logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • 52 dakika zilizopita

RUTO "Tanzania, Uganda, Rwanda si ligi yetu, tuko mbele kimaendeleo"

RAIS William Ruto amewataka wakosoaji wake wakome kulinganisha bei ya mafuta nchini na mataifa jirani akisema uchumi wa Kenya umepiga hatua . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • 56 dakika zilizopita

Bayern Munich yatwaa ubingwa wa 35 wa Bundesliga

Bayern Munich ndio mabingwa wa ligi kuu ya Ujerumani "Bundesliga" msimu huu, baada ya kupata ushindi siku ya Jumapili wa mabao 4-2 dhidi ya . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 59 dakika zilizopita

Iran yakataa kushiriki katika duru mpya ya mazungumzo ya amani

Kwa sasa Tehran haijapanga kushiriki katika mazungumzo mapya na Marekani, vyombo vya habari vya serikali ya Iran vimeripoti siku ya Jumapili . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • saa moja lililopita

AU yalaani hatua ya Israel kumteua balozi mpya Somaliland

Umoja wa Afrika hapo jana "ulilaani vikali" hatua ya Israel kuteua balozi mpya kwenye eneo la Somaliland linalotaka kujitenga na Somalia, ua . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • saa moja lililopita

Papa Leo akemea vitendo vya rushwa nchini Angola

Kiongozi wa kanisa katoliki duniani, Papa Leo wa 14, amekemea vitendo vya rushwa na kuzitaka mamlaka za Angola kumaliza ubaguzi ambao umeend . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 17 masaa yaliopita

NYOKA ALIYEKUWA AKIFUGWA AUAWA BAADA YA KULETA TAHARUKI MAVIMBA

Mkaguzi wa Kata ya Milola, Wilaya ya Ulanga Mkoani Morogoro, Mkaguzi Msaidizi wa Polisi (A/INSP) Aloyce Andrew, kwa kushirikiana na wananchi . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 17 masaa yaliopita

MTAKA "UONGOZI SI KUPANDISHA MABEGA, NI KUHUDUMIA WANANCHI"

VIONGOZI mbalimbali wametakiwa kutendea haki nafasi walizonazo katika maeneo yao ya kazi ili kuleta matokeo chanya na kuacha alama, badala y . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 17 masaa yaliopita

Mabadiliko ya teknolojia katika sekta ya biashara Nchini

Viongozi wa Dini wa Madhehebu mbalimbali Nchini wamekumbushwa kuimarishwa Mahusiano kati ya Taasisi za Dini na Serikali ili kudumisha Amani . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 17 masaa yaliopita

Iran yatangaza kukamatwa kwa watu kadhaa wanaohusishwa na Israel na makundi adui

Karibu watu 70 wamekamatwa na mamlaka ya Iran, wakituhumiwa kwa kuhusishwa na mitandao ya ujasusi ya kigeni katika jimbo la Mazandaran, kuli . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 18 masaa yaliopita

Spika wa Bunge la Iran "makubaliano 'bado yako mbali' licha ya maendeleo katika mazungumzo"

Mazungumzo ya amani kati ya Iran na Marekani "yamepiga hatua," lakini makubaliano ya mwisho "bado yako mbali," spika mwenye wa bunge la Iran . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Rais Samia "Tunaendelea kuwekeza katika huduma za afya za kibobezi, zikiwemo upasuaji wa Neva"

Tanzania imeweka historia mpya katika sekta ya afya baada ya kuwa mwenyeji wa Mkutano wa Kimataifa wa Shirikisho la Jumuiya ya Madaktari wa . . .

Mastaa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Samia Khan, ang’ara katika Shindano la Top Model – Miss World Tanzania 2026

Mbunifu chipukizi mwenye kipaji kikubwa, Samia Khan, ameendelea kuvutia hisia za wengi baada ya kuonesha ubunifu wake wa kipekee katika jukw . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Utata Wagubika Kifo cha Waziri wa Mawasiliano Burundi Gabby Bugaga Akiwa Ndani ya Gari

Serikali ya Burundi imethibitisha kifo cha Waziri wa Mawasiliano na Vyombo vya Habari, Gabby Bugaga, kilichotokea Alhamisi asubuhi katika ki . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

IEBC, wabunge watetea kituo cha kujumlisha kura za urais kinachopingwa na wanaharakati

JUHUDI za kufuta kituo cha kitaifa cha kujumlishia kura kabla ya uchaguzi mkuu wa 2027 zimepata upinzani mkali kutoka kwa wabunge na Tume Hu . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Watafiti "Vinywaji vyenye sukari ya juu huchangia upara kwa wanaume"

KUNYWA zaidi ya kinywaji kimoja chenye kiwango cha juu cha sukari kila siku kunaongeza hatari ya kupoteza nywele na kuwa na upara miongoni m . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Papa Leo Awashambulia “Madikteta” Wanaotumia Mabilioni Kwenye Vita, Atoa Wito wa Amani

Kiongozi wa Kanisa Katoliki, Pope Leo XIV, ametoa kauli kali akiwakosoa viongozi wa dunia wanaotumia mabilioni ya fedha kuendesha vita badal . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Cuba yakasirishwa na kauli za vitisho za Trump

Rais wa Cuba Miguel Diaz-Canel amesema nchi hiyo iko tayari kupambana iwapo itahitajika kufanya hivyo, ingawa haitaki makabiliano ya kijeshi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Umoja wa Mataifa wasema Sudan "imetengwa"

Mshirikishi wa misaada ya kiutu wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Denise Brown amesema nchi hiyo imetengwa.Brown ameyasema haya wakati ambapo . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Israel na Lebanon zasitisha mapigano

Makubaliano ya siku 10 ya kusitishwa mapigano kati ya Lebanon na Israel yameanza Ijumaa.Haya yanakuja wakati ambapo Rais Donald Trump wa Ma . . .

SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Atlético Madrid yatinga nusu fainali UEFA baada ya kuiondoa FC Barcelona

Atlético Madrid iko kwenye kiwango cha juu cha mafanikio baada ya kutinga nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa (UEFA) na wakati huo h . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Shehbaz Sharif kuzitembelea Saudi Arabia, Qatar na Uturuki

Waziri mkuu wa Pakitan Shehbaz Sharif anaanza ziara ya kidiplomasia ya siku nne kwenda Saudi Arabia, Qatar na Uturuki  Jumatano, huku . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Kundi la mawasiliano la ulinzi la Ukraine lakutana Berlin

Kundi la Mawasiliano la Ulinzi la Ukraine linakutana hivi leo mjini Berlin kufuatia mualiko wa waziri wa ulinzi wa Ujerumani, Boris Pistoriu . . .

Dini
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Papa azuru mji wa Cameroon kwa awamu ya pili ya ziara yake Afrika.

Kiongozi wa kanisa Katoli duniani Papa Leo XIV anatarajiwa kuwasili nchini Cameroon Jumatano. Akiwa nchini humo atakutana na rais Paul Biya . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Ujerumani yatoa msaada wa euro milioni 20 kwa Sudan

Ujerumani iimesema itatoa euro milioni 20 zaidi kwa Sudan mwaka huu, huku ahadi zaidi za ufadhili zikipitiwa upya msaada huo unatolewa huku . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Mahakama ya Rufani Yarejesha Shughuli za Kisiasa za Chadema

Mahakama ya Rufani Kanda ya Dodoma, Aprili 15, 2026 imetengua maamuzi ya Mahakama Kuu yaliyokizuia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadem . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Zelensky asema Marekani haina muda na vita vya Ukraine

Rais Volodymyr Zelensky wa Ukraine amesema vita vya Iran vimesababisha mkwamo katika juhudi za kuvimaliza vita vinavyoendelea nchini mwake d . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Rais Ruto"Kila kitu kiko shwari; hatuwezi kukosana na ODM"

RAIS Ruto amewalaumu baadhi ya wanasiasa kwa kukubali kutumiwa kuzua mgawanyiko huku akisisitiza kuwa ushirikiano wa UDA na ODM utadumu hata . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Rwanda na nchi nyingine 11 kupata dozi za Lenacapavir

Rwanda na mataifa mengine 11 duniani yatanufaika na ufadhili mpya wa Marekani utakaosaidia upatikanaji wa dawa ya sindano za kuzuia maambuki . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Wapiganaji 27 wa Alshabaab wauliwa nchini Somalia

Wizara ya ulinzi ya Somalia imesema operesheni hiyo kubwa iliendeshwa kweye maeneo ya Lower Jubba na Jubba ya Kati, ambako walikamata silaha . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Israel na Lebanon zakubaliana kuandaa mazungumzo mengine

Israel na Lebanon zimekubaliana kufanya mazungumzo mapana ya ngazi ya juu baada ya pande hizo mbili kukutana kwa mara ya kwanza kwa mashauri . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Wabunge wameanza kuchunguza mkataba wa amani na Rwanda na ushirikiano na Marekani

Wabunge nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC),wameanza kuchunguza mikataba mbalimbali iliyosainiwa Washington mwaka wa 2025. Nakala . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Ni miaka mitatu tangu kuzuka kwa vita nchini Sudan

Leo Aprili 15, ni miaka mitatu kamili, tangu kuanza kwa vita nchini Sudan kati ya jeshi na wanamgambo wa RSF, vita ambavyo vimesababisha vif . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Kiongozi wa kanisa Katoliki duniani Papa Leo kuzuru Cameroon

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Leo wa Kumi na Nne, anatarajiwa kuwasili nchini Cameroon leo, akitokea nchini Algeria anakotamatish . . .

bungeni
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Bunge latarajia kufanya uchaguzi wa wajumbe watatu wa EALA

Mchakato wa uchaguzi wa wajumbe watatu wa kuiwakilisha Tanzania katika Bunge la Afrika Mashariki (EALA) umeanza ili kujaza nafasi zilizo waz . . .

bungeni
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Bunge latarajia kufanya uchaguzi wa wajumbe watatu wa EALA

Mchakato wa uchaguzi wa wajumbe watatu wa kuiwakilisha Tanzania katika Bunge la Afrika Mashariki (EALA) umeanza ili kujaza nafasi zilizo waz . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Pakistan yapendekeza duru ya pili ya mazungumzo

Marekani imeweka mzingiro katika bandari za Iran kuzuia meli, wakati Pakistan ikipendekeza mazungumzo mengine kumaliza vita vinavyoendelea.M . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Urusi yashambulia bandari ya Odesa nchini Ukraine

Urusi imefanya uharibifu wa meli inayopeperusha bendera ya Panama, iliyokuwa katika bandari ya Odesa nchini UkraineDroni za Urusi zimeshambu . . .

Dini
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Papa Leo wa XIV ahimiza amani duniani

Kiongozi huyo wa juu zaidi wa kanisa katoliki duniani anaendelea na ziara yake barani Afrika akiwa katika siku ya pili katika kituo chake ch . . .

SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Robo fainali ya UEFA mkondo wa pili kulindima leo

Ligi ya Mabingwa barani Ulaya (UEFA) leo inatarajiwa kulindima kwa michezo miwili kupigwa ya robo fainali kwa mkondo wa pili Kwenye uwa . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Dkt. Mwigulu Nchemba akutana na Balozi wa Slovakia Jijini Dodoma

Waziri Mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania dkt. Mwigulu Nchemba leo Aprili 13, 2026 amekutana na kufanya mazungumzo rasmi na B . . .

Kurasa 1 ya 235

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category