logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
AFYA
  • Na Asha Business
  • 14 masaa yaliopita

Marekani yaidhinisha dawa ya kuzuia VVU

Taasisi ya kudhibiti dawa ya Marekani imeidhinisha dawa mpya ya kuzuia virusi vya Ukimwi.Dawa hiyo inayofanya kazi kwa muda mrefu, Lenacapavir, inahitaji tu kutumika mara moja kila baada ya miezi sita . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 14 masaa yaliopita

Askari waliomfyatulia risasa muuza barakoa Kenya

Maafisa wawili wa polisi waliomshambulia na mmoja wao kumfyatulia risasi kijana aliyekuwa anauza barakoa siku ya maandamano ya kupinga mauaji ya kijana Albert Ojwang aliyefia mikononi mwa polisi nchin . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 14 masaa yaliopita

Africa yaanza kuondoa raia wake Iran

Nchi kadhaa za Kiafrika zinafanya mipango ya kuwarudisha raia wao nyumbani kwa hofu kwamba wanaweza kukwama katika mzozo wa vita baina ya Israel na Iran uliozuka tarehe 13 Juni.Inaelezwa kuwa Uganda i . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 14 masaa yaliopita

Xi Jinping amwambia Vladimir Putin kusitisha mapigano ni 'kipaumbele kisichozuilika

Kiongozi wa China Xi Jinping amemwambia mwenzake wa Urusi Vladimir Putin kwamba usitishaji mapigano katika vita vya Iran na Israeli ni "kipaumbele kisichozuilika," vyombo vya habari vya serikali ya Ch . . .

Top Story
  • Na Jembe Digital
  • 15 masaa yaliopita

Rais wa Jamuhuri Ya Muungano wa Tanzania Dkt, Samia Suluhu Hassan, azindua rasmi daraja la JP Magufuli Jijini Mwanza

Rais Samia Suluhu Hassan leo, Alhamisi Juni 19, 2025 amezindua Daraja la JP Magufuli (Kigongo-Busisi) jijini Mwanza lenye urefu wa kilometa 3.0 na barabara unganishi yenye urefu wa kilometa 1.66. Mio . . .

Uwekezaji
  • Na Jembe Digital
  • 16 masaa yaliopita

Wafungwa 73 wamemaliza mafunzo ya ufundi stadi

WAFUNGWA 73 kutoka magereza mbalimbali nchini wamehitimu mafunzo ya ufundi stadi katika fani mbalimbali Chuo cha Magereza Ruanda jijini Mbeya hatua inayolenga kuwasaidia kupata ajira au kujiajiri pind . . .

Kilimo
  • Na Jembe Digital
  • 16 masaa yaliopita

Marobota ya Pamba yanayonunuliwa ndani ya nchi kutotozwa VAT

SERIKALI imesema marobota yote ya pamba yatakayonunuliwa kutoka kwa wakulima na kuuzwa ndani ya nchi hayatatozwa kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) kuanzia sasa tofauti na ilivyozoeleka awali.Waziri wa . . .

Uwekezaji
  • Na Jembe Digital
  • 16 masaa yaliopita

Tanesco yawakumbusha wateja madeni na malipo ya bill kabla na baada

 Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limewataka wateja wao kulipa madeni ya malipo ya kabla na baada ili kuboresha huduma ya umeme iweze kuwa na ufanisi kwa taifa.Hayo ameyasema leo jijini Dar es . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • 16 masaa yaliopita

Samia kuacha maagizo mazito wilayani Simiyu

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema ujio wa shule za amali pamoja na ufundi zenye michepuo ya ufundi, kilimo, muziki na fani mbalimbali unakwenda kutatua changamoto ya ajira hasa kwa vijana.Alisema serik . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • 17 masaa yaliopita

Uchaguzi mkuu kutowatumia watoto isipokuwa tunakuja wenyewe

Kada wa Chama cha ACT-Wazalendo, Sheikh Ponda Issa Ponda, amesema katika uchaguzi wa mwaka huu hawamtumi mtoto, badala yake wanaenda wenyewe kwa ajili ya kusimamia haki na kuhakikisha mshindi halali a . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • 18 masaa yaliopita

Vijana wajitokeza uzinduzi wa daraja la JP Kigongo Busisi

Vijana zaidi ya 1,000 kutoka wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza wamefanya matembezi ya zaidi ya kilomita 30 kutoka ofisi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Sengerema kuelekea Kata ya Busisi kushuhu . . .

Uwekezaji
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Serikali yashauriwa kuacha kutoza kodi gesi asilia ili kuwavutia wawekezaji

Serikali imeshauriwa kuacha kutoza kodi katika sekta ya gesi asilia na matokeo yake waache wawekezaji waingie, huku ikitafuta vyanzo vingine vya mapato kama vile kuongeza ushuru kwenye samaki wanaoing . . .

AFYA
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Serikali yawekeza Tsh. bilioni 1 kununua vifaa tiba halmashauri ya mji wa Handeni

SERIKALI imewekeza ununuzi wa vifaa tiba vya kisasa vya Sh bilioni 1 kwenye sekta ya afya katika Halmashauri ya Mji Handeni na kuimarisha huduma za afya.Uwekezaji huo ni pamoja na ununuzi wa vifaa tib . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Askari Magereza atiwa kizuizini kwa tuhuma za kumlawiti mwanafunzi

Jeshi la polisi mkoani Kilimanjaro linamshikilia Ofisa wa jeshi la Magereza mwenye cheo cha Sajini aliyefahamika kwa jina la Emmanuel Nyange kwa tuhuma za kumlawiti mwanafunzi wa darasa la saba katika . . .

Uwekezaji
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Askari polisi wapya 4,800 wasajiliwa PSSSF

Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) umesajili askari polisi watarajiwa 4,800 wanaokaribia kumaliza mafunzo yao katika Shule ya Polisi Moshi mkoani Kilimanjaro. Kabla ya zoezi la u . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

TUNDU LISSU AIOMBA MAHAKAMA KUJITETEA

Mwenyekiti ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu ameiomba Mahakama kupewa nafasi ya kujitetee mwenyewe huku akitaja sababu ni kuwa mawakili wake kutopewa nafasi ya faragha kuzung . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Watoa huduma vituo vya malezi ya wazee wakiri vitendo vya kuwanyanyasa na kuwaonea wazee kwa mwaka 2024

Leo ni siku ya kimataifa ya kuelimisha umma kuhusu unyanyasaji dhidi ya wazee ambapo maudhui yam waka huu wa 2025 ni kusaka suluhu ya vitendo hivyo vya unyanyasaji kwenye vituo vinavyotoa huduma ya ma . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Masaju Ateuliwa Jaji Mkuu Kumrithi Profesa Ibrahim

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Jaji wa Mahakama ya Rufani, George Masaju kuwa Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania.Jaji Masaju anachukua nafasi ya Prof. Ibrahim Juma ambaye amestaafu.Kwa mujibu wa taa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Walinzi wa Mapinduzi waapa kulipiza kisasi kifo cha kiongozi wao

Walinzi wa Mapinduzi ya Iran wameapa kulipiza kisasi baada ya kifo cha kiongozi wao, Hossein Salami. Mashambulio haya "hayatabaki bila kujibiwa na (Israeli) lazima itarajie kulipizwa kisasi kikali na . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 7 siku zilizopita

MAADHIMISHO YA SIKU YA WATU WENYE UALBINO DUNIANI

Kila mwaka 13 Juni, dunia huadhimisha Siku ya Kimataifa ya Watu Wenye Ualbino (International Albinism Awareness Day pia ni siku ya kutambua umuhimu wa kulinda haki za watu wenye ualbino kwa wakati huu . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • June 12, 2025

WAISLAM WA MKOA WA MWANZA WAANDAA DUA MAALUMU

Baraza Kuu la Waislamu Mkoa wa Mwanza limeendesha dua maalum kwa ajili ya kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, pamoja na kuliombea Taifa kuelekea uch . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • June 12, 2025

Maandamano yashika kasi jijini Nairobi kumtaka Lagat ajiuzulu

MAMIA ya vijana wanaandamana katika barabara za jiji kuu la Nairobiwakimtaka Naibu Inspekta Jenerali wa Polisi Eliud Lagat ajiuzulu.Maandamano hayo yanatishia kuathiri shughuli nyingi muhimu ndani ya . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • June 12, 2025

Prof Kitila "Serikali imewapunguzia gharama za maisha wananchi"

Serikali imesema kuwa imeendelea kufanya jitihada mbalimbali za kuwawezesha wananchi kiuchumi kwa kuweka mazingira rafiki ya kujipatia kipato kupitia ajira, kujiajiri na shughuli za biashara.Hayo yame . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 12, 2025

Mazishi ya Lungu yazua kutoelewana na serikalli ya Zambia

Edgar Lungu, ambaye aliongoza Zambia kutoka mwaka 2015 hadi 2021, alifariki Alhamisi iliyopita akiwa na umri wa miaka 68, lakini kumezuka mvutano kati ya familia yake, serikali na chama cha siasa cha . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 12, 2025

Ndege Ya Air India Yaanguka Dakika Chache Baada ya Kuruka Ikiwa na Watu 242

Ndege ya Air India Boeing 787 Dreamliner iliyokuwa safarini kutoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Sardar Vallabhbhai Patel, Ahmedabad, kuelekea London, imeanguka muda mfupi baada ya kuruka mchana wa . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • June 12, 2025

Bajeti kuu ya serikali kusomwa leo bungeni

Wakati mkutano wa 19 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ukiendelea Jijini Dodoma, pamoja na mambo mengine leo Juni 12, 2025 kuanzia saa 10:00 jioni, Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba ataw . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • June 11, 2025

MUHIMBILI YAONGEZA KITENGO KIPYA

 Uongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Upanga na Mloganzila umepongeza Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano cha hospitali hiyo kwa kutekeleza majukumu yake kwa weledi na kuitangaza vema hospital . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • June 11, 2025

Viongozi wa Dini Wamjia juu Spika kwa Kumtangaza Museveni ‘Mungu’

Watu mbalimbali katika mitandao ya kijamii wametoa ujumbe wa kumlaani Spika wa Bunge la Uganda, Anita Among baada ya kusema kuwa Rais Yoweri Museveni ni Mungu na kumwita mwanae mwana wa Mungu.Gazeti l . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • June 10, 2025

SHEIKH WA MKOA WA MWANZA KUANDAA DUA MAALUMU

SHEIKH WA MKOA WA MWANZA HASSAN KABEKE AMEELEZA  ITAKAPOFIKA JUNE 12  2025  ITAFANYIKA DUA MAALAMU  YA KULIOMBEA TAIFA NA MUOMBEA  RAIS MHE DR SAMIA SULUHU HASAN KATIKA ENEO L . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • June 10, 2025

Rwanda Yajiondoa Katika Muungano Wa Afrika Ya Kati (ECCAS)

Habari ya kusikitisha ni kwamba, Rwanda imetangaza kujiondoa katika Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika ya Kati (ECCAS), ikimshutumu nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kwa “kutumia nj . . .

Kurasa 1 ya 104

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Marekani yaidhinisha dawa ya kuzuia VVU

    • 14 masaa yaliopita
  • Askari waliomfyatulia risasa muuza barakoa Kenya

    • 14 masaa yaliopita
  • Africa yaanza kuondoa raia wake Iran

    • 14 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode