachama 19 wa Chadema, akiwamo Halima Mdee wanaingia katika mchuano na chama hicho wakati wa usikilizwaji wa pingamizi dhidi ya maombi ya amri ya kudumisha hali ilivyo (kulinda ubunge . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Bunge la Israel lapiga kura ya kulivunja bunge na kufanya uchaguzi mpya

Bunge la Israel kwa kauli moja limeidhinisha muswada wa kulivunja bunge, hatua muhimu ya kisheria ambayo inaisukuma nchi hiyo kuelekea uchaguzi wake wa tano katika muda wa chini ya miaka minne. Ta . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • June 22, 2022

Maseneta waidhinisha pendekezo la serikali kupandisha kiwango cha mkopo hadi Sh10 trilioni

SERIKALI Kuu sasa imepata idhini ya kuchukua mkopo wa hadi Sh10 trilioni kutoka Sh9 trilioni baada ya maseneta kupitisha pendekezo la Wizara ya Fedha kuhusu suala hilo. Jumla ya maseneta 27 walip . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 20, 2022

Uchaguzi wa wabunge Ufaransa: Baadhi ya vyama vyapoteza na vingine vyafaulu

Vyama vikuu vya kisiasa nchini Ufaransa vilikuwa vikicheza dau kubwa kwa uchaguzi huu wa wabunge mwaka wa 2022, lakini matokeo ya hayakukidhi matarajio yote, baada ya kutanga . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • June 20, 2022

Sakaja " Ajiondoe Debeni Kisha Atasemehewa Makosa Yote "

Seneta wa Nairobi Johson Sakaja ameendeleza makombora yake dhidi ya ‘deep state’ kwa kile anachodai ni njama ya kumfungia nje ya uchaguzi mkuu wa Agosti.Akizungumza katika kanisa la Jesus Winner M . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • June 8, 2022

Wajumbe wa APC washiriki kura ya mchujo kumchagua mgombea urais

Zaidi ya wajumbe 2,000 wa chama tawala cha Nigeria cha All Progressive Congress wamekusanyika katika mji mkuu Abuja kwa lengo la kumchagua mgombea atakayewania kuiongoza nchi hiyo yenye watu wengi . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • June 8, 2022

IEBC Yamwidhinisha Rasmi Johnson Sakaja Kuwania Ugavana wa Nairobi

Sasa ni rasmi kuwa Seneta wa Nairobi Johnson Sakaja atapeperusha bendera ya chama cha Uniited Democratic Alliance (UDA) katika kinyang'anyiro cha ugavana wa kaunti ya Nairobi katika uchaguzi wa Agosti . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • June 7, 2022

Mgombea Huru Muthiora Kariara Achoma Kadi Yake ya Kura Kisa Kukataliwa na IEBC

Mwaniaji huru wa urais Muthiora Kariara aliamua kuchoma kadi yake ya kura kwenye ukumbi wa Bomas of Kenya, muda mchache baada ya Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kukosa kumuidhinisha.Kariara ali . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • June 5, 2022

Bahati "Anza Kuvalia Kama Mke wa Mheshimiwa" Amwambia mke wake.

Mwanamuziki Kevin Bahati anaonekana kuwa vitani kwa wiki kadhaa sasa na mkewe Diana B kuhusu chaguo lake la mavazi hususan baada ya kuzindua taaluma yake ya kisiasa. Msanii huyo ambaye anale . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 3, 2022

Rais wa Tunisia ashutumiwa kwa kudumaza taasisi za kidemokrasia

Rais wa Tunisia, Kais Saied kwa kudumaza taasisi za kidemokrasia za nchi hiyo baada ya kuwafukuza kazi majaji kadhaa huku kukiwa na safu ya hatua ambazo zilionekana kulenga kuunganisha utawala w . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • June 3, 2022

Musyoka arejea Azimio, amuunga mkono Odinga

Musyoka pia amekubali uteuzi wa Waziri mwenye wadhifa wa juu, iwapo Odinga atashinda uchaguzi na kuunda serikali.Aidha,amempongeza Martha Karua kwa kuteuliwa kuwa mgombea mwenza wa Odinga na kuahidi k . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • June 2, 2022

EACC Yataja Orodha ya Majina ya Viongozi Walioza Maadili, Wasiofaa Kuongoza Popote Kenya

Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) inaitaka Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kuwazuia wagombea 241 kushiriki katika uchaguzi wa Agosti 9.Mnamo Jumatano, Juni 1, tume hiyo ilitoa orod . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • June 2, 2022

Lissu "Serikali imenilipa mafao yangu ya ubunge"

Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Bara), Tundu Lissu amesema Serikali imemlipa kiinua mgongo chake aliochukuwa anadai baada ya kutumikia nafasi ya ubunge kwa zaidi ya miaka mitatu.Lissu alivuliwa ubun . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • May 30, 2022

Uchaguzi Colombia kwenda duru ya pili Juni

Matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais nchini Colombia yanaonesha kutakuwa na duru ya pili mnamo mwezi Juni baada ya wagombea sita waliokuwa wakiwania kiti hicho kushindwa kupata asilimia 50 ya kura . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • May 30, 2022

Pinda ajumuishwa kuongeza nguvu kikosi kazi

Waziri Mkuu mstaafu, Mizengo Pinda amejumuishwa kwenye kikosi kazi kinachoendelea na shughuli ya kuratibu maoni ya wadau wa demokrasia ya vyama vingi vya siasa.Pinda aliyekuwa Waziri Mkuu kat . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • May 29, 2022

COLOMBIA : UCHAGUZI WA RAIS UNAFANYIKA LEO .

Raia wa Colombia wanapiga kura leo katika duru ya kwanza ya uchaguzi wa rais, huku chama cha mrengo wa kushoto kikielekea kuibuka na ushindi kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi hiyo ya Amer . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • May 27, 2022

CHONGOLA AWAONYA MAKADA WANAOKUA NA FITINA KWA WAGOMBEA

Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo, amewaonya viongozi waliopewa dhamana na chama hicho, kuacha kueneza fitina na majungu dhidi ya wengine wakati wa uchaguzi wa ndani.Chongolo ameyasema hayo le . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 26, 2022

Imran Khan ataka uchaguzi ndani ya siku sita Pakistan

Waziri mkuu aliyeondolewa madarakani nchini Pakistan, Imran Khan, ameitaka serikali kutangaza uchaguzi mpya ndani ya siku sita kutoka sasa ama aitishe maandamano makubwa ya umma yasiyo kikomo kati . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • May 23, 2022

Chadema Yataka Kukamilika kwa Katiba Mpya Kabla ya 2025

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kupitia kwa Katibu Mkuu wake John Mnyika kimetoa taarifa juu ya mazungumzo ambayo Cham hicho kilifanya hivi karibuni na Ujumbe wa Rais wa Jamhuri ya  . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • May 23, 2022

Mageuzi watoa maazimio manne

Siku moja baada ya mkutano wa Halmashauri Kuu ya Chama cha NCCR-Mageuzi kutangaza kuwasimamisha Mwenyekiti wa Chama hicho, James Mbatia na makamu makamu mwenyekiti wake upande wa Bara,Angelina Mta . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • May 22, 2022

NCCR-Mageuzi Yamsimamisha Mbatia

Halmashauri kuu  ya Chama cha NCCR-Mageuzi, imemsimamisha Mwenyekiti wa chama hicho Taifa, James Mbatia na Makamu Mwenyekiti wake Bara, Angelina Mtaigwa, kwa tuhuma mbalimbali ikiwemo ukiuk . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 19, 2022

Vyama vya upinzani nchini Guinea, vyakaidi marufuku ya kufanya maandamano

Vyama vikuu vya upinzani nchini Guinea Jumatatu vimeapa kukaidi marufuku ya kutofanya maandamano iliyowekwa na utawala wa kijeshi, hatua ambayo inaashiria uhusiano mbaya kati ya vyama hivyo na j . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • May 19, 2022

Rais Mteule wa Somalia ametaja vipaumbele vyake anapoanza siku 100 madarakani

Rais mteule wa Somalia, Hassan Sheikh Mohamud, anasema serikali yake italenga masuala ya haraka ikiwa ni pamoja na usalama, kufufua uchumi, uthabiti wa kisiasa, na auheni ya madeni katika kipind . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • May 18, 2022

Raila Odinga Junior "Baba Atakuwa Ikulu Asubuhi na Mapema".

Raila Odinga Junior, kitinda mimba wa kinara wa ODM Raila Odinga, amebashiri ushindi mkubwa wa muungano wa Azimio la Umoja-One Kenya katika uchaguzi mkuu wa Agosti 9.Kupitia kwa mtandao wa Twitter, Ju . . .

Kurasa 1 ya 4

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Matukio
news
  • jana

Marekani yafungua uchunguzi baada ya wahamiaji 51 kufa kwa joto ndani ya Trela

Matukio
news
  • jana

Jeshi la Sudan lafyatua mizinga eneo la mpaka na Ethiopia

Matukio
news
  • jana

Zaidi ya wanawake 100 wameuawa nchini Syria

Matukio
news
  • 2 siku zilizopita

Zaidi ya watu 40 wakutwa wamekufa kwenye lori

Matukio
news
  • 3 siku zilizopita

Idadi ya watoto waliokufa kutokana na mitetemeko ya ardhi imeongezeka na kufikia 155

Matukio
news
  • 3 siku zilizopita

Mwili wa mchimba dhahabu wapatikana baada ya miezi 8

Matukio
news
  • 3 siku zilizopita

Miss Bbrazil 2018 Afariki Baada ya Kufanya Upasuaji

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Marekani yafungua uchunguzi baada ya wahamiaji 51 kufa kwa joto ndani ya Trela

    • jana
  • Maajenti wa kazi Uarabuni kuchunguzwa

    • jana
  • Samboja awindwa tena kuhusu cheti cha chuo kikuu baada ya kuponyoka

    • jana

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P.O BOX 1334,
Malimbe-Luchelele,
Mwanza-Tanzania.

info@jembenijembe.com

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created By ZEDCODE Email: dammedeggers7777@gmail.com