logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Makala

  • Pata Makala Zote Hapa
Afya
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Tumia vyakula hivi unapotatizwa na harufu mbaya kinywani

TATIZO la kutoa harufu mbaya kinywani hutokana na mambo mengi.Hata hivyo, kuna baadhi ya vyakula ambavyo husaidia kukabiliana na shida hii. Kwa mfano:MajiKunywa maji ndio mbinu sahili ya kukabiliana na tatio hili. Unapok . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Vyakula vinavyosaidia kukabili changamoto ya kukosa usingizi

KUNA baadhi ya watu ambao inapowadia wakati wa kulala, wao hukumbwa na changamoto ya kupata usingizi mzuri. Ikiwa wewe ni mmoja wao, basi unapaswa kujua kwamba kuna vyakula ambavyo vinaweza kukusaidia wakati huu. Hivi ni . . .

Makala
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Malezi kupita kiasi yana madhara kwa afya ya akili

KWA miaka mingi tafiti zimechunguza uhusiano kati ya malezi na afya ya akili.Mada hii ni ngumu, na matokeo yamekuwa ya kukanganya.Watafiti wengine wameripoti kwamba kumlea mtoto huchangia furaha na ustawi wa mzazi.Wengin . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • March 25, 2025

Prof Janabi atoa darasa la umuhimu wa misuli uzeeni

Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), Profesa Mohamed Janabi amesema ni muhimu kufanya mazoezi ili kuwa na misuli imara uzeeni.Profesa Janabi alisema hayo alipozungumza katika kipindi cha Busati l . . .

Makala
  • Na Asha Business
  • March 20, 2025

Finland Ya Kwanza Kuwa Na Watu Wenye Furaha Zaidi Duniani

Finland imeorodheshwa ya kwanza kama nchi yenye watu wenye furaha zaidi duniani kwa mwaka wa nane mfululizo. Kulingana na ripoti ya Furaha ya Dunia iliyochapishwa leo Alhamisi Machi 20, 2025 siku ya kuadhimisha siku ya k . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • March 18, 2025

utafiti "Juisi ya zabibu inawafaa wazee na kuwapa nguvu za kushiriki ‘mechi’"

WANAUME wakongwe ambao hunywa sharubati ya zabibu (grape juice) wanapunguza uwezekano wa kuandamwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume, Utafiti umebaini.Watafiti kutoka Chuo Kikuu cha Tianjin, Kaskazini mwa China, wa . . .

Jembe Maktaba
  • Na Asha Business
  • March 11, 2025

Lifahamu Gereza la Kishua zaidi Dunia

Nchini Norway katika mji wa Halden lipo gereza maarufu la Halden linalotajwa kuwa gereza lenye utu zaidi duniani.Gereza hilo lililojengwa kwa lengo la kurekebisha tabia za wafungwa na kukuza uwezo wao, ni mahali penye ul . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • March 7, 2025

Uhaba wa madaktari wa upasuaji Afrika watatiza wagonjwa

KATIKA kijiji cha Koono, Kaunti ya Turkana, Lomong, kijana wa miaka 12 amekaa kwenye kiti huku akiwatazama vijana wenzake wakicheza kandanda.Anauguza mguu wake uliofanyiwa upasuaji juma lililopita kurekebisha tatizo lili . . .

Makala
  • Na Asha Business
  • March 5, 2025

Mende Anaweza Kuishi Mwezi Mzima Bila Kichwa

Bila shaka unamfahamu mdudu anaitwa Mende au kombamwiko: Mdudu huyu anaweza kuishi zaidi ya mwezi bila ya kula chakula chochote kutokana na kuwa ni mdudu mwenye damu ya baridi.Mende anaweza kuishi zaidi ya mwezi mmoja bi . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • January 19, 2025

Magonjwa ya moyo na mapafu yazidi kuangamiza wengi

MAGONJWA ya moyo (CHD), kiharusi na ya mapafu, yamesalia kuwa kiini kikuu cha vifo duniani kote kwa miaka minne iliyopita, kulingana na uchambuzi wa takwimu.Uchanganuzi wa Orodha ya Matarajio ya Afya Ulimwenguni- hifadhi . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • January 17, 2025

Juisi ya zabibu inawafaa wazee na kuwapa nguvu za kushiriki ‘mechi’

WANAUME wakongwe ambao hunywa sharubati ya zabibu (grape juice) wanapunguza uwezekano wa kuandamwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume, Utafiti umebaini.Watafiti kutoka Chuo Kikuu cha Tianjin, Kaskazini mwa China, wa . . .

Makala
  • Na Asha Business
  • November 29, 2024

Kwanini binadamu hufurahia kula kwa pamoja?

Kwa miongo sasa, wanadamu wamekuwa wakikusanyika kwa vikundi vidogo kula chakula pamoja. Kwa nini ni muhimu – na kwa nini tunaendelea na mila hii? Kula chakula pamoja ni jambo la kawaida sana kwa wanadamu. Mikusa . . .

Makala
  • Na Asha Business
  • November 28, 2024

Unajua mtama unaweza kupunguza kasi ya uzee na magonjwa?

Mamilioni ya watu duniani hupoteza maisha kwa sababu ya magonjwa ya moyo, saratani na uzee. Kwa ugonjwa wa saratani pekee, Shirika la afya duniani (WHO) linakadiria kuwa kufikia mwaka 2030 utapoteza maisha ya watu zaidi . . .

Makala
  • Na Asha Business
  • November 17, 2024

Mwanamke pia ana uhuru wa kumtongoza mwanamume

WANANDOA wanapaswa kuwa wazi na kuzungumza bila kuficha chochote kuhusu suala la kushiriki mapenzi katika ndoa yao.Ni muhimu kutambua kuwa ndoa haihusu tu kulea watoto au kushiriki majukumu ya familia, bali pia ni kufura . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • September 30, 2024

Watafiti "Kahawa inaongezea wazee nguvu "

UNYWAJI wa kahawa unasaidia katika kuimarisha misuli ya mwili miongoni mwa wanaume wakongwe, Wanasayansi wamebaini.  Wengi ambao wametinga ukongwe huwa na tatizo la misuli yao kuisha nguvu au kulegea, ugonjwa a . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • September 18, 2024

Sababu ya watu maskini kuzongwa na maradhi ya kisukari na shinikizo la damu

WAKENYA 372,000 wa tabaka la wenye mapato ya chini wamebainika kuugua maradhi ya kisukari na shinikizo la damu ndani ya miezi minne iliyopita, asasi za afya zimefichua.Kati ya hawa, wagonjwa 106, 000 wameagizwa kufanyiwa . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • September 5, 2024

Kahawa inaongezea wazee nguvu – Watafiti

Wengi ambao wametinga ukongwe huwa na tatizo la misuli yao kuisha nguvu au kulegea, ugonjwa ambao unafahamika kwa kimombo kama ‘Sarcopenia’.Ugonjwa huo hulemaza uwezo wa mwanaume kuwajibikia majukumu ya kawaida hata . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • May 14, 2024

Namna Ya Kukabili Tatizo La Harufu Mbaya Kinywani

TATIZO la harufu mbaya mdomoni au halitosis, laweza kusababishwa na bakteria ya kinywani. Yaweza kuwa pia kutokana na maradhi ya ufizi au masalio ya chakula kinywani.Wataalamu wa meno wanasema kwamba unapaswa kupiga . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • April 14, 2024

Jinsi Dijitali Inaweza Kukuza Talanta Ya Mtoto Wako

NI jukumu la mzazi kusaidia watoto wake kutumia dijitali kukuza talanta zao.Kulingana na mtaalamu wa malezi dijitali , wazazi wanaweza kutumia teknolojia ya dijitali kukuza vipawa vya watoto wao huku wakihakikisha usalam . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • April 8, 2024

Umuhimu Wa Watoto Wadogo Kupata Usingizi Wa Kutosha

WAKATI pacha wake James Mwema (aliomba jina libadilishwe) walikuwa wanazaliwa, ilikuwa siku njema maishani mwake.Hata hivyo, walipofikisha umri wa miezi mitatu na nusu, pacha hao hawakuwa wanalala ipasavyo mchana na hata . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • March 25, 2024

Wanasayansi Wapigia Debe Ulaji Wa Wadudu

HUKU idadi ya binadamu ikiendelea kuongezeka ulimwenguni na chakula kuwa haba, wanasayansi wamebaini kuwa kula wadudu ambao wana viwango vya juu vya protini kutakuwa jambo la kawaida miaka mingi inayokuja.Jinsi idad . . .

Teknolojia
  • Na Asha Business
  • March 5, 2024

Teknolojia Mpya Ya PEM Yatoa Vipimo Vya Uhakika Zaidi Kwa Kansa

WANASAYANSI wamegundua mbinu mpya ya kutambua kansa ya matiti huku ikipunguza uwezekano wa matokeo ya kupotosha.Kwa mujibu wa utafiti uliochapishwa kwenye jarida la chama cha rediolojia cha Amerika Kaskazini (RSNA) la&nb . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • March 5, 2024

Tambua Ugonjwa Wa ‘Appendicitis’ Unaonyemelea Watu Kimya Kimya

Japo chanzo cha ugonjwa huu bado hakijabainika, wataalamu wa afya wamehusisha ugonjwa huu na mtu kutokwa na kinyesi kilicho kigumu, kufura kwa tezi (lymph nodes) na kwa nadra sana, kuwepo na vifaa mwilini. Isitoshe, bakt . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • September 27, 2023

FAIDA ZA KUTUMIA PUA KATIKA UPUMUAJI KULIKO MDOMO.

Kupumua ni mchakato muhimu sana ambao hauitaji kujifunza: sote tunapumua tangu kuzaliwa na sio lazima tujizoeshe kupumua vizuri. Je, ni kweli? Kulingana na tafiti za hivi karibuni, inaonekana kwamba kuna mbinu fula . . .

Elimu
  • Na Nattyebrandy
  • September 26, 2023

GEREZA LA KUJITOLEA KOREA

Kila Nchi Inataratibu Zake Katika Kutekeleza Mambo Mbali Mbali Lakini Hili Linaweza Kuwa Moja Ya Jambo Litakalo Kuacha Na Maswali Zaidi.Ambapo Nchini Korea Ukiachana Na Kuwa Na Magereza Mahususi Kwaajili Ya Watu Waliofan . . .

Kurasa 1 ya 3

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Rais Samia Aongoza Taifa Kuaga Mwili wa Mzee Cleopa Msuya

    • 2 masaa yaliopita
  • Charles Hillary, Msemaji Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Afariki Dunia

    • 2 masaa yaliopita
  • Kwa mala ya kwanza Papa Leo XIV akiwa PAPA, aongoza misa akisema; "Kanisa linaweza kusaidia Dunia"

    • 2 siku zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode