logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Mastaa
  • Na Asha Business
  • 9 masaa yaliopita

Otile Brown, Meneja Noriega ‘waachana’ rasmi

Otile Brown na meneja wake Joseph Noriega wameamua rasmi kusitisha makubaliano ya kufanya kazi pamoja, ikiwa ni baada ya ushirikiano mkubwa . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • 9 masaa yaliopita

Papa Francis kufanyiwa upasuaji wa tumbo

Mkuu wa kanisa Katoliki Duniani Papa Francis,  mwenye umri wa miaka 86, atafanyiwa upasuaji wa tumbo   Jumatano alasiri katik . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • 10 masaa yaliopita

Kagame atimua wanajeshi 244

Rais wa Rwanda Paul Kagame amewafuta kazi Meja Jenerali Aloys Muganga, Brigedia Jenerali Francis Mutiganda na maafisa 14 wa Jeshi la Ulinzi . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • 11 masaa yaliopita

Bosi wa Yanga afichua siri usajili wa Chivaviro

Ni suala la muda tu kwa mshambuliaji wa Marumo Gallants ya nchini Afrika Kusini, Ranga Chivaviro kutua Young Africans ni baada ya kusaini mk . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • 11 masaa yaliopita

Jamaa Ahuzunika Baada ya Mkewe Kutoroka na Mwanaume Mwingine Siku ya Harusi Yao

kijana mmoja kuoa na kuwa na familia yake zilivunjwa na mwanamke ambaye alikuwa amemwamini.Mwanamume huyo mwenye huzuni alisalia amechangany . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 11 masaa yaliopita

Sirika yashutumiwa baada ya MD wa shirika la ndege la Nigeria Air kusema kuwa ndege zilikodiwa

Baadhi ya Wanigeria kwenye mtandao wametaka kukamatwa na kufunguliwa mashtaka kwa Waziri wa Usafiri wa Anga, Hadi Sirika, baada ya Mkurugenz . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • 11 masaa yaliopita

FIFA yampa heshima Osimhen

Baada ya kutunukiwa Tuzo ya Kitaifa ya Mwanachama wa Agizo la Jamhuri ya Shirikisho na Rais wa zamani, Meja Jenerali Muhammadu Buhari ( . . .

Burudani
  • Na Asha Business
  • 12 masaa yaliopita

Nicki Minaj alishtaki kwa madai ya kuharibu vito vya kuazima

Rapa wa Marekani, Nicki Minaj amefikishwa mahakamani kwa madai ya kutolipwa bili za vito vya asili.Mfanyabiashara wa vito wa West Hollywood, . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 12 masaa yaliopita

Sunak ziarani nchini Marekani kwa mazungumzo na Rais Biden

Waziri Mkuu wa Uingereza Rishi Sunak anafanya ziara Marekani kuanzia leo yenye lengo la kuimarisha mshikamano baina ya madola hayo mawili wa . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 12 masaa yaliopita

Wanawake wahandisi waongezeka Tanzania

Licha ya Serikali na wadau kuzidi kuweka mazingira kwa watoto wa kike kujitokeza kwa wingi katika masomo ya Sayansi bado changamoto ipo kwa . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • 12 masaa yaliopita

Korea Kusini ilituma ghafla ndege zake za kijeshi baada ya kuingiliwa mpaka wake

Wizara ya Ulinzi ya China imesema katika taarifa yake kwamba ndege hizo zilizoingia ndani ya mipaka yake ya ulinzi ADIZ ya Seoul zilikuwa zi . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • 12 masaa yaliopita

Mayele na Yanga Ndio Basi Tena

Baada ya kikao kizito hatimaye Mshambuliaji wa Yanga Sc, Fiston Mayele ameamua kuondoka klabuni humo mwishoni mwa msimu huu baada ya kudumu . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • 13 masaa yaliopita

Chelsea yaingilia dili la Moses Caicedo

Klabu ya Arsenal imefikia makubaliano binafsi na kiungo wa Brighton, Moises Caicedo lakini itapata upinzani kutoka kwa Chelsea.Taarifa zinae . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • jana

Wabunge watakaopinga harakati za rais kukiona

Rais wa Kenya, William Ruto amewatahadharisha Wabunge kutoupinga muswada wake wa Fedha 2023 hadharani, mara utakapowasilishwa Bungeni wiki h . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • jana

Katibu Mkuu CWT asimamishwa

Kamati ya Utendaji ya Taifa ya Chama wa Walimu Tanzania CWT imemsimamisha kiutendaji Katibu Mkuu wa chama hicho Josephat Maganga, kwa tuhuma . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • jana

MAKAMU WA RAIS AKIWASILI TABORA UFUNGUZI WA UMISSETA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt.Philip Mpango akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Tabora leo tarehe 06 Juni . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • jana

Raila Odinga Kutangaza Alhamisi Siku ya kurejeshwa.Kwa Maandamano

Kiongozi wa upinzani na kinara wa muungano wa Azimio Raila Odinga amesema kuwa Alhamisi ataweka wazi mstakabali wa muungano wake kuhusiana n . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • jana

Ousmane Sonko aomba ulinzi

Wafuasi wa kiongozi wa upinzani Senegal, Ousmane Sonko wamelaani ukatili uliokithiri unaofanywa na polisi baada ya majibizano kuhusiana na h . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Japan Yaanza Kuwafundisha Raia Wake Jinsi ya Kutabasamu

Japani imepunguza vizuizi vya virusi vya Korona (COVID-19) katika miezi mitatu iliyopita, ikiwa ni pamoja na kuvaa barakoa. Hii imeamba . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

usajili wa Harry Kane watia presha

Meneja wa Real Madrid, Carlo Ancelotti amewaambia mabosi wa timu hiyo kuhakikisha wananasa saini ya Mshambuliaji kutoka England na Tottenham . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Rwanda yaiomba Malawi kuisaidia kuwakamata wahusika wa mauaji ya kimbari

Serikali ya Malawi ilisema Jumatatu kwamba Rwanda imeiomba kusaidia kuwakamata watoro 55 wanaosakwa kuhusiana na mauaji ya kimbari ya mwaka . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Makaburi Yanavyogeuzwa chimbo la Wezi, ‘Gesti Bubu’

Wakazi wa kata ya Tandika Manispaa ya Mtwara Mikindani wameiomba Serikali kuwasaidia kusafisha eneo la Makaburi Msafa ili kudhibiti vitendo . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Ahukumiwa miaka miwili jela sababu ya Ex wake

Mchezaji soka wa Colombia na Klabu ya Boca Juniors, Sebastian Villa amehukumiwa miaka miwili na mwezi mmoja jela kwa kosa la kumnyanyasa kij . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Wanaolazimisha ununuzi Sare, Daftari katika shule zao kukiona

Serikali imesema itawadhibu vikali Walimu wakuu walio na tabia na ambao wataendelea kuwalazimisha wazazi kununua sare za wanafunzi kutoka kw . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Jaji Mihayo 'Wanasheria walimdangaya waziri'

Jaji msitaafu na Kamishina wa viapo Thomas Mihayo amewataka watendaji wenye taaluma ya sheria walioko kwenye sekta ya umma kutuliza akili ka . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Mhubiri Mackenzie awadai Wanahabari mgao wake

Mhubiri tata, Paul Mackenzie anayedaiwa kuchangia vifo vya watu wengi katika msitu wa Shakahola, amewataka Wanahabari kumnunulia mkate na ma . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

wafanyikazi wa umeme warudisha mgomo

Bunge la Nigeria la Labour siku ya Jumapili lilikwepa mkutano ulioitishwa na Serikali ya Shirikisho kujadili kuondolewa kwa ruzuku na ongeze . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Mbwa wa polisi anusa fentanyl yenye thamani ya $2M

Maafisa wamefichua kwamba mbwa wa polisi aliwasaidia maafisa wa doria mpakani kunusa fentanyl yenye thamani ya dola milioni 2,wakati wa kitu . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Shambulizi la chini Ecuador laua watano na wanane kujeruhiwa

Takriban watu watano waliuawa na wanane kujeruhiwa Jumapili wakati wanaume watatu walipofyatua risasi ndani ya nyumba huko Guayaquil, mojawa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Jihad Azour ameteuliwa na vyama tofauti vya Lebanon kuwania urais nchini humo

Lebanon haijawahi kuwa na mkuu wa taifa tangu muhula wa rais Michel Aoun ulipomalizika mwishoni mwa mwezi Oktoba na kuzidisha hali ya kukwam . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Zlatan Ibrahimovic Astaafu Kucheza Soka

Straika huyo raia wa Sweden ambaye ni Zlatan Ibrahimovic ametangaza kustaafu akiwa na umri wa Miaka 41 baada ya kucheza Soka kwa Miaka 24Ame . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Fiston Mayele Aibuka Mfungaji Bora Kombe la Shirikisho

Mshambuliaji na mfumaniaji nyavu wa Young Africans SC Fiston Kalala Mayele amezawadiwa tuzo ya mfungaji Bora wa michuano ya Shirikisho Baran . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Dkt. Rwezimula"kuna Mabadiliko ya mtaala wa Elimu unakuja na somo jipya"

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Dk Franklin Rwezimula amesema kuwa katika mabadiliko ya sera mpya ya elimu, mafunz . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Feisal apitishwa usajili wa Simba SC 2023/24

MAGWIJI wa Simba SC wamesema kama Feisal Salum ‘Fei Toto’ atamaliza kesi yake na Young Africans ni mtu sahihi pale Msimbazi msimu ujao; . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Dawa ya saratani ya matiti imeonyeshwa kupunguza hatari ya kurudia tena

Hata ugonjwa unapopatikana mapema, kurudia kwa saratani ya matiti ni jambo la kawaida - na kwa waathirika, matarajio yanaweza kuwa ya kutish . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Marciniak kuwa mwamuzi wa fainali ya Ligi ya Mabingwa

UEFA ilisema Ijumaa kwamba mwamuzi wa Poland Szymon Marciniak ataruhusiwa kuchezesha fainali ya Ligi ya Mabingwa kwa wanaume kati ya Manches . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Nusura ahusiki na ajali ya Naibu Waziri TAMISEMI

Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora nchini imesema kifo cha aliyekuwa mwanafunzi wa mwaka wa kwanza wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Nu . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Afisa Manunuzi awekwa ndani Manyoni

Mkuu wa mkoa wa Singida Peter Serukamba amemsweka ndani afisa manunuzi wa halmashauri ya Manyoni Joseph Swila  kwa kukiuka maagizo aliy . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Mkulima apigwa risasi Simanjiro

Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Walter Kaaya (34) mkazi wa Simanjiro mkoani Manyara amenusurika kifo kwa kupigwa risasi na Paulo Laizer . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Shambulizi mpakani lauwa 12, Jeshi laomba msaada

Maafisa wa usalama kaskazini mwa Cameroon, wamefanya mkutano wa dharura kuziomba nchi za Cameroon, Nigeria na Chad kupeleka wanajeshi zaidi . . .

Kurasa 1 ya 99

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category
  • Habari Zote ( 3924 )
  • Siasa 175