logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • jana

Serikali Yazindua Programu ya Kuinua Vijana Kiuchumi Mwanza

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Maendeleo ya Vijana, Joel Nanauka, leo Februari 20, 2026, amezindua programu maalumu inayolenga kuwaimaris . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Yoon Suk Yeol Aomba Radhi Baada ya Hukumu ya Maisha Jela

Rais wa zamani wa Korea Kusini (2022–2025), Yoon Suk Yeol, ameomba radhi kufuatia taharuki na mjadala ulioibuka baada ya uamuzi wake wa ku . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Mtoto wa Mugabe Akamatwa kwa Jaribio la Mauaji

Polisi nchini Afrika Kusini wamemkamata Bellarmine Mugabe, mtoto wa mwisho wa aliyekuwa Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe, kwa tuhuma za kujar . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Kardinali Pengo Afariki Dunia

Askofu Mkuu mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki jijini Dar es Salaam, Kardinali Polycarp Pengo amefariki dunia usiku wa Februari 19, 2026, alipoku . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Sangu Awasili Mwanza kwa Ziara ya Kazi

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe. Said Mtanda, leo Februari 20, 2026, amempokea ofisini kwake Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajir . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Polisi wa Afrika Kusini wamekamata mtoto wa kiongozi wa zamani wa Zimbabwe Robert Mugabe

Mtoto mdogo wa rais wa zamani wa Zimbabwe Robert Mugabe amekamatwa baada ya mtunza bustani kupigwa risasi nyumbani kwake Afrika Kusini, poli . . .

Mastaa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Hakuna wa kumfikia Drake kwenye mauzo Duniani

Msanii wa hip hop kutoka Canada, Drake, ameendelea kuthibitisha ubora wake katika muziki wa kimataifa baada ya kutajwa kuwa rapa anayeuza za . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Australia yatoa bil. 15/- kunufaisha kampuni na mashirika ya uzalishaji yanayochipukia Tanzania

Bw. Smith alieleza kuwa, Shirika hilo limepokea msaada wa Euro milioni 5 sawa na Tzs Bil. 15 kutoka Serikali ya Austria kwa ajili ya kuwezes . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Wanamgambo wa RSF walifanya mauaji ya kimbari el-Fasher

Wataalam wa Umoja wa Mataifa wanasema kampeni ya uharibifu iliyofanywa na wanamgambo wa RSF mnamo Oktoba dhidi ya jamii zisizo za Kiarabu nd . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Aliyekuwa mwanamfalme Andrew aachiwa uchunguzi ukiendelea

Mwanamfalme huyo wa zamani Alhamis alikamatwa na kuzuiliwa kwa masaa kadhaa kwa ukosefu wa nidhamu na madai ya uhusiano wake na raia wa Mare . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Prof. Shemdoe aelekeza kusimamishwa kazi watumishi 14

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, Kwa mujibu wa Kanuni ya 37(1) ya Kanuni za Utumishi wa Umma za mwa . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Nanauka Aagiza Bajeti ya Vijana

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Maendeleo ya Vijana, Joel Arthur Nanauka, amezitaka Sekretarieti za Mikoa na Halmashauri zote nchini kuten . . .

Mastaa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Bahati apima DNA na mwanamke anaedaiwa kuwa ni Mama yake

MWANAMUZIKI kutoka nchini Kenya Bahati hatimaye amekutana na mwanamke anayedaiwa kuwa ni Mama yake Judith Makokha na kuchukua hatua ya kwend . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

CPJ: Waandishi wa Kipalestina wanateswa magerezani Israel

Kamati ya Kimataifa ya Kuwalinda Waandishi wa Habari - CPJ imesema waandishi habari wa Kipalestina waliofungwa katika magereza ya Israel kua . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Zelenskiy akosoa matokeo ya mkutano wa Geneva

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskiy amekosoa matokeo ya mazungumzo ya siku mbili mjini Geneva kati ya wawakilishi wa Ukraine na Urusi huku a . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Bayer Leverkusen yaisogelea 16 bora Ligi ya Vilabu Bingwa

Klabu inayoshiriki Ligi Kuu ya Ujerumani, Bundesliga, Bayer Leverkusen imepiga hatua muhimu katika kutinga raundi ya mtoano ya 16 bora ya Li . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Rubio kukutana na Netanyahu Februari 28

Afisa mmoja wa Marekani amesema kuwa waziri wa mambo ya nje wa nchi hiyo Marco Rubio atasafiri na kuelekea Israel wiki ijayo wakati ambapo m . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Takaichi aapishwa tena kama Waziri Mkuu wa Japan

Sanae Takaichi ameapishwa tena kama waziri mkuu wa Japan, siku kumi baada ya ushindi wake mkubwa na wa kihistoria katika uchaguzi nchini hum . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Isak anatarajiwa kurejea Uwanjani hivi karibuni

Kocha mkuu wa Liverpool, Arne Slot, ametoa habari njema kwa mashabiki wa klabu hiyo baada ya kuthibitisha rasmi muda wa kurejea kwa mshambul . . .

Afya
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Fahamu Faida 7 za Ajabu za Kula Mlenda Mwilini

Mlenda ni mboga inayopatikana kwa urahisi sokoni na majumbani, lakini watu wengi hawajui kuwa ni dawa asilia yenye virutubisho vingi sa . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Yanga vs Simba: TFF Yataka Kampuni Moja Pekee ya Kubashiri

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kuwa linatafuta kampuni moja kwa ajili ya haki za kipekee za ubashiri (exclusive bet . . .

Muziki
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Gachi Amshutumu Yammi Kwa Kuvunja Mahusiano Yake

Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Fatma Omary ‘Gachi’ hivi karibuni ameibuka hadharani na madai mazito yanayomhusisha rafiki yake wa karibu, Y . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Baraza la Madiwani Rungwe Lawafuta Kazi Watumishi Watatu kwa Utoro

Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya limeazimia kuwafuta kazi watumishi watatu wa halmashauri hiyo kwa tuhuma . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Wachimbaji 38 wa madini wamefariki kwenye mlipuko Nigeria

Wachimbaji 38 wa madini waliuawa wakati gesi ilipolipuka kwenye shimo katika jimbo la Plateau katikati mwa Nigeria, Wengine 27 walijeruhiwa . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Mkuu wa wilaya aridhishwa na maendeeo ujenzi uwanja wa ndege Msalato ‘Ring Road’

Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Jabir Shekimweri, akiambatana na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya, ameridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa Uwan . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Mkenya ashtakiwa nchini Namibia kwa mauaji ya mpenzi wake

Mwanaume mwenye umri wa miaka 40, amejipata mashakani baada ya kushtakiwa kwa mauaji ya mpenzi wake, raia wa Namibia nchini humo.Geoffrey Je . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Bwege Ajiuzulu ACT Wazalendo, Aeleza Kujiunga na CHADEMA

Mwanasiasa machachari na aliyekuwa Mbunge wa Kilwa Kusini, Selemani Said Ally Bungara, maarufu kama ‘Bwege’ ametangaza rasmi kujivua uan . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Wasira ateta na mama Maria Nyerere

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (Bara) Ndg. Stephen Wasira, amemtembelea na kumjulia hali Mama Maria Nyerere, mke wa Hayati Baba wa . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Raia wa Kenya 95 wamesajiliwa kwenye jeshi la Urusi kupigana Ukraine

Serikali nchini Kenya imebaini kuwa raia wake 95 wamesajiliwa kwenye jeshi la Urusi, kwenda kupigana nchini Ukraine. Takwimu hizi zimetolewa . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Meya Mwanza Asisitiza Miradi ya Barabara

Mwanza. Mstahiki Meya wa Jiji la Mwanza, Sima Constantine, amehimiza kasi ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo, hususan miundombinu ya bara . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Watu 3 Wamenusurika Moto Mkubwa Bariadi

Watu watatu wa mtaa wa Kidinda, wilayani Bariadi mkoani Simiyu wamenusurika kifo baada ya nyumba yao ya makazi kuwaka moto. Aidha chanzo cha . . .

Dini
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Ramadhan na Kwaresma Zaanza Pamoja Baada ya Miaka 30

Kwa mara ya kwanza baada ya takriban miaka 30, Waislamu na Wakristo duniani wameshuhudia kuanza kwa misimu yao mikuu ya kiroho kwa wakati mm . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

DRC na M23 Waanza Usitishaji Mapigano Kupitia Upatanishi wa Angola

Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo na kundi la AFC/M23 wanatarajiwa kuanza leo usitishaji wa mapigano chini ya upatanishi wa Angola . . .

Afrika Mashariki
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Kenya Yapokea Sindano Mpya ya Kinga ya HIV ya Miezi Sita

Serikali ya Kenya imeripoti kupokea seti yake ya kwanza ya Lenacapavir, sindano mpya ya kinga dhidi ya maambukizi ya Virusi vya UKIMWI (HIV) . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Serikali Yaidhinisha Marekebisho ya Katiba ya Simba

Serikali kupitia Baraza la Michezo la Taifa (BMT) imeidhinisha rasmi marekebisho ya Katiba ya Simba Sports Club baada ya kukamilika kwa mcha . . .

Dini
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

BAKWATA Yatangaza Uwezekano wa Ramadhan Kuanza Feb 19 au 20

Baraza Kuu la Waislamu wa Tanzania (BAKWATA) limetangaza kuwa mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan unatarajiwa kuanza Februari 19 au Februari . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Gabon Yafungia Mitandao ya Kijamii kwa Sababu za Usalama

Serikali ya Gabon imetangaza kufungia matumizi ya mitandao ya kijamii nchini humo, ikieleza kuwa maudhui yanayosambazwa kupitia majukwaa hay . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Droni zatumika katika vita vya mashariki ya DRC

Kama ilivyo huko Ukraine, Sudan na kwenye eneo la Sahel, matumizi ya ndege zisizo na rubani yameendelea kuonesha nguvu ya misuli ya mataifa . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Serikali yatoa mwongozo wa Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani 2026

Serikali imetoa mwongozo rasmi wa maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake kwa mwaka 2026, yatakayofanyika kuanzia Machi 1 hadi 8 kote n . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

EU kutoa msaada wa kibinaadamu wa dola milioni 96 kwa DRC

Umoja wa Ulaya umetangaza kuwa utatoa msaada wa kibinaadamu wa dola milioni 96 ili kuwasaidia watu walioathiriwa na mzozo unaoendelea mashar . . .

Kurasa 1 ya 224

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category