Baada ya miaka kadhaa ya mvutano na majirani zake wa kaskazini, Rais mteule wa Benin Romuald Wadagni amefanya ziara nchini Niger na Burkina Faso siku ya Jumanne, Juni 2, ambapo alikutana na Jenerali A . . .
Chama Cha Mapinduzi kimesema kwa namna yoyote kuihusisha Tanzania na Ubaguzi wa aina yoyote, au kudai inakiuka msingi ya demokrasia huku ikikandamiza uhuru wa kuabudu ni kituko kipya kuwahi kutokea.Ai . . .
Rais wa Colombia anayemaliza muda wake, Gustavo Petro, ameibua mashaka kuhusu mchakato wa uchaguzi nchini humo baada ya matokeo ya awali kumuweka mgombea wake kipenzi, Iván Cepeda, akielekea duru ya . . .
Rais wa Nigeria Bola Tinubu amepata rasmi tiketi ya chama tawala cha All Progressives Congress (APC) kuwania urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2027.Tinubu alipata ushindi huo baada ya kura . . .
Waziri Mkuu wa Uingereza Sir Keir Starmer anakabiliwa na presha kubwa kutoka kwa wabunge wa Labour Party baada ya zaidi ya wabunge 20 wa chama hicho kumtaka aweke wazi ratiba ya kujiuzulu kufuatia mat . . .
Kura za maoni zinatabiri matokeo mabaya kwa chama chake cha Labour, ambapo ikiwa mambo yatakwenda kombo hali hiyo inaweza kuongeza shinikizo kwa Starmer.Wapiga kura nchini Uingereza wanapiga kura leo . . .
Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye ameteuliwa na chama chake cha CNDD-FDD kuwa mgombea wa urais katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika mwaka ujao lakini tarehe rasmi haijatangazwa.Ndayishimiye mwen . . .
Wapalestina waishio katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu na Israel, pamoja na wanaoishi kwenye eneo la katikati mwa Ukanda wa Gaza wanapiga kura Jumamosi 25.04.2026 katika uchaguzi wa mani . . .
Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa kuna uwezekano wa kuanza kwa duru ya pili ya mazungumzo ya amani kati ya Marekani na Iran ndani ya siku chache zijazo.Kwa mujibu wa taarifa zilizochapishwa n . . .
Sudan Kusini inatarajiwa kufanya uchaguzi mkuu mwezi Desemba mwaka huu baada ya miaka mingi ya kucheleweshwa mara kwa mara.Na itakumbukwa kuwa uchaguzi huo uliotakiwa kufanyika tangu mwaka 2022 licha . . .
Kundi la Mawasiliano la Ulinzi la Ukraine linakutana hivi leo mjini Berlin kufuatia mualiko wa waziri wa ulinzi wa Ujerumani, Boris Pistorius.Kundi la Mawasiliano la Ulinzi la Ukraine (UDCG . . .
Urusi imefanya uharibifu wa meli inayopeperusha bendera ya Panama, iliyokuwa katika bandari ya Odesa nchini UkraineDroni za Urusi zimeshambulia bandari ya Izmail kusini mwa mkoa wa Odesa usiku wa kua . . .
Mahakama moja nchini Senegal imetoa hukumu ya kwanza chini ya sheria mpya iliyoongeza adhabu kwa watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja ambayo makundi ya kutetea haki za binadamu yameitaja kuwa ya u . . .
Nchini Benin, Romuald Wadagni ameshinda uchaguzi wa urais, baada ya kupata asilimia 94 ya kura, kwa mujibu wa matokeo ya awali, kufuatia uchaguzi uliofanyika Jumapili iliyopita.Tume ya Uchaguzi&n . . .
Vituo vya kupigia kura vimepangwa kufunguliwa saa 1:00 asubuhi (sawa na 2:00 asubuhi saa za Afrika ya Kati) na kufungwa saa 10:00 jioni (11:00 jioni saa za Afrika ya Kati). Karibu wapiga kura milioni . . .
Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, amesema amechoshwa na athari za kiuchumi zinazotokana na maamuzi ya Rais wa Marekani, Donald Trump, huku mvutano kati ya Ulaya na Marekani ukiongezeka kufuatia . . .
Ripoti mpya za kijasusi za Marekani zinaeleza kuwa China inadaiwa kujiandaa kupeleka mifumo mipya ya ulinzi wa anga kwa Iran katika wiki zijazo, wakati ambapo mapigano kati ya Iran . . .
Uchaguzi wa rais unafanyika siku ya Ijumaa kwenye taifa hilo lenye umuhimu mkubwa wa kimkakati katika Pembe ya Afrika rais wa Djibouti, Ismail Omar Guelleh anatafuta nafasi ya kuiongoza nchi hiyo ya& . . .
Hofu inaongezeka miongoni mwa upinzani nchini Zimbabwe kufuatia mapendekezo ya mabadiliko ya katiba yanayodaiwa kuimarisha zaidi mamlaka ya chama tawala cha Zanu-PF.Kwa mujibu wa rasimu hiyo, bunge li . . .
MLvutano umeibuka nchini DRC, baada ya kambi ya rais ikitaka kiongozi wao, ambaye ni rais wa Jamhuri kuwania muhula wa tatu wakati wa sherehe za kuwapokea wachezaji wa timu ya taifa ya soka ilipokuwa . . .
MLvutano umeibuka nchini DRC, baada ya kambi ya rais ikitaka kiongozi wao, ambaye ni rais wa Jamhuri kuwania muhula wa tatu wakati wa sherehe za kuwapokea wachezaji wa timu ya taifa ya soka ilipokuwa . . .
Rais wa United States, Donald Trump, amesema ameongeza muda wa kusitisha mashambulizi dhidi ya viwanda vya nishati vya Iran kutoka siku chache hadi kufikia Aprili 6.Aidha ameeleza kuwa Iran ilikuwa im . . .
Rais wa zamani wa Venezuela Nicolas Maduro anatarajiwa kufika tena mahakamani Marekani akijaribu kushawishi jaji afute kesi inayomkabili ya ugaidi wa dawa za kulevya. Anadai serikali ya Marekani inamz . . .
Msemaji wa Makao Makuu ya Khatam al-Anbiya ya Iran, Ebrahim Zolfaghari, ametoa kauli kali akilenga United States kuhusu hali ya kisiasa na usalama katika eneo la Middle East.Kupitia ujumbe wa video ul . . .
Zaidi ya wapiga kura milioni 3.2 wamejiandikisha kushiriki katika uchaguzi wa rais nchini Republic of the Congo ambapo Rais Denis Sassou Nguesso mwenye umri wa miaka 82 anatetea nafasi yake. Hata hivy . . .