logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Riadha
  • Na Jembe Digital
  • 8 masaa yaliopita

Jackline Sakilu Afungiwa Miaka 10 Kutokana na Doping

Shirikisho la Riadha Tanzania (RT) limeeleza chanzo cha kufungiwa kwa nyota wa timu ya taifa, Jackline Sakilu, kwa miaka 10 kutokana na ukiu . . .

Mastaa
  • Na Jembe Digital
  • 11 masaa yaliopita

Maitre Gims Wawekewa Kizuizini Ufaransa kwa Uchunguzi wa Utakatishaji Fedha

Msanii maarufu wa muziki wa mtindo wa rapa na mwenye asili ya Kongo, Maitre Gims, amewekwa kizuizini nchini Ufaransa ili kuhojiwa kuhusiana . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 11 masaa yaliopita

Jakaya Kikwete ateuliwa mwakilishi maalum wa African Union

Rais mstaafu wa Tanzania, Jakaya Kikwete, ameteuliwa kuwa Mwakilishi Maalumu wa African Union katika eneo la Pembe ya Afrika na Bahari ya Sh . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 12 masaa yaliopita

Makaburi zaidi ya 3,000 yahamishwa Bukoba kupisha mradi wa machinga

Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera imekamilisha zoezi la kuhamisha makaburi zaidi ya 3,000 kutoka eneo la Kishenge kwenda Kata ya Buhembe, iki . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 12 masaa yaliopita

Mataifa yalilia uhaba wa mafuta, Lamu wakililia kufungwa kwa kituo cha punda wao wa uchukuzi

ATHARI mbaya za kusitishwa kwa huduma za matibabu ya punda katika kituo cha kipekee kilichoko kisiwani Lamu tayari zimeanza kushuhudiwa, wak . . .

Jamii
  • Na Jembe Digital
  • 12 masaa yaliopita

Fahamu historia ya Mti wa Araucaria ssp Uliopandwa na Nyerere mwaka 1989.

Mti wa Araucaria ssp ni miongoni mwa miti ya jamii ya misonobari (conifers), inayojulikana kwa umbo lake la kuvutia lenye matawi yanayopangw . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • 12 masaa yaliopita

Hali tete mochwari ya Kericho ikijaa miili mara tatu zaidi ya uwezo wake wa kawaida

HOSPITALI ya Rufaa ya Kaunti ya Kericho imehifadhi miili 49 ambayo ni mara tatu zaidi ya idadi yake ya kawaida, hii ikizua tatizo la afya ya . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • 12 masaa yaliopita

Mohamed Salah Atangaza Kuondoka Liverpool Bure Mwisho wa Msimu

Mshambuliaji nyota wa Mohamed Salah ametangaza rasmi kuwa ataondoka ndani ya klabu ya Liverpool mwishoni mwa msimu huu, akihitimisha safari . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • 12 masaa yaliopita

Mashindano ya FIFA Series 2026 Kuanza Leo Rwanda, Stars Kukiwasha na Liechtenstein

Mashindano ya kimataifa ya soka ya FIFA Series 2026 yanaanza rasmi leo Machi 26, 2026 jijini Kigali, huku Rais wa Shirikisho la Soka Rwanda . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 12 masaa yaliopita

Lukuvi Kuagwa Bungeni Dodoma, Dar-Karimjee Kuzikwa Iringa Jumanne Machi 31, 2026

Mwili wa aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), William Lukuvi (70), utazikwa katika kijiji . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 13 masaa yaliopita

Iran "Mapendekezo yaliowasilishwa na Marekani yanapitiwa na mamlaka"

Katika mahojiano na televisheni ya kitaifa, Waziri wa mambo ya kigeni wa Iran Abbas Araqchi, aliweka wazi kuwa mapendekezo ya Marekani ya ku . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 13 masaa yaliopita

Nicolás Maduro apinga kesi ya Marekani akidai kunyimwa haki

Rais wa zamani wa Venezuela Nicolas Maduro anatarajiwa kufika tena mahakamani Marekani akijaribu kushawishi jaji afute kesi inayomkabili ya . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • jana

Jeshi la Magereza Tz lakanusha taarifa za kuzorota kwa Afya ya Tundu Lissu

Jeshi la Magereza Tanzania limetoa kanusho dhidi ya taarifa zilizoeleza kuwa hali ya afya ya Tundu Lissu siyo nzuri, likisisitiza kuwa taari . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • jana

Polisi Mwanza wafanya msako wa kijana aliyeua kisa Simba na Yanga

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linamtafuta kijana mmoja (jina limehifadhiwa) kwa tuhuma za kumuua Abel Mganga Mazuri (25), mkazi wa Nyamahen . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • jana

Waasi M23 Wazuia Wanahabari

Shirika la Reporters Without Borders (RSF) limesema waasi wa M23 wanazuia wanahabari ndani ya makontena tangu walipoutwaa mji wa Goma uliopo . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • jana

Michael Randrianirina ataka vipimo vya ubongo kwa Mawaziri kupambana na ufisadi

Rais wa Madagascar, Michael Randrianirina, ameagiza kuwa mtu yeyote anayetarajiwa kuteuliwa kuwa waziri lazima apitie kipimo cha ubongo (pol . . .

SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Mashabiki Ulaya walalamikia bei kubwa Tiketi za FIFA World Cup 2026

Mashabiki wa kandanda barani Ulaya wamewasilisha malalamiko rasmi kuhusu gharama kubwa ya tiketi za FIFA World Cup 2026 inayotarajiwa kufany . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Iran yatoa kauli kali, yakataa mazungumzo na United States

Msemaji wa Makao Makuu ya Khatam al-Anbiya ya Iran, Ebrahim Zolfaghari, ametoa kauli kali akilenga United States kuhusu hali ya kisiasa na u . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Ajali Ilemela: mtu mmoja afariki, Polisi wamsaka dereva aliyekimbia

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limeanza msako wa dereva aliyesababisha ajali iliyopelekea kifo cha mtu mmoja na kujeruhi wengine wawili kati . . .

SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Mohamed Salah Atangaza Kuondoka Liverpool FC

Nyota wa Liverpool FC, Mohamed Salah, ametangaza rasmi kuondoka klabuni hapo kupitia ujumbe wa hisia aliowaandikia mashabiki, akieleza kuwa . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Umuhimu wa kubadilisha kifaa cha kuoshea vyombo nyumbani

Je, mara ya mwisho kubadilisha kifaa unachotumia kuoshea vyombo ilikuwa lini?Ni kifaa kinachopatikana jikoni katika kila makazi lakini mdaha . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Waziri Murkomen "Utafutaji mahari ndio unachangia wizi wa mifugo"

Utafutaji mahari ndio unachangia wizi wa mifugo, Waziri Murkomen asemaWIMBI la ujangili na wizi wa mifugo lililosababisha vifo vya watu weng . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Tanzania yatoa msaada wa chakula kwa nchi ya Msumbiji

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imekabidhi msaada wa tani 500 za mahindi kwa Serikali ya Jamhuri ya Msumbiji kufuatia mafuriko y . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Manchester United, Tottenham Wagombania Saini ya Orkun Kökçü

Manchester United wamejiunga na Tottenham Hotspur katika mbio za kumsajili kiungo na nahodha wa Beşiktaş, Orkun Kökçü, ambaye ameibuka . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Salah kuondoka Liverpool mwishoni mwa msimu

Nyota wa Liverpool, Mohamed Salah, ametangaza kwamba ataondoka katika klabu hiyo ya England mwishoni mwa msimu, akiashiria kuondoka mapema k . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

NASA yapanga kujenga kituo cha utafiti mwezini

Shirika la anga za juu la Marekani NASA linaendelea kuubadilisha mpango wake wa utafiti wa mwezi na linapanga uwepo wa kudumu wa binadamu mw . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Zelensky ataka mbinyo dhidi ya Moscow baada ya mashambulizi

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky ametoa wito wa kuwekwa shinikizo zaidi dhidi ya Moscow baada ya watu kadhaa kuuawa na wengine kujeruhiwa . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Miili 33 yafukuliwa kutoka kwa kaburi la pamoja Kericho

Nchini Kenya, karibia miili 33 imefukuliwa kutoka katika kaburi la pamoja katika kaunti ya Kericho kwenye mkoa wa bonde la ufa. Watu wawili . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Aliyejiteka Kenya akamatwa

Idara ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) imemtia nguvuni Waziri wa zamani Nchini Kenya, Raphael Tuju ambaye Familia yake ilidai ametekwa . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Waziri Kombo abainisha mafanikio na vipaumbele vya Wizara kwa Kamati ya NUU

Waziri Kwa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mahmoud Thabit Kombo (Mb) amewasilisha taarifa ya utekelezaji wa Mpango wa Bajet . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Kinachosababisha magamba kichwani mwa watoto wachanga

MWAKA jana, Linet Njeri, aliona kichwa cha mtoto wake kikiwa na ngozi laini iliyokuwa na magamba.Mwanzoni, alidhani ni kwa sababu hakuwa ana . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Trump Atoa Matumaini Mapya Kuhusu Uhusiano wa Marekani na Iran

Rais wa Marekani Donald Trump amewaambia waandishi wa habari akiwa Palm Beach kwamba Marekani na Iran zina maeneo makubwa ya makub . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Ndege ya kijeshi yaanguka na kuuwa watu 33 Colombia

Ndege ya kijeshi iliyokuwa na watu 121, wengi wao wanajeshi, ilianguka muda mfupi baada ya kupaa jana Jumatatu huko Puerto Leguizamo, Colomb . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Miili ya Waafrika iliyopelekwa Ulaya kwa utafiti yazikwa

Mabaki ya Waafrika kadhaa ambao miili yao ilifukuliwa na kupelekwa Ulaya kwa ajili ya utafiti wa kisayansi miaka mingi iliyopita yalizikwa t . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Kampuni ya mafuta ya Dangote yaanza kusafirisha mafuta kwa nchi za Afrika

Kiwanda kikubwa cha kusafisha mafuta kinachomilikiwa na tajiri namba moja barani Afrika Mnigeria, Aliko Dangote, kimethibitisha kuanza kusaf . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Waasi wa M23 wavamia ngome ya Wazalendo Masisi nchini DRC

Mapigano makali yameripotiwa mapema Jumatatu nchini DRC, baada ya waasi wa AFC/M23 kuvamia ngome ya wapiganaji wa Wazalendo eneo la Kaz . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Serikali yatangaza hatua kuhakikisha mafuta yanapatikana

- Lengo ni kuikinga nchi na athari za Vita vya Iran- EWURA na waagizaji wapewa maelekezo- Waziri Ndejembi aonya walanguziSerikali imewahakik . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Kijana akamatwa kwa shambulio la aibu dhidi ya mtoto

Jeshi la Polisi Mkoa wa Tabora limemkamata Ibrahimu Kitundu (18) Mkazi wa Kata ya Ipuli kwa tuhuma za kufanya shambulio la aibu kwa kuingiz . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Yvette Cooper akemea mashambulizi ya Iran kuelekea Diego Garcia

Waziri wa Mambo ya Ndani wa Uingereza, Yvette Cooper, amekashifu vikali mashambulizi yaliyolenga kambi ya pamoja ya kijeshi ya Marekani na U . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Elie Mpanzu Asaini Mkataba Mpya wa Miaka Miwili Simba

Kiungo mshambuliaji wa kimataifa kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Elie Mpanzu, ameongeza mkataba mpya wa miaka miwili kuendelea kuit . . .

Kurasa 1 ya 230

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category