MGOMBEA Urais kupitia tiketi ya chama cha Alliance For Democratic Change (ADC), Wilson Mulumbe amesema endapo atapewa ridhaa ya kuiongoza nchi ataondoa makato ya mikopo ya vyuo vya Elimu ya Juu inayot . . .
Kesi ya madai iliyofunguliwa dhidi ya Bodi ya Wadhamini ya CHADEMA na Katibu Mkuu wa chama hicho, inayohusu zuio la kufanya shughuli za kisiasa, imeahirishwa hadi Agosti 18, 2025, kwa ajili ya kusikil . . .
Katibu wa Ngome ya Wanawake ya ACT Wazalendo, Fatma Abdulhabib Ferej, ameteuliwa rasmi kuwa mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, baada ya jina lake kupitishwa kwa kauli moja na . . .
Mkurugenzi wa Uchaguzi Tume Huru ya Uchaguzi (INEC) Ramadhani Kailima amevitaka vyombo vya habari kuripoti habari za uchaguzi bila kupendelea chama chochote cha siasa.Kailima ameyasema hayo leo Agost . . .
Tume ya uchaguzi ya Cameroon, ELECAM, imetangaza kuwa mwanasiasa wa upinzani Maurice Kamto amezuiliwa kushiriki katika kinyang'anyiro cha uchaguzi wa urais wa Oktoba 12 mwaka huu.Profesa, huyo mashuhu . . .
MKUU wa Wilaya ya Ubungo, Albert Msando, ametoa kauli kuhusu uvumi wa kufungwa kwa ukumbi wa Tanzanite ulioko Kimara Korogwe,Dar es Salaam, akibainisha kuwa ukumbi huo umesajiliwa kwa ajili ya shughul . . .
Polisi nchini Uganda wanamshikilia mwanaume mmoja baada ya kukutwa na bomu la mkononi aina ya “guruneti” (Grenade) wakati wa uchaguzi wa awali wa chama tawala cha NRM .Kwa mujibu wa NTV Uganda, . . .
Rais wa Kenya William Ruto ameagiza Polisi kuwapiga risasi za miguu waandamanaji wanaoharibu mali za watu ili kuwazuia kufanya uharibifu huo bila kuwaua. Agizo hilo limekuja baada ya baadhi ya waandam . . .
Kesi namba 8323/2025 ya mgawanyo wa rasilimali za Chama cha Demokrasia na Maendeleo imeahirishwa mpaka Jumatatu ya tarehe 14, Julai 2025 saa nne asubuhiKatika Kesi hiyo inayoendelea Mahakama Kuu ya Ta . . .
Rais wa Kenya William Ruto akiwa na hasira kali ameapa kuwachukulia hatua kali wale anaowaita wapanga njama wa kutaka kumuondoa madarakani kwa njia zisizo halali kabla ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2027.& . . .
Utajiri wa Mkurugenzi Mtendaji wa Tesla na SpaceX, Elon Musk, umepungua kwa kiasi cha dola bilioni 15 kwa siku ya leo pekee baada ya hisa za kampuni ya Tesla kuporomoka kwa karibu asilimia 7 na kushuk . . .
Chama cha Ukombozi wa Umma(CHAUMMA), kimetangaza awamu ya pili ya ziara yake baada ya ile iliyofanyika Juni mwaka huu.Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano kwa Umma wa chama hicho, John Mr . . .
Chama cha ACT-Wazalendo kimesema kuwa uamuzi wa baadhi ya vyama kususia Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 ni sawa na kuipa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ushindi wa bure, hali itakayochangia kupatikana kwa viong . . .
Chama cha ACT Wazalendo kimewataka Watanzania kuwahoji na kuwapima watawala kwa msingi wa utekelezaji wa Katiba, hususan kifungu cha kupunguza umasikini wa wananchi, badala ya kuridhika na maneno ya k . . .
Serikali ya Kongo na waasi wa M23, wanaoungwa mkono na Rwanda, wametangaza siku ya Alhamisi kurejea kwa wajumbe wao nchini Qatar kwa mazungumzo ya amani, wakati Washington inataka kukomesha mapigano, . . .
UCHAGUZI mdogo unaokaribia katika eneo bunge la Mbeere Kaskazini, Kaunti ya Embu, unatarajiwa kuwa wa kusisimua huku upinzani ukimtangaza mwanamuziki kumenyana na wakili anayepigiwa debe na serikali.K . . .
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza ratiba ya uchujaji wa majina ya watia nia wake inayoanza kesho hadi Julai 19, 2025.Hatua hiyo ni baada ya kuhitimisha mchakato wa wanachama wake wa uchukuaji fomu . . .
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema waliochukua fomu kuomba ridhaa ya ubunge kupitia majimbo Tanzania Bara na Visiwani Zanzibar ni wanachama 4,109.Kimesema kati yao waliochukua Bara ni wanachama 3,585 . . .
MAAFISA wa serikali ya Marekani wametupilia mbali taarifa ya awali kutoka Ikulu ya White House inayodai kuwa Washington inazuia usafirishaji wa baadhi ya silaha kwenda Ukraine, wakati ambapo taifa hil . . .
BUNGE la Venezuela linaloungwa mkono na serikali limemtangaza Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Haki za Binadamu Volker Turk kuwa mtu asiyetakiwa nchini humo.Hatua hiyo imechukuliwa baada ya ripoti . . .
JESHI la Israel limepanua operesheni zake za kijeshi katika Ukanda wa Gaza, siku chache kabla ya ziara ya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, mjini Washington, Marekani.Operesheni hizo zimefany . . .
WAZIRI wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesema hakuna uwezekano wa nchi yake kurejea katika mazungumzo na Marekani kwa sasa, hadi pale itakapohakikishiwa usalama na kutoshambuliwa tena.Akizun . . .
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasis na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu akizungumza na wanachama, wafuasi na viongozi mbalimbali wa chama hicho muda mfupi baada ya kesi ya Uhaini kuahirishwa.Kesi ya hiy . . .
Askofu Emmaus Mwamakula ameongoza maombi ndani ya chumba cha mahakama kabla ya kuanza kesi ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu leo Julai 1, 2025.Ambapo ulinzi uli . . .
NJAA itawasakama wanajeshi kuanzia kesho Julai 1, 2025 baada ya serikali ya Rais William Ruto kuondoa mpango wa chakula cha bei nafuu katika Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF).Kulingana na taarifa ambayo . . .