WANAUME wakongwe ambao hunywa sharubati ya zabibu (grape juice) wanapunguza uwezekano wa kuandamwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume, Utafiti umebaini.Watafiti kutoka Chuo Kikuu cha Tianjin, Kaskazini mwa China, wa . . .
Kwa miongo sasa, wanadamu wamekuwa wakikusanyika kwa vikundi vidogo kula chakula pamoja. Kwa nini ni muhimu – na kwa nini tunaendelea na mila hii? Kula chakula pamoja ni jambo la kawaida sana kwa wanadamu. Mikusa . . .
Mamilioni ya watu duniani hupoteza maisha kwa sababu ya magonjwa ya moyo, saratani na uzee. Kwa ugonjwa wa saratani pekee, Shirika la afya duniani (WHO) linakadiria kuwa kufikia mwaka 2030 utapoteza maisha ya watu zaidi . . .
WANANDOA wanapaswa kuwa wazi na kuzungumza bila kuficha chochote kuhusu suala la kushiriki mapenzi katika ndoa yao.Ni muhimu kutambua kuwa ndoa haihusu tu kulea watoto au kushiriki majukumu ya familia, bali pia ni kufura . . .
UNYWAJI wa kahawa unasaidia katika kuimarisha misuli ya mwili miongoni mwa wanaume wakongwe, Wanasayansi wamebaini. Wengi ambao wametinga ukongwe huwa na tatizo la misuli yao kuisha nguvu au kulegea, ugonjwa a . . .
WAKENYA 372,000 wa tabaka la wenye mapato ya chini wamebainika kuugua maradhi ya kisukari na shinikizo la damu ndani ya miezi minne iliyopita, asasi za afya zimefichua.Kati ya hawa, wagonjwa 106, 000 wameagizwa kufanyiwa . . .
Wengi ambao wametinga ukongwe huwa na tatizo la misuli yao kuisha nguvu au kulegea, ugonjwa ambao unafahamika kwa kimombo kama ‘Sarcopenia’.Ugonjwa huo hulemaza uwezo wa mwanaume kuwajibikia majukumu ya kawaida hata . . .
TATIZO la harufu mbaya mdomoni au halitosis, laweza kusababishwa na bakteria ya kinywani. Yaweza kuwa pia kutokana na maradhi ya ufizi au masalio ya chakula kinywani.Wataalamu wa meno wanasema kwamba unapaswa kupiga . . .
NI jukumu la mzazi kusaidia watoto wake kutumia dijitali kukuza talanta zao.Kulingana na mtaalamu wa malezi dijitali , wazazi wanaweza kutumia teknolojia ya dijitali kukuza vipawa vya watoto wao huku wakihakikisha usalam . . .
WAKATI pacha wake James Mwema (aliomba jina libadilishwe) walikuwa wanazaliwa, ilikuwa siku njema maishani mwake.Hata hivyo, walipofikisha umri wa miezi mitatu na nusu, pacha hao hawakuwa wanalala ipasavyo mchana na hata . . .
HUKU idadi ya binadamu ikiendelea kuongezeka ulimwenguni na chakula kuwa haba, wanasayansi wamebaini kuwa kula wadudu ambao wana viwango vya juu vya protini kutakuwa jambo la kawaida miaka mingi inayokuja.Jinsi idad . . .
WANASAYANSI wamegundua mbinu mpya ya kutambua kansa ya matiti huku ikipunguza uwezekano wa matokeo ya kupotosha.Kwa mujibu wa utafiti uliochapishwa kwenye jarida la chama cha rediolojia cha Amerika Kaskazini (RSNA) la&nb . . .
Japo chanzo cha ugonjwa huu bado hakijabainika, wataalamu wa afya wamehusisha ugonjwa huu na mtu kutokwa na kinyesi kilicho kigumu, kufura kwa tezi (lymph nodes) na kwa nadra sana, kuwepo na vifaa mwilini. Isitoshe, bakt . . .
Kupumua ni mchakato muhimu sana ambao hauitaji kujifunza: sote tunapumua tangu kuzaliwa na sio lazima tujizoeshe kupumua vizuri. Je, ni kweli? Kulingana na tafiti za hivi karibuni, inaonekana kwamba kuna mbinu fula . . .
Kila Nchi Inataratibu Zake Katika Kutekeleza Mambo Mbali Mbali Lakini Hili Linaweza Kuwa Moja Ya Jambo Litakalo Kuacha Na Maswali Zaidi.Ambapo Nchini Korea Ukiachana Na Kuwa Na Magereza Mahususi Kwaajili Ya Watu Waliofan . . .
WATU wengi wamekuwa wakihangaika sana na matumbo yao kujaa gesi na pengine kuvimba. Leo nakuletea baadhi ya vyakula vya kula ili kuondoa hili tatizo.Kwa njia moja au nyingine, unajikuta tumbo limechafuka kwa kujaa gesi, . . .
VIASHIRIA vya upungufu wa vitamini C vinaweza kujumuisha uchovu, michubuko rahisi, na ukakamavu wa ngozi.Unaweza kuwa na uwezekano mkubwa wa kuwa na upungufu huu ikiwa una magonjwa fulani, ikiwa ni pamoja na anoreksia.Vi . . .
Kukoroma husababishwa na sauti inayotokana na mtikiso wa tishu za njia ya juu ya kupitisha hewa shughuli hii inapoendelea, hasa ikiwa njia hii ikiwa nyembamba.Wembamba wa njia hii waweza tokana na kuziba kwa pua, uzani m . . .
Wanaume wa umri wa kadri ambao hushikwa na wasiwasi mwingi wako katika hatari ya kupata ugonjwa wa moyo, kiharusi na kisukari, utafiti umebaini. Watafiti kutoka Chuo cha Harvard Marekani, wamegundua kuwa mwanaume akiwa . . .
Ingawa mara nyingi hufikiriwa kuwa nyanya ni kiungo cha aina mbalimbali za mboga ila tambua kuwa nyanya zifaida mwilini na hizi ndizo faida zake.1. Inaweza kuweka moyo wako katika afya njema Gramu 80 za nyanya hutoa kari . . .
Tatizo la ngozi ya sehemu inayoizunguka macho kubadilika rangi na kuwa nyeusi huwakosesha mabinti wengi usingizi.Hii ni shida ambayo hutokana na sababu mbalimbali kama vile uchovu, kutopata usingizi wa kutosha, kuk . . .
Mojawapo ya faida kubwa za kuogelea ni kwamba hufanya kazi kwa mwili wako wote kuanzia juu kichwani hadi kwenye vidole. Kuogelea: huongeza mapigo ya moyo wako bila wewe kujitutumua zaidi. hujenga misuli hukupa nguvu . . .
Kufanya mapenzi wakati wa hedhi ni kitendo cha kujiusisha na mapenzi na msichana au mwanamke aliye katika siku zake za kisichana..Kuna madhara mengi yanaweza yakatokea na kwa kawaida si madhuri kwa afya ya wote wawili.Hi . . .
Hatua ya mwanamke wa Kiislamu mwenye umri wa miaka 28 ya kuomba mahakama nchini India kumzuia mme wake kuoa mke mwingine bila ya ridhaa yake ya maandishi kumezua mjadala wa wazi kuhusu mila ya ndoa za mitala miong . . .
Siku moja nzuri mnamo Machi 1986, Richard Pollard alifika Fiji kufundisha katika Chuo Kikuu cha Pasifiki Kusini.Siku moja aliona katika sanduku lake la barua kifurushi kilichotumwa kwake kwa barua ya ndege kikigongwa . . .