Mahakama ya Seoul imemhukumu Rais wa zamani wa Korea Kusini, Yoon Suk-yeol, kifungo cha miaka 30 gerezani kufuatia tuhuma za kuhusika katika operesheni ya kijeshi iliyohusisha matumizi ya droni kuelek . . .
Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza siku ya Alhamisi, Juni 11, kwamba alifuta mashambulizi yaliyopangwa kwa siku hiyo dhidi ya Iran, akielezea kwamba "makubaliano mazuri sana" yamefikiwa na . . .
Rais wa zamani Joseph Kabila Kabange ametoa ujumbe mzito kwa raia wa Kongo siku ya Alhamisi, Juni 11, 2026, ambapo anapinga vikali mchakato wa kurekebisha Katiba ya Februari 18, 2006, ulioanzishwa na . . .
Katika utafiti uliochapishwa mnamo Juni 11, muungano wa watafiti unabainisha kwamba lengo kuu zaidi la Mkataba wa Tabianchi wa Paris huenda likavukwa ndani ya miaka minne ijayo.Wakati wimbi jipya la j . . .
Naibu Waziri wa Nishati, Salome Makamba, amesema Tanzania imepata mafanikio makubwa katika utekelezaji wa ajenda ya nishati safi ya kupikia, ambapo kiwango cha matumizi kimeongezeka kutoka asilimia 6. . . .
Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, amekutana na Bw. Massad Boulos, mwanadiplomasia na Mshauri Mwandamizi wa Rais wa Marekani, Donald Trump, anayeshughulikia masual . . .
Papa Leo XIV anatarajiwa kusafiri Alhamisi hadi visiwa vya Canary vya Uhispania kukutana na wahamiaji, ambao wengi wao walinusurika kutokana na hatari ya kuvuka bahari ya Atlantiki ili kufika kwenye v . . .
Idadi ya visa vya Ebola vilivyothibitishwa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imeongezeka hadi 635. Misri imeahidi kuisaidia Kongo katika suala la ebola.Idadi ya visa vya Ebola vilivyothibitishwa . . .
Kuwait imeanzisha mabadiliko makubwa katika kanuni zake za kuajiri wafanyakazi wa ndani, ikiidhinisha nchi 10 pekee kama vyanzo vya ajira huku ikipiga marufuku kuajiri kutoka kwa nchi zingine 27, ku . . .
Nchini Kenya, mtu mmoja ameuawa baada ya kupigwa risasi na polisi, wakati wa maandamano yaliyofanyika siku ya Jumanne katika mji wa Nanyuki, baada ya wenyeji kujitokeza kupinga kujengwa kwa kituo cha . . .
Mamlaka za Canada zimesema rubani wa zamani wa shirika la ndege la Air Canada anatuhumiwa kusafirisha maelfu ya abiria kwa miaka 17 bila leseni halali ya urubani.Polisi walisema ilibainika kuwa Jeffre . . .
Wakati walinzi wa pwani wa Mauritania wakiripoti ongezeko kubwa la watu wanaojaribu kuvuka hadi Visiwa vya Canary tangu mwisho wa mwezi Mei, boti zilizozuiliwa ziliondoka kutoka nchi zilizo mbali zaid . . .
Maandamano ya wanawake yazimwa na maafisa wa usalama Herat. Mashuhuda wakiripoti mauwaji ya mtu mmoja na wengine wamejeruhiwa.Maafisa wa usalama wa Afghanistan wamezima maandamano ya kutetea haki za w . . .
Waandamanaji wanaopinga wahamiaji wamechoma moto majengo na magari kwenye mji mkuu wa Ireland Kaskazini, Belfast siku moja baada ya kutokea shambulio la kisu linalodaiwa kufanywa na mhamiaji kutoka Su . . .
JAMII katika Kaunti ya Lamu zimesisitiza wito wa ushirikiano kuhubiri amani na utangamano kati yao, kufuatia kisa cha mauaji msikitini wiki chache zilizopita.Msomi wa dini ya kiislamu na imamu, Bw Mah . . .
. . .
Gwiji wa zamani wa mchezo wa Baseball, Yadier Molina amenusurika kupanda ndege binafsi aina ya Gulfstream G200 iliyopata ajali na kulipuka moto katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa La Romana Interna . . .
Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa wanajeshi wawili wa helikopta ya kijeshi ya Marekani wako salama baada ya kuokolewa katika Mlango Bahari wa Hormuz, eneo linalodhibitiwa kwa sehemu na Iran.K . . .
Mwendesha mashtaka mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu, Karim Khan, amesimamishwa kazi kufuatia kesi za kinidhamu zilizoanzishwa baada ya madai ya unyanyasaji wa kingono kuwasilishwa dhidi yake.B . . .
Nchini Nigeria, maafisa wa usalama wamekabidhi kwa serikali wanawake na watoto 400 waliokolewa mikononi mwa wanajihadi wa Boko Haram.Watu hao kwa sasa wamepewa hifadhi ya muda, katika jimbo la Borno, . . .
Pakistan na Lebanon wamekubaliana kuimarisha ushirikiano wa kijeshi wakati mazungumzo ya amani ya Mashariki ya Kati yakiendelea kusuasua.Wakuu wa majeshi wa Pakistan na Lebanon wamekubaliana kuimarish . . .
Kiongozi wa Kanisa Katoliki Papa Leo XIV amekutana na manusura sita wa unyanyasaji wa kingono unaohusishwa na makasisi mjini Madrid na kuahidi kuzingatia mapendekezo yao kuhusu jinsi Kanisa linavyowez . . .
Polisi wametumia mabomu ya machozi kuwatawanya waandamanaji waliopinga ujenzi wa kituo cha karantini ya Ebola kwa raia wa Marekani.Polisi nchini Kenya wametumia mabomu ya machozi kuwatawanya waandaman . . .
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,Nurdin Babu amehimiza familia kuandika Wosia ili kupunguza mgogoro kwenye jamii mmoja wa wanandoa hasa mwanaume anapofariki.Wajane 35 kutoka Mkoa Arusha na Kilimanjaro jana . . .
Viongozi wa Uingereza, Ujerumani na Ufaransa wanaunga mkono pendekezo la mazungumzo kati ya Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskiy na Rais wa Urusi Vladimir Putin ili kujaribu kufikia makubaliano ya usit . . .
Watu 19 wamekufa baada ya tetemeko kubwa la ardhi kutokea kusini mwa Ufilipino. Tetemeko hilo lenye ukubwa wa 7.8 katika kipimo cha Ritcher lilisababisha kutolewa onyo la tsunami katika sehemu mbalimb . . .
Kiongozi Mkuu wa dini ya Buddha nchini, Mchungaji Dkt. Ilukuptiye Pannasekara, amesifu ushirikiano ambao wanaupata sio tu kutoka katika dini zingine bali pia serikalini kwa ujumla.Ametoa kauli h . . .
WAZAZI na jamaa za wasichana 16 walioangamia kwenye mkasa wa moto katika Shule ya Wasichana ya Utumishi sasa watasubiri hadi Juni 17, 2026 ili kupewa miili ya waathiriwa baada ya ibada ya pamoja.Mnamo . . .
Haya ni mashambulzi ya kwanza ya Israeli nchini Iran tangu mwezi Aprili, baada ya mkataba wa usitishwaji vita kati ya Iran, Marekani na Israeli.Jeshi la Israeli kupitia kupitia ujumbe uliochapishwa kw . . .
Serikali ya Marekani inapanga kuangalia uwezekano wa kuelekeza mali za Iran kwenda mataifa ya Ghuba kwa ajili ya kugharamia ukarabati na fidia ya uharibifu uliosababishwa na mashambulizi ya Iran.Matai . . .