Upungufu wa nguvu za kiume ni hali ya kushindwa kufanya mapenzi kikamilifu au kushindwa kusimamisha via ya uzazi kwa mwanaume katika shughuli ya tendo la ndoa huhusisha akili, homoni, neva, hisia na mishipa ya damu, misu . . .
Tanzania imepiga hatua kubwa kwenye upatikanaji wa elimu tangu uhuru mwaka1961,hasa katika kuandikisha wanafunzi wengi shuleni.Hata hivyo,takwimu za ufaulu na ujuzi halisi kwa wahitimu zinaonyesha taswira tofauti:Wanafun . . .
Mkoa wa kagera,ulioko kaskazini magharibi mwa Tanzania,ni moja ya maeneo yenye historia ya kipekee.Kabla ya uhuru ,eneo hili lilijukana kama West lake( ziwa magharibi) kutokana na nafasi Yake magharibi mwa ziwa Vict . . .
Ndoa ni taasisi ya kijamii na kiroho inayounganisha mwanaume na mwanamke katika muungano rasmi na wakudumu.Ingawa tamaduni na sheria hutofautiana kati ya jamii moja na nyingine ,Biblia huiweka ndoa katika kiwango cha ju . . .
Tangu miaka ya 1980 Taifa stars imekuwa ikipambana kupata mafanikio makubwa kimataifa.Ambapo tatizo si wachezaji kukosa kipaji,bali ni mfumo mzima wa soka nchini kuwa na changamoto.Matatizo makuu:1: Ukosefu wa uwek . . .
Lishe sahihi ina mchango mkubwa katika kulinda na kuboresha afya ya figo. Kwa mujibu wa wataalamu wa lishe, uchaguzi wa matunda sahihi unaweza kusaidia kupunguza mzigo kwa figo hasa kwa watu wenye matatizo ya figo au wan . . .
KILA wakati baada ya kula chakula, watu wengi hutumia kichokonoo (toothpick) kuondoa mabaki ya chakula katikati ya meno.Hata hivyo, Dkt Serah Wanza, mtaalamu wa afya ya meno katika hospitali ya Versatile Dental Solutions . . .
Wataalamu wa afya wanashauri watu wenye ugonjwa wa mafuta kwenye ini (fatty liver) kuepuka kula baadhi ya vyakula vikiwa vibichi, kwani vinaweza kuathiri ini, kusababisha matatizo ya mmeng’enyo wa chakul . . .
KUNYWA hadi vikombe vinne vya kahawa kwa siku huenda kukasaidia kupunguza kasi ya uzee wa kibayolojia kwa watu wanaoishi na maradhi ya akili, utafiti mpya umeonyesha.Matokeo ya utafiti yaliyochapishwa katika jarida la BM . . .
Kuanzia SUV hadi minivan, magari ya kutoka nje yaliyotumika yameendelea kuwa chaguo la Watazania wengi mwaka 2025. Orodha hii inatoa picha kamili ya magari 10 yaliyonunuliwa zaidi, sifa zao, na sababu za u . . .
Gout ni ugonjwa wa kimetaboliki unaosababishwa na kuongezeka kwa kiwango cha asidi ya uric (uric acid) kwenye damu ambapo Asidi hii ikizidi hutengeneza fuwele ndogo zinazojikusanya kwenye viungo hali inayosabab . . .
Juisi ya karoti ni kinywaji chenye virutubisho vingi muhimu kama vitamini, antioxidants na nyuzinyuzi, ambavyo huchangia kuboresha afya kwa ujumla hivyo kwa mujibu wa Healthline, juisi ya karoti ina kalori chache na wang . . .
Katika zama za sasa, laptop na PC zimekuwa sehemu muhimu ya maisha yetu kazi, burudani, elimu na mawasiliano yote yanategemea vifaa hivi. Lakini unapoenda kununua, ni rahisi kushindwa kuamua ni kifaa gani kinachokidhi ma . . .
Unatambua kwamba ulaji wa tufaha (Apple) moja kila siku kunaweza kusaidia kuboresha afya ya moyo kwa kutanua mishipa ya damu, kupunguza uvimbe, kulinda seli, na kusaidia kuweka mishipa ya damu yenye afya, kulingana na ut . . .
Baadhi ya matunda kama zabibu (grapefruit), nanasi, parachichi na kiwi yanaweza kusaidia kupunguza mafuta ya tumbo kutokana na kuwa na nyuzi za lishe (fiber), vimeng’enya (enzymes) na virutubisho vi . . .
Hali ambapo matiti ya mwanamume yanakua makubwa inafahamika kama gynaecomastia.Kwa kawaida hali hii hutokea kukiwa na tishu zaidi ya matiti katika sehemu inayozingira chuchu na hivyo kusababisha matiti kuwa makubwa.Hali . . .
KUWA na hedhi ni jambo la kawaida kutokea kila mwezi. Japo hedhi hutarajiwa hasa kwa wale wanaojua kuhesabu siku zao, kuna wakati ambapo kipindi hiki hutokea bila kutarajiwa.Kuna mambo fulani yanayohusiana na uzazi ambay . . .
HUKU idadi ya binadamu ikiendelea kuongezeka ulimwenguni na chakula kuwa haba, wanasayansi wamebaini kuwa kula wadudu ambao wana viwango vya juu vya protini kutakuwa jambo la kawaida miaka mingi inayokuja.Jinsi idadi ya . . .
WANAWAKE wengi hukumbwa na maambukizi hasa katika sehemu nyeti, baadhi yakichangiwa na desturi za kutozingatia usafi.Matumizi ya choo na jinsi ya kuhakikisha usafi baada ya kumaliza haja kubwa au ndogo, ni mambo yanayofa . . .
KWA mara ya kwanza baada ya miaka mingi, Kaunti ya Nairobi imeipiku Homa Bay kwa kuongoza, kitaifa, katika idadi ya maambukizi mapya ya virusi vya HIV na ugonjwa wa Ukimwi.Kwa mujibu wa data kutoka kwa Baraza la Kitaifa . . .
Tanzania kwa muda mrefu imekuwa mfano wa utulivu na mshikamano katika Afrika mashariki. Hata hivyo ,kama ilivyo katika mataifa mengine yanayotumia mifumo ya demokrasia ,chaguzi ,mijadara ya kisera ,natofauti za kiit . . .
WANASAYANSI wamebaini umri halisi ambao ubora wa mbegu za kiume huanza kudorora, hali inayoongeza uwezekano wa wanaume kuwarithisha watoto wao mabadiliko ya kijeni yanayosababisha magonjwa mbalimbali.Utafiti mpya uliocha . . .
Katika enzi hizi ambapo mawasiliano hutegemea simu za mkononi, wataalamu wanasisitiza kwamba unavyotumia kifaa hiki kwa mwenzi wako inaweza kujenga uhusiano wenye afya au kuusambaratisha kabisa.Huku simu zikiwa sehemu ya . . .
KOROSHO ni muhimu sana katika mwili wa binadamu. Kwa Tanzania zao hili hulimwa kwa wingi katika mikoa ya pwani hasa Mtwara, Lindi na Pwani. Wengi wetu hatuli korosho na hata pale tunapokula, hula kama kitafunwa cha . . .
KILA wakati baada ya kula chakula, watu wengi hutumia kichokonoo (toothpick) kuondoa mabaki ya chakula katikati ya meno.Hata hivyo, Dkt Serah Wanza, mtaalamu wa afya ya meno katika hospitali ya Versatile Dental Solutions . . .