Jeshi la Polisi limetoa onyo kwa wote wanaosambaza uzushi mitandaoni kuhusu ‘kuibiwa nyeti’ na kueleza kuwa watasakwa na kukamatwa.Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime amesema taarifa potofu z . . .
Rais wa Marekani Donald Trump ameibua taharuki mpya kimataifa baada ya kutoa kauli kali dhidi ya Iran kupitia ujumbe mkali aliouchapisha kwenye mtandao wa Truth Social, akisisitiza kuwa nchi hiyo ifun . . .
Chama cha Kijani kimetoa wito kwa serikali kufafanua sheria inayowataka wanaume raia wa Ujerumani wenye umri kati ya miaka 17 na 45 kupata idhini kutoka kwa jeshi ili kukaa kwa zaidi ya miezi mitat . . .
Zaidi ya watu 70 hawajulikani walipo baada ya boti ya wahamiaji kuzama katika Bahari ya Mediterania ya Kati, na kusababisha vifo vya watu wawili, mashirika yasiyo ya kiserikali ya Mediterranea Saving . . .
Kamandi ya jeshi la Iran, imeonya kuwa kutakuwa na madhara zaidi kwa mataifa jirani ikiwa Marekani na Israel zitashambulia miundombinu yake ya nishati na raia.Kwa mujibu wa msemaji wa jeshi la mapindu . . .
Wananchi wa Mkoa wa Ruvuma wameendelea kunufaika na maboresho ya miundombinu ya barabara na madaraja yanayotekelezwa na Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), huku Meneja wa TARURA Mkoa wa . . .
Waziri wa Kilimo Mhe. Daniel Chongolo ametangaza neema kwa wakulima wa Idofi, Wilaya ya Makambako, ambapo Serikai inaenda kutekeleza mradi Mkubwa wa Umwagiliaji utakaonufaisha ekari zaidi ya 1.300.Ame . . .
Iran imesema imeangusha ndege mbili za kivita za Marekani, aina ya C-130 na helikopta mbili katika angaa lake, wakati huu vita vikiendelea.Madai haya ya Iran yanakuja, baada ya rais Donald Trump& . . .
Wakiristo kote duniani, wanaadhimisha sikukuu ya Pasaka, kukumbuka kusulubiwa, kufa na kufufuka kwa Mwokozi wao Yesu Kristo, wakati huu dunia ikishuhudia vita kwenye nchi za Mashariki ya Kati.Kiongozi . . .
ASKOFU wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Bagamoyo, mkoani Pwani Stephano Musomba ameonyesha kushangazwa na tabia ya baadhi ya wananchi kushangilia vifo vya viongozi, akisema kitendo hicho ni ishara ya m . . .
Takriban watu 38 waliuawa wiki hii katika mashambulizi yanayoshukiwa kuwa ya makundi ya itikadi kali dhidi ya wakataji miti na kijiji kimoja kaskazini mashariki mwa Nigeria.Wapiganaji wawili wameeleza . . .
Mamlaka za Cuba zimeanza kuwaachilia wafungwa baada ya kutangaza kuwa nchi hiyo itatoa msamaha kwa wafungwa 2,010. Hii ni mara ya pili ndani ya kipindi cha chini ya mwezi mmoja. Zaidi ya wafungwa 20 . . .
Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza kuwa Makamu wake, J.D. Vance, sasa atasimamia mapambano dhidi ya udanganyifu nchini humo, akimtaja rasmi kama “Fraud Czar”.Kupitia ujumbe al . . .
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limetangaza kuendesha oparesheni maalum ya kudhibiti ukiukwaji wa sheria za usalama barabarani, ikilenga hasa madereva wa pikipiki na bajaji wanaochangia ongezeko la aja . . .
Mkuu wa Jeshi la Iran Meja Jenerali Amir Hatami ametoa onyo kali kwa mataifa hasimu akisema kuwa mshambuliaji yeyote atakayejaribu kuingia nchini humo kwa njia ya ardhi hatabaki hai.Akizungumza leo Al . . .
Jenerali Muhoozi Kainerugaba, Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Uganda (UPDF), amezua mjadala mkubwa kimataifa baada ya kutoa kauli kali dhidi ya Iran kupitia ukurasa wake wa X mnamo Aprili 2, 2026.Katika . . .
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi, utenguzi na uhamisho wa viongozi mbalimbali serikalini, sambamba na kumpangia kituo balozi mmoja, katika hatua inayolenga . . .
Picha za video za Reuters Television zilionyesha wazima moto wakimimina maji kwenye nyumba iliyokuwa bado inatoa moshi baada ya kushambuliwa na droni.Mashambulizi ya droni ya Urusi yameendelea kuuleng . . .
Iran imesisitiza kuwa itaendelea na vita hadi maadui wake watakaposalimu amri, huku ikikanusha vikali madai ya Rais wa Marekani, Donald Trump, kwamba uwezo wake wa kijeshi umedhoofishwa kwa kiwango ki . . .
Chama cha Democrats nchini Marekani kimefungua kesi mahakamani kupinga agizo jipya la Rais Donald Trump linalolenga kudhibiti upigaji kura kwa njia ya posta, wakidai hatua hiyo ni kinyume cha Katiba y . . .
WANAANGA wa misheni ya Artemis II wamezungumza moja kwa moja wakiwa ndani ya chombo cha anga aina ya Orion, wakielezea safari yao hadi sasa na matarajio ya hatua zinazofuata katika safari hiyo ya kihi . . .
Watoto wanne wamepoteza maisha baada ya kushambuliwa kwa kuchomwa visu katika shule moja ya chekechea jijini Kampala.Kwa mujibu wa Polisi nchini Uganda, mshambuliaji huyo ambaye ni mwanaume aliingia s . . .
Leo Aprili 3, 2026, Wakristo duniani kote wanaadhimisha Ijumaa Kuu, siku yenye uzito mkubwa wa kiimani inayokumbuka mateso na kifo cha Yesu Kristo msalabani.Maadhimisho haya ni sehemu ya kile kinachoj . . .
Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani mkoani Mwanza, SSP Ibrahim Sunday, ametoa rai kwa madereva wa pikipiki za magurudumu matatu (Bajaji) za abiria kuzingatia na kufuata sheria na taratibu za usal . . .
Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskyy, ametangaza kuwa nchi yake iko tayari kushirikiana na mataifa ya Mashariki ya Kati katika kulinda usalama wa usafiri wa baharini kwenye eneo nyeti la Strait of Hor . . .
Hatua hii inajiri wakati huu Marekani na Israeli zikiendelea kutekeleza mashambulio mazito nchini Iran kulenga kituo cha muda cha utafiti kuhusu makubwa jijini Tehran, lakini pia kushambulia daraja li . . .
Nchini Uganda, watoto wanne wamechomwa kisu hadi kufa katika shule moja ya chekechea katika mtaa wa Ggaba nje kidogo ya jijiji kuu Kampala.Polisi wamesema mtuhumiwa wa shambulio hilo Christopher Okell . . .
Maelfu ya waombolezaji siku ya Jumatano walikusanyika jijini Tehran nchini Iran kumwomboleza mkuu wa jeshi la maji la nchi hiyo Alireza Tangsiri, siku moja baada ya mazishi yake.Waombolezaji walipeper . . .
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe.Dkt. Dorothy Gwajima, ametoa wito kwa jamii na wazazi kushiriki kikamilifu katika malezi na ulinzi wa watoto, ili kuzuia ongeze . . .
Waliookolewa, wakiwemo watoto watano, walipelekwa katika kisiwa cha Lampedusa nchini Italia, huku watu watatu wakiripotiwa kupotea.Watu 19 wamefariki dunia na wengine 58 kuokolewa baada ya boti ya wa . . .