logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 9 masaa yaliopita

RC Mtanda" kero za wananchi zimeisha ni uongo"

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda amewakosoa baadhi ya viongozi wa Serikali wanaoibuka na kusema kero za wananchi zimeisha kwa kile alichodai huo ni uongo kero za wananchi haziishi bali hupungua.Aki . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 9 masaa yaliopita

Kuzindua upya msaada wa kimataifa kwa maendeleo

Mkutano wa nne wa Kimataifa wa Ufadhili wa Maendeleo umefunguliwa siku ya Jumatatu hii, Juni 30, huko Seville, nchini Uhispania, huku kukiwa na upungufu mkubwa wa misaada ya maendeleo, hasa kutokana n . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 9 masaa yaliopita

Félix Tshisekedi arejelea makubaliano ya amani katika hotuba yake kwa taifa

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) imeadhimisha miaka 65 ya uhuru siku ya Jumatatu, Juni 30. Wakati wa hotuba yake kwa taifa, Mkuu wa Nchi Félix Tshisekedi amezungumza kwa kirefu kuhusu mkataba w . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 9 masaa yaliopita

Watumishi wahimizwa kuzingatia maadili serikalini

Katibu Tawala wa Wilaya ya Arusha, Jacob Rombo amewasihi watumishi wa Wizara ya Ujenzi kuzingatia maadili ya kutunza siri za Utumishi wa Umma kwa kuzingatia kanuni, taratibu na Miongozo iliyowekwa na . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 10 masaa yaliopita

DTO atoa mkakati wa kuanza kupima madereva kila wikendi

Leo julai mosi kwenye Kipindi cha MchakaMchaka amesikika Mkuu  Usalama Barabarani Wilaya ya Ilemela DTO Kilimbida Thomas Kilimbida na kueleza mkakati madhubuti wa kuanza kupima madereva katika si . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • 10 masaa yaliopita

Msajili wa Vyama Vya Siasa hana mamlaka ya Kuzuia Chadema kushiriki uchaguzi mkuu

Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu ameiambia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwamba Msajili wa Vyama vya Siasa hana mamlaka ya kukizuia Chama hicho kushiriki shughuli za siasa kwenye mwaka wa uchaguzi . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • 13 masaa yaliopita

Kiongozi wa (CWT) Tanga achukua fomu kuwania ubunge jimbo la Korogwe mjini

Kiongozi wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) Wilaya ya Tanga, Mwajuma Mohamed amechukua na kurejesha fomu ya kugombea ubunge katika Jimbo la Korogwe Vijijini.Mwajuma ambaye ni Mjumbe Kitengo cha Walimu . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • 13 masaa yaliopita

Aliyekuwa rais wa zamani (MAT)achukua fomu ya ubunge Mbagala

Rais mstaafu wa Chama cha Madaktari Tanzania (MAT) Dkt Elisha Osati amechukua fomu ya kuwania uteuzi kwa ajili ya kugombea ubunge kwenye jimbo la Mbagala katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu.Osati . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • jana

UN yasitisha uchunguzi kuhusu uhalifu uliofanyika mashariki mwa DRC kutokana na ukosefu wa fedha

Ofisi ya Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Haki za Kibinadamu ambayo imeguswa na mzozo mkubwa wa ukwasi unaohusishwa kwa kiasi kikubwa na kusitishwa kwa ufadhili wa Marekani,  imelazimika kuta . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • jana

Makonda amkabidhi majukumu ya Ofisi RC mpya

Leo Juni 30,2025, aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda, amekabidhi ofisi kwa mkuu mpya wa mkoa huo Kenan Kihongosi. 8Hivi karibuni Rais Samia Suluhu Hassan alifanya mabadiliko kwenye na . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • jana

Mkuchu arejesha fomu udiwani Kunduchi

 KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Emmanuel Mkuchu, amekamilisha hatua ya awali ya kugombea nafasi ya udiwani kwa kurejesha fomu ya kuwania nafasi hiyo katika Kata ya Kunduchi, jijini Dar es Sal . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • jana

Nyota wa Yanga ajitosa kuchukua fomu ya ubunge Iringa Mjini

MWANASOKA wa zamani wa timu ya Yanga SC, Ally Msigwa, amejitosa rasmi katika mbio za kisiasa baada ya kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa kuwa mgombea ubunge wa Jimbo la Iringa Mjini kupitia Chama . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Atinga kwa msajili baada ya kuenguliwa kuwania Urais

Siku moja baada ya Chama Cha Alliance Democratic For Change (ADC) kumpata mgombea urais wa Tanzania na Zanzibar, kada wa chama hicho na aliyewahi kuwa Mbunge wa Mwibara mkoani Mara, Mutamwega Mgaywa a . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Odinga amkosoa waziri wa Ulinzi nchini Kenya

Aliyekuwa waziri mkuu wa Kenya Raila Odinga amelaani vikali wito wa waziri wa usalama nchini Kenya Kipchumba Murkomen kwa polisi kuwafyatulia risasi watu watakaojaribu kukaribia vituo vya polisi na ku . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Dkt, Biteko ahudhuria mkutano wa nyuklia Afrika

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt Doto Biteko amewasili Kigali nchini Rwanda, kushiriki mkutano unaohusu masuala ya nyuklia Afrika.Mkutano huo unaoanza  Juni 30 hadi Julai 2025, unajumui . . .

Afrika Mashariki
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Maadhimisho uhuru wa Somalia kufanyika Tanzania

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Said Shaib Mussa amempokea Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Jamhuri ya Shirikisho la Somalia, . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Rais RUTO Ajipalilia Makaa, Awaponda Wananchi Wanaoandamana Kenya

Rais wa Kenya William Ruto amepuuzilia mbali wito ambao umekuwa ukitolewa na waandamanaji na viongozi wa upinzani kumtaka ajiuzulu na kuwapa changamoto ya kutoa mpango mbadala ufaao badala ya kuchoche . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Gavana motoni kwa kuwadhalilisha wanawake wa Taita

WANAWAKE katika Kaunti ya Taita Taveta wamemtaka Gavana Andrew Mwadime kuomba msamaha kwa matamshi ya kuwadhalilisha.Hii ni baada ya Gavana Mwadime kudai kuwa wanawake warefu katika kaunti hiyo wameol . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Msigwa autaka tena ubunge Iringa Mjini akitokea ndani ya (CCM).

ALIYEKUWA Mbunge wa Iringa Mjini kwa miaka 10, Mchungaji Peter Msigwa, amechukua fomu kuwania ubunge Iringa Mjini—safari hii akitokea ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).Ametangaza dhamira yake . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Ngajilo aingia tena uwanja wa Iringa Mjini kugombea ubunge

 Fadhili Fabian Ngajilo, mwanasiasa mwenye rekodi ya utumishi wa muda mrefu ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), leo amechukua rasmi fomu ya kuwania ubunge wa Jimbo la Iringa Mjini kwa mara ya tat . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Makongo achukua fomu kuwania nafasi ya ubunge Chato Kaskazini

 Mwandishi wa habari mwandamizi wa habari za uchunguzi aliyejikita kutetea haki za binadamu, Cosmas Makongo amechukuwa fomu ya kuwania kugombea ubunge wa Jimbo la Chato Kaskazini.Makongo aliyewah . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Ahukumiwa jera maisha kwa kosa la kulawitiwa mtoto

Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Ruangwa, mkoani Lindi, imemhukumu Shabani Mohamed (27), mkazi wa Mchangani, kifungo cha maisha gerezani baada ya kupatikana na hatia ya makosa mawili ya kumbaka na k . . .

UTALII
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Tanzania kushiriki vipengele 50 Tuzo za Utalii Duniani

Wageni 250 wanatarajiwa kushiriki katika utoaji Tuzo za Utalii Duniani Kanda ya Afrika na Bahari ya Hindi kwa mwaka 2025 (World Travel Awards 2025) huku Tanzania ikiingia kwenye kinyang’anyiro vipen . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Watakaobainika na hatia ya kuwatumikisha watoto sheria kutowaonee huruma

HIVI karibuni serikali ilitoa takwimu zikionesha utumikishwaji wa watoto umepungua kutoka asilimia 29 mwaka 2014 hadi asilimia 24.9 mwaka 2021.Hata hivyo, ilisema licha ya takwimu kuonesha kupungua hu . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

CCM kuzuia misafara ya wapambe zoezi la uchukuaji fomu

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimepiga marufuku kwa mwanachama yeyote anayeomba kugombea uongozi kualika kundi la wapambe kumsindikiza kwenda ofisi za chama kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa kugombea.Pia, . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Dk Biteko mgeni rasmi Nishati Bonanza kesho jijini Dodoma

 NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Bonanza la Wizara ya Nishati na taasisi zake litakalofanyika kesho jijini Dodoma.Akizungumzia maandaliz . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

DCEA yabaini pipi za watoto kusafirisha madawa ya kulevya

Serikali kupitia Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imebaini mbinu mpya inayotumiwa na wasafirishaji wa dawa za kulevya kwa kutumia pipi za watoto kama kificho ili kufanikisha . . .

Uwekezaji
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Tanzania waja na vipengele 50 kuwania tuzo ya utalii duniani

Tuzo za Utalii Duniani (WTA) kwa Kanda ya Afrika na Bahari ya Hindi mwaka 2025 zitafanyika Jumamosi, Juni 28, 2025 jijini Dar es Salaam huku Tanzania ikiwania vipengele 50.Akizungumza leo Alhamisi, Ju . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

TRC kuongeza safari za treni kutoka Dodoma-Dar

Shirika la Reli Tanzania (TRC) limetangaza kuongeza safari za treni kati ya Dodoma na Dar es Salaam kwa tarehe 27 na 28 Juni 2025. Safari hizo zimeongezwa ili kukidhi mahitaji ya usafiri kwa wananchi . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Lissu ndani ya mahakama kuu kupinga ushahidi wa siri

Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu leo Juni 27,2025 amefika katika Mahakama ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam kwa ajili ya kesi yake dhidi ya Jamhuri.Lissu amefungua kesi hiyo namba 14496/20 . . .

Kurasa 1 ya 106

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Paul Pogba " Mke Wangu Aliniacha Nilipofungiwa Kucheza Soka"

    • 9 masaa yaliopita
  • Rais Samia airuhusu Yanga kujenga uwanja

    • 9 masaa yaliopita
  • RC Mtanda" kero za wananchi zimeisha ni uongo"

    • 9 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode