Gwiji wa filamu za mapigano na sanaa ya karate, Chuck Norris, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 86.Kupitia taarifa ya familia yake, ime . . .
Afisa Mkuu wa Serikali ameonya kuwa Kenya iko katika hatari kubwa ya kupokonywa haki ya kuandaa michuano ya Africa Cup of Nations (AFCON) 20 . . .
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania (JWT), Hamis Livembe, amesema wamefurahishwa na ripoti ya Tume ya Rais ya Kutathmini Mabor . . .
Zaidi ya watu 3,186 wameuawa nchini Iran tangu kuzuka kwa mapigano Februari 28 kulingana na Shirika la kutetea haki za binadamu (Hrana) leny . . .
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewasihi Viongozi wa Dini kuendelea kuwekeza katika kufu . . .
Maji ni miongoni mwa huduma muhimu ya kijamii. Maji ni huduma ambayo kila mtu anahitaji tena kila siku. Utahitaji maji kwa kuoga, kupikia, k . . .
Lori la mizigo lenye namba za usajili T729 BBT pamoja na tela namba T677 BTY limeteketea kwa moto katika eneo la Lugono, karibu na Nyama Cho . . .
Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Hemed Suleiman Abdullah akiwa katika Iftari iliyoandaliwa na Mamlaka ya Mapato . . .
WANAFUNZI watatu wa Shule ya Msingi Msongola iliyopo eneo la Msongola, wilayani Ilala jijini Dar es Salaam, wamefariki dunia baada ya kupigw . . .
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Iringa imemhukumu kunyongwa hadi kufa Joseph Mhulilwa, dereva bajaji na mkazi wa Mtwivila B, Manispaa ya Iringa, baada . . .
Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz amesema kuwa hakuna mpango wa kushawishi unaoonesha kuwa operesheni ya Marekani na Israel dhidi ya Iran . . .
Hii ni baada ya Bayern kujikatia tiketi ya robo fainali ya Ligi ya Vilabu Bingwa Ulaya kufuatia ushindi wao wa 4-1 dhidi ya Atalanta ya Ital . . .
Rais wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan amesema mapendekezo ya Tume aliyoiunda ya Kutathmini Maboresho ya Mfumo wa Kodi, yanashauri kuwepo . . .
Mkuu wa Wilaya ya Ilemela Mkoani Mwanza , Amir Mkalipa, amevitaka vikundi vilivyopata mikopo ya asilimia 10 katika wilaya hiyo kuhakikisha v . . .
Mbunge wa Jimbo la Segerea kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Mhe. Agnesta Kaiza, ametembelea na kutoa msaada wa mahitaji mbalimb . . .
Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Japan, Mheshimiwa Anderson Mutatembwa, alipokea kwa niaba ya Serikali msaada wa magari mata . . .
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima, amesema matumizi sahihi ya teknolojia katika mi . . .
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema kukamilika kwa mradi wa upanuzi wa Kiwanja cha Ndege cha Shinyanga kunatarajiwa kuchochea shugh . . .
Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mhe dkt Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi viongozi na kupanga vituo vipya kwa ubalozi.Kwa mujibu . . .
Kilio cha baadhi ya wafanyabiashara kuhusu mfumo wa haki na usawa katika ulipaji wa kodi, kinakwenda kupata muarobaini, baada ya Tume ya Tum . . .
Mashambulizi ya makombora kutoka Iran yameripotiwa kulenga jiji la Tel Aviv kwa mara ya pili usiku wa kuamkia leo 18 Machi 2026, huku Tehran . . .
Rais wa Jamhuri ya Congo, Denis Sassou Nguesso, ametangazwa mshindi wa uchaguzi wa urais kwa kupata asilimia 94.82 ya kura.Matokeo hayo yame . . .
Baraza Kuu la Waislam Mkoa wa Mwanza limetangaza kuwa Swala ya Eid itafanyika kimkoa katika Uwanja wa Nyamagana uliopo Wilaya ya Nyamagana, . . .
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Wilbrod Mutafungwa, amewakumbusha Maafisa, Wakaguzi na Askari wa vyeo mb . . .
Mwanadiplomasia wa zamani wa Ubelgiji atafikishwa mahakamani hivi karibuni mbele ya mahakama ya jinai ya Brussels kwa kuhusika kwake katika . . .
Zaidi ya watoto 1,241,809 wenye umri wa chini ya miaka 10 katika Mkoa wa Mwanza wanatarajiwa kupatiwa chanjo ya matone dhidi ya Polio katika . . .
Waziri wa Ulinzi wa Israel Israel Katz ameiambia dunia kwamba afisa mkuu wa usalama wa Iran, Ali Larijani, ameuawa katika mashambulizi ya an . . .
Mahitaji ya nyama katika soko la nje ni makubwa kuliko uwezo wa uzalishaji hapa nchini.Taarifa ya Msajili wa Bodi ya Nyama Tanzania, Tanzani . . .
SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo, inaendelea kuimarisha hatua za kinga na huduma kwa waat . . .
KILICHOTARAJIWA kuwa wikendi ya kawaida kwa Glorious Kaiza mwenye umri wa miaka 11 kiligeuka kuwa janga baada ya mtoto huyo kutoweka Jumamos . . .
Rais Donald Trump wa Marekani amesema jana Jumatatu kwamba ananuia kuichukua Cuba, katikati ya mzozo wa nishati uliokikumba kisiwa hicho, ul . . .
Rais wa Nigeria Bola Tinubu anatarajiwa London mnamo Machi 17, 2026, kwa ziara ya kwanza ya kiserikali ya rais wa Nigeria tangu karibu miaka . . .
Kundi la waasi wa AFC/M23 wanaodhibiti maeneo mengi katika mikoa ya Kivu Kaskazini na Kusini limedai kwamba linawashikilia watu waliotekelez . . .
Milipuko kadhaa ya mabomu imetikisa mji wa Maiduguri katika jimbo la Borno, Kaskazini Mashariki mwa Nigeria na kusababisha idadi kubwa ya vi . . .
Viongozi mbalimbali wa Serikali wameshiriki ibada ya misa takatifu ya kumuombea hayati Dkt.Magufuli mjini chato mkoani Geita leo machi 17,20 . . .
Rais wa Marekani, Donald Trump, ameendelea kuikosoa Serikali ya Uingereza kufuatia msimamo wake wa kutojihusisha moja kwa moja na vita vinav . . .
Iran imesema iko kwenye mazungumzo na FIFA kuhusu uwezekano wa kucheza mechi zake za FIFA World Cup nje ya United States kufuatia onyo lilil . . .
Raia wa Kenya waliojiunga na jeshi la Russia hawatarejeshwa nyumbani hadi watakapokamilisha au kusitisha rasmi mikataba yao ya kijeshi.Kauli . . .
Rais wa South Korea, Lee Jae-myung, ameomba radhi kwa familia za waathiriwa wa March 15 Masan Uprising, tukio la kihistoria lililochochea ma . . .
Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Heri James, ameshiriki katika kongamano la wadau wa habari lililowakutanisha wahariri na waandishi wa habari, lililo . . .