logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 dakika zilizopita

Trump atishia tena kusambaratisha vituo vya nishati vya Iran

Trump ametangaza kitisho kipya dhidi ya Iran akisema atashambulia na kusambaratisha kabisa vituo vya nishati vya Iran makubaliano yasipofiki . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 7 dakika zilizopita

WIZI WA MTOTO WAMPONZA, AFUNGWA MWAKA MMOJA

Mahakama ya Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza imemhukumu Novina Yoel Kuboja (23) ambaye ni mkulima na mkazi wa Buchosa wilayani humo, kutumi . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 9 dakika zilizopita

Bunge la Israel kuamua kuhusu hukumu ya kifo kwa Wapalestina

Bunge la Israel kuamua kuhusu hukumu ya kifo kwa Wapalestina wanaowaua Waisraeli Ukingo wa MagharibiBunge la Israel linatarajiwa kujadili mu . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 15 dakika zilizopita

Wanamgambo waua watu 30 jimbo la Plateau, Nigeria

Wanamgambo wenye bunduki wamewaua takriban watu 30 katika jimbo la kati la Nigeria Plateau.Maafisa na wakaazi wa eneo hilo wamesema hayo sik . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 4 masaa yaliopita

Aliyekuwa mbunge Kilwa Kusini Seleman Bungara afariki dunia

Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kilwa Kusini, Seleman Bungara maarufu kama Bwege, amefariki dunia mchana huu akiwa katika hospitali binafsi ene . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 7 masaa yaliopita

Asilimia 51 ya Gen Z Wadai Degree Ni Hasara

Kwa mujibu wa takwimu mpya kutoka Indeed Survey, asilimia 51 ya vijana wa kizazi cha Gen Z wenye shahada wanasema elimu yao ni upotevu wa pe . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 9 masaa yaliopita

Vita dhidi ya Iran vyavuuka mwezi mzima

Vita vilivyoanzishwa na Marekani na Israel dhidi ya Iran vimeingia siku yake ya 31, huku kila upande ukizidisha mashambulizi na vitisho dhid . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 9 masaa yaliopita

Trump adai mabadiliko ya utawala yamefanikiwa Iran

Rais Donald Trump wa Marekani amedai kwamba vita vilivyoanzishwa na nchi yake na Israel vimeshafanikiwa kuleta mabadiliko ya utawala nchini . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 9 masaa yaliopita

Jamhuri ya Afrika ya Kati: Faustin-Archange Touadéra kuapishwa kwa muhula wa tatu

Faustin-Archange Touadéra ambaye alitangazwa mshindi wa uchaguzi wa urais wa Desemba 26, ataapishwa kwa muhula mpya wa miaka saba katika sh . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • jana

Baadhi ya miili iliyofukuliwa Kericho ilikuwa na majereha kichwani uchunguzi wabaini

MIILI mitano kati ya 33 iliyofukuliwa katika kaburi la pamoja Makaburini mjini Kericho ina majeraha kichwani yaliyosababishwa na kupigwa kwa . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • jana

Kiongozi wa Zamani Nepal Akamatwa Kufuatia Vifo vya Maandamano ya Gen Z

Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Nepal, K. P. Sharma Oli, amekamatwa na mamlaka za nchi hiyo kufuatia uchunguzi unaohusiana na vifo vya watu 76 vili . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • jana

Niger" Serikali yapiga marufuku kusambaza picha za wapokeaji wa chakula au misaada ya kijamii"

Nchini Niger, ni marufuku kusambaza picha za watu wanaopokea misaada, kama vile michango ya chakula. Shirika la taifa la Mawasiliano (ONC) l . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • jana

Ugonjwa wa uti wa mgongo huua takriban watu 260,000 duniani kote kila mwaka

Karibu watu 260,000 huuawa na ugonjwa wa uti wa mgongo kila mwaka duniani kote. Hii ni kulingana na utafiti uliochapishwa siku ya Jumamosi, . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Dkt Samia aongoza Taifa kumuaga Lukuvi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Machi 28, 2026 ameongoza viongozi wa kitaifa pamoja na mamia ya Watanzania . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Balen Shah aapishwa kuwa Waziri Mkuu wa Nepal

Mwanamuziki wa zamani wa Hip Hop aliyegeukia siasa Balen Shah, ameapishwa kuwa Waziri Mkuu mpya wa Nepal kufuatia ushindi mkubwa wa chama ch . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Taifa Stars yashuka nafasi ya ubora FIFA

Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, imeshuka kwa nafasi tatu katika viwango vya ubora wa soka duniani vinavyotolewa na FIFA, na sasa kus . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Djigui Diarra afungiwa michezo mitatu na faini ya milioni 4

Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imetoa adhabu kwa mchezaji wa klabu ya Young Africans SC Djigu . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Donald Trump Aongeza Muda wa Kusitisha Mashambulizi kwa Iran

Rais wa United States, Donald Trump, amesema ameongeza muda wa kusitisha mashambulizi dhidi ya viwanda vya nishati vya Iran kutoka siku chac . . .

Dini
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Dame Sarah Mullally sandika historia kanisa la Anglikana

Askofu Mkuu mwanamke wa kwanza Dame Sarah Mullally ameapishwa rasmi kuwa katika historia ya Kanisa la Anglikana duniani, akiongoza waumini t . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Hakimu Hellerstein Kusikiliza Pingamizi la Kisheria la Maduro

Rais wa zamani wa Venezuela, Nicolás Maduro, kurejea mahakamani leo Ijumaa leo 27, 2026 mjini New York huku akihoji uhalali wa mashtaka ya . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Pakistan yasimamia mazungumzo kati ya Marekani na Iran

Waziri wa Mambo ya Nje wa Pakistan Ishaq Dar, amethibitisha leo kuwa nchi yake inasimamia mawasiliano kati ya Marekani na Iran ili kupunguza . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Watu 20 wafariki Tanzania kufuatia maporomoko ya ardhi

Watu wasiopungua 20 wamefariki kusini mwa Tanzania katika mkoa wa Mbeya, kufuatia maporomoko ya ardhi yaliyosababishwa na mvua kubwa ilioamb . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Yair Lapid "Israel inakabiliwa na uhaba wa wanajeshi"

Kiongozi mkuu wa upinzani huko Israel ameikosoa serikali ya Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu kwa kuielekeza nchi hiyo kwenye "janga la kiusala . . .

Riadha
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Jackline Sakilu Afungiwa Miaka 10 Kutokana na Doping

Shirikisho la Riadha Tanzania (RT) limeeleza chanzo cha kufungiwa kwa nyota wa timu ya taifa, Jackline Sakilu, kwa miaka 10 kutokana na ukiu . . .

Mastaa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Maitre Gims Wawekewa Kizuizini Ufaransa kwa Uchunguzi wa Utakatishaji Fedha

Msanii maarufu wa muziki wa mtindo wa rapa na mwenye asili ya Kongo, Maitre Gims, amewekwa kizuizini nchini Ufaransa ili kuhojiwa kuhusiana . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Jakaya Kikwete ateuliwa mwakilishi maalum wa African Union

Rais mstaafu wa Tanzania, Jakaya Kikwete, ameteuliwa kuwa Mwakilishi Maalumu wa African Union katika eneo la Pembe ya Afrika na Bahari ya Sh . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Makaburi zaidi ya 3,000 yahamishwa Bukoba kupisha mradi wa machinga

Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera imekamilisha zoezi la kuhamisha makaburi zaidi ya 3,000 kutoka eneo la Kishenge kwenda Kata ya Buhembe, iki . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Mataifa yalilia uhaba wa mafuta, Lamu wakililia kufungwa kwa kituo cha punda wao wa uchukuzi

ATHARI mbaya za kusitishwa kwa huduma za matibabu ya punda katika kituo cha kipekee kilichoko kisiwani Lamu tayari zimeanza kushuhudiwa, wak . . .

Jamii
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Fahamu historia ya Mti wa Araucaria ssp Uliopandwa na Nyerere mwaka 1989.

Mti wa Araucaria ssp ni miongoni mwa miti ya jamii ya misonobari (conifers), inayojulikana kwa umbo lake la kuvutia lenye matawi yanayopangw . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Hali tete mochwari ya Kericho ikijaa miili mara tatu zaidi ya uwezo wake wa kawaida

HOSPITALI ya Rufaa ya Kaunti ya Kericho imehifadhi miili 49 ambayo ni mara tatu zaidi ya idadi yake ya kawaida, hii ikizua tatizo la afya ya . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Mohamed Salah Atangaza Kuondoka Liverpool Bure Mwisho wa Msimu

Mshambuliaji nyota wa Mohamed Salah ametangaza rasmi kuwa ataondoka ndani ya klabu ya Liverpool mwishoni mwa msimu huu, akihitimisha safari . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Mashindano ya FIFA Series 2026 Kuanza Leo Rwanda, Stars Kukiwasha na Liechtenstein

Mashindano ya kimataifa ya soka ya FIFA Series 2026 yanaanza rasmi leo Machi 26, 2026 jijini Kigali, huku Rais wa Shirikisho la Soka Rwanda . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Lukuvi Kuagwa Bungeni Dodoma, Dar-Karimjee Kuzikwa Iringa Jumanne Machi 31, 2026

Mwili wa aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), William Lukuvi (70), utazikwa katika kijiji . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Iran "Mapendekezo yaliowasilishwa na Marekani yanapitiwa na mamlaka"

Katika mahojiano na televisheni ya kitaifa, Waziri wa mambo ya kigeni wa Iran Abbas Araqchi, aliweka wazi kuwa mapendekezo ya Marekani ya ku . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Nicolás Maduro apinga kesi ya Marekani akidai kunyimwa haki

Rais wa zamani wa Venezuela Nicolas Maduro anatarajiwa kufika tena mahakamani Marekani akijaribu kushawishi jaji afute kesi inayomkabili ya . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Jeshi la Magereza Tz lakanusha taarifa za kuzorota kwa Afya ya Tundu Lissu

Jeshi la Magereza Tanzania limetoa kanusho dhidi ya taarifa zilizoeleza kuwa hali ya afya ya Tundu Lissu siyo nzuri, likisisitiza kuwa taari . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Polisi Mwanza wafanya msako wa kijana aliyeua kisa Simba na Yanga

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linamtafuta kijana mmoja (jina limehifadhiwa) kwa tuhuma za kumuua Abel Mganga Mazuri (25), mkazi wa Nyamahen . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Waasi M23 Wazuia Wanahabari

Shirika la Reporters Without Borders (RSF) limesema waasi wa M23 wanazuia wanahabari ndani ya makontena tangu walipoutwaa mji wa Goma uliopo . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Michael Randrianirina ataka vipimo vya ubongo kwa Mawaziri kupambana na ufisadi

Rais wa Madagascar, Michael Randrianirina, ameagiza kuwa mtu yeyote anayetarajiwa kuteuliwa kuwa waziri lazima apitie kipimo cha ubongo (pol . . .

SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Mashabiki Ulaya walalamikia bei kubwa Tiketi za FIFA World Cup 2026

Mashabiki wa kandanda barani Ulaya wamewasilisha malalamiko rasmi kuhusu gharama kubwa ya tiketi za FIFA World Cup 2026 inayotarajiwa kufany . . .

Kurasa 1 ya 230

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category