Waliookolewa, wakiwemo watoto watano, walipelekwa katika kisiwa cha Lampedusa nchini Italia, huku watu watatu wakiripotiwa kupotea.Watu 19 w . . .
Marekani imeondoa vikwazo dhidi ya kaimu rais wa Venezuela, Delcy RodrÃguez, hatua inayotafsiriwa kama mabadiliko makubwa ya sera ya Washin . . .
Tetemeko hilo lilisababisha tahadhari ya tsunami kutolewa kwa maeneo ya Indonesia pamoja na nchi jirani za Ufilipino na Malaysia.Tetemeko ku . . .
Japan imeanza rasmi kutumia mfumo wake wa kwanza wa makombora ya masafa marefu katika kambi ya kijeshi ya kusini-magharibi, hatua inay . . .
Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa vita kati ya Marekani na Iran vinatarajiwa kumalizika hivi karibuni licha ya kuonya kuwa mashamb . . .
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Emmanuel Nchimbi, amekutana na kusalimiana na Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani, P . . .
SIKU hizi ugomvi kwenye mahusiano imekuwa kama ni jambo la kawaida watu wanagombana kwelikweli utakuta mtu haipiti mwezi mmoja bila kug . . .
Watu 13 wamefariki na wengine 57 kujeruhiwa kufuatia mlipuko mkubwa uliosababishwa na moto katika kambi ya kijeshi nchini Burundi.Jeshi lime . . .
Tiger Woods amekataa kuiongoza timu ya Marekani Ryder Cup 2027 ili kuzingatia afya yake, baada ya ajali ya gari na tuhuma za kuendesha akiwa . . .
Wanaanga wa chombo cha Artemis II wanaelekea mwezini baada ya kurushwa katika safari ya kwanza ya NASA ya mwezini miongo mitano tangu safari . . .
Katika hotuba ya televisheni kwa taifa, rais wa Marekani amepongeza ushindi "wa maamuzi" na "wa kushangaza" dhidi ya Iran tangu kuanza kwa o . . .
Nchini Burundi, siku 2 baada ya kutokea milipuko katika kituo kikuu cha kuhifadhi silaha cha jeshi huko Bujumbura, Jeshi lilitangaza idadi r . . .
Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana, Mhe. Amina Amina, amewahimiza watengeneza maudhui mtandaoni kutumia ubunifu wao kuleta mabadiliko chanya katika . . .
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiwa kwenye mazungumzo na wagombea wa nafasi ya urais na wagombea . . .
Rais wa Marekani, Donald Trump amesema anaangalia uwezekano wa kuiondoa nchi hiyo katika NATO, akidai muungano huo hauna ufanisi wa kutosha . . .
Washiriki wa mafunzo ya watengeneza maudhui mtandaoni (content creators) wameanza kujisajili leo katika Gold Crest Hotel, ambapo wanatarajiw . . .
Benki Kuu ya Tanzania imesitisha kwa muda mpango wa kuuza sehemu ya akiba yake ya dhahabu kufuatia kushuka kwa bei katika soko la dunia.Akiz . . .
Benki ya Stanbic imeendelea kuonesha dhamira yake ya kuhamasisha uelewa mpana wa bima kwa jamii kupitia zoezi la utoaji elimu ya bima lililo . . .
SERIKALI ya Tanzania imetangaza kupanda kwa bei ya mafuta kuanzia Aprili 1, 2026, kufuatia athari za mzozo wa kivita katika eneo la Masharik . . .
Bao pekee alilofunga Axel Tuanzebe katika mchezo wa mchujo dhidi ya timu ya Taifa ya Jamaica limetosha kuirudisha DR Congo katika michuano y . . .
Shirika la kimataifa la Amnesty International limeonya kuwa mashindano ya Kombe la Dunia 2026, yanayotarajiwa kuanza Juni 11 hadi Julai 19, . . .
Marekani imedai kuwa mashabiki kutoka Algeria, Senegal, Cape Verde, Ivory Coast na Tunisia wanatakiwa kulipa amana ya dola 15,000( ambapo ni . . .
Iran imeingia siku ya 32 tangu kukatika kwa mtandao, huku watumiaji wengi wakikosa mawasiliano nje ya mtandao kwa zaidi ya saa 744, kwa muji . . .
Kikao cha kwanza cha Mkutano wa Tatu wa Bunge la 13 la Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kilichoanza leo Machi 31, 2026 jijini Dodoma . . .
Bei ya mafuta duniani imeendelea kupanda na kufikia zaidi ya dola 115 kwa pipa katika masoko ya Asia, kufuatia kuongezeka kwa mvutano wa vit . . .
Wananchi wa Kijiji cha Idodi mkoani Iringa wamejitokeza kwa wingi kutoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu . . .
Kufuatia kusambaa kwa video mitandaoni ikimuonesha Mtanzania aliyefariki dunia baada ya kudondoka kutoka ghorofa ya 14 nchini Uturuki, umeib . . .
Mahakama ya Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza imemhukumu mwanamke mmoja, Novina Yoel Kuboja (23), kifungo cha mwaka mmoja jela baada ya kupa . . .
KUSHIRIKI tendo la ndoa mara kwa mara husaidia kuimarisha ubora wa mbegu za kiume, Utafiti mpya umebaini.Utafiti huo umezima kabisa dhana ku . . .
Bei ya mafuta imeripotiwa kupanda tena kwenye soko la dunia kutokana na athari za moja kwa moja za vita vilivyoanzishwa na Marekani na Israe . . .
Watu zaidi ya 70 wameuawa katika shambulio lililotokea kwenye machimbo ya dhahabu Khor Kaltan, nchini Sudan Kusini.Shambulizi hi . . .
Wafungwa 11 wamepoteza maisha na wengine wameambukizwa kipindupindu baada ya kutokea kwa mlipuko wa ugonjwa huo katika gereza la Mbanza-Ngun . . .
Ingawa vyakula vya baharini vinajulikana kuwa na faida kubwa kiafya, si kila samaki au sahani ya seafood ni salama au bora kula. Wataalamu w . . .
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Machi 30, 2026 amepokea ripoti mbalimbali kutoka taasisi za umma . . .
Waingereza watano wanashikiliwa na mamlaka za Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), huku wengine zaidi ya 70 wakidaiwa kukumbwa na mkono wa sheri . . .
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Charles Kichere, leo Machi 30, 2026 amewasilisha Ripoti Kuu ya mwaka wa fedha 2024/2025 . . .
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali itachukua hatua madhubuti kushughulikia mapungufu y . . .
Trump ametangaza kitisho kipya dhidi ya Iran akisema atashambulia na kusambaratisha kabisa vituo vya nishati vya Iran makubaliano yasipofiki . . .
Mahakama ya Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza imemhukumu Novina Yoel Kuboja (23) ambaye ni mkulima na mkazi wa Buchosa wilayani humo, kutumi . . .
Bunge la Israel kuamua kuhusu hukumu ya kifo kwa Wapalestina wanaowaua Waisraeli Ukingo wa MagharibiBunge la Israel linatarajiwa kujadili mu . . .