logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
AFYA
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

MKUTANO MKUU WA WAFANYAKAZI WA MOI WAFANYIKA

Mkutano Mkuu wa mwaka wa wafanyakazi wote wa Taasisi ya MOI umefanyika leo  Oktoba 03 mwaka huu katika ukumbi wa CPL Muhimbili jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na wafanyakazi kutoka vitengo m . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Mwalimu ndio nguzo kuu ya maendeleo

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa walimu ni nguzo kuu ya maendeleo ya taifa lolote hapa duniani kwani ndio wanaotoa rasilimaliwatu yenye elimu ambayo ni muhimu zaidi ya Taifa.Amesema kuwa mafa . . .

Dini
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Sarah Mullally ateuliwa kuwa Askofu Mkuu kanisa la Anglikana Duniani

Mhashamu Askofu Sarah Mullally ameteuliwa kuwa Askofu Mkuu wa Canterbury Muadhama Mkuu Sarah Mullally anakuwa ni mwanamke wa kwanza kuwa Askofu Mkuu wa Canterbury.Hivyo anakuwa Askofu Mkuu wa 106 kuto . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

"Happy boyfriend day "sema neno moja kwa umpendae

Dunia leo inaadhimisha Boyfriend Day, siku maalumu inayotambuliwa kila mwaka tarehe 3 Oktoba kwa ajili ya kuwakumbuka na kuwasherehekea wanaume waliopo kwenye mahusiano na wanawake.Leo ndiyo siku tuna . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Watoto Watatu Wafariki Dunia kwa ajali ya moto Kibaha

Watoto watatu wamefariki dunia baada ya nyumba ya ghorofa moja kuteketea kwa moto katika Mtaa wa Kitende, Kwa Mfipa, Wilaya ya Kibaha, Mkoa wa Pwani.Tukio hilo lilitokea majira ya saa 10:00 alasiri ka . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Tanzania ,Ufaransa kushirikiana kilimo ikolojia

 SERIKALI ya Ufaransa itaendelea kushirikiana na Tanzania katika kilimo ikolojia kinachohifadhi ardhi na mazingira kwa lengo la kuongeza uzalishaji na upatikanaji wa uhakika wa usalama wa ch . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Maandamano ya Gen Z nchini Morocco yaingia siku ya tano

Vijana waliokuwa wamefunika nyuso zao wamekabiliana na polisi na kusababisha uharibifu wa mali katika miji kadhaa nchini Morocco wakati maandamano ya kuipinga serikali yakiendelea kwa siku ya tano mfu . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Maandamano Italia baada ya Israel kuzuia meli ya misaada

Maandamano makubwa yamezuka nchini Italia kufuatia hatua ya Israel kuzuia msafara wa meli uliokuwa umebeba misaada kuelekea ukanda wa Gaza.Mjini Rome, maelfu ya waandamanaji walikusanyika jana jioni n . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

WHO yatangaza vifo 42 kufuatia mlipuko wa hivi punde wa Ebola nchini DRC

Mlipuko mpya wa Ebola umekuwa ukiendelea tangu mapema mwezi Septemba nchiniJamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, katika Mkoa wa Kasai. Kulingana na Shirika la Afya Duniani (WHO), watu 42 wamefariki kati y . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Vyuo vikuu vyatakiwa kuunganisha nguvu mabadiliko ya tabianchi

KATIBU Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Carolyne Nombo amevitaka vyuo vikuu nchini kuunganisha nguvu katika kufanya tafiti za pamoja ili kukabiliana na changamoto mbalimbali hasa z . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Serikali ya Zanzibar kuendeleza miradi ya kimkakati katika sekta ya nishati

 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali itaendeleza miradi ya kimkakati katika sekta ya nishati ili kuhakikisha Zanzibar inakuwa na umeme . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Majaji, mahakimu na waendesha mashtaka wa Tanzania wapewa Elimu ya ushirikiano makosa ya jinai

Chuo cha Uongozi wa Mahakama Lushoto (IJA) kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Italia ( Sant’Anna School of Advanced Studies -Scuola) kupitia ufadhili wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kim . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Mabasi ya Mwendokasi zaidi ya 200 kuingia barabarani

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amewataka wananchi kuwa watulivu na wavumilivu wakati Serikali ikiendelea kushughulikia changamoto ya usafiri wa Mwendokasi, hususan katika kituo cha K . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Joseph Kabila ahukumiwa kifo kwa uhaini

Mahakama ya kijeshi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imemhukumu kifo aliyekuwa rais wa nchi hiyo Joseph Kabila baada ya kumtia hatiani kwa makosa kadhaa makubwa yakiwemo uhaini, uasi na uhalifu . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Deni lililofichwa nchini Senegal: Macky Sall aanzisha mjadala

Aliyekuwa rais wa Senegal Macky Sall, wakati wa mahojiano yake nje ya nchi, amezungumza kwa mara ya kwanza kuhusu deni lililoikabili Senegal. Baada ya kuondoka kwa rais huyo wa zamani, mamlaka ya Sene . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Maelfu ya waandamanaji waandamana na kumtaka Rajoelina ajiuzulu

Watu zaidi na zaidi wanajiunga na vuguvugu la maandamano yanayotikisa mji mkuu wa Madagascar, Antananarivo. Licha ya tangazo la Andry Rajoelina siku ya Jumatatu, Septemba 29, la kufutwa kwa serikali n . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Serikali Yalenga Kuifanya Elimu ya Juu Kuwa ya Ushindani Kimataifa

Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeeleza kuwa inaendelea kutekeleza ajenda yake ya kuifanya elimu ya juu nchini kuwa ya ushindani katika ngazi ya kimataifa kupitia utekelezaji mpango wa Umataif . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Raila aanza kulinda gome zake

KIONGOZI wa chama cha ODM Raila Odinga ameanza kulinda ngome zake za kisiasa dhidi ya uwezekano wa kuvamiwa na mshirika wake Rais William Ruto.Bw Odinga ameanza harakati kali za kukifufua chama chake . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Mamlaka ya Taliban yazima mtandao wa intaneti

Mamlaka ya Kiislam ya Taliban nchini Afghanistan imeamuru kuzimwa kwa mkongo wa taifa wa intaneti "hadi kutakapotangazwa vinginevyo."Mapema chanzo cha serikali kilichozungumza na shirika la habari la . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Netanyahu aukubali mpango wa amani wa rais Donald Trump

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesema anaunga mkono pendekezo la mpango wa amani kwenye Ukanda wa Gaza baada ya mazungumzo na Rais Trump siku ya Jumatatu.Hata hivyo wakuu hao wawili wametah . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 7 siku zilizopita

WAZIRI KOMBO AMPOKEA RASMI WAZIRI WA MAMBO YA NJE NA BIASHARA WA HUNGARY

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo amempokea rasmi Waziri wa Mambo ya Nje na Biashara wa Hungary, Mhe. Péter Szijjártó baada ya kuwasili kati . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 7 siku zilizopita

WAHAMIAJI HARAMU ZAIDI YA 190 WAKAMATWA MKOANI DODOMA. ? ?

‎Idara ya Uhamiaji Mkoa wa Dodoma imefanikiwa kuwakamata wahamiaji haramu zaidi ya 190 kutoka mataifa mbalimbali kwa kipindi cha septemba 2025 kufuatia Oparesheni Maalumu inayoendelea nchi nzima.‎ . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Chama tawala cha Moldova chaongoza uchaguzi wa bunge

Chama tawala cha Moldova na kinachounga mkono Umoja wa Ulaya kinaongoza kwenye uchaguzi wa bunge hii ikiwa ni kulingana na kura ambazo tayari zimehesabiwa hadi mapema siku ya Jumatatu.Uchaguzi wa Juma . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Netanyahu kukutana na Trump huku Israel ikikabiliwa na ukosoaji kutokana na vita vya Gaza

Waziri Mkuu wa Israel anatarajia kukutana leo Jumatatu na mwenzake wa Marekani Donald Trump kuhusu vitra vya Gaza, baada ya kuelemewa na ukosoaji kutoka nje ya nchi kutokana na vita hivyo. Hata hivyo . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Paul Biya hakuonekana wakati kampeni za uchaguzi mkuu zikianza

Wakati kampeni za uchaguzi mkuu ziking’oa nanga mwishoni mwa juma lililopita nchini Cameroon, kiongozi mkongwe wa taifa hilo Paul Biya anayewania kuchaguliwa kwa muhula wa nane hakuonekana.Kwa mujib . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • September 28, 2025

Droni zisizofahamika zashuhudiwa tena Denmark

Wizara ya ulinzi ya Denmark imesema droni zimeshuhudiwa katika baadhi ya kambi zake za jeshi usiku wa kuamkia Jumamosi. Droni hizo zimeonekana siku chache baada ya droni nyingine tatu zilizoshuhudiwa . . .

UTALII
  • Na Asha Business
  • September 28, 2025

Tuzo za Serengeti Awards Kufanyika Disemba 19 jijini Arusha

KATIBU Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi, amesema Tuzo za Uhifadhi na Utalii maarufu kama Serengeti Awards zitafanyika Disemba 19, 2025 jijini Arusha.Akizungumza na waandishi wa h . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • September 28, 2025

Iran yarejeshewa vikwazo vya Umoja wa Mataifa 'kutokana na kushindwa mpango wake wa nyuklia

Vikwazo vya Umoja wa Mataifa dhidi ya Iran vimerejeshwa rasmi siku ya Jumapili, Septemba 29 usiku wa manane, kufuatia kushindwa kwa mazungumzo na nchi za Magharibi, ambazo zinadai kuhakikishiwa juu ya . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • September 26, 2025

Baraza la Usalama kupiga kura kuhusu vikwazo dhidi ya Iran

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa litapiga kura leo Ijumaa asubuhi juu ya azimio la kuchelewesha kurejeshwa kwa vikwazo vya kimataifa dhidi ya Iran, inayoshutumiwa na Ufaransa, Ujerumani na Uinger . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • September 26, 2025

Donald Trump asema 'hataruhusu Israel kuteka Ukingo wa Magharibi'

Donald Trump amebainisha siku ya Alhamisi, Julai 25, kwamba "hataruhusu Israel kutwaa Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu," hatua iliyotakiwa na mawaziri wa siasa kali za mrengo wa kulia wa Isra . . .

Kurasa 1 ya 117

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • YAS WAIPAMBA LAKE VICTORIA MARATHON MSIMU WA 5

    • 21 masaa yaliopita
  • Yatambue Mambo Sita Yasiyopaswa Kufanywa Wakati Wa Ujauzito

    • 2 siku zilizopita
  • Ibrahim Bacca Afungiwa na TFF Mechi 5 kwa kucheza Rafu Mbaya

    • 2 siku zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode