logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 16 masaa yaliopita

Marekani Yaiwekea Rwanda Vikwazo kwa Madai ya Kuisaidia M23

Office of Foreign Assets Control (OFAC) ya Marekani imetangaza vikwazo dhidi ya jeshi la Rwanda na maofisa wake wanne wakuu, kwa madai ya kutoa usaidizi wa moja kwa moja wa kijeshi kwa waasi wa M23 na . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 17 masaa yaliopita

Dkt Samia: Tutajiepusha na Athari za Kupanda Bei ya Mafuta

Samia Suluhu Hassan amesema Serikali imejipanga kuimarisha usalama wa nishati ya mafuta ili kulinda uchumi dhidi ya athari za kupanda kwa bei katika soko la dunia.Rais Samia ametoa kauli hiyo leo, Jum . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 19 masaa yaliopita

Rais Samia aweka jiwe la Msingi Mradi wa Ujenzi wa matanki ya kupokea mafuta Bandari ya Dar

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi Mradi wa ujenzi wa Matanki ya kupokea mafuta katika Bandari ya Dar es . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 20 masaa yaliopita

Iran yaapa kushambulia meli zinazopita Mkondo wa Hormuz

KAMANDA mmoja katika Kikosi cha Walinzi wa Mapinduzi cha Iran (IRGC) amesema Mkondo-Bahari wa Hormuz (Strait of Hormuz) umefungwa na kuonya kwamba chombo chochote kitakachojaribu kupita eneo hilo kita . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 20 masaa yaliopita

Hezbollah yazishambulia kambi za kijeshi za Israel

Kundi la Hezbollah limethibitisha kuzilenga kambi tatu za kijeshi za Israel katika mashambulizi ya kulipiza kisasi baada ya miundo mbinu yake kushambuliwa na Israel nchini Lebanon.Taarifa ya wanamgamb . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 20 masaa yaliopita

Burundi yapendekeza Macky Sall kuwania nafasi ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa

Burundi iliwasilisha jina la Macky Sall kugombea kwenye nafasi ya António Guterres kama Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa. Katibu Mkuu mpya wa Umoja wa Mataifa atateuliwa Januari 1. Rais huyo wa zamani . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 20 masaa yaliopita

Angalau raia 169 wameuawa katika mauaji mengine kaskazini mwa nchi

Huko Abiemnhom,  katika eneo la utawala la Ruweng linalopakana na Sudan. Ingawa idadi ya vifo bado ni ya muda na sababu za tukio hilo bado hazijulikani katika hatua hii, mamlaka katika eneo hilo . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Watu 31 Wauawa Shambulio la Israeli Lebanon

Takriban watu 31 wameuawa kufuatia shambulio la anga lililofanywa na Israel nchini Lebanon mapema leo, kwa mujibu wa mamlaka za Lebanon.Mashambulizi hayo yanatajwa kuwa ni sehemu ya mvutano unaoendele . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Waziri Mkuu Azindua Stendi ya Mabasi ya Dkt. Samia Hanang

WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amezindua Stendi ya Mabasi ya Dkt. Samia Suluhu Hassan iliyopo Katesh, wilayani Hanang, mkoani Manyara ambayo imejengwa kwa gharama ya sh. bilioni 5.69.Stendi hiyo amb . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Uchunguzi waanza kuhusu ndege iliyomuua mbunge

MAAFISA wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Nchini (KCCA) na Mkurugenzi wa Idara ya Upelelezi Nchini (DCI) Jumapili Machi 1, 2026 walianza uchunguzi katika eneo ambako Mbunge wa Emurua Dikirr Johana Ngén . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Serikali yatoa tahadhari kwa raia wake wanaoishi Mashariki ya Kati

SERIKALI ya Kenya jana ilitoa ushauri wa kiusalama kwa raia wake wanaoishi au kusafiri Ukanda wa Mashariki ya Kati ikiwataka wachukue tahadhari kutokana na vita kati ya Iran, Israel na Amerika.Tahadha . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

MBUNGE WA NYAMAGANA AHAIDI KUTATUA KERO MKOLANI, ATOA MILIONI 17 KUKAMILISHA SHULE YA MSINGI NYAHINGI

Mbunge wa Jimbo la Nyamagana mkoani Mwanza, John Nzilanyingi, amewaambia wakazi wa Kata ya Mkolani kuwa atatatua changamoto zote zinazoikabili kata hiyo iliyopo jimboni kwake.Akizungumza  katika . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Milipuko yasikika karibu na makazi ya Rais, Ouagadougou

Nchini Burkina Faso,milipuko ilisikika karibu na makaazi ya rais jijini Ouagadougou, mwishoni mwa wiki iliyopita na kuzua wasiwasi wa kuwepo kwa jaribio la kumpindua kiongozi wa jeshi Ibrahim Traore.M . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Trump asema yuko tayari kwa mazungumzo na Iran katikati ya mgogoro unaoongezeka

Rais wa Marekani Donald Trump anasema yuko tayari kushiriki mazungumzo na viongozi wa Iran wanaosalia, huku mashambulizi na mashambulizi ya kulipiza kisasi yakizidi katika eneo hilo. Siku ya Juma . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Arafi Ateuliwa Baraza la Uongozi la Muda Kufuatia Kifo cha Khamenei

Mwanazuoni wa Kishia na mjumbe wa Baraza la Walinzi, Alireza Arafi, amechaguliwa kuwa mwakilishi wa wanazuoni wa sheria katika Baraza la Uongozi la Muda la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, chombo kitakach . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Iran Yathibitisha Kifo cha Kiongozi Mkuu Ali Khamenei Katika Mashambulizi

Vyombo vya habari vya Serikali ya Iran vimethibitisha kuuawa kwa Kiongozi Mkuu wa nchi hiyo, Ayatollah Ali Khamenei, kufuatia mashambulizi yaliyoripotiwa kufanywa na Israel kwa kushirikiana na Marekan . . .

Afrika Mashariki
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Marekani Kutoa Dola Milioni 900 Kusaidia Mapambano ya UKIMWI na Malaria Kongo

NCHI za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Marekani zimesaini makubaliano ya ushirikiano katika sekta ya afya yenye thamani ya dola za Kimarekani bilioni 1.2. , kulingana na taarifa ya pamoja . . .

Kilimo
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Mwigulu Nchemba Aagiza Hatua Kali Dhidi ya Wanaochochea Migogoro ya Ardhi Manyara

WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba amempongeza Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga kwa juhudi za kutatua migogoro ya ardhi katika mkoa wake na kumwelekeza kwenda kwenye kila kijiji chenye fujo ,tu . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Benki Kuu ya Tanzania Yawajengea Uwezo Wanahabari wa Kanda ya Magharibi

Benki kuu ya Tanzania (BoT) imeendesha mafunzo maalum kwa waandishi wa habari kutoka mikoa ya Magharibi kwa lengo la kuwajengea uwezo wa kuelewa na kutafsiri kwa usahihi majukumu na kazi za benki hi . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Tanzania Kuimarisha Diplomasia ya Madini, Tanzanite Kipekee Duniani

SERIKALI imesema imeweka mkakati wa kutangaza madini ya tanzanite nchini Qatar ili kuongeza wigo wa masoko yake na kuvutia uwekezaji na utalii. Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amesema hayo alip . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

DC Ilemela Amiry Mkalipa: Serikali Haitolipa Fidia kwa Waliovamia Kingo za Mto Msuka

Mkuu wa Wilaya ya Ilemela, Mhe. Amiry Mkalipa amesema serikali haitolipa fidia kwa wananchi waliovamia eneo la kingo za mto Msuka huku akiwataka wananchi kutoendesha shughuli za kilimo kando ya mto . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Aliyekuwa Anawauza Wakenya Kujiunga Na Jeshi Urusi Akamatwa

Idara ya Upelelezi wa Jinai (DCI) nchini Kenya imemkamata mshukiwa mmoja anayedaiwa kuhusika katika mtandao wa kuwarubuni raia kujiunga na jeshi la Urusi kupitia ahadi za kazi bandia nje ya nchi, tuki . . .

Dini
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Mwili wa Kardinali Pengo Waagwa Dar es Salaam

Mwili wa Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo (81), unaagwa leo katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Yosefu jijini Dar es Salaam, kufuatia kifo chake . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Mataifa Yaongeza Onyo la Safari Kufuatia Mvutano wa Marekani na Iran

Nchi kadhaa, ikiwemo Marekani, zimeongeza tahadhari za usafiri na kuanza kuwaondoa wafanyakazi wasio wa lazima kutoka balozi zao Mashariki ya Kati, kufuatia kuongezeka kwa mvutano kati ya Marekani na . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

RC Mtanda Afungua Mafunzo ya Maadili kwa Viongozi Mwanza

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe. Said Mtanda, Februari 26, 2026 amezindua mafunzo ya maadili kwa viongozi na watumishi wa umma mkoani humo, yanayotolewa na Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Kand . . .

Kilimo
  • Na Jembe Digital
  • 7 siku zilizopita

Serikali Yaimarisha Mfumo wa Stakabadhi, Choroko Yapaa Bei

Serikali imewataka wakulima na wafanyabiashara kuendelea kuunga mkono Mfumo wa Stakabadhi za Ghala ili kuongeza tija na uhakika wa masoko huku ikiahidi kuboresha upatikanaji wa pembejeo, mbegu bora, t . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 7 siku zilizopita

BUWSSA Yaanza Matumizi ya Mita za Malipo Kabla

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Bunda (BUWSSA) mkoani Mara imeanza kutumia mita za malipo kabla kama mkakati wa kukabiliana na changamoto ya madeni sugu ya wateja wake.Akizungumza kuhusu hat . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 7 siku zilizopita

Sonko Aongeza Adhabu kwa Mahusiano ya Jinsia Moja Senegal

Waziri Mkuu wa Senegal, Ousmane Sonko, amezindua sheria mpya inayoongeza maradufu adhabu ya juu kwa makosa ya mahusiano ya jinsia moja, ambapo watakaopatikana na hatia watakabiliwa na kifungo cha hadi . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 7 siku zilizopita

Wakazi wa Simiyu Walaumu Kukatika kwa Umeme

Wakazi wa Mkoa wa Simiyu wameiomba Serikali kupitia Tanzania Electric Supply Company (TANESCO) kukamilisha ujenzi wa kituo cha kupozea umeme ili kupata huduma ya uhakika na kuepuka changamoto za mara . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 7 siku zilizopita

Tanzania Yasajili Dawa ya Lenacapavir Kudhibiti VVU

Serikali ya Tanzania imesajili rasmi dawa ya Lenacapavir kwa ajili ya kudhibiti na kuzuia maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU), hatua inayotarajiwa kuboresha tiba na kinga dhidi ya maambukizi hayo nc . . .

Kurasa 1 ya 143

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Marekani Yaiwekea Rwanda Vikwazo kwa Madai ya Kuisaidia M23

    • 16 masaa yaliopita
  • Watu 169 Wauawa Kaskazini mwa Sudan Kusini

    • 17 masaa yaliopita
  • Dkt Samia: Tutajiepusha na Athari za Kupanda Bei ya Mafuta

    • 17 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode