logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • 7 masaa yaliopita

Atlético Madrid yatinga nusu fainali UEFA baada ya kuiondoa FC Barcelona

Atlético Madrid iko kwenye kiwango cha juu cha mafanikio baada ya kutinga nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa (UEFA) na wakati huo h . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 7 masaa yaliopita

Shehbaz Sharif kuzitembelea Saudi Arabia, Qatar na Uturuki

Waziri mkuu wa Pakitan Shehbaz Sharif anaanza ziara ya kidiplomasia ya siku nne kwenda Saudi Arabia, Qatar na Uturuki  Jumatano, huku . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 8 masaa yaliopita

Kundi la mawasiliano la ulinzi la Ukraine lakutana Berlin

Kundi la Mawasiliano la Ulinzi la Ukraine linakutana hivi leo mjini Berlin kufuatia mualiko wa waziri wa ulinzi wa Ujerumani, Boris Pistoriu . . .

Dini
  • Na Jembe Digital
  • 8 masaa yaliopita

Papa azuru mji wa Cameroon kwa awamu ya pili ya ziara yake Afrika.

Kiongozi wa kanisa Katoli duniani Papa Leo XIV anatarajiwa kuwasili nchini Cameroon Jumatano. Akiwa nchini humo atakutana na rais Paul Biya . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 8 masaa yaliopita

Ujerumani yatoa msaada wa euro milioni 20 kwa Sudan

Ujerumani iimesema itatoa euro milioni 20 zaidi kwa Sudan mwaka huu, huku ahadi zaidi za ufadhili zikipitiwa upya msaada huo unatolewa huku . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 8 masaa yaliopita

Mahakama ya Rufani Yarejesha Shughuli za Kisiasa za Chadema

Mahakama ya Rufani Kanda ya Dodoma, Aprili 15, 2026 imetengua maamuzi ya Mahakama Kuu yaliyokizuia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadem . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 11 masaa yaliopita

Zelensky asema Marekani haina muda na vita vya Ukraine

Rais Volodymyr Zelensky wa Ukraine amesema vita vya Iran vimesababisha mkwamo katika juhudi za kuvimaliza vita vinavyoendelea nchini mwake d . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • 14 masaa yaliopita

Rais Ruto"Kila kitu kiko shwari; hatuwezi kukosana na ODM"

RAIS Ruto amewalaumu baadhi ya wanasiasa kwa kukubali kutumiwa kuzua mgawanyiko huku akisisitiza kuwa ushirikiano wa UDA na ODM utadumu hata . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • 14 masaa yaliopita

Rwanda na nchi nyingine 11 kupata dozi za Lenacapavir

Rwanda na mataifa mengine 11 duniani yatanufaika na ufadhili mpya wa Marekani utakaosaidia upatikanaji wa dawa ya sindano za kuzuia maambuki . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 14 masaa yaliopita

Wapiganaji 27 wa Alshabaab wauliwa nchini Somalia

Wizara ya ulinzi ya Somalia imesema operesheni hiyo kubwa iliendeshwa kweye maeneo ya Lower Jubba na Jubba ya Kati, ambako walikamata silaha . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 14 masaa yaliopita

Israel na Lebanon zakubaliana kuandaa mazungumzo mengine

Israel na Lebanon zimekubaliana kufanya mazungumzo mapana ya ngazi ya juu baada ya pande hizo mbili kukutana kwa mara ya kwanza kwa mashauri . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 14 masaa yaliopita

Wabunge wameanza kuchunguza mkataba wa amani na Rwanda na ushirikiano na Marekani

Wabunge nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC),wameanza kuchunguza mikataba mbalimbali iliyosainiwa Washington mwaka wa 2025. Nakala . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 14 masaa yaliopita

Ni miaka mitatu tangu kuzuka kwa vita nchini Sudan

Leo Aprili 15, ni miaka mitatu kamili, tangu kuanza kwa vita nchini Sudan kati ya jeshi na wanamgambo wa RSF, vita ambavyo vimesababisha vif . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 14 masaa yaliopita

Kiongozi wa kanisa Katoliki duniani Papa Leo kuzuru Cameroon

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Leo wa Kumi na Nne, anatarajiwa kuwasili nchini Cameroon leo, akitokea nchini Algeria anakotamatish . . .

bungeni
  • Na Jembe Digital
  • jana

Bunge latarajia kufanya uchaguzi wa wajumbe watatu wa EALA

Mchakato wa uchaguzi wa wajumbe watatu wa kuiwakilisha Tanzania katika Bunge la Afrika Mashariki (EALA) umeanza ili kujaza nafasi zilizo waz . . .

bungeni
  • Na Jembe Digital
  • jana

Bunge latarajia kufanya uchaguzi wa wajumbe watatu wa EALA

Mchakato wa uchaguzi wa wajumbe watatu wa kuiwakilisha Tanzania katika Bunge la Afrika Mashariki (EALA) umeanza ili kujaza nafasi zilizo waz . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • jana

Pakistan yapendekeza duru ya pili ya mazungumzo

Marekani imeweka mzingiro katika bandari za Iran kuzuia meli, wakati Pakistan ikipendekeza mazungumzo mengine kumaliza vita vinavyoendelea.M . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • jana

Urusi yashambulia bandari ya Odesa nchini Ukraine

Urusi imefanya uharibifu wa meli inayopeperusha bendera ya Panama, iliyokuwa katika bandari ya Odesa nchini UkraineDroni za Urusi zimeshambu . . .

Dini
  • Na Jembe Digital
  • jana

Papa Leo wa XIV ahimiza amani duniani

Kiongozi huyo wa juu zaidi wa kanisa katoliki duniani anaendelea na ziara yake barani Afrika akiwa katika siku ya pili katika kituo chake ch . . .

SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • jana

Robo fainali ya UEFA mkondo wa pili kulindima leo

Ligi ya Mabingwa barani Ulaya (UEFA) leo inatarajiwa kulindima kwa michezo miwili kupigwa ya robo fainali kwa mkondo wa pili Kwenye uwa . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • jana

Dkt. Mwigulu Nchemba akutana na Balozi wa Slovakia Jijini Dodoma

Waziri Mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania dkt. Mwigulu Nchemba leo Aprili 13, 2026 amekutana na kufanya mazungumzo rasmi na B . . .

bungeni
  • Na Jembe Digital
  • jana

Mbunge ashauri mkopo 10% Kutolewe pia kwa mtu mmoja

MBUNGE wa Jimbo la Lupembe, Edwin Swalle ameishauri serikali kuleta bungeni sheria ya mikopo ya asilimia 10 ili kufanyiwa marekebisho.Amepen . . .

Dini
  • Na Jembe Digital
  • jana

PAPA LEO XIV ATEMBELEA MSIKITI MKUU ALGIERS

Papa Leo XIV ametembelea Msikiti Mkuu wa Algiers, msikiti wa tatu kwa ukubwa duniani baada ya ule wa Makka na Madina.Akiwa huko, amelakiwa n . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • jana

Wananchi waguswa namna ya utatuzi migogoro mahakamani

WANANCHI mkoani Shinyanga, wameonyesha kuguswa na utaratibu wa usuluhishi wa mashauri ya migogoro mahakamani, wakisema ni wa kipekee na utas . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • jana

Fahamu Bajeti na Maandalizi ya Safari ya Kihistoria ya Artemis II

Safari ya kurudi Mwezini kwa binadamu kupitia mpango wa NASA inaendelea kuvutia hisia za dunia hasa kupitia misheni ya Artemis II ambayo ni . . .

Dini
  • Na Jembe Digital
  • jana

Rais wa Iran Alaani Kauli za Trump Dhidi ya Papa Leo XIV

Rais wa Iran Masoud Pezeshkian amejiingiza katika mjadala unaoendelea kati ya Rais wa Marekani Donald Trump na Kiongozi wa Kanisa Katoliki d . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • jana

Askofu Barron Amtaka Trump Kumuomba Radhi Papa Leo XIV

Askofu wa Kanisa Katoliki nchini Marekani, Robert Barron, amesema Rais wa Marekani Donald Trump anapaswa kumuomba radhi Kiong . . .

Afya
  • Na Jembe Digital
  • jana

Fahamu Madhara ya Kiafya ya Uvutaji wa Shisha

Katika jamii ya leo, uvutaji wa shisha umeonekana kuwa ni sehemu ya burudani, hasa miongoni mwa vijana wengi wao huamini kuwa shisha ni sala . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Kifo cha Ashlee Jenae mshawishi wa mitandaoni chazua mjadala Zanzibar

Mwanamke mmoja mwenye ushawishi mkubwa mitandaoni mwenye umri wa miaka 31 kutoka Miami nchini Marekani, alipatikana amekufa kwenye hoteli ya . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Sheria kali dhidi ya ushoga yaanza ´kung´ata´ Senegal

Mahakama moja nchini Senegal imetoa hukumu ya kwanza chini ya sheria mpya iliyoongeza adhabu kwa watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja am . . .

Dini
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Papa Leo XIV atoa wito wa msamaha nchini Algeria

Kiongozi wa kanisa Katoliki duniani Papa Leo XIV amewasili mjini Algiers, Algeria kwa ziara ya kihistoria katika nchi hiyo yenye Waislamu we . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Kiongozi wa Hezbollah apinga Lebanon na Israel kuzungumza

Kiongozi wa kundi la Hezbollah la nchini Lebanon, Naeem Qassem, ametoa mwito wa kufutuliwa mbali mazungumzo ya nadra na moja kwa moja kati y . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

UN "dunia imeisahau Sudan inayoendelea kukabiliwa na vita"

Umoja wa Mataifa unasema dunia inaonekana kuisahau nchi ya Sudan, ambayo imeendelea kuwa kwenye vita kwa karibu miaka mitatu sasa kati ya wa . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Romuald Wadagni ameshinda uchaguzi wa urais Benin

Nchini Benin, Romuald Wadagni ameshinda uchaguzi wa urais, baada ya kupata asilimia 94 ya kura, kwa mujibu wa matokeo ya awali, kufuatia uch . . .

Dini
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Donald Trump Amshambulia Pope Leo XIV

Rais wa Marekani, Donald Trump, amemkosoa vikali kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Pope Leo XIV, akimtuhumu kuwa na msimamo unaoonekana k . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Mwenge wa Uhuru Wazindua Miradi Bilioni 113.5 Dar

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amemkabidhi Mwenge wa Uhuru Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, kwa ajili ya kuanza mb . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Marekani kuanza kuziwekea vizuizi bandari za Iran

Jeshi la Marekani limesema linaanza leo Jumatatu kuweka vizuizi kwa bandari zote za Iran.Vizuizi hivyo ni pamoja na usafirishaji mafuta ya n . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Papa Leo XIV anaanza ziara ya siku 10 barani Afrika

Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Leo XIV anaanza ziara ya siku 10 barani Afrika itakayomfikisha katika mataifa manne.Anabeba ujumbe . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

FAHAMU KUHUSU ZAO LA ULEZI

Ulezi (kwa Kiingereza: Finger Millet) ni aina ya nafaka ndogo inayolimwa sana katika maeneo yenye ukame au nyanda za juu.Virutubisho vya Juu . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Watu 30 wauwawa katika mkanyagano Haiti

Takriban watu 30 wamekufa katika mkanyagano wa watu katika ngome ya kihistoria kaskazini mwa Haiti.Kwa mujibu wa taarifa iliyochapishwa kwen . . .

Kurasa 1 ya 235

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category