Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma imemwachia huru Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Melkisedek Kitunzi Kaijage, baada ya upande wa Jamhuri kueleza kuwa hauna nia ya kuendelea na mashtaka yaliyok . . .
Rais Donald Trump amesema hajutii kuanzisha vita nchini Iran licha ya kwamba vita hivyo vitakuwa na athari kwa uchaguzi wa wabunge unaotarajiwa nchini Marekani mwezi Novemba.Wakati wa mahojiano na shi . . .
Urusi inapanua zaidi ushawishi wake barani Afrika. Shirika linalohusika na vituo vya kitamaduni vya Urusi duniani kote limetangaza kusaini makubaliano ya ushirikiano na mashirika ya ndani ambayo tayar . . .
Nigeria imemteua kamanda mpya kuongoza operesheni za kijeshi dhidi ya wanajihadi wa Boko Haram na Islamic State kaskazini mashariki mwa nchi hiyo, akichukua nafasi ya mkuu wa operesheni hiyo aliyedumu . . .
Ufalme wa Tooro nchini Uganda umemteua mfalme mpya kujaza nafasi hiyo kufuatia kifo cha mtangulizi wake Oyo Nyimba, aliyefariki akiwa na umri wa miaka 34, moja ya waliokuwa wafalme vijana zaidi dunian . . .
Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema anaamini vita kati ya Marekani na Iran vinaweza kumalizika muda mfupi baada ya uchaguzi wa katikati ya muhula wa Marekani unaotarajiwa kufanyika Novemba mwaka h . . .
Nchini Kenya, maagizo mapya ya serikali yanayolenga kuwafukuza wafanyabiashara wa kigeni wasio na vibali yanaendelea kuzua utata. Jumanne ya tarehe 8 Septemba ilishuhudia wimbi kubwa la taarifa r . . .
Watalaam wa haki za binadamu kutoka Umoja wa Mataifa wameitaka mamlaka ya Sudan Kusini kuhakikisha inaweka mazingira salama kwa wanasiasa na raia kuelekea uchaguzi mkuu wa mwezi Desemba.Wataalamu hao . . .
VIONGOZI na wakazi wa Mombasa wameelezea wasiwasi kuhusu visa vya vijana kupotea, huku baadhi yao baadaye wakipatikana Nairobi na katika viunga vya jiji hilo.Tukio la hivi majuzi lilihusisha wasichana . . .
Kaimu Waziri wa Ulinzi wa Iran, Majid Ibn e Reza, amesema jeshi la Iran lina uwezo kamili wa kushambulia meli za kivita za Marekani zinazotekeleza kizuizi cha majini dhidi ya Iran.Kauli hiyo inakuja b . . .
Waasi wa Houthi nchini Yemen wameituhumu Saudi Arabia kwa kutekeleza shambulio la anga kwenye gereza kaskazini mwa Mji wa al-Hazm, shambulio ambalo lilisbaabisha vifo vya watu saba akiwemo mtoto.Karib . . .
Wanajeshi wa Ukraine na Urusi wameendelea kukabiliana licha ya juhudi za upatanishi zinazoongozwa na Marekani.Wizara ya ulinzi ya Urusi Jumatatu ya wiki iliripoti kuwa maofisa wake waliendelea kushamb . . .
Makamu wa Rais, Deogratius Ndejembi, ametangaza kifo cha Hafidh Ameir Hassan, ambaye ni mume wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan.Taarifa ya Makamu wa Rais kwa vyombo v . . .
Kenya imejiunga na nchi zingine za Afrika kuunga mkono azimio la Umoja wa Mataifa lililoanzisha Novemba 27 kama Siku ya Kimataifa ya kutokomeza ndoa za utotoni na kulazimishwa.Azimio hilo limepitishwa . . .
Uganda imezuia waombolezaji kutoka DR Congo kuhudhuria mazishi ya mfalme wa Tooro, Oyo Nyimba Kabamba wa nne, ikitaja sababu kuwa mlipuko wa virusi vya Ebola unaoendelea kuripotiwa mashariki mwa Congo . . .
KIONGOZI wa chama cha Democracy for the Citizens Party (DCP), Rigathi Gachagua, anatarajiwa kuanza rasmi shughuli zake za kisiasa nchini Amerika kesho Jumatatu baada ya kukamilisha mapumziko ya siku 1 . . .
SERIKALI imesema usimamizi wa taka hususan katika maeneo ya mjini hauridhishi, kwa kuwa ni wastani wa asilimia 37 tu ya taka ngumu zinazozalishwa, ndizo hukusanywa, hivyo kiasi kikubwa kinachosalia hu . . .
Watu wasiopungua 22 wameangamia baada ya kuvamiwa na moto katika sherehe ya harusi huko Kinshasa, mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, meya wa eneo mji huo ametangaza siku ya Jumamosi, akise . . .
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi Rufiji limekamata jumla ya watuhumiwa 199 kwa makosa mbalimbali katika operesheni na misako iliyofanyika kuanzia Agosti 1 hadi 31, 2026.Kwa mujibu wa taarifa iliyotole . . .
Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani umetangaza kifo cha Mtanzania Khalifa H. Siwa, aliyefariki dunia Septemba 2, 2026, katika Jiji la New York, Marekani.Kwa mujibu wa taarifa il . . .
Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, amesema kuuangusha utawala wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kunawezekana, akidai kuwa serikali hiyo kwa sasa ni dhaifu kuliko wakati mwingine wowote na inapamb . . .
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), António Guterres, ameonya dunia imeingia katika eneo hatari la hali mbaya ya hewa, huku athari za El Niño zikianza kuhisiwa duniani kote.Shirika la Hali ya Hewa . . .
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM – Bara), Stephen Wasira, amekutana na kuzungumza na Kamati ya Wabunge wa CCM, Septemba 2, 2026, katika Ukumbi wa White House Makao Makuu ya Chama . . .
Rais Paul Kagame siku ya Jumatano, Septemba 2, amekutana na James Swan, mkuu mpya wa ujumbe wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa nchini DR Congo (MONUSCO) kwa ajili ya majadiliano kuhusu mgogoro wa us . . .
Ripoti mpya ya shirika la watoto UNICEF imesema kuwa takriban watoto milioni 20 wanaotumia mtandao katika nchi 21 walirubiniwa kimapenzi au kufanyiwa unyanyasaji wa kingono kwenye majukwaa ya kidijita . . .
Nepal inakabiliwa na kazi kubwa ya kujenga upya nyumba takriban 20,000 katika maeneo yaliyoharibiwa na mafuriko, huku waokoaji wakiendelea kuwatafuta maelfu ya watu ambao bado hawajapatikana.Nepal ita . . .
Rais Vladmir Putin amesema bado kuna nafasi ya kufikiwa kwa makubaliano ya amani Ukraine, huku akielezea maonyo ya Ukraine kuhusu hatari kwa ndege zinazotumia anga ya Urusi kuwa sawa na ugaidi unaofan . . .
Serikali ya kijeshi ya Niger, inayoongozwa na Jenerali Abdourahamane Tiani kwa msaada wa washirika wake wa kijeshi kutoka Urusi, ilisema ilizuia uasi uliofanywa na baadhi ya wanajeshi Kulin . . .
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Profesa Palamagamba Kabudi, amezitaka mamlaka katika mikoa 14 kuchukua hatua za mapema za kujiandaa na kukabiliana na madha . . .
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limeanza uchunguzi wa kifo cha mwanafunzi wa Kidato cha Tatu katika Shule ya Sekondari ya Wasichana Loreto, Stellah Wangaluke Shilingi (15), huku likitoa wito kwa wazazi . . .