Didier Mazenga, mjumbe maalum wa Rais wa Kongo Félix Tshisekedi, amezuru Chad siku ya Jumanne, Februari 18. Amefanya ziara hii akirejea kutoka mkutano wa kilele wa Umoja wa Afrika, akiwa na ujumbe ku . . .
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ya jijini Dr es Salaam, imeamuru kutolewa kwa amri ya Mwanasiasa Mkongwe, Dkt. Wibroad Slaa (76) kufikishwa mahakamani ifikapo Machi 4, 2025 ili uweze kutolewa uamuzi w . . .
Jaji wa Mahama nchini Marekani ameruhusu idara inayoongozwa na Elon Musk, inayojulikana kama Idara ya Ufanisi wa Serikali (DOGE), kuendelea na zoezi lake kufukuza na kupungaza wafanyakazi wa serikali . . .
Marekani imeongeza maradufu idadi ya wafungwa wanaodhaniwa kuwa tishio kubwa pamoja na wale wanaosubiri kurejeshwa makao kwenye kituo cha jeshi la wanamajaji la Marekani cha Guantanamo Bay nchini Cuba . . .
Israeli inadai "kuondolewa kabisa kwa wanajeshi katika Ukanda wa Gaza" baada ya vita, Waziri wa Mambo ya Nje wa Israel Gideon Saar amesema siku ya Jumanne.Israeli imedhamiria kufikia "kuachiliwa kwa m . . .
Utalawa wa Trump umeanza kufuta kazi mamia ya wafanyakazi wa idara ya safari za anga na kusababisha hali ya sintofahamu kuelekea kwa wikiendi yenye shughuli nyingi za usafiri wa anga, wiki chache baad . . .
Serikali ya Uingereza imetangaza vikwazo kadhaa dhidi ya spika wa bunge la Uganda na maafisa wengine wa ngazi ya juu serikalini.Spika Anita Among na wabunge wawili wa chama tawala cha NRM, wamewekewa . . .
M23 inayoungwa mkono na Rwanda yuko rasmi katika mji mkuu wa mkoa wa Kivu Kusini, Bukavu, tangu mapema Jumapili asubuhi. Msemaji wa jeshi la Kongo amethibitisha uwepo wa waasi hao katika mji wa Bukavu . . .
Saudi Arabia itakuwa mwenyeji wa mkutano wa maandalizi kati ya maafisa wakuu wa Urusi na Marekani siku ya Jumanne, Februari 18, kabla ya mkutano wa kilele kati ya marais wa Urusi na Marekani kuhusu Uk . . .
Mahakama ya Mauritius imemuachilia kwa dhamana Waziri Mkuu wa zamani Pravid Jugnauth, baada ya kukamatwa Jumamosi kwa tuhuma za usafirishaji haramu wa fedha, baada ya masanduku yaliojaa fedha kupatika . . .
Vijana takribani 132 wenye umri wa kati ya miaka 18 na 22 kutoka mikoa mbalimbali, hasa ya pembezoni mwa Tanzania, wamekutwa huko Mlandizi, Kibaha Vijijini, mkoani Pwani, wakijihusisha na biashara ya . . .
Serikali imesema kwamba taarifa zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii kwamba kampuni moja kutoka Saudi Arabia imepata mkataba wa uwekezaji wa kujenga na kuendesha Bandari ya Bagamoyo sio za kweli.Ta . . .
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene amesema zaidi ya asilimia 40 ya Watumishi wa Umma hawafanyi kazi licha ya kulipwa mshahar . . .
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewasili leo, tarehe 14 Februari 2025, katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Bole, Addis Ababa, nchini Ethiopia, kwa ajili ya . . .
Papa Francis mwenye umri wa miaka 88 amekuwa Papa tangu 2013 na amekuwa akisumbuliwa na matatizo ya kiafya mara kadhaa.Papa Francis amepelekwa hospitali leo Ijumaa saa za asubuhi za Italia kwa ajili y . . .
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) imepiga marufuku ndege zote zilizosajiliwa nchini Rwanda kutumia anga yake kutokana na vita vya uchokozi vinavyoendelea, Shirika la Habari la Kongo (ACP) limetan . . .
Mwanadiplomasia wa Urusi amefukuzwa nchini Uingereza katika mzozo wa hivi karibuni wa kurushiana maneno baada ya Moscow kumtimua afisa wa Uingereza mwaka jana.Waziri wa mambo ya nje wa Uingereza David . . .
Nchi ya Burundi, imetuma wanajeshi wake katika eneo la Gatumba kwenye mpaka wa DRC, ambapo wanatarajiwa kutumwa katika Mji wa Bukavu, Mji Mkuu wa Kivu Kusini.Tangu mwaka wa 2023 mwezi Septemba, B . . .
Afisa wa ngazi ya juu wa Shirika la Afya Duniani WHO, huko Gaza amesema Alhamisi kuwa njia zaidi za kutoka zinahitajika ili kufanya uokozi wa kimatibabu kwa maelfu ya Wapalestina wakiwemo . . .
waziri wa Madini na Rasilimali za Petroli wa Afrika Kusini, Gwede Mantashe ametoa wito kwa nchi za Afrika kusimamisha mauzo ya madini kwenda Marekani.Mwito huo umetolewa baada ya Rais Donald Trump wa . . .
Wapiganaji wa Hamas wamelaani vikali matamshi ya rais wa Marekani Donald Trump kuhusu mipango yake ya kuidhibiti Gaza na kuwahamishia wakaazi katika mataifa mengine iwapo wanataka kuondoka au la.Trump . . .
Taarifa zilizotolewa na Shirika la Habari la Uingereza (BBC) zinasema mwandishi wa mkongwe nchini ambaye aliwahi kuwa mtangazaji wa BBC, Ahmed Rajab amefariki dunia jana jioni huko London, Uingereza.A . . .
Takriban watu 10 Jumanne wameuwawa kwenye ufyatulianaji wa risasi kwenye kituo kimoja cha elimu kati kati mwa Sweden akiwemo mshambuliaji, maafisa wa polisi wamesema.Shambulizi hilo limeorodheshwa kuw . . .
Jeshi la Uganda, UPDF katika taarifa yake limesema litaimarisha ulinzi katika maeneo yake ya oparesheni hadi pale ambapo hali ya kawaida itakaporejea nchini DRC.Kwa mujibu wa UPDF, hatua hii imechukul . . .
Mamlaka nchini Marekani zimesema zimefanikiwa kukipata kisanduku cheusi cha ndege ya abiria iliyogongana na helikopta ya kijeshi ya Black Hawk na kusababisha maafa makubwa.Ajali hiyo imesababisha vifo . . .
Siku chache tangu aliyekuwa Mmiliki wa Shule za Alliance, James Bwire kufariki dunia, mama yake mzazi, Nchagwa Manga naye amefariki dunia leo, Januari 31, 2025 muda mfupi kabla ya kufanyika kwa shughu . . .
Sheikh maarufu nchini, Sheikh Muhammad Idd Muhammad, amefariki dunia leo tarehe 30, Januari, 2025Kwa mujibu wa taarifa ya Ofisi ya Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, kifo chake kimetokea katika Hospita . . .
Hii ni mara ya kwanza kwa rais wa Kongo kuzungumza tangu mashambulizi ya waasi katika siku za hivi karibuni mashariki mwa nchi hiyo, huko Goma. Wakati wa hotuba yake kwa taifa, rais wa Kongo ametangaz . . .
Jumuia ya Afrika Mashariki Jumatano imeitaka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kuzungumza na “wadau wote”, wakiwemo wapiganaji wanaoungwa mkono na Rwanda, ili kumaliza mapigano katika eneo la masha . . .
NAIBU Rais Profesa Kithure Kindiki amemwambia mtangulizi wake Rigathi Gachagua kuwa kauli yake kwamba Rais William Ruto atakuwa rais wa muhula moja ni ndoto na halitakuwa jambo rahisi kutimiza.Ubabe k . . .