logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
AJALI
  • Na Asha Business
  • 14 masaa yaliopita

Watu 120 wamekufa kwa mafuriko nchini Kenya

Idadi ya watu waliokufa kutokana na mafuriko yaliyokumba maeneo kadhaa nchini Kenya imefikia 120 huku maelfu ya makaazi yamesombwa na maji n . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 15 masaa yaliopita

Mkurugenzi wa Uvuvi Atumbuliwa

Ghasia hizo zilimuua Dido Kasingi, wakili na baba wa watoto sita ambaye alikuwa rais wa vijana katika chama cha Katumbi, “Together for the . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • 15 masaa yaliopita

Afisa katika chama cha upinzani DRC ameuawa na makundi hasimu ya kisiasa

Ghasia hizo zilimuua Dido Kasingi, wakili na baba wa watoto sita ambaye alikuwa rais wa vijana katika chama cha Katumbi, “Together for the . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 15 masaa yaliopita

Abdullahi Mire, mkimbizi kutoka Somalia ameshinda tuzo ya wakimbizi ya UNHCR

Mire alizaliwa kusini mwa Somalia mwaka 1987 na aliishi katika kambi ya Dadaab nchini Kenya miaka ya 1990 wakati familia yake ilipotoroka ku . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Guterres ataka mkutano wa COP28 utumike kuinusuru dunia

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amewatolea mwito viongozi kuutumia mkutano ujao wa mazingira wa COP28 kukomesha ongezeko la . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Mateka zaidi wa Israel waachiwa na kundi la Hamas

. . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Mwanamume Amuua Mkewe, Azurura Kwenye Baa Mbalimbali na Maiti

Polisi katika kaunti ya Kericho wameanzisha uchunguzi kufuatia mauaji ya kinyama ya mwanamke mmoja huko Belgut. polisi walimkamata mwan . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Polisi wanaendelea na msako dhidi ya watu waliohusika na shambulio

Polisi nchini Sierra Leone wamesema wanaendelea na msako dhidi ya watu ambao serikali inasema walihusika na shambulio ambalo lilipangwa kati . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Ahmed Ally afichua ujio wa Benchikha

Meneja wa Habari na Mawasilino wa Simba SC Ahmed Ally amefichua siri iliyomvuta Kocha Mkuu wa klabu hiyo kwa sasa Abdelhak Benchikha ambaye . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Italia ya beba ubingwa baada ya miaka 47

Timu ya taifa ya Italia imeshinda ubingwa wa michuano ya tenisi ya Davis Cup baada ya kuifunga timu ya taifa ya Australia kwenye mchezo wa f . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Vijana wahimizwa kufanya kazi, kutokukaa vijiweni

Vijana wanaoshinda vijiweni wakipiga soga na kucheza michezo ya bao na drafti wametakiwa kutumia muda wao kufanya kazi zitakazo waingizia ki . . .

Masumbwi
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Dulla Mbabe Apigwa Tena

DullahMbabe” ameendeleza unyonge kwa kupoteza kwa mara ya pili dhidi ya #EricKatompa wa DR Congo katika pambano lisilo la ubingwa la Uzito . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Rais Samia 'Amtumbua' Naibu Waziri Pauline Gekul

Rais Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Naibu Waziri wa Wizara ya Katiba na Sheria, Pauline Philipo Gekul kuanzia leo Novemba 25, 2023H . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

P Diddy Atuhumiwa Kwa Ubakaji Katika Kesi Mpya

Mtayarishaji Muziki na Mfanyabiashara, Sean Combs Diddy amefunguliwa mashtaka na Joi Dickerson-Neal ambaye amemtuhumu kumpa Dawa za Kulevya . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Watumishi wawili wafukuzwa kazi, ulevi watajwa

Baraza la madiwani la manispaa ya Songea limewafukuza kazi watumishi wawili wa manispaa hiyo mmoja akiwa na tuhuma za vitendo vya ulevi amba . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Bashungwa "Wakandarasi wababaishaji hapa mwiko"

Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara nchini (TANROADS), ameagizwa kuhakikisha kuwa wakandarasi wasumbufu na wababaishaji hawapei kazi za ujen . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Hamilton alitaka kujiunga na Red Bull

Kwa mujibu wa kiongozi mkuu (team Principal) wa Red Bull Christian Horner amesema wawakilishi wa Lewis Hamilton walifanya mawasiliano na tim . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Idadi ya waliofariki kutokana na mafuriko inakaribia watu 100

Idadi ya waliofariki kutokana na mafuriko nchini Somalia inakaribia 100, huku takriban watu milioni mbili wakiathirika, baraza la mawaziri l . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Chama cha Khan chatakiwa kutafuta uongozi mpya

Tume ya uchaguzi Pakistan imekiagiza chama cha waziri mkuu wa zamani aliyeko jela, Imran Khan kiitishe uchaguzi wa kutafuta uongozi mpya ili . . .

Mastaa
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Mrembo wa Kenya aliyechora tattoo ya Harmonize amfuata Tanzania

Mwanadada mmoja mzaliwa wa Kenya aliyejitabulisha kwa jina Catherine almaarufu 'Kutu' Mkenya, amefunguka wazi na kusimulia upendo wake kwa m . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Vikosi vya Marekani vyashambuliwa Iraw na Syria

Vikosi vya Marekani vilishambuliwa mara nne Iraq, na Syria, Alhamisi kwa roketi na ndege zisizo na rubani, lakini hakukuwa na majeruhi au uh . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Madaraja ya mpaka wa Canada, na Marekani yahofia mlipuko

Madaraja yote manne ya mpaka wa Marekani, na Canada, magharibi mwa New York yalifungwa Jumatano mchana baada ya kuripotiwa mlipuko wa gari k . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Mwili Wa Kijana Dangote Wazikwa Usiku Na Watu 7 Makaburi Ya Njiro, Arusha

MWILI wa kijana maarufu kwa jina Ally Dangote aliyekuwa tishio kutokana na kufanya matukio ya kihalifu ikiwemo mauaji, ubakaji, up . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Mtibabu bora ya Kinywa, Meno kutiliwa mkazo

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amewataka Waganga Wakuu wa Mikoa na Halmashauri kuhakikisha wanasimamia matibabu bora ya Kinywa na Meno na kupu . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • November 22, 2023

Vifo vya Upasuaji wa Kuongeza Makalio Vyaongezeka Uturuki

Serikali ya Uingereza imesema itakutana na maafisa nchini Uturuki kujadili kanuni kuhusu utalii wa kimatibabu na urembo, baada ya vifo kadha . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 22, 2023

Korea Kaskazini Yarusha Setelaiti Yake Ya Kwanza Ya Kijasusi

Korea Kaskazini imesema imefanikiwa kuweka satelaiti yake ya kwanza ya kijasusi kwenye anga ya juu ya dunia Jumanne jioni na kuapa kusafiris . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • November 22, 2023

Viongozi wa dunia wapongeza makubaliano ya kusitisha mapigano Gaza kati ya Israel na Hamas

Rais Joe Biden wa Marekani amesema kwamba ameridhika kwa dhati kwamba baadhi ya mateka walochukuliwa na wanamgambo wa Hamas walipoishambulia . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • November 22, 2023

Walimu wadaiwa kula Chakula cha Wanafunzi

Mkuu wa wilaya ya Mpanda, Jamila Yusuf amepiga marufuku vitendo vya Walimu kula chakula kinachopelekwa shuleni kwa ajili ya Wanafunzi, hali . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • November 21, 2023

Mama mbaroni kwa kumuua mwanaye kwa kumzamisha kwenye ndoo ya maji

Mwanamke aliyetambuliwa kwa jina la Johari Mbuma (19), mkazi wa Kigamboni Manispaa ya Iringa anashikiliwa na polisi akituhumiwa kumuua mtoto . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 21, 2023

Wawili wafa baada ya kutangazwa matokeo ya urais Liberia.

Watu wawili wamekufa na wengine kadhaa wamejeruhiwa jana jioni mjini Monrovia baada ya gari kuwagonga wafuasi wa Joseph Boakai, saa chache k . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 21, 2023

Wakurugenzi wawili wasimamishwa kupisha uchunguzi

Waziri wa TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa, amewasimamisha kazi Wakurugenzi wawili wa Halmashauri kuanzia jana November 20, 2023 ili kupisha uch . . .

Mastaa
  • Na Asha Business
  • November 21, 2023

"Siwezi kuhama nyumbani kwa sababu ya Mama" - Abdu

Member wa Kings Music Records Abdukiba amefunguka hawezi kuhama nyumbani kwao kwa sababu ya Mama yao ambaye hayupo tayari kuwaona wakiwa wan . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 21, 2023

NATO yatafakari kupeleka walinda amani wa kudumu Kosovo na Bosnia

Katibu Mkuu wa NATO, Jumatatu amesema muungano huo unapitia kuongeza moja kwa moja walinda amani wa NATO wa Kosovo na Bosnia wakati huu amba . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 20, 2023

Waasi wa Houthi wameteka meli inayomilikwa na mfanyibiashara wa Israeli

Waasi wa Houthi wanaoungwa mkono na Iran nchini Yemen, wamedai kuteka meli inayomilikwa na mfanyibiashara raia wa Israeli katika bahari ya R . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • November 20, 2023

Hospitali ya Taifa ya afya ya Akili Mirembe Yazidiwa na Wagonjwa wa Akili

Hospitali ya Taifa ya afya ya Akili Mirembe imetumia Sh70 milioni ndani ya mwaka mmoja kuhudumia wagonjwa 34 wa afya ya akili katika matibab . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 20, 2023

Rosalynn Carter, mke wa Jimmy Carter amefariki akiwa na umri wa miaka 96

Rosalynn alikuwa mshirika wangu wa karibu katika kila kitu nilichowahi kukifanya, Rais wa zamani Jimmy Carter alisema katika taarifa iliyoto . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • November 20, 2023

Rais Samia anunua tiketi zote za Mzunguko Taifa Stars Vs Morocco

Rais Samia Suluhu Hassan, amenunua tiketi zote za mzunguko katika Uwanja wa Benjamini Mkapa jijini Dar mechi dhidi ya Morocco.Akizungumza ma . . .

Uchumi biashara
  • Na Asha Business
  • November 20, 2023

Holcim Group yaiweka sokoni Mbeya Cement

Kampuni kubwa ya Saruji ya Uswizi imetangaza mpango wa kuuza kampuni yake tanzu Pan African Cement, ambayo inashikilia asilimia 65 ya Kampun . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • November 17, 2023

Zaidi ya watu 50 wamefairki katika mafuriko

Kaunti ya Mombasa pwani ya taifa hilo na Tana River huko kaskazini Mashariki ni baadhi ya majimbo yalioathirika.Shirika la msalaba mwekundu . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 17, 2023

Rais Samia Aongeza Mzuka Taifa Stars

Kocha wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Adel Amrouche amesema kitendo cha Rais Samia Suluhu Hassan kutoa ndege kwa ajili ya timu h . . .

Kurasa 1 ya 120

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category
  • Habari Zote ( 4783 )
  • Siasa 201