logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Makala

  • Pata Makala Zote Hapa
Afya
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Unapaswa kutambua Sababu Kuu Za Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Soma hapa

Upungufu wa nguvu za kiume ni hali ya kushindwa kufanya mapenzi kikamilifu au kushindwa kusimamisha via ya uzazi kwa mwanaume katika shughuli ya tendo la ndoa huhusisha akili, homoni, neva, hisia na mishipa ya damu, misu . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Je uwepo wa Wanafunzi wengi,ubora mdogo tatizo liko wapi. Pitia hapa tukujuze

Tanzania imepiga hatua kubwa kwenye upatikanaji wa elimu tangu uhuru mwaka1961,hasa katika kuandikisha wanafunzi wengi shuleni.Hata hivyo,takwimu za ufaulu na ujuzi halisi kwa wahitimu zinaonyesha taswira tofauti:Wanafun . . .

Jamii
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Ifahamu Kagera jinsi ilivyobarikiwa

Mkoa wa kagera,ulioko kaskazini magharibi mwa Tanzania,ni moja ya maeneo yenye historia ya kipekee.Kabla ya uhuru ,eneo hili lilijukana kama West lake( ziwa magharibi) kutokana na nafasi Yake magharibi mwa ziwa Vict . . .

mahusiano
  • Na Jembe Digital
  • December 31, 2025

Fahamu neno Ndoa na maana yake;

Ndoa ni taasisi ya kijamii na kiroho inayounganisha mwanaume na mwanamke katika muungano rasmi na wakudumu.Ingawa tamaduni na sheria hutofautiana kati ya jamii moja na nyingine ,Biblia huiweka ndoa katika kiwango cha ju . . .

Jamii
  • Na Jembe Digital
  • December 31, 2025

Unafikiri ni kwanini Taifa Stars haifanyi vizuri Kimataifa tangu mwaka 1980 hizi hapa sababu

Tangu miaka ya 1980 Taifa stars imekuwa ikipambana kupata mafanikio makubwa kimataifa.Ambapo tatizo si wachezaji kukosa kipaji,bali ni mfumo mzima wa soka nchini kuwa na changamoto.Matatizo  makuu:1: Ukosefu wa uwek . . .

Afya
  • Na Jembe Digital
  • December 29, 2025

Matunda 5 Yanayosaidia Kuimarisha Afya ya Figo

Lishe sahihi ina mchango mkubwa katika kulinda na kuboresha afya ya figo. Kwa mujibu wa wataalamu wa lishe, uchaguzi wa matunda sahihi unaweza kusaidia kupunguza mzigo kwa figo hasa kwa watu wenye matatizo ya figo au wan . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • December 24, 2025

Madhara ya kichokonoo kwenye meno

KILA wakati baada ya kula chakula, watu wengi hutumia kichokonoo (toothpick) kuondoa mabaki ya chakula katikati ya meno.Hata hivyo, Dkt Serah Wanza, mtaalamu wa afya ya meno katika hospitali ya Versatile Dental Solutions . . .

Afya
  • Na Jembe Digital
  • December 24, 2025

Ikiwa Una Mafuta Kwenye Ini hivi hapa Vyakula 5 vya Kuepuka Kula Vibichi

Wataalamu wa afya wanashauri watu wenye ugonjwa wa mafuta kwenye ini (fatty liver) kuepuka kula baadhi ya vyakula vikiwa vibichi, kwani vinaweza kuathiri ini, kusababisha matatizo ya mmeng’enyo wa chakul . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • December 23, 2025

Unywaji wa kahawa waweza kukuongezea miaka mitano ya ziada ya ujana

KUNYWA hadi vikombe vinne vya kahawa kwa siku huenda kukasaidia kupunguza kasi ya uzee wa kibayolojia kwa watu wanaoishi na maradhi ya akili, utafiti mpya umeonyesha.Matokeo ya utafiti yaliyochapishwa katika jarida la BM . . .

Jamii
  • Na Jembe Digital
  • December 22, 2025

Hii hapa top 10 ya Magari Yaliyonunuliwa Zaidi Tanzania Mwaka 2025

Kuanzia SUV hadi minivan, magari ya kutoka nje yaliyotumika yameendelea kuwa chaguo la Watazania wengi mwaka 2025. Orodha hii inatoa picha kamili ya magari 10 yaliyonunuliwa zaidi, sifa zao, na sababu za u . . .

Afya
  • Na Jembe Digital
  • December 22, 2025

Faida za Maji ya Nazi kwa Wagonjwa wa Gauti Unazopaswa Kujua

Gout ni ugonjwa wa kimetaboliki unaosababishwa na kuongezeka kwa kiwango cha asidi ya uric (uric acid) kwenye damu ambapo Asidi hii ikizidi hutengeneza fuwele ndogo zinazojikusanya kwenye viungo hali inayosabab . . .

Afya
  • Na Jembe Digital
  • December 20, 2025

Je unafahamu faida za Kunywa Juisi ya Karoti Kila Wiki

Juisi ya karoti ni kinywaji chenye virutubisho vingi muhimu kama vitamini, antioxidants na nyuzinyuzi, ambavyo huchangia kuboresha afya kwa ujumla hivyo kwa mujibu wa Healthline, juisi ya karoti ina kalori chache na wang . . .

Teknolojia
  • Na Jembe Digital
  • December 19, 2025

Fahamu Mambo 12 Muhimu Kabla ya Kununua Laptop au PC

Katika zama za sasa, laptop na PC zimekuwa sehemu muhimu ya maisha yetu kazi, burudani, elimu na mawasiliano yote yanategemea vifaa hivi. Lakini unapoenda kununua, ni rahisi kushindwa kuamua ni kifaa gani kinachokidhi ma . . .

Afya
  • Na Jembe Digital
  • December 18, 2025

Zitambue Faida za Tufaha (Apple) katika Kulinda Moyo Wako

Unatambua kwamba ulaji wa tufaha (Apple) moja kila siku kunaweza kusaidia kuboresha afya ya moyo kwa kutanua mishipa ya damu, kupunguza uvimbe, kulinda seli, na kusaidia kuweka mishipa ya damu yenye afya, kulingana na ut . . .

Afya
  • Na Jembe Digital
  • December 17, 2025

Yajue matunda 9 Yanayosaidia Kupunguza Mafuta ya Tumbo

Baadhi ya matunda kama zabibu (grapefruit), nanasi, parachichi na kiwi yanaweza kusaidia kupunguza mafuta ya tumbo kutokana na kuwa na nyuzi za lishe (fiber), vimeng’enya (enzymes) na virutubisho vi . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • December 11, 2025

HII NDIO SABABU YA MWANAUME KUWA NA MATITI MAKUBWA

Hali ambapo matiti ya mwanamume yanakua makubwa inafahamika kama gynaecomastia.Kwa kawaida hali hii hutokea kukiwa na tishu zaidi ya matiti katika sehemu inayozingira chuchu na hivyo kusababisha matiti kuwa makubwa.Hali . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • December 8, 2025

Hali zinazochangia hedhi kutokea bila kutarajiwa

KUWA na hedhi ni jambo la kawaida kutokea kila mwezi. Japo hedhi hutarajiwa hasa kwa wale wanaojua kuhesabu siku zao, kuna wakati ambapo kipindi hiki hutokea bila kutarajiwa.Kuna mambo fulani yanayohusiana na uzazi ambay . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • December 5, 2025

Wanasayansi wapigia debe ulaji wa wadudu

HUKU idadi ya binadamu ikiendelea kuongezeka ulimwenguni na chakula kuwa haba, wanasayansi wamebaini kuwa kula wadudu ambao wana viwango vya juu vya protini kutakuwa jambo la kawaida miaka mingi inayokuja.Jinsi idadi ya . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • December 4, 2025

Athari zinazochangiwa na kutozingatia usafi unapoenda haja kubwa

WANAWAKE wengi hukumbwa na maambukizi hasa katika sehemu nyeti, baadhi yakichangiwa na desturi za kutozingatia usafi.Matumizi ya choo na jinsi ya kuhakikisha usafi baada ya kumaliza haja kubwa au ndogo, ni mambo yanayofa . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • December 1, 2025

Ripoti "Nairobi yaongoza kitaifa kwa maambukizi ya HIV kwa mara ya kwanza"

KWA mara ya kwanza baada ya miaka mingi, Kaunti ya Nairobi imeipiku Homa Bay kwa kuongoza, kitaifa, katika idadi ya maambukizi mapya ya virusi vya HIV na ugonjwa wa Ukimwi.Kwa mujibu wa data kutoka kwa Baraza la Kitaifa . . .

Jamii
  • Na Jembe Digital
  • November 26, 2025

Tambua umuhimu wa Efeso 4:2-3 katika kulinda amani na umoja wa kisiasa Tanzania

Tanzania kwa muda mrefu imekuwa mfano wa utulivu na mshikamano katika Afrika mashariki. Hata hivyo ,kama ilivyo katika mataifa mengine yanayotumia mifumo ya demokrasia ,chaguzi ,mijadara ya kisera ,natofauti za kiit . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • November 25, 2025

Utafiti" Mbegu za wanaume huanza kudorora kuanzia miaka 30"

WANASAYANSI wamebaini umri halisi ambao ubora wa mbegu za kiume huanza kudorora, hali inayoongeza uwezekano wa wanaume kuwarithisha watoto wao mabadiliko ya kijeni yanayosababisha magonjwa mbalimbali.Utafiti mpya uliocha . . .

mahusiano
  • Na Asha Business
  • November 24, 2025

Tumia simu kuboresha mapenzi, si kubomoa

Katika enzi hizi ambapo mawasiliano hutegemea simu za mkononi, wataalamu wanasisitiza kwamba unavyotumia kifaa hiki kwa mwenzi wako inaweza kujenga uhusiano wenye afya au kuusambaratisha kabisa.Huku simu zikiwa sehemu ya . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • November 20, 2025

Fahamu Kwa Nini Wataalamu wa Lishe Wanashauri Kula Korosho Mara kwa Mara

KOROSHO ni muhimu sana katika mwili wa binadamu. Kwa Tanzania zao hili hulimwa kwa wingi katika mikoa ya pwani hasa Mtwara, Lindi na Pwani.  Wengi wetu hatuli korosho na hata pale tunapokula, hula kama kitafunwa cha . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • November 19, 2025

Madhara ya kichokonoo kwenye meno

KILA wakati baada ya kula chakula, watu wengi hutumia kichokonoo (toothpick) kuondoa mabaki ya chakula katikati ya meno.Hata hivyo, Dkt Serah Wanza, mtaalamu wa afya ya meno katika hospitali ya Versatile Dental Solutions . . .

Kurasa 1 ya 6

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Tanzania yajiandaa kiuchumi ,na kimaandishi kwa AFCON 2027 inayo karibishwa pamoja na Kenya na uganda.

    • 18 masaa yaliopita
  • Bodi ya Brute SACCOs Yapata Mafunzo ya Uandishi wa Habari Bukoba

    • 18 masaa yaliopita
  • GGML yatoa msaada wa milioni 50 kusherehekea mwaka mpya na watoto yatima

    • 19 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode