Office of Foreign Assets Control (OFAC) ya Marekani imetangaza vikwazo dhidi ya jeshi la Rwanda na maofisa wake wanne wakuu, kwa madai ya kutoa usaidizi wa moja kwa moja wa kijeshi kwa waasi wa M23 na . . .
Samia Suluhu Hassan amesema Serikali imejipanga kuimarisha usalama wa nishati ya mafuta ili kulinda uchumi dhidi ya athari za kupanda kwa bei katika soko la dunia.Rais Samia ametoa kauli hiyo leo, Jum . . .
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi Mradi wa ujenzi wa Matanki ya kupokea mafuta katika Bandari ya Dar es . . .
KAMANDA mmoja katika Kikosi cha Walinzi wa Mapinduzi cha Iran (IRGC) amesema Mkondo-Bahari wa Hormuz (Strait of Hormuz) umefungwa na kuonya kwamba chombo chochote kitakachojaribu kupita eneo hilo kita . . .
Kundi la Hezbollah limethibitisha kuzilenga kambi tatu za kijeshi za Israel katika mashambulizi ya kulipiza kisasi baada ya miundo mbinu yake kushambuliwa na Israel nchini Lebanon.Taarifa ya wanamgamb . . .
Burundi iliwasilisha jina la Macky Sall kugombea kwenye nafasi ya António Guterres kama Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa. Katibu Mkuu mpya wa Umoja wa Mataifa atateuliwa Januari 1. Rais huyo wa zamani . . .
Huko Abiemnhom, katika eneo la utawala la Ruweng linalopakana na Sudan. Ingawa idadi ya vifo bado ni ya muda na sababu za tukio hilo bado hazijulikani katika hatua hii, mamlaka katika eneo hilo . . .
Takriban watu 31 wameuawa kufuatia shambulio la anga lililofanywa na Israel nchini Lebanon mapema leo, kwa mujibu wa mamlaka za Lebanon.Mashambulizi hayo yanatajwa kuwa ni sehemu ya mvutano unaoendele . . .
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amezindua Stendi ya Mabasi ya Dkt. Samia Suluhu Hassan iliyopo Katesh, wilayani Hanang, mkoani Manyara ambayo imejengwa kwa gharama ya sh. bilioni 5.69.Stendi hiyo amb . . .
MAAFISA wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Nchini (KCCA) na Mkurugenzi wa Idara ya Upelelezi Nchini (DCI) Jumapili Machi 1, 2026 walianza uchunguzi katika eneo ambako Mbunge wa Emurua Dikirr Johana Ngén . . .
SERIKALI ya Kenya jana ilitoa ushauri wa kiusalama kwa raia wake wanaoishi au kusafiri Ukanda wa Mashariki ya Kati ikiwataka wachukue tahadhari kutokana na vita kati ya Iran, Israel na Amerika.Tahadha . . .
Mbunge wa Jimbo la Nyamagana mkoani Mwanza, John Nzilanyingi, amewaambia wakazi wa Kata ya Mkolani kuwa atatatua changamoto zote zinazoikabili kata hiyo iliyopo jimboni kwake.Akizungumza katika . . .
Nchini Burkina Faso,milipuko ilisikika karibu na makaazi ya rais jijini Ouagadougou, mwishoni mwa wiki iliyopita na kuzua wasiwasi wa kuwepo kwa jaribio la kumpindua kiongozi wa jeshi Ibrahim Traore.M . . .
Rais wa Marekani Donald Trump anasema yuko tayari kushiriki mazungumzo na viongozi wa Iran wanaosalia, huku mashambulizi na mashambulizi ya kulipiza kisasi yakizidi katika eneo hilo. Siku ya Juma . . .
Mwanazuoni wa Kishia na mjumbe wa Baraza la Walinzi, Alireza Arafi, amechaguliwa kuwa mwakilishi wa wanazuoni wa sheria katika Baraza la Uongozi la Muda la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, chombo kitakach . . .
Vyombo vya habari vya Serikali ya Iran vimethibitisha kuuawa kwa Kiongozi Mkuu wa nchi hiyo, Ayatollah Ali Khamenei, kufuatia mashambulizi yaliyoripotiwa kufanywa na Israel kwa kushirikiana na Marekan . . .
NCHI za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Marekani zimesaini makubaliano ya ushirikiano katika sekta ya afya yenye thamani ya dola za Kimarekani bilioni 1.2. , kulingana na taarifa ya pamoja . . .
WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba amempongeza Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga kwa juhudi za kutatua migogoro ya ardhi katika mkoa wake na kumwelekeza kwenda kwenye kila kijiji chenye fujo ,tu . . .
Benki kuu ya Tanzania (BoT) imeendesha mafunzo maalum kwa waandishi wa habari kutoka mikoa ya Magharibi kwa lengo la kuwajengea uwezo wa kuelewa na kutafsiri kwa usahihi majukumu na kazi za benki hi . . .
SERIKALI imesema imeweka mkakati wa kutangaza madini ya tanzanite nchini Qatar ili kuongeza wigo wa masoko yake na kuvutia uwekezaji na utalii. Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amesema hayo alip . . .
Mkuu wa Wilaya ya Ilemela, Mhe. Amiry Mkalipa amesema serikali haitolipa fidia kwa wananchi waliovamia eneo la kingo za mto Msuka huku akiwataka wananchi kutoendesha shughuli za kilimo kando ya mto . . .
Idara ya Upelelezi wa Jinai (DCI) nchini Kenya imemkamata mshukiwa mmoja anayedaiwa kuhusika katika mtandao wa kuwarubuni raia kujiunga na jeshi la Urusi kupitia ahadi za kazi bandia nje ya nchi, tuki . . .
Mwili wa Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo (81), unaagwa leo katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Yosefu jijini Dar es Salaam, kufuatia kifo chake . . .
Nchi kadhaa, ikiwemo Marekani, zimeongeza tahadhari za usafiri na kuanza kuwaondoa wafanyakazi wasio wa lazima kutoka balozi zao Mashariki ya Kati, kufuatia kuongezeka kwa mvutano kati ya Marekani na . . .
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe. Said Mtanda, Februari 26, 2026 amezindua mafunzo ya maadili kwa viongozi na watumishi wa umma mkoani humo, yanayotolewa na Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Kand . . .
Serikali imewataka wakulima na wafanyabiashara kuendelea kuunga mkono Mfumo wa Stakabadhi za Ghala ili kuongeza tija na uhakika wa masoko huku ikiahidi kuboresha upatikanaji wa pembejeo, mbegu bora, t . . .
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Bunda (BUWSSA) mkoani Mara imeanza kutumia mita za malipo kabla kama mkakati wa kukabiliana na changamoto ya madeni sugu ya wateja wake.Akizungumza kuhusu hat . . .
Waziri Mkuu wa Senegal, Ousmane Sonko, amezindua sheria mpya inayoongeza maradufu adhabu ya juu kwa makosa ya mahusiano ya jinsia moja, ambapo watakaopatikana na hatia watakabiliwa na kifungo cha hadi . . .
Wakazi wa Mkoa wa Simiyu wameiomba Serikali kupitia Tanzania Electric Supply Company (TANESCO) kukamilisha ujenzi wa kituo cha kupozea umeme ili kupata huduma ya uhakika na kuepuka changamoto za mara . . .
Serikali ya Tanzania imesajili rasmi dawa ya Lenacapavir kwa ajili ya kudhibiti na kuzuia maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU), hatua inayotarajiwa kuboresha tiba na kinga dhidi ya maambukizi hayo nc . . .