logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Zote Za Kisiasa

  • Pata Habari Zote Za Kisiasa
Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 3, 2026

Rais Mteule wa Benin aanza tena mazungumzo na majirani zake

Baada ya miaka kadhaa ya mvutano na majirani zake wa kaskazini, Rais mteule wa Benin Romuald Wadagni amefanya ziara nchini Niger na Burkina Faso siku ya Jumanne, Juni 2, ambapo alikutana na Jenerali A . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • June 1, 2026

Mbeto "Tanzania Ni Mwalimu wa Demokrasia Kusini mwa Sahara"

Chama Cha Mapinduzi kimesema kwa namna yoyote kuihusisha Tanzania na Ubaguzi wa aina yoyote, au kudai inakiuka msingi ya demokrasia huku ikikandamiza uhuru wa kuabudu ni kituko kipya kuwahi kutokea.Ai . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 1, 2026

Rais wa Colombia Akataa Matokeo ya Uchaguzi, Ahoji Mfumo wa Kuhesabu Kura

Rais wa Colombia anayemaliza muda wake, Gustavo Petro, ameibua mashaka kuhusu mchakato wa uchaguzi nchini humo baada ya matokeo ya awali kumuweka mgombea wake kipenzi, Iván Cepeda, akielekea duru ya . . .

afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • May 27, 2026

Tinubu ashinda uteuzi kupitia chama cha APC kugombea Urais Nigeria 2027

Rais wa Nigeria Bola Tinubu amepata rasmi tiketi ya chama tawala cha All Progressives Congress (APC) kuwania urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2027.Tinubu alipata ushindi huo baada ya kura . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • May 9, 2026

Waziri wa Uingereza ashinikizwa kujiuzulu kufuatia matokeo mabaya ya Labour

Waziri Mkuu wa Uingereza Sir Keir Starmer anakabiliwa na presha kubwa kutoka kwa wabunge wa Labour Party baada ya zaidi ya wabunge 20 wa chama hicho kumtaka aweke wazi ratiba ya kujiuzulu kufuatia mat . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • May 7, 2026

Waingereza kupiga kura leo katika uchaguzi

Kura za maoni zinatabiri matokeo mabaya kwa chama chake cha Labour, ambapo ikiwa mambo yatakwenda kombo hali hiyo inaweza kuongeza shinikizo kwa Starmer.Wapiga kura nchini Uingereza wanapiga kura leo . . .

Afrika
  • Na Jembe Digital
  • April 27, 2026

Rais wa Burundi ateuliwa na chama chake kuwania Urais 2027

Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye ameteuliwa na chama chake cha CNDD-FDD kuwa mgombea wa urais katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika mwaka ujao lakini tarehe rasmi haijatangazwa.Ndayishimiye mwen . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • April 25, 2026

Wapalestina wafanya uchaguzi wa kwanza baada ya Vita

Wapalestina waishio katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu na Israel, pamoja na wanaoishi kwenye eneo la katikati mwa Ukanda wa Gaza wanapiga kura Jumamosi 25.04.2026 katika uchaguzi wa mani . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • April 23, 2026

Trump Atoa Kauli Mpya Kuhusu Mazungumzo ya Amani na Iran

Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa kuna uwezekano wa kuanza kwa duru ya pili ya mazungumzo ya amani kati ya Marekani na Iran ndani ya siku chache zijazo.Kwa mujibu wa taarifa zilizochapishwa n . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • April 22, 2026

Sudan Kusini inatarajiwa kufanya uchaguzi mkuu mwezi Desemba

Sudan Kusini inatarajiwa kufanya uchaguzi mkuu mwezi Desemba mwaka huu baada ya miaka mingi ya kucheleweshwa mara kwa mara.Na itakumbukwa kuwa uchaguzi huo uliotakiwa kufanyika tangu mwaka 2022 licha . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • April 15, 2026

Kundi la mawasiliano la ulinzi la Ukraine lakutana Berlin

Kundi la Mawasiliano la Ulinzi la Ukraine linakutana hivi leo mjini Berlin kufuatia mualiko wa waziri wa ulinzi wa Ujerumani, Boris Pistorius.Kundi la Mawasiliano la Ulinzi la Ukraine (UDCG . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • April 14, 2026

Urusi yashambulia bandari ya Odesa nchini Ukraine

Urusi imefanya uharibifu wa meli inayopeperusha bendera ya Panama, iliyokuwa katika bandari ya Odesa nchini UkraineDroni za Urusi zimeshambulia bandari ya Izmail kusini mwa mkoa wa Odesa usiku wa kua . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • April 14, 2026

Sheria kali dhidi ya ushoga yaanza ´kung´ata´ Senegal

Mahakama moja nchini Senegal imetoa hukumu ya kwanza chini ya sheria mpya iliyoongeza adhabu kwa watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja ambayo makundi ya kutetea haki za binadamu yameitaja kuwa ya u . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • April 14, 2026

Romuald Wadagni ameshinda uchaguzi wa urais Benin

Nchini Benin, Romuald Wadagni ameshinda uchaguzi wa urais, baada ya kupata asilimia 94 ya kura, kwa mujibu wa matokeo ya awali, kufuatia uchaguzi uliofanyika Jumapili iliyopita.Tume ya Uchaguzi&n . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 12, 2026

Wabenin wanapigia kura ili kumchagua mrithi wa Patrice Talon

Vituo vya kupigia kura vimepangwa kufunguliwa saa 1:00 asubuhi (sawa na 2:00 asubuhi saa za Afrika ya Kati) na kufungwa saa 10:00 jioni (11:00 jioni saa za Afrika ya Kati). Karibu wapiga kura milioni . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • April 11, 2026

Waziri Mkuu wa Uingereza afunguka mazito vita ya Iran na Marekani

Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, amesema amechoshwa na athari za kiuchumi zinazotokana na maamuzi ya Rais wa Marekani, Donald Trump, huku mvutano kati ya Ulaya na Marekani ukiongezeka kufuatia . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • April 11, 2026

China Yakanusha Tuhuma za Kusaidia Kijeshi Iran, Marekani Wafunguka

Ripoti mpya za kijasusi za Marekani zinaeleza kuwa China inadaiwa kujiandaa kupeleka mifumo mipya ya ulinzi wa anga kwa Iran katika wiki zijazo, wakati ambapo mapigano kati ya Iran . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • April 10, 2026

Djibouti kufanya uchaguzi wa rais siku ya Ijumaa

Uchaguzi wa rais unafanyika siku ya Ijumaa kwenye taifa hilo lenye umuhimu mkubwa wa kimkakati katika Pembe ya Afrika rais wa Djibouti, Ismail Omar Guelleh anatafuta nafasi ya kuiongoza nchi hiyo ya& . . .

afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • April 8, 2026

Hofu zatawala ZImbabwe kufuatia mapendekezo ya mabadiliko ya katiba

Hofu inaongezeka miongoni mwa upinzani nchini Zimbabwe kufuatia mapendekezo ya mabadiliko ya katiba yanayodaiwa kuimarisha zaidi mamlaka ya chama tawala cha Zanu-PF.Kwa mujibu wa rasimu hiyo, bunge li . . .

afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • April 7, 2026

DRC: Mzozo mpya kuhusu muhula wa tatu wa rais waibuka

MLvutano umeibuka nchini DRC, baada ya kambi ya rais ikitaka kiongozi wao, ambaye ni rais wa Jamhuri kuwania muhula wa tatu wakati wa sherehe za kuwapokea wachezaji wa timu ya taifa ya soka ilipokuwa . . .

afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • April 7, 2026

DRC: Mzozo mpya kuhusu muhula wa tatu wa rais waibuka

MLvutano umeibuka nchini DRC, baada ya kambi ya rais ikitaka kiongozi wao, ambaye ni rais wa Jamhuri kuwania muhula wa tatu wakati wa sherehe za kuwapokea wachezaji wa timu ya taifa ya soka ilipokuwa . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • March 27, 2026

Donald Trump Aongeza Muda wa Kusitisha Mashambulizi kwa Iran

Rais wa United States, Donald Trump, amesema ameongeza muda wa kusitisha mashambulizi dhidi ya viwanda vya nishati vya Iran kutoka siku chache hadi kufikia Aprili 6.Aidha ameeleza kuwa Iran ilikuwa im . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • March 26, 2026

Nicolás Maduro apinga kesi ya Marekani akidai kunyimwa haki

Rais wa zamani wa Venezuela Nicolas Maduro anatarajiwa kufika tena mahakamani Marekani akijaribu kushawishi jaji afute kesi inayomkabili ya ugaidi wa dawa za kulevya. Anadai serikali ya Marekani inamz . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • March 25, 2026

Iran yatoa kauli kali, yakataa mazungumzo na United States

Msemaji wa Makao Makuu ya Khatam al-Anbiya ya Iran, Ebrahim Zolfaghari, ametoa kauli kali akilenga United States kuhusu hali ya kisiasa na usalama katika eneo la Middle East.Kupitia ujumbe wa video ul . . .

afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • March 16, 2026

Matumizi ya Internet yamezuiliwa huku uchaguzi wa urais ukiendelea

Zaidi ya wapiga kura milioni 3.2 wamejiandikisha kushiriki katika uchaguzi wa rais nchini Republic of the Congo ambapo Rais Denis Sassou Nguesso mwenye umri wa miaka 82 anatetea nafasi yake. Hata hivy . . .

Kurasa 1 ya 18

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Top Stories
news
  • 3 siku zilizopita

Utafiti "Kushiriki mapenzi asubuhi huimarisha utendakazi"

Matukio
news
  • 3 siku zilizopita

Ukraine yahimiza raia kuondoka maeneo yanayokaliwa na Urusi

Matukio
news
  • May 30, 2026

Wasichana wanane wakamatwa kisa moto wa bweni uliouwa 16

Matukio
news
  • May 28, 2026

Wanafunzi 16 wafariki 74 wajeruhiwa katika ajali ya Moto

Matukio
news
  • May 28, 2026

Israel yamuua kiongozi mpya wa kijeshi wa Hamas

Matukio
news
  • May 27, 2026

Urusi na Ukraine zashambuliana vikali kwa droni, makombora

Matukio
news
  • May 27, 2026

Israel yamuua kamanda mpya wa tawi la kijeshi la Hamas

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Shabiki afariki akiingia uwanjani Kombe la Dunia

    • 3 siku zilizopita
  • Utafiti "Kushiriki mapenzi asubuhi huimarisha utendakazi"

    • 3 siku zilizopita
  • Ndoa ya Zari na Shakib Cham yavunjika Baada ya Miaka Mitano

    • 3 siku zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode