logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
AFYA
  • Na Asha Business
  • 15 masaa yaliopita

Marekani yaidhinisha dawa ya kuzuia VVU

Taasisi ya kudhibiti dawa ya Marekani imeidhinisha dawa mpya ya kuzuia virusi vya Ukimwi.Dawa hiyo inayofanya kazi kwa muda mrefu, Lenacapav . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 15 masaa yaliopita

Askari waliomfyatulia risasa muuza barakoa Kenya

Maafisa wawili wa polisi waliomshambulia na mmoja wao kumfyatulia risasi kijana aliyekuwa anauza barakoa siku ya maandamano ya kupinga mauaj . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 15 masaa yaliopita

Africa yaanza kuondoa raia wake Iran

Nchi kadhaa za Kiafrika zinafanya mipango ya kuwarudisha raia wao nyumbani kwa hofu kwamba wanaweza kukwama katika mzozo wa vita baina ya Is . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 15 masaa yaliopita

Xi Jinping amwambia Vladimir Putin kusitisha mapigano ni 'kipaumbele kisichozuilika

Kiongozi wa China Xi Jinping amemwambia mwenzake wa Urusi Vladimir Putin kwamba usitishaji mapigano katika vita vya Iran na Israeli ni "kipa . . .

Top Story
  • Na Jembe Digital
  • 17 masaa yaliopita

Rais wa Jamuhuri Ya Muungano wa Tanzania Dkt, Samia Suluhu Hassan, azindua rasmi daraja la JP Magufuli Jijini Mwanza

Rais Samia Suluhu Hassan leo, Alhamisi Juni 19, 2025 amezindua Daraja la JP Magufuli (Kigongo-Busisi) jijini Mwanza lenye urefu wa kilometa . . .

Uwekezaji
  • Na Jembe Digital
  • 17 masaa yaliopita

Wafungwa 73 wamemaliza mafunzo ya ufundi stadi

WAFUNGWA 73 kutoka magereza mbalimbali nchini wamehitimu mafunzo ya ufundi stadi katika fani mbalimbali Chuo cha Magereza Ruanda jijini Mbey . . .

Kilimo
  • Na Jembe Digital
  • 17 masaa yaliopita

Marobota ya Pamba yanayonunuliwa ndani ya nchi kutotozwa VAT

SERIKALI imesema marobota yote ya pamba yatakayonunuliwa kutoka kwa wakulima na kuuzwa ndani ya nchi hayatatozwa kodi ya Ongezeko la Thamani . . .

Uwekezaji
  • Na Jembe Digital
  • 17 masaa yaliopita

Tanesco yawakumbusha wateja madeni na malipo ya bill kabla na baada

 Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limewataka wateja wao kulipa madeni ya malipo ya kabla na baada ili kuboresha huduma ya umeme iwez . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • 18 masaa yaliopita

Samia kuacha maagizo mazito wilayani Simiyu

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema ujio wa shule za amali pamoja na ufundi zenye michepuo ya ufundi, kilimo, muziki na fani mbalimbali unakwen . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • 19 masaa yaliopita

Uchaguzi mkuu kutowatumia watoto isipokuwa tunakuja wenyewe

Kada wa Chama cha ACT-Wazalendo, Sheikh Ponda Issa Ponda, amesema katika uchaguzi wa mwaka huu hawamtumi mtoto, badala yake wanaenda wenyewe . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • 19 masaa yaliopita

Vijana wajitokeza uzinduzi wa daraja la JP Kigongo Busisi

Vijana zaidi ya 1,000 kutoka wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza wamefanya matembezi ya zaidi ya kilomita 30 kutoka ofisi ya Chama cha Mapindu . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 20 masaa yaliopita

Putin awaonya Ujerumani kuwapatia Ukraine makombora ya Taurus

Rais Vladimir Putin wa Urusi ameionya Ujerumani kuhusiana na mipango yake ya kuipatia Ukraine makombora ya masafa aina ya Taurus. Amesema M . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 20 masaa yaliopita

Iran kutoonyesha huruma kwa utawala wa Israel

Kiongozi mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, ameapa kwamba nchi yake haitoonyesha huruma kwa watawala wa Israel. Matamshi hayo yanakuja&n . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 20 masaa yaliopita

Iran yafanya mashambulizi Hospitali ya Israel na kusababisha majeruhi

Kombora lililorushwa kutoka Iran limelenga jengo la hospitali kuu ya Beersheba iliyopo kusini mwa Israel na kusababisha majeruhi kadhaa, huk . . .

Top Story
  • Na Jembe Digital
  • jana

TAMISA yaanza kusajili wanachama na kuwapa njia za kupata tenda migodini.

Taasisi ya TAMISA (Tanzania Mining industry suppliers Association) leo imefanya uzinduzi wa kamati ya masoko na mawasiliano ambayo itaongozw . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Mchuuzi aliyepigwa risasi na polisi katika maandamano angali hai, familia yathibitisha

BONIFACE Kariuki, mchuuzi wa barakoa aliyepigwa risasi na afisa wa polisi wakati wa maandamano jijini Nairobi Jumanne, angali hai, familia y . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Ally Mayay Tembele Atangaza Nia ya Kugombea Urais wa TFF

NYOTA wa zamani wa klabu ya Yanga na timu ya Taifa, Taifa Stars, Ally Mayay Tembele, ametangaza rasmi nia ya kuwania nafasi ya Urais wa Shir . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Afisa wa polisi afyatua risasi kiholela, maandamano yaongezeka Nairobi

Nchini Kenya, mji mkuu wa Nairobi umetikiswa siku ya Jumanne, Juni 17, na makabiliano kati ya waandamanaji, vikosi vya usalama, na makundi y . . .

AJALI
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Mhubiri mwenye utata nchini Kenya afariki dunia

Mhubiri mwenye utata kutoka Kenya, Gilbert Deya, amefariki dunia katika ajali ya barabarani iliyotokea Jumanne jioni karibu na mji wa Kisumu . . .

Uwekezaji
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Serikali yashauriwa kuacha kutoza kodi gesi asilia ili kuwavutia wawekezaji

Serikali imeshauriwa kuacha kutoza kodi katika sekta ya gesi asilia na matokeo yake waache wawekezaji waingie, huku ikitafuta vyanzo vingine . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Tanzania yaanza kusaka suluhu kuhusu tahadhari ya Marekani

Serikali ya Tanzania imeanza kufanya mashauriano na Marekani ili kufanyia kazi maeneo yanayihitaji kuboreshwa ili raia wake wasizuiwe kuingi . . .

AFYA
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Serikali yawekeza Tsh. bilioni 1 kununua vifaa tiba halmashauri ya mji wa Handeni

SERIKALI imewekeza ununuzi wa vifaa tiba vya kisasa vya Sh bilioni 1 kwenye sekta ya afya katika Halmashauri ya Mji Handeni na kuimarisha hu . . .

Afrika
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Umoja wa Afrika kuthamini maandalizi ya uchaguzi mkuu nchini Tanzania utakaofanyika Oktoba 2025

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amekutana na Misheni Maalum ya Umoja wa Afrika ya Kutathmini Maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025, na kua . . .

Top Story
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Wilaya ya kalambo yapata hati safi miaka 5 mfululizo kwa ukusanyaji wa mapato

Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa kwa mwaka wa fedha 2023/2024 imepata hati safi (inayoridhisha) hatua iliochangiwa na uwepo wa . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Askari Magereza atiwa kizuizini kwa tuhuma za kumlawiti mwanafunzi

Jeshi la polisi mkoani Kilimanjaro linamshikilia Ofisa wa jeshi la Magereza mwenye cheo cha Sajini aliyefahamika kwa jina la Emmanuel Nyange . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Marekani yafahamu maficho ya Kiongozi Mkuu wa Iran

Mashambulizi ya kila upande kati ya Israel na Iran yameingai siku ya sita, huku Rais Donald Trump wa Marekani akitoa ujumbe  kuhusiana . . .

Uwekezaji
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Askari polisi wapya 4,800 wasajiliwa PSSSF

Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) umesajili askari polisi watarajiwa 4,800 wanaokaribia kumaliza mafunzo yao katika Sh . . .

Afrika
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Umoja wa Afrika kutathimini maandalizi ya uchaguzi mkuu nchini Tanzania utakaofanyika Oktoba 2025

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amekutana na Misheni Maalum ya Umoja wa Afrika ya Kutathmini Maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025, na kua . . .

Mastaa
  • Na Nattyebrandy
  • 3 siku zilizopita

MILEY CYRUS: “NINAIJUA BIASHARA YA MUZIKI VIZURI, LAKINI WAKATI MWINGINE UNAHITAJI KUFANYA KWA AJILI YAKO MWENYEWE”

Mwigizaji na msanii mashuhuri wa muziki, Miley Cyrus, amefunguka kwa kina kuhusu safari yake katika tasnia ya muziki na kueleza namna ambavy . . .

Mastaa
  • Na Nattyebrandy
  • 3 siku zilizopita

KRG THE DON AWEKA WAZI NIA YA KUGOMBEA UBUNGE NAIVASHA 2027

Msanii maarufu kutoka Kenya, KRG The Don, ameweka wazi nia yake ya kuwania kiti cha Ubunge katika Jimbo la Naivasha mwaka wa 2027. Akiwa mge . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Kinyozi ahukumiwa miaka 30 jera kwa kosa la ubakaji.

Mahakama ya Wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza imemhukumu Lindwa Clement Balthazari (30) mkazi wa kijiji cha Malya na kinyozi wa saluni ya kiume . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Maandamano ya kupinga mauaji ya Albert Ojwang yatawanywa na polisi nchini Kenya

Waandamanaji waliokuwa na mabango wanamtaka Naibu Inspekta wa Polisi Eliud lagat kujiuzulu kufuatia kifo cha kutatanisha cha mwanablogu Albe . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Mikakati na Malengo ya uchumi mwaka 2025/2026 ,kuongeza mapato nchini

Katika hotuba yake Dk Mwigulu amewambia Watanzania kupitia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa, Bajeti ya Serikali kwa Mwaka 2025/ . . .

Uchumi biashara
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

MSIMU wa kwanza wa zao la biashara la ufuta mwaka 2025/2026 umefunguliwa.

Katika mnada  wa hivi karibuni, bei ya juu ilikuwa Sh 2,710 na bei ya chini ilikuwa Sh 2,510 kwa kilogramu moja. Tani 3,000 ziliingizwa . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Polisi wazuia mkutano wa Heche dhidi ya Wanahabari

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kinondoni, limezuia mkutano wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) uliopangwa kufanyika ukumbi wa Milllenium . . .

Bungeni
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Serikali kuongeza posho kwa wenyeviti wa vijiji kutoka 100,000% hadi laki 300,000%

Mbunge wa Arusha Mjini Mrisho Gambo ameibua hoja nzito kuhusu malipo na maslahi ya wenyeviti wa serikali za mitaa akisema kundi hilo limekuw . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Israel waja na mpango mpya kuipindua serikali ya Iran

Israel inaamini kuwa kuna tishio kubwa kutoka kwa nguvu za nyuklia za Iran. Inasema lengo kuu la mashambulizi iliyofanya Ijumaa ilikuwa ni k . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

CAF) yaikingia kifua timu ya taifa Stars dhidi ya Guinea

Kamati ya rufaa ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limeitupilia mbali rufaa iliyokatwa na Guinea ikipinga uamuzi uliofanywa na kam . . .

Michezo
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Mambo matatu yaliyopelekea Gennaro kuwa kocha mkuu timu ya Italia

Shirikisho la Mpira wa Miguu Italia (FIGC) limetaja sifa tatu zilizoishawishi  iamue kumpa Gennaro Gattuso nafasi ya ukocha mkuu wa tim . . .

Afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Waziri wa sheria nchini Congo atuhumiwa kwa ubadhilifu wa fedha za umma

Bunge la taifa nchini DRC limeidhinisha Mwanasheria Mkuu wa Mahakama ya Juu Juni 15, kumfungulia mashitaka Constant Mutamba ambaya alikuwa W . . .

Kurasa 1 ya 167

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category