logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Mahakama Kuu Kutowa Hukumu Kesi ya Viongozi wa CHADEMA

Dar es Salaam, Tanzania – Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, inatarajia kutoa hukumu Novemba 04, 2025&nbs . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Juhudi zaidi zahitajika kushughulikia hali mbaya ya kibinadamu

Kuelekea kongamano la Kimataifa kuhusu amani kwenye ukanda wa Maziwa Makuu litakolofanyika siku ya Alhamisi jijini Paris, mashirika kumi na . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Atakayevuruga amani Ruvuma kukions

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma Kamisha Msaidizi Mwandanizi wa Polisi (SACP) Marco G. Chilya amewataka Maafisa na askari na Polisi wasaidi . . .

Matukio
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Jera miaka 30 kwa kusafirisha dawa za kulevya

Mahakama ya Wilaya ya Masasi Mkoani Mtwara imemuhukumu kifungo cha miaka 30 jela Mohamed Hassan Nahero mwenye umri wa miaka 55, mkazi wa Ki . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Mhe,Chumi awahakikishia waangalizi uchaguzi huru

Serikali imeihakikishia Timu ya Waangalizi ya Uchaguzi ya Wabunge-Wanawake kutoka Jumuiya ya Madola (CWP) kuwa Uchaguzi Mkuu wa Rais, wabung . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Taasisi za madini zaeleza mafanikio robo ya kwanza 2025,26

Menejimenti ya Wizara ya Madini Oktoba 27 mwaka huuu ilikutana na Wakuu wa Taasisi zake katika kikao kilicholenga kupokea taarifa ya ufuatil . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Kura ya Mapema yafanyika kwa amani

Zoezi la kura ya mapema limeanza kwa mafanikio makubwa visiwani Zanzibar, likiendelea katika hali ya amani, utulivu na uwazi, huku Wapiga Ku . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Wajumbe wa Kamati za Utafiti na Ubunifu wametakiwa kutekeleza majukumu yao kwa weledi

Wajumbe wa Kamati za Utafiti na Ubunifu ambayo ni Kamati Elekezi na Kamati ya Kiufundi wametakiwa kutekeleza majukumu yao kwa weledi uwazi n . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Uthamini wa fidia mradi wa SGR kipande cha sita Tabora-Kigoma waendelea kwa kasi

Serikali inaendelea na zoezi la uthamini maeneo yatakayopitiwa na ujenzi wa Mradi wa Reli ya Kisasa SGR kipande cha sita kutoka mikoa ya Tab . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Kaya 28 zakabidhiwa hundi za fidia kupisha mradi wa maji Babati

Mkuu wa Wilaya ya Babati Mhe. Emmanuela Mtatifikolo Kaganda Oktoba 28 mwaka huu amekabidhi rasmi hundi za malipo ya fidia kwa kaya 28 za wak . . .

Kilimo
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Ruvuma wakulima 383 kunufaika na mitambo ya umwagiliaji

Wizara ya Kilimo imekabidhi vifaa vya umwagiliaji kwa wakulima 383 wa Wilaya za Songea na Nyasa mkoani Ruvuma vitakavyowasaidia kumwagilia z . . .

UTALII
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Tamasha la Land Rover kutangaza vivutio vya utalii nchini

Tamasha la Land Rover Iringa 2025 litakalofanyika mwezi Novemba 2025 linatarajia kutangaza vivutio vya utalii vya mkoa wa Iringa hivyo kuvut . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Dkt,Abbas aongoza zoezi la kumuaga CP Wakulyamba

Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Hassan Abbasi ameongoza Menejimenti ya Wizara kumuaga Kamishna wa Polisi (CP) Benedict Wakuly . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Prof Mkumbo awataka Watanzania kutumia fursa ya kupiga kura kuilinda amani

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji Profesa Kitila Mkumbo amewahimiza Watanzania kutumia ipasavyo fursa ya Uchaguzi Mkuu u . . .

AFYA
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Thamini Uhai yaunga mkono juhudi za Serikali kwa kutoa vifaa vya afya

Wizara ya Afya imepokea vifaa vya Ofisi kutoka asasi ya kiraia iitwayo Thamini Uhai ambapo imekabidhi samani za ofisi zikiwemo meza 2, viti . . .

Uwekezaji
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Tajiri Aliko Dangote aweka rekodi mpya Afrika

Ripoti kutoka Mabilionea Bloomberg Mfanyabiashara mkubwa wa nchini Nigeria, Aliko Dangote, ameandika historia mpya kwa kuwa Mwafrika wa kwan . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Watu 12 wafariki katika ajali ya ndege Kwale

WATU 12, wakiwemo watalii, wanahofiwa kufariki baada ya ajali ya ndege kutokea katika eneo la Vyungwani, Matuga, Kaunti ya Kwale, asubuhi ya . . .

Mastaa
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Diddy kutoka jela ni mei 2028

Kutoka kwenye website ya Magereza nchini Marekani (Federal Bureau of prison) Msanii Diddy anatarajiwa kuachiliwa kutoka Gerezani Mei 202Didd . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Hakuna habari yenye Thamani zaidi kuliko uhai wa mwandishi wa habari

              Usalama kwanza: Katika ulimwengu wa uandishi wa habari tamaa ya kupata habari kubwa na ya p . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Dkt.Samia awali katika viwanja vya CCM Kirumba jijini Mwanza kwaajili ya kuhitimisha Kampeni za Uchaguzi Mkuu

Mgombea urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM na Mwenyekiti wa chama hicho . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Mtahiniwa kufanya KCSE rumande Lamu

MWANAFUNZI wa shule ya upili iliyo eneo la Lamu ya Kati, Kaunti ya Lamu, huenda akalazimika kufanya mitihani yake ya KCSE akiwa chini ya uli . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Alassane Ouattara ashinda kwa kishindo, kulingana na matokeo ya awali

Alassane Ouattara, ambaye ameiongoza Côte d'Ivoire tangu mwaka 2011, ametangazwa kushinda uchaguzi wa urais wa Oktoba 25, 2025, kwa kishind . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Baraza la usalama na UN lawateua wataalam kuchunguza ukiukaji wa haki

Baraza la Haki za bindamu la Umoja wa Mataifa, limewateua watalaam watatu, kuchunguza madai ya ukiukwaji wa haki Mashariki mwa Jamhuri ya Ki . . .

Top Story
  • Na Jembe Digital
  • 7 siku zilizopita

Mtanzania aweka rekodi mashindano ya AA Junior and Senior Open Water Swimming Championship

LOLITA Borega aweka rekodi nyingine tena nchini Tanzania baada ya kung’ara katika mashindano ya AA Junior and Senior Open Water Swimming C . . .

SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • 7 siku zilizopita

Klabu ya Juventus yamfuta kazi kocha Mkuu Igor Tudor

Klabu ya Juventus imemfuta kazi kocha wao Mkuu Igor Tudor baada ya kupoteza wa Serie A dhidi ya Lazio kwa goli 1-0. Igor alijiunga na Klabu . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 7 siku zilizopita

Mpango wa Visa Bond wasitishwa nchini Mali

Marekani imepunguza shinikizo la kidiplomasia na Mali, ikiondoa taifa hilo la Afrika Magharibi kutoka kwenye Mpango wa Jaribio la Visa Bond . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • 7 siku zilizopita

Wanaotumia mitandao kuvuruga amani kuvuruga amani polisi watoa onyo

Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga limewataka waumini wa Kanisa la Deliver Hope for All Nations lililopo Kata ya Kizumbi Wilaya ya Shinyanga . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • 7 siku zilizopita

TET na NECTA kujadili utekelezaji wa mitaala iliyoboreshwa

Taasisi ya Elimu Tanzania ( TET) na Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) wamefanya kikao cha pamoja kwa lengo la kujadiliana masuala mbalimba . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 7 siku zilizopita

Majaliwa ashiriki hafla ya uapisho wa rais Mteule mhe Patrick Herminie

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Oktoba 26 mwaka huu aliwasili Seychelles kwa ajili ya kumwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye uapisho . . .

Kilimo
  • Na Jembe Digital
  • 7 siku zilizopita

WAKULIMA WADOGO 634 KUNUFAIKA NA KILIMO CHA UMWAGILIAJI MKOANI KAGERA

Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Mhe. Fatma Mwassa amezindua ugawaji wa vifaa vya umwagiliaji kwa wakulima wadogo ili kuwawezesha vijana na wanawake . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

VItuo vya kupigia kura vyaongezwa

Jumla ya vituo 384 vya kupigia kura vimeandaliwa katika Jimbo la Mwibara na Bunda katika kata kumi na tisa ili kurahisisha zoezi la upigaji . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • 7 siku zilizopita

Bil. 21.9/- za TACTIC Kujenga Kilomita 8.4 za Barabara Manispaa ya Mpanda

HALMASHAURI ya Manispaa ya Mpanda na Mkandarasi M/s Chonqing International Construction Corporation (CICO), wametiliana saini mkataba wa uje . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • 7 siku zilizopita

Kampeni ya mjue jirani yake yawafikia wakazi wa Kigoma

‎Idara ya Uhamiaji Mkoa wa Ruvuma kupitia Ofisi ya Uhamiaji Wilaya ya Namtumbo Oktoba 24 mwaka huu ilitoa elimu ya ki-Uhamiaji kupitia Kam . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • 7 siku zilizopita

Wasimamizi wa uchaguzi Tarime wahamaaishwa kuzingatia usalama wakati wa uchaguzi mkuu

Wasimamizi wa uchaguzi  mkuu 2025 wametakiwa kufanya kazi kwa kufuata  Miongozo kanuni na Sheria za uchaguzi pia Kuwa waadilifu na . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Mashambulizi ya Israel yamewaua watu watatu

Lebanon kupitia wizara yake ya afya imesema mashambulizi ya Israel kusini na mashariki mwa nchi hiyo, yamewaua watu watatu, licha ya makubal . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Ouattara atazamiwa kushinda muhula wa nne madarakani

Rais wa Ivory Coast Alassane Ouattara anatazamiwa kushinda muhula wa nne madarakani, wakati matokeo ya awali yakiashiria ushindi wa kishindo . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

India na China zarejesha usafiri wa moja kwa moja wa ndege

Abiria wa safari ya kwanza ya moja kwa moja kati ya India na China katika kipindi cha miaka mitano wamewasili leo Jumatatu, baada ya mataifa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Watu wanne wameuawa katika maandamano ya upinzani

Takriban watu wanne wameuawa kwa kupigwa risasi katika maandamano mjini Douala nchini Cameroon siku ya Jumapili wakilalamikia wizi wa kura, . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 26, 2025

Urusi yajaribu kombora la nyuklia la Burevestnik

Baada ya Gazeti la Wall Street Journal kuripoti kuwa utawala wa Trump umeondoa kizuizi muhimu kwa Ukraine kutumia baadhi ya makombora ya mas . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 26, 2025

Trump atangaza kusainiwa kwa mkataba wa amani kati ya Thailand na Cambodia

Donald Trump ametangaza kusainiwa kwa mkataba wa amani kati ya Thailand na Cambodia alipowasili Malaysia siku ya Jumapili kama sehemu ya zia . . .

Kurasa 1 ya 202

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category