logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Zote Za Kisiasa

  • Pata Habari Zote Za Kisiasa
Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Kesi ya Lissu Yaendelea, Upande wa Utetezi Kuwasilisha Ushahidi

Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, inaendelea leo, Septemba 9, 2026, katika Mahakama Kuu ya Tanzania, huku upande wa utetezi ukiendelea kuwasilisha ushahidi.Kesi hiyo imef . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • September 4, 2026

Golugwa Kupambana Na Maswali Ya Dodoso Kesi ya Lisu leo

Hatua ya maswali ya dodoso (Cross-examination) kwa shahidi wa tatu wa upande wa utetezi katika kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, inaanza leo, Se . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • August 17, 2026

Rais Hichilema aongoza kwenye matokeo ya kura

Rais Hakainde Hichilema anaongoza katika matokeo ya uchaguzi wa urais Zambia, baada ya zaidi ya nusu ya majimbo kutangaza matokeo yake.Tume ya Uchaguzi imesema Hichilema amepata kura 1,544,140, sawa n . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • August 13, 2026

Zambia yapiga kura, Hichilema akitarajiwa kuibuka mshindi

Raia wa Zambia leo wanapiga kura katika uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na viongozi wa serikali za mitaa, huku Rais Hakainde Hichilema akitarajiwa kushinda muhula wa pili wa uongozi.Nchi hiyo ya kusini . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • August 12, 2026

Kesho ni Siku ya Maamuzi Zambia, Hichilema Akabiliwa na Mtihani Mzito Katika Uchaguzi Mkuu

Zambia iko tayari kwa uchaguzi mkuu unaofanyika kesho, Alhamisi, Agosti 13, 2026, ambapo wananchi watapiga kura kumchagua Rais, wabunge pamoja na viongozi wa serikali za mitaa.Kwa mujibu wa ratiba ras . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • August 10, 2026

Uchaguzi wa urais kufanyika wiki hii nchini Zambia

Raia wa Zambia Alhamisi ya wiki hii watapiga kura katika uchaguzi wa rais unaofuatiliwa kwa karibu na ambao utakuwa kipimo cha mafanikio ya kiuchumi ya Rais Hakainde Hichilema anayewania kuchaguliwa k . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • August 3, 2026

Uganda: Uteuzi kuelekea uchaguzi wa mitaa kufanyika leo

Nchini Uganda, uteuzi kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa unafanyika leo Jumatatu, huku mchakato huo ukikubwa na ukiukaji wa sheria.Uchaguzi huo, umeanza kwenye mazingira ya machafuko na ukiukaji w . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 8, 2026

Le Pen kugombea urais wa Ufaransa

Kiongozi wa chama cha mrengo wa kulia nchini Ufaransa, National Rally RN Marine Le Pen amesema atawanai urais wa nchi hiyo katika uchaguzi ujao mwakani.Kiongozi wa chama cha mrengo wa kulia nchini Ufa . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • June 23, 2026

Uchaguzi Mkuu kufanyika Disemba 22, 2026

Tume ya uchaguzi nchini Sudan Kusini, imetangaza kwamba uchaguzi wa urais utaandaliwa Disemba 22 mwaka huu wa 2026, baada ya zoezi hilo lililosubiriwa kwa hamu kuahirishwa mara kadhaa.Ni tangazo linal . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 3, 2026

Rais Mteule wa Benin aanza tena mazungumzo na majirani zake

Baada ya miaka kadhaa ya mvutano na majirani zake wa kaskazini, Rais mteule wa Benin Romuald Wadagni amefanya ziara nchini Niger na Burkina Faso siku ya Jumanne, Juni 2, ambapo alikutana na Jenerali A . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • June 1, 2026

Mbeto "Tanzania Ni Mwalimu wa Demokrasia Kusini mwa Sahara"

Chama Cha Mapinduzi kimesema kwa namna yoyote kuihusisha Tanzania na Ubaguzi wa aina yoyote, au kudai inakiuka msingi ya demokrasia huku ikikandamiza uhuru wa kuabudu ni kituko kipya kuwahi kutokea.Ai . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 1, 2026

Rais wa Colombia Akataa Matokeo ya Uchaguzi, Ahoji Mfumo wa Kuhesabu Kura

Rais wa Colombia anayemaliza muda wake, Gustavo Petro, ameibua mashaka kuhusu mchakato wa uchaguzi nchini humo baada ya matokeo ya awali kumuweka mgombea wake kipenzi, Iván Cepeda, akielekea duru ya . . .

afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • May 27, 2026

Tinubu ashinda uteuzi kupitia chama cha APC kugombea Urais Nigeria 2027

Rais wa Nigeria Bola Tinubu amepata rasmi tiketi ya chama tawala cha All Progressives Congress (APC) kuwania urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2027.Tinubu alipata ushindi huo baada ya kura . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • May 9, 2026

Waziri wa Uingereza ashinikizwa kujiuzulu kufuatia matokeo mabaya ya Labour

Waziri Mkuu wa Uingereza Sir Keir Starmer anakabiliwa na presha kubwa kutoka kwa wabunge wa Labour Party baada ya zaidi ya wabunge 20 wa chama hicho kumtaka aweke wazi ratiba ya kujiuzulu kufuatia mat . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • May 7, 2026

Waingereza kupiga kura leo katika uchaguzi

Kura za maoni zinatabiri matokeo mabaya kwa chama chake cha Labour, ambapo ikiwa mambo yatakwenda kombo hali hiyo inaweza kuongeza shinikizo kwa Starmer.Wapiga kura nchini Uingereza wanapiga kura leo . . .

Afrika
  • Na Jembe Digital
  • April 27, 2026

Rais wa Burundi ateuliwa na chama chake kuwania Urais 2027

Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye ameteuliwa na chama chake cha CNDD-FDD kuwa mgombea wa urais katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika mwaka ujao lakini tarehe rasmi haijatangazwa.Ndayishimiye mwen . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • April 25, 2026

Wapalestina wafanya uchaguzi wa kwanza baada ya Vita

Wapalestina waishio katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu na Israel, pamoja na wanaoishi kwenye eneo la katikati mwa Ukanda wa Gaza wanapiga kura Jumamosi 25.04.2026 katika uchaguzi wa mani . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • April 23, 2026

Trump Atoa Kauli Mpya Kuhusu Mazungumzo ya Amani na Iran

Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa kuna uwezekano wa kuanza kwa duru ya pili ya mazungumzo ya amani kati ya Marekani na Iran ndani ya siku chache zijazo.Kwa mujibu wa taarifa zilizochapishwa n . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • April 22, 2026

Sudan Kusini inatarajiwa kufanya uchaguzi mkuu mwezi Desemba

Sudan Kusini inatarajiwa kufanya uchaguzi mkuu mwezi Desemba mwaka huu baada ya miaka mingi ya kucheleweshwa mara kwa mara.Na itakumbukwa kuwa uchaguzi huo uliotakiwa kufanyika tangu mwaka 2022 licha . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • April 15, 2026

Kundi la mawasiliano la ulinzi la Ukraine lakutana Berlin

Kundi la Mawasiliano la Ulinzi la Ukraine linakutana hivi leo mjini Berlin kufuatia mualiko wa waziri wa ulinzi wa Ujerumani, Boris Pistorius.Kundi la Mawasiliano la Ulinzi la Ukraine (UDCG . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • April 14, 2026

Urusi yashambulia bandari ya Odesa nchini Ukraine

Urusi imefanya uharibifu wa meli inayopeperusha bendera ya Panama, iliyokuwa katika bandari ya Odesa nchini UkraineDroni za Urusi zimeshambulia bandari ya Izmail kusini mwa mkoa wa Odesa usiku wa kua . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • April 14, 2026

Sheria kali dhidi ya ushoga yaanza ´kung´ata´ Senegal

Mahakama moja nchini Senegal imetoa hukumu ya kwanza chini ya sheria mpya iliyoongeza adhabu kwa watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja ambayo makundi ya kutetea haki za binadamu yameitaja kuwa ya u . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • April 14, 2026

Romuald Wadagni ameshinda uchaguzi wa urais Benin

Nchini Benin, Romuald Wadagni ameshinda uchaguzi wa urais, baada ya kupata asilimia 94 ya kura, kwa mujibu wa matokeo ya awali, kufuatia uchaguzi uliofanyika Jumapili iliyopita.Tume ya Uchaguzi&n . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 12, 2026

Wabenin wanapigia kura ili kumchagua mrithi wa Patrice Talon

Vituo vya kupigia kura vimepangwa kufunguliwa saa 1:00 asubuhi (sawa na 2:00 asubuhi saa za Afrika ya Kati) na kufungwa saa 10:00 jioni (11:00 jioni saa za Afrika ya Kati). Karibu wapiga kura milioni . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • April 11, 2026

Waziri Mkuu wa Uingereza afunguka mazito vita ya Iran na Marekani

Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, amesema amechoshwa na athari za kiuchumi zinazotokana na maamuzi ya Rais wa Marekani, Donald Trump, huku mvutano kati ya Ulaya na Marekani ukiongezeka kufuatia . . .

Kurasa 1 ya 19

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Matukio
news
  • 3 siku zilizopita

Mamia ya watu wafurika Homa Bay baada ya uvumi wa dhahabu kugunduliwa huko

Matukio
news
  • August 24, 2026

Mama Wa Miaka 18 Ashtakiwa kwa Mauaji Ya Mtoto Wake Wa Miaka Miwili

Matukio
news
  • August 10, 2026

Baada ya kuachiliwa kwa wafungwa 15, tofauti zinaendelea kati ya Kinshasa na AFC/M23

Matukio
news
  • July 17, 2026

Ajali ya barabarani nchini Uganda yauwa wanafunzi 20

Matukio
news
  • July 15, 2026

Iran na Marekani zaendelea kushambuliana

Top Stories
news
  • July 9, 2026

Wairan kumzika Ayatollah Ali Khamenei nyumbani kwake Masshad

Matukio
news
  • July 5, 2026

China imemwachilia huru mchungaji wa Kiprotestanti

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • BODI YA USHAURI YA TARURA YAKAGUA BARABARA ZA KUINGIA UWANJA WA AFCON ARUSHA

    • 21 dakika zilizopita
  • Watumiaji dawa za kulevya hatarini kuugua saratani ya kinywa

    • 22 dakika zilizopita
  • Ng’ombe, mbuzi na kondoo kupewa vitambulisho

    • 24 dakika zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode