logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Zote Za Kisiasa

  • Pata Habari Zote Za Kisiasa
Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Mgombea urais AAFP kumaliza kero Soko la Songea ndani ya siku 90

Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Wakulima (AAFP), Kunje Ngombale Mwiru, ameahidi kumaliza kero za soko kuu la mkoa wa Ruvuma ndani ya siku 90 endapo atachaguliwa kuongoza nchi.Akihitimisha . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Guinea kufanya uchaguzi wake wa kwanza wa urais baada ya mapinduzi Disemba 28

Guinea imetangaza kuwa itafanya uchaguzi wa urais Desemba 28, uchaguzi wa kwanza tangu Jenerali Mamadi Doumbouya achukue mamlaka katika mapinduzi ya mwaka 2021.Raia wa Guinea watapiga kura k . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Dkt. Samia Aahidi Ujenzi wa Bandari Mpya ya Bagamoyo

Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi miradi mikubwa ya maendeleo ikiwa ni sehemu ya vipaumbele vya serikali atakayoong . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • September 26, 2025

Babu Owino asema "Nina siri ya kushinda ugavana Nairobi bila Raila"

MBUNGE wa Embakasi Mashariki Babu Owino amemlaumu Kiongozi wa upinzani Raila Odinga kwa masaibu yake ya kisiasa huku akisema kuwa sasa anajipanga kivyake kuhusiana na azma yake ya ugavana wa Nairobi m . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • September 25, 2025

Bobi Wine kukabiliana na Museveni Uchaguzi Mkuu 2026

Tume ya Uchaguzi nchini Uganda imewaidhinisha Rais Yoweri Museveni na kiongozi wa upinzani Bobi Wine kugombea katika uchaguzi wa 2026 nchini humo.Tangazo hilo linaweka mazingira ya mpambano mkali wa k . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • September 25, 2025

Wagombea 8 waidhinishwa, akiwemo Museveni na kiongozi wa Upinzani Bobi Wine

Nchini Uganda, sasa inajulikana Yoweri Museveni atapambana na nani katika uchaguzi wa urais wa mwezi Januari 2026. Katika taarifa iliyotolewa siku ya Jumatano, Septemba 24, Tume ya Uchaguzi imetangaza . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • September 22, 2025

MCP yadai kuibiwa kura uchaguzi Malawi

 CHAMA Tawala cha Malawi, Malawi Congress Party (MCP), kinachounga mkono Rais Lazarus Chakwera, kimesema kina ushahidi wa wizi wa kura, huku matokeo ya awali yakionyesha kuwa kinashindwa katika u . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • September 22, 2025

Chama tawala chadai kulikuwepo na wizi wa kura

Nchini Malawi, Chama tawala cha Rais Lazarus Chakwera kinadai kuwa kulikuwa na wizi wa kura katika uchaguzi wa wiki iliyopita huku chama hicho kikidai kuwa na ushaihidi wa kutosha wa kudhibitisha hilo . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • September 19, 2025

Wagombea watakiwa kuzingatiai ilani, kutoa ahadi zinazotekelezeka

OKTOBA 29, mwaka huu Watanzania watatekeleza jambo kubwa la kidemokrasia na kihistoria la kuwachagua viongozi wa kuwaongoza kwa miaka mitano ijayo kwa kupiga kura.Utekelezaji huo wa kidemokrasia unafa . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • September 19, 2025

Malawi vyama viwili vyajitangazia ushindi urais

 VYAMA vya siasa vinavyowaunga mkono wagombea wakuu wa urais nchini Malawi vimejitangazia ushindi kabla ya Tume ya Uchaguzi kutangaza matokeo rasmi.Vyama hivyo ni Malawi Congress Party (MCP) kina . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • September 19, 2025

Mgombea urais Salum Mwalimu aahidi uwekezaji mkubwa kupitia Kituo cha PPP

Mgombea urais wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalimu, amemtumia salam Mkurugenzi wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPP), David Kafulila, kujiandaa na "mapinduzi makub . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • September 19, 2025

Mwenyekiti wa CHADEMA Iringa Mjini, Frank Nyalusi Afariki

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Iringa Mjini, Frank Nyalusi, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo, Ijumaa Septemba 19, 2025, katika Hospitali ya Rufaa ya Iringa ali . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • September 17, 2025

Kesi ya Lissu moto; Akataa kuendelea na shauri kisa wafuasi

KESI ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, imeendelea kuwa moto mahakamani, safari hii akigoma kuendelea na usikilizwaji wa shauri hilo katika . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • September 17, 2025

Ziara ya Donald Trump Nchini Uingereza kupingwa na waandamanaji

Maelfu ya raia wa Uingereza wamejitokeza mitaani jijini London na miji mingine kupinga ziara ya Rais wa Marekani, Donald Trump, ambaye amewasili nchini humo kwa ziara rasmi.Waandamanaji walibeba maban . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • September 16, 2025

Raia wa Malawi wanapiga kura katika uchaguzi mkuu wa urais

Raia wa Malawi, hivi leo wanapiga kura katika uchaguzi mkuu wa rais, Wabunge na madiwani, uchaguzi ambao unatarajiwa kuamua mustakabali wa taifa hilo kuhusu uchumi na vita dhidi ya rushwa.Upinzani una . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • September 10, 2025

Baba Levo Azindua Rasmi Kampeni Kigoma Mjini

MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Kigoma Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Clayton Revocatus Chipando maarufu kama Baba Levo, Septemba 9mwaka hu  amezindua rasmi kampeni zake katika mji . . .

afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • September 8, 2025

Kindiki Mt aweka ngumu kuhakikisha UDA inatwaa kiti cha Mbele

NAIBU wa Rais, Prof Kithure Kindiki sasa ana kibarua kigumu cha kuhakikisha kuwa UDA inatwaa kiti cha Mbele Kaskazini baada ya chama hicho kumtaja mwaniaji wake wikendi.Mnamo Jumamosi, UDA ilimta . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 14, 2025

ADC kulea watoto, kufuta madeni wadaiwa Bodi ya Mikopo

MGOMBEA Urais kupitia tiketi ya chama cha Alliance For Democratic Change (ADC), Wilson Mulumbe amesema endapo atapewa ridhaa ya kuiongoza nchi ataondoa makato ya mikopo ya vyuo vya Elimu ya Juu inayot . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 8, 2025

Kesi ya CHADEMA Kusikilizwa Agosti 18, Mahakama Kutoa Uamuzi wa Zuio

Kesi ya madai iliyofunguliwa dhidi ya Bodi ya Wadhamini ya CHADEMA na Katibu Mkuu wa chama hicho, inayohusu zuio la kufanya shughuli za kisiasa, imeahirishwa hadi Agosti 18, 2025, kwa ajili ya kusikil . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 7, 2025

Fatma Ferej Ateuliwa Rasmi Mgombea Mwenza wa Urais ACT Wazalendo

Katibu wa Ngome ya Wanawake ya ACT Wazalendo, Fatma Abdulhabib Ferej, ameteuliwa rasmi kuwa mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, baada ya jina lake kupitishwa kwa kauli moja na . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 5, 2025

Mkurugenzi INEC ataka vyombo vya habari kutopendelea chama cha siasa

Mkurugenzi wa Uchaguzi Tume Huru ya Uchaguzi (INEC) Ramadhani Kailima amevitaka vyombo vya habari kuripoti habari za uchaguzi bila kupendelea chama chochote cha siasa.Kailima ameyasema hayo leo Agost . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 28, 2025

Tume ya Uchaguzi Cameroon yamzuia mpinzani wa Rais Biya

Tume ya uchaguzi ya Cameroon, ELECAM, imetangaza kuwa mwanasiasa wa upinzani Maurice Kamto amezuiliwa kushiriki katika kinyang'anyiro cha uchaguzi wa urais wa Oktoba 12 mwaka huu.Profesa, huyo mashuhu . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 27, 2025

DC Msando aonya mikusanyiko isiyo rasmi waumini wa Gwajima

MKUU wa Wilaya ya Ubungo, Albert Msando, ametoa kauli kuhusu uvumi wa kufungwa kwa ukumbi wa Tanzanite ulioko Kimara Korogwe,Dar es Salaam, akibainisha kuwa ukumbi huo umesajiliwa kwa ajili ya shughul . . .

afrika mashariki
  • Na Baba Juti
  • July 17, 2025

Akamatwa na Bomu katika Uchaguzi wa Chama cha NRM, Uganda

Polisi nchini Uganda wanamshikilia mwanaume mmoja baada ya kukutwa na bomu la mkononi aina ya “guruneti” (Grenade) wakati wa uchaguzi wa awali wa chama tawala cha NRM .Kwa mujibu wa NTV Uganda, . . .

afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • July 10, 2025

Ruto atoa maagizo polisi kuwapiga risasi za miguu waandamanaji

Rais wa Kenya William Ruto ameagiza Polisi kuwapiga risasi za miguu waandamanaji wanaoharibu mali za watu ili kuwazuia kufanya uharibifu huo bila kuwaua. Agizo hilo limekuja baada ya baadhi ya waandam . . .

Kurasa 1 ya 16

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Top Stories
news
  • 2 siku zilizopita

Ibrahim Bacca Afungiwa na TFF Mechi 5 kwa kucheza Rafu Mbaya

Top Stories
news
  • 2 siku zilizopita

Sean ‘Diddy ahukumiwa jela miezi 50

Top Stories
news
  • 2 siku zilizopita

Kevin Williams Mbogo, amefariki dunia kwa ajali

Top Stories
news
  • 2 siku zilizopita

John Heche, na wenzake wanane wamefunguliwa mashtaka ya kukiuka maelekezo ya Mahakama

Top Stories
news
  • 2 siku zilizopita

Majaliwa Awasili Malawi Kumwakilisha Rais Samia

Top Stories
news
  • 3 siku zilizopita

MAADHIMISHO YA SIKU YA MWALIMU DUNIANI – USHIROMBO, GEITA

Top Stories
news
  • 3 siku zilizopita

Doyo aahidi soko la uhakika kwa wakulima wa mbaazi akipewa urais

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • YAS WAIPAMBA LAKE VICTORIA MARATHON MSIMU WA 5

    • 21 masaa yaliopita
  • Yatambue Mambo Sita Yasiyopaswa Kufanywa Wakati Wa Ujauzito

    • 2 siku zilizopita
  • Ibrahim Bacca Afungiwa na TFF Mechi 5 kwa kucheza Rafu Mbaya

    • 2 siku zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode