logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Makala

  • Pata Makala Zote Hapa
Jamii
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Tambua umuhimu wa Efeso 4:2-3 katika kulinda amani na umoja wa kisiasa Tanzania

Tanzania kwa muda mrefu imekuwa mfano wa utulivu na mshikamano katika Afrika mashariki. Hata hivyo ,kama ilivyo katika mataifa mengine yanayotumia mifumo ya demokrasia ,chaguzi ,mijadara ya kisera ,natofauti za kiit . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Utafiti" Mbegu za wanaume huanza kudorora kuanzia miaka 30"

WANASAYANSI wamebaini umri halisi ambao ubora wa mbegu za kiume huanza kudorora, hali inayoongeza uwezekano wa wanaume kuwarithisha watoto wao mabadiliko ya kijeni yanayosababisha magonjwa mbalimbali.Utafiti mpya uliocha . . .

mahusiano
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Tumia simu kuboresha mapenzi, si kubomoa

Katika enzi hizi ambapo mawasiliano hutegemea simu za mkononi, wataalamu wanasisitiza kwamba unavyotumia kifaa hiki kwa mwenzi wako inaweza kujenga uhusiano wenye afya au kuusambaratisha kabisa.Huku simu zikiwa sehemu ya . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • November 20, 2025

Fahamu Kwa Nini Wataalamu wa Lishe Wanashauri Kula Korosho Mara kwa Mara

KOROSHO ni muhimu sana katika mwili wa binadamu. Kwa Tanzania zao hili hulimwa kwa wingi katika mikoa ya pwani hasa Mtwara, Lindi na Pwani.  Wengi wetu hatuli korosho na hata pale tunapokula, hula kama kitafunwa cha . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • November 19, 2025

Madhara ya kichokonoo kwenye meno

KILA wakati baada ya kula chakula, watu wengi hutumia kichokonoo (toothpick) kuondoa mabaki ya chakula katikati ya meno.Hata hivyo, Dkt Serah Wanza, mtaalamu wa afya ya meno katika hospitali ya Versatile Dental Solutions . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • November 18, 2025

Muda mwingi kwenye skrini waongeza hatari za matatizo ya moyo kwa watoto

UTAFITI mpya umeonya kwamba mtoto anapotumia sana vifaa vya kielektroniki, hasa pale shida hii inapoambatana na kiwango kidogo cha usingizi, kunaweza kuongeza hatari ya kupata matatizo ya moyo na kimetaboli baadaye maish . . .

Makala
  • Na Asha Business
  • November 17, 2025

Panya wasio na manyoya wavunja rekodi ya uzee- utafiti

Ni viumbe wa ajabu, wenye upara, wanaishi chini ya ardhi wakiwa na mwonekano unaofananishwa na soseji yenye meno, na sasa wataalamu wamefichua siri ya kijenetiki kuhusu siri ya wanyama hao kuishi maisha marefu.Utafiti mp . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • November 17, 2025

Homa ya mapafu: 'Muuaji' mkubwa wa watoto duniani

Homa ya mapafu ni miongoni mwa magonjwa ambukizi yanaongoza kwa kusabisha vifo vingi miongoni mwa watoto walio chini ya umri wa miaka mitano.Mary Wanjiku Murimi, mama wa watoto wanne, anaishi kusimulia jinsi mwanawe alia . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • November 17, 2025

Watafiti wagundua kinachopunguza uwezo wa wanawake kupata mimba

UWEZO wa mwanamke kupata mimba hupungua kwa kasi kuanzia katikati ya umri wa miaka 30, jambo ambalo limekuwa likiwasumbua wanasayansi kwa muda mrefu.Kwa miaka mingi, watafiti waliamini kuwa chanzo kikuu cha kupungua kwa . . .

Jamii
  • Na Jembe Digital
  • November 8, 2025

Je unatambua kuwa "Hekima na Akili ni uhusiano wa kitofauti katika Maisha ya Binadamu"

Katika Maisha ya kila siku Maneno kama hekima na akili hutumika kwa pamoja kana kwamba yana maana moja ambapo Watu wengi  husema " Yule mtu ana akili nyingi au ana hekima kubwa" .Hatahivyo ukichunguza kwa undani ,Ma . . .

mikasa
  • Na Jembe Digital
  • October 20, 2025

FAHAMU KUHUSU KWANINI WATU WANALIA WAKIWA MSIBANI

Kilio katika msiba ni tukio la kawaida duniani Kote,. Nisauti ya huzuni,upendo na hisia ambazo maranyingi maneno hushindwa kueleza. Watu hulia si kwasababu ni dhaifu ,bali kwasababu mioyo yao imeguswa na tuki . . .

Jamii
  • Na Jembe Digital
  • October 18, 2025

Mfahamu Mwanamke wa Mageuzi anayeinua Wakulima wa kahawa Kagera

Profesa Kokuletage Ngirwa,Aurelia Kamuzora  huyo ni Tanzania na ni miongoni mwanchi zinazotambulika kwa uzalishaji wa kahawa bora barani Afrika. Miongoni mwa mikoa vinara katika zao hili ni kagera ,yenye historia nd . . .

Afya
  • Na Jembe Digital
  • October 4, 2025

Yatambue Mambo Sita Yasiyopaswa Kufanywa Wakati Wa Ujauzito

Kuna mambo mengi yasiyopaswa kufanywa na mjamzito na leo tutadodosa kwa pamoja  kama ifuatavyo:Kunywa PombeMwanamke mjamzito hapaswi kunywa pombe. Unywaji wa pombe kwa mjamzito husababisha mjamzito kujifungua kabla . . .

mahusiano
  • Na Jembe Digital
  • October 3, 2025

Unapaswa Kuzingatia Kabla Hujaamua Kumtoa ‘out’ Umpendaye

Shukrani za kipekee zimuendee Mungu kwa kutuwezesha kuiona salama ya leo, ni matumaini yangu kwamba msomaji wangu uko vizuri na unaendelea kulisongesha mbele gurudumu la maendeleo yakao.Wataalamu wengi wa masuala ya mape . . .

mahusiano
  • Na Jembe Digital
  • September 30, 2025

Hili hapa Suluhisho la Wapenzi Wanaogombana Mara kwa mara

SIKU hizi ugomvi kwenye mahusiano imekuwa kama ni jambo la kawaida. Watu wanagombana kwelikweli. Utakuta mtu haipiti mwezi mmoja bila kugombana na mpenzi wake. Anampenda, hayupo tayari kumpoteza lakini maisha yao ki . . .

TOP STORY
  • Na Asha Business
  • September 30, 2025

Teknolojia ya chupa za plastiki kuendeleza kilimo

JE, baada ya kushabikia kinywaji kilichositiriwa na chupa ya plastiki, huwa unafanya nini na chupa hiyo?Wengi huweka chupa za plastiki kwenye mapipa au kwenye majaa. Cha kushangaza zaidi, wapo wanaozitupa kiholela barabr . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • September 29, 2025

FAIDA YA KULA MBOGA AINA CORN FLOWER

Mboga ya cornflower (pia hujulikana kama bachelor's button au Centaurea cyanus kwa jina la kisayansi) si tu mmea wa mapambo, bali pia ina faida kadhaa kiafya na kiafya: Faida za mboga ya cornflower:1. Husaidia kusaf . . .

TOP STORY
  • Na Asha Business
  • September 29, 2025

Anatumia migomba ya ndizi kuunda ‘rasta’ za kina dada kusukia nywele

KARATASI za plastiki au nailoni zinazidi kuwa kero kuu katika mataifa mengi kutokana na athari zake kwenye mazingira.Nchi nyingi ulimwenguni, Kenya ikiwemo zimepiga marufuku matumizi ya karatasi za plastiki zinazotumiwa . . .

Afya
  • Na Jembe Digital
  • September 27, 2025

Soma Hapa kufahamu Kiasi cha Maji Kinachofaa katika Mwili Wako

Maji ni msingi wa afya ya mwili. Yana jukumu la kusafisha sumu mwilini, kusaidia mmeng’enyo wa chakula, kulinda afya ya ngozi, kudhibiti presha, na kuweka mwili ukiwa na nguvu. Ndiyo maana kila mtu anatakiwa kunywa maj . . .

TOP STORY
  • Na Asha Business
  • September 24, 2025

Fahamu mchakato mzima wa kukuza mkonge, kilimo kilichofana enzi za ukoloni

UKUZAJI wa mikonge ni shughuli inayohitaji maandalizi mazuri ya shamba, uteuzi wa miche bora, na uvumilivu kwa sababu zao hili ni la kudumu na hukaa shambani kwa zaidi ya miaka kumi.Mchakato huanza kwa kuandaa shamba. En . . .

mahusiano
  • Na Jembe Digital
  • September 23, 2025

Hizi hapa Mbinu 5 za Kumbaini Mpenzi Mchepukaji

USALITI ni jambo baya katika uhusiano. Usaliti si ujanja japo wengi wanaowaza kusaliti huwa wanajiona wajanja. Wanajiona wamewini pale ambapo wanasaliti na wenzi wao kutogundua kama wanasalitiwa.Siku zote anaye . . .

mahusiano
  • Na Jembe Digital
  • September 23, 2025

Nilichoka Na Kejeli Za Watu Kuhusu Ndoa Yangu, Hatua Niliyopiga Ilibadilisha Maisha Yetu

Kwa muda mrefu, majirani na marafiki walinicheka kwa sauti ya chini kila waliponiona. Walijua ndoa yangu ilikuwa janga. Mume wangu hakuwa tena yule mtu niliyekutana naye siku za mwanzo. Alikuwa amegeuka kuwa mtu wa hasir . . .

Afya
  • Na Jembe Digital
  • September 23, 2025

Unafikiri Kwa Nini Supu ya Kongoro Ni Maarufu? Hizi hapa Sababu

Supu ya kongoro ni moja ya vyakula vinavyopendwa sana barani Afrika, hususan Tanzania, ambapo mara nyingi huliwa hasa asubuhi au baada ya shughuli nzito. Licha ya ladha yake tamu, supu hii pia imejipatia umaarufu kwa sif . . .

mahusiano
  • Na Jembe Digital
  • September 19, 2025

Hizi hapa faida, Hasara Za Wapendanao Kuambizana Ukweli!

UKIZUNGUMZA na wanaume wengi kwa sasa, watakuambia wanawake siyo wa kuwaeleza kila kitu katika uhalisia wake. Wanatakiwa kudanganywa kidogo ili mambo yaende. Wanaitumia hiyo kama silaha wakidai kwamba wanawake ni wa . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • September 18, 2025

FAIDA YA KULA UTUMBO WA TAULO WA NG'0MBE

Faida ya kula utumbo wa taulo (ambao pia hujulikana kama utumbo mkubwa, au kwa Kiingereza tripe) ni nyingi kiafya, hasa pale unapopikwa vizuri na kwa usafi. Hapa chini ni baadhi ya faida kuu za kula utumbo huu Chanz . . .

Kurasa 1 ya 5

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • IEBC yaonya wapiga kura dhidi ya kupiga picha za karatasi zenye alama za kupigia kura

    • 18 masaa yaliopita
  • Rigathi Gachagua Ataja Sababu ya Kuvaa Helmeti na Vest Ya kuzuia Risasi huko Narok

    • 18 masaa yaliopita
  • Guinea Bissau" Jeshi lachukua udhibiti wa nchi, Rais ondolewa madarakani"

    • 19 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode