Rasmi Antoine Semenyo amesaini mkataba wa kuitumikia Manchester City akitokea klabu ya AFC Bournemouth ya pale pale England.Semenyo anakuwa . . .
Maelfu ya waombolezaji walijitokeza jijini Goma Mashariki ya DRC Januari 8 kuhudhuria ibaada ya mazishi ya watu 22 waliouawa wak . . .
Maafisa kadhaa wa ngazi za juu wa jeshi la Kongo, waliokamatwa kwa miezi kadhaa iliopita, wameshtakiwa rasmi na tayari wamehamishiwa katika . . .
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI) anayeshughulikia Elimu, Reuben Kwagilwa (Mb), a . . .
Upungufu wa nguvu za kiume ni hali ya kushindwa kufanya mapenzi kikamilifu au kushindwa kusimamisha via ya uzazi kwa mwanaume katika shughul . . .
Rais wa Marekani Donald Trump ameagiza nchi yake kujiondoa katika mashirika 66 ya kimataifa akieleza kuwa taasisi hizo hazihudumii tena masl . . .
Umoja wa Mataifa amesema Marekani ina ‘wajibu wa kisheria' kuendelea kulipa michango inayofadhili mashirika ya umoja huo hata baada ya Iku . . .
Rais wa muda wa Venezuela, Delcy Rodriguez amesisitiza kwamba nchi yake haina hofu yoyote licha ya madai ya Rais wa Marekani Donald Trump kw . . .
Ikulu ya Tanzania jana imetangaza mabadiliko katika Baraza la Mawaziri yaliyofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu . . .
Afisa wa uhamiaji nchini Marekani, amempiga risasi mwanamke mwenye umri wa miaka 37 siku ya Jumatano kwenye mji wa Minneapolis.Maafisa wa se . . .
Mbunge wa Segerea (CHAUMMA), Agnester Lambart, amefanya ziara katika Kata ya Bonyokwa, kusikiliza kero za maji katika eneo hilo.Miongoni mwa . . .
Hatua hiyo imekuja, miezi miwili baada ya rais Ouattara kuchaguliwa tena kuongoza nchi hiyo, baada ya kupata ushindi wa karibu asilimia 90 y . . .
Habari za hivi punde zinaeleza kuwa wachezaji wa timu ya taifa ya Algeria, kupitia shirikisho lao la soka, wamemwandalia zawadi ya dola za K . . .
Hali ya wasiwasi imetanda katika kambi ya timu ya taifa ya Nigeria, “Super Eagles,” baada ya kuripotiwa kuwa wachezaji wamegoma kufanya . . .
Papa Leo anaongoza kikao chake cha kwanza cha baraza la maaskofu tangu achaguliwe kwenye nafasi hiyo mwaka jana kufuatia kifo cha mtangulizi . . .
Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 imeingia hatua ya Robo Fainali ambapo timu nane bora barani Afrika zimejipanga vyema kuw . . .
Rais wa Marekani Donald Trump ametoa onyo kali kwa wabunge wa chama chake cha Republican huku akisema kuwa kushindwa katika uchaguzi w . . .
Raia wawili wa ambao ni wakazi wa China Weisi Wang (41) pamoja na Yao Licong wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mk . . .
Rais wa Baraza la Umoja wa Ulaya Antonio Costa amesema kuwa Umoja wa Ulaya utaiunga mkono Greenland na Denmark inapohitajika na hautakubali . . .
Waziri wa Mambo ya Ndani wa Venezuela Diosdado Cabello amesema watu 100 wameuawa katika shambulio la Marekani mnamo siku ya Jumamosi lililom . . .
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei mpya za mafuta ya petroli zitakazotumika kuanzia leo Januari 7, 2026 . . .
Kijiji cha Spruce Creek Fly-In Florida ni eneo la kipekee ambapo wakazi wake wengi wanamiliki ndege binafsi. Makazi yamejengwa kuzunguka uwa . . .
Jeshi la Polisi mkoani Morogoro linamshikilia mwanaume mwenye umri wa miaka 33 mkazi wa eneo la Katindiuka, wilayani Mvomero, kwa tuhuma za . . .
Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro, limewakamata watuhumiwa watatu wa matukio tofauti ya mauaji na ukatili wa kijinsia yaliyotokea mkoani hapa . . .
Kijana mmoja wa kiume mwenye umri wa miaka 13 William Rabillo kutoka Nevada nchini Marekani ametikisa mitandao ya kijamii baada ya kufanikiw . . .
Timu ya taifa ya Ivory Coast imefuzu hatua ya robo fainali ya michuano ya AFCON 2025 baada ya kuibuka na ushindi mnono wa mabao 3–0 dhidi . . .
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI, Prof. Riziki Shemdoe amefanya ziara ya ukaguzi katika karakana ya UDART eneo la Ubungo Ji . . .
Waziri wa mambo ya nje wa Israel Gideon Saar ameahidi kwamba nchi yake itakuza uhusiano wenye mafanikio na Somaliland baada ya kuwa nchi ya . . .
Shirika la Wananchi la Amani na Uwiano wa Jamii (CPCC), limesema hivi majuzi kwamba takriban raia 105 kutoka DRC wamefariki dunia katika kip . . .
Rais Donald Trump, anathmini njia za namna Marekani inavyoweza kuchukua na kudhibiti kisiwa cha Greenland, kinachomilikiwa na Denmark.Ikulu . . .
Hatua ya Waziri wa Mambo ya nje wa Israel Gideon Saar kuzuru jimbo la Somaliland siku 10 baada ya kulitambua jimbo hilo kama nchi huru, imes . . .
Bondia wa kulipwa kutoka nchini Tanzania Hassan Mwakinyo Jr ametangaza kurejea nafasi ya kwanza barani Afrika katika uzito wa kati (middlewe . . .
Aliyekuwa Kocha Mkuu wa Manchester United Ole Gunnar Solskjær, ameonyesha nia ya kurejea Old Trafford kuinoa klabu hiyo kama Kocha wa Muda . . .
Klabu ya Chelsea ipo hatua za mwisho kumtangaza Liam Rosenior kuwa Kocha Mkuu mpya wa kikosi hicho, baada ya pande zote kufikia makubaliano . . .
Delcy Rodríguez ameapishwa kuwa Rais wa mpito wa Venezuela kufuatia kikao cha bunge kilichoanza kwa wito wa kutaka kuachiliwa kwa Rais aliy . . .
TAKRIBANI robo ya wateja wa Safaricom (asilimia 23) hawana imani na ada wanazotozwa kwa matumizi ya data na jumbe fupi (SMS), kulingana na u . . .
Bilionea namba moja duniani Elon Musk ametoa bure huduma ya internet kwa wananchi wa Venezuela.Ambapo huduma hii ametoa kuanzia january 3 ha . . .
Tanzania imepiga hatua kubwa kwenye upatikanaji wa elimu tangu uhuru mwaka1961,hasa katika kuandikisha wanafunzi wengi shuleni.Hata hivyo,ta . . .
Mkoa wa kagera,ulioko kaskazini magharibi mwa Tanzania,ni moja ya maeneo yenye historia ya kipekee.Kabla ya uhuru ,eneo hili lilijukana kama . . .
Mjane wa Baba wa Taifa na Rais wa Kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Maria Nyerere amepokea nishani ya heshima kutoka Jamhuri y . . .