Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), Profesa Mohamed Janabi amesema ni muhimu kufanya mazoezi ili kuwa na misuli imara uzeeni.Profesa Janabi alisema hayo alipozungumza katika kipindi cha Busati l . . .
Finland imeorodheshwa ya kwanza kama nchi yenye watu wenye furaha zaidi duniani kwa mwaka wa nane mfululizo. Kulingana na ripoti ya Furaha ya Dunia iliyochapishwa leo Alhamisi Machi 20, 2025 siku ya kuadhimisha siku ya k . . .
WANAUME wakongwe ambao hunywa sharubati ya zabibu (grape juice) wanapunguza uwezekano wa kuandamwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume, Utafiti umebaini.Watafiti kutoka Chuo Kikuu cha Tianjin, Kaskazini mwa China, wa . . .
Nchini Norway katika mji wa Halden lipo gereza maarufu la Halden linalotajwa kuwa gereza lenye utu zaidi duniani.Gereza hilo lililojengwa kwa lengo la kurekebisha tabia za wafungwa na kukuza uwezo wao, ni mahali penye ul . . .
KATIKA kijiji cha Koono, Kaunti ya Turkana, Lomong, kijana wa miaka 12 amekaa kwenye kiti huku akiwatazama vijana wenzake wakicheza kandanda.Anauguza mguu wake uliofanyiwa upasuaji juma lililopita kurekebisha tatizo lili . . .
Bila shaka unamfahamu mdudu anaitwa Mende au kombamwiko: Mdudu huyu anaweza kuishi zaidi ya mwezi bila ya kula chakula chochote kutokana na kuwa ni mdudu mwenye damu ya baridi.Mende anaweza kuishi zaidi ya mwezi mmoja bi . . .
MAGONJWA ya moyo (CHD), kiharusi na ya mapafu, yamesalia kuwa kiini kikuu cha vifo duniani kote kwa miaka minne iliyopita, kulingana na uchambuzi wa takwimu.Uchanganuzi wa Orodha ya Matarajio ya Afya Ulimwenguni- hifadhi . . .
WANAUME wakongwe ambao hunywa sharubati ya zabibu (grape juice) wanapunguza uwezekano wa kuandamwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume, Utafiti umebaini.Watafiti kutoka Chuo Kikuu cha Tianjin, Kaskazini mwa China, wa . . .
Kwa miongo sasa, wanadamu wamekuwa wakikusanyika kwa vikundi vidogo kula chakula pamoja. Kwa nini ni muhimu – na kwa nini tunaendelea na mila hii? Kula chakula pamoja ni jambo la kawaida sana kwa wanadamu. Mikusa . . .
Mamilioni ya watu duniani hupoteza maisha kwa sababu ya magonjwa ya moyo, saratani na uzee. Kwa ugonjwa wa saratani pekee, Shirika la afya duniani (WHO) linakadiria kuwa kufikia mwaka 2030 utapoteza maisha ya watu zaidi . . .
WANANDOA wanapaswa kuwa wazi na kuzungumza bila kuficha chochote kuhusu suala la kushiriki mapenzi katika ndoa yao.Ni muhimu kutambua kuwa ndoa haihusu tu kulea watoto au kushiriki majukumu ya familia, bali pia ni kufura . . .
UNYWAJI wa kahawa unasaidia katika kuimarisha misuli ya mwili miongoni mwa wanaume wakongwe, Wanasayansi wamebaini. Wengi ambao wametinga ukongwe huwa na tatizo la misuli yao kuisha nguvu au kulegea, ugonjwa a . . .
WAKENYA 372,000 wa tabaka la wenye mapato ya chini wamebainika kuugua maradhi ya kisukari na shinikizo la damu ndani ya miezi minne iliyopita, asasi za afya zimefichua.Kati ya hawa, wagonjwa 106, 000 wameagizwa kufanyiwa . . .
Wengi ambao wametinga ukongwe huwa na tatizo la misuli yao kuisha nguvu au kulegea, ugonjwa ambao unafahamika kwa kimombo kama ‘Sarcopenia’.Ugonjwa huo hulemaza uwezo wa mwanaume kuwajibikia majukumu ya kawaida hata . . .
TATIZO la harufu mbaya mdomoni au halitosis, laweza kusababishwa na bakteria ya kinywani. Yaweza kuwa pia kutokana na maradhi ya ufizi au masalio ya chakula kinywani.Wataalamu wa meno wanasema kwamba unapaswa kupiga . . .
NI jukumu la mzazi kusaidia watoto wake kutumia dijitali kukuza talanta zao.Kulingana na mtaalamu wa malezi dijitali , wazazi wanaweza kutumia teknolojia ya dijitali kukuza vipawa vya watoto wao huku wakihakikisha usalam . . .
WAKATI pacha wake James Mwema (aliomba jina libadilishwe) walikuwa wanazaliwa, ilikuwa siku njema maishani mwake.Hata hivyo, walipofikisha umri wa miezi mitatu na nusu, pacha hao hawakuwa wanalala ipasavyo mchana na hata . . .
HUKU idadi ya binadamu ikiendelea kuongezeka ulimwenguni na chakula kuwa haba, wanasayansi wamebaini kuwa kula wadudu ambao wana viwango vya juu vya protini kutakuwa jambo la kawaida miaka mingi inayokuja.Jinsi idad . . .
WANASAYANSI wamegundua mbinu mpya ya kutambua kansa ya matiti huku ikipunguza uwezekano wa matokeo ya kupotosha.Kwa mujibu wa utafiti uliochapishwa kwenye jarida la chama cha rediolojia cha Amerika Kaskazini (RSNA) la&nb . . .
Japo chanzo cha ugonjwa huu bado hakijabainika, wataalamu wa afya wamehusisha ugonjwa huu na mtu kutokwa na kinyesi kilicho kigumu, kufura kwa tezi (lymph nodes) na kwa nadra sana, kuwepo na vifaa mwilini. Isitoshe, bakt . . .
Kupumua ni mchakato muhimu sana ambao hauitaji kujifunza: sote tunapumua tangu kuzaliwa na sio lazima tujizoeshe kupumua vizuri. Je, ni kweli? Kulingana na tafiti za hivi karibuni, inaonekana kwamba kuna mbinu fula . . .
Kila Nchi Inataratibu Zake Katika Kutekeleza Mambo Mbali Mbali Lakini Hili Linaweza Kuwa Moja Ya Jambo Litakalo Kuacha Na Maswali Zaidi.Ambapo Nchini Korea Ukiachana Na Kuwa Na Magereza Mahususi Kwaajili Ya Watu Waliofan . . .
WATU wengi wamekuwa wakihangaika sana na matumbo yao kujaa gesi na pengine kuvimba. Leo nakuletea baadhi ya vyakula vya kula ili kuondoa hili tatizo.Kwa njia moja au nyingine, unajikuta tumbo limechafuka kwa kujaa gesi, . . .
VIASHIRIA vya upungufu wa vitamini C vinaweza kujumuisha uchovu, michubuko rahisi, na ukakamavu wa ngozi.Unaweza kuwa na uwezekano mkubwa wa kuwa na upungufu huu ikiwa una magonjwa fulani, ikiwa ni pamoja na anoreksia.Vi . . .
Kukoroma husababishwa na sauti inayotokana na mtikiso wa tishu za njia ya juu ya kupitisha hewa shughuli hii inapoendelea, hasa ikiwa njia hii ikiwa nyembamba.Wembamba wa njia hii waweza tokana na kuziba kwa pua, uzani m . . .