Utawala wa Trump umeazimia kuanzisha upya biashara ya hidrokaboni duniani lakini hadi sasa, mazungumzo yanapokaribia kuanza, utawala wa Iran . . .
April 7, 1994 ni siku ya ambayo historia ya Rwanda ilianadikwa kwa wino mwekundu kumaanisha hatari, kifo cha Rais zamani wa Taifa hilo Juven . . .
Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, amesema amechoshwa na athari za kiuchumi zinazotokana na maamuzi ya Rais wa Marekani, Donald Trump, . . .
Ripoti mpya za kijasusi za Marekani zinaeleza kuwa China inadaiwa kujiandaa kupeleka mifumo mipya ya ulinzi wa anga kwa Iran& . . .
Rapa Offset ameibua utata mpya katika kesi yake ya talaka na Cardi B baada ya kudai kupimwa DNA kwa mtoto mdogo wa msani . . .
Ziara ya Rais mstaafu wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete, mjini Juba imeashiria hatua mpya ya kidiplomasia katika kuhuisha mchakato wa amani n . . .
Bodi ya Baraza la Kiswahili Tanzania (BAKITA) imemteua rasmi Rais wa Klabu ya Yanga, Mhandisi Hersi Said, kuwa balozi wa Kiswahili . . .
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, ameanza rasmi utekelezaji wa vitendo wa mpango wa kupunguza magari katika msafara wake kwa kuhakikisha maofisa . . .
Mke wa Rais wa Marekani, Melania Trump usiku wa kuamkia Aprili 10, 2026 amekanusha vikali madai yanayomhusisha na mfanyabiashara m . . .
Zaidi ya wananchi milioni 8.5 hususan wanaoishi mipakani na vijijini, wanatarajiwa kuondolewa changamoto ya mtandao, baada ya Rais Dkt Samia . . .
Watu wawili wamefariki dunia na wengine wawili kujeruhiwa katika ajali ya barabarani iliyohusisha gari dogo aina ya Subaru lenye namba za us . . .
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kuboresha bajeti ya elimu wakati ikitekeleza mtaala mpya wa elimu ili kuziba mi . . .
Shirika la upelelezi la Marekani, FBI, limemkamata mtu anayetuhumiwa kuvujisha taarifa za siri kuhusu kuangushwa kwa ndege ya kivita aina ya . . .
Pakistan inajiandaa Ijumaa kuwa mwenyeji wa mazungumzo ya amani kati ya Marekani na Iran kujaribu kutuliza mvutano na kuokoa makubaliano ya . . .
Uchaguzi wa rais unafanyika siku ya Ijumaa kwenye taifa hilo lenye umuhimu mkubwa wa kimkakati katika Pembe ya Afrika rais wa Djibouti, Isma . . .
Ripoti ya Benki ya Dunia imesema ukuaji wa uchumi katika mataifa ya Afrika yaliyopo Kusini mwa Jangwa la Sahara utapungua kutoka asilimia 4. . . .
BUNGE Spika wa Bunge la Tanzania Mussa Azzan Zungu ameeleza utaratibu wa Bunge katika kushughulikia Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa He . . .
Mashambulizi yamelenga kambi za kijeshi huko Benisheikh, Pulka, na Munguno, kaskazini mashariki mwa Nigeria, kitovu cha uasi wa wanajihadi k . . .
Israel na Lebanon zitafanya mazungumzo wiki ijayo Marekani., huku kukiwa na wasiwasi mkubwa wa kimataifa kwamba mashambulizi ya mabomu ya Is . . .
Inaripotiwa kwamba Ethiopia inaunga mkono vikosi vya kijeshi vya Jenerali Hemedti, ambao wamekuwa wakipigana na jeshi la Sudan kwa karibu mi . . .
Shirika la upelelezi la Marekani, FBI, limemkamata mtu anayetuhumiwa kuvujisha taarifa za siri kuhusu kuangushwa kwa ndege ya kivita aina ya . . .
Bunge la Kenya limeidhinisha kuidhinishwa kwa makubaliano ya pande mbili na Ufaransa siku ya Alhamisi, Aprili 9, yaliyosainiwa mwezi Oktoba . . .
UTAFITI uliofanywa na Taasisi ya Ophthalmology, Uingereza, unaonyesha kuwa kufikia mwaka wa 2060, zaidi ya watu milioni 1.6 wenye umri wa mi . . .
Shirika la Ushirikiano wa Kiuchumi na Maendeleo, OECD, limesema misaada ya maendeleo ilipungua kwa kiwango cha kihistoria kwa asilimia 23.1 . . .
Mwenyekiti wa Bunge, Najma Giga, ameongoza Kikao cha Tano cha Mkutano wa 3 wa Bunge la 13 leo Aprili 9, 2026 jijini Dodoma.Katika kikao hich . . .
Rais wa Marekani, Donald Trump, ameikosoa jumuiya ya kujihami ya NATO kwa kile alichosema ni kushindwa kusaidia Marekani na Israel katika ma . . .
Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu, ametimiza siku 365 tangu kukamatwa na kuwekwa gerezani kwa tuhuma za uhaini na uchochezi.Katika kuadhimi . . .
Mahakama ya Ufaransa imeamua kumshtaki luteni kanali mstaafu wa jeshi la Rwanda, Cyprien Kayumba, kwa tuhuma za kushiriki katika mauaji ya k . . .
Mamia ya wafanyakazi, wanachama wa vyama vya wafanyakazi na wafuasi wa upinzani wameandamana katika mji wa Dakar, nchini Senegal kupinga kup . . .
Mahakama ya Mwanzo Nyankumbu, wilaya ya Geita, mkoani Geita, imemhukumu kifungo cha miezi sita jela Abdulazizi Kabangila, miaka 31 na mkazi . . .
Ikulu imesema mabadiliko ya bei ya mafuta yanachangiwa na hali ya soko la kimataifa, ikiwemo uzalishaji na migogoro ya kisiasa. Imeongeza ku . . .
Rais wa Marekani, Donald Trump, ameibua mjadala mkubwa wa kimataifa baada ya kutoa kauli kali dhidi ya muungano wa kijeshi wa NATO . . .
Ngano ni mmea wa jamii ya nyasi ambao hutoa punje zinazotumika kama moja ya vyakula vikuu dunianiMaeneo yanayolimwa. Nchini Tanzania, n . . .
Ushiriki wa timu ya taifa ya Eritrea katika michuano ya awali kufuzu kucheza fainali za kombe la mataifa ya Afrika, sasa umeleta maswali zai . . .
Mhe. Lazarus Chakwera, Rais wa Zamani wa Malawi na Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola, Mhe. Shirley Ayorkor Botchwey, amewasi . . .
Wizara ya sheria ilitangaza kuwa imemteua wakili raia wa Uingereza, Martin Hackett, kusimamia ofisi hiyo, rekodi yake ikihusisha kazi a . . .
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, ametangaza mpango wa kupunguza ukubwa wa msafara wake, ikiwa ni hatua za mwanzo za kukabili matumizi ya mafuta . . .
Msanii mkongwe wa muziki wa dancehall, Shaggy, hivi karibuni alifanya mahojiano na chanzo kimoja cha habari, ambapo alizungumzia safari yake . . .
Msanii mkongwe wa Dancehall kutoka Kenya, Redsan, ametangaza rasmi tamasha lake kubwa litakalofanyika baadaye mwaka huu, akilenga . . .
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, amekaribisha tangazo la kusitisha mapigano kwa muda wa wiki mbili kati ya Marekani na Ir . . .