logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
matukio
  • Na Asha Business
  • 3 masaa yaliopita

Jeshi la Iran Latoa Kauli Nzito Kufuatia Mashambulizi ya Anga

Mkuu wa Jeshi la Iran Meja Jenerali Amir Hatami ametoa onyo kali kwa mataifa hasimu akisema kuwa mshambuliaji yeyote atakayejaribu kuingia n . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 masaa yaliopita

JENERALI MUHOOZI AZUA MJADALA KIMATAIFA KWA IRAN

Jenerali Muhoozi Kainerugaba, Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Uganda (UPDF), amezua mjadala mkubwa kimataifa baada ya kutoa kauli kali dhidi ya . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 6 masaa yaliopita

Palamagamba Kabudi Kuirithi Mikoba ya Lukuvi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi, utenguzi na uhamisho wa viongozi mbalimbali serikalini, samba . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 6 masaa yaliopita

Vikosi vya Urusi vyaendeleza mashambulizi ya droni Kharkiv

Picha za video za Reuters Television zilionyesha wazima moto wakimimina maji kwenye nyumba iliyokuwa bado inatoa moshi baada ya kushambuliwa . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 6 masaa yaliopita

Iran:Tutapambana hadi maadui wasalimu amri

Iran imesisitiza kuwa itaendelea na vita hadi maadui wake watakaposalimu amri, huku ikikanusha vikali madai ya Rais wa Marekani, Donald Trum . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 6 masaa yaliopita

Trump Afunguliwa Kesi Mpya na Democrats Kuhusu Kura za Posta

Chama cha Democrats nchini Marekani kimefungua kesi mahakamani kupinga agizo jipya la Rais Donald Trump linalolenga kudhibiti upigaji kura k . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 6 masaa yaliopita

Wanaanga wa Artemis II Waongea Moja kwa Moja Kutoka Angani Wakienda Mwezini

WANAANGA wa misheni ya Artemis II wamezungumza moja kwa moja wakiwa ndani ya chombo cha anga aina ya Orion, wakielezea safari yao hadi sasa . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 6 masaa yaliopita

Watoto wanne wauawa kwa shambulio la kisu shuleni Kampala

Watoto wanne wamepoteza maisha baada ya kushambuliwa kwa kuchomwa visu katika shule moja ya chekechea jijini Kampala.Kwa mujibu wa Polisi nc . . .

Dini
  • Na Jembe Digital
  • 8 masaa yaliopita

IJUMAA KUU YAADHIMISHWA DUNIANI: WAKRISTO WAKUMBUKA MATESO NA KIFO CHA YESU KRISTO

Leo Aprili 3, 2026, Wakristo duniani kote wanaadhimisha Ijumaa Kuu, siku yenye uzito mkubwa wa kiimani inayokumbuka mateso na kifo cha Yesu . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 8 masaa yaliopita

MADEREVA BAJAJI WANOLEWA, WAKUMBUSHWA KUZINGATIA SHERIA

​Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani mkoani Mwanza, SSP Ibrahim Sunday, ametoa rai kwa madereva wa pikipiki za magurudumu matatu (Bajaji . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 9 masaa yaliopita

Zelenskiy Atoa Ofa ya Ulinzi wa Bahari kwa Strait of Hormuz

Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskyy, ametangaza kuwa nchi yake iko tayari kushirikiana na mataifa ya Mashariki ya Kati katika kulinda usala . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 9 masaa yaliopita

Marekani "Mkuu wa majeshi Jenerali Randy George amefutwa kazi"

Hatua hii inajiri wakati huu Marekani na Israeli zikiendelea kutekeleza mashambulio mazito nchini Iran kulenga kituo cha muda cha utafiti ku . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 9 masaa yaliopita

Watoto wanne wameuawa kwa kuchomwa kisu shuleni nchini Uganda

Nchini Uganda, watoto wanne wamechomwa kisu hadi kufa katika shule moja ya chekechea katika mtaa wa Ggaba nje kidogo ya jijiji kuu Kampala.P . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • jana

Iran "Waombolezaji wajitokeza kumwomboleza mkuu wa jeshi la majini"

Maelfu ya waombolezaji siku ya Jumatano walikusanyika jijini Tehran nchini Iran kumwomboleza mkuu wa jeshi la maji la nchi hiyo Alireza Tang . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • jana

DKT. GWAJIMA ATOA WITO KWA JAMII NA WAZAZI KUSHIRIKI MALEZI YA WATOTO KIKAMILIFU

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe.Dkt. Dorothy Gwajima, ametoa wito kwa jamii na wazazi kushiriki kika . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • jana

Italy yaopoa miili 19 ya wahamiaji waliokufa baharini

Waliookolewa, wakiwemo watoto watano, walipelekwa katika kisiwa cha Lampedusa nchini Italia, huku watu watatu wakiripotiwa kupotea.Watu 19 w . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • jana

Marekani yamuondolea vikwazo kaimu Rais wa Venezuela

Marekani imeondoa vikwazo dhidi ya kaimu rais wa Venezuela, Delcy Rodríguez, hatua inayotafsiriwa kama mabadiliko makubwa ya sera ya Washin . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • jana

Tetemeko la 7.4 Indonesia latishia tsunami, mawimbi hatari

Tetemeko hilo lilisababisha tahadhari ya tsunami kutolewa kwa maeneo ya Indonesia pamoja na nchi jirani za Ufilipino na Malaysia.Tetemeko ku . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • jana

Japan Yazindua Makombora Mapya Yatangaza Mkakati Mpya wa Ulinzi

 Japan imeanza rasmi kutumia mfumo wake wa kwanza wa makombora ya masafa marefu katika kambi ya kijeshi ya kusini-magharibi, hatua inay . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • jana

Trump Atangaza Kuishambulia Iran Kwa Nguvu Kubwa Kabla ya Kumaliza Vita Ndani ya Wiki 2–3

Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa vita kati ya Marekani na Iran vinatarajiwa kumalizika hivi karibuni licha ya kuonya kuwa mashamb . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • jana

Dkt. Nchimbi Akutana na Papa Leo XIV Vatican

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Emmanuel Nchimbi, amekutana na kusalimiana na Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani, P . . .

mahusiano
  • Na Jembe Digital
  • jana

Suluhisho Kwa Wapenzi Wanaogombana Kila Mara, Soma Hapa

SIKU hizi ugomvi kwenye mahusiano imekuwa kama ni jambo la kawaida watu wanagombana kwelikweli utakuta mtu haipiti mwezi mmoja bila kug . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • jana

Moto na milipuko kambi ya kijeshi Burundi vyaua watu 13

Watu 13 wamefariki na wengine 57 kujeruhiwa kufuatia mlipuko mkubwa uliosababishwa na moto katika kambi ya kijeshi nchini Burundi.Jeshi lime . . .

Magari
  • Na Asha Business
  • jana

Tiger Woods akataa kuwa nahodha wa Marekani Ryder Cup 2027

Tiger Woods amekataa kuiongoza timu ya Marekani Ryder Cup 2027 ili kuzingatia afya yake, baada ya ajali ya gari na tuhuma za kuendesha akiwa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • jana

NASA yaanzisha safari nyingine ya mwezini baada ya miaka 50

Wanaanga wa chombo cha Artemis II wanaelekea mwezini baada ya kurushwa katika safari ya kwanza ya NASA ya mwezini miongo mitano tangu safari . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • jana

Donald Trump "Marekani 'iko karibu kufikia' malengo yake nchini Iran"

Katika hotuba ya televisheni kwa taifa, rais wa Marekani amepongeza ushindi "wa maamuzi" na "wa kushangaza" dhidi ya Iran tangu kuanza kwa o . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • jana

Watu 13 waliuawa katika milipuko kwenye kituo cha kuhifadhi silaha

Nchini Burundi, siku 2 baada ya kutokea milipuko katika kituo kikuu cha kuhifadhi silaha cha jeshi huko Bujumbura, Jeshi lilitangaza idadi r . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

DC NYAMAGANA AHIMIZA WATENGENEZA MAUDHUI KUCHOCHEA MAENDELEO YA TAIFA

Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana, Mhe. Amina Amina, amewahimiza watengeneza maudhui mtandaoni kutumia ubunifu wao kuleta mabadiliko chanya katika . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Rais Samia akutana na wagombea urais wa 2025

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan,  akiwa kwenye mazungumzo na wagombea wa nafasi ya urais na wagombea . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Donald Trump Atishia Kuiondoa Marekani NATO

Rais wa Marekani, Donald Trump amesema anaangalia uwezekano wa kuiondoa nchi hiyo katika NATO, akidai muungano huo hauna ufanisi wa kutosha . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Mafunzo ya Content Creators Yaanza Mwanza

Washiriki wa mafunzo ya watengeneza maudhui mtandaoni (content creators) wameanza kujisajili leo katika Gold Crest Hotel, ambapo wanatarajiw . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Benki Kuu ya Tanzania Yasitisha Uuzaji wa Dhahabu

Benki Kuu ya Tanzania imesitisha kwa muda mpango wa kuuza sehemu ya akiba yake ya dhahabu kufuatia kushuka kwa bei katika soko la dunia.Akiz . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

STANBIC YAENDELEZA MAPAMBANO YA ELIMU YA BIMA KWA KUIFIKISHA HUDUMA KARIBU NA WANANCHI MWANZA

Benki ya Stanbic imeendelea kuonesha dhamira yake ya kuhamasisha uelewa mpana wa bima kwa jamii kupitia zoezi la utoaji elimu ya bima lililo . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Bei ya Mafuta Yapanda Tanzania Kufuatia Mzozo wa Mashariki ya Kati

SERIKALI ya Tanzania imetangaza kupanda kwa bei ya mafuta kuanzia Aprili 1, 2026, kufuatia athari za mzozo wa kivita katika eneo la Masharik . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Axel Tuanzebe Aipeleka DR Congo Kombe la Dunia Baada ya Miaka 52

Bao pekee alilofunga Axel Tuanzebe katika mchezo wa mchujo dhidi ya timu ya Taifa ya Jamaica limetosha kuirudisha DR Congo katika michuano y . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Amnesty International Yatoa Onyo kwa Kombe la Dunia 2026

Shirika la kimataifa la Amnesty International limeonya kuwa mashindano ya Kombe la Dunia 2026, yanayotarajiwa kuanza Juni 11 hadi Julai 19, . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Ada ya $15,000 yawagusa mashabiki wa Afrika kuelekea kombe la dunia 2026

Marekani imedai kuwa mashabiki kutoka Algeria, Senegal, Cape Verde, Ivory Coast na Tunisia wanatakiwa kulipa amana ya dola 15,000( ambapo ni . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Iran yakumbwa na giza la Intaneti siku ya 32

Iran imeingia siku ya 32 tangu kukatika kwa mtandao, huku watumiaji wengi wakikosa mawasiliano nje ya mtandao kwa zaidi ya saa 744, kwa muji . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Bunge Laahirishwa Dakika 15 ili kupisha mazishi ya Lukuvi

Kikao cha kwanza cha Mkutano wa Tatu wa Bunge la 13 la Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kilichoanza leo Machi 31, 2026 jijini Dodoma . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Bei ya mafuta yapanda hadi Dola 115 kutokana na vita ya Iran

Bei ya mafuta duniani imeendelea kupanda na kufikia zaidi ya dola 115 kwa pipa katika masoko ya Asia, kufuatia kuongezeka kwa mvutano wa vit . . .

Kurasa 1 ya 232

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category