logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Zote Za Kisiasa

  • Pata Habari Zote Za Kisiasa
Afrika
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Rais mteule wa Nigeria awashukia wapinzani, ahofia zuio kuapishwa

Rais mteule wa Nigeria, Asiwaju Bola Tinubu ameelezea hofu yake kuhusu njama za baadhi ya wapinzani wake aliowashinda katika uchaguzi Mkuu kutaka kusitisha mchakato wa mpito na maandalizi ya kuapishwa . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • March 16, 2023

Wapinzani wafanya maandamano kudai unafuu wa maisha

Wanasiasa wa upinzani nchini Kenya, wamesisitiza kuendelea na maandamano ya kitaifa Yatakayo hitimishwa siku ya Jumatatu ijayo (Machi 20, 2023), jijini Nairobi ambayo yanalenga kufikisha ujumbe wao wa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 10, 2023

Xi Jinping achaguliwa tena kuongoza muhula wa tatu

Rais wa China, Xi Jinping amechaguliwa tena kwa kauli moja kuwa rais wa Taifa hilo hi leo Ijumaa Machi 10, katika kura ya wabunge na ataongoza China kwa muhula wa tatu wa miaka mitano, jambo ambalo ha . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • March 1, 2023

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guteress yuko Irak

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema amerejea nchini na kupokelewa na wafuasi wa chama hicho, ndugu na marafiki katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Kiliman . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • March 1, 2023

Uchaguzi wa Nigeria: Bola Ahmed Tinubu Atangazwa Rais-Mteule

Tume Huru ya Kitaifa ya Uchaguzi (INEC) imetangaza rasmi kuwa Asiwaju Bola Ahmed Tinubu wa chama tawala cha All Progressives Congress (APC), ndiye mshindi wa Uchaguzi wa Urais wa Nigeria wa 2023.Mweny . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • February 28, 2023

ECOWAS yasema Tume Huru ya taifa ya Uchaguzi Nigeria yashindwa kutimiza ahadi zake

Jumuiya ya Mataifa ya Afrika Magharibi (ECOWAS) ilisema Jumatatu kwamba Tume Huru ya taifa ya Uchaguzi Nigeria (INEC) ilishindwa katika ahadi  zake kadhaa  ikiwa ni pamoja na kuchelewa na ku . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • February 27, 2023

Mwenyekiti wazamani wa CENI azindua chama cha kisiasa Congo

Mwenyekiti wa zamani wa Tume ya Uchaguzi ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, Corneille Nangaa alizindua chama chake cha kisiasa, miezi kadhaa kabla ya uchaguzi unaotarajiwa mwezi Disemba.Baada ya kuzi . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • February 27, 2023

Uchaguzi Nigeria: Tinubu aongoza matokeo ya awali

Mgombea Urais wa Chama cha All Progressives Congress (APC), Asiwaju Bola Ahmed Tinubu kwa sasa anaongoza dhidi ya wagombea wa vyama vingine vya kisiasa katika Jimbo la Ogun, kutokana na matokeo ya uch . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • February 19, 2023

Tunarudi enzi za chama kimoja ‘Mtukufu Rais’

Kiongozi wa Azimio la Umoja, Raila Odinga amesema serikali tawala ya Kenya Kwanza inanuia kurejesha Kenya katika enzi za mfumo wa chama kimoja ambacho kilikuwepo wakati wa utawala wa Rais Moi.Kupitia . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • February 15, 2023

Jeshi la Uganda limekanusha kumtesa mwanaharakati wa upinzani

Jeshi la Uganda limekanusha tuhuma za kumteka nyara na kumtesa mwanaharakati wa upinzani, siku moja baada ya picha kuibuka zikimuonesha mwathiriwa akiwa na alama za mateso zinazoonekana kifuani mwake. . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • January 24, 2023

Raila Odinga ataka Wakenya kususia ulipaji kodi

Kiongozi Muungano wa Azimio la Umoja, Raila Odinga amewataka Wakenya kususia kulipa kodi ambayo imeongezeka maradufu tangu kuingia kwa utawala wa Rais William Ruto, huku akitaka matokeo ya uchaguzi wa . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • January 10, 2023

Ukosefu wa usalama waweza kupelekea kuahirishwa kwa uchaguzi wa Februari-Tume ya uchaguzi

Tume ya uchaguzi nchini Nigeria Jumatatu imesema uchaguzi mkuu wa mwishoni mwa mwezi Februari unaweza kufutwa au kuahirishwa ikiwa ukosefu wa usalama hautashughulikiwa.Rais Muhammadu Buhari ambaye ata . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • December 16, 2022

CHADEMA waunda bunge lao

Mkurugenzi wa Mawasiliano wa CHADEMA John Mrema amesema Bunge la Wananchi limeundwa na wanachama wa chama hicho waliogombea ubunge mwaka 2020 na litakuwa linaendeshwa kwa njia ya mtandao na litashughu . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • December 16, 2022

ANC ya Afrika Kusini inafanya mkutano mkuu kuchagua kiongozi wa chama

Chama tawala nchini Afrika Kusini ANC kinafanya mkutano wake mkuu leo ambao unatarijiwa kumchagua kwa mara nyingine rais Cyril Ramaphosa kuwa mwenyekiti licha ya kashfa iliyomchafulia jina kiongozi hu . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • December 9, 2022

CCM yasogeza mbele uchaguzi wa Sekretarieti

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesogeza mbele uchaguzi wa viongozi wa Sektetarieti ya Halmshauri Kuu ya chama hicho hadi itakapotangazwa tena. Akizungumza na waandishi wa Habari mkoani Dodoma baada ya k . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • December 7, 2022

Haji Manara Apitishwa Kugombea NEC

Haji Manara amepitishwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kugombea nafasi ya Ujumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) kwenye viti 15 Bara ambapo uchaguzi unatarajiwa kufanyika kesho Dodoma.Haji ambaye pia ni . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 28, 2022

Mohamed Ali Mohammed Mwenyekiti Mpya UVCCM Taifa

Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) wamemchagua Mohamed Ali Mohammed (Kawaida) kuwa mwenyekiti mpya wa umoja huo. Kawaida ambaye alikuwa Mwenyekiti wa Mkoa wa Kusini Unguja anachukua nafas . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • November 26, 2022

Kanye West Kugombea urais 2024

Rapa Kanye West amesema ana nia ya kugombea urais wa Marekani mwaka 2024, licha ya kukabiliwa na kashfa kadhaa kutokana na tabia yake ya hivi karibuni. Nyota huyo ambaye amebadilisha jina lake ki . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 21, 2022

Ndugai achaguliwa kusimamia uchaguzi CCM Dodoma

Mkutano Mkuu wa uchaguzi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dodoma umemchagu la Mbunge wa Kongwa, Job Ndugai kuwa mwenyekiti wa muda wa mkutano huo. Uchaguzi wa Ndugai umekuja kufuatia k . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 21, 2022

Rais aliyetawala kwa muda mrefu zaidi duniani awania muhula mwingine

Rais Teodoro Obiang Nguema Mbasogo wa Guinea ya Ikweta anatarajiwa kuendelea kuitawala nchi hiyo baada ya uchaguzi wa Jumapili. Obiang Nguema ambaye yupo madarakani kwa muda mrefu kuliko kiongoz . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • November 14, 2022

Chama cha Biden chafanya vyema chaguzi za kati ya muhula

Chama cha Democratic kitadumisha udhibiti wa Bunge la Seneti nchini Amerika, baada ya kushinda kura muhimu katika jimbo la Nevada. Hapo jana Jumapili, Seneta Catherine Cortez alitabiriwa kumshinda mp . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • October 30, 2022

ZANU-PF yampitisha Mnangagwa kuwa mgombea wake 2023

Chama tawala nchini Zimbabwe ZANU-PF jana Jumamosi kimempitisha Rais Emmerson Mnangagwa kuwa mgombea wake kwa uchaguzi mkuu ujao wa 2023. Mnangagwa aliingia madarakani 2017 baada ya majenerali wa kij . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 24, 2022

Boris Johnson ajiondoa kwenye kinyang'anyiro cha kumtafuta Waziri Mkuu mpya

Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza Boris Johnson Jana alijiondoa katika kinyang'anyiro cha kumrithi Liz Truss  kama kiongozi wa nchi hiyo inayoendelea kukabiliwa na misukosuko ya kisisasa. . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 23, 2022

John Mnyika "Kikosi Kazi Kiliundwa ili Kuchelewesha Katiba Mpya"

Katibu Mkuu wa CHADEMA amesema kuundwa kwa Kikosi Kazi ni matumizi mabaya ya Fedha za Watanzania na hivyo Serikali itoke hadharani na iseme kimetumia Fedha kiasi ganiAsema Maoni ya Wananchi kuhusu #Ka . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 14, 2022

KWIMBA WAAMUA SABANA MALINJA NDIYE MWENYEKITI CCM WILAYA

. . .

Kurasa 1 ya 7

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Matukio
news
  • 2 masaa yaliopita

Jumla ya maduka 21 kati ya 110 yanayomilikiwa na wafanyabiashara mbalimbali ambayo ni mali ya jumuiya ya Wanawake wa chama cha mapinduzi (CCM UWT) Wilaya ya Njombe yameteketea kwa moto na kusababisha hasara kutokana na mali kuungua

Matukio
news
  • 2 siku zilizopita

Ajali basi la Chuo Pwani: Dereva alilalamikia ubovu wa breki

Top Stories
news
  • 2 siku zilizopita

Ukraine yaadhimisha mwaka mmoja tangu kukombolewa Bucha

Matukio
news
  • 2 siku zilizopita

Dada Wawili Wapiga na Kuua Kaka Yao Kisa Chakula

Top Stories
news
  • 3 siku zilizopita

Mwana FA" Vipengele vya kipuuzi, vya kinyonyaji viondoke, sitaki kusikia"

Top Stories
news
  • 3 siku zilizopita

Wanafurahia habari zangu mbaya kuliko nzuri- Hassan Mwakinyo

Matukio
news
  • 3 siku zilizopita

WATU SITA MBARONI KWA TUHUMA ZA MAUAJI

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Jumla ya maduka 21 kati ya 110 yanayomilikiwa na wafanyabiashara mbalimbali ambayo ni mali ya jumuiya ya Wanawake wa chama cha mapinduzi (CCM UWT) Wilaya ya Njombe yameteketea kwa moto na kusababisha hasara kutokana na mali kuungua

    • 2 masaa yaliopita
  • Kifo mikononi mwa Polisi: IGP apeleka timu Chato

    • 3 masaa yaliopita
  • Staa wa muziki kutoka Nchini Nigeria Davido Rasmi Ameachia Album yake

    • 2 siku zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P.O BOX 1334,
Malimbe-Luchelele,
Mwanza-Tanzania.

info@jembenijembe.com

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode