Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Maendeleo ya Vijana, Joel Nanauka, leo Februari 20, 2026, amezindua programu maalumu inayolenga kuwaimaris . . .
Rais wa zamani wa Korea Kusini (2022–2025), Yoon Suk Yeol, ameomba radhi kufuatia taharuki na mjadala ulioibuka baada ya uamuzi wake wa ku . . .
Polisi nchini Afrika Kusini wamemkamata Bellarmine Mugabe, mtoto wa mwisho wa aliyekuwa Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe, kwa tuhuma za kujar . . .
Askofu Mkuu mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki jijini Dar es Salaam, Kardinali Polycarp Pengo amefariki dunia usiku wa Februari 19, 2026, alipoku . . .
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe. Said Mtanda, leo Februari 20, 2026, amempokea ofisini kwake Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajir . . .
Mtoto mdogo wa rais wa zamani wa Zimbabwe Robert Mugabe amekamatwa baada ya mtunza bustani kupigwa risasi nyumbani kwake Afrika Kusini, poli . . .
Msanii wa hip hop kutoka Canada, Drake, ameendelea kuthibitisha ubora wake katika muziki wa kimataifa baada ya kutajwa kuwa rapa anayeuza za . . .
Bw. Smith alieleza kuwa, Shirika hilo limepokea msaada wa Euro milioni 5 sawa na Tzs Bil. 15 kutoka Serikali ya Austria kwa ajili ya kuwezes . . .
Wataalam wa Umoja wa Mataifa wanasema kampeni ya uharibifu iliyofanywa na wanamgambo wa RSF mnamo Oktoba dhidi ya jamii zisizo za Kiarabu nd . . .
Mwanamfalme huyo wa zamani Alhamis alikamatwa na kuzuiliwa kwa masaa kadhaa kwa ukosefu wa nidhamu na madai ya uhusiano wake na raia wa Mare . . .
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, Kwa mujibu wa Kanuni ya 37(1) ya Kanuni za Utumishi wa Umma za mwa . . .
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Maendeleo ya Vijana, Joel Arthur Nanauka, amezitaka Sekretarieti za Mikoa na Halmashauri zote nchini kuten . . .
MWANAMUZIKI kutoka nchini Kenya Bahati hatimaye amekutana na mwanamke anayedaiwa kuwa ni Mama yake Judith Makokha na kuchukua hatua ya kwend . . .
Kamati ya Kimataifa ya Kuwalinda Waandishi wa Habari - CPJ imesema waandishi habari wa Kipalestina waliofungwa katika magereza ya Israel kua . . .
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskiy amekosoa matokeo ya mazungumzo ya siku mbili mjini Geneva kati ya wawakilishi wa Ukraine na Urusi huku a . . .
Klabu inayoshiriki Ligi Kuu ya Ujerumani, Bundesliga, Bayer Leverkusen imepiga hatua muhimu katika kutinga raundi ya mtoano ya 16 bora ya Li . . .
Afisa mmoja wa Marekani amesema kuwa waziri wa mambo ya nje wa nchi hiyo Marco Rubio atasafiri na kuelekea Israel wiki ijayo wakati ambapo m . . .
Sanae Takaichi ameapishwa tena kama waziri mkuu wa Japan, siku kumi baada ya ushindi wake mkubwa na wa kihistoria katika uchaguzi nchini hum . . .
Kocha mkuu wa Liverpool, Arne Slot, ametoa habari njema kwa mashabiki wa klabu hiyo baada ya kuthibitisha rasmi muda wa kurejea kwa mshambul . . .
Mlenda ni mboga inayopatikana kwa urahisi sokoni na majumbani, lakini watu wengi hawajui kuwa ni dawa asilia yenye virutubisho vingi sa . . .
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kuwa linatafuta kampuni moja kwa ajili ya haki za kipekee za ubashiri (exclusive bet . . .
Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Fatma Omary ‘Gachi’ hivi karibuni ameibuka hadharani na madai mazito yanayomhusisha rafiki yake wa karibu, Y . . .
Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya limeazimia kuwafuta kazi watumishi watatu wa halmashauri hiyo kwa tuhuma . . .
Wachimbaji 38 wa madini waliuawa wakati gesi ilipolipuka kwenye shimo katika jimbo la Plateau katikati mwa Nigeria, Wengine 27 walijeruhiwa . . .
Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Jabir Shekimweri, akiambatana na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya, ameridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa Uwan . . .
Mwanaume mwenye umri wa miaka 40, amejipata mashakani baada ya kushtakiwa kwa mauaji ya mpenzi wake, raia wa Namibia nchini humo.Geoffrey Je . . .
Mwanasiasa machachari na aliyekuwa Mbunge wa Kilwa Kusini, Selemani Said Ally Bungara, maarufu kama ‘Bwege’ ametangaza rasmi kujivua uan . . .
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (Bara) Ndg. Stephen Wasira, amemtembelea na kumjulia hali Mama Maria Nyerere, mke wa Hayati Baba wa . . .
Serikali nchini Kenya imebaini kuwa raia wake 95 wamesajiliwa kwenye jeshi la Urusi, kwenda kupigana nchini Ukraine. Takwimu hizi zimetolewa . . .
Mwanza. Mstahiki Meya wa Jiji la Mwanza, Sima Constantine, amehimiza kasi ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo, hususan miundombinu ya bara . . .
Watu watatu wa mtaa wa Kidinda, wilayani Bariadi mkoani Simiyu wamenusurika kifo baada ya nyumba yao ya makazi kuwaka moto. Aidha chanzo cha . . .
Kwa mara ya kwanza baada ya takriban miaka 30, Waislamu na Wakristo duniani wameshuhudia kuanza kwa misimu yao mikuu ya kiroho kwa wakati mm . . .
Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo na kundi la AFC/M23 wanatarajiwa kuanza leo usitishaji wa mapigano chini ya upatanishi wa Angola . . .
Serikali ya Kenya imeripoti kupokea seti yake ya kwanza ya Lenacapavir, sindano mpya ya kinga dhidi ya maambukizi ya Virusi vya UKIMWI (HIV) . . .
Serikali kupitia Baraza la Michezo la Taifa (BMT) imeidhinisha rasmi marekebisho ya Katiba ya Simba Sports Club baada ya kukamilika kwa mcha . . .
Baraza Kuu la Waislamu wa Tanzania (BAKWATA) limetangaza kuwa mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan unatarajiwa kuanza Februari 19 au Februari . . .
Serikali ya Gabon imetangaza kufungia matumizi ya mitandao ya kijamii nchini humo, ikieleza kuwa maudhui yanayosambazwa kupitia majukwaa hay . . .
Kama ilivyo huko Ukraine, Sudan na kwenye eneo la Sahel, matumizi ya ndege zisizo na rubani yameendelea kuonesha nguvu ya misuli ya mataifa . . .
Serikali imetoa mwongozo rasmi wa maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake kwa mwaka 2026, yatakayofanyika kuanzia Machi 1 hadi 8 kote n . . .
Umoja wa Ulaya umetangaza kuwa utatoa msaada wa kibinaadamu wa dola milioni 96 ili kuwasaidia watu walioathiriwa na mzozo unaoendelea mashar . . .