Mkuu wa kanisa Katoliki Duniani Papa Francis, mwenye umri wa miaka 86, atafanyiwa upasuaji wa tumbo Jumatano alasiri katika hospitali ya Gemelli ya Roma, Vatican ilisema katika taari . . .
Rais wa Rwanda Paul Kagame amewafuta kazi Meja Jenerali Aloys Muganga, Brigedia Jenerali Francis Mutiganda na maafisa 14 wa Jeshi la Ulinzi la Rwanda (RDF).Pia ameidhinisha kufukuzwa kwa wanajeshi 116 . . .
Baadhi ya Wanigeria kwenye mtandao wametaka kukamatwa na kufunguliwa mashtaka kwa Waziri wa Usafiri wa Anga, Hadi Sirika, baada ya Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Ndege la Nigeria, Dayo Olumide, kufichu . . .
Waziri Mkuu wa Uingereza Rishi Sunak anafanya ziara Marekani kuanzia leo yenye lengo la kuimarisha mshikamano baina ya madola hayo mawili washirika hususani kwenye masuala ya uchumi na teknolojia mamb . . .
Licha ya Serikali na wadau kuzidi kuweka mazingira kwa watoto wa kike kujitokeza kwa wingi katika masomo ya Sayansi bado changamoto ipo kwa baadhi ya maeneo ambapo wanawake Wahandisi Tanzania wamesema . . .
Rais wa Kenya, William Ruto amewatahadharisha Wabunge kutoupinga muswada wake wa Fedha 2023 hadharani, mara utakapowasilishwa Bungeni wiki hii, huku akitishia kuwakabili wote watakaokiuka.Akihutubu wa . . .
Kamati ya Utendaji ya Taifa ya Chama wa Walimu Tanzania CWT imemsimamisha kiutendaji Katibu Mkuu wa chama hicho Josephat Maganga, kwa tuhuma za uvunjifu wa katiba ya Chama na kanuni zake ikiwemo matum . . .
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt.Philip Mpango akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Tabora leo tarehe 06 Juni2023. Makamu wa Rais amewasili Mkoani Tabora kwaajili ya Ufu . . .
Kiongozi wa upinzani na kinara wa muungano wa Azimio Raila Odinga amesema kuwa Alhamisi ataweka wazi mstakabali wa muungano wake kuhusiana na urejeo wa maandamano kote nchini. Katika taaarifa ali . . .
Wafuasi wa kiongozi wa upinzani Senegal, Ousmane Sonko wamelaani ukatili uliokithiri unaofanywa na polisi baada ya majibizano kuhusiana na hukumu ya kifungo cha jela na kusababisha vifo vya watu 16 na . . .
Japani imepunguza vizuizi vya virusi vya Korona (COVID-19) katika miezi mitatu iliyopita, ikiwa ni pamoja na kuvaa barakoa. Hii imeambatana na changamoto nyingi zisizotarajiwa zinazotishia muundo . . .
Serikali ya Malawi ilisema Jumatatu kwamba Rwanda imeiomba kusaidia kuwakamata watoro 55 wanaosakwa kuhusiana na mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 wanaoaminika kujificha nchini humo.Waziri wa Mambo ya N . . .
Wakazi wa kata ya Tandika Manispaa ya Mtwara Mikindani wameiomba Serikali kuwasaidia kusafisha eneo la Makaburi Msafa ili kudhibiti vitendo vya wizi pamoja na watu kugeuza eneo hilo kuwa sehemu ya kuf . . .
Serikali imesema itawadhibu vikali Walimu wakuu walio na tabia na ambao wataendelea kuwalazimisha wazazi kununua sare za wanafunzi kutoka kwenye maduka fulani au ndani ya shule zao zinazouza vifaa gha . . .
Jaji msitaafu na Kamishina wa viapo Thomas Mihayo amewataka watendaji wenye taaluma ya sheria walioko kwenye sekta ya umma kutuliza akili katika kufanya maamuzi na ushauri kwa viongozi wakuu hasa kati . . .
Bunge la Nigeria la Labour siku ya Jumapili lilikwepa mkutano ulioitishwa na Serikali ya Shirikisho kujadili kuondolewa kwa ruzuku na ongezeko la bei ya pampu ya mafuta nchini humo.Muungano huo ulisis . . .
Maafisa wamefichua kwamba mbwa wa polisi aliwasaidia maafisa wa doria mpakani kunusa fentanyl yenye thamani ya dola milioni 2,wakati wa kituo cha trafiki huko Arizona, Marekani.Ajenti Mkuu wa Doria wa . . .
Lebanon haijawahi kuwa na mkuu wa taifa tangu muhula wa rais Michel Aoun ulipomalizika mwishoni mwa mwezi Oktoba na kuzidisha hali ya kukwama zaidi kazi za idara na wizara katika nchi ambayo inashuhud . . .
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Dk Franklin Rwezimula amesema kuwa katika mabadiliko ya sera mpya ya elimu, mafunzo na mitaala, kutakuwa na somo jipya la Sayansi ya Kompyuta . . .
Hata ugonjwa unapopatikana mapema, kurudia kwa saratani ya matiti ni jambo la kawaida - na kwa waathirika, matarajio yanaweza kuwa ya kutisha.Dawa iliyotengenezwa na mtengenezaji wa dawa wa Uswizi Nov . . .
Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora nchini imesema kifo cha aliyekuwa mwanafunzi wa mwaka wa kwanza wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Nusura Hassan Abdallah, hakihusiani na ajali aliyoipata Naibu . . .
Mkuu wa mkoa wa Singida Peter Serukamba amemsweka ndani afisa manunuzi wa halmashauri ya Manyoni Joseph Swila kwa kukiuka maagizo aliyoyatoa jana wakati alipofika kukagua ujenzi wa wodi ya wanaw . . .
Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Walter Kaaya (34) mkazi wa Simanjiro mkoani Manyara amenusurika kifo kwa kupigwa risasi na Paulo Laizer (43) mfugaji wilayani humo kufuatia mzozo wa mifugo kukutwa . . .
Maafisa wa usalama kaskazini mwa Cameroon, wamefanya mkutano wa dharura kuziomba nchi za Cameroon, Nigeria na Chad kupeleka wanajeshi zaidi katika mpaka wanaoshirikiana, baada ya mashambulizi mapya ya . . .
Jasusi wa shirika la kijasusi la Marekeni, Bill Oxley, ndiye binadamu pekee hadi sasa aliyekiri kuhusika moja kwa moja na kifo cha marehemu Bob Marley....Akiwa katika kitanda cha hospitali ya Mercy hu . . .
Serikali nchini, kupitia Wizara ya Nishati imesema imekamilisha mashauriano na wawekezaji wa mradi wake wa gesi asilia ya mmiminiko (LNG) wenye thamani ya dola bilioni 42, na mikataba iko tayari kuang . . .
Chama cha Nigeria Labour Congress (NLC) kimehimiza Serikali ya Shirikisho kuagiza mara moja Kampuni ya Petroli ya Nigerian (NNPCL) kuondoa kiongezo kipya cha bei kilichotolewa ili kuruhusu mtiririko w . . .
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na dawa za kulevya (DCEA) imefanikiwa kukamata gunia 482 za bangi iliyokuwa tayari kusafirishwa kwenye masoko na imeteketeza jumla ya hekari 101 za masham . . .
Watu 15 wa familia moja wameaga dunua nchini Namibia baada ya kunywa uji ulioharibika -miongoni mwa matukio mabaya zaidi nchini humo ya maafa yanayotokana na chakula kibovu.Vyombo vya habari nchini hu . . .
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Melchoir Ndadaye uliopo Bujumbura nchini Burundi leo tarehe 31 Mei 2023 . . .