logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
matukio
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Mhadhiri Udom Melkisedek Kaijage Aachiwa Huru

Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma imemwachia huru Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Melkisedek Kitunzi Kaijage, baada ya upande wa Jamhuri kueleza kuwa hauna nia ya kuendelea na mashtaka yaliyok . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Trump "Sijutii kuanzisha vita nchini Iran "

Rais Donald Trump amesema hajutii kuanzisha vita nchini Iran licha ya kwamba vita hivyo vitakuwa na athari kwa uchaguzi wa wabunge unaotarajiwa nchini Marekani mwezi Novemba.Wakati wa mahojiano na shi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Moscow yatangaza kufunguliwa kwa vituo vipya vya Urusi katika nchi nane za Afrika

Urusi inapanua zaidi ushawishi wake barani Afrika. Shirika linalohusika na vituo vya kitamaduni vya Urusi duniani kote limetangaza kusaini makubaliano ya ushirikiano na mashirika ya ndani ambayo tayar . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Kamanda mpya ateuliwa kuongoza vita dhidi ya Boko Haram

Nigeria imemteua kamanda mpya kuongoza operesheni za kijeshi dhidi ya wanajihadi wa Boko Haram na Islamic State kaskazini mashariki mwa nchi hiyo, akichukua nafasi ya mkuu wa operesheni hiyo aliyedumu . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Ufalme wa Tooro umemteua mfalme mpya

Ufalme wa Tooro nchini Uganda umemteua mfalme mpya kujaza nafasi hiyo kufuatia kifo cha mtangulizi wake Oyo Nyimba, aliyefariki akiwa na umri wa miaka 34, moja ya waliokuwa wafalme vijana zaidi dunian . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Vita Vya Iran Vitaisha Baada ya Uchaguzi wa Novemba

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema anaamini vita kati ya Marekani na Iran vinaweza kumalizika muda mfupi baada ya uchaguzi wa katikati ya muhula wa Marekani unaotarajiwa kufanyika Novemba mwaka h . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Mzozo unaongezeka kuhusu vitisho vya kuwafukuza wafanyabiashara wa kigeni wasio na vibali

Nchini Kenya, maagizo mapya ya serikali yanayolenga kuwafukuza wafanyabiashara wa kigeni wasio na vibali yanaendelea kuzua utata. Jumanne ya tarehe 8 Septemba ilishuhudia wimbi kubwa la taarifa r . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Juba yatakiwa kuweka mazingira salama kuelekea uchaguzi mkuu

Watalaam wa haki za binadamu kutoka Umoja wa Mataifa wameitaka mamlaka ya Sudan Kusini kuhakikisha inaweka mazingira salama kwa wanasiasa na raia kuelekea uchaguzi mkuu wa mwezi Desemba.Wataalamu hao . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Wapwani walalamikia ongezeko la vijana kutekwa na kupatikana Nairobi

VIONGOZI na wakazi wa Mombasa wameelezea wasiwasi kuhusu visa vya vijana kupotea, huku baadhi yao baadaye wakipatikana Nairobi na katika viunga vya jiji hilo.Tukio la hivi majuzi lilihusisha wasichana . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Iran "Tuna uwezo kuzishambulia meli za kivita za Marekani"

Kaimu Waziri wa Ulinzi wa Iran, Majid Ibn e Reza, amesema jeshi la Iran lina uwezo kamili wa kushambulia meli za kivita za Marekani zinazotekeleza kizuizi cha majini dhidi ya Iran.Kauli hiyo inakuja b . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Houthi waituhumu Saudi Arabia kwa shambulio kwenye gereza

Waasi wa Houthi nchini Yemen wameituhumu Saudi Arabia kwa kutekeleza shambulio la anga kwenye gereza kaskazini mwa Mji wa al-Hazm, shambulio ambalo lilisbaabisha vifo vya watu saba akiwemo mtoto.Karib . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Makabiliano yaendelea kuripotiwa licha ya upatanishi wa Marekani

Wanajeshi wa Ukraine na Urusi wameendelea kukabiliana licha ya juhudi za upatanishi zinazoongozwa na Marekani.Wizara ya ulinzi ya Urusi Jumatatu ya wiki iliripoti kuwa maofisa wake waliendelea kushamb . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Mume wa Rais Samia afariki dunia

Makamu wa Rais, Deogratius Ndejembi, ametangaza kifo cha Hafidh Ameir Hassan, ambaye ni mume wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan.Taarifa ya Makamu wa Rais kwa vyombo v . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Nairobi yaunga juhudi za kimataifa kumaliza ndoa za mapema

Kenya imejiunga na nchi zingine za Afrika kuunga mkono azimio la Umoja wa Mataifa lililoanzisha Novemba 27 kama Siku ya Kimataifa ya kutokomeza ndoa za utotoni na kulazimishwa.Azimio hilo limepitishwa . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Kampala yazuia waombolezaji kutoka DRC kuhudhuria mazishi ya mfalme Oyo

Uganda imezuia waombolezaji kutoka DR Congo kuhudhuria mazishi ya mfalme wa Tooro, Oyo Nyimba Kabamba wa nne, ikitaja sababu kuwa mlipuko wa virusi vya Ebola unaoendelea kuripotiwa mashariki mwa Congo . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Siri ya ziara ya Gachagua Amerika

KIONGOZI wa chama cha Democracy for the Citizens Party (DCP), Rigathi Gachagua, anatarajiwa kuanza rasmi shughuli zake za kisiasa nchini Amerika kesho Jumatatu baada ya kukamilisha mapumziko ya siku 1 . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Usimamizi taka ngumu bado hauridhishi

SERIKALI imesema usimamizi wa taka hususan katika maeneo ya mjini hauridhishi, kwa kuwa ni wastani wa asilimia 37 tu ya taka ngumu zinazozalishwa, ndizo hukusanywa, hivyo kiasi kikubwa kinachosalia hu . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Moto wazuka katika sherehe ya harusi na kuua watu wasiopungua 22

Watu wasiopungua 22 wameangamia baada ya kuvamiwa na moto katika sherehe ya harusi huko Kinshasa, mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, meya wa eneo mji huo ametangaza siku ya Jumamosi, akise . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Watuhumiwa 199 Wakamatwa Kwa Makosa Mbalimbali Rufiji

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi Rufiji limekamata jumla ya watuhumiwa 199 kwa makosa mbalimbali katika operesheni na misako iliyofanyika kuanzia Agosti 1 hadi 31, 2026.Kwa mujibu wa taarifa iliyotole . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • September 4, 2026

Ubalozi Wafunguka Mtanzania Khalifa Siwa Afariki Dunia Nchini Marekani, Ubalozi Wafunguka

Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani umetangaza kifo cha Mtanzania Khalifa H. Siwa, aliyefariki dunia Septemba 2, 2026, katika Jiji la New York, Marekani.Kwa mujibu wa taarifa il . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • September 4, 2026

Netanyahu Atishia Kuipindua Serikali ya Iran ‘Utawala Wao Upo Dhaifu’

Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, amesema kuuangusha utawala wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kunawezekana, akidai kuwa serikali hiyo kwa sasa ni dhaifu kuliko wakati mwingine wowote na inapamb . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • September 3, 2026

Kutakuwa na El Niño kubwa zaidi hadi Februari 2027

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), António Guterres, ameonya dunia imeingia katika eneo hatari la hali mbaya ya hewa, huku athari za El Niño zikianza kuhisiwa duniani kote.Shirika la Hali ya Hewa . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • September 3, 2026

Wasira Akutana na Wabunge wa CCM katika Makao Makuu ya Chama

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM – Bara), Stephen Wasira, amekutana na kuzungumza na Kamati ya Wabunge wa CCM, Septemba 2,  2026, katika Ukumbi wa White House Makao Makuu ya Chama . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • September 3, 2026

Kagame ajadili mgogoro wa DR Congo na mkuu mpya wa MONUSCO

Rais Paul Kagame siku ya Jumatano, Septemba 2, amekutana na James Swan, mkuu mpya wa ujumbe wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa nchini DR Congo (MONUSCO) kwa ajili ya majadiliano kuhusu mgogoro wa us . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • September 3, 2026

UNICEF "Takriban watoto Milioni 20 walirubuniwa kimapenzi"

Ripoti mpya ya shirika la watoto UNICEF imesema kuwa takriban watoto milioni 20 wanaotumia mtandao katika nchi 21 walirubiniwa kimapenzi au kufanyiwa unyanyasaji wa kingono kwenye majukwaa ya kidijita . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • September 3, 2026

Nepal kujenga upya nyumba 20,000 baada ya mafuriko

Nepal inakabiliwa na kazi kubwa ya kujenga upya nyumba takriban 20,000 katika maeneo yaliyoharibiwa na mafuriko, huku waokoaji wakiendelea kuwatafuta maelfu ya watu ambao bado hawajapatikana.Nepal ita . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • September 3, 2026

Putin asema kuna fursa ya kufikia amani Ukraine

Rais Vladmir Putin amesema bado kuna nafasi ya kufikiwa kwa makubaliano ya amani Ukraine, huku akielezea maonyo ya Ukraine kuhusu hatari kwa ndege zinazotumia anga ya Urusi kuwa sawa na ugaidi unaofan . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • September 2, 2026

Jaribio la mapinduzi Niger ni tishio kwa demokrasia ya Afrika

Serikali ya kijeshi ya Niger, inayoongozwa na Jenerali Abdourahamane Tiani kwa msaada wa washirika wake wa kijeshi  kutoka Urusi, ilisema ilizuia uasi uliofanywa na baadhi ya wanajeshi Kulin . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • September 2, 2026

MIKOA 14 YATAKIWA KUCHUKUA TAHADHARI DHIDI YA EL NIÑO

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Profesa Palamagamba Kabudi, amezitaka mamlaka katika mikoa 14 kuchukua hatua za mapema za kujiandaa na kukabiliana na madha . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • September 2, 2026

Polisi wachunguza kifo cha mwanafunzi aliyejirusha ghorofani

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limeanza uchunguzi wa kifo cha mwanafunzi wa Kidato cha Tatu katika Shule ya Sekondari ya Wasichana Loreto, Stellah Wangaluke Shilingi (15), huku likitoa wito kwa wazazi . . .

Kurasa 1 ya 175

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Marioo, Jux Na Wasanii Wengine Kushiriki Afrimma Musicfest Dallas

    • 2 siku zilizopita
  • Mhadhiri Udom Melkisedek Kaijage Aachiwa Huru

    • 2 siku zilizopita
  • Marioo, Jux Na Wasanii Wengine Kushiriki Afrimma Musicfest Dallas

    • 2 siku zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode