logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 10 masaa yaliopita

Delcy aapishwa kuwa Rais wa mpito Venezuela

Delcy Rodríguez ameapishwa kuwa Rais wa mpito wa Venezuela kufuatia kikao cha bunge kilichoanza kwa wito wa kutaka kuachiliwa kwa Rais aliyeelezwa kuondolewa madarakani Nicolás Maduro anayezuiliwa n . . .

Teknolojia
  • Na Asha Business
  • 11 masaa yaliopita

Ripoti "Robo ya wateja hawana imani na malipo ya data, SMS ya Safaricom"

TAKRIBANI robo ya wateja wa Safaricom (asilimia 23) hawana imani na ada wanazotozwa kwa matumizi ya data na jumbe fupi (SMS), kulingana na utafiti wa mdhibiti wa sekta unaoangazia mienendo ya utozaji . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 11 masaa yaliopita

Elon Musk ametoa Internet bure Venezuela

Bilionea namba moja duniani Elon Musk ametoa bure huduma ya internet kwa wananchi wa Venezuela.Ambapo huduma hii ametoa kuanzia january 3 hadi february 3 ikiwa ni juhudi za kuwaunga mkono wananchi wa . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 12 masaa yaliopita

Mama Maria Nyerere apokea nishani ya baba wa Taifa

Mjane wa Baba wa Taifa na Rais wa Kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Maria Nyerere amepokea nishani ya heshima kutoka Jamhuri ya Angola ya kutambua mchango wa Hayati Baba wa Taifa, Mwalim . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • 12 masaa yaliopita

Ripoti yasema majanga kutokana na mabadiliko ya tabia nchi yaongeza matatizo ya akili

RIPOTI ya Shirika la Afya Duniani (WHO) ya mwaka 2024 imeiweka Kenya katika nafasi ya nne barani Afrika kwa idadi ya watu walioathiriwa na matatizo ya afya ya akili, wanaokadiriwa kuwa milioni 1.9 huk . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 12 masaa yaliopita

Watu 29 wamefariki katika maandamano dhidi ya serikali Iran

Maandamano makubwa yanayoendelea nchini Iran yameingia wiki ya pili huku idadi ya watu waliopoteza maisha ikifikia 29, kwa mujibu wa taarifa za wanaharakati wa haki za binadamu.Watu 29 wamefariki duni . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 12 masaa yaliopita

Urusi na China zatoa wito kwa Marekani kumuachilia Maduro

Urusi na China zimetoa wito kwa Marekani kumuachilia kiongozi wa Venezuela Nicolás Maduro pamoja na mke wake Cilia Flores kufuatia kukamatwa kwao katika operesheni ya kijeshi ya Marekani iliyofanyika . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 12 masaa yaliopita

Maduro ajitetea mahakamani baada ya kukamatwa na Marekani

Kiongozi wa Venezuela Nicolás Maduro amejitangaza kuwa "rais halali wa Venezuela" wakati akipinga kukamatwa kwake nchini Marekani na amekanusha mashtaka mazito ya usafirishaji wa dawa za kulevya.Nico . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 12 masaa yaliopita

Waziri Mkuu Mwigulu Aagiza Upanuzi wa Nafasi kwa Wachezaji Wazawa Kujiandaa AFCON 2027

Waziri Mkuu wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba, ametoa agizo kwa wizara za michezo na mashirikisho ya soka nchini (TFF na ZFA) kuangalia upya kanuni za mashindano ili kuwapa nafasi zaidi wachezaji wazaw . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 12 masaa yaliopita

Rais Ndayishimiye akosoa matamshi ya Waziri wake kuhusu Qatar

Nchini Burundi, Rais Evariste Ndayishimiye alilazimika kumkemea waziri wake wa mambo ya nje baada ya waziri huyo kutuma ujumbe wa kuikosoa Qatar. Ujumbe huo uliochapishwa kwenye mitandao ya kijamii Ju . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • jana

Operesheni ya kumkamata Maduro yasababisha vifo 32

Cuba imethibitisha kuwa raia wake 32 waliuawa wakati wa operesheni ya Marekani ya kumkamata Nicolás Maduro.Nchi inayoongozwa kikomunisti ambayo inategemea mafuta ya Venezuela - ilikuwa ikisimamia uli . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • jana

Watatu familia moja wafariki kwa moto

Kaimu Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Mara, Agostino Magere amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kubainisha kuwa chanzo cha moto huo kinachunguzwa.Kaimu Kamanda wa Jeshi la Zimamoto . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • jana

Kacheri asakwa na polisi kwa kumuua mkewe

. . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • jana

Trump atoa onyo kali kwa Makamu wa Rais wa Venezuela

Rais wa Marekani Donald TrumP ametoa kauli kali dhidi ya Makamu wa Rais wa Venezuela Delcy Rodríguez akionyesha msimamo mkali wa Washington kuhusu uongozi wa Caracas.Katika mahojiano na  vyombo . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • jana

Zelensky aanza msururu wa mazungumzo ya amani

. . .

matukio
  • Na Asha Business
  • jana

Watu 114 wameuawa katika kipindi cha wiki moja Darfur

Watu 114 wameuwa nchini Sudan, baada ya kushuhudiwa kwa makabiliano makali kati ya wanajeshi wa wanamgambo wa RSF, Magharibi mwa jimbo la Darfur kwa kipindi cha wiki moja iliyopita.Madaktari wamethibi . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • jana

Kata ya Kirua, Vunjo na Mindu kupiga kura leo kuchagua madiwani

Jumla ya Wapiga Kura 20,851 walioandikishwa katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura watashiriki katika uchaguzi wa kuchagua madiwani katika Kata ya Kirua Vunjo Magharibi iliyopo katika Halmashauri ya . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Rais Trump amuonya kiongozi mpya wa Venezuela

Aliyekuwa rais wa Venezuela Nicolas Maduro aliyekamatwa pamoja mkewe Cilia Flores wakati wa operesheni maalum iliyotekelezwa na vikosi vya Marekani anatarajiwa kufikishwa Mahakamani siku ya Jumatatu, . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Wahanga wote wa moto nchini Uswisi wametambuliwa

Watu wote 40 waliokufa katika moto uliotokea kwenye baa wakati wa mkesha wa Mwaka Mpya nchini Uswisi wametambuliwa na mamlaka za nchi hiyo.Polisi nchini humo imesema vijana ndio waliokuwa wengi miongo . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Mwanamume wa Siaya Aliyemuua Chatu, Akampeleka Kituo cha Polisi Atapewa Fidia, KWS Wathibitisha

Mwanamume kutoka kijiji cha Sigomere katika kaunti ya Siaya amepata nafuu na faraja kufuatia kifo cha kusikitisha cha mbwa wake. Mwanamume huyo, aliyetambuliwa kama Charles Otieno Osore, alionyes . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Wapiganaji saba wauawa katika mashambulizi Yemen

Wapiganaji saba wa kundi la waasi wanaotaka kujitenga wameuawa katika mashambulizi ya angani huku muungano unaoongozwa na Saudi Arabia nchini Yemen ukijibu mashambulizi makali dhidi ya Baraza la Mpito . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Rais wa zamani wa Brazil Aruhusiwa Hospitali na Arudishwa Gerezani

Rais wa zamani wa Brazil Jair Bolsonaro ameondoka hospitalini katika Mji Mkuu wa Brasilia ikiwa ni wiki moja baada ya kufanyiwa upasuaji wa Ngiri mara mbili na kurudishwa Gerezani chini ya ulinzi wa P . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Polisi Waendelea na Uchunguzi Ajali ya Lori Morogoro

Polisi Mkoa wa Morogoro limetoa taarifa kwa umma kuwa linaendelea na uchunguzi wa ajali mbaya ya barabarani iliyotokea Desemba 31, 2025 majira ya jioni katika Kijiji cha Maseyu, Kata ya Gwata Wilaya y . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Boti Ya Wahamiaji Yapinduka Gambia 96 wameokolewa

Serikali ya Gambia imethibitisha kisa cha kusikitisha ambapo Boti iliyokuwa imebeba Wahamiaji zaidi ya 200 imeripotiwa kupinduka usiku wa manane mnamo Desemba 31 ,2025 karibu na Kijiji cha Jinack.Kwa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Binti wa Kim atembelea makaburi ya Kumsusan

Katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita, Ju Ae amekuwa akionekana mara kwa mara na kwa umaarufu mkubwa zaidi kwenye vyombo vya habari vya serikali, jambo ambalo limechochea nadharia kutoka kwa wacha . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Walimu wakuu wataka wizara irudi kwa mfumo wa zamani wa kuteua wanafunzi sekondari

WALIMU wakuu wa shule za upili sasa wanataka Wizara ya Elimu kutelekeza mfumo wa kitaifa wa kuteua wanafunzi wa Gredi 10 na kukumbatia mfumo ambapo shule zilisimamia uteuzi huo.Walimu hao wanasema mfu . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

TRA Yavunja Rekodi, Oktoba hadi Desemba Yakusanya Sh. Trilioni 9

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeendelea kuvunja rekodi yake yenyewe ya makusanyo kwa kukusanya kodi kiasi cha Sh. Trilioni 4.13 kwa mwezi Desemba pekee sawa na ufanisi wa asilimia 102.9 wa lengo l . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Urusi yasema droni za Ukraine zimeua 24 Kherson

Wizara ya Mambo ya Nje ya Urusi ilitaja tukio hilo kuwa “shambulio la kigaidi,” huku ikisema Rais Vladimir Putin amearifiwa.Mamlaka zilizowekwa na Urusi katika eneo la Kherson nchini Ukraine zimes . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa "DRC yarejea kama mwanachama asiye wa kudumu"

Mwanzoni mwa mwaka 2026, Somalia inachukua urais wa zamu wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa. Kama ilivyo kawaida, baadhi ya viti visivyo vya kudumu katika chombo hiki cha Umoja wa Mataifa hukali . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Watu 5 wauawa katika mashambulizi dhidi ya boti za madawa

Kwa mujibu wa Kamandi ya Kusini ya jeshi la Marekani, mashambulizi hayo yalifanyika Jumanne na kulenga msafara wa boti tatu hiuvyo  watu wote waliouawa walikuwa ndani ya boti moja.Jeshi la Mareka . . .

Kurasa 1 ya 132

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Mwakinyo Arejea Kileleni Afrika, Ashika Nafasi ya 37 Duniani (Middleweight)

    • 9 masaa yaliopita
  • Ole Gunnar Solskjær Ajiandaa Kurejea Man United kama Kocha wa Muda

    • 9 masaa yaliopita
  • Liam Rosenior Yupo Mbioni Kujiunga na Chelsea Kama Kocha Mkuu

    • 10 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode