logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Afrika Mashariki
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Marekani Kutoa Dola Milioni 900 Kusaidia Mapambano ya UKIMWI na Malaria Kongo

NCHI za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Marekani zimesaini makubaliano ya ushirikiano katika sekta ya afya yenye thamani ya dola . . .

Kilimo
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Mwigulu Nchemba Aagiza Hatua Kali Dhidi ya Wanaochochea Migogoro ya Ardhi Manyara

WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba amempongeza Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga kwa juhudi za kutatua migogoro ya ardhi katika mkoa wa . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Benki Kuu ya Tanzania Yawajengea Uwezo Wanahabari wa Kanda ya Magharibi

Benki kuu ya Tanzania (BoT) imeendesha mafunzo maalum kwa waandishi wa habari kutoka mikoa ya Magharibi kwa lengo la kuwajengea uwezo wa k . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Tanzania Kuimarisha Diplomasia ya Madini, Tanzanite Kipekee Duniani

SERIKALI imesema imeweka mkakati wa kutangaza madini ya tanzanite nchini Qatar ili kuongeza wigo wa masoko yake na kuvutia uwekezaji na ut . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

DC Ilemela Amiry Mkalipa: Serikali Haitolipa Fidia kwa Waliovamia Kingo za Mto Msuka

Mkuu wa Wilaya ya Ilemela, Mhe. Amiry Mkalipa amesema serikali haitolipa fidia kwa wananchi waliovamia eneo la kingo za mto Msuka huku aki . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

UN: Zaidi ya wahamiaji 7,600 walikufa njiani mwaka 2025

Shirika la Uhamiaji la Umoja wa Mataifa IOM limebainisha kwamba zaidi ya wahamiaji 7, 600 wasio na vibali walifariki dunia au walipotea kote . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Aliyekuwa Anawauza Wakenya Kujiunga Na Jeshi Urusi Akamatwa

Idara ya Upelelezi wa Jinai (DCI) nchini Kenya imemkamata mshukiwa mmoja anayedaiwa kuhusika katika mtandao wa kuwarubuni raia kujiunga na j . . .

Afya
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Fahamu Kwa Nini Wataalamu wa Lishe Wanashauri Kula Korosho Mara kwa Mara

Watu wanaotumia korosho angalau mara nne kwa wiki, walionesha kuondokewa na hatari ya kupatwa na ugonjwa wa moyo kwa asilimia 37. Inashauriw . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Wadau Waendelea Kutoa Maoni kwa Tume ya Uvunjifu wa Amani

Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, leo Februari 27, 2026 . . .

Dini
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Mwili wa Kardinali Pengo Waagwa Dar es Salaam

Mwili wa Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo (81), unaagwa leo katika Kanisa Kuu l . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Mahakama Yasikiliza Kesi ya Kupinga Uteuzi wa Tume ya Uchunguzi

Kesi ya kupinga uteuzi wa Tume iliyoundwa kuchunguza matukio ya uvunjifu wa amani ya Oktoba 29, 2025 na siku zilizofuata, imeendelea kusikil . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Mataifa Yaongeza Onyo la Safari Kufuatia Mvutano wa Marekani na Iran

Nchi kadhaa, ikiwemo Marekani, zimeongeza tahadhari za usafiri na kuanza kuwaondoa wafanyakazi wasio wa lazima kutoka balozi zao Mashariki y . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

RC Mtanda Afungua Mafunzo ya Maadili kwa Viongozi Mwanza

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe. Said Mtanda, Februari 26, 2026 amezindua mafunzo ya maadili kwa viongozi na watumishi wa umma mkoani humo, yana . . .

Kilimo
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Serikali Yaimarisha Mfumo wa Stakabadhi, Choroko Yapaa Bei

Serikali imewataka wakulima na wafanyabiashara kuendelea kuunga mkono Mfumo wa Stakabadhi za Ghala ili kuongeza tija na uhakika wa masoko hu . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

BUWSSA Yaanza Matumizi ya Mita za Malipo Kabla

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Bunda (BUWSSA) mkoani Mara imeanza kutumia mita za malipo kabla kama mkakati wa kukabiliana na cha . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Sonko Aongeza Adhabu kwa Mahusiano ya Jinsia Moja Senegal

Waziri Mkuu wa Senegal, Ousmane Sonko, amezindua sheria mpya inayoongeza maradufu adhabu ya juu kwa makosa ya mahusiano ya jinsia moja, amba . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Wakazi wa Simiyu Walaumu Kukatika kwa Umeme

Wakazi wa Mkoa wa Simiyu wameiomba Serikali kupitia Tanzania Electric Supply Company (TANESCO) kukamilisha ujenzi wa kituo cha kupozea umeme . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Tanzania Yasajili Dawa ya Lenacapavir Kudhibiti VVU

Serikali ya Tanzania imesajili rasmi dawa ya Lenacapavir kwa ajili ya kudhibiti na kuzuia maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU), hatua inayo . . .

AFYA
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Wizara ya Afya Yatoa Tahadhari Kuhusu Mafua, UVIKO-19 na Dengue

Wizara ya Afya imewataka wananchi kuchukua tahadhari kufuatia ongezeko la wagonjwa wa mafua makali ya Influenza na UVIKO-19, huku ikisisitiz . . .

AFYA
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Bima ya Afya kwa Wote: Kitita Maalumu Kuanza Rasmi Kesho

Wananchi wasio na uwezo nchini sasa wana sababu ya kutabasamu kufuatia kuanza rasmi kwa kitita cha huduma muhimu chini ya Mpango wa Bima ya . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Wazazi Wakumbushwa Kuwekeza Elimu kwa Watoto

Jamii imetakiwa kutambua umuhimu elimu kwa watoto wote ili waweze kupata uwezo,ujuzi na maarifa yatakayomfanya kuishi vizuri katika jamii hu . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Trump Atoa Hotuba ya Hali ya Taifa mbele ya Bunge Marekani

Rais wa Marekani Donald Trump ametoa hotuba kuhusu hali ya taifa mbele ya Bunge la Marekani katika kipindi ambacho taifa hilo linakabiliwa n . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Manyara yapitisha bajeti ya 2026/ 2027

MKOA wa Manyara umepitisha rasimu ya mpango wa bajeti ya Sh327 bilioni kwa mwaka wa fedha wa 2026/2027.Katibu Tawala msaidizi sehemu ya mipa . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Shirika lataka afisa achunguzwe kuhusu ushonaji wa sare za polisi

SHIRIKA moja lisilo la kiserikali lenye makao yake Mombasa, linamtaka Inspekta Jenerali wa Polisi kuchunguza afisa wa cheo cha juu wa polisi . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Achraf Hakimi kupanda kizimbani kwa tuhuma za ubakaji

Beki wa klabu ya Ufaransa, Paris Saint-Germain na timu ya taifa ya Morocco, Achraf Hakimi, ameshtakiwa rasmi kwa tuhuma za kumbaka mwanamke . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Idadi ya watu wanaokabiliwa na njaa yaongezeka

Idadi ya watu wanaokabiliwa na hali mbaya ya chakula nchini Somalia, iliongezeka maradufu mwaka uliopita hadi kufikia watu milioni 6 na laki . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

WATANZANIA WAJIVUNIE MRADI WA SGR UNAOGHARAMIWA NA KODI ZAO

Waziri wa Ujenzi, Makame Mbarawa, amesema Watanzania wanapaswa kujivunia Mradi wa Reli ya Kisasa (SGR) kwa kuwa unajengwa kwa fedha zinazoto . . .

Uwekezaji
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

STAMICO na PLANTCOR Wasaini Mkataba wa Utafiti wa Dhahabu Kigosi

Mkataba wa mashirikiano ya utafiti na uchimbaji wa dhahabu katika leseni ya Kigosi kati ya Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) na kampuni y . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Watu Wawili Wafariki kwa Kupigwa Radi Kilombero

Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro limethibitisha vifo vya watu wawili vilivyotokea katika Kitongoji cha Mbesi, Kijiji na Kata ya Utengule, Ha . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Jamhuri Yafungua Shauri la Mapitio Kesi ya Uhaini ya Lissu

Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) kwa niaba ya Jamhuri amefungua shauri la mapitio juu ya uamuzi wa kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHA . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Dkt. Samia: Ukuaji wa Uchumi Tanzania Utegemea Amani na Usalama

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema ukuaji wa uchumi wa taifa na maendeleo yanayoshuhudiwa ni matokeo . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

JWTZ Yasisitizwa Kuishi Kwenye Misingi ya Viapo

Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewataka maofisa wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) kuishi kwa misingi ya . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Ripoti ya UN: Haki za Binadamu Zimevunjwa Tanzania

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema Kikundi Kazi cha Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa kuhusu Uhifadhi Holela . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Kijana Mkinga Ahukumiwa Miaka 30 kwa Kusafirisha Mirungi

Mahakama ya Wilaya ya Mkinga mkoani Tanga imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela Richard Peter Mahimbo (25), mkazi wa Kiomoni, Tanga, baada ya . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Rais Samia Azindua Makao Makuu ya Ulinzi Kikombo

Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama nchini na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amezindua . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Mahakama Yakubali Pingamizi la Lissu Dhidi ya Ushahidi wa Ziada

Mahakama Kuu, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam imekubaliana na pingamizi lililowasilishwa na mshtakiwa Tundu Lissu kupinga taarifa ya kuongezw . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Wamatangi apuuza ‘mgomo’ wa baraza la magavana, afika kwa ukaguzi Seneti

GAVANA wa Kiambu, Kimani Wamatangi alipuuza ‘mgomo’ wa Baraza la Magavana na kufika kwa Kamati ya Uhasibu inayoongozwa na Seneta Moses K . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Mexico yatuma wanajeshi 10,000 mitaani kukomesha ghasia

Mexico imewatuma wanajeshi 10,000 mitaani kutuliza mapigano yaliyosababishwa na mauaji ya mlanguzi mkubwa wa dawa za kulevya nchini humo amb . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Mshauri wa Trump azitaka pande hasimu Sudan kusitisha mapigano

Mshauri wa rais wa Marekani kuhusu masuala ya Afrika na nchi za Kiarabu, Massad Boulos, amezitaka pande hasimu nchini Sudan kukubali mpango . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Parfait Onanga-Anyanga ateuliwa kuwa kaimu mkuu wa ofisi ya UM Afrika ya Kati

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amemteua mwanadiplomasia wa Gabon Parfait Onanga-Anyanga kama Mwakilishi wake Maalum wa Af . . .

Kurasa 1 ya 225

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category