Makamu Mwenyekiti wa Chadema John Heche amezungumza kuhusu yale yanayoendelea ndani ya chama cha demokrasia na Maendeleo Chadema akisema anakuja Mwanza kufanya ziara maalamu.Tazama zaidi hapa kuyasiki . . .
Aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum na Mwenyekiti wa Mwenyekiti wa BAWACHA Mkoa wa Kilimanjaro, Grace Kiwelu ametangaza kuachana na Chama cha Demokrasi na Maendeleo (CHADEMA).Kiwelu ambaye ni Mwenyekiti K . . .
Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa Tundu Lissu imeendelea tena leo, Jumanne Mei 06.2025 kwa ajili ya kutajwaAkizungumza mbele ya Mahakama katik . . .
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema hakina migogoro na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwani wanahusiana vizuri na chama hicho na kwenye chama cha vyama vya siasa (TCD)wanashiriki vizuri na . . .
Wito huo umetolewa na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha mapinduzi Taifa Mkoa wa Ruvuma MNEC Hemed Challe, akiwa mgeni rasmi kwenye Mahafali ya Seneti ya Vyuo Mkoani Ruvuma kupitia CCM, yaliyofany . . .
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania Bara John Heche ni mmoja wa Viongozi waandamizi wa Chama hicho waliofika gereza kuu la Ukonga kumuona Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu lissu aliyehamishiwa gerezani ha . . .
Chama cha NCCR Mageuzi Machi 29, 2025, kimetangaza kumteua Haji Ambar Khamis kuwa mgombea Urais wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania na Joseph Roman Selasini kuwa mgombea mwenza katika uchaguzi mkuu unao . . .
Tundu Lissu ametangazwa kuwa mshindi wa nafasi ya uenyekiti wa Chadema baada ya kupata kura 513 kati ya kura 996, sawa na asilimia 51.5.Freeman Mbowe yeye amepata kura 482 kati ya kura 996, sawa na as . . .
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Jumapili Januari 19, 2025 kimewapitisha makada wake 23 kuwania ujumbe wa Kamati Kuu.Hatua ya kupitishwa kwa wagombea hao, imekuja baada yakusailiwa katika . . .
Nchini Comoro, matokeo ya muda ya uchaguzi wa wabunge yamechapishwa jana, Jumanne Januari 14 jioni na Tume Huru ya taifa ya Uchaguzi baada ya kuchelewa kwa zaidi ya saa tatu kwa muda uliopangwa. Hali . . .
Aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema, amefichua taarifa za kushangaza kuhusu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe.Akizungumza na waandishi wa habari jiji . . .
Wabunge wa Ufaransa Jumatano wamepiga kura ya kuiondoa serikali ya waziri mkuu Michel Barnier baada ya miezi mitatu tu ikiwepo madarakani, katika hatua ya kihistoria ambayo inaiweka tena nchi hiyo kat . . .
Jeshi la Polisi Tanzania limetoa ufafanuzi kuhusu taarifa inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu kifo cha Ndg Modestus G Timbisimilwa ambaye alikuwa Mgombea Ujumbe Mchanganyiko wa Mtaa na Wakal . . .
. . .
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linamshikilia Gervas Eliewaha Mgonja, (42), Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Kilimanjaro kwa tuhuma za kutoa kauli za kuhamasisha W . . .
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.Deus Sangu amewahimiza wananchi wa Kata ya Zimba na Mtowisa kuchagua wagombea wa CCM ili kuendeleza miradi ya maendeleo . . .
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), jimbo la Bukoba Mjini Mkoani Kagera kimezindua rasmi kampeni zake za uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa kunadi sera zake huku mawakala wa Chama hicho wakita . . .
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, akiwasili leo tarehe 20 Novemba 2024 katika Viwanja vya Furahisha, jijini Mwanza, kwa ajili ya uzinduzi wa kampeni za uchaguzi w . . .
Wakaazi wa jimbo la Somaliland, lililojitenga na Somalia miaka 33 iliyopita, wanapiga kura leo kumchagua rais, kipindi hiki kukiwa na msukosuko wa kidiplomasia kai ya utawala wa Mogadishu na nchi jira . . .
Wagombea urais nchini Marekani, Kamala Harris na Donald Trump, wanaendelea na harakati za mwisho mwisho, kuelekea kwa uchaguzi wa Jumanne wiki ijayo, ambao unaelezwa kama wenye ushindani mkali zaidi.W . . .
Tume ya uchaguzi nchini Msumbiji inatarajiwa wakati wowote kuchapisha matokeo ya uchaguzi wa rais na bunge uliofanyika tarehe 9 mwezi huu. Hofu imetanda baada ya upinzani kuitisha maandamano kwa siku . . .
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, amekamatwa na Jeshi la Polisi Magomeni Mapipa Jijini Dar es salaam leo September 23,2024 baada ya kuonekana akiongea na Waandishi wa Habari ambapo sekunde chache . . .
Jeshi la Polisi limepiga marufuku maandamano yaliyotangazwa na Viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo – CHADEMA, yaliyotangazwa kufanyika Septemba 23, 2024 na kutia onyo kuwa yeyote atakayein . . .
RAIS wa zamani wa Amerika Donald Trump amemrejelea mgombea urais wa Chama cha Democrat Kamala Harris kama “mwanamke mrembo sana.”Akijadiliana na mmiliki wa mtandao wa X (zamani Twitter), bilionea . . .
Polisi Mkoani Mbeya wamemkamata Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na Mwenyekiti wa Baraza la Vijana CHADEMA ( BAVICHA), John Pambalu muda mfupi baada ya wawili hao kuwasili Songwe Airport leo Augus . . .