logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 7 masaa yaliopita

China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

China imesaini makubaliano ya mradi wa dola bilioni 1.4 na Zambia na Tanzania, kuboresha barabara ya reli ya TAZARA inayoyaunganisha Zambia, ambayo haina bahari na Tanzania yenye bahari ya Hindi.Barab . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 7 masaa yaliopita

Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

Watu waliojihami kwa silaha wanadaiwa kuwateka nyara wanafunzi 52 katika shule moja ya kikatoliki katika jimbo la Niger nchini Nigeria.Taarifa kutoka kwa serikali ya jimbo hilo imethibitisha kutokea k . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 8 masaa yaliopita

Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameelekeza Jeshi la Polisi na Uhamiaji kuhakikisha wanamkamata na kuzuia hati ya kusafiria ya mkandarasi anayejenga mradi wa Kituo . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 8 masaa yaliopita

Uhamiaji Simiyu yaendelea na jitihada za kudhibiti Wahamiaji haramu

‎Ofisi ya Uhamiaji Wilaya ya Busega Mkoani Simiyu inaendelea na juhudi za kuhakikisha usalama wa Taifa kwa kudhibiti wahamiaji haramu kupitia oparesheni na utoaji wa elimu kwa wadau mbalimbali wa us . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 8 masaa yaliopita

Serikali kufuatilia Makala ya CNN kuhusu maandamano ya uchaguzi oktoba 29

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesema inafuatilia kwa umakini makala iliyochapishwa na kurushwa na chombo cha habari cha kimataifa CNN, yenye maudhui yanayohusishwa na maandamano ya Siku . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 8 masaa yaliopita

Dkt, Samia anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi siku mbili mkoani Arusha

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi ya siku mbili mkoani Arusha kuanzia tarehe 21 hadi Novemba 22 mwaka huu.Rais Samia anataraji . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • 9 masaa yaliopita

Kesi ya 3 yawasilishwa kupinga ujenzi wa Chuo Kikuu cha Nyamira

MKAZI mmoja wa Nyamira ameelekea kortini kulenga kuzuia Mawaziri watatu kuendelea na ujenzi wa Chuo Kikuu cha Nyamira katika eneo Kiabonyoru, kituo kilichoteuliwa na Rais William Ruto.Bw Peter Ariga M . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 9 masaa yaliopita

Kanu ahukumiwa kifungo cha maisha jela Nigeria

“Nia yake ilikuwa wazi kabisa kwani aliamini kwa kutumia vurugu. Vitisho hivi vya vurugu vilikuwa ni matendo ya kigaidi, ambayo yalitekelezwa na wafuasi wake”.Mahakama ya Nigeria imemhukumu Nnamdi . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 9 masaa yaliopita

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Aagiza Mkandarasi Kukamatwa Na Kuzuia Hati Yake

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameelekeza Jeshi la Polisi na Uhamiaji kuhakikisha wanamkamata na kuzuia hati ya kusafiria ya mkandarasi anayejenga mradi wa Kituo . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 9 masaa yaliopita

Kiongozi wa upinzani Issa Tchiroma Bakary atoa wito wa watu 'kusalia nyumbani'

Nchini Cameroon, kiongozi wa upinzani Issa Tchiroma Bakary ametangaza siku nyingine ya watu "kusalia numbani" leo Ijumaa, Novemba 21, kwa heshima, aliyoitaja, kwa waathiriwa wa ghasia za baada ya ucha . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 9 masaa yaliopita

Bunge lajadili tuhuma za mateso ya kidini zinazotuhumiwa kutekelezwa na Nigeria

Bunge la Marekani mnamo Novemba 20 limeijadili Nigeria. Wiki tatu zilizopita, Donald Trump aliitaja Nigeria kama nchi "inayotia wasiwasi kuhusu uhuru wa kidini." Ikulu ya White House inadai kwamba jam . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • jana

Waziri Ndejembi akabidhiwa rasmi ofisi na aliyekuwa Naibu Waziri Mkuu dkt, Doto Biteko

Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi leo Novemba, 20 mwaka huu amekabidhiwa rasmi ofisi na aliyekuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mheshimiwa Dkt. Doto Mashaka Biteko kwenye ofisi za . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • jana

Rais Samia aagiza kuchunguzwa kwa taarifa za waandamanaji kulipwa fedha

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameiagiza Tume Huru ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati wa Uchaguzi Mkuu kuchunguza kwa kina taarifa za madai ya . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • jana

Ruto ahutubia taifa Wakenya wakilia hali ngumu ya maisha

MWAKA mmoja baada ya Rais William Ruto kuahidi kwamba atamaliza changamoto zinazokabili sekta ya afya, kupunguza gharama ya maisha na kuimarisha uchumi wa nchi, ni ufanisi mdogo ndio umepatikana Waken . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • jana

Washitakiwa 93 wanaodaiwa kufanya vurugu na unyang'anyi wa kutumia silaha waendelea kusota rumande

Washtakiwa 93 waliokamatwa kwa kesi za uharibifu wa mali, kufanya Vurugu na unyang'anyi wa kutumia silaha Novemba 19 walifikishwa tena katika Mahakama ya Wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza huku upande . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • jana

Trump aapa kukomesha vita vya wenyewe kwa wenyewe Sudan

Rais wa Marekani Donald Trump ameapa kumaliza vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Sudan. Hii ni kufuatia ombi la mwanamfalme wa Saudi Arabia Mohammed bin Salman.Trump amekemea kile alichokiita "ukatil . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • jana

Masauni " Vyombo vya Habari kusaidia kutoa elimu ya Muungano, Mazingira"

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhandisi Hamad Yussuf Masauni amesema Ofisi hiyo imepanga kupanua wigo wa elimu ya Muungano na Mazingira kwa wadau ikiwemo vyombo vya h . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Wivu wa mapenzi wadaiwa kuwa chanzo kifo cha Maria

Kupitia taarifa ya Jeshi hilo iliyotolewa jana Novemba 19, 2025, chanzo cha kifo hicho kinadaiwa kuwa ni wivu wa Chanzo cha tukio hilo kimetajwa kuwa ni wivu wa kimapenzi.Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Emmanuel Macron aanza ziara ya siku tano katika bara la Afrika

Ingawa kivutio cha safari yake kitakuwa mkutano wa kilele wa G20 jijini Johannesburg mnamo Novemba 22 na 23, rais wa Ufaransa anakusudia kutumia ziara hii kwa upana zaidi "kufufua" uhusiano kati ya Uf . . .

Kilimo
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Mtwara wakazi 150 wakabidhiwa hati miliki za ardhi

Zaidi ya wakazi 150 wa Mtaa wa Mbae Mashariki, Kata ya Ufukoni, Manispaa ya Mtwara-Mikindani wamepokea hati miliki za maeneo yao kupitia Kliniki ya Ardhi inayoendeshwa Kata kwa Kata.Kliniki hiyo maalu . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Ukarabati wa Reli ya TAZARA Dkt. Nchimbi Aiwakilisha Tanzania Katika Uwekaji Jiwe la Msingi

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Emmanuel Nchimbi amewasili Jijini Lusaka nchini Zambia Novemba 19 mwaka huu kwaajili ya  kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Wasaidizi 9 wa aliyekuwa Mke wa Rais wa Gabon Wahukumiwa Kwa makosa ya utakatishaji fedha za umma

Mahakama nchini Gabon imewahukumu wasaidizi tisa wa aliyekuwa Mke wa Rais wa Gabon, Sylvia Bongo, na mwanawe Noureddin Bongo, kifungo cha kati ya miaka miwili hadi kumi na tano jel . . .

AFYA
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Mchengerwa aahidi kutoa ushirikiano katika huduma ya afya bora kwa Watanzania

Waziri wa Afya Mhe. Mohamed Mchengerwa ameahidi kuimarisha ushirikiano kati ya Wizara ya Afya na Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM TAMISEMI) akisisitiza kuwa dham . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Wasimamizi wa madini watakiwa kusimamia vyema rasilimali hiyo kwa maendeleo ya nchi

Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde amewataka Watumishi wa Wizara ya Madini na Taasisi zake kutambua kwamba maelekezo yaliyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Hassan kuhus . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Mhe, Ndejembi asisitiza utekelezaji wa Vipaumbele vya Serikali kufikia 2030

Waziri wa Nishati Mhe. Deogratius Ndejembi amewaagiza Watumishi wa Wizara hiyo kufanya kazi kwa bidii ili kutimiza Vipaumbele vya Serikali katika Sekta ya Nishati ikiwemo kufikia Megawati 8000 ifika . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Rais Samia aunda Tume huru ya kuchunguza matukio ya Oktoba 29

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.Samia Suluhu Hassan, ameunda Tume Huru ya kufanya uchunguzi wa matukio ya uvunjifu wa amani yaliyotokea nchini wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Mke wa Besyige amshutumu Rais Museveni kumuandaa mtoto wake kumrithi

Bi. Winnie Byanyima, mke wa kiongozi wa upinzani wa Uganda aliyekamatwa Dkt. Kizza Besigye, amemshutumu rais wa nchi hiyo mwenye umri wa miaka 81, Yoweri Museveni, kwa kumtayarisha mwanawe kumrithi.Pi . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Mwili wa Mtanzania Joshua Mollel waagwa nchini Israel

Ubalozi wa Tanzania nchini Israel kwa kushirikiana na Wizara ya Mambo ya Nje ya Israel ilifanya ibada ya kuuaga mwili wa Mtanzania Joshua Loitu  Novemba  18 mwqka huu katika Mnara wa Mashuja . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Balozi Kombo na manaibu wake wapokelewa Ofisi za Wizara Mtumba

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb) wamepokelewa katika Ofisi za Wizara zilizoko Mji wa Serikali Mtumba baada ya kuapishwa na Rais wa Jamhu . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

WHO kupoteza robo ya wafanyakazi wake ifikapo katikati 2026

Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema idadi ya wafanyakazi wake itapungua kwa takriban robo zaidi ya ajira 2,000 kufikia katikati ya mwaka ujao.Hayo ni katika wakati likijaribu kutekeleza mageuzi baa . . .

Kurasa 1 ya 123

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

    • 7 masaa yaliopita
  • Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

    • 7 masaa yaliopita
  • Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

    • 8 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode