logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • jana

Maajenti wa kazi Uarabuni kuchunguzwa

SERIKALI imepanga kufanya msako dhidi ya makampuni yanayotafutia Wakenya ajira katika nchi za ughaibuni, hasa zile za Uarabuni. Kulingana na Waziri wa Leba, Bw Simon Chelugui, Wakenya takriban 97 w . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • jana

Polisi yavunja maandamano dhidi ya hali ngumu kiuchumi Ghana

Polisi nchini Ghana walilazimika kuingilia kati kuyavunja maandamano ya kupinga kupanda kwa bei za mafuta, kodi ya malipo ya kielektroniki na ushuru mwingine wakati nchi hiyo ikikumbwa na mtikisik . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • jana

Uturuki yaridhia Sweden, Finland kujiunga na NATO

Uturuki imekubali kuondoa upinzani wake kwa Sweden na Finland kujiunga na Jumuiya ya Kujihami ya NATO, hatua inayomaliza mkwamo ambao ulikuwa umeiugubika ufunguzi wa mkutano wa kilele wa viongozi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • jana

Mahakama ya Misri yatoa hukumu ya kifo kwa wanamgambo 10 wa kiislamu

Mahakama moja ya Misri Jumanne imewahukumu kifo wanamgambo 10 wa kiislamu waliokutwa na hatia inayohusiana na vitendo vya ugaidi chanzo cha mahakama kimesema. Wanaume hao ambao walishtak . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Korea Kaskazini yakabiliwa na mafuriko katikati ya mlipuko wa Covid-19

Vyombo vya habari nchini Korea Kaskazini vimeripoti kuwa raia wa nchi hiyo wanaendelea na juhudi za kuyalinda mazao na vifaa vyao kufuatia mvua kubwa inayonyesha nchini humo. Waangalizi wa kimatai . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Afisa Mkuu wa Polisi Apatikana Ameuawa Nyumbani kwa Mpenzi Wake

Maafisa wa polisi eneo la Mikindu, Kaunti ya Meru wameanzisha uchunguzi baada ya afisa mkuu wa polisi kupatikana akiwa amefariki dunia katika nyumba ya mpenzi wake Jumamosi, Juni 25.Sajenti mkuu Moses . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Urusi yalemewa kulipa madeni yake ya kigeni

URUSI imeshindwa kulipa deni lake la kitaifa kwa mara ya kwanza katika karne moja iliyopita. Hali imetajwa kuchangiwa na vikwazo vingi vya kifedha ilivyowekewa na mataifa ya Magharibi. Taifa hilo li . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Waziri Mkuu wa zamani wa Tunisia Hamadi Jebali ameachiwa huru lakini anaendelea kuchunguzwa

Waziri Mkuu wa zamani wa Tunisia na afisa mkuu wa chama cha Ennahdha chenye kufuata misingi ya kiislam, Hamadi Jebali aliachiliwa huru siku ya Jumatatu ikiwa ni siku ya nne baada ya kukamatwa kw . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

WAKUTANA NACHO WAFANYA BIASHARA

Muswada wa Sheria ya Fedha ya mwaka 2022 unaoanza kujadiliwa leo umependekeza faini ya Sh100,000 kwa kampuni itakayoshindwa kuwasilisha taarifa za wamiliki wanufaika au kuwasilisha ritani.Adhabu . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Viongozi wa G7 waahidi dola bilioni 600 za kujenga miundo mbinu

Viongozi wa nchi 7 tajiri duniani wameahidi kutenga kiasi cha dola bilioni 600 kwa ajili ya kujenga miundo mbinu ya kupamabana na athari za mabadiliko ya tabia ya nchi. Mradi huo unazing . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Lifti ya gari ilivyofungua mlango kwa Rais Samia

“Hapa kuna watu wametoa ushuhuda na mimi nataka nitoe wangu. Mimi mwenzenu nilijiunga na EOTF mwaka 1997 nikiwa kama mmoja wa Bodi ya Wadhamini ni kiwa kijana kisichana machachari sana lakini ni . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Rais wa Niger Mohamed Bazoum amepongeza mafanikio ya mapambano dhidi ya Boko Haram

Rais wa Niger Mohamed Bazoum siku ya Jumapili alipongeza maendeleo katika kupambana na Boko Haram na wapiganaji wa kundi la Islamic State West Africa Province akisema wanashinda vita hivi. Bazou . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Serikali yapunguza tozo ya ving’amuzi

Serikali imepunguza tozo ya ving’amuzi nchini kufikia Sh500 hadi Sh2000 kwa kadri ya matumizi ya mteja baada ya majadiliano na Kamati ya Bunge ya Bajeti.Kabla ya majadiliano hayo tozo iliyopen . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Jacob Zuma kupinga ripoti ya ufisadi dhidi yake

Rais wa zamani wa Afrika Kusini Jacob Zuma anapanga kupinga ripoti ya mahakama kuhusu uchunguzi wa ufisadi mwingi uliojitokeza katika utawala wake wa miaka tisa. Msemaji wa Zuma amewaambia waandis . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Wanaharakati Morocco wataka uchunguzi kuhusu vifo vya wahamiaji

Wanaharakati wa kutetea haki za binadamu wa Morocco AMDH, wametaka uchunguzi ufanywe kufuatia vifo vya wahamiaji 23 wa kiafrika walipokuwa wakijaribu kuingia katika uzio wa Melilla nchini Uhispani . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Bunge la Somalia lamuidhinisha Barre kuwa waziri mkuu mpya

Bunge la Somalia limemuidhinisha bila kupingwa Hamza Abdi Barre kuwa waziri mkuu wa 21 wa nchi hiyo. Wabunge wote 220 waliokuwemo bungeni walipiga kura na kuunga mkono uteuzi wa Barre. Kwenye hotu . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • June 22, 2022

Marais wa EAC waunda kikosi cha kulinda amani DRC

MARAIS wa Afrika Mashariki wameidhinisha kuundwa kwa kikosi maalum cha kudumisha amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). Katika mkutano uliofanyika katika Ikulu ya Nairobi, marais ha . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • June 22, 2022

Kamishna wa Uhifadhi atoa wito kwa wataalamu wa sekta ya misitu Barani Afrika

Kamishna wa Uhifadhi wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania – TFS Prof. Dos Santos Silayo ametoa wito kwa wataalamu wa sekta ya misitu Barani Afrika kufanya tafiti na kuzichapisha kwenye machapi . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • June 22, 2022

Kampuni ya nishati ya Glencore ya Uingereza yakiri kutoa rushwa Afrika ili kupata mafuta

Kampuni ya nishati ya Glencore imekiri jana kutoa rushwa ya dola milioni 26.5 kwa mataifa matano ya Afrika katika juhudi zake za kupata mafuta na kutengeneza faida isiyo halali. Ofisi ya makosa ma . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 22, 2022

Biden azungumza na rais mpya wa Colombia na kusisitiza ushirikiano

Rais wa Marekani Joe Biden amezungumza kwa simu na rais mpya wa Colombia Gustavo Petro hapo jana, na kuzungumzia ushirikiano katika masuala ya usalama, usafirishaji wa dawa za kulevya na mabadilik . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 22, 2022

Rais wa Indonesia Joko Widodo kuzuru Kyiv na Moscow

Rais wa Indonesia na Mwenyekiti wa kundi la nchi G20 zilizoendelea zaidi na zinazoendelea kiuchumi, Joko Widodo, hivi karibuni atafanya ziara nchini Ukraine na Urusi kujadili . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 22, 2022

Mohammed bin Salman ziarani nchini Uturuki miaka minne baada ya kuuawa kwa Khashoggi

Mwanamfalme wa Saudia Mohammed bin Salman anatarajiwa kufanya kuzuru Uturuki Jumatano hii, Juni 22 kwa ziara ya kiserikali ambapo atapokelewa na Rais Recep Tayyip Erdogan. . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 22, 2022

MAKAMU WA RAISI WA MALAWI APOKONYWA MAMLAKA

Rais wa Malawi Lazarius Chakwera Jumanne amempokanya mamlaka yote makamu wake Saulos Chilima baada ya kiongozi huyo kutajwa katika kashfa ya ufisadi iliyoisisimua nchi hiyo. Uchunguzi u . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 22, 2022

Mistri na Saudia wasaini mikataba ya dola bilioni 7

Makampuni ya Saudi Arabia na Misri yalisaini mikataba yenye thamani ya dola bilioni 7.7 wakati wa ziara ya mwanamfalme wa Saudia mjini Cairo, vyombo vya habari vya serikali katika nchi hizo mbil . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • June 20, 2022

Mpina aikomalia Wizara ya Nishati

Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina ameendelea kuing'ang'ania Wizara ya Nishati kuhusu mradi wa bwawa la umeme la Mwalimu Julius  Nyerere safari hii alitaka iundwe tume ya kuchunguza.Mpina ametoa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 20, 2022

Siku ambayo minyororo ya utumwa ilipofikia kikomo

Kwa mara ya pili katika historia ya Marekani, Juni 19 maarufu kama “Juneteenth,” ni siku rasmi ya sikukuu ya serikali kuu. Lakini Wamarekani Weusi wamekuwa wakiadhimisha siku hii tangu . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • June 20, 2022

Serikali yataja sababu risiti za EFD kufutika maandishi

Serikali imetaja sababu za kufutika kwa maandishi  kwenye risiti za mashine ya kodi ya kielektroniki (EFD) kwamba inatokana na kuchapwa kwenye karatasi zisizokuwa na ubora.Kauli hiyo imetolew . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 20, 2022

Sara Duterte aapishwa kuwa makamu wa rais

Binti mkubwa wa Rais wa Ufilipino anayeondoka madarakani Rodrigo Duterte ameapishwa kuwa makamu wa rais wa nchi hiyo.Sara Duterte ameapa kuwaunganisha Wafilipino katika hafla ya kuapishwa kwake mji . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • June 19, 2022

Colombia kufanya uchaguzi wa Rais leo Jumapili

Raia wa Colombia watampigia kura rais mpya leo Jumapili katika uchaguzi uliojaa sintofahamu. Mwanaharakati wa zamani Gustavo Petro na mfanyabiashara milionea Rodolfo Hernandez wanawania mamlaka ka . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 19, 2022

Ujerumani kuchukua hatua za dharura ili kukidhi mahitaji yake ya nishati

Serikali ya Ujerumani imefahamisha leo jumapili kuwa itachukua hatua za dharura ili kuhakikisha inakidhi mahitaji yake ya nishati baada ya kupungua kwa usambazaji wa gesi kutoka Urusi. Miongoni mw . . .

Kurasa 1 ya 28

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Marekani yafungua uchunguzi baada ya wahamiaji 51 kufa kwa joto ndani ya Trela

    • jana
  • Maajenti wa kazi Uarabuni kuchunguzwa

    • jana
  • Samboja awindwa tena kuhusu cheti cha chuo kikuu baada ya kuponyoka

    • jana

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P.O BOX 1334,
Malimbe-Luchelele,
Mwanza-Tanzania.

info@jembenijembe.com

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created By ZEDCODE Email: dammedeggers7777@gmail.com