logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 5 masaa yaliopita

Mataifa ya Magharibi yanaandaa vita dhidi ya Urusi

Rais Vladimir Putin amesema nchi za Magharibi, zikiongozwa na jumuiya ya kujihami ya NATO, zinajiandaa kikamilifu kwa vita dhidi ya Urusi, huku zikiongeza bajeti zao za ulinzi.Putin aliyasema hayo kat . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 5 masaa yaliopita

Iran na Marekani zatofautiana vipengele vya makubaliano

Iran imekanusha kauli ya rais wa Marekani kwamba ilikubali ukaguzi wa nyuklia "usio na kikomo," ikisema haijafikia makubaliano yoyote ya aina hiyo wakati wa mazungumzo ya amani yaliyofanyika nchini Us . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • 5 masaa yaliopita

Mtindo mpya wa wanawake kuvalia pete ‘kufukuza wanaume wasumbufu’

WANAWAKE wengi wasio na waume nchini Kenya wameibuka na mbinu mpya ya kujikinga dhidi ya usumbufu wa wanaume wanaowafuatilia kimapenzi bila ridhaa yao kwa kuvalia pete zinazofanana na za uchumba au nd . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 5 masaa yaliopita

JKT YAFUNGA MASHINDANO YA CNS CUP 2026, YASISITIZA NIDHAMU KUKUZA VIPAJI

Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limefunga rasmi Mashindano ya Kombe la CNS Cup 2026 katika Kambi ya JKT Mgulani jijini Dar es Salaam, huku likisisitiza umuhimu wa michezo katika kuimarisha nidhamu, uzale . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 7 masaa yaliopita

Oman na Iran Wafungua Mazungumzo Kuhusu Uendeshaji wa Mlango wa Hormuz

Oman na Iran zimekubaliana kuendeleza mazungumzo kuhusu mustakabali wa usimamizi wa shughuli za usafiri wa baharini katika Mlango wa Hormuz, ikiwemo utoaji wa huduma za baharini na gharama zinazohusia . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 7 masaa yaliopita

Familia ya Edgar Lungu Yashinda Rufaa, Mahakama Yaruhusu Azikwe Afrika Kusini

Familia ya rais wa zamani wa Zambia, Edgar Lungu, imepata ushindi mkubwa wa kisheria baada ya Mahakama Kuu ya Rufaa ya Afrika Kusini kuamua kuwa kiongozi huyo wa zamani anaweza kuzikwa nchini humo kul . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • 7 masaa yaliopita

Karibu watoto milioni 100 wameachishwa shule kutokana na migogoro

Idadi ya watoto ambao elimu yao inavurugwa na migogoro au misukosuko ya hali ya hewa inaendelea kuongezeka duniani kote. Sasa imefikia milioni 258, kulingana na ripoti ya Umoja wa Mataifa iliyochapish . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 7 masaa yaliopita

Burundi na DRC zakubaliana kushirikiana katika vita dhidi ya Ebola

Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye ambaye pia ni mwenyekiti wa Umoja wa Afrika ametamatisha ziara yake ya siku 2 hapo jana jijini Kinshasa ambapo amekutana na mwenyeji wake Felix Tshisekedi.Nchi zo . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 7 masaa yaliopita

Niger yawasilisha ombi la kujiondoa kama mwanachama wa ICC

Utawala wa kijeshi wa Niger, umewasilisha rasmi barua ya kutaka kujitoa kama mwanachama wa mahakama ya kimataifa inayoshughulikia kesi za uhalifu wa kivita, hatua hii ikija miezi tisa kupita tangu ita . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • jana

NAIBU WAZIRI QWARAY AIPONGEZA VETA KWA KAZI NZURI YA UTOAJI MAFUNZO YA MAKUNDI MAALUM

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Regina Qwaray, leo tarehe 22 Juni, 2026 ametembelea banda la VETA kwenye maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanay . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • jana

DKT. SAMIA KUZINDUA JENGO LA TIBA MIONZI KCMC

RAIS Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuzindua jengo la Tiba Mionzi katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda KCMC mkoani Kilimanjaro lenye thamani ya Bilioni 17 pamoja na vifaa vyake.Akizungumza na Waan . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • jana

Rais Ruto kutia saini mswada wa fedha wa 2026 kuwa sheria

Rais William Ruto wa kenya, hivi leo anatarajiwa kutia Saini kuwa sheria, muswada wa fedha wa mwaka 2025, baada ya bunge la kitaifa wiki iliopita kuuidhinisha katika hatua ambayo imezua mjadala mpya w . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • jana

Watoto wawili wafariki Ufaransa kutokana na wimbi la joto

Watoto wawili wamekutwa wamekufa ndani ya gari nchini Ufaransa huku sehemu kubwa ya Ulaya ikikabiliwa na joto kali na mamlaka za kitaifa zikichukua hatua kukabiliana na hali hiyo.Watoto hao wenye umri . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • jana

Mlipuko wa Ebola DRC: Visa 1003, vifo 254

Maambukizi 1,003 ya Ebola yamerekodiwa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, ambapo mlipuko wa hivi karibuni umesababisha pia vifo vya watu 254.Hii ni takwimu mpya iliyotolewa jana na taasisi ya Ki . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • jana

Marekani yatangaza kuiondolea vikwazo Iran kwa muda

Marekani imetangaza kuondoa vikwazo dhidi ya Iran kwa muda wa siku 60 kuanzia Jumatatu baada ya kufanyika mazungumzo ya kudumisha makubaliano mapya ya amani huko Uswisi.Hatua hii imechukuliwa baada ya . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

SAMIA AMUAGA RAIS WA NAMIBIA DKT. NETUMBO NDAITWAH

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiagana na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Namibia Mhe. Dkt, Netumbo Nandi-Ndaitwah katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam, . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Chama cha Waziri Mkuu Anayeondoka Abiy Ahmed chashinda 90% ya Viti

Tume ya Uchaguzi ya Ethiopia imetangaza rasmi matokeo ya uchaguzi wa wabunge uliofanyika wiki tatu mapema Jumapili, Juni 21. Chama cha Prosperity Party (PP) cha Waziri Mkuu anayemaliza muda wake Abiy . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Mataifa ya Ulaya yakabiliwa na wimbi la joto kali

Mataifa ya Ulaya yanakabiliwa na wimbi la joto kali huku yakilazimika kuchukua hatua kadhaa ili kuepusha maafa.Serikali ya Ufaransa imeviweka vikosi vya dharura na jeshi katika hali ya tahadhari kutok . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Keir Starmer akabiliwa na shinikizo linalomtaka ajiuzulu

Waziri Mkuu wa Uingereza Keir Starmer anakabiliwa na shinikizo linaloongezeka la kumtaka ajiuzulu.Hii ni baada ya mpinzani wake mkubwa katika Chama cha Labour Andy Burnham kurejea Bungeni baada ya kus . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Mazungumzo kati ya Iran na Marekani yaendelea Uswisi

Mazungumzo kati ya Iran na Marekani yenye lengo la kukomesha vita vya Mashariki ya Kati, yameendelea usiku wa kuamkia Jumatatu licha ya kuwa hatarini kuvunjika.Siku ya Jumapili, ujumbe wa Iran uliondo . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Ruto Aialika Arsenal Kutembelea Kenya Baada ya Sherehe za Ubingwa

Rais wa Kenya, William Ruto, amesema ameialika klabu ya Arsenal kutembelea Kenya baada ya kushuhudia namna mashabiki wa timu hiyo walivyosherehekea ubingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza kwa shamrashamra ku . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Marekani yawawekea vikwazo maafisa wa TPLF kutokana na mvutano Tigray

Marekani imetangaza siku ya Alhamisi kwamba inaweka vikwazo kwa maafisa wa Tigray People's Liberation Front (TPLF), wanaoshutumiwa kudhoofisha amani nchini Ethiopia.Taarifa kutoka Wizara ya Mambo ya N . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Idadi ya vifo yazidi 200, wasiwasi wazuka Kivu Kaskazini kufuatia kuenea kwa virusi

Mlipuko wa virusi vya Ebola unaendelea kuenea mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Nchi hiyo sasa ina wagonjwa 875 waliothibitishwa kuambukizwa virusi vya Ebola, ikiwa ni pamoja na vifo 202 . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Israel yaendeleza mashambulizi yake nchini Lebanon

Jeshi la Israel limesema leo kuwa limefanya mashambulizi ya anga ya usiku kucha dhidi ya maeneo ya wanamgambo wa Hezbollah kusini mwa Lebanon.Kwa mujibu wa jeshi la Israel, mashambulizi hayo yalijibu . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

WAZIRI MCHENGERWA "HAKUNA MGONJWA WA EBOLA NCHINI"

SERIKALI imesema Tanzania bado haina mgonjwa wa Ebola na hali ya usalama wa afya nchini inaendelea kuwa nzuri, huku ikieleza kuwa imeimarisha hatua mbalimbali za kuzuia ugonjwa huo kuingia nchini kuto . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

WAZIRI MKUU AAGIZA USIMAMIZI MZURI WA MITAMBO YA UCHIMBAJI VISIMA

WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka watendaji wa Wizara ya Maji pamoja na Wakuu wa Mikoa wasimamie vizuri mitambo ya uchimbaji visima ili iweze kufanya kazi iliyokusudiwa.Amesema Mheshimiwa Rai . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Marekani na Iran zakubaliana kusitisha vita

Rais wa Marekani Donald Trump na mwenzake wa Iran, Masoud Pezeshkian, wamesaini makubaliano ya awali ya kusitisha vita, na kuanzisha mazungumzo ya siku 60.Hati hiyo inalenga kumaliza mzozo uliochochew . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Milio mingi ya risasi yasikika tangu alfajiri karibu na uwanja wa ndege wa kimataifa

Milio mikubwa ya risasi imesikika tangu alfajiri ya Juni 18, 2026, karibu na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Diori Hamani huko Niamey. Milio ya risasi inaendelea. Eneo hilo limezingirwa. Washambuliaji . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Putin atafuta kuimarisha ushirikiano na nchi za ASEAN

Rais wa Urusi Vladimir Putin hapo jana aliwakaribisha viongozi wa Jumuiya ya Mataifa ya Kusini-Mashariki mwa Asia, ASEAN, wakati nchi hiyo ikilenga kuimarisha biashara na ushirikiano na nchi wanachama . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Mashirika ya UN yaonya juu ya kitisho cha njaa duniani

Mashirika ya chakula ya Umoja wa Mataifa yameonya kuwa kiwango cha njaa kali kinatarajiwa kuongezeka katika maeneo 13 hatarishi duniani katika miezi ijayo.Mashirika ya chakula ya Umoja wa Mataifa yame . . .

Kurasa 1 ya 165

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Mataifa ya Magharibi yanaandaa vita dhidi ya Urusi

    • 5 masaa yaliopita
  • Iran na Marekani zatofautiana vipengele vya makubaliano

    • 5 masaa yaliopita
  • Mtindo mpya wa wanawake kuvalia pete ‘kufukuza wanaume wasumbufu’

    • 5 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode