Rais wa zamani wa Korea Kusini (2022–2025), Yoon Suk Yeol, ameomba radhi kufuatia taharuki na mjadala ulioibuka baada ya uamuzi wake wa kutangaza Sheria ya Kijeshi mwishoni mwa mwaka 2024.Kauli hiyo . . .
Polisi nchini Afrika Kusini wamemkamata Bellarmine Mugabe, mtoto wa mwisho wa aliyekuwa Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe, kwa tuhuma za kujaribu kuua kufuatia tukio la ufyatuaji risasi lililoripotiwa k . . .
Askofu Mkuu mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki jijini Dar es Salaam, Kardinali Polycarp Pengo amefariki dunia usiku wa Februari 19, 2026, alipokuwa akipatiwa matibabu katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwe . . .
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe. Said Mtanda, leo Februari 20, 2026, amempokea ofisini kwake Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano ya Kazi, Mhe. Deus Sangu, aliyewasili mkoani . . .
Mtoto mdogo wa rais wa zamani wa Zimbabwe Robert Mugabe amekamatwa baada ya mtunza bustani kupigwa risasi nyumbani kwake Afrika Kusini, polisi na wakili wa familia wamesema.Wakili Ashley Mugiya amelia . . .
Bw. Smith alieleza kuwa, Shirika hilo limepokea msaada wa Euro milioni 5 sawa na Tzs Bil. 15 kutoka Serikali ya Austria kwa ajili ya kuwezesha Kampuni na Mashirika nchini Tanzania kuongea uzalishaji w . . .
Wataalam wa Umoja wa Mataifa wanasema kampeni ya uharibifu iliyofanywa na wanamgambo wa RSF mnamo Oktoba dhidi ya jamii zisizo za Kiarabu ndani na karibu na mji mmoja huko Darfur, inaonesha ishara za . . .
Mwanamfalme huyo wa zamani Alhamis alikamatwa na kuzuiliwa kwa masaa kadhaa kwa ukosefu wa nidhamu na madai ya uhusiano wake na raia wa Marekani Jeffrey Epstein aliyekuwa anakabiliwa na madai ya dhulm . . .
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, Kwa mujibu wa Kanuni ya 37(1) ya Kanuni za Utumishi wa Umma za mwaka 2022, amemuelekeza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya . . .
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Maendeleo ya Vijana, Joel Arthur Nanauka, amezitaka Sekretarieti za Mikoa na Halmashauri zote nchini kutenga bajeti maalum kwa ajili ya shughuli za maendeleo ya vijan . . .
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskiy amekosoa matokeo ya mazungumzo ya siku mbili mjini Geneva kati ya wawakilishi wa Ukraine na Urusi huku akisema hayakufikia matarajio kamili.Hivyo rais huyo alikuwa . . .
Sanae Takaichi ameapishwa tena kama waziri mkuu wa Japan, siku kumi baada ya ushindi wake mkubwa na wa kihistoria katika uchaguzi nchini humo.Takaichi ameahidi kuuinua uchumi na kuimarisha ulinzi wa J . . .
Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya limeazimia kuwafuta kazi watumishi watatu wa halmashauri hiyo kwa tuhuma za utoro wa muda mrefu kazini.Uamuzi huo umefikiwa katika ki . . .
Wachimbaji 38 wa madini waliuawa wakati gesi ilipolipuka kwenye shimo katika jimbo la Plateau katikati mwa Nigeria, Wengine 27 walijeruhiwa katika mlipuko huo kwenye eneo la uchimbaji madini la Kampan . . .
Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Jabir Shekimweri, akiambatana na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya, ameridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Msalato pamoja na mradi wa ujenzi w . . .
Mwanaume mwenye umri wa miaka 40, amejipata mashakani baada ya kushtakiwa kwa mauaji ya mpenzi wake, raia wa Namibia nchini humo.Geoffrey Jeff Kasume alirushwa rumande baada kuwasilishwa mbele ya Kort . . .
Mwanasiasa machachari na aliyekuwa Mbunge wa Kilwa Kusini, Selemani Said Ally Bungara, maarufu kama ‘Bwege’ ametangaza rasmi kujivua uanachama wa chama cha ACT Wazalendo kuanzia Februari 18, 2026. . . .
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (Bara) Ndg. Stephen Wasira, amemtembelea na kumjulia hali Mama Maria Nyerere, mke wa Hayati Baba wa Taifa na Rais wa kwanza wa Tanzania Mwalimu Julius Kambarag . . .
Serikali nchini Kenya imebaini kuwa raia wake 95 wamesajiliwa kwenye jeshi la Urusi, kwenda kupigana nchini Ukraine. Takwimu hizi zimetolewa na Wizara ya Mambo ya nje, kwa mujibu wa Gazeti la Daily Na . . .
Mwanza. Mstahiki Meya wa Jiji la Mwanza, Sima Constantine, amehimiza kasi ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo, hususan miundombinu ya barabara, ili kutimiza ahadi zilizotolewa kwa wananchi katika ka . . .
Watu watatu wa mtaa wa Kidinda, wilayani Bariadi mkoani Simiyu wamenusurika kifo baada ya nyumba yao ya makazi kuwaka moto. Aidha chanzo cha moto huo kimetajwa kuwa hitilafu ya umeme, huku nyumba yeny . . .
Kwa mara ya kwanza baada ya takriban miaka 30, Waislamu na Wakristo duniani wameshuhudia kuanza kwa misimu yao mikuu ya kiroho kwa wakati mmoja — Ramadhan na Kwaresma.Waislamu milioni duniani wamean . . .
Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo na kundi la AFC/M23 wanatarajiwa kuanza leo usitishaji wa mapigano chini ya upatanishi wa Angola, hatua inayolenga kuunda mazingira ya mazungumzo ya kisiasa . . .
Serikali ya Kenya imeripoti kupokea seti yake ya kwanza ya Lenacapavir, sindano mpya ya kinga dhidi ya maambukizi ya Virusi vya UKIMWI (HIV) inayotoa ulinzi kwa hadi miezi sita kwa kipimo kimoja kwa w . . .
Baraza Kuu la Waislamu wa Tanzania (BAKWATA) limetangaza kuwa mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan unatarajiwa kuanza Februari 19 au Februari 20, 2026, kutegemeana na kuandama kwa mwezi.Akizungumza na . . .
Serikali ya Gabon imetangaza kufungia matumizi ya mitandao ya kijamii nchini humo, ikieleza kuwa maudhui yanayosambazwa kupitia majukwaa hayo yanachochea vurugu, chuki, udhalilishaji pamoja na magawan . . .
Kama ilivyo huko Ukraine, Sudan na kwenye eneo la Sahel, matumizi ya ndege zisizo na rubani yameendelea kuonesha nguvu ya misuli ya mataifa na sasa hivi kwenye eneo la mashariki mwa Jamuhuri ya Kidemo . . .
Serikali imetoa mwongozo rasmi wa maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake kwa mwaka 2026, yatakayofanyika kuanzia Machi 1 hadi 8 kote nchini.Hayo yamebainishwa Februari 17, 2026 na Waziri wa Maen . . .
Umoja wa Ulaya umetangaza kuwa utatoa msaada wa kibinaadamu wa dola milioni 96 ili kuwasaidia watu walioathiriwa na mzozo unaoendelea mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.Pesa hizo za EU zin . . .
Mamlaka nchini Gabon imetangaza Jumanne kusitishwa kwa majukwaa ya mitandao ya kijamii bila hata hivyo kuyataja, ikisema kuwa maudhui yanayochapishwa mtandaoni yanaweza kusababisha migogoro na mgawany . . .