logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Rais wa Zamani wa Korea Kusini Ahukumiwa Miaka 30 Jela

Mahakama ya Seoul imemhukumu Rais wa zamani wa Korea Kusini, Yoon Suk-yeol, kifungo cha miaka 30 gerezani kufuatia tuhuma za kuhusika katika operesheni ya kijeshi iliyohusisha matumizi ya droni kuelek . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Trump adai makubaliano na Iran yako karibu, Tehran yasema bado haijafanya uamuzi wa mwisho

Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza siku ya  Alhamisi, Juni 11, kwamba alifuta mashambulizi yaliyopangwa kwa siku hiyo dhidi ya Iran, akielezea kwamba "makubaliano mazuri sana" yamefikiwa na . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Kabila avunja ukimya wake na kutoa wito kupambana dhidi ya marekebisho ya katiba

Rais wa zamani Joseph Kabila Kabange ametoa ujumbe mzito kwa raia wa Kongo siku ya Alhamisi, Juni 11, 2026, ambapo anapinga vikali mchakato wa kurekebisha Katiba ya Februari 18, 2006, ulioanzishwa na . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Wanasayansi wanaonya ongezeko la joto duniani linatarajiwa kufikia 1.5°C ifikapo mwaka wa 2030

Katika utafiti uliochapishwa mnamo Juni 11, muungano wa watafiti unabainisha kwamba lengo kuu zaidi la Mkataba wa Tabianchi wa Paris huenda likavukwa ndani ya miaka minne ijayo.Wakati wimbi jipya la j . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

NAIBU WAZIRI WA NISHATI AFUNGUA MKUTANO WA WADAU WA NISHATI SAFI JIJINI ARUSHA

Naibu Waziri wa Nishati, Salome Makamba, amesema Tanzania imepata mafanikio makubwa katika utekelezaji wa ajenda ya nishati safi ya kupikia, ambapo kiwango cha matumizi kimeongezeka kutoka asilimia 6. . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Rais Mstaafu Kikwete Ahudhuria Mkutano wa Viongozi Duniani Norway

Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, amekutana na Bw. Massad Boulos, mwanadiplomasia na Mshauri Mwandamizi wa Rais wa Marekani, Donald Trump, anayeshughulikia masual . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Papa Leo kukutana na wahamiaji katika visiwa vya Canary

Papa Leo XIV anatarajiwa kusafiri Alhamisi hadi visiwa vya Canary vya Uhispania kukutana na wahamiaji, ambao wengi wao walinusurika kutokana na hatari ya kuvuka bahari ya Atlantiki ili kufika kwenye v . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Idadi ya visa vya ebola yaongezeka Kongo

Idadi ya visa vya Ebola vilivyothibitishwa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imeongezeka hadi 635. Misri imeahidi kuisaidia Kongo katika suala la ebola.Idadi ya visa vya Ebola vilivyothibitishwa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Taifa la Ghuba Lapiga Marufuku Kuajiri Wafanyakazi wa Ndani Kutoka Kenya, Nchi Nyingine 25 za Afrika

Kuwait imeanzisha mabadiliko makubwa katika kanuni zake za kuajiri wafanyakazi wa ndani, ikiidhinisha nchi 10 pekee kama vyanzo vya ajira huku ikipiga marufuku kuajiri kutoka kwa nchi zingine 27, ku . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Mtu mmoja auawa katika maandamano ya kupinga kituo cha Ebola

Nchini Kenya, mtu mmoja ameuawa baada ya kupigwa risasi na polisi, wakati wa maandamano yaliyofanyika siku ya Jumanne katika mji wa Nanyuki, baada ya wenyeji kujitokeza kupinga kujengwa kwa kituo cha . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Rubani Atuhumiwa Kurusha Ndege Miaka 17 Bila Kuwa na Leseni Halali

Mamlaka za Canada zimesema rubani wa zamani wa shirika la ndege la Air Canada anatuhumiwa kusafirisha maelfu ya abiria kwa miaka 17 bila leseni halali ya urubani.Polisi walisema ilibainika kuwa Jeffre . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Zaidi ya wahamiaji 1,000 waokolewa pwani ya Mauritania ndani ya siku kumi

Wakati walinzi wa pwani wa Mauritania wakiripoti ongezeko kubwa la watu wanaojaribu kuvuka hadi Visiwa vya Canary tangu mwisho wa mwezi Mei, boti zilizozuiliwa ziliondoka kutoka nchi zilizo mbali zaid . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Taliban yavunja maandamano ya haki za wanawake Afghanistan

Maandamano ya wanawake yazimwa na maafisa wa usalama Herat. Mashuhuda wakiripoti mauwaji ya mtu mmoja na wengine wamejeruhiwa.Maafisa wa usalama wa Afghanistan wamezima maandamano ya kutetea haki za w . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Shambulio la kisu lazusha vurugu Ireland Kaskazini

Waandamanaji wanaopinga wahamiaji wamechoma moto majengo na magari kwenye mji mkuu wa Ireland Kaskazini, Belfast siku moja baada ya kutokea shambulio la kisu linalodaiwa kufanywa na mhamiaji kutoka Su . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Wito wa amani kufuatia kisa cha mauaji msikitini

JAMII katika Kaunti ya Lamu zimesisitiza wito wa ushirikiano kuhubiri amani na utangamano kati yao, kufuatia kisa cha mauaji msikitini wiki chache zilizopita.Msomi wa dini ya kiislamu na imamu, Bw Mah . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

RPC Morcase akanusha uvumi wa maiti sita kuokotwa mto Ruvu

. . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Marubani Wawili Wafariki Katika Ajali ya Private Jet ya Yadier Molina

Gwiji wa zamani wa mchezo wa Baseball, Yadier Molina amenusurika kupanda ndege binafsi aina ya Gulfstream G200 iliyopata ajali na kulipuka moto katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa La Romana Interna . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Helikopta ya Kijeshi ya Marekani Yaanguka Hormuz

Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa wanajeshi wawili wa helikopta ya kijeshi ya Marekani wako salama baada ya kuokolewa katika Mlango Bahari wa Hormuz, eneo linalodhibitiwa kwa sehemu na Iran.K . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Mwendesha mashtaka mkuu wa ICC asimamishwa kazi kutokana na tuhuma za ngono

Mwendesha mashtaka mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu, Karim Khan, amesimamishwa kazi kufuatia kesi za kinidhamu zilizoanzishwa baada ya madai ya unyanyasaji wa kingono kuwasilishwa dhidi yake.B . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Mateka 400 waliokuwa wametekwa na Boko Haram wakabidhiwa kwa serikali

Nchini Nigeria, maafisa wa usalama wamekabidhi kwa serikali wanawake na watoto 400 waliokolewa mikononi mwa wanajihadi wa Boko Haram.Watu hao kwa sasa wamepewa hifadhi ya muda, katika jimbo la Borno, . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Pakistan, Lebanon waongeza ushirikiano wa kijeshi

Pakistan na Lebanon wamekubaliana kuimarisha ushirikiano wa kijeshi wakati mazungumzo ya amani ya Mashariki ya Kati yakiendelea kusuasua.Wakuu wa majeshi wa Pakistan na Lebanon wamekubaliana kuimarish . . .

Dini
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Papa Leo asikiliza manusura wa unyanyasaji Uhispania

Kiongozi wa Kanisa Katoliki Papa Leo XIV amekutana na manusura sita wa unyanyasaji wa kingono unaohusishwa na makasisi mjini Madrid na kuahidi kuzingatia mapendekezo yao kuhusu jinsi Kanisa linavyowez . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Polisi watumia vitoa machozi kutawanya waandamanaji Nanyuki

Polisi wametumia mabomu ya machozi kuwatawanya waandamanaji waliopinga ujenzi wa kituo cha karantini ya Ebola kwa raia wa Marekani.Polisi nchini Kenya wametumia mabomu ya machozi kuwatawanya waandaman . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Wajane wapanda Mlima Kilimanjaro, wahimiza uandikaji wosia katika familia

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,Nurdin Babu amehimiza familia kuandika Wosia ili kupunguza mgogoro kwenye jamii mmoja wa wanandoa hasa mwanaume anapofariki.Wajane 35 kutoka Mkoa Arusha na Kilimanjaro jana . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Viongozi wa Ulaya waunga mkono mazungumzo ya Ukraine, Urusi

Viongozi wa Uingereza, Ujerumani na Ufaransa wanaunga mkono pendekezo la mazungumzo kati ya Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskiy na Rais wa Urusi Vladimir Putin ili kujaribu kufikia makubaliano ya usit . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Watu 20 waangamia kwenye tetemeko la ardhi Ufilipino

Watu 19 wamekufa baada ya tetemeko kubwa la ardhi kutokea kusini mwa Ufilipino. Tetemeko hilo lenye ukubwa wa 7.8 katika kipimo cha Ritcher lilisababisha kutolewa onyo la tsunami katika sehemu mbalimb . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

KIONGOZI WA BUDDHA ASIFU UHURU WA KUABUDU TANZANIA

Kiongozi Mkuu wa dini ya Buddha nchini, Mchungaji Dkt. Ilukuptiye  Pannasekara, amesifu ushirikiano ambao wanaupata sio tu kutoka katika dini zingine bali pia serikalini kwa ujumla.Ametoa kauli h . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Familia zalalamikia kuzuiwa kuchukua miili ya wahanga wa Utumishi Girls

WAZAZI na jamaa za wasichana 16 walioangamia kwenye mkasa wa moto katika Shule ya Wasichana ya Utumishi sasa watasubiri hadi Juni 17, 2026 ili kupewa miili ya waathiriwa baada ya ibada ya pamoja.Mnamo . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Israeli yajibu mashambulio ya Iran

Haya ni mashambulzi ya kwanza ya Israeli nchini Iran tangu mwezi Aprili, baada ya mkataba wa usitishwaji vita kati ya Iran, Marekani na Israeli.Jeshi la Israeli kupitia kupitia ujumbe uliochapishwa kw . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • June 7, 2026

Marekani Yapanga Kutumia Mali za Iran Kufidia Uharibifu Mashariki ya Kati

Serikali ya Marekani inapanga kuangalia uwezekano wa kuelekeza mali za Iran kwenda mataifa ya Ghuba kwa ajili ya kugharamia ukarabati na fidia ya uharibifu uliosababishwa na mashambulizi ya Iran.Matai . . .

Kurasa 1 ya 164

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Shabiki afariki akiingia uwanjani Kombe la Dunia

    • 3 siku zilizopita
  • Utafiti "Kushiriki mapenzi asubuhi huimarisha utendakazi"

    • 3 siku zilizopita
  • Ndoa ya Zari na Shakib Cham yavunjika Baada ya Miaka Mitano

    • 3 siku zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode