logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 16 masaa yaliopita

Yoon Suk Yeol Aomba Radhi Baada ya Hukumu ya Maisha Jela

Rais wa zamani wa Korea Kusini (2022–2025), Yoon Suk Yeol, ameomba radhi kufuatia taharuki na mjadala ulioibuka baada ya uamuzi wake wa kutangaza Sheria ya Kijeshi mwishoni mwa mwaka 2024.Kauli hiyo . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 16 masaa yaliopita

Mtoto wa Mugabe Akamatwa kwa Jaribio la Mauaji

Polisi nchini Afrika Kusini wamemkamata Bellarmine Mugabe, mtoto wa mwisho wa aliyekuwa Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe, kwa tuhuma za kujaribu kuua kufuatia tukio la ufyatuaji risasi lililoripotiwa k . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 17 masaa yaliopita

Kardinali Pengo Afariki Dunia

Askofu Mkuu mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki jijini Dar es Salaam, Kardinali Polycarp Pengo amefariki dunia usiku wa Februari 19, 2026, alipokuwa akipatiwa matibabu katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwe . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 17 masaa yaliopita

Sangu Awasili Mwanza kwa Ziara ya Kazi

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe. Said Mtanda, leo Februari 20, 2026, amempokea ofisini kwake Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano ya Kazi, Mhe. Deus Sangu, aliyewasili mkoani . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 17 masaa yaliopita

Polisi wa Afrika Kusini wamekamata mtoto wa kiongozi wa zamani wa Zimbabwe Robert Mugabe

Mtoto mdogo wa rais wa zamani wa Zimbabwe Robert Mugabe amekamatwa baada ya mtunza bustani kupigwa risasi nyumbani kwake Afrika Kusini, polisi na wakili wa familia wamesema.Wakili Ashley Mugiya amelia . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 17 masaa yaliopita

Australia yatoa bil. 15/- kunufaisha kampuni na mashirika ya uzalishaji yanayochipukia Tanzania

Bw. Smith alieleza kuwa, Shirika hilo limepokea msaada wa Euro milioni 5 sawa na Tzs Bil. 15 kutoka Serikali ya Austria kwa ajili ya kuwezesha Kampuni na Mashirika nchini Tanzania kuongea uzalishaji w . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 18 masaa yaliopita

Wanamgambo wa RSF walifanya mauaji ya kimbari el-Fasher

Wataalam wa Umoja wa Mataifa wanasema kampeni ya uharibifu iliyofanywa na wanamgambo wa RSF mnamo Oktoba dhidi ya jamii zisizo za Kiarabu ndani na karibu na mji mmoja huko Darfur, inaonesha ishara za . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 18 masaa yaliopita

Aliyekuwa mwanamfalme Andrew aachiwa uchunguzi ukiendelea

Mwanamfalme huyo wa zamani Alhamis alikamatwa na kuzuiliwa kwa masaa kadhaa kwa ukosefu wa nidhamu na madai ya uhusiano wake na raia wa Marekani Jeffrey Epstein aliyekuwa anakabiliwa na madai ya dhulm . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 18 masaa yaliopita

Prof. Shemdoe aelekeza kusimamishwa kazi watumishi 14

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, Kwa mujibu wa Kanuni ya 37(1) ya Kanuni za Utumishi wa Umma za mwaka 2022, amemuelekeza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • jana

Nanauka Aagiza Bajeti ya Vijana

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Maendeleo ya Vijana, Joel Arthur Nanauka, amezitaka Sekretarieti za Mikoa na Halmashauri zote nchini kutenga bajeti maalum kwa ajili ya shughuli za maendeleo ya vijan . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Zelenskiy akosoa matokeo ya mkutano wa Geneva

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskiy amekosoa matokeo ya mazungumzo ya siku mbili mjini Geneva kati ya wawakilishi wa Ukraine na Urusi huku akisema hayakufikia matarajio kamili.Hivyo rais huyo alikuwa . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Takaichi aapishwa tena kama Waziri Mkuu wa Japan

Sanae Takaichi ameapishwa tena kama waziri mkuu wa Japan, siku kumi baada ya ushindi wake mkubwa na wa kihistoria katika uchaguzi nchini humo.Takaichi ameahidi kuuinua uchumi na kuimarisha ulinzi wa J . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Baraza la Madiwani Rungwe Lawafuta Kazi Watumishi Watatu kwa Utoro

Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya limeazimia kuwafuta kazi watumishi watatu wa halmashauri hiyo kwa tuhuma za utoro wa muda mrefu kazini.Uamuzi huo umefikiwa katika ki . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Wachimbaji 38 wa madini wamefariki kwenye mlipuko Nigeria

Wachimbaji 38 wa madini waliuawa wakati gesi ilipolipuka kwenye shimo katika jimbo la Plateau katikati mwa Nigeria, Wengine 27 walijeruhiwa katika mlipuko huo kwenye eneo la uchimbaji madini la Kampan . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Mkuu wa wilaya aridhishwa na maendeeo ujenzi uwanja wa ndege Msalato ‘Ring Road’

Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Jabir Shekimweri, akiambatana na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya, ameridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Msalato pamoja na mradi wa ujenzi w . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Mkenya ashtakiwa nchini Namibia kwa mauaji ya mpenzi wake

Mwanaume mwenye umri wa miaka 40, amejipata mashakani baada ya kushtakiwa kwa mauaji ya mpenzi wake, raia wa Namibia nchini humo.Geoffrey Jeff Kasume alirushwa rumande baada kuwasilishwa mbele ya Kort . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Bwege Ajiuzulu ACT Wazalendo, Aeleza Kujiunga na CHADEMA

Mwanasiasa machachari na aliyekuwa Mbunge wa Kilwa Kusini, Selemani Said Ally Bungara, maarufu kama ‘Bwege’ ametangaza rasmi kujivua uanachama wa chama cha ACT Wazalendo kuanzia Februari 18, 2026. . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Wasira ateta na mama Maria Nyerere

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (Bara) Ndg. Stephen Wasira, amemtembelea na kumjulia hali Mama Maria Nyerere, mke wa Hayati Baba wa Taifa na Rais wa kwanza wa Tanzania Mwalimu Julius Kambarag . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Raia wa Kenya 95 wamesajiliwa kwenye jeshi la Urusi kupigana Ukraine

Serikali nchini Kenya imebaini kuwa raia wake 95 wamesajiliwa kwenye jeshi la Urusi, kwenda kupigana nchini Ukraine. Takwimu hizi zimetolewa na Wizara ya Mambo ya nje, kwa mujibu wa Gazeti la Daily Na . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Meya Mwanza Asisitiza Miradi ya Barabara

Mwanza. Mstahiki Meya wa Jiji la Mwanza, Sima Constantine, amehimiza kasi ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo, hususan miundombinu ya barabara, ili kutimiza ahadi zilizotolewa kwa wananchi katika ka . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Watu 3 Wamenusurika Moto Mkubwa Bariadi

Watu watatu wa mtaa wa Kidinda, wilayani Bariadi mkoani Simiyu wamenusurika kifo baada ya nyumba yao ya makazi kuwaka moto. Aidha chanzo cha moto huo kimetajwa kuwa hitilafu ya umeme, huku nyumba yeny . . .

Dini
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Ramadhan na Kwaresma Zaanza Pamoja Baada ya Miaka 30

Kwa mara ya kwanza baada ya takriban miaka 30, Waislamu na Wakristo duniani wameshuhudia kuanza kwa misimu yao mikuu ya kiroho kwa wakati mmoja — Ramadhan na Kwaresma.Waislamu milioni duniani wamean . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

DRC na M23 Waanza Usitishaji Mapigano Kupitia Upatanishi wa Angola

Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo na kundi la AFC/M23 wanatarajiwa kuanza leo usitishaji wa mapigano chini ya upatanishi wa Angola, hatua inayolenga kuunda mazingira ya mazungumzo ya kisiasa . . .

Afrika Mashariki
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Kenya Yapokea Sindano Mpya ya Kinga ya HIV ya Miezi Sita

Serikali ya Kenya imeripoti kupokea seti yake ya kwanza ya Lenacapavir, sindano mpya ya kinga dhidi ya maambukizi ya Virusi vya UKIMWI (HIV) inayotoa ulinzi kwa hadi miezi sita kwa kipimo kimoja kwa w . . .

Dini
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

BAKWATA Yatangaza Uwezekano wa Ramadhan Kuanza Feb 19 au 20

Baraza Kuu la Waislamu wa Tanzania (BAKWATA) limetangaza kuwa mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan unatarajiwa kuanza Februari 19 au Februari 20, 2026, kutegemeana na kuandama kwa mwezi.Akizungumza na . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Gabon Yafungia Mitandao ya Kijamii kwa Sababu za Usalama

Serikali ya Gabon imetangaza kufungia matumizi ya mitandao ya kijamii nchini humo, ikieleza kuwa maudhui yanayosambazwa kupitia majukwaa hayo yanachochea vurugu, chuki, udhalilishaji pamoja na magawan . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Droni zatumika katika vita vya mashariki ya DRC

Kama ilivyo huko Ukraine, Sudan na kwenye eneo la Sahel, matumizi ya ndege zisizo na rubani yameendelea kuonesha nguvu ya misuli ya mataifa na sasa hivi kwenye eneo la mashariki mwa Jamuhuri ya Kidemo . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Serikali yatoa mwongozo wa Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani 2026

Serikali imetoa mwongozo rasmi wa maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake kwa mwaka 2026, yatakayofanyika kuanzia Machi 1 hadi 8 kote nchini.Hayo yamebainishwa Februari 17, 2026 na Waziri wa Maen . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

EU kutoa msaada wa kibinaadamu wa dola milioni 96 kwa DRC

Umoja wa Ulaya umetangaza kuwa utatoa msaada wa kibinaadamu wa dola milioni 96 ili kuwasaidia watu walioathiriwa na mzozo unaoendelea mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.Pesa hizo za EU zin . . .

Teknolojia
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Mamlaka za Gabon zasitisha mitandao ya kijamii

Mamlaka nchini Gabon imetangaza Jumanne kusitishwa kwa majukwaa ya mitandao ya kijamii bila hata hivyo kuyataja, ikisema kuwa maudhui yanayochapishwa mtandaoni yanaweza kusababisha migogoro na mgawany . . .

Kurasa 1 ya 141

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Yoon Suk Yeol Aomba Radhi Baada ya Hukumu ya Maisha Jela

    • 16 masaa yaliopita
  • Mtoto wa Mugabe Akamatwa kwa Jaribio la Mauaji

    • 16 masaa yaliopita
  • Kardinali Pengo Afariki Dunia

    • 17 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode