logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • 19 masaa yaliopita

DRC: Mzozo mpya kuhusu muhula wa tatu wa rais waibuka

MLvutano umeibuka nchini DRC, baada ya kambi ya rais ikitaka kiongozi wao, ambaye ni rais wa Jamhuri kuwania muhula wa tatu wakati wa shereh . . .

afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • 20 masaa yaliopita

DRC: Mzozo mpya kuhusu muhula wa tatu wa rais waibuka

MLvutano umeibuka nchini DRC, baada ya kambi ya rais ikitaka kiongozi wao, ambaye ni rais wa Jamhuri kuwania muhula wa tatu wakati wa shereh . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 20 masaa yaliopita

Rais Biya amteua mtoto wake kuwa Makamu wa Rais

Rais wa Cameroon, Paul Biya, amemteua mwanawe Franck Emmanuel Biya kuwa Makamu wa Rais, kufuatia kuanzishwa kwa nafasi hiyo mpya ambayo ha . . .

Hali ya hewa
  • Na Jembe Digital
  • 20 masaa yaliopita

TMA yatoa tahadhari ya mvua kubwa kuanzia kesho

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya siku tatu kuhusu uwezekano wa mvua kubwa zitakazoweza kusababisha mafuriko kati . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 21 masaa yaliopita

Bei ya mafuta yazidi kupaa duniani kutokana na vita vya Iran

Pipa moja la mafuta ghafi limeuzwa dola 110.34 hadi 113.67 kutegemea na eneo ambalo ununuzi huo umefanyika. Bei hiyo ni ongezeko la asilimia . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 22 masaa yaliopita

Iran Yasema Strait of Hormuz Haitarudi Kama Zamani

Mvutano kati ya Iran na Marekani umechukua sura mpya baada ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Iran (IRGC) kusema kuwa Strait of Hormuz hait . . .

Mastaa
  • Na Asha Business
  • 22 masaa yaliopita

Kim Kardashian na Hamilton Waweka Wazi Penzi Lao

Staa wa reality TV Kim Kardashian na bingwa wa dunia wa Formula One, Lewis Hamilton, hatimaye wameweka wazi uhusiano wao hadharani kupitia m . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 22 masaa yaliopita

Tume ya uchunguzi yaongeza muda hadi Aprili 24, 2026

MAMLAKA ya Uteuzi imeridhia maombi ya muda wa ziada kwa Tume ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 23 masaa yaliopita

WHO yasitisha uhamishaji wa kimatibabu kutoka Gaza

Shirika la Afya Duniani (WHO) limesitisha uhamishaji wa watu kwa ajili ya matibabu kutoka Ukanda wa Gaza kwenda Misri kupitia kivuko cha m . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 23 masaa yaliopita

Zelensky "Mashambulizi kwenye vituo vya nishati yasitishwe"

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema kwamba Ukraine imependekeza kwa Urusi kupitia kwa Marekani mpango wa kusitisha mashambulizi ya . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • 23 masaa yaliopita

Mzozo mpya kuhusu muhula wa tatu wa rais waibuka

Mvutano umeibuka nchini DRC, baada ya kambi ya rais ikitaka kiongozi wao, ambaye ni rais wa Jamhuri kuwania muhula wa tatu wakati wa sherehe . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 23 masaa yaliopita

Karibu watu 30 wamefaiki na maelfu ya wakimbilia Luanda na Benguela

Nchini Angola, mvua kubwa imesababisha mafuriko makubwa ambayo yaliharibu miundombinu na mitaa iliyojaa maji katika mji wa pwani wa Benguela . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Polisi Watoa Onyo Dhidi ya Uzushi wa ‘Kuibiwa Nyeti’

Jeshi la Polisi limetoa onyo kwa wote wanaosambaza uzushi mitandaoni kuhusu ‘kuibiwa nyeti’ na kueleza kuwa watasakwa na kukamatwa.Msema . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Trump Aibuka na Tishio Zito Kuhusu Mlango wa Hormuz

Rais wa Marekani Donald Trump ameibua taharuki mpya kimataifa baada ya kutoa kauli kali dhidi ya Iran kupitia ujumbe mkali aliouchapisha kwe . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Makanisa kuendelea na kelele Mombasa wamiliki hoteli wakilalamika

HOTELI zilizo karibu na maeneo ya ibada jijini Mombasa zimepata pigo baada ya Mahakama ya Mazingira na Ardhi kubatilisha uamuzi uliokuwa u . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Sheria mpya ya kijeshi kwa wanaume Ujerumani yazusha mjadala

Chama cha Kijani kimetoa wito kwa serikali kufafanua sheria inayowataka wanaume raia wa Ujerumani wenye umri kati ya miaka 17 na 45 kupata . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Zaidi ya watu 70 hawajulikani walipo baada ya boti yao kuzama katika Bahari ya Mediterania

Zaidi ya watu 70 hawajulikani walipo baada ya boti ya wahamiaji kuzama katika Bahari ya Mediterania ya Kati, na kusababisha vifo vya watu wa . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Iran yaonya madhara makubwa kwa nchi jirani Marekani ikiishambulia zaidi

Kamandi ya jeshi la Iran, imeonya kuwa kutakuwa na madhara zaidi kwa mataifa jirani ikiwa Marekani na Israel zitashambulia miundombinu yake . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Tarura Ruvuma yaweka mkazo kuboresha miundombinu ya barabara na madaraja

Wananchi wa Mkoa wa Ruvuma wameendelea kunufaika na maboresho ya miundombinu ya barabara na madaraja yanayotekelezwa na Wakala wa Barabara z . . .

Uwekezaji
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Waziri Chongolo awatangazia neema wa Idofi, kunufaika na mardi wa umwagiliaji ekari 1,300

Waziri wa Kilimo Mhe. Daniel Chongolo ametangaza neema kwa wakulima wa Idofi, Wilaya ya Makambako, ambapo Serikai inaenda kutekeleza mradi M . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Iran yaripoti kuangusha ndege za kivita za Marekani aina ya C- 130

Iran imesema imeangusha ndege mbili za kivita za Marekani, aina ya C-130 na helikopta mbili katika angaa lake, wakati huu vita vikiendelea.M . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Papa Leo ayataka mataifa yalioanzisha vita kuchagua amani

Wakiristo kote duniani, wanaadhimisha sikukuu ya Pasaka, kukumbuka kusulubiwa, kufa na kufufuka kwa Mwokozi wao Yesu Kristo, wakati huu duni . . .

Flamu/Movie
  • Na Nattyebrandy
  • 4 siku zilizopita

Filamu 5 za Yesu Unazopaswa Kuangalia

Kuna siku unakaa tu na unataka kuangalia kitu chenye maana sio tu burudani, bali kitu kinachokufanya ufikirie kidogo kuhusu maisha. Filamu z . . .

Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • 4 siku zilizopita

Kutoka Urafiki hadi Muziki: Bridget Blue na Nikita Kering Walivyounda ‘Mimi na Wewe

Msanii wa muziki wa RnB kutoka nchini Kenya, Bridget Blue, ameendelea kuthibitisha ubora wake katika tasnia ya muziki baada ya kuachia . . .

Dini
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Kwanini tunashangilia vifo vya wenzetu;Askofu Musomba

ASKOFU wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Bagamoyo, mkoani Pwani Stephano Musomba ameonyesha kushangazwa na tabia ya baadhi ya wananchi kushang . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Makumi ya watu wauawa katika mashambulizi nchini Nigeria

Takriban watu 38 waliuawa wiki hii katika mashambulizi yanayoshukiwa kuwa ya makundi ya itikadi kali dhidi ya wakataji miti na kijiji kimoja . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Cuba yaanza kuwaachia maelfu ya wafungwa

Mamlaka za Cuba zimeanza kuwaachilia wafungwa baada ya kutangaza kuwa nchi hiyo itatoa msamaha kwa wafungwa 2,010. Hii ni mara ya pili ndani . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Tetemeko la ardhi lawauwa watu wanane nchini Afghanistan

Watu wanane wa familia moja wameuawa usiku wa kuamkia leo katika tetemeko la ardhi lililokumba eneo la Gosfand Dara mkoani Kabul, nchini Afg . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Vita Yazidi Kuchemka, Marekani Yapoteza Ndege Mbili

Ndege mbili za kijeshi za Marekani, F-15E Strike Eagle na A-10 Thunderbolt II, zimeripotiwa kuangushwa na mashambulizi ya Ira . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Trump Amteua Makamu Wake Kuongoza Mapambano Dhidi Ya Udanganyifu

Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza kuwa Makamu wake, J.D. Vance, sasa atasimamia mapambano dhidi ya udanganyifu nchini . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

POLISI MWANZA WAFANYA OPARESHENI KALI, WAKAMATA VYOMBO 120 NA MADEREVA WANAOKIUKA SHERIA

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limetangaza kuendesha oparesheni maalum ya kudhibiti ukiukwaji wa sheria za usalama barabarani, ikilenga hasa . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Jeshi la Iran Latoa Kauli Nzito Kufuatia Mashambulizi ya Anga

Mkuu wa Jeshi la Iran Meja Jenerali Amir Hatami ametoa onyo kali kwa mataifa hasimu akisema kuwa mshambuliaji yeyote atakayejaribu kuingia n . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

JENERALI MUHOOZI AZUA MJADALA KIMATAIFA KWA IRAN

Jenerali Muhoozi Kainerugaba, Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Uganda (UPDF), amezua mjadala mkubwa kimataifa baada ya kutoa kauli kali dhidi ya . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Palamagamba Kabudi Kuirithi Mikoba ya Lukuvi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi, utenguzi na uhamisho wa viongozi mbalimbali serikalini, samba . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Vikosi vya Urusi vyaendeleza mashambulizi ya droni Kharkiv

Picha za video za Reuters Television zilionyesha wazima moto wakimimina maji kwenye nyumba iliyokuwa bado inatoa moshi baada ya kushambuliwa . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Iran:Tutapambana hadi maadui wasalimu amri

Iran imesisitiza kuwa itaendelea na vita hadi maadui wake watakaposalimu amri, huku ikikanusha vikali madai ya Rais wa Marekani, Donald Trum . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Trump Afunguliwa Kesi Mpya na Democrats Kuhusu Kura za Posta

Chama cha Democrats nchini Marekani kimefungua kesi mahakamani kupinga agizo jipya la Rais Donald Trump linalolenga kudhibiti upigaji kura k . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Wanaanga wa Artemis II Waongea Moja kwa Moja Kutoka Angani Wakienda Mwezini

WANAANGA wa misheni ya Artemis II wamezungumza moja kwa moja wakiwa ndani ya chombo cha anga aina ya Orion, wakielezea safari yao hadi sasa . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Watoto wanne wauawa kwa shambulio la kisu shuleni Kampala

Watoto wanne wamepoteza maisha baada ya kushambuliwa kwa kuchomwa visu katika shule moja ya chekechea jijini Kampala.Kwa mujibu wa Polisi nc . . .

Dini
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

IJUMAA KUU YAADHIMISHWA DUNIANI: WAKRISTO WAKUMBUKA MATESO NA KIFO CHA YESU KRISTO

Leo Aprili 3, 2026, Wakristo duniani kote wanaadhimisha Ijumaa Kuu, siku yenye uzito mkubwa wa kiimani inayokumbuka mateso na kifo cha Yesu . . .

Kurasa 1 ya 232

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category