logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • saa moja lililopita

Italy yaopoa miili 19 ya wahamiaji waliokufa baharini

Waliookolewa, wakiwemo watoto watano, walipelekwa katika kisiwa cha Lampedusa nchini Italia, huku watu watatu wakiripotiwa kupotea.Watu 19 w . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • saa moja lililopita

Marekani yamuondolea vikwazo kaimu Rais wa Venezuela

Marekani imeondoa vikwazo dhidi ya kaimu rais wa Venezuela, Delcy Rodríguez, hatua inayotafsiriwa kama mabadiliko makubwa ya sera ya Washin . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 masaa yaliopita

Tetemeko la 7.4 Indonesia latishia tsunami, mawimbi hatari

Tetemeko hilo lilisababisha tahadhari ya tsunami kutolewa kwa maeneo ya Indonesia pamoja na nchi jirani za Ufilipino na Malaysia.Tetemeko ku . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 masaa yaliopita

Japan Yazindua Makombora Mapya Yatangaza Mkakati Mpya wa Ulinzi

 Japan imeanza rasmi kutumia mfumo wake wa kwanza wa makombora ya masafa marefu katika kambi ya kijeshi ya kusini-magharibi, hatua inay . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 masaa yaliopita

Trump Atangaza Kuishambulia Iran Kwa Nguvu Kubwa Kabla ya Kumaliza Vita Ndani ya Wiki 2–3

Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa vita kati ya Marekani na Iran vinatarajiwa kumalizika hivi karibuni licha ya kuonya kuwa mashamb . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 masaa yaliopita

Dkt. Nchimbi Akutana na Papa Leo XIV Vatican

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Emmanuel Nchimbi, amekutana na kusalimiana na Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani, P . . .

mahusiano
  • Na Jembe Digital
  • 2 masaa yaliopita

Suluhisho Kwa Wapenzi Wanaogombana Kila Mara, Soma Hapa

SIKU hizi ugomvi kwenye mahusiano imekuwa kama ni jambo la kawaida watu wanagombana kwelikweli utakuta mtu haipiti mwezi mmoja bila kug . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • 3 masaa yaliopita

Moto na milipuko kambi ya kijeshi Burundi vyaua watu 13

Watu 13 wamefariki na wengine 57 kujeruhiwa kufuatia mlipuko mkubwa uliosababishwa na moto katika kambi ya kijeshi nchini Burundi.Jeshi lime . . .

Magari
  • Na Asha Business
  • 4 masaa yaliopita

Tiger Woods akataa kuwa nahodha wa Marekani Ryder Cup 2027

Tiger Woods amekataa kuiongoza timu ya Marekani Ryder Cup 2027 ili kuzingatia afya yake, baada ya ajali ya gari na tuhuma za kuendesha akiwa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 4 masaa yaliopita

NASA yaanzisha safari nyingine ya mwezini baada ya miaka 50

Wanaanga wa chombo cha Artemis II wanaelekea mwezini baada ya kurushwa katika safari ya kwanza ya NASA ya mwezini miongo mitano tangu safari . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 6 masaa yaliopita

Donald Trump "Marekani 'iko karibu kufikia' malengo yake nchini Iran"

Katika hotuba ya televisheni kwa taifa, rais wa Marekani amepongeza ushindi "wa maamuzi" na "wa kushangaza" dhidi ya Iran tangu kuanza kwa o . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 6 masaa yaliopita

Watu 13 waliuawa katika milipuko kwenye kituo cha kuhifadhi silaha

Nchini Burundi, siku 2 baada ya kutokea milipuko katika kituo kikuu cha kuhifadhi silaha cha jeshi huko Bujumbura, Jeshi lilitangaza idadi r . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 19 masaa yaliopita

DC NYAMAGANA AHIMIZA WATENGENEZA MAUDHUI KUCHOCHEA MAENDELEO YA TAIFA

Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana, Mhe. Amina Amina, amewahimiza watengeneza maudhui mtandaoni kutumia ubunifu wao kuleta mabadiliko chanya katika . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 19 masaa yaliopita

Rais Samia akutana na wagombea urais wa 2025

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan,  akiwa kwenye mazungumzo na wagombea wa nafasi ya urais na wagombea . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 21 masaa yaliopita

Donald Trump Atishia Kuiondoa Marekani NATO

Rais wa Marekani, Donald Trump amesema anaangalia uwezekano wa kuiondoa nchi hiyo katika NATO, akidai muungano huo hauna ufanisi wa kutosha . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 21 masaa yaliopita

Mafunzo ya Content Creators Yaanza Mwanza

Washiriki wa mafunzo ya watengeneza maudhui mtandaoni (content creators) wameanza kujisajili leo katika Gold Crest Hotel, ambapo wanatarajiw . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 21 masaa yaliopita

Benki Kuu ya Tanzania Yasitisha Uuzaji wa Dhahabu

Benki Kuu ya Tanzania imesitisha kwa muda mpango wa kuuza sehemu ya akiba yake ya dhahabu kufuatia kushuka kwa bei katika soko la dunia.Akiz . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 23 masaa yaliopita

STANBIC YAENDELEZA MAPAMBANO YA ELIMU YA BIMA KWA KUIFIKISHA HUDUMA KARIBU NA WANANCHI MWANZA

Benki ya Stanbic imeendelea kuonesha dhamira yake ya kuhamasisha uelewa mpana wa bima kwa jamii kupitia zoezi la utoaji elimu ya bima lililo . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 24 masaa yaliopita

Bei ya Mafuta Yapanda Tanzania Kufuatia Mzozo wa Mashariki ya Kati

SERIKALI ya Tanzania imetangaza kupanda kwa bei ya mafuta kuanzia Aprili 1, 2026, kufuatia athari za mzozo wa kivita katika eneo la Masharik . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • jana

Axel Tuanzebe Aipeleka DR Congo Kombe la Dunia Baada ya Miaka 52

Bao pekee alilofunga Axel Tuanzebe katika mchezo wa mchujo dhidi ya timu ya Taifa ya Jamaica limetosha kuirudisha DR Congo katika michuano y . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Amnesty International Yatoa Onyo kwa Kombe la Dunia 2026

Shirika la kimataifa la Amnesty International limeonya kuwa mashindano ya Kombe la Dunia 2026, yanayotarajiwa kuanza Juni 11 hadi Julai 19, . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Ada ya $15,000 yawagusa mashabiki wa Afrika kuelekea kombe la dunia 2026

Marekani imedai kuwa mashabiki kutoka Algeria, Senegal, Cape Verde, Ivory Coast na Tunisia wanatakiwa kulipa amana ya dola 15,000( ambapo ni . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Iran yakumbwa na giza la Intaneti siku ya 32

Iran imeingia siku ya 32 tangu kukatika kwa mtandao, huku watumiaji wengi wakikosa mawasiliano nje ya mtandao kwa zaidi ya saa 744, kwa muji . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Bunge Laahirishwa Dakika 15 ili kupisha mazishi ya Lukuvi

Kikao cha kwanza cha Mkutano wa Tatu wa Bunge la 13 la Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kilichoanza leo Machi 31, 2026 jijini Dodoma . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Bei ya mafuta yapanda hadi Dola 115 kutokana na vita ya Iran

Bei ya mafuta duniani imeendelea kupanda na kufikia zaidi ya dola 115 kwa pipa katika masoko ya Asia, kufuatia kuongezeka kwa mvutano wa vit . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Wananchi Idodi waaga mwili wa William Vangimembe Lukuvi kwa uchungu

Wananchi wa Kijiji cha Idodi mkoani Iringa wamejitokeza kwa wingi kutoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Mtanzania Afariki Uturuki Baada ya Kudondoka Ghorofa ya 14

Kufuatia kusambaa kwa video mitandaoni ikimuonesha Mtanzania aliyefariki dunia baada ya kudondoka kutoka ghorofa ya 14 nchini Uturuki, umeib . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Mwanamke Afungwa Mwaka Mmoja Jela kwa Kuiba Mtoto

Mahakama ya Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza imemhukumu mwanamke mmoja, Novina Yoel Kuboja (23), kifungo cha mwaka mmoja jela baada ya kupa . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Utafiti "Kushiriki mapenzi mara kwa mara huimarisha ubora wa mbegu za kiume"

KUSHIRIKI tendo la ndoa mara kwa mara husaidia kuimarisha ubora wa mbegu za kiume, Utafiti mpya umebaini.Utafiti huo umezima kabisa dhana ku . . .

Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Bei ya mafuta yapanda tena soko la dunia

Bei ya mafuta imeripotiwa kupanda tena kwenye soko la dunia kutokana na athari za moja kwa moja za vita vilivyoanzishwa na Marekani na Israe . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Zaidi ya watu 70 wameuawa kwenye shambulio kwenye timbo Sudan Kusini

Watu  zaidi ya 70 wameuawa katika shambulio lililotokea kwenye machimbo ya  dhahabu Khor Kaltan, nchini Sudan Kusini.Shambulizi hi . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Wafungwa 11 wafariki kutokana na maambukizo ya kipindupindu gerezani DRC

Wafungwa 11 wamepoteza maisha na wengine wameambukizwa kipindupindu baada ya kutokea kwa mlipuko wa ugonjwa huo katika gereza la Mbanza-Ngun . . .

Afya
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Tambua vyakula 8 vya Baharini Vinavyoweza Kukuletea Madhara Makubwa Bila Kujua

Ingawa vyakula vya baharini vinajulikana kuwa na faida kubwa kiafya, si kila samaki au sahani ya seafood ni salama au bora kula. Wataalamu w . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Rais Samia Apokea Ripoti ya CAG, TAKUKURU na PPRA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Machi 30, 2026 amepokea ripoti mbalimbali kutoka taasisi za umma . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Waingereza wakamatwa UAE Kwa kupiga picha mashambulizi ya Makombora

Waingereza watano wanashikiliwa na mamlaka za Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), huku wengine zaidi ya 70 wakidaiwa kukumbwa na mkono wa sheri . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

CAG, Deni la Serikali lafikia Trilioni 110.05, lakini bado salama

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Charles Kichere, leo Machi 30, 2026 amewasilisha Ripoti Kuu ya mwaka wa fedha 2024/2025 . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Dkt, Samia ampongeza CAG, aahidi mapungufu kushughulikiwa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali itachukua hatua madhubuti kushughulikia mapungufu y . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Trump atishia tena kusambaratisha vituo vya nishati vya Iran

Trump ametangaza kitisho kipya dhidi ya Iran akisema atashambulia na kusambaratisha kabisa vituo vya nishati vya Iran makubaliano yasipofiki . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

WIZI WA MTOTO WAMPONZA, AFUNGWA MWAKA MMOJA

Mahakama ya Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza imemhukumu Novina Yoel Kuboja (23) ambaye ni mkulima na mkazi wa Buchosa wilayani humo, kutumi . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Bunge la Israel kuamua kuhusu hukumu ya kifo kwa Wapalestina

Bunge la Israel kuamua kuhusu hukumu ya kifo kwa Wapalestina wanaowaua Waisraeli Ukingo wa MagharibiBunge la Israel linatarajiwa kujadili mu . . .

Kurasa 1 ya 231

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category