logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 13 masaa yaliopita

Prof. Shemdoe azitaka wilaya, halmashari zote kujiandaa kukabiliana na athari za mvua za El nino

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amezielekeza Wilaya . . .

Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • 13 masaa yaliopita

Bei ya mafuta yapanda zaidi Wahouthi wadhibiti eneo la Bab al-Mandab

Taarifa za mashambulizi mapya ya Wahouthi katika maeneo ya Saudi Arabia, zilizotolewa leo asubuhi, zimepandisha bei ya mafuta katika masoko . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 13 masaa yaliopita

Washukiwa watatu wanaotumia Tiktok kuwalaghai akina dada wanyakwa

WATU wanaoshukiwa kutumia TikTok kuwavuta vijana katika mitego ya uhalifu wamekamatwa na polisi jijini Nairobi, huku uchunguzi ukionyesha hu . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • 13 masaa yaliopita

PGMOL Yakubali VAR Ilikosea Bao la Haaland Dhidi ya Man United

Chombo cha Waamuzi wa kulipwa nchini Uingereza (PGMOL) kimewasiliana rasmi na klabu ya Manchester United na kuomba radhi baada ya kukiri kuw . . .

Mastaa
  • Na Asha Business
  • 14 masaa yaliopita

Justin Bieber na Hailey Waadhimisha Miaka Nane ya Ndoa

Staa maarufu wa muziki wa Pop, Justin Bieber, na mke wake Hailey Bieber,  Septemba 13, 2026, wameadhimisha miaka minane tangu walipofun . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 14 masaa yaliopita

Oman yatangaza kuahirishwa kwa mazungumzo yaliopangwa kufanyika Jumatatu

Oman imetangaza kuahirishwa kwa mazungumzo yaliyopangwa kufanyika kuanzia siku ya Jumatatu, kati ya Iran na nchi za Ghuba, kujadili mzozo wa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 14 masaa yaliopita

Trump aitaka Ukraine kuacha kushambulia viwanda vya mafuta vya Urusi

Rais wa Marekani Donald Trump, Jumapili (Septemba 13) alitoa wito kwa mwenzake wa Ukraine Volodymyr Zelenskiy kusitisha mashambulio dhidi ya . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • jana

BODI YA USHAURI YA TARURA YAKAGUA BARABARA ZA KUINGIA UWANJA WA AFCON ARUSHA

Bodi ya Ushauri ya Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imefanya ziara ya kukagua ujenzi wa miundombinu ya barabara za kuingili . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • jana

Watumiaji dawa za kulevya hatarini kuugua saratani ya kinywa

WATUMIAJI wa dawa za kulewamo hatarini zaidi ya maradhi ya kinywa, huku uharibifu wa meno ukiwa Kwa kiwango kikubwa, ukilinganisha na watu w . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • jana

Ng’ombe, mbuzi na kondoo kupewa vitambulisho

SERIKALI imeanza kutekeleza mfumo mpya wa kitaifa wa kutambua na kufuatilia mifugo unaolenga kudhibiti wizi na kuboresha biashara ya bidhaa . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • jana

Wajumbe wa Kamati ya Pamoja CCM na ACT Wazalendo Watangazwa

Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kupitia Ofisi ya Baraza la Mapinduzi imetangaza majina ya Wajumbe wa Kamati ya Pamoja ya Majadiliano kati ya . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • jana

Man United na Man City Kukutana Kwenye Derby Kali

Manchester United na Manchester City wanatarajiwa kukutana katika mchezo wa kusisimua wa Premier League leo Jumapili, Septemba 13, 2026, kwe . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • jana

Trump apigia chapuo kuungana tena kwa Ireland

Rais Donald Trump amesema angependa kuona Ireland Kaskazini ikiungana na Jamhuri ya Ireland, kauli iliyoibua mjadala kuhusu suala nyeti la k . . .

Mastaa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Marioo, Jux Na Wasanii Wengine Kushiriki Afrimma Musicfest Dallas

Mashabiki wa muziki wa Afrika nchini Marekani wanatarajiwa kupata burudani ya aina yake kupitia AFRIMMA Musicfest, itakayofanyika Septemba 1 . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Mhadhiri Udom Melkisedek Kaijage Aachiwa Huru

Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma imemwachia huru Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Melkisedek Kitunzi Kaijage, baada ya upande wa Jam . . .

Mastaa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Marioo, Jux Na Wasanii Wengine Kushiriki Afrimma Musicfest Dallas

Mashabiki wa muziki wa Afrika nchini Marekani wanatarajiwa kupata burudani ya aina yake kupitia AFRIMMA Musicfest, itakayofanyika Septemba 1 . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Trump "Sijutii kuanzisha vita nchini Iran "

Rais Donald Trump amesema hajutii kuanzisha vita nchini Iran licha ya kwamba vita hivyo vitakuwa na athari kwa uchaguzi wa wabunge unaotaraj . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Matunda Yanayosaidia Kupunguza Mafuta ya Tumbo

Baadhi ya matunda kama zabibu (grapefruit), nanasi, parachichi na kiwi yanaweza kusaidia kupunguza mafuta ya tumbo kutokana na kuwa na nyuzi . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Matukio ya hali mbaya ya hewa yalivuruga elimu ya wanafunzi milioni 171 duniani kote 2025

Zaidi ya wanafunzi milioni 171 duniani kote waliona shule zao zikivurugwa na matukio yanayohusiana na hali ya hewa mwaka wa 2025, kulingana . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Moscow yatangaza kufunguliwa kwa vituo vipya vya Urusi katika nchi nane za Afrika

Urusi inapanua zaidi ushawishi wake barani Afrika. Shirika linalohusika na vituo vya kitamaduni vya Urusi duniani kote limetangaza kusaini m . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Mamia ya watu wafurika Homa Bay baada ya uvumi wa dhahabu kugunduliwa huko

MAMIA ya watu, vijana kwa wazee waliojihami kwa koleo, mawakala waliobeba kitita cha hela na madereva wa malori, wamiliki mashine na wafayab . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Kamanda mpya ateuliwa kuongoza vita dhidi ya Boko Haram

Nigeria imemteua kamanda mpya kuongoza operesheni za kijeshi dhidi ya wanajihadi wa Boko Haram na Islamic State kaskazini mashariki mwa nchi . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Ufalme wa Tooro umemteua mfalme mpya

Ufalme wa Tooro nchini Uganda umemteua mfalme mpya kujaza nafasi hiyo kufuatia kifo cha mtangulizi wake Oyo Nyimba, aliyefariki akiwa na umr . . .

Mastaa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Taylor Swift Ang’ara Kwenye ‘Date Night’, Avaa Gauni La Tsh Milioni 7.2

Msanii maarufu wa muziki nchini Marekani, Taylor Swift, ameonekana akiwa na mume wake, Travis Kelce, katika ‘date night’ jijini New York . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Vita Vya Iran Vitaisha Baada ya Uchaguzi wa Novemba

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema anaamini vita kati ya Marekani na Iran vinaweza kumalizika muda mfupi baada ya uchaguzi wa katikati . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Fahamu Siri ya Mbegu za Maboga Zinazobadilisha Afya Yako

Mbegu za maboga ni moja ya vyakula vya asili vinavyopatikana kwa urahisi, lakini mara nyingi hazipewi thamani inayostahili. Licha ya ukubwa . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Job na Mzize Kuongeza Nguvu Yanga Baada ya Kufanyiwa Vipimo Afrika Kusini

Beki wa kati ndani ya kikosi cha Yanga SC, Dickson Job na mshambuliaji Clement Mzize wanatarajiwa kurejea uwanjani hivi karibuni baada ya ku . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Madrid, Man City Zaanza kwa Kishindo UEFA Halland Akitupia Mawili

Real Madrid nayo ilianza kampeni kwa ushindi wa 2–1 dhidi ya Inter Milan, wakati Borussia Dortmund ikiibuka na ushindi wa 3–1 dhidi ya V . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Kesi ya Lissu Yaendelea, Upande wa Utetezi Kuwasilisha Ushahidi

Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, inaendelea leo, Septemba 9, 2026, katika Mahakama Kuu ya Tanzania, huku upan . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Mzozo unaongezeka kuhusu vitisho vya kuwafukuza wafanyabiashara wa kigeni wasio na vibali

Nchini Kenya, maagizo mapya ya serikali yanayolenga kuwafukuza wafanyabiashara wa kigeni wasio na vibali yanaendelea kuzua utata. Juman . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Juba yatakiwa kuweka mazingira salama kuelekea uchaguzi mkuu

Watalaam wa haki za binadamu kutoka Umoja wa Mataifa wameitaka mamlaka ya Sudan Kusini kuhakikisha inaweka mazingira salama kwa wanasiasa na . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Wapwani walalamikia ongezeko la vijana kutekwa na kupatikana Nairobi

VIONGOZI na wakazi wa Mombasa wameelezea wasiwasi kuhusu visa vya vijana kupotea, huku baadhi yao baadaye wakipatikana Nairobi na katika viu . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Iran "Tuna uwezo kuzishambulia meli za kivita za Marekani"

Kaimu Waziri wa Ulinzi wa Iran, Majid Ibn e Reza, amesema jeshi la Iran lina uwezo kamili wa kushambulia meli za kivita za Marekani zinazote . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Infantino Athibitisha Kugombea tena Urais wa FIFA Mwakani

Rais wa Shirikisho la Kimataifa la Soka (FIFA), Gianni Infantino, amethibitisha kuwa atagombea tena nafasi ya urais wa FIFA katika uchaguzi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Houthi waituhumu Saudi Arabia kwa shambulio kwenye gereza

Waasi wa Houthi nchini Yemen wameituhumu Saudi Arabia kwa kutekeleza shambulio la anga kwenye gereza kaskazini mwa Mji wa al-Hazm, shambulio . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Makabiliano yaendelea kuripotiwa licha ya upatanishi wa Marekani

Wanajeshi wa Ukraine na Urusi wameendelea kukabiliana licha ya juhudi za upatanishi zinazoongozwa na Marekani.Wizara ya ulinzi ya Urusi Juma . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • September 7, 2026

Mume wa Rais Samia afariki dunia

Makamu wa Rais, Deogratius Ndejembi, ametangaza kifo cha Hafidh Ameir Hassan, ambaye ni mume wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • September 7, 2026

Nairobi yaunga juhudi za kimataifa kumaliza ndoa za mapema

Kenya imejiunga na nchi zingine za Afrika kuunga mkono azimio la Umoja wa Mataifa lililoanzisha Novemba 27 kama Siku ya Kimataifa ya kutokom . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • September 7, 2026

Kampala yazuia waombolezaji kutoka DRC kuhudhuria mazishi ya mfalme Oyo

Uganda imezuia waombolezaji kutoka DR Congo kuhudhuria mazishi ya mfalme wa Tooro, Oyo Nyimba Kabamba wa nne, ikitaja sababu kuwa mlipuko wa . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • September 6, 2026

Siri ya ziara ya Gachagua Amerika

KIONGOZI wa chama cha Democracy for the Citizens Party (DCP), Rigathi Gachagua, anatarajiwa kuanza rasmi shughuli zake za kisiasa nchini Ame . . .

Kurasa 1 ya 257

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category