logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 15 dakika zilizopita

Kufunguliwa tena kwa Mlango-Bahari wa Hormuz katikati ya mazungumzo

Utawala wa Trump umeazimia kuanzisha upya biashara ya hidrokaboni duniani lakini hadi sasa, mazungumzo yanapokaribia kuanza, utawala wa Iran . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 29 dakika zilizopita

Rwanda yaadhimisha miaka 32, mauaji ya kimbari

April 7, 1994 ni siku ya ambayo historia ya Rwanda ilianadikwa kwa wino mwekundu kumaanisha hatari, kifo cha Rais zamani wa Taifa hilo Juven . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 43 dakika zilizopita

Waziri Mkuu wa Uingereza afunguka mazito vita ya Iran na Marekani

Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, amesema amechoshwa na athari za kiuchumi zinazotokana na maamuzi ya Rais wa Marekani, Donald Trump, . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 47 dakika zilizopita

China Yakanusha Tuhuma za Kusaidia Kijeshi Iran, Marekani Wafunguka

Ripoti mpya za kijasusi za Marekani zinaeleza kuwa China inadaiwa kujiandaa kupeleka mifumo mipya ya ulinzi wa anga kwa Iran& . . .

Mastaa
  • Na Jembe Digital
  • 51 dakika zilizopita

Mahakama yatoa maamuzi Mapya Kesi ya talaka ya Cardi B na Offset

Rapa Offset ameibua utata mpya katika kesi yake ya talaka na Cardi B baada ya kudai kupimwa DNA kwa mtoto mdogo wa msani . . .

Afrika Mashariki
  • Na Jembe Digital
  • 58 dakika zilizopita

Kikwete aibua matumaini mapya ya amani Sudan Kusini

Ziara ya Rais mstaafu wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete, mjini Juba imeashiria hatua mpya ya kidiplomasia katika kuhuisha mchakato wa amani n . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • saa moja lililopita

BAKITA Yamteua Hersi Said Kuwa Balozi wa Kiswahili Duniani

Bodi ya Baraza la Kiswahili Tanzania (BAKITA) imemteua rasmi Rais wa Klabu ya Yanga, Mhandisi Hersi Said, kuwa balozi wa Kiswahili . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 20 masaa yaliopita

Dkt Samia aanza rasmi kupunguza msafara wake

Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, ameanza rasmi utekelezaji wa vitendo wa mpango wa kupunguza magari katika msafara wake kwa kuhakikisha maofisa . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 21 masaa yaliopita

Mke wa Trump Akanusha Kuwa na Uhusiano na Epstein Baada ya Nyaraka Kuibuka

Mke wa Rais wa Marekani, Melania Trump usiku wa kuamkia Aprili 10, 2026 amekanusha vikali madai yanayomhusisha na mfanyabiashara m . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 22 masaa yaliopita

Dkt Samia azindua minara 758, kuwanufaisha zaidi ya wananchi milioni nane

Zaidi ya wananchi milioni 8.5 hususan wanaoishi mipakani na vijijini, wanatarajiwa kuondolewa changamoto ya mtandao, baada ya Rais Dkt Samia . . .

AJALI
  • Na Jembe Digital
  • 22 masaa yaliopita

Wawili Wafariki na wengine kujeruhiwa ajali Morogoro

Watu wawili wamefariki dunia na wengine wawili kujeruhiwa katika ajali ya barabarani iliyohusisha gari dogo aina ya Subaru lenye namba za us . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 22 masaa yaliopita

Serikali Kuongeza Bajeti ya Elimu ili Kukidhi Mahitaji ya Mtaala Mpya

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kuboresha bajeti ya elimu wakati ikitekeleza mtaala mpya wa elimu ili kuziba mi . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 22 masaa yaliopita

FBI Yamnasa Mvujishaji wa Siri za Ndege ya Kivita Iliyoanguka Iran

Shirika la upelelezi la Marekani, FBI, limemkamata mtu anayetuhumiwa kuvujisha taarifa za siri kuhusu kuangushwa kwa ndege ya kivita aina ya . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 22 masaa yaliopita

Iran na Marekani kufanya mazungumzo nchini Pakistan

Pakistan inajiandaa Ijumaa kuwa mwenyeji wa mazungumzo ya amani kati ya Marekani na Iran kujaribu kutuliza mvutano na kuokoa makubaliano ya . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 22 masaa yaliopita

Djibouti kufanya uchaguzi wa rais siku ya Ijumaa

Uchaguzi wa rais unafanyika siku ya Ijumaa kwenye taifa hilo lenye umuhimu mkubwa wa kimkakati katika Pembe ya Afrika rais wa Djibouti, Isma . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 22 masaa yaliopita

Benki ya Dunia: Ukuaji wa uchumi kupungua Afrika

Ripoti ya Benki ya Dunia imesema ukuaji wa uchumi katika mataifa ya Afrika yaliyopo Kusini mwa Jangwa la Sahara utapungua kutoka asilimia 4. . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 23 masaa yaliopita

SPIKA ZUNGU AFAFANUA UTARATIBU WA RIPOTI YA CAG

BUNGE Spika wa Bunge la Tanzania Mussa Azzan Zungu ameeleza utaratibu wa Bunge katika kushughulikia Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa He . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 24 masaa yaliopita

Afisa wa cheo cha juu auawa katika shambulio la wanajihadi kwenye kambi ya jeshi

Mashambulizi yamelenga kambi za kijeshi huko Benisheikh, Pulka, na Munguno, kaskazini mashariki mwa Nigeria, kitovu cha uasi wa wanajihadi k . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • jana

Marekani kusimamia mazungumzo kati ya Israel na Lebanon

Israel na Lebanon zitafanya mazungumzo wiki ijayo Marekani., huku kukiwa na wasiwasi mkubwa wa kimataifa kwamba mashambulizi ya mabomu ya Is . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • jana

Ethiopia yaunga mkono wanajeshi wa FSR, kulingana na Chuo Kikuu cha Yale

Inaripotiwa kwamba Ethiopia inaunga mkono vikosi vya kijeshi vya Jenerali Hemedti, ambao wamekuwa wakipigana na jeshi la Sudan kwa karibu mi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • jana

FBI Yakamata Mvujishaji wa Siri ya Ndege ya Kivita Iliyoangushwa Iran

Shirika la upelelezi la Marekani, FBI, limemkamata mtu anayetuhumiwa kuvujisha taarifa za siri kuhusu kuangushwa kwa ndege ya kivita aina ya . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • jana

Kenya na Ufaransa zapiga hatua katika mkataba wa ulinzi

Bunge la Kenya limeidhinisha kuidhinishwa kwa makubaliano ya pande mbili na Ufaransa siku ya Alhamisi, Aprili 9, yaliyosainiwa mwezi Oktoba . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • jana

Utafiti wahofia glakoma itachangia upofu wa mamilioni kufikia 2060

UTAFITI uliofanywa na Taasisi ya Ophthalmology, Uingereza, unaonyesha kuwa kufikia mwaka wa 2060, zaidi ya watu milioni 1.6 wenye umri wa mi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • jana

Misaada ya maendeleo yapungua kwa asilimia 23.1 mwaka 2025

Shirika la Ushirikiano wa Kiuchumi na Maendeleo, OECD, limesema misaada ya maendeleo ilipungua kwa kiwango cha kihistoria kwa asilimia 23.1 . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

NAJMA GIGA AONGOZA KIKAO CHA BUNGE DODOMA

Mwenyekiti wa Bunge, Najma Giga, ameongoza Kikao cha Tano cha Mkutano wa 3 wa Bunge la 13 leo Aprili 9, 2026 jijini Dodoma.Katika kikao hich . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Trump Akosoa NATO Kuhusu Vita vya Iran

Rais wa Marekani, Donald Trump, ameikosoa jumuiya ya kujihami ya NATO kwa kile alichosema ni kushindwa kusaidia Marekani na Israel katika ma . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Lissu atimiza siku 365 sawa na mwaka Mmoja akiwa gerezani

Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu, ametimiza siku 365 tangu kukamatwa na kuwekwa gerezani kwa tuhuma za uhaini na uchochezi.Katika kuadhimi . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Ufaransa kumfungulia mashtaka afisa wa zamani wa Rwanda

Mahakama ya Ufaransa imeamua kumshtaki luteni kanali mstaafu wa jeshi la Rwanda, Cyprien Kayumba, kwa tuhuma za kushiriki katika mauaji ya k . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Kupanda kwa gharama za maisha kwaibua maandamano Senegal

Mamia ya wafanyakazi, wanachama wa vyama vya wafanyakazi na wafuasi wa upinzani wameandamana katika mji wa Dakar, nchini Senegal kupinga kup . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

ANAYEDAIWA KUZUSHA “KUIBIWA NYETI” AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MIEZI SITA JELA

Mahakama ya Mwanzo Nyankumbu, wilaya ya Geita, mkoani Geita, imemhukumu kifungo cha miezi sita jela Abdulazizi Kabangila, miaka 31 na mkazi . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Ikulu yatoa ufafanuzi bei ya mafuta

Ikulu imesema mabadiliko ya bei ya mafuta yanachangiwa na hali ya soko la kimataifa, ikiwemo uzalishaji na migogoro ya kisiasa. Imeongeza ku . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Trump Aibua Taharuki, Akutana na Katibu Mkuu wa NATO, Atishia Kujiondoa

Rais wa Marekani, Donald Trump, ameibua mjadala mkubwa wa kimataifa baada ya kutoa kauli kali dhidi ya muungano wa kijeshi wa NATO . . .

TOP STORY
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

FAHAMU KUHUSU NGANO NA MATUMIZI YAKE

Ngano ni mmea wa jamii ya nyasi ambao hutoa punje zinazotumika kama moja ya vyakula vikuu dunianiMaeneo yanayolimwa. Nchini Tanzania, n . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Wachezaji 7 wa timu ya taifa ya Eritrea wazamia nchini Eswatini

Ushiriki wa timu ya taifa ya Eritrea katika michuano ya awali kufuzu kucheza fainali za kombe la mataifa ya Afrika, sasa umeleta maswali zai . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

LAZARUS CHAKWERA RAIS MSTAAFU MALAWI AMEWASILI NCHINI TANZANIA KWA ZIARA YA KIKAZI

Mhe. Lazarus Chakwera, Rais wa Zamani wa Malawi na Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola, Mhe. Shirley Ayorkor Botchwey, amewasi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Mwendesha mashtaka maalum ateuliwa katika kesi dhidi ya Jammeh

Wizara ya sheria ilitangaza kuwa imemteua wakili raia wa Uingereza, Martin Hackett, kusimamia ofisi hiyo, rekodi yake ikihusisha kazi a . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Dkt Samia: Napunguza msafara wangu kupunguza matumizi ya mafuta

Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, ametangaza mpango wa kupunguza ukubwa wa msafara wake, ikiwa ni hatua za mwanzo za kukabili matumizi ya mafuta . . .

Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • 3 siku zilizopita

Shaggy Afunguka Siri ya Mafanikio Yake Kwenye Muziki

Msanii mkongwe wa muziki wa dancehall, Shaggy, hivi karibuni alifanya mahojiano na chanzo kimoja cha habari, ambapo alizungumzia safari yake . . .

Mastaa
  • Na Nattyebrandy
  • 3 siku zilizopita

Redsan Atangaza Tamasha Kubwa la “Redsan At 30” Baada ya Mafanikio ya Nyashinski

Msanii mkongwe wa Dancehall kutoka Kenya, Redsan, ametangaza rasmi tamasha lake kubwa litakalofanyika baadaye mwaka huu, akilenga . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

UN: KARIBISHA USITISHO WA MAPIGANO KATI YA MAREKANI NA IRAN

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, amekaribisha tangazo la kusitisha mapigano kwa muda wa wiki mbili kati ya Marekani na Ir . . .

Kurasa 1 ya 234

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category