logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Zote Za Kisiasa

  • Pata Habari Zote Za Kisiasa
Kitaifa
  • Na Jacobmlaytz
  • 2 siku zilizopita

SABABU ZA HECHE KUNYIMWA UWANJA WA FURAHISHA MWANZA

Makamu Mwenyekiti wa Chadema John Heche amezungumza kuhusu yale yanayoendelea ndani ya chama cha demokrasia na Maendeleo Chadema akisema anakuja Mwanza kufanya ziara maalamu.Tazama zaidi hapa kuyasiki . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Katibu wa BAWACHA Kilimanjaro aondoka CHADEMA

Aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum na Mwenyekiti wa Mwenyekiti wa BAWACHA Mkoa wa Kilimanjaro, Grace Kiwelu ametangaza kuachana na Chama cha Demokrasi na Maendeleo (CHADEMA).Kiwelu ambaye ni Mwenyekiti K . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • May 6, 2025

Kesi ya Uhaini ya TUNDU Lissu Bado Upelelezi Haujakamilika

Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa Tundu Lissu imeendelea tena leo, Jumanne Mei 06.2025 kwa ajili ya kutajwaAkizungumza mbele ya Mahakama katik . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • May 6, 2025

CCM Yamjibu Jaji Warioba, Yasema Haina Mgogoro na Chadema

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema hakina migogoro na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwani wanahusiana vizuri na chama hicho na kwenye chama cha vyama vya siasa (TCD)wanashiriki vizuri na . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • May 2, 2025

MNEC Hemed"Vijana msitumiwe na Vyama vya Siasa"

Wito huo umetolewa na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha mapinduzi Taifa Mkoa wa Ruvuma MNEC Hemed Challe, akiwa mgeni rasmi kwenye Mahafali ya Seneti ya Vyuo Mkoani Ruvuma kupitia CCM, yaliyofany . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 20, 2025

Heche Aonana na Tundu Lissu Gerezani

Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania Bara John Heche ni mmoja wa Viongozi waandamizi wa Chama hicho waliofika gereza kuu la Ukonga kumuona Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu lissu aliyehamishiwa gerezani ha . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 30, 2025

NCCR Mageuzi Yamteua Haji Ambar Khamis kuwa mgombea Urais wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania

Chama cha NCCR Mageuzi Machi 29, 2025, kimetangaza kumteua Haji Ambar Khamis kuwa mgombea Urais wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania na Joseph Roman Selasini kuwa mgombea mwenza katika uchaguzi mkuu unao . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 22, 2025

Lissu Ashinda Nafasi ya Uenyekiti Chadema, Heche Makamu Mwenyekiti Bara

Tundu Lissu ametangazwa kuwa mshindi wa nafasi ya uenyekiti wa Chadema baada ya kupata kura 513 kati ya kura 996, sawa na asilimia 51.5.Freeman Mbowe yeye amepata kura 482 kati ya kura 996, sawa na as . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 20, 2025

CHADEMA YAPITISHA MAKADA WAKE

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Jumapili Januari 19, 2025 kimewapitisha makada wake 23 kuwania ujumbe wa Kamati Kuu.Hatua ya kupitishwa kwa wagombea hao, imekuja baada yakusailiwa katika . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • January 15, 2025

Uchaguzi wa wabunge Comoro

Nchini Comoro, matokeo ya muda ya uchaguzi wa wabunge yamechapishwa jana, Jumanne Januari 14 jioni na Tume Huru ya taifa ya Uchaguzi baada ya kuchelewa kwa zaidi ya saa tatu kwa muda uliopangwa. Hali . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 14, 2025

Godbless Lema Afichua Jambo la Mbowe Kutaka Kuachia Nafasi ya Uongozi Chadema

Aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema, amefichua taarifa za kushangaza kuhusu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe.Akizungumza na waandishi wa habari jiji . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • December 5, 2024

Wabunge wa Ufaransa wapiga kura ya kuiondoa serikali ya waziri mkuu

Wabunge wa Ufaransa Jumatano wamepiga kura ya kuiondoa serikali ya waziri mkuu Michel Barnier baada ya miezi mitatu tu ikiwepo madarakani, katika hatua ya kihistoria ambayo inaiweka tena nchi hiyo kat . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 28, 2024

Polisi Watoa Taarifa Mgombea Wa Chadema Aliyefariki Baada Ya Kupiga Kura

Jeshi la Polisi Tanzania limetoa ufafanuzi kuhusu taarifa inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu kifo cha Ndg Modestus G Timbisimilwa ambaye alikuwa Mgombea Ujumbe Mchanganyiko wa Mtaa na Wakal . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 28, 2024

Mbowe Awa Mbogo Ataka Wanachama wa CHADEMA Waliokamatwa Wakizuia Kura Batili Kuachiwa

. . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 26, 2024

Mwenyekiti wa Chadema Kilimanjaro Akamatwa na Polisi Tuhuma za Kupanga Vurugu

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linamshikilia Gervas Eliewaha Mgonja, (42), Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Kilimanjaro kwa tuhuma za kutoa kauli za kuhamasisha W . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 25, 2024

NAIBU WAZIRI SANGU AWANADI WAGOMBEA, ATAJA SABABU ZA KUICHAGUA CCM

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.Deus Sangu amewahimiza wananchi wa Kata ya Zimba na Mtowisa kuchagua wagombea wa CCM ili kuendeleza miradi ya maendeleo . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 22, 2024

CHADEMA waahidi huduma bure kwa Wananchi

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), jimbo la Bukoba Mjini Mkoani Kagera kimezindua rasmi kampeni zake za uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa kunadi sera zake huku mawakala wa Chama hicho wakita . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 20, 2024

Dkt.Nchimbi Awaili Furahisha Uzinduzi wa Kampeni Serikali za Mitaa Mwanza

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, akiwasili leo tarehe 20 Novemba 2024 katika Viwanja vya Furahisha, jijini Mwanza, kwa ajili ya uzinduzi wa kampeni za uchaguzi w . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • November 13, 2024

Raia wa Somaliland, eneo lililojitenga na Somalia wanashiriki uchaguzi mkuu

Wakaazi wa jimbo la Somaliland, lililojitenga na Somalia miaka 33 iliyopita, wanapiga kura leo kumchagua rais, kipindi hiki kukiwa na msukosuko wa kidiplomasia kai ya utawala wa Mogadishu na nchi jira . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 3, 2024

Wagombea urais Marekani wafanya mikutano ya mwisho mwisho kabla ya uchaguzi

Wagombea urais nchini Marekani, Kamala Harris na Donald Trump, wanaendelea na harakati za mwisho mwisho, kuelekea kwa uchaguzi wa Jumanne wiki ijayo, ambao unaelezwa kama wenye ushindani mkali zaidi.W . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • October 24, 2024

Matokeo ya uchaguzi Msumbiji kutangazwa na tume ya uchaguzi

Tume ya uchaguzi nchini Msumbiji inatarajiwa wakati wowote kuchapisha matokeo ya uchaguzi wa rais na bunge uliofanyika tarehe 9 mwezi huu. Hofu imetanda baada ya upinzani kuitisha maandamano kwa siku . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • September 23, 2024

MBOWE NA MWANAE WAKAMATWA MAGOMENI

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, amekamatwa na Jeshi la Polisi Magomeni Mapipa Jijini Dar es salaam leo September 23,2024 baada ya kuonekana akiongea na Waandishi wa Habari ambapo sekunde chache . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • September 13, 2024

Maandamano ya CHADEMA yapigwa marufuku

Jeshi la Polisi limepiga marufuku maandamano yaliyotangazwa na Viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo – CHADEMA, yaliyotangazwa kufanyika Septemba 23, 2024 na kutia onyo kuwa yeyote atakayein . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 14, 2024

Trump amwita Kamala Harris ‘mwanamke mrembo sana’ akimfananisha na mkewe Melania

RAIS wa zamani wa Amerika Donald Trump amemrejelea mgombea urais wa Chama cha Democrat Kamala Harris kama “mwanamke mrembo sana.”Akijadiliana na mmiliki wa mtandao wa X (zamani Twitter), bilionea . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 12, 2024

Freeman Mbowe Akamatwa Songwe Airport Leo

Polisi Mkoani Mbeya wamemkamata Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na Mwenyekiti wa Baraza la Vijana CHADEMA ( BAVICHA), John Pambalu muda mfupi baada ya wawili hao kuwasili Songwe Airport leo Augus . . .

Kurasa 1 ya 11

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Top Stories
news
  • jana

PAMBA JIJI YAISHUSHA DARAJA KAGERA SUGAR, YANGA KAMA KAWAIDA

Top Stories
news
  • jana

YANGA NA NAMUNGO HAPATOSHI LEO KMC COMPLEX

Matukio
news
  • 2 siku zilizopita

Jeshi la Israel latekeleza shambulio kwenye hospitali ya Nasser Gaza

Top Stories
news
  • 5 siku zilizopita

Kwa mala ya kwanza Papa Leo XIV akiwa PAPA, aongoza misa akisema; "Kanisa linaweza kusaidia Dunia"

Matukio
news
  • 7 siku zilizopita

BUNDUKI ILIYOTUMIKA KUMUUA POLISI KENYA YAOATIKANA

Matukio
news
  • 7 siku zilizopita

RSF yaendelea kushambulia mji wa Port Sudan, wasiwasi watanda

Matukio
news
  • May 4, 2025

Ndege zisizo na rubani za Sudani zashambulia mji wa mpakani karibu na Eritrea

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Majaliwa na Waziri Mkuu wa Côte d’Ivoire Wajadili Ushirikiano wa Kiuchumi na Kilimo

    • 11 masaa yaliopita
  • Rais Maskini Zaidi Duniani Afariki Akiwa na Umri wa Miaka 89

    • 11 masaa yaliopita
  • PAMBA JIJI YAISHUSHA DARAJA KAGERA SUGAR, YANGA KAMA KAWAIDA

    • jana

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode