logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Afrika
  • Na Asha Business
  • 4 dakika zilizopita

Senegal kuisaidia Mali katika vita dhidi ya makundi ya wanajihadi wa kiislamu

Rais wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye, amesema nchi yake inaiunga mkono Mali kwa asilimia 100, akisema yuko tayari kuisaidia nchi hiyo ya Jirani katika vita dhidi ya wanajihadi wa kiislamu, matamshi . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 22 masaa yaliopita

Dar, Lindi na Mtwara na Hazitaathiriwa ukamilishaji mradi wa Chalinze – Dodoma

Mikoa ya Dar es Salaam, Pwani, Lindi na Mtwara haitakumbwa na changamoto ya kukatika kwa umeme wakati wa utekelezaji wa hatua za mwisho za Mradi wa Njia ya Kusafirisha Umeme wa msongo wa kilovoti 400 . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • 22 masaa yaliopita

Wataalam wa ndani wafanikisha upandikizaji mashine za usikivu

Tanzania imeandika historia mpya katika sekta ya afya baada ya wataalamu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kufanikisha kwa mara ya kwanza upasuaji wa kupandikiza mashine za usikivu (Cochlear Impla . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • jana

Kanali Bienvenu Lamah aachiliwa huru mwishoni mwa kesi ya pili

Nchini Guinea, uamuzi mpya umetangazwa Jumatatu, Julai 27, katika kesi ya mauaji ya Septemba 28, 2009. Mahakama ya Jinai ya Dixinn ilimwachilia huru Kanali Bienvenu Lamah, ambaye alikuwa akishtakiwa k . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • jana

UNAIDS "Dunia iko hatarini kwa mlipuko mwengine wa UKIMWI"

Umoja wa Mataifa unasema kuna dunia iko kwenye hatari ya kuzuka tena kwa mlipuko wa virusi vya ukimwi.Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia UKIMWI UNAIDS limesema hii ni kutokana na ufadhili d . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • jana

Haiti hatimaye kuandaa uchaguzi baada ya mwongo mmoja

Baraza la uchaguzi la Haiti limetangaza kuwa nchi hiyo itafanya uchaguzi wake wa kwanza katika kipindi cha mwongo mmoja, mnamo Disemba 13.Uchaguzi huo lakini utafanyika endapo kutakuwepo na mazingira . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

WAZIRI NDEJEMBI AWASILI SHINYANGA KWA ZIARA YA KIKAZI

Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi (Mb.), amewasili mkoani Shinyanga kwa ziara ya kikazi na kupokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Mboni Mhita, leo Julai 27, 2026.Akiwa mkoani humo, Wa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Mshukiwa wa shambulizi la Berlin apigwa risasi na kuuwawa

Mshukiwa aliyehusika katika mauaji ya mtu mmoja na wengine 29 kujeruhiwa mjini Berlin ameuwawa.Mshukiwa huyo ameuwawa kwa kupigwa risasi na polisibaada ya kuvurumisha gari kwenye umati wa watu wakati . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Maambukizi ya Ebola yapindukia 3,000 Kongo

Wahudumu wa afya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo wamerekodi zaidi ya maambukizi 3,000 ya ugonjwa wa Ebola, vikiwemo zaidi ya vifo 1,354.Haya yanafanyika wakati ambapo maambukizi yameripotiwa kuongezek . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Benki ya maendeleo ya Afrika yatoa tahadhari dhidi ya mvua za El Nino

Benki ya maendeleo ya Afrika (AfDB) imeonya kuwa mvua za El Nino zinazotarajiwa kuanza mwezi Oktoba mwaka huu, huenda zikasababisha hasara ya zaidi Dola Bilioni 10 hadi 20 kwa mataifa ya Afrika.Mkurug . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Olara Otunnu, raia wa Uganda kuwania nafasi ya katibu Mkuu wa UN

Kinyang'anyiro cha kumsaka katibu mkuu ajaye wa Umoja wa Mataifa, sasa kimechukua sura mpya baada ya mgombea wa saba kujitokeza mwanadiplomasia wa Uganda, Olara Otunnu, ambaye ameteuliwa na serikali y . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Moto wa nyika wazidi kusambaa Ufaransa na Uhispania

Nchini Ufaransa, moto umeharibu zaidi ya nyumba 100 katika mji wa Le Porge ulioko karibu na eneo la mapumziko la Cap Ferret, nyumba nyingi zimeteketea kabisa huku zingine zikibaki na kuta zilizochomek . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Watu 35 Wafariki, 30 Wajeruhiwa Ajali Mbaya ya Mabasi Syria

Watu 35 wamefariki dunia na wengine 30 kujeruhiwa kufuatia ajali mbaya ya barabarani iliyohusisha mabasi mawili kugongana kwenye barabara kuu ya Damascus–Deir Ezzor nchini Syria, Jumamosi.Ajali hiyo . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Iran na Oman zapiga hatua kuhusu Mlango Bahari wa Hormuz

Iran na Oman zapiga hatua katika mazungumzo juu ya kuusimamia Mlango Bahari wa Hormuz.Iran imesema imepiga hatua katika mazungumzo na Oman juu ya kuusimamia Mlango-Bahari wa Hormuz, ambao ni njia muhi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Vikosi vya Israel vyaingia ndani ya Syria

Syria imeripoti kwamba Israeimevamia na kufanya mashambulizi mapya ya makombora kusini mwa nchi hiyo.Vyombo vya habari vya serikali ya Syria vimeripoti kwamba vikosi vya Israel viliingia kusini mwa nc . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Ajali Moro Yaua Watu Wawili

Mtu mmoja amefariki dunia na wengine wawili kujeruhiwa katika ajali ya barabarani iliyotokea usiku wa kuamkia Julai 24, 2026, katika eneo la Mafiga, Manispaa ya Morogoro, kando ya barabara kuu ya Moro . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Uingereza yafuta mazozi ya kila mwaka ya wanajeshi wake Kenya

Uingereza imefuta mazoezi ya kila mwaka ya wanajeshi wake nchini Kenya, baada ya kutopata leseni kutoka kwa utawala wa Nairobi.Wizara ya Ulinzi wa Uingereza imethibitisha hatua hiyo siku ya Alhamisi, . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Gavana wa zamani apatikana na hatia ya mauaji

Mahakama nchini Kenya imemkuta na hatia gavana wa zamani wa kaunti ya Migori, Okoth Obado, katika kesi ya mauaji ya mwanafunzi wa chuo kikuu cha Rongo, Sharon Otieno ambaye aliuawa akiwa mjamzito.Huku . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Marekani kuongeza ushuru mpya kwa washirika wake wa kibiashara

Marekani imetangaza kuwa itaongeza ushuru mpya wa forodha wa asilimia 60 kwa washirika wake wa kibiashara, kwa madai kuwa yameshindwa kumaliza utumwa kazini.Wachambuzi wanasema utawala wa Trump unaend . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Nigeria kuajiri wanajeshi wapya 28,000

Rais wa Nigeria Bola Tinubu ameidhinisha kuajiriwa kwa wanajeshi wapya 28,000 ili kuimarisha ulinzi wa taifa hilo la Afrika Magharibi linaloendelea kukabiliwa na migogoro mbalimbali ya kiusalama.Katik . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Mdahalo wa wagombea wa UN wafanyika mjini New York

Wagombea sita wanaowania nafasi ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa wameweka msisitizo mkubwa juu ya kurejesha imani kwa taasisi hiyo, ambayo kwa sasa inakabiliwa na changamoto kubwa.Wagombea hapo wali . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Shirika la afya la AU laitaka Marekani kuondoa vikwazo vya usafiri dhidi ya Uganda

Shirika la afya la Umoja wa Afrika (Africa CDC) linaiomba Marekani kuondoa vikwazo vya usafiri dhidi ya Uganda. Hakuna visa vipya vilivyorekodiwa nchini Uganda tangu Juni 21, na mgonjwa wa mwisho alir . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Trump apokea miili ya wanajeshi wanne wa Marekani waliouawa Mashariki ya kati

Rais wa Marekani Donald Trump siku ya Jumatano,  aliwaongoza viongozi wa serikali, maafisa wa kijeshi na familia za wanajeshi wanne wa nchi yake katika shughuli ya majonzi  kutoa heshima za . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

EMEDO "Tuungane kubadili muelekeo wa vifo vya kuzama maji"

Katika kuelekea maadhimisho ya siku ya kuzuia kuzama maji duniani jamii jijini mwanza imetakiwa kufanya kazi kwa kuzingatia usalama wao hasa wanapokuwa katika shughuli za uvuvi ili kuzuia vifo vito . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

RAIS MWINYI AZUNDUA KITUO CHA MABASI ZANZIBAR

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akizindua Kituo cha Mabasi ya Umeme (ZAN BUS), kilichopo Malindi, Mkoa wa Mjini Magharibi, Unguja, leo tarehe . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Saudi Arabia na Marekani Wasaini Mkataba wa Matumizi ya Nishati ya Nyuklia

Saudi Arabia na Marekani zimesaini makubaliano ya ushirikiano kuhusu matumizi ya nishati ya nyuklia kwa madhumuni ya amani, hatua inayolenga kuimarisha ushirikiano wa kimkakati kati ya mataifa hayo ma . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Rais Samia Ahutubia Mkutano wa AU Kuhusu Afya Ghana

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amehutubia Mkutano Maalum wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika (AU) kuhusu afya uliofanyika katika Hoteli ya Elisa, jijini . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Wadephul kukutana na Ramaphosa mjini Johannesburg

Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani, Johann Wadephul, anahitimisha leo ziara yake ya siku nne barani Afrika nchini Afrika Kusini ambapo anatarajiwa kufanya mikutano tofauti na Rais Cyril Ramaphosa .Wa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Wagombea wa nafasi ya Katibu Mkuu wa UN kushiriki mdahalo

Wagombea wanaowania nafasi ya katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa watapambana leo katika mdahalo utakaofanyika kwenye Ukumbi wa Baraza Kuu la Umoja huo, wiki moja kabla ya kuanza rasmi kwa mchakato wa ute . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

WIZARA YA MADINI YAZITAKA KAMPUNI ZA KIGENI KUHESHIMU SHERIA, YAWAHAMASISHA WATANZANIA KUCHANGAMKIA FURSA MIGODINI.

Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, ameziagiza kampuni kubwa za kigeni zinazowekeza katika sekta ya madini nchini kuzingatia kikamilifu sheria, kanuni na masharti ya mikataba ya uwekezaji ili kuhakikis . . .

Kurasa 1 ya 170

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Senegal kuisaidia Mali katika vita dhidi ya makundi ya wanajihadi wa kiislamu

    • 4 dakika zilizopita
  • Dar, Lindi na Mtwara na Hazitaathiriwa ukamilishaji mradi wa Chalinze – Dodoma

    • 22 masaa yaliopita
  • Wataalam wa ndani wafanikisha upandikizaji mashine za usikivu

    • 22 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode