logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 18 masaa yaliopita

Serikali Zanzibar yatoa mbinu kikosi cha polisi kukabiliana na wahalifu

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa kushirikiana na wadau wa Maendeleo imesema itahakikisha inawapatia kila aina ya nyezo kikosi cha Polis . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 19 masaa yaliopita

Volker Turk awekewa kizuizi kuingia nchini Venezuela

BUNGE la Venezuela linaloungwa mkono na serikali limemtangaza Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Haki za Binadamu Volker Turk kuwa mtu asi . . .

afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • 19 masaa yaliopita

Israel yapanua oparesheni za kijeshi ukanda wa Gaza

JESHI la Israel limepanua operesheni zake za kijeshi katika Ukanda wa Gaza, siku chache kabla ya ziara ya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Ne . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 19 masaa yaliopita

Njaa yaua maelfu ya watu Sudani

MAMILIONI ya watu wanaokimbia mapigano nchini Sudan wanakabiliwa na hali mbaya ya njaa, huku wakisaka hifadhi katika mataifa jirani ambayo y . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 20 masaa yaliopita

Wananchi wilayani Mwanga waondokana na kero ya Zahanati

Wananchi wa Kijiji cha Kwanyange, Kata ya Kivisini, Wilaya ya Mwanga, mkoani Kilimanjaro, wameondokana na adha ya kutembea umbali mrefu kufu . . .

SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • 20 masaa yaliopita

Jobe Belligham kuukosa mchezo wa robo fainali dhidi ya Real Madrid

Kiungo mshambuliaji wa klabu ya Borrusia Dortmund Jobe Belligham,atakosekana kwenye mchezo wa robo fainali ya kombe la dunia la vilabu dhidi . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • 20 masaa yaliopita

Abdul Nondo atoa wito kwa wananchi kutosusia uchaguzi mkuu

Kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2025, Mwenyekiti wa Taifa wa Ngome ya Vijana wa ACT Wazalendo, Abdul Nondo ametoa wito kwa wananchi kujitokeza kwa . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • 20 masaa yaliopita

Majaliwa ang'atuka kugombea nafasi ya ubunge Ruangwa

Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ametangaza kutogombea tena ubunge wa Ruangwa, Mkoa wa Lindi.Uamuzi wa Majaliwa umetangazwa leo Juma . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 21 masaa yaliopita

Safari ya Lagos kuinyenyua air Tanzania kimataifa

Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) airtanzania_atcl imepata utambuzi wa kimataifa kutoka Serikali ya India, siku chache baada ya kutangaza saf . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • 21 masaa yaliopita

Waliokuwa wakishikilia nafasi ya mkuu wa wilaya na mkuu wa mkoa waenguliwa

Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amefanya uteuzi wa mkuu wa mkoa na wakuu wa  wilaya watano kufuatia baadhi ya waliokuwa wakishikili . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Paul Pogba " Mke Wangu Aliniacha Nilipofungiwa Kucheza Soka"

Mke wangu aliniacha nilipofungiwa kucheza soka na kupoteza umaarufu wangu. Alikuwepo tu kwa ajili ya pesa na umaarufu.” Paul Pogba”“Ni . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Rais Samia airuhusu Yanga kujenga uwanja

“Serikali ya awamu ya sita ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan, imeipa Yanga sehemu ya ardhi yake ha . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

RC Mtanda" kero za wananchi zimeisha ni uongo"

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda amewakosoa baadhi ya viongozi wa Serikali wanaoibuka na kusema kero za wananchi zimeisha kwa kile alicho . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Iran kutorudi kwenye meza ya mazungumzo

WAZIRI wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesema hakuna uwezekano wa nchi yake kurejea katika mazungumzo na Marekani kwa sasa, hadi p . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Mchungaji auawa kikatili na aliyefika kuombewa

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara linamshikilia Victor Fransis Thomas (39), mkulima na mkazi wa Kitongoji cha Kadudu, Kijiji cha Lupaso, Wilaya . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Kuzindua upya msaada wa kimataifa kwa maendeleo

Mkutano wa nne wa Kimataifa wa Ufadhili wa Maendeleo umefunguliwa siku ya Jumatatu hii, Juni 30, huko Seville, nchini Uhispania, huku kukiwa . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Félix Tshisekedi arejelea makubaliano ya amani katika hotuba yake kwa taifa

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) imeadhimisha miaka 65 ya uhuru siku ya Jumatatu, Juni 30. Wakati wa hotuba yake kwa taifa, Mkuu wa Nc . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Watumishi wahimizwa kuzingatia maadili serikalini

Katibu Tawala wa Wilaya ya Arusha, Jacob Rombo amewasihi watumishi wa Wizara ya Ujenzi kuzingatia maadili ya kutunza siri za Utumishi wa Umm . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

DTO atoa mkakati wa kuanza kupima madereva kila wikendi

Leo julai mosi kwenye Kipindi cha MchakaMchaka amesikika Mkuu  Usalama Barabarani Wilaya ya Ilemela DTO Kilimbida Thomas Kilimbida na k . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Msajili wa Vyama Vya Siasa hana mamlaka ya Kuzuia Chadema kushiriki uchaguzi mkuu

Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu ameiambia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwamba Msajili wa Vyama vya Siasa hana mamlaka ya kukizuia Cham . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Kesi ya Lissu kupangiwa tarehe nyingine tena hadi julai 15

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasis na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu akizungumza na wanachama, wafuasi na viongozi mbalimbali wa chama hich . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Kiongozi wa (CWT) Tanga achukua fomu kuwania ubunge jimbo la Korogwe mjini

Kiongozi wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) Wilaya ya Tanga, Mwajuma Mohamed amechukua na kurejesha fomu ya kugombea ubunge katika Jimbo la . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Aliyekuwa rais wa zamani (MAT)achukua fomu ya ubunge Mbagala

Rais mstaafu wa Chama cha Madaktari Tanzania (MAT) Dkt Elisha Osati amechukua fomu ya kuwania uteuzi kwa ajili ya kugombea ubunge kwenye jim . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Askofu aongoza ibaada kabla kesi ya Lissu kuanza kusikilizwa

Askofu Emmaus Mwamakula ameongoza maombi ndani ya chumba cha mahakama kabla ya kuanza kesi ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendele . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

UN yasitisha uchunguzi kuhusu uhalifu uliofanyika mashariki mwa DRC kutokana na ukosefu wa fedha

Ofisi ya Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Haki za Kibinadamu ambayo imeguswa na mzozo mkubwa wa ukwasi unaohusishwa kwa kiasi kikubwa na . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Makonda amkabidhi majukumu ya Ofisi RC mpya

Leo Juni 30,2025, aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda, amekabidhi ofisi kwa mkuu mpya wa mkoa huo Kenan Kihongosi. 8Hivi kar . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Serikali yabeba gharama za maziko, 39 waliofariki ajalini

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu, amesema serikali imeamua kubeba gharama za maziko ya watu 39, waliopoteza maisha katika ajali ya b . . .

AJALI
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Idadi ya Vifo yaongezeka ajali ya Same hadi kufikia 39

Idadi ya watu waliofariki katika ajali ya magari mawili kugongana uso kwa uso Wilaya ya Same, mkoani Kilimanjaro imeongezeka na kufikia 39.A . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Nusura Ya Mauti! Ndege ya Batik Air Yatingishwa na Hali Mbaya ya Hewa!

Ndege ya abiria ya Batik Air ilinusurika kuteleza wakati wa kutua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Soekarno-Hatta, kutokana na hali mb . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Mkuchu arejesha fomu udiwani Kunduchi

 KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Emmanuel Mkuchu, amekamilisha hatua ya awali ya kugombea nafasi ya udiwani kwa kurejesha fomu ya ku . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Nyota wa Yanga ajitosa kuchukua fomu ya ubunge Iringa Mjini

MWANASOKA wa zamani wa timu ya Yanga SC, Ally Msigwa, amejitosa rasmi katika mbio za kisiasa baada ya kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Maasi ya Gen Z yatia wasiwasi kwa vigogo wa siasa za maeneo nchini Kenya

VIGOGO wa maeneo ya kisiasa nchini ambao kwa kawaida wamekuwa wakijivunia ufuasi mkubwa, sasa wapo hatarini kupoteza umaarufu huo kutokana n . . .

afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Julai mosi serikali ya Ruto kuondoa mpango bei nafuu ya chakula KDF

NJAA itawasakama wanajeshi kuanzia kesho Julai 1, 2025 baada ya serikali ya Rais William Ruto kuondoa mpango wa chakula cha bei nafuu katika . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Atinga kwa msajili baada ya kuenguliwa kuwania Urais

Siku moja baada ya Chama Cha Alliance Democratic For Change (ADC) kumpata mgombea urais wa Tanzania na Zanzibar, kada wa chama hicho na aliy . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Watu 11 wafukiwa na kifusi Sudan

Kampuni ya Rasilimali ya Madini Sudan (SMRC) imethibitisha kuwa wachimbaji 11 wa dhahabu wamefariki dunia baada ya kuangukiwa na mgodi katik . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Odinga amkosoa waziri wa Ulinzi nchini Kenya

Aliyekuwa waziri mkuu wa Kenya Raila Odinga amelaani vikali wito wa waziri wa usalama nchini Kenya Kipchumba Murkomen kwa polisi kuwafyatuli . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Dkt, Biteko ahudhuria mkutano wa nyuklia Afrika

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt Doto Biteko amewasili Kigali nchini Rwanda, kushiriki mkutano unaohusu masuala ya nyuklia Afrika. . . .

Afrika Mashariki
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Maadhimisho uhuru wa Somalia kufanyika Tanzania

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Said Shaib Mussa amempokea Waziri wa Mambo ya Nje na U . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Rais RUTO Ajipalilia Makaa, Awaponda Wananchi Wanaoandamana Kenya

Rais wa Kenya William Ruto amepuuzilia mbali wito ambao umekuwa ukitolewa na waandamanaji na viongozi wa upinzani kumtaka ajiuzulu na kuwapa . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

KIKOSI cha Yanga Vs Singida Black Stars Leo Tarehe 29 June 2025

Juni 29, Young Africans watakuwa wenyeji wa Singida Black Stars katika michuano ya Kombe la Shirikisho Tanzania. Mechi itaanza saa 21:15 saa . . .

Kurasa 1 ya 171

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category