logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 12 masaa yaliopita

Jeshi la Magereza Tz lakanusha taarifa za kuzorota kwa Afya ya Tundu Lissu

Jeshi la Magereza Tanzania limetoa kanusho dhidi ya taarifa zilizoeleza kuwa hali ya afya ya Tundu Lissu siyo nzuri, likisisitiza kuwa taari . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • 17 masaa yaliopita

Polisi Mwanza wafanya msako wa kijana aliyeua kisa Simba na Yanga

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linamtafuta kijana mmoja (jina limehifadhiwa) kwa tuhuma za kumuua Abel Mganga Mazuri (25), mkazi wa Nyamahen . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 19 masaa yaliopita

Waasi M23 Wazuia Wanahabari

Shirika la Reporters Without Borders (RSF) limesema waasi wa M23 wanazuia wanahabari ndani ya makontena tangu walipoutwaa mji wa Goma uliopo . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 20 masaa yaliopita

Michael Randrianirina ataka vipimo vya ubongo kwa Mawaziri kupambana na ufisadi

Rais wa Madagascar, Michael Randrianirina, ameagiza kuwa mtu yeyote anayetarajiwa kuteuliwa kuwa waziri lazima apitie kipimo cha ubongo (pol . . .

SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • 20 masaa yaliopita

Mashabiki Ulaya walalamikia bei kubwa Tiketi za FIFA World Cup 2026

Mashabiki wa kandanda barani Ulaya wamewasilisha malalamiko rasmi kuhusu gharama kubwa ya tiketi za FIFA World Cup 2026 inayotarajiwa kufany . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 21 masaa yaliopita

Iran yatoa kauli kali, yakataa mazungumzo na United States

Msemaji wa Makao Makuu ya Khatam al-Anbiya ya Iran, Ebrahim Zolfaghari, ametoa kauli kali akilenga United States kuhusu hali ya kisiasa na u . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 21 masaa yaliopita

Ajali Ilemela: mtu mmoja afariki, Polisi wamsaka dereva aliyekimbia

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limeanza msako wa dereva aliyesababisha ajali iliyopelekea kifo cha mtu mmoja na kujeruhi wengine wawili kati . . .

SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • 22 masaa yaliopita

Mohamed Salah Atangaza Kuondoka Liverpool FC

Nyota wa Liverpool FC, Mohamed Salah, ametangaza rasmi kuondoka klabuni hapo kupitia ujumbe wa hisia aliowaandikia mashabiki, akieleza kuwa . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • 23 masaa yaliopita

Umuhimu wa kubadilisha kifaa cha kuoshea vyombo nyumbani

Je, mara ya mwisho kubadilisha kifaa unachotumia kuoshea vyombo ilikuwa lini?Ni kifaa kinachopatikana jikoni katika kila makazi lakini mdaha . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • 23 masaa yaliopita

Waziri Murkomen "Utafutaji mahari ndio unachangia wizi wa mifugo"

Utafutaji mahari ndio unachangia wizi wa mifugo, Waziri Murkomen asemaWIMBI la ujangili na wizi wa mifugo lililosababisha vifo vya watu weng . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 23 masaa yaliopita

Tanzania yatoa msaada wa chakula kwa nchi ya Msumbiji

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imekabidhi msaada wa tani 500 za mahindi kwa Serikali ya Jamhuri ya Msumbiji kufuatia mafuriko y . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • 23 masaa yaliopita

Manchester United, Tottenham Wagombania Saini ya Orkun Kökçü

Manchester United wamejiunga na Tottenham Hotspur katika mbio za kumsajili kiungo na nahodha wa Beşiktaş, Orkun Kökçü, ambaye ameibuka . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • jana

Salah kuondoka Liverpool mwishoni mwa msimu

Nyota wa Liverpool, Mohamed Salah, ametangaza kwamba ataondoka katika klabu hiyo ya England mwishoni mwa msimu, akiashiria kuondoka mapema k . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • jana

NASA yapanga kujenga kituo cha utafiti mwezini

Shirika la anga za juu la Marekani NASA linaendelea kuubadilisha mpango wake wa utafiti wa mwezi na linapanga uwepo wa kudumu wa binadamu mw . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • jana

Zelensky ataka mbinyo dhidi ya Moscow baada ya mashambulizi

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky ametoa wito wa kuwekwa shinikizo zaidi dhidi ya Moscow baada ya watu kadhaa kuuawa na wengine kujeruhiwa . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • jana

Miili 33 yafukuliwa kutoka kwa kaburi la pamoja Kericho

Nchini Kenya, karibia miili 33 imefukuliwa kutoka katika kaburi la pamoja katika kaunti ya Kericho kwenye mkoa wa bonde la ufa. Watu wawili . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Aliyejiteka Kenya akamatwa

Idara ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) imemtia nguvuni Waziri wa zamani Nchini Kenya, Raphael Tuju ambaye Familia yake ilidai ametekwa . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Waziri Kombo abainisha mafanikio na vipaumbele vya Wizara kwa Kamati ya NUU

Waziri Kwa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mahmoud Thabit Kombo (Mb) amewasilisha taarifa ya utekelezaji wa Mpango wa Bajet . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Kinachosababisha magamba kichwani mwa watoto wachanga

MWAKA jana, Linet Njeri, aliona kichwa cha mtoto wake kikiwa na ngozi laini iliyokuwa na magamba.Mwanzoni, alidhani ni kwa sababu hakuwa ana . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Trump Atoa Matumaini Mapya Kuhusu Uhusiano wa Marekani na Iran

Rais wa Marekani Donald Trump amewaambia waandishi wa habari akiwa Palm Beach kwamba Marekani na Iran zina maeneo makubwa ya makub . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Ndege ya kijeshi yaanguka na kuuwa watu 33 Colombia

Ndege ya kijeshi iliyokuwa na watu 121, wengi wao wanajeshi, ilianguka muda mfupi baada ya kupaa jana Jumatatu huko Puerto Leguizamo, Colomb . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Miili ya Waafrika iliyopelekwa Ulaya kwa utafiti yazikwa

Mabaki ya Waafrika kadhaa ambao miili yao ilifukuliwa na kupelekwa Ulaya kwa ajili ya utafiti wa kisayansi miaka mingi iliyopita yalizikwa t . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Kampuni ya mafuta ya Dangote yaanza kusafirisha mafuta kwa nchi za Afrika

Kiwanda kikubwa cha kusafisha mafuta kinachomilikiwa na tajiri namba moja barani Afrika Mnigeria, Aliko Dangote, kimethibitisha kuanza kusaf . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Waasi wa M23 wavamia ngome ya Wazalendo Masisi nchini DRC

Mapigano makali yameripotiwa mapema Jumatatu nchini DRC, baada ya waasi wa AFC/M23 kuvamia ngome ya wapiganaji wa Wazalendo eneo la Kaz . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Serikali yatangaza hatua kuhakikisha mafuta yanapatikana

- Lengo ni kuikinga nchi na athari za Vita vya Iran- EWURA na waagizaji wapewa maelekezo- Waziri Ndejembi aonya walanguziSerikali imewahakik . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Kijana akamatwa kwa shambulio la aibu dhidi ya mtoto

Jeshi la Polisi Mkoa wa Tabora limemkamata Ibrahimu Kitundu (18) Mkazi wa Kata ya Ipuli kwa tuhuma za kufanya shambulio la aibu kwa kuingiz . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Yvette Cooper akemea mashambulizi ya Iran kuelekea Diego Garcia

Waziri wa Mambo ya Ndani wa Uingereza, Yvette Cooper, amekashifu vikali mashambulizi yaliyolenga kambi ya pamoja ya kijeshi ya Marekani na U . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Elie Mpanzu Asaini Mkataba Mpya wa Miaka Miwili Simba

Kiungo mshambuliaji wa kimataifa kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Elie Mpanzu, ameongeza mkataba mpya wa miaka miwili kuendelea kuit . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Mvua kubwa nchini Kenya yauwa watu 81

Mvua kubwa iliyosababisha mafuriko nchini Kenya imewaua watu wasiopungua 81 mwezi huu. Hayo ni kwa mujibu wa mamlaka za nchini humo huku mvu . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Waomba huduma ya kipolisi irejee, RPC Mutafungwa awataka kutunza amani

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza ameridhia ombi la wananchi wa Kata za Mabatini na Mbugani, Wilaya ya Nyamagana, la kurejesha huduma za kipo . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Ndejembi ataka EWURA kukagua maghala ya mafuta kuhakikisha hakuna mafuta yanayofichwa

Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi ameitaka Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kuhakikisha kuwa, hakuna mfany . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Serikali yashtakiwa kwa kuendelea kuzingira makazi ya Bobi Wine

Chama cha wanasheria nchini Uganda, ULS, kimeishtaki serikali ya Uganda kwa kile chama hicho kimesema polisi kuendelea kuzingira makazi ya m . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Rubani Na msaidizi wake wafariki katika ajali ya ndege kwenye uwanja wa New York

Rubani wa shirika la ndege la Air Canada na msaidizi wake wamethibitishwa kufa baada ya ndege yao kugonga gari lilokuwa limeegeshwa kwenye u . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Iran yatoa onyo kali endapo itashambuliwa

Jeshi la Ulinzi la Mapinduzi la Iran (IRGC) limetoa onyo kali kwamba litachukua hatua za kulipiza kisasi iwapo sekta ya umeme ya nchi hiyo i . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Mgambo Watatu Mwanza Wakamatwa kwa Tuhuma za Mauaji ya Kijana

Jeshi la polisi mkoa Mwanza tangu tarehe 20/03/2026 usiku liliwakamata na linaendelea kuwahoji watu watatu (3) ambao ni askari mgambo kwa tu . . .

Burudani
  • Na Nattyebrandy
  • 6 siku zilizopita

Gwiji wa Filamu Chuck Norris Afariki Dunia Akiwa na Miaka 86

Gwiji wa filamu za mapigano na sanaa ya karate, Chuck Norris, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 86.Kupitia taarifa ya familia yake, ime . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Kenya Hatarini Kupoteza Haki ya Kuandaa Afcon 2027 Kwa Kushindwa Kulipa Ada

Afisa Mkuu wa Serikali ameonya kuwa Kenya iko katika hatari kubwa ya kupokonywa haki ya kuandaa michuano ya Africa Cup of Nations (AFCON) 20 . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Wafanyabiashara wakoshwa mapendekezo tume ya Rais ya kodi

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania (JWT), Hamis Livembe, amesema wamefurahishwa na ripoti ya Tume ya Rais ya Kutathmini Mabor . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Idadi ya watu waliouawa katika mashambulio Iran yapita 3100

Zaidi ya watu 3,186 wameuawa nchini Iran tangu kuzuka kwa mapigano Februari 28 kulingana na Shirika la kutetea haki za binadamu (Hrana) leny . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Nchimbi awasisitiza viongozi wa dini kuimarisha mafundisho ya maadili kwa vijana

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewasihi Viongozi wa Dini kuendelea kuwekeza katika kufu . . .

Kurasa 1 ya 229

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category