Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, ameitaka Bodi ya Usajili wa Makandarasi (CRB), kuwachukulia hatua makandarasi wazembe wanaosababisha hasara na athari kwa Serikali na wananchi kwa kutokamilisha mirad . . .
Wizara ya Mambo ya Ndani ya DRC inabainisha kwamba mahakama imeombwa kufutwa kwa vyama kadhaa vya siasa, ikiwa ni pamoja na kile cha PPRD cha Joseph Kabila. Uamuzi ambao upinzani unakiona kama vurugu . . .
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekutana na Waziri Mkuu wa Côte d’Ivoire, Robert Beugre Mambe na kujadiliana naye masuala ya kidiplomasia, kiuchumi, teknolojia, kilimo na michezo kwenye kikao kilichof . . .
Rais wa zamani wa Uruguay aliyeiongoza nchi hiyo kati ya mwaka 2010-2015 akijulikana kama ‘Rais maskini zaidi duniani’ kutokana na kuishi maisha yake ya kawaida kabisa, José Mujica, “Pepe”, a . . .
Papa Leo wa XIV na Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky wamezungumza kwa njia ya simu leo kufuatia wito wa Papa akitaka “kila juhudi kufanyika” ili kufanikisha amani ya kweli na ya kudumu, kwa mujib . . .
Tume Huru ya Uchaguzi imetangaza mabadiliko makubwa ya kiutawala katika mipaka ya majimbo ya uchaguzi nchini, ikiwemo mabadiliko ya majina ya majimbo 12 na kuanzishwa kwa majimbo mapya 8.Kwa mujibu wa . . .
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan leo Jumapili Mei 11, 2025 amewaongoza Watanzania, kuaga kitaifa mwili wa Makamu wa Rais wa Kwanza na Waziri Mkuu Mstaafu, Mzee Cleopa . . .
Mkurugenzi wa Idara ya Mawasiliano Ikulu ya Zanzibar na Msemaji Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Charles Hillary amefariki dunia alfajiri ya leo, Mei 11, 2025.Taarifa za kifo chake zimetolew . . .
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ametuma salamu za pongezi kwa Rais wa Shirikisho la Urusi, Mhe. Vladimir Putin, kwa kuadhimisha Siku ya Ushindi (Victory Day) tarehe . . .
Serikali ya Tanzania imetoa tamko kuhusu azimio lililopitishwa na Bunge la Ulaya tarehe 8 Mei 2025 kuhusu kesi za kisheria zinazoendelea nchini, ikieleza kutoridhishwa na hatua hiyo kwa kuwa Bunge hil . . .
Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Musukuma, amepongeza uongozi wa Rais mstaafu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Leodgar Tenga, akisema kuwa ametoa mchango mkubwa katika kuendeleza michez . . .
Rais Samia Suluhu Hassan amelitangazia taifa kifo cha Mzee Cleopa David Msuya, aliyewahi kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Tanzania na Waziri Mkuu, kilichotokea leo Mei 7, 2025 majira ya saa tatu asubu . . .
Mwenyekiti wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Mkoa wa Ruvuma, Wakili Eliseus Ndunguru, amesema kuwa kutokujua sheria hakuwezi kuwa kinga ya kutokuwajibika kisheria, akibainisha kuwa sheria hutun . . .
Marekani imethibitisha kupokea rasimu ya makubaliano ya amani kati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na Rwanda. Tangazo hilo limetolewa Jumatatu, Mei 5, na Massad Boulos, Mshauri Mkuu wa masua . . .
Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) iko tayari kutoa uamuzi wake kuhusu malalamiko ya Sudani dhidi ya Falme za Kiarabu Mei 5, 2025. Khartoum imeishtaki UAE mbele ya Mahakama ya Kimataifa ya Haki ya Ha . . .
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amesema Serikali inalaani vikali na kukemea tukio la kushambuliwa na kuumizwa Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) Padr . . .
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Chama cha Mapinduzi, Waziri Mkuu na Mbunge wa Jimbo la Ruangwa, Kassim Majaliwa amesema kuwa Wilaya hiyo haina deni na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kutokana n . . .
Mkuu wa jeshi la Uganda amedai kwamba ni yeye alimteka mlinzi wa kiongozi wa upinzani Bobi Bobi Wine na kwamba anamtesa kwenye eneo lake na kuegesha magari.Matamshi ya Muhoozi Kainerugaba yamejiri baa . . .
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametangaza kuwa Serikali itaongeza kima cha chini cha mshahara kwa watumishi wa umma kwa asilimia 35.1.Rais Dkt. Samia amesema kuw . . .
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amekabidhi Zawadi ya Vikombe kwa Washindi wa michezo Mbalimbali wakati wa Maadhimisho ya Sherehe za Mei Mosi Kitaifa yaliyofanyika Viwa . . .
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Innocent Bashungwa ametoa wito kwa Watanzania kuelewa kuwa matumizi ya 'Mahakama Mtandao' wakati mwingine yanafanyika kama sehemu ya mkakati wa vyombo vya ulinzi na us . . .
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ametoa wito kwa Waandishi wa Habari nchini kutumia Akili Mnemba (Artificial Inteligence) kama nyenzo ya kuwawezesha kutekeleza majukumu yao ipasavyo na sio kikwazo cha uhu . . .
Rais wa Urusi, Vladimir Putin, ametoa kauli kali ya kuunga mkono uongozi wa Rais Ibrahim Traoré wa Burkina Faso, akipinga vikali hatua yoyote ya nje ya nchi za Magharibi dhidi yake.“Hakuna kitu kit . . .
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 29 Aprili, 2025. . . .
Kwa mara ya kwanza katika kipindi cha zaidi ya miezi saba, Korea Kaskazini imekiri rasmi leo Jumatatu, Aprili 28, kupitia shirika la habari la serikali KCNA, kwamba ilituma wanajeshi kusaidia vikosi v . . .
Nchini Mali, awamu ya kitaifa ya mashauriano ya "vyama vya siasa" nchini humo kuhusu mapitio ya Mkataba wa Vyama vya Kisiasa vya Mali imefunguliwa siku ya Jumatatu, Aprili 28, 2025 katika Kituo cha Mi . . .
Mheshimiwa Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete yuko mjini Boston, Marekani, ambako anashiriki katika kutoa mafunzo kwa Mawaziri wa Fedha na Mawhttps://globalpublishers.co.tz/aziri wa Mipango kutok . . .
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko akisalimiana na Askofu wa Mafinga, Mhashamu Vincent Mwagala wakati alipowasili katika Ibada ya kumsimika na kumuweka wakfu Askofu wa Jimbo la I . . .
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amewataka viongozi kote nchini kuweka maslahi ya wananchi mbele na kuacha migogoro inayotokana na ubinafsi wao. “Hawa Watanzania hawataki mig . . .
Mzozo mkali unaendelea huko Rongo baada ya waumini 57 wa kikundi cha kidini chenye utata kuokolewa kutoka kwa kanisa linaloshukiwa kuwa na madhehebu ya kidini kukataa kurejea majumbani mwao. Waum . . .