Rais Vladimir Putin amesema nchi za Magharibi, zikiongozwa na jumuiya ya kujihami ya NATO, zinajiandaa kikamilifu kwa vita dhidi ya Urusi, huku zikiongeza bajeti zao za ulinzi.Putin aliyasema hayo kat . . .
Iran imekanusha kauli ya rais wa Marekani kwamba ilikubali ukaguzi wa nyuklia "usio na kikomo," ikisema haijafikia makubaliano yoyote ya aina hiyo wakati wa mazungumzo ya amani yaliyofanyika nchini Us . . .
WANAWAKE wengi wasio na waume nchini Kenya wameibuka na mbinu mpya ya kujikinga dhidi ya usumbufu wa wanaume wanaowafuatilia kimapenzi bila ridhaa yao kwa kuvalia pete zinazofanana na za uchumba au nd . . .
Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limefunga rasmi Mashindano ya Kombe la CNS Cup 2026 katika Kambi ya JKT Mgulani jijini Dar es Salaam, huku likisisitiza umuhimu wa michezo katika kuimarisha nidhamu, uzale . . .
Oman na Iran zimekubaliana kuendeleza mazungumzo kuhusu mustakabali wa usimamizi wa shughuli za usafiri wa baharini katika Mlango wa Hormuz, ikiwemo utoaji wa huduma za baharini na gharama zinazohusia . . .
Familia ya rais wa zamani wa Zambia, Edgar Lungu, imepata ushindi mkubwa wa kisheria baada ya Mahakama Kuu ya Rufaa ya Afrika Kusini kuamua kuwa kiongozi huyo wa zamani anaweza kuzikwa nchini humo kul . . .
Idadi ya watoto ambao elimu yao inavurugwa na migogoro au misukosuko ya hali ya hewa inaendelea kuongezeka duniani kote. Sasa imefikia milioni 258, kulingana na ripoti ya Umoja wa Mataifa iliyochapish . . .
Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye ambaye pia ni mwenyekiti wa Umoja wa Afrika ametamatisha ziara yake ya siku 2 hapo jana jijini Kinshasa ambapo amekutana na mwenyeji wake Felix Tshisekedi.Nchi zo . . .
Utawala wa kijeshi wa Niger, umewasilisha rasmi barua ya kutaka kujitoa kama mwanachama wa mahakama ya kimataifa inayoshughulikia kesi za uhalifu wa kivita, hatua hii ikija miezi tisa kupita tangu ita . . .
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Regina Qwaray, leo tarehe 22 Juni, 2026 ametembelea banda la VETA kwenye maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanay . . .
RAIS Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuzindua jengo la Tiba Mionzi katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda KCMC mkoani Kilimanjaro lenye thamani ya Bilioni 17 pamoja na vifaa vyake.Akizungumza na Waan . . .
Rais William Ruto wa kenya, hivi leo anatarajiwa kutia Saini kuwa sheria, muswada wa fedha wa mwaka 2025, baada ya bunge la kitaifa wiki iliopita kuuidhinisha katika hatua ambayo imezua mjadala mpya w . . .
Watoto wawili wamekutwa wamekufa ndani ya gari nchini Ufaransa huku sehemu kubwa ya Ulaya ikikabiliwa na joto kali na mamlaka za kitaifa zikichukua hatua kukabiliana na hali hiyo.Watoto hao wenye umri . . .
Maambukizi 1,003 ya Ebola yamerekodiwa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, ambapo mlipuko wa hivi karibuni umesababisha pia vifo vya watu 254.Hii ni takwimu mpya iliyotolewa jana na taasisi ya Ki . . .
Marekani imetangaza kuondoa vikwazo dhidi ya Iran kwa muda wa siku 60 kuanzia Jumatatu baada ya kufanyika mazungumzo ya kudumisha makubaliano mapya ya amani huko Uswisi.Hatua hii imechukuliwa baada ya . . .
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiagana na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Namibia Mhe. Dkt, Netumbo Nandi-Ndaitwah katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam, . . .
Tume ya Uchaguzi ya Ethiopia imetangaza rasmi matokeo ya uchaguzi wa wabunge uliofanyika wiki tatu mapema Jumapili, Juni 21. Chama cha Prosperity Party (PP) cha Waziri Mkuu anayemaliza muda wake Abiy . . .
Mataifa ya Ulaya yanakabiliwa na wimbi la joto kali huku yakilazimika kuchukua hatua kadhaa ili kuepusha maafa.Serikali ya Ufaransa imeviweka vikosi vya dharura na jeshi katika hali ya tahadhari kutok . . .
Waziri Mkuu wa Uingereza Keir Starmer anakabiliwa na shinikizo linaloongezeka la kumtaka ajiuzulu.Hii ni baada ya mpinzani wake mkubwa katika Chama cha Labour Andy Burnham kurejea Bungeni baada ya kus . . .
Mazungumzo kati ya Iran na Marekani yenye lengo la kukomesha vita vya Mashariki ya Kati, yameendelea usiku wa kuamkia Jumatatu licha ya kuwa hatarini kuvunjika.Siku ya Jumapili, ujumbe wa Iran uliondo . . .
Rais wa Kenya, William Ruto, amesema ameialika klabu ya Arsenal kutembelea Kenya baada ya kushuhudia namna mashabiki wa timu hiyo walivyosherehekea ubingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza kwa shamrashamra ku . . .
Marekani imetangaza siku ya Alhamisi kwamba inaweka vikwazo kwa maafisa wa Tigray People's Liberation Front (TPLF), wanaoshutumiwa kudhoofisha amani nchini Ethiopia.Taarifa kutoka Wizara ya Mambo ya N . . .
Mlipuko wa virusi vya Ebola unaendelea kuenea mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Nchi hiyo sasa ina wagonjwa 875 waliothibitishwa kuambukizwa virusi vya Ebola, ikiwa ni pamoja na vifo 202 . . .
Jeshi la Israel limesema leo kuwa limefanya mashambulizi ya anga ya usiku kucha dhidi ya maeneo ya wanamgambo wa Hezbollah kusini mwa Lebanon.Kwa mujibu wa jeshi la Israel, mashambulizi hayo yalijibu . . .
SERIKALI imesema Tanzania bado haina mgonjwa wa Ebola na hali ya usalama wa afya nchini inaendelea kuwa nzuri, huku ikieleza kuwa imeimarisha hatua mbalimbali za kuzuia ugonjwa huo kuingia nchini kuto . . .
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka watendaji wa Wizara ya Maji pamoja na Wakuu wa Mikoa wasimamie vizuri mitambo ya uchimbaji visima ili iweze kufanya kazi iliyokusudiwa.Amesema Mheshimiwa Rai . . .
Rais wa Marekani Donald Trump na mwenzake wa Iran, Masoud Pezeshkian, wamesaini makubaliano ya awali ya kusitisha vita, na kuanzisha mazungumzo ya siku 60.Hati hiyo inalenga kumaliza mzozo uliochochew . . .
Milio mikubwa ya risasi imesikika tangu alfajiri ya Juni 18, 2026, karibu na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Diori Hamani huko Niamey. Milio ya risasi inaendelea. Eneo hilo limezingirwa. Washambuliaji . . .
Rais wa Urusi Vladimir Putin hapo jana aliwakaribisha viongozi wa Jumuiya ya Mataifa ya Kusini-Mashariki mwa Asia, ASEAN, wakati nchi hiyo ikilenga kuimarisha biashara na ushirikiano na nchi wanachama . . .
Mashirika ya chakula ya Umoja wa Mataifa yameonya kuwa kiwango cha njaa kali kinatarajiwa kuongezeka katika maeneo 13 hatarishi duniani katika miezi ijayo.Mashirika ya chakula ya Umoja wa Mataifa yame . . .