SERIKALI imepanga kufanya msako dhidi ya makampuni yanayotafutia Wakenya ajira katika nchi za ughaibuni, hasa zile za Uarabuni. Kulingana na Waziri wa Leba, Bw Simon Chelugui, Wakenya takriban 97 w . . .
Polisi nchini Ghana walilazimika kuingilia kati kuyavunja maandamano ya kupinga kupanda kwa bei za mafuta, kodi ya malipo ya kielektroniki na ushuru mwingine wakati nchi hiyo ikikumbwa na mtikisik . . .
Uturuki imekubali kuondoa upinzani wake kwa Sweden na Finland kujiunga na Jumuiya ya Kujihami ya NATO, hatua inayomaliza mkwamo ambao ulikuwa umeiugubika ufunguzi wa mkutano wa kilele wa viongozi . . .
Mahakama moja ya Misri Jumanne imewahukumu kifo wanamgambo 10 wa kiislamu waliokutwa na hatia inayohusiana na vitendo vya ugaidi chanzo cha mahakama kimesema. Wanaume hao ambao walishtak . . .
Vyombo vya habari nchini Korea Kaskazini vimeripoti kuwa raia wa nchi hiyo wanaendelea na juhudi za kuyalinda mazao na vifaa vyao kufuatia mvua kubwa inayonyesha nchini humo. Waangalizi wa kimatai . . .
Maafisa wa polisi eneo la Mikindu, Kaunti ya Meru wameanzisha uchunguzi baada ya afisa mkuu wa polisi kupatikana akiwa amefariki dunia katika nyumba ya mpenzi wake Jumamosi, Juni 25.Sajenti mkuu Moses . . .
URUSI imeshindwa kulipa deni lake la kitaifa kwa mara ya kwanza katika karne moja iliyopita. Hali imetajwa kuchangiwa na vikwazo vingi vya kifedha ilivyowekewa na mataifa ya Magharibi. Taifa hilo li . . .
Waziri Mkuu wa zamani wa Tunisia na afisa mkuu wa chama cha Ennahdha chenye kufuata misingi ya kiislam, Hamadi Jebali aliachiliwa huru siku ya Jumatatu ikiwa ni siku ya nne baada ya kukamatwa kw . . .
Muswada wa Sheria ya Fedha ya mwaka 2022 unaoanza kujadiliwa leo umependekeza faini ya Sh100,000 kwa kampuni itakayoshindwa kuwasilisha taarifa za wamiliki wanufaika au kuwasilisha ritani.Adhabu . . .
Viongozi wa nchi 7 tajiri duniani wameahidi kutenga kiasi cha dola bilioni 600 kwa ajili ya kujenga miundo mbinu ya kupamabana na athari za mabadiliko ya tabia ya nchi. Mradi huo unazing . . .
“Hapa kuna watu wametoa ushuhuda na mimi nataka nitoe wangu. Mimi mwenzenu nilijiunga na EOTF mwaka 1997 nikiwa kama mmoja wa Bodi ya Wadhamini ni kiwa kijana kisichana machachari sana lakini ni . . .
Rais wa Niger Mohamed Bazoum siku ya Jumapili alipongeza maendeleo katika kupambana na Boko Haram na wapiganaji wa kundi la Islamic State West Africa Province akisema wanashinda vita hivi. Bazou . . .
Serikali imepunguza tozo ya ving’amuzi nchini kufikia Sh500 hadi Sh2000 kwa kadri ya matumizi ya mteja baada ya majadiliano na Kamati ya Bunge ya Bajeti.Kabla ya majadiliano hayo tozo iliyopen . . .
Rais wa zamani wa Afrika Kusini Jacob Zuma anapanga kupinga ripoti ya mahakama kuhusu uchunguzi wa ufisadi mwingi uliojitokeza katika utawala wake wa miaka tisa. Msemaji wa Zuma amewaambia waandis . . .
Wanaharakati wa kutetea haki za binadamu wa Morocco AMDH, wametaka uchunguzi ufanywe kufuatia vifo vya wahamiaji 23 wa kiafrika walipokuwa wakijaribu kuingia katika uzio wa Melilla nchini Uhispani . . .
Bunge la Somalia limemuidhinisha bila kupingwa Hamza Abdi Barre kuwa waziri mkuu wa 21 wa nchi hiyo. Wabunge wote 220 waliokuwemo bungeni walipiga kura na kuunga mkono uteuzi wa Barre. Kwenye hotu . . .
MARAIS wa Afrika Mashariki wameidhinisha kuundwa kwa kikosi maalum cha kudumisha amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). Katika mkutano uliofanyika katika Ikulu ya Nairobi, marais ha . . .
Kamishna wa Uhifadhi wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania – TFS Prof. Dos Santos Silayo ametoa wito kwa wataalamu wa sekta ya misitu Barani Afrika kufanya tafiti na kuzichapisha kwenye machapi . . .
Kampuni ya nishati ya Glencore imekiri jana kutoa rushwa ya dola milioni 26.5 kwa mataifa matano ya Afrika katika juhudi zake za kupata mafuta na kutengeneza faida isiyo halali. Ofisi ya makosa ma . . .
Rais wa Marekani Joe Biden amezungumza kwa simu na rais mpya wa Colombia Gustavo Petro hapo jana, na kuzungumzia ushirikiano katika masuala ya usalama, usafirishaji wa dawa za kulevya na mabadilik . . .
Rais wa Indonesia na Mwenyekiti wa kundi la nchi G20 zilizoendelea zaidi na zinazoendelea kiuchumi, Joko Widodo, hivi karibuni atafanya ziara nchini Ukraine na Urusi kujadili . . .
Mwanamfalme wa Saudia Mohammed bin Salman anatarajiwa kufanya kuzuru Uturuki Jumatano hii, Juni 22 kwa ziara ya kiserikali ambapo atapokelewa na Rais Recep Tayyip Erdogan. . . .
Rais wa Malawi Lazarius Chakwera Jumanne amempokanya mamlaka yote makamu wake Saulos Chilima baada ya kiongozi huyo kutajwa katika kashfa ya ufisadi iliyoisisimua nchi hiyo. Uchunguzi u . . .
Makampuni ya Saudi Arabia na Misri yalisaini mikataba yenye thamani ya dola bilioni 7.7 wakati wa ziara ya mwanamfalme wa Saudia mjini Cairo, vyombo vya habari vya serikali katika nchi hizo mbil . . .
Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina ameendelea kuing'ang'ania Wizara ya Nishati kuhusu mradi wa bwawa la umeme la Mwalimu Julius Nyerere safari hii alitaka iundwe tume ya kuchunguza.Mpina ametoa . . .
Kwa mara ya pili katika historia ya Marekani, Juni 19 maarufu kama “Juneteenth,” ni siku rasmi ya sikukuu ya serikali kuu. Lakini Wamarekani Weusi wamekuwa wakiadhimisha siku hii tangu . . .
Serikali imetaja sababu za kufutika kwa maandishi kwenye risiti za mashine ya kodi ya kielektroniki (EFD) kwamba inatokana na kuchapwa kwenye karatasi zisizokuwa na ubora.Kauli hiyo imetolew . . .
Binti mkubwa wa Rais wa Ufilipino anayeondoka madarakani Rodrigo Duterte ameapishwa kuwa makamu wa rais wa nchi hiyo.Sara Duterte ameapa kuwaunganisha Wafilipino katika hafla ya kuapishwa kwake mji . . .
Raia wa Colombia watampigia kura rais mpya leo Jumapili katika uchaguzi uliojaa sintofahamu. Mwanaharakati wa zamani Gustavo Petro na mfanyabiashara milionea Rodolfo Hernandez wanawania mamlaka ka . . .
Serikali ya Ujerumani imefahamisha leo jumapili kuwa itachukua hatua za dharura ili kuhakikisha inakidhi mahitaji yake ya nishati baada ya kupungua kwa usambazaji wa gesi kutoka Urusi. Miongoni mw . . .