Nchini Comoro, matokeo ya muda ya uchaguzi wa wabunge yamechapishwa jana, Jumanne Januari 14 jioni na Tume Huru ya taifa ya Uchaguzi baada ya kuchelewa kwa zaidi ya saa tatu kwa muda uliopangwa. Hali . . .
Aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema, amefichua taarifa za kushangaza kuhusu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe.Akizungumza na waandishi wa habari jiji . . .
Wabunge wa Ufaransa Jumatano wamepiga kura ya kuiondoa serikali ya waziri mkuu Michel Barnier baada ya miezi mitatu tu ikiwepo madarakani, katika hatua ya kihistoria ambayo inaiweka tena nchi hiyo kat . . .
Jeshi la Polisi Tanzania limetoa ufafanuzi kuhusu taarifa inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu kifo cha Ndg Modestus G Timbisimilwa ambaye alikuwa Mgombea Ujumbe Mchanganyiko wa Mtaa na Wakal . . .
. . .
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linamshikilia Gervas Eliewaha Mgonja, (42), Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Kilimanjaro kwa tuhuma za kutoa kauli za kuhamasisha W . . .
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.Deus Sangu amewahimiza wananchi wa Kata ya Zimba na Mtowisa kuchagua wagombea wa CCM ili kuendeleza miradi ya maendeleo . . .
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), jimbo la Bukoba Mjini Mkoani Kagera kimezindua rasmi kampeni zake za uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa kunadi sera zake huku mawakala wa Chama hicho wakita . . .
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, akiwasili leo tarehe 20 Novemba 2024 katika Viwanja vya Furahisha, jijini Mwanza, kwa ajili ya uzinduzi wa kampeni za uchaguzi w . . .
Wakaazi wa jimbo la Somaliland, lililojitenga na Somalia miaka 33 iliyopita, wanapiga kura leo kumchagua rais, kipindi hiki kukiwa na msukosuko wa kidiplomasia kai ya utawala wa Mogadishu na nchi jira . . .
Wagombea urais nchini Marekani, Kamala Harris na Donald Trump, wanaendelea na harakati za mwisho mwisho, kuelekea kwa uchaguzi wa Jumanne wiki ijayo, ambao unaelezwa kama wenye ushindani mkali zaidi.W . . .
Tume ya uchaguzi nchini Msumbiji inatarajiwa wakati wowote kuchapisha matokeo ya uchaguzi wa rais na bunge uliofanyika tarehe 9 mwezi huu. Hofu imetanda baada ya upinzani kuitisha maandamano kwa siku . . .
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, amekamatwa na Jeshi la Polisi Magomeni Mapipa Jijini Dar es salaam leo September 23,2024 baada ya kuonekana akiongea na Waandishi wa Habari ambapo sekunde chache . . .
Jeshi la Polisi limepiga marufuku maandamano yaliyotangazwa na Viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo – CHADEMA, yaliyotangazwa kufanyika Septemba 23, 2024 na kutia onyo kuwa yeyote atakayein . . .
RAIS wa zamani wa Amerika Donald Trump amemrejelea mgombea urais wa Chama cha Democrat Kamala Harris kama “mwanamke mrembo sana.”Akijadiliana na mmiliki wa mtandao wa X (zamani Twitter), bilionea . . .
Polisi Mkoani Mbeya wamemkamata Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na Mwenyekiti wa Baraza la Vijana CHADEMA ( BAVICHA), John Pambalu muda mfupi baada ya wawili hao kuwasili Songwe Airport leo Augus . . .
Makamu wa rais wa Marekani na mgombea wa urais wa chama cha Democratic Kamala Harris na rais wa zamani wa Marekani na mgombea wa chama cha Republican Donald Trump wamekubali kufanya mdahalo Septemba 1 . . .
Rais wa Venezuela Nicolas Maduro ameshinda uchaguzi wa urais Jumapili, Julai 28, kwa asilimia 51.20 ya kura - sawa na kura milioni 5.15 -, tume ya uchaguzi imetangaza Jumatatu, Julai 29, ingawa kura k . . .
Rais wa Rwanda, Paul Kagame ameshinda muhula wa nne wa kuiongoza nchi hiyo kufuatia uchaguzi wa urais na bunge uliofanyika Julai 15, 2024.Katikq uchaguzi huo, jumla ya Wapiga kura milioni tisa walishi . . .
Claudia Sheinbaum alipata ushindi wa kishindo katika uchaguzi nchini Mexico na kuwa rais wa kwanza mwanamke wa nchi hiyo, akirithi mradi wa mshauri wake na kiongozi anayeondoka madarakani Andres Manue . . .
Nchini Rwanda, kinachosubiriwa sasa ni kuanza kwa kampeni kuelekea uchaguzi wa Julai 15 mwaka huu, baada ya mwishoni mwa juma wagombea 9 wakiwemo wagombea binafsi krejesha fomu zao kwa tume ya uchaguz . . .
Wapiga kura nchini Mexico walielekea kwenye vituo vya kupiga kura Jumapili kumchagua rais mpya. Kwa mshangao mkubwa, mmoja wa wagombea wawili wanawake anaweza kuwa kiongozi wa kwanza wa Mexico.Kura ya . . .
Mamlaka nchini Iran imetangaza kipindi cha siku tano kwa watu wanaotaka kuwania katika uchaguzi wa urais wa tarehe 28 ya mwezi Juni mwaka huu kuwasilisha maombi yao.Uchaguzi huo unatarajiwa kufanyika . . .
Mamia ya watu waliandamana mjini Tunis siku ya Jumapili kumuunga mkono Rais Kais Saied huku kukiwa na ukosoaji mkubwa ndani na nje ya nchi baada ya wimbi la kukamatwa kwa waandishi wa habari, wanahara . . .
Baraza la Katiba lililotangaza ushindi huo pia lilikataa ombi lililotolewa na Waziri Mkuu Succes Masra la kutaka kufutwa matokeo hayo.Kiongozi wa kijeshi wa Chad, Jenerali Mahamat Idriss Deby Itno ame . . .