logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
matukio
  • Na Jembe Digital
  • 13 masaa yaliopita

Iran Yakiri Maelfu Kuuawa Katika Maandamano, Takwimu Zazua Mabishano

Msemaji wa idara ya mahakama ya Iran amesema hadi sasa hakuna adhabu yoyote ya kifo iliyotolewa inayohusiana na maandamano ya hivi karibuni ya kuipinga serikali.Afisa mmoja wa serikali ya Iran amesema . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 14 masaa yaliopita

EU Yaitisha Mkutano wa Dharura Baada ya Trump Kutishia Ushuru Mpya

Mabalozi wa Umoja wa Ulaya wanazidisha juhudi za kumzuia Rais wa Marekani Donald Trump  asiwawekee washirika wa Ulaya ushuru mkubwa, wakati wakijitayarisha na hatua za kulipiza kisasi endapo ushu . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 14 masaa yaliopita

Rais wa Guatemala atangaza hali ya hatari

Rais Bernardo Arevalo wa Guatemala ametangaza hali ya hatari ili kukabiliana na magenge yaliyouwa maafisa wanane wa polisiAmbapo Arevalo alisema kuwa tayali vyombo vya usalama vimerejesha udhibiti wa . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 14 masaa yaliopita

Viongozi wa Kimataifa Waalikwa Kusimamia Awamu ya Pili ya Makubaliano ya Kusitisha Vita Gaza

Waziri wa Mambo ya Nje wa Hungary Peter Szijjarto amesema kuwa Waziri Mkuu Viktor Orban amekubali mwaliko wa kujiunga na bodi ya kimataifa itakayokuwa na jukumu la kusimamia utekelezaji wa hatua zinaz . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • 16 masaa yaliopita

Ruto achukua washauri wa kiuchumi wa Raila

RAIS William Ruto amewachukua baadhi ya wapangaji mikakati waliokuwa wakihudumu katika ODM chini ya aliyekuwa waziri mkuu marehemu Raila Odinga kumsaidia katika safari ya kuhakikisha nchi inapiga hatu . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 16 masaa yaliopita

Watu wasiopungua 21 wafariki baada ya treni mbili kugongana

Watu kadhaa wamefariki na wengine kujeruhiwa siku ya Jumapili, Januari 18, kusini mwa Uhispania, msemaji wa kikosi jamii, Guardia Civil, ametangaza, wakati treni ilipoacha njia yake na kugongana na tr . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 16 masaa yaliopita

Kihongosi aagiza Mganga Mfawidhi achukuliwe hatua

Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi, amemtaka Mganga Mfawidhi wa Halmashauri ya Itigi kuchukua hatua za kinidhamu dhidi ya Mganga Mfawidhi wa Kituo . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Watu saba wauawa katika machafuko Uganda

Takribani watu saba wameuwawa katika machafuko usiku wa kuamkia leo katikati mwa Uganda ikiwa ni siku moja baada ya uchaguzi wa kitaifa ambao unaonekana kumrejesha madarakani Rais Yoweri Museveni kwa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Rais wa Zamani wa Korea Kusini Yoon Suk Yeol Apatikana na Hatia

Rais wa zamani wa Korea Kusini, Yoon Suk Yeol, ambaye aliondolewa madarakani, ametiwa hatiani kwa matumizi mabaya ya madaraka na kughushi nyaraka, kuhusiana na jaribio lake lililoshindikana la kutanga . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Marekani yatishia kuchukua hatua za kijeshi dhidi ya Iran

Marekani kwa mara nyingine imeitishia serikali ya Iran juu ya uwezekano wa kuchukua hatua za kijeshi kutokana na ukandamizaji wakati wa maandamano makubwa ya kitaifa.Balozi wa Marekani katika Umoja wa . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Bobi Wine Awekewa Kizuizi Nyumbani Wakati Kura Zikihesabiwa

Kiongozi wa upinzani nchini Uganda Bobi Wine anaripotiwa kuwekwa katika kizuizi cha nyumbani huku mchakato wa kuhesabu kura za uchaguzi mkuu ukiendelea nchini humo.Hatua hiyo inakuja wakati matokeo ya . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Spika Zungu Akutana na Spika wa India New Delhi

Spika wa Bunge la India Mheshimiwa Shri Om Birla amekutana na kufanya mazungumzo na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Mussa Azzan Zungu katika ofisi za Bunge la India jijini . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Mkuu wa Mipango Mbogwe Afikishwa Baraza la Maadili

Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma imemfikisha mbele ya Baraza la Maadili Mkuu wa Idara ya Mipango wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe mkoani Geita Alex Manyama kwa tuhuma za matumizi mabaya y . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Ulaya Yatuma Vikosi Greenland Kusaidia Denmark

Vikosi vya kijeshi kutoka mataifa kadhaa ya Ulaya ikiwemo Ujerumani na Ufaransa vinaendelea kuwasili katika kisiwa kinachojitawala cha Greenland kwa lengo la kuonyesha mshikamano na Denmark kuhusu usa . . .

Afrika Mashariki
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Angola yajadili suala la usalama na viongozi wa kidini nchini DRC

Rais wa Angola Joao Lourenco ambaye pia ni mwenyekiti wa Umoja wa Afrika (AU) alikutana na viongozi wa kidini kutoka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo mjini Luanda siku ya Jumatano kujadili hali . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Upigaji Kura Uganda Wachelewa Kuanza, Mashine za Uthibitishaji Zatajwa Kuwa Kikwazo

Shughuli ya upigaji kura nchini Uganda imechelewa kuanza katika maeneo mengi ya nchi hali iliyozua wasiwasi miongoni mwa wapiga kura waliowasili mapema vituoni. Awali vituo vya kupiga kura vilitaraji . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Denmark yashindwa kuafikiana na Marekani kuhusu Greenland

Maafisa wa Denmark na Greeland wamesema wameshindwa kuafikiana na kubadili mawazo ya utawala wa Rais Donald Trump kuhusu azma ya Marekani kukinyakua kisiwa kinachojitawala cha Greenland.Waziri wa Mamb . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Trump: Mipango ya waandamanaji kunyongwa Iran imesitishwa

Idadi ya vifo kufuatia maandamano yanayoendelea kuitikisa Iran imeongezeka na kufikia watu 3,428 hayo ikiwa ni kulingana na shirika la haki za binadamu la Iran.Maandamano hayo yamezusha pia hali ya wa . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Raia wa Uganda wanapiga kura leo kumchagua Rais

Raia zaidi ya milioni 21 wa Uganda wanapiga kura Alhamisi  ya leo katika uchaguzi wa rais unaotarajiwa kuendeleza utawala wa muda mrefu wa Rais Yoweri Museveni.Ikiwa Museveni mwenye umri wa miaka . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Raia wa Kenya Akamatwa Arusha kwa Wizi wa Tsh Milioni 91 Ndani ya Benki

Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limefanikiwa kumkamata mtu mmoja aitwaye Denis Ogesa (28) mkazi wa Nairobi nchini Kenya, kwa tuhuma za kuvunja na kuingia katika tawi la benki ya Azania iliyopo katika m . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Maafa ya maandamano yakiongezeka Iran

MBUNGE wa Iran ameonya kuwa serikali itakabiliwa na maandamano makubwa zaidi iwapo haitashughulikia malalamishi ya wananchi huku maandamano ya kitaifa ya kupinga uhalali wa viongozi wa kidini nchini h . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Uchunguzi waonyesha aliyefariki akikwea Mlima Kenya alikosa hewa

UCHUNGUZI wa maiti umebaini kuwa mwanamume aliyefariki akikwema Mlima Kenya, alifariki kutokana na kukosa hewa ya oksijeni, hatua iliyosaidia kuleta afueni kwa familia yake baada ya wiki kadhaa za sin . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Mtuhumiwa adaiwa kujinyonga akiwa mahabusu, Polisi kufanya uchunguzi

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linafanya uchunguzi wa tukio la kujinyonga kwa mtuhumiwa aitwaye Michael Lambau (18), mkazi wa mtaa wa Karikacha, Kata ya Rau Manispaa ya Moshi akiwa mahabusu katik . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Waziri wa zamani wa Burkina Faso auawa

Mamlaka za mahakama zimefungua uchunguzi na kutoa wito kwa mashahidi wowote kujitokeza kutoa taarifa kuhusu waziri wa zamani wa Burkina Faso, Yolande Viviane Compaoré aliyeuawa katika makazi yake mji . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Marekani kufuta ulinzi wa kufukuzwa kwa wahamiaji Wasomali

Mareani imesema itafuta hadhi ya ulinzi wa muda kwa baadhi ya wahamiaji kutoka Somalia ambapo hatua hii ni katika kuendeleza juhudi za rais Donald Trump kuwafukuza watu wengi kutoka nchini Marekani.Ut . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

EU yajiandaa kuweka vikwazo vipya dhidi ya Iran

Rais wa Halmashauri Kuu ya Umoja wa Ulaya, Ursula von der Leyen, amesema Umoja huo unajiandaa kuweka vikwazo vipya dhidi ya Iran.Rais wa Halmashauri Kuu ya Umoja wa Ulaya Ursula von der Leyen amesema . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Iran: Marekani yatafuta 'kisingizio cha kuingilia kijeshi'

Iran imedai Marekani inatafuta sababu ya kuingilia kati kijeshi kwa kutumia maandamano ya machafuko ya Wairan wanaopinga hali ngumu ya maisha.Ambapo serikali ya Iran imeishutumu Marekani kuwa kutafuta . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Zelensky akiri hali ni ngumu nchini Ukraine

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema baada ya karibu miaka minne ya vita, hali ya ugumu wa maisha  nchini mwake inaendelea kuwa mbaya zaidi katika eneo la vita na kwa watu kote katika nchi . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Marufuku kwa kaunti na mashirika ya umma kuajiri mawakili wa kibinafsi

MAHAKAMA Kuu imepiga marufuku kwa muda mashirika ya umma na serikali za kaunti kuajiri mawakili binafsi pale ambapo kuna mawakili wa serikali au mawakili wa kaunti wanaoweza kushughulikia kazi husika. . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Watoto 2 wanusurika kifo ajali ya moto Mtwara

Tukio hilo limetokea January 12, 2026 katika mtaa wa Ligula "A" kata ya Chuno halmashauri ya Manispaa ya Mtwara Mikindani mkoani Mtwara.Baadhi ya mashuhuda wa tukio hilo wameeleza kuwa chanzo cha moto . . .

Kurasa 1 ya 134

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Niffer Athibitisha Kuachana na OG, Aomba Kuheshimiwa

    • 13 masaa yaliopita
  • Rais wa Senegal Atangaza Mapumziko Baada ya Kushinda AFCON

    • 13 masaa yaliopita
  • Iran Yakiri Maelfu Kuuawa Katika Maandamano, Takwimu Zazua Mabishano

    • 13 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode