Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza wameibana Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mkoani Mwanza (MWAUWASA), w . . .
Tume ya Rais ya Uchunguzi wa Matukio ya Vurugu kabla na Baada ya Uchaguzi, imesema Alhamisi ya Aprili 23, mwaka huu, itakabidhi ripoti yake . . .
MSHINDI wa Kombe la Dunia mara mbili na Brazil, Cafu amesema anaamini mashindano ya mwaka huu ni wakati muafaka kwa mabingwa hao mara tano k . . .
NCHINI Kenya hivi leo kumekuwepo na maandamano ya kupinga kupanda kwa bei ya mafuta ambapo kwa sasa lita ya petroli inauzwa kwa Sh. 197.60 z . . .
Jumba la sanaa la Rangi Gallery limeweka historia kwa kuwa la kwanza kutoka Tanzania kushiriki katika maonesho ya kimataifa ya Art OnO 2026 . . .
Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema kua amani iliyopo nchini ni hazina ya shughuli za kiuchumi na kijamii.Dk . . .
WAZIRI wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema Tanzania ina mtandao mkubwa zaidi wa barabara kulinganisha na nchi yoyote jirani huku akisifu jiti . . .
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mussa Zungu amemuonya Mbunge wa Tunduru Kaskazini Ado Shaibu Ado kwa kuendelea kuzungumza . . .
Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Umoja wa Ulaya watakutana Jumanne kujadili kuhusu mzozo wa Mashariki ya Kati pamoja na uungwaji mkono kwa Ukrain . . .
Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Leo XIV anasafiri Jumanne kuelekea Guinea ya Ikweta, kituo cha mwisho cha ziara yake ya siku 10 bar . . .
Wanajeshi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wakishirikiana na wale wa Uganda walifanikiwa wiki iliyopita kuwaokoa raia wasiopungua 200 wak . . .
Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Hassan Abbasi amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu Wizara ya Utalii, Wanyamapori na . . .
KIONGOZI wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Wazo Mwang’onda, amewahimiza vijana nchini kuchangamkia fursa ya mikopo ya asilimia 10 inayot . . .
Iran inasema haina mpango wa kutuma wajumbe wake nchini Pakistan kushiriki kwenye mazungumzo mapya na Marekani, hatua ya Tehran ikija wakati . . .
Nchini Kenya hivi leo kunatarajiwa kushuhudiwa maandamano ya kupinga kupanda kwa bei ya mafuta.Maandamano hayo yanatarajiwa kuongozwa na vij . . .
Chad itatuma wanajeshi elfu 1 na 500 nchini Haiti ikiwa ni sehemu ya kikosi cha kimataifa kinachoungwa mkono na umoja wa Mataifa kusaidia ku . . .
Pakistan imeendeleza leo maandalizi ya duru mpya ya mazungumzo kati ya Marekani na Iran siku chache kabla ya makubaliano ya kusitisha mapiga . . .
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amelaani vikali tukio lililosambaa mtandaoni likimuonesha mwanajeshi wa Israel akiharibu sanamu ya . . .
NI vema kujua haya tutakayoyaainisha hapa leo. Inakadiriwa kuwa, mwanamke hupata hedhi wastani wa mara 400 katika maisha yake. Pia . . .
Jumuiya ya Wanahabari wa Mitandao ya Kijamii Tanzania (JUMIKITA) imelaani vikali kitendo kinachodaiwa kufanywa na Madam Rita dhidi ya chombo . . .
Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba amesema Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza fedha zilizokuwa zimetengwa kwa ajili ya maadhimisho ya miaka 62 ya M . . .
Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imetangaza adhabu kwa klabu kadhaa za Ligi Kuu Tanzania kutoka . . .
Kiungo wa Yanga, Mudathir Yahya amefungiwa michezo mitatu pamoja na kutozwa faini ya Tsh milioni 1 baada ya kukutwa na kosa l . . .
Mwanamume mmoja amewauwa watoto wanane, saba ambao wakiwa wake mwenyewe na kuwapiga risasi wanawake wawili katika shambulizi moja mjini Shre . . .
Kiongozi wa kanisa Katoliki duniani Papa Leo XIV, amesafiri mapema leo kuelekea mjini Saurimo mashariki mwa Angola kutoka mji mkuu Luanda, k . . .
Wagombea wanne wa wadhifa wa katibu mkuu ajaye wa Umoja wa Mataifa watafika wiki hii mbele ya jopo la mabalozi kutoka nchi 193 wanachama wa . . .
RAIS William Ruto amewataka wakosoaji wake wakome kulinganisha bei ya mafuta nchini na mataifa jirani akisema uchumi wa Kenya umepiga hatua . . .
Bayern Munich ndio mabingwa wa ligi kuu ya Ujerumani "Bundesliga" msimu huu, baada ya kupata ushindi siku ya Jumapili wa mabao 4-2 dhidi ya . . .
Kwa sasa Tehran haijapanga kushiriki katika mazungumzo mapya na Marekani, vyombo vya habari vya serikali ya Iran vimeripoti siku ya Jumapili . . .
Umoja wa Afrika hapo jana "ulilaani vikali" hatua ya Israel kuteua balozi mpya kwenye eneo la Somaliland linalotaka kujitenga na Somalia, ua . . .
Kiongozi wa kanisa katoliki duniani, Papa Leo wa 14, amekemea vitendo vya rushwa na kuzitaka mamlaka za Angola kumaliza ubaguzi ambao umeend . . .
Mkaguzi wa Kata ya Milola, Wilaya ya Ulanga Mkoani Morogoro, Mkaguzi Msaidizi wa Polisi (A/INSP) Aloyce Andrew, kwa kushirikiana na wananchi . . .
VIONGOZI mbalimbali wametakiwa kutendea haki nafasi walizonazo katika maeneo yao ya kazi ili kuleta matokeo chanya na kuacha alama, badala y . . .
Viongozi wa Dini wa Madhehebu mbalimbali Nchini wamekumbushwa kuimarishwa Mahusiano kati ya Taasisi za Dini na Serikali ili kudumisha Amani . . .
Karibu watu 70 wamekamatwa na mamlaka ya Iran, wakituhumiwa kwa kuhusishwa na mitandao ya ujasusi ya kigeni katika jimbo la Mazandaran, kuli . . .
Mazungumzo ya amani kati ya Iran na Marekani "yamepiga hatua," lakini makubaliano ya mwisho "bado yako mbali," spika mwenye wa bunge la Iran . . .
Tanzania imeweka historia mpya katika sekta ya afya baada ya kuwa mwenyeji wa Mkutano wa Kimataifa wa Shirikisho la Jumuiya ya Madaktari wa . . .
Mbunifu chipukizi mwenye kipaji kikubwa, Samia Khan, ameendelea kuvutia hisia za wengi baada ya kuonesha ubunifu wake wa kipekee katika jukw . . .
Serikali ya Burundi imethibitisha kifo cha Waziri wa Mawasiliano na Vyombo vya Habari, Gabby Bugaga, kilichotokea Alhamisi asubuhi katika ki . . .
JUHUDI za kufuta kituo cha kitaifa cha kujumlishia kura kabla ya uchaguzi mkuu wa 2027 zimepata upinzani mkali kutoka kwa wabunge na Tume Hu . . .