logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
matukio
  • Na Asha Business
  • 22 masaa yaliopita

Polisi Watoa Onyo Dhidi ya Uzushi wa ‘Kuibiwa Nyeti’

Jeshi la Polisi limetoa onyo kwa wote wanaosambaza uzushi mitandaoni kuhusu ‘kuibiwa nyeti’ na kueleza kuwa watasakwa na kukamatwa.Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime amesema taarifa potofu z . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 22 masaa yaliopita

Trump Aibuka na Tishio Zito Kuhusu Mlango wa Hormuz

Rais wa Marekani Donald Trump ameibua taharuki mpya kimataifa baada ya kutoa kauli kali dhidi ya Iran kupitia ujumbe mkali aliouchapisha kwenye mtandao wa Truth Social, akisisitiza kuwa nchi hiyo ifun . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 22 masaa yaliopita

Sheria mpya ya kijeshi kwa wanaume Ujerumani yazusha mjadala

Chama cha Kijani kimetoa wito kwa serikali kufafanua sheria inayowataka wanaume raia wa Ujerumani wenye umri kati ya miaka 17 na 45 kupata idhini kutoka kwa jeshi ili kukaa kwa zaidi ya miezi mitat . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 23 masaa yaliopita

Zaidi ya watu 70 hawajulikani walipo baada ya boti yao kuzama katika Bahari ya Mediterania

Zaidi ya watu 70 hawajulikani walipo baada ya boti ya wahamiaji kuzama katika Bahari ya Mediterania ya Kati, na kusababisha vifo vya watu wawili, mashirika yasiyo ya kiserikali ya Mediterranea Saving . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 23 masaa yaliopita

Iran yaonya madhara makubwa kwa nchi jirani Marekani ikiishambulia zaidi

Kamandi ya jeshi la Iran, imeonya kuwa kutakuwa na madhara zaidi kwa mataifa jirani ikiwa Marekani na Israel zitashambulia miundombinu yake ya nishati na raia.Kwa mujibu wa msemaji wa jeshi la mapindu . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Tarura Ruvuma yaweka mkazo kuboresha miundombinu ya barabara na madaraja

Wananchi wa Mkoa wa Ruvuma wameendelea kunufaika na maboresho ya miundombinu ya barabara na madaraja yanayotekelezwa na Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), huku Meneja wa TARURA Mkoa wa . . .

Uwekezaji
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Waziri Chongolo awatangazia neema wa Idofi, kunufaika na mardi wa umwagiliaji ekari 1,300

Waziri wa Kilimo Mhe. Daniel Chongolo ametangaza neema kwa wakulima wa Idofi, Wilaya ya Makambako, ambapo Serikai inaenda kutekeleza mradi Mkubwa wa Umwagiliaji utakaonufaisha ekari zaidi ya 1.300.Ame . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Iran yaripoti kuangusha ndege za kivita za Marekani aina ya C- 130

Iran imesema imeangusha ndege mbili za kivita za Marekani, aina ya C-130 na helikopta mbili katika angaa lake, wakati huu vita vikiendelea.Madai haya ya Iran yanakuja, baada ya rais Donald Trump& . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Papa Leo ayataka mataifa yalioanzisha vita kuchagua amani

Wakiristo kote duniani, wanaadhimisha sikukuu ya Pasaka, kukumbuka kusulubiwa, kufa na kufufuka kwa Mwokozi wao Yesu Kristo, wakati huu dunia ikishuhudia vita kwenye nchi za Mashariki ya Kati.Kiongozi . . .

Dini
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Kwanini tunashangilia vifo vya wenzetu;Askofu Musomba

ASKOFU wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Bagamoyo, mkoani Pwani Stephano Musomba ameonyesha kushangazwa na tabia ya baadhi ya wananchi kushangilia vifo vya viongozi, akisema kitendo hicho ni ishara ya m . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Makumi ya watu wauawa katika mashambulizi nchini Nigeria

Takriban watu 38 waliuawa wiki hii katika mashambulizi yanayoshukiwa kuwa ya makundi ya itikadi kali dhidi ya wakataji miti na kijiji kimoja kaskazini mashariki mwa Nigeria.Wapiganaji wawili wameeleza . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Cuba yaanza kuwaachia maelfu ya wafungwa

Mamlaka za Cuba zimeanza kuwaachilia wafungwa baada ya kutangaza kuwa nchi hiyo itatoa msamaha kwa wafungwa 2,010. Hii ni mara ya pili ndani ya kipindi cha chini ya mwezi mmoja. Zaidi ya wafungwa 20 . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Trump Amteua Makamu Wake Kuongoza Mapambano Dhidi Ya Udanganyifu

Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza kuwa Makamu wake, J.D. Vance, sasa atasimamia mapambano dhidi ya udanganyifu nchini humo, akimtaja rasmi kama “Fraud Czar”.Kupitia ujumbe al . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

POLISI MWANZA WAFANYA OPARESHENI KALI, WAKAMATA VYOMBO 120 NA MADEREVA WANAOKIUKA SHERIA

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limetangaza kuendesha oparesheni maalum ya kudhibiti ukiukwaji wa sheria za usalama barabarani, ikilenga hasa madereva wa pikipiki na bajaji wanaochangia ongezeko la aja . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Jeshi la Iran Latoa Kauli Nzito Kufuatia Mashambulizi ya Anga

Mkuu wa Jeshi la Iran Meja Jenerali Amir Hatami ametoa onyo kali kwa mataifa hasimu akisema kuwa mshambuliaji yeyote atakayejaribu kuingia nchini humo kwa njia ya ardhi hatabaki hai.Akizungumza leo Al . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

JENERALI MUHOOZI AZUA MJADALA KIMATAIFA KWA IRAN

Jenerali Muhoozi Kainerugaba, Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Uganda (UPDF), amezua mjadala mkubwa kimataifa baada ya kutoa kauli kali dhidi ya Iran kupitia ukurasa wake wa X mnamo Aprili 2, 2026.Katika . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Palamagamba Kabudi Kuirithi Mikoba ya Lukuvi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi, utenguzi na uhamisho wa viongozi mbalimbali serikalini, sambamba na kumpangia kituo balozi mmoja, katika hatua inayolenga . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Vikosi vya Urusi vyaendeleza mashambulizi ya droni Kharkiv

Picha za video za Reuters Television zilionyesha wazima moto wakimimina maji kwenye nyumba iliyokuwa bado inatoa moshi baada ya kushambuliwa na droni.Mashambulizi ya droni ya Urusi yameendelea kuuleng . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Iran:Tutapambana hadi maadui wasalimu amri

Iran imesisitiza kuwa itaendelea na vita hadi maadui wake watakaposalimu amri, huku ikikanusha vikali madai ya Rais wa Marekani, Donald Trump, kwamba uwezo wake wa kijeshi umedhoofishwa kwa kiwango ki . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Trump Afunguliwa Kesi Mpya na Democrats Kuhusu Kura za Posta

Chama cha Democrats nchini Marekani kimefungua kesi mahakamani kupinga agizo jipya la Rais Donald Trump linalolenga kudhibiti upigaji kura kwa njia ya posta, wakidai hatua hiyo ni kinyume cha Katiba y . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Wanaanga wa Artemis II Waongea Moja kwa Moja Kutoka Angani Wakienda Mwezini

WANAANGA wa misheni ya Artemis II wamezungumza moja kwa moja wakiwa ndani ya chombo cha anga aina ya Orion, wakielezea safari yao hadi sasa na matarajio ya hatua zinazofuata katika safari hiyo ya kihi . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Watoto wanne wauawa kwa shambulio la kisu shuleni Kampala

Watoto wanne wamepoteza maisha baada ya kushambuliwa kwa kuchomwa visu katika shule moja ya chekechea jijini Kampala.Kwa mujibu wa Polisi nchini Uganda, mshambuliaji huyo ambaye ni mwanaume aliingia s . . .

Dini
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

IJUMAA KUU YAADHIMISHWA DUNIANI: WAKRISTO WAKUMBUKA MATESO NA KIFO CHA YESU KRISTO

Leo Aprili 3, 2026, Wakristo duniani kote wanaadhimisha Ijumaa Kuu, siku yenye uzito mkubwa wa kiimani inayokumbuka mateso na kifo cha Yesu Kristo msalabani.Maadhimisho haya ni sehemu ya kile kinachoj . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

MADEREVA BAJAJI WANOLEWA, WAKUMBUSHWA KUZINGATIA SHERIA

​Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani mkoani Mwanza, SSP Ibrahim Sunday, ametoa rai kwa madereva wa pikipiki za magurudumu matatu (Bajaji) za abiria kuzingatia na kufuata sheria na taratibu za usal . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Zelenskiy Atoa Ofa ya Ulinzi wa Bahari kwa Strait of Hormuz

Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskyy, ametangaza kuwa nchi yake iko tayari kushirikiana na mataifa ya Mashariki ya Kati katika kulinda usalama wa usafiri wa baharini kwenye eneo nyeti la Strait of Hor . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Marekani "Mkuu wa majeshi Jenerali Randy George amefutwa kazi"

Hatua hii inajiri wakati huu Marekani na Israeli zikiendelea kutekeleza mashambulio mazito nchini Iran kulenga kituo cha muda cha utafiti kuhusu makubwa jijini Tehran, lakini pia kushambulia daraja li . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Watoto wanne wameuawa kwa kuchomwa kisu shuleni nchini Uganda

Nchini Uganda, watoto wanne wamechomwa kisu hadi kufa katika shule moja ya chekechea katika mtaa wa Ggaba nje kidogo ya jijiji kuu Kampala.Polisi wamesema mtuhumiwa wa shambulio hilo Christopher Okell . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Iran "Waombolezaji wajitokeza kumwomboleza mkuu wa jeshi la majini"

Maelfu ya waombolezaji siku ya Jumatano walikusanyika jijini Tehran nchini Iran kumwomboleza mkuu wa jeshi la maji la nchi hiyo Alireza Tangsiri, siku moja baada ya mazishi yake.Waombolezaji walipeper . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

DKT. GWAJIMA ATOA WITO KWA JAMII NA WAZAZI KUSHIRIKI MALEZI YA WATOTO KIKAMILIFU

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe.Dkt. Dorothy Gwajima, ametoa wito kwa jamii na wazazi kushiriki kikamilifu katika malezi na ulinzi wa watoto, ili kuzuia ongeze . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Italy yaopoa miili 19 ya wahamiaji waliokufa baharini

Waliookolewa, wakiwemo watoto watano, walipelekwa katika kisiwa cha Lampedusa nchini Italia, huku watu watatu wakiripotiwa kupotea.Watu 19 wamefariki dunia na wengine 58 kuokolewa baada ya boti ya wa . . .

Kurasa 1 ya 150

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Polisi Watoa Onyo Dhidi ya Uzushi wa ‘Kuibiwa Nyeti’

    • 22 masaa yaliopita
  • Trump Aibuka na Tishio Zito Kuhusu Mlango wa Hormuz

    • 22 masaa yaliopita
  • Makanisa kuendelea na kelele Mombasa wamiliki hoteli wakilalamika

    • 22 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode