logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 7 masaa yaliopita

Tarura Ruvuma yaweka mkazo kuboresha miundombinu ya barabara na madaraja

Wananchi wa Mkoa wa Ruvuma wameendelea kunufaika na maboresho ya miundombinu ya barabara na madaraja yanayotekelezwa na Wakala wa Barabara z . . .

Uwekezaji
  • Na Asha Business
  • 7 masaa yaliopita

Waziri Chongolo awatangazia neema wa Idofi, kunufaika na mardi wa umwagiliaji ekari 1,300

Waziri wa Kilimo Mhe. Daniel Chongolo ametangaza neema kwa wakulima wa Idofi, Wilaya ya Makambako, ambapo Serikai inaenda kutekeleza mradi M . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 7 masaa yaliopita

Iran yaripoti kuangusha ndege za kivita za Marekani aina ya C- 130

Iran imesema imeangusha ndege mbili za kivita za Marekani, aina ya C-130 na helikopta mbili katika angaa lake, wakati huu vita vikiendelea.M . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 7 masaa yaliopita

Papa Leo ayataka mataifa yalioanzisha vita kuchagua amani

Wakiristo kote duniani, wanaadhimisha sikukuu ya Pasaka, kukumbuka kusulubiwa, kufa na kufufuka kwa Mwokozi wao Yesu Kristo, wakati huu duni . . .

Flamu/Movie
  • Na Nattyebrandy
  • jana

Filamu 5 za Yesu Unazopaswa Kuangalia

Kuna siku unakaa tu na unataka kuangalia kitu chenye maana sio tu burudani, bali kitu kinachokufanya ufikirie kidogo kuhusu maisha. Filamu z . . .

Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • jana

Kutoka Urafiki hadi Muziki: Bridget Blue na Nikita Kering Walivyounda ‘Mimi na Wewe

Msanii wa muziki wa RnB kutoka nchini Kenya, Bridget Blue, ameendelea kuthibitisha ubora wake katika tasnia ya muziki baada ya kuachia . . .

Dini
  • Na Jembe Digital
  • jana

Kwanini tunashangilia vifo vya wenzetu;Askofu Musomba

ASKOFU wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Bagamoyo, mkoani Pwani Stephano Musomba ameonyesha kushangazwa na tabia ya baadhi ya wananchi kushang . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • jana

Makumi ya watu wauawa katika mashambulizi nchini Nigeria

Takriban watu 38 waliuawa wiki hii katika mashambulizi yanayoshukiwa kuwa ya makundi ya itikadi kali dhidi ya wakataji miti na kijiji kimoja . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • jana

Cuba yaanza kuwaachia maelfu ya wafungwa

Mamlaka za Cuba zimeanza kuwaachilia wafungwa baada ya kutangaza kuwa nchi hiyo itatoa msamaha kwa wafungwa 2,010. Hii ni mara ya pili ndani . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • jana

Tetemeko la ardhi lawauwa watu wanane nchini Afghanistan

Watu wanane wa familia moja wameuawa usiku wa kuamkia leo katika tetemeko la ardhi lililokumba eneo la Gosfand Dara mkoani Kabul, nchini Afg . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • jana

Vita Yazidi Kuchemka, Marekani Yapoteza Ndege Mbili

Ndege mbili za kijeshi za Marekani, F-15E Strike Eagle na A-10 Thunderbolt II, zimeripotiwa kuangushwa na mashambulizi ya Ira . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • jana

Trump Amteua Makamu Wake Kuongoza Mapambano Dhidi Ya Udanganyifu

Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza kuwa Makamu wake, J.D. Vance, sasa atasimamia mapambano dhidi ya udanganyifu nchini . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • jana

POLISI MWANZA WAFANYA OPARESHENI KALI, WAKAMATA VYOMBO 120 NA MADEREVA WANAOKIUKA SHERIA

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limetangaza kuendesha oparesheni maalum ya kudhibiti ukiukwaji wa sheria za usalama barabarani, ikilenga hasa . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Jeshi la Iran Latoa Kauli Nzito Kufuatia Mashambulizi ya Anga

Mkuu wa Jeshi la Iran Meja Jenerali Amir Hatami ametoa onyo kali kwa mataifa hasimu akisema kuwa mshambuliaji yeyote atakayejaribu kuingia n . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

JENERALI MUHOOZI AZUA MJADALA KIMATAIFA KWA IRAN

Jenerali Muhoozi Kainerugaba, Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Uganda (UPDF), amezua mjadala mkubwa kimataifa baada ya kutoa kauli kali dhidi ya . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Palamagamba Kabudi Kuirithi Mikoba ya Lukuvi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi, utenguzi na uhamisho wa viongozi mbalimbali serikalini, samba . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Vikosi vya Urusi vyaendeleza mashambulizi ya droni Kharkiv

Picha za video za Reuters Television zilionyesha wazima moto wakimimina maji kwenye nyumba iliyokuwa bado inatoa moshi baada ya kushambuliwa . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Iran:Tutapambana hadi maadui wasalimu amri

Iran imesisitiza kuwa itaendelea na vita hadi maadui wake watakaposalimu amri, huku ikikanusha vikali madai ya Rais wa Marekani, Donald Trum . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Trump Afunguliwa Kesi Mpya na Democrats Kuhusu Kura za Posta

Chama cha Democrats nchini Marekani kimefungua kesi mahakamani kupinga agizo jipya la Rais Donald Trump linalolenga kudhibiti upigaji kura k . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Wanaanga wa Artemis II Waongea Moja kwa Moja Kutoka Angani Wakienda Mwezini

WANAANGA wa misheni ya Artemis II wamezungumza moja kwa moja wakiwa ndani ya chombo cha anga aina ya Orion, wakielezea safari yao hadi sasa . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Watoto wanne wauawa kwa shambulio la kisu shuleni Kampala

Watoto wanne wamepoteza maisha baada ya kushambuliwa kwa kuchomwa visu katika shule moja ya chekechea jijini Kampala.Kwa mujibu wa Polisi nc . . .

Dini
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

IJUMAA KUU YAADHIMISHWA DUNIANI: WAKRISTO WAKUMBUKA MATESO NA KIFO CHA YESU KRISTO

Leo Aprili 3, 2026, Wakristo duniani kote wanaadhimisha Ijumaa Kuu, siku yenye uzito mkubwa wa kiimani inayokumbuka mateso na kifo cha Yesu . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

MADEREVA BAJAJI WANOLEWA, WAKUMBUSHWA KUZINGATIA SHERIA

​Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani mkoani Mwanza, SSP Ibrahim Sunday, ametoa rai kwa madereva wa pikipiki za magurudumu matatu (Bajaji . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Zelenskiy Atoa Ofa ya Ulinzi wa Bahari kwa Strait of Hormuz

Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskyy, ametangaza kuwa nchi yake iko tayari kushirikiana na mataifa ya Mashariki ya Kati katika kulinda usala . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Marekani "Mkuu wa majeshi Jenerali Randy George amefutwa kazi"

Hatua hii inajiri wakati huu Marekani na Israeli zikiendelea kutekeleza mashambulio mazito nchini Iran kulenga kituo cha muda cha utafiti ku . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Watoto wanne wameuawa kwa kuchomwa kisu shuleni nchini Uganda

Nchini Uganda, watoto wanne wamechomwa kisu hadi kufa katika shule moja ya chekechea katika mtaa wa Ggaba nje kidogo ya jijiji kuu Kampala.P . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Iran "Waombolezaji wajitokeza kumwomboleza mkuu wa jeshi la majini"

Maelfu ya waombolezaji siku ya Jumatano walikusanyika jijini Tehran nchini Iran kumwomboleza mkuu wa jeshi la maji la nchi hiyo Alireza Tang . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

DKT. GWAJIMA ATOA WITO KWA JAMII NA WAZAZI KUSHIRIKI MALEZI YA WATOTO KIKAMILIFU

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe.Dkt. Dorothy Gwajima, ametoa wito kwa jamii na wazazi kushiriki kika . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Italy yaopoa miili 19 ya wahamiaji waliokufa baharini

Waliookolewa, wakiwemo watoto watano, walipelekwa katika kisiwa cha Lampedusa nchini Italia, huku watu watatu wakiripotiwa kupotea.Watu 19 w . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Marekani yamuondolea vikwazo kaimu Rais wa Venezuela

Marekani imeondoa vikwazo dhidi ya kaimu rais wa Venezuela, Delcy Rodríguez, hatua inayotafsiriwa kama mabadiliko makubwa ya sera ya Washin . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Tetemeko la 7.4 Indonesia latishia tsunami, mawimbi hatari

Tetemeko hilo lilisababisha tahadhari ya tsunami kutolewa kwa maeneo ya Indonesia pamoja na nchi jirani za Ufilipino na Malaysia.Tetemeko ku . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Japan Yazindua Makombora Mapya Yatangaza Mkakati Mpya wa Ulinzi

 Japan imeanza rasmi kutumia mfumo wake wa kwanza wa makombora ya masafa marefu katika kambi ya kijeshi ya kusini-magharibi, hatua inay . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Trump Atangaza Kuishambulia Iran Kwa Nguvu Kubwa Kabla ya Kumaliza Vita Ndani ya Wiki 2–3

Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa vita kati ya Marekani na Iran vinatarajiwa kumalizika hivi karibuni licha ya kuonya kuwa mashamb . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Dkt. Nchimbi Akutana na Papa Leo XIV Vatican

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Emmanuel Nchimbi, amekutana na kusalimiana na Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani, P . . .

mahusiano
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Suluhisho Kwa Wapenzi Wanaogombana Kila Mara, Soma Hapa

SIKU hizi ugomvi kwenye mahusiano imekuwa kama ni jambo la kawaida watu wanagombana kwelikweli utakuta mtu haipiti mwezi mmoja bila kug . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Moto na milipuko kambi ya kijeshi Burundi vyaua watu 13

Watu 13 wamefariki na wengine 57 kujeruhiwa kufuatia mlipuko mkubwa uliosababishwa na moto katika kambi ya kijeshi nchini Burundi.Jeshi lime . . .

Magari
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Tiger Woods akataa kuwa nahodha wa Marekani Ryder Cup 2027

Tiger Woods amekataa kuiongoza timu ya Marekani Ryder Cup 2027 ili kuzingatia afya yake, baada ya ajali ya gari na tuhuma za kuendesha akiwa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

NASA yaanzisha safari nyingine ya mwezini baada ya miaka 50

Wanaanga wa chombo cha Artemis II wanaelekea mwezini baada ya kurushwa katika safari ya kwanza ya NASA ya mwezini miongo mitano tangu safari . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Donald Trump "Marekani 'iko karibu kufikia' malengo yake nchini Iran"

Katika hotuba ya televisheni kwa taifa, rais wa Marekani amepongeza ushindi "wa maamuzi" na "wa kushangaza" dhidi ya Iran tangu kuanza kwa o . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Watu 13 waliuawa katika milipuko kwenye kituo cha kuhifadhi silaha

Nchini Burundi, siku 2 baada ya kutokea milipuko katika kituo kikuu cha kuhifadhi silaha cha jeshi huko Bujumbura, Jeshi lilitangaza idadi r . . .

Kurasa 1 ya 232

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category