Taasisi ya kudhibiti dawa ya Marekani imeidhinisha dawa mpya ya kuzuia virusi vya Ukimwi.Dawa hiyo inayofanya kazi kwa muda mrefu, Lenacapavir, inahitaji tu kutumika mara moja kila baada ya miezi sita . . .
Maafisa wawili wa polisi waliomshambulia na mmoja wao kumfyatulia risasi kijana aliyekuwa anauza barakoa siku ya maandamano ya kupinga mauaji ya kijana Albert Ojwang aliyefia mikononi mwa polisi nchin . . .
Nchi kadhaa za Kiafrika zinafanya mipango ya kuwarudisha raia wao nyumbani kwa hofu kwamba wanaweza kukwama katika mzozo wa vita baina ya Israel na Iran uliozuka tarehe 13 Juni.Inaelezwa kuwa Uganda i . . .
Kiongozi wa China Xi Jinping amemwambia mwenzake wa Urusi Vladimir Putin kwamba usitishaji mapigano katika vita vya Iran na Israeli ni "kipaumbele kisichozuilika," vyombo vya habari vya serikali ya Ch . . .
Rais Samia Suluhu Hassan leo, Alhamisi Juni 19, 2025 amezindua Daraja la JP Magufuli (Kigongo-Busisi) jijini Mwanza lenye urefu wa kilometa 3.0 na barabara unganishi yenye urefu wa kilometa 1.66. Mio . . .
WAFUNGWA 73 kutoka magereza mbalimbali nchini wamehitimu mafunzo ya ufundi stadi katika fani mbalimbali Chuo cha Magereza Ruanda jijini Mbeya hatua inayolenga kuwasaidia kupata ajira au kujiajiri pind . . .
SERIKALI imesema marobota yote ya pamba yatakayonunuliwa kutoka kwa wakulima na kuuzwa ndani ya nchi hayatatozwa kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) kuanzia sasa tofauti na ilivyozoeleka awali.Waziri wa . . .
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limewataka wateja wao kulipa madeni ya malipo ya kabla na baada ili kuboresha huduma ya umeme iweze kuwa na ufanisi kwa taifa.Hayo ameyasema leo jijini Dar es . . .
RAIS Samia Suluhu Hassan amesema ujio wa shule za amali pamoja na ufundi zenye michepuo ya ufundi, kilimo, muziki na fani mbalimbali unakwenda kutatua changamoto ya ajira hasa kwa vijana.Alisema serik . . .
Kada wa Chama cha ACT-Wazalendo, Sheikh Ponda Issa Ponda, amesema katika uchaguzi wa mwaka huu hawamtumi mtoto, badala yake wanaenda wenyewe kwa ajili ya kusimamia haki na kuhakikisha mshindi halali a . . .
Vijana zaidi ya 1,000 kutoka wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza wamefanya matembezi ya zaidi ya kilomita 30 kutoka ofisi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Sengerema kuelekea Kata ya Busisi kushuhu . . .
Serikali imeshauriwa kuacha kutoza kodi katika sekta ya gesi asilia na matokeo yake waache wawekezaji waingie, huku ikitafuta vyanzo vingine vya mapato kama vile kuongeza ushuru kwenye samaki wanaoing . . .
SERIKALI imewekeza ununuzi wa vifaa tiba vya kisasa vya Sh bilioni 1 kwenye sekta ya afya katika Halmashauri ya Mji Handeni na kuimarisha huduma za afya.Uwekezaji huo ni pamoja na ununuzi wa vifaa tib . . .
Jeshi la polisi mkoani Kilimanjaro linamshikilia Ofisa wa jeshi la Magereza mwenye cheo cha Sajini aliyefahamika kwa jina la Emmanuel Nyange kwa tuhuma za kumlawiti mwanafunzi wa darasa la saba katika . . .
Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) umesajili askari polisi watarajiwa 4,800 wanaokaribia kumaliza mafunzo yao katika Shule ya Polisi Moshi mkoani Kilimanjaro. Kabla ya zoezi la u . . .
Mwenyekiti ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu ameiomba Mahakama kupewa nafasi ya kujitetee mwenyewe huku akitaja sababu ni kuwa mawakili wake kutopewa nafasi ya faragha kuzung . . .
Leo ni siku ya kimataifa ya kuelimisha umma kuhusu unyanyasaji dhidi ya wazee ambapo maudhui yam waka huu wa 2025 ni kusaka suluhu ya vitendo hivyo vya unyanyasaji kwenye vituo vinavyotoa huduma ya ma . . .
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Jaji wa Mahakama ya Rufani, George Masaju kuwa Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania.Jaji Masaju anachukua nafasi ya Prof. Ibrahim Juma ambaye amestaafu.Kwa mujibu wa taa . . .
Walinzi wa Mapinduzi ya Iran wameapa kulipiza kisasi baada ya kifo cha kiongozi wao, Hossein Salami. Mashambulio haya "hayatabaki bila kujibiwa na (Israeli) lazima itarajie kulipizwa kisasi kikali na . . .
Kila mwaka 13 Juni, dunia huadhimisha Siku ya Kimataifa ya Watu Wenye Ualbino (International Albinism Awareness Day pia ni siku ya kutambua umuhimu wa kulinda haki za watu wenye ualbino kwa wakati huu . . .
Baraza Kuu la Waislamu Mkoa wa Mwanza limeendesha dua maalum kwa ajili ya kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, pamoja na kuliombea Taifa kuelekea uch . . .
MAMIA ya vijana wanaandamana katika barabara za jiji kuu la Nairobiwakimtaka Naibu Inspekta Jenerali wa Polisi Eliud Lagat ajiuzulu.Maandamano hayo yanatishia kuathiri shughuli nyingi muhimu ndani ya . . .
Serikali imesema kuwa imeendelea kufanya jitihada mbalimbali za kuwawezesha wananchi kiuchumi kwa kuweka mazingira rafiki ya kujipatia kipato kupitia ajira, kujiajiri na shughuli za biashara.Hayo yame . . .
Edgar Lungu, ambaye aliongoza Zambia kutoka mwaka 2015 hadi 2021, alifariki Alhamisi iliyopita akiwa na umri wa miaka 68, lakini kumezuka mvutano kati ya familia yake, serikali na chama cha siasa cha . . .
Ndege ya Air India Boeing 787 Dreamliner iliyokuwa safarini kutoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Sardar Vallabhbhai Patel, Ahmedabad, kuelekea London, imeanguka muda mfupi baada ya kuruka mchana wa . . .
Wakati mkutano wa 19 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ukiendelea Jijini Dodoma, pamoja na mambo mengine leo Juni 12, 2025 kuanzia saa 10:00 jioni, Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba ataw . . .
Uongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Upanga na Mloganzila umepongeza Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano cha hospitali hiyo kwa kutekeleza majukumu yake kwa weledi na kuitangaza vema hospital . . .
Watu mbalimbali katika mitandao ya kijamii wametoa ujumbe wa kumlaani Spika wa Bunge la Uganda, Anita Among baada ya kusema kuwa Rais Yoweri Museveni ni Mungu na kumwita mwanae mwana wa Mungu.Gazeti l . . .
SHEIKH WA MKOA WA MWANZA HASSAN KABEKE AMEELEZA ITAKAPOFIKA JUNE 12 2025 ITAFANYIKA DUA MAALAMU YA KULIOMBEA TAIFA NA MUOMBEA RAIS MHE DR SAMIA SULUHU HASAN KATIKA ENEO L . . .
Habari ya kusikitisha ni kwamba, Rwanda imetangaza kujiondoa katika Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika ya Kati (ECCAS), ikimshutumu nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kwa “kutumia nj . . .