logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 26 dakika zilizopita

Rais Samia "Tunaendelea kuwekeza katika huduma za afya za kibobezi, zikiwemo upasuaji wa Neva"

Tanzania imeweka historia mpya katika sekta ya afya baada ya kuwa mwenyeji wa Mkutano wa Kimataifa wa Shirikisho la Jumuiya ya Madaktari wa . . .

Mastaa
  • Na Asha Business
  • 29 dakika zilizopita

Samia Khan, ang’ara katika Shindano la Top Model – Miss World Tanzania 2026

Mbunifu chipukizi mwenye kipaji kikubwa, Samia Khan, ameendelea kuvutia hisia za wengi baada ya kuonesha ubunifu wake wa kipekee katika jukw . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • 36 dakika zilizopita

Utata Wagubika Kifo cha Waziri wa Mawasiliano Burundi Gabby Bugaga Akiwa Ndani ya Gari

Serikali ya Burundi imethibitisha kifo cha Waziri wa Mawasiliano na Vyombo vya Habari, Gabby Bugaga, kilichotokea Alhamisi asubuhi katika ki . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • 5 masaa yaliopita

IEBC, wabunge watetea kituo cha kujumlisha kura za urais kinachopingwa na wanaharakati

JUHUDI za kufuta kituo cha kitaifa cha kujumlishia kura kabla ya uchaguzi mkuu wa 2027 zimepata upinzani mkali kutoka kwa wabunge na Tume Hu . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • 5 masaa yaliopita

Watafiti "Vinywaji vyenye sukari ya juu huchangia upara kwa wanaume"

KUNYWA zaidi ya kinywaji kimoja chenye kiwango cha juu cha sukari kila siku kunaongeza hatari ya kupoteza nywele na kuwa na upara miongoni m . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 5 masaa yaliopita

Papa Leo Awashambulia “Madikteta” Wanaotumia Mabilioni Kwenye Vita, Atoa Wito wa Amani

Kiongozi wa Kanisa Katoliki, Pope Leo XIV, ametoa kauli kali akiwakosoa viongozi wa dunia wanaotumia mabilioni ya fedha kuendesha vita badal . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 5 masaa yaliopita

Cuba yakasirishwa na kauli za vitisho za Trump

Rais wa Cuba Miguel Diaz-Canel amesema nchi hiyo iko tayari kupambana iwapo itahitajika kufanya hivyo, ingawa haitaki makabiliano ya kijeshi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 5 masaa yaliopita

Umoja wa Mataifa wasema Sudan "imetengwa"

Mshirikishi wa misaada ya kiutu wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Denise Brown amesema nchi hiyo imetengwa.Brown ameyasema haya wakati ambapo . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 5 masaa yaliopita

Israel na Lebanon zasitisha mapigano

Makubaliano ya siku 10 ya kusitishwa mapigano kati ya Lebanon na Israel yameanza Ijumaa.Haya yanakuja wakati ambapo Rais Donald Trump wa Ma . . .

SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Atlético Madrid yatinga nusu fainali UEFA baada ya kuiondoa FC Barcelona

Atlético Madrid iko kwenye kiwango cha juu cha mafanikio baada ya kutinga nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa (UEFA) na wakati huo h . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Shehbaz Sharif kuzitembelea Saudi Arabia, Qatar na Uturuki

Waziri mkuu wa Pakitan Shehbaz Sharif anaanza ziara ya kidiplomasia ya siku nne kwenda Saudi Arabia, Qatar na Uturuki  Jumatano, huku . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Kundi la mawasiliano la ulinzi la Ukraine lakutana Berlin

Kundi la Mawasiliano la Ulinzi la Ukraine linakutana hivi leo mjini Berlin kufuatia mualiko wa waziri wa ulinzi wa Ujerumani, Boris Pistoriu . . .

Dini
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Papa azuru mji wa Cameroon kwa awamu ya pili ya ziara yake Afrika.

Kiongozi wa kanisa Katoli duniani Papa Leo XIV anatarajiwa kuwasili nchini Cameroon Jumatano. Akiwa nchini humo atakutana na rais Paul Biya . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Ujerumani yatoa msaada wa euro milioni 20 kwa Sudan

Ujerumani iimesema itatoa euro milioni 20 zaidi kwa Sudan mwaka huu, huku ahadi zaidi za ufadhili zikipitiwa upya msaada huo unatolewa huku . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Mahakama ya Rufani Yarejesha Shughuli za Kisiasa za Chadema

Mahakama ya Rufani Kanda ya Dodoma, Aprili 15, 2026 imetengua maamuzi ya Mahakama Kuu yaliyokizuia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadem . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Zelensky asema Marekani haina muda na vita vya Ukraine

Rais Volodymyr Zelensky wa Ukraine amesema vita vya Iran vimesababisha mkwamo katika juhudi za kuvimaliza vita vinavyoendelea nchini mwake d . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Rais Ruto"Kila kitu kiko shwari; hatuwezi kukosana na ODM"

RAIS Ruto amewalaumu baadhi ya wanasiasa kwa kukubali kutumiwa kuzua mgawanyiko huku akisisitiza kuwa ushirikiano wa UDA na ODM utadumu hata . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Rwanda na nchi nyingine 11 kupata dozi za Lenacapavir

Rwanda na mataifa mengine 11 duniani yatanufaika na ufadhili mpya wa Marekani utakaosaidia upatikanaji wa dawa ya sindano za kuzuia maambuki . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Wapiganaji 27 wa Alshabaab wauliwa nchini Somalia

Wizara ya ulinzi ya Somalia imesema operesheni hiyo kubwa iliendeshwa kweye maeneo ya Lower Jubba na Jubba ya Kati, ambako walikamata silaha . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Israel na Lebanon zakubaliana kuandaa mazungumzo mengine

Israel na Lebanon zimekubaliana kufanya mazungumzo mapana ya ngazi ya juu baada ya pande hizo mbili kukutana kwa mara ya kwanza kwa mashauri . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Wabunge wameanza kuchunguza mkataba wa amani na Rwanda na ushirikiano na Marekani

Wabunge nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC),wameanza kuchunguza mikataba mbalimbali iliyosainiwa Washington mwaka wa 2025. Nakala . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Ni miaka mitatu tangu kuzuka kwa vita nchini Sudan

Leo Aprili 15, ni miaka mitatu kamili, tangu kuanza kwa vita nchini Sudan kati ya jeshi na wanamgambo wa RSF, vita ambavyo vimesababisha vif . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Kiongozi wa kanisa Katoliki duniani Papa Leo kuzuru Cameroon

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Leo wa Kumi na Nne, anatarajiwa kuwasili nchini Cameroon leo, akitokea nchini Algeria anakotamatish . . .

bungeni
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Bunge latarajia kufanya uchaguzi wa wajumbe watatu wa EALA

Mchakato wa uchaguzi wa wajumbe watatu wa kuiwakilisha Tanzania katika Bunge la Afrika Mashariki (EALA) umeanza ili kujaza nafasi zilizo waz . . .

bungeni
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Bunge latarajia kufanya uchaguzi wa wajumbe watatu wa EALA

Mchakato wa uchaguzi wa wajumbe watatu wa kuiwakilisha Tanzania katika Bunge la Afrika Mashariki (EALA) umeanza ili kujaza nafasi zilizo waz . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Pakistan yapendekeza duru ya pili ya mazungumzo

Marekani imeweka mzingiro katika bandari za Iran kuzuia meli, wakati Pakistan ikipendekeza mazungumzo mengine kumaliza vita vinavyoendelea.M . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Urusi yashambulia bandari ya Odesa nchini Ukraine

Urusi imefanya uharibifu wa meli inayopeperusha bendera ya Panama, iliyokuwa katika bandari ya Odesa nchini UkraineDroni za Urusi zimeshambu . . .

Dini
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Papa Leo wa XIV ahimiza amani duniani

Kiongozi huyo wa juu zaidi wa kanisa katoliki duniani anaendelea na ziara yake barani Afrika akiwa katika siku ya pili katika kituo chake ch . . .

SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Robo fainali ya UEFA mkondo wa pili kulindima leo

Ligi ya Mabingwa barani Ulaya (UEFA) leo inatarajiwa kulindima kwa michezo miwili kupigwa ya robo fainali kwa mkondo wa pili Kwenye uwa . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Dkt. Mwigulu Nchemba akutana na Balozi wa Slovakia Jijini Dodoma

Waziri Mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania dkt. Mwigulu Nchemba leo Aprili 13, 2026 amekutana na kufanya mazungumzo rasmi na B . . .

bungeni
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Mbunge ashauri mkopo 10% Kutolewe pia kwa mtu mmoja

MBUNGE wa Jimbo la Lupembe, Edwin Swalle ameishauri serikali kuleta bungeni sheria ya mikopo ya asilimia 10 ili kufanyiwa marekebisho.Amepen . . .

Dini
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

PAPA LEO XIV ATEMBELEA MSIKITI MKUU ALGIERS

Papa Leo XIV ametembelea Msikiti Mkuu wa Algiers, msikiti wa tatu kwa ukubwa duniani baada ya ule wa Makka na Madina.Akiwa huko, amelakiwa n . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Wananchi waguswa namna ya utatuzi migogoro mahakamani

WANANCHI mkoani Shinyanga, wameonyesha kuguswa na utaratibu wa usuluhishi wa mashauri ya migogoro mahakamani, wakisema ni wa kipekee na utas . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Fahamu Bajeti na Maandalizi ya Safari ya Kihistoria ya Artemis II

Safari ya kurudi Mwezini kwa binadamu kupitia mpango wa NASA inaendelea kuvutia hisia za dunia hasa kupitia misheni ya Artemis II ambayo ni . . .

Dini
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Rais wa Iran Alaani Kauli za Trump Dhidi ya Papa Leo XIV

Rais wa Iran Masoud Pezeshkian amejiingiza katika mjadala unaoendelea kati ya Rais wa Marekani Donald Trump na Kiongozi wa Kanisa Katoliki d . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Askofu Barron Amtaka Trump Kumuomba Radhi Papa Leo XIV

Askofu wa Kanisa Katoliki nchini Marekani, Robert Barron, amesema Rais wa Marekani Donald Trump anapaswa kumuomba radhi Kiong . . .

Afya
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Fahamu Madhara ya Kiafya ya Uvutaji wa Shisha

Katika jamii ya leo, uvutaji wa shisha umeonekana kuwa ni sehemu ya burudani, hasa miongoni mwa vijana wengi wao huamini kuwa shisha ni sala . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Kifo cha Ashlee Jenae mshawishi wa mitandaoni chazua mjadala Zanzibar

Mwanamke mmoja mwenye ushawishi mkubwa mitandaoni mwenye umri wa miaka 31 kutoka Miami nchini Marekani, alipatikana amekufa kwenye hoteli ya . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Sheria kali dhidi ya ushoga yaanza ´kung´ata´ Senegal

Mahakama moja nchini Senegal imetoa hukumu ya kwanza chini ya sheria mpya iliyoongeza adhabu kwa watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja am . . .

Dini
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Papa Leo XIV atoa wito wa msamaha nchini Algeria

Kiongozi wa kanisa Katoliki duniani Papa Leo XIV amewasili mjini Algiers, Algeria kwa ziara ya kihistoria katika nchi hiyo yenye Waislamu we . . .

Kurasa 1 ya 235

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category