Rais wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye, amesema nchi yake inaiunga mkono Mali kwa asilimia 100, akisema yuko tayari kuisaidia nchi hiyo ya Jirani katika vita dhidi ya wanajihadi wa kiislamu, matamshi . . .
Mikoa ya Dar es Salaam, Pwani, Lindi na Mtwara haitakumbwa na changamoto ya kukatika kwa umeme wakati wa utekelezaji wa hatua za mwisho za Mradi wa Njia ya Kusafirisha Umeme wa msongo wa kilovoti 400 . . .
Tanzania imeandika historia mpya katika sekta ya afya baada ya wataalamu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kufanikisha kwa mara ya kwanza upasuaji wa kupandikiza mashine za usikivu (Cochlear Impla . . .
Nchini Guinea, uamuzi mpya umetangazwa Jumatatu, Julai 27, katika kesi ya mauaji ya Septemba 28, 2009. Mahakama ya Jinai ya Dixinn ilimwachilia huru Kanali Bienvenu Lamah, ambaye alikuwa akishtakiwa k . . .
Umoja wa Mataifa unasema kuna dunia iko kwenye hatari ya kuzuka tena kwa mlipuko wa virusi vya ukimwi.Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia UKIMWI UNAIDS limesema hii ni kutokana na ufadhili d . . .
Baraza la uchaguzi la Haiti limetangaza kuwa nchi hiyo itafanya uchaguzi wake wa kwanza katika kipindi cha mwongo mmoja, mnamo Disemba 13.Uchaguzi huo lakini utafanyika endapo kutakuwepo na mazingira . . .
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi (Mb.), amewasili mkoani Shinyanga kwa ziara ya kikazi na kupokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Mboni Mhita, leo Julai 27, 2026.Akiwa mkoani humo, Wa . . .
Mshukiwa aliyehusika katika mauaji ya mtu mmoja na wengine 29 kujeruhiwa mjini Berlin ameuwawa.Mshukiwa huyo ameuwawa kwa kupigwa risasi na polisibaada ya kuvurumisha gari kwenye umati wa watu wakati . . .
Wahudumu wa afya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo wamerekodi zaidi ya maambukizi 3,000 ya ugonjwa wa Ebola, vikiwemo zaidi ya vifo 1,354.Haya yanafanyika wakati ambapo maambukizi yameripotiwa kuongezek . . .
Benki ya maendeleo ya Afrika (AfDB) imeonya kuwa mvua za El Nino zinazotarajiwa kuanza mwezi Oktoba mwaka huu, huenda zikasababisha hasara ya zaidi Dola Bilioni 10 hadi 20 kwa mataifa ya Afrika.Mkurug . . .
Kinyang'anyiro cha kumsaka katibu mkuu ajaye wa Umoja wa Mataifa, sasa kimechukua sura mpya baada ya mgombea wa saba kujitokeza mwanadiplomasia wa Uganda, Olara Otunnu, ambaye ameteuliwa na serikali y . . .
Nchini Ufaransa, moto umeharibu zaidi ya nyumba 100 katika mji wa Le Porge ulioko karibu na eneo la mapumziko la Cap Ferret, nyumba nyingi zimeteketea kabisa huku zingine zikibaki na kuta zilizochomek . . .
Watu 35 wamefariki dunia na wengine 30 kujeruhiwa kufuatia ajali mbaya ya barabarani iliyohusisha mabasi mawili kugongana kwenye barabara kuu ya Damascus–Deir Ezzor nchini Syria, Jumamosi.Ajali hiyo . . .
Iran na Oman zapiga hatua katika mazungumzo juu ya kuusimamia Mlango Bahari wa Hormuz.Iran imesema imepiga hatua katika mazungumzo na Oman juu ya kuusimamia Mlango-Bahari wa Hormuz, ambao ni njia muhi . . .
Syria imeripoti kwamba Israeimevamia na kufanya mashambulizi mapya ya makombora kusini mwa nchi hiyo.Vyombo vya habari vya serikali ya Syria vimeripoti kwamba vikosi vya Israel viliingia kusini mwa nc . . .
Mtu mmoja amefariki dunia na wengine wawili kujeruhiwa katika ajali ya barabarani iliyotokea usiku wa kuamkia Julai 24, 2026, katika eneo la Mafiga, Manispaa ya Morogoro, kando ya barabara kuu ya Moro . . .
Uingereza imefuta mazoezi ya kila mwaka ya wanajeshi wake nchini Kenya, baada ya kutopata leseni kutoka kwa utawala wa Nairobi.Wizara ya Ulinzi wa Uingereza imethibitisha hatua hiyo siku ya Alhamisi, . . .
Mahakama nchini Kenya imemkuta na hatia gavana wa zamani wa kaunti ya Migori, Okoth Obado, katika kesi ya mauaji ya mwanafunzi wa chuo kikuu cha Rongo, Sharon Otieno ambaye aliuawa akiwa mjamzito.Huku . . .
Marekani imetangaza kuwa itaongeza ushuru mpya wa forodha wa asilimia 60 kwa washirika wake wa kibiashara, kwa madai kuwa yameshindwa kumaliza utumwa kazini.Wachambuzi wanasema utawala wa Trump unaend . . .
Rais wa Nigeria Bola Tinubu ameidhinisha kuajiriwa kwa wanajeshi wapya 28,000 ili kuimarisha ulinzi wa taifa hilo la Afrika Magharibi linaloendelea kukabiliwa na migogoro mbalimbali ya kiusalama.Katik . . .
Wagombea sita wanaowania nafasi ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa wameweka msisitizo mkubwa juu ya kurejesha imani kwa taasisi hiyo, ambayo kwa sasa inakabiliwa na changamoto kubwa.Wagombea hapo wali . . .
Shirika la afya la Umoja wa Afrika (Africa CDC) linaiomba Marekani kuondoa vikwazo vya usafiri dhidi ya Uganda. Hakuna visa vipya vilivyorekodiwa nchini Uganda tangu Juni 21, na mgonjwa wa mwisho alir . . .
Rais wa Marekani Donald Trump siku ya Jumatano, aliwaongoza viongozi wa serikali, maafisa wa kijeshi na familia za wanajeshi wanne wa nchi yake katika shughuli ya majonzi kutoa heshima za . . .
Katika kuelekea maadhimisho ya siku ya kuzuia kuzama maji duniani jamii jijini mwanza imetakiwa kufanya kazi kwa kuzingatia usalama wao hasa wanapokuwa katika shughuli za uvuvi ili kuzuia vifo vito . . .
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akizindua Kituo cha Mabasi ya Umeme (ZAN BUS), kilichopo Malindi, Mkoa wa Mjini Magharibi, Unguja, leo tarehe . . .
Saudi Arabia na Marekani zimesaini makubaliano ya ushirikiano kuhusu matumizi ya nishati ya nyuklia kwa madhumuni ya amani, hatua inayolenga kuimarisha ushirikiano wa kimkakati kati ya mataifa hayo ma . . .
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amehutubia Mkutano Maalum wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika (AU) kuhusu afya uliofanyika katika Hoteli ya Elisa, jijini . . .
Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani, Johann Wadephul, anahitimisha leo ziara yake ya siku nne barani Afrika nchini Afrika Kusini ambapo anatarajiwa kufanya mikutano tofauti na Rais Cyril Ramaphosa .Wa . . .
Wagombea wanaowania nafasi ya katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa watapambana leo katika mdahalo utakaofanyika kwenye Ukumbi wa Baraza Kuu la Umoja huo, wiki moja kabla ya kuanza rasmi kwa mchakato wa ute . . .
Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, ameziagiza kampuni kubwa za kigeni zinazowekeza katika sekta ya madini nchini kuzingatia kikamilifu sheria, kanuni na masharti ya mikataba ya uwekezaji ili kuhakikis . . .