logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • 2 masaa yaliopita

Amnesty International Yatoa Onyo kwa Kombe la Dunia 2026

Shirika la kimataifa la Amnesty International limeonya kuwa mashindano ya Kombe la Dunia 2026, yanayotarajiwa kuanza Juni 11 hadi Julai 19, . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • 3 masaa yaliopita

Ada ya $15,000 yawagusa mashabiki wa Afrika kuelekea kombe la dunia 2026

Marekani imedai kuwa mashabiki kutoka Algeria, Senegal, Cape Verde, Ivory Coast na Tunisia wanatakiwa kulipa amana ya dola 15,000( ambapo ni . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 masaa yaliopita

Iran yakumbwa na giza la Intaneti siku ya 32

Iran imeingia siku ya 32 tangu kukatika kwa mtandao, huku watumiaji wengi wakikosa mawasiliano nje ya mtandao kwa zaidi ya saa 744, kwa muji . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 masaa yaliopita

Bunge Laahirishwa Dakika 15 ili kupisha mazishi ya Lukuvi

Kikao cha kwanza cha Mkutano wa Tatu wa Bunge la 13 la Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kilichoanza leo Machi 31, 2026 jijini Dodoma . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 masaa yaliopita

Bei ya mafuta yapanda hadi Dola 115 kutokana na vita ya Iran

Bei ya mafuta duniani imeendelea kupanda na kufikia zaidi ya dola 115 kwa pipa katika masoko ya Asia, kufuatia kuongezeka kwa mvutano wa vit . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 masaa yaliopita

Wananchi Idodi waaga mwili wa William Vangimembe Lukuvi kwa uchungu

Wananchi wa Kijiji cha Idodi mkoani Iringa wamejitokeza kwa wingi kutoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 5 masaa yaliopita

Mtanzania Afariki Uturuki Baada ya Kudondoka Ghorofa ya 14

Kufuatia kusambaa kwa video mitandaoni ikimuonesha Mtanzania aliyefariki dunia baada ya kudondoka kutoka ghorofa ya 14 nchini Uturuki, umeib . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 6 masaa yaliopita

Mwanamke Afungwa Mwaka Mmoja Jela kwa Kuiba Mtoto

Mahakama ya Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza imemhukumu mwanamke mmoja, Novina Yoel Kuboja (23), kifungo cha mwaka mmoja jela baada ya kupa . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • 6 masaa yaliopita

Utafiti "Kushiriki mapenzi mara kwa mara huimarisha ubora wa mbegu za kiume"

KUSHIRIKI tendo la ndoa mara kwa mara husaidia kuimarisha ubora wa mbegu za kiume, Utafiti mpya umebaini.Utafiti huo umezima kabisa dhana ku . . .

Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • 6 masaa yaliopita

Bei ya mafuta yapanda tena soko la dunia

Bei ya mafuta imeripotiwa kupanda tena kwenye soko la dunia kutokana na athari za moja kwa moja za vita vilivyoanzishwa na Marekani na Israe . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 6 masaa yaliopita

Zaidi ya watu 70 wameuawa kwenye shambulio kwenye timbo Sudan Kusini

Watu  zaidi ya 70 wameuawa katika shambulio lililotokea kwenye machimbo ya  dhahabu Khor Kaltan, nchini Sudan Kusini.Shambulizi hi . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 6 masaa yaliopita

Wafungwa 11 wafariki kutokana na maambukizo ya kipindupindu gerezani DRC

Wafungwa 11 wamepoteza maisha na wengine wameambukizwa kipindupindu baada ya kutokea kwa mlipuko wa ugonjwa huo katika gereza la Mbanza-Ngun . . .

Afya
  • Na Jembe Digital
  • 21 masaa yaliopita

Tambua vyakula 8 vya Baharini Vinavyoweza Kukuletea Madhara Makubwa Bila Kujua

Ingawa vyakula vya baharini vinajulikana kuwa na faida kubwa kiafya, si kila samaki au sahani ya seafood ni salama au bora kula. Wataalamu w . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 21 masaa yaliopita

Rais Samia Apokea Ripoti ya CAG, TAKUKURU na PPRA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Machi 30, 2026 amepokea ripoti mbalimbali kutoka taasisi za umma . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 22 masaa yaliopita

Waingereza wakamatwa UAE Kwa kupiga picha mashambulizi ya Makombora

Waingereza watano wanashikiliwa na mamlaka za Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), huku wengine zaidi ya 70 wakidaiwa kukumbwa na mkono wa sheri . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 22 masaa yaliopita

CAG, Deni la Serikali lafikia Trilioni 110.05, lakini bado salama

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Charles Kichere, leo Machi 30, 2026 amewasilisha Ripoti Kuu ya mwaka wa fedha 2024/2025 . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 22 masaa yaliopita

Dkt, Samia ampongeza CAG, aahidi mapungufu kushughulikiwa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali itachukua hatua madhubuti kushughulikia mapungufu y . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 22 masaa yaliopita

Trump atishia tena kusambaratisha vituo vya nishati vya Iran

Trump ametangaza kitisho kipya dhidi ya Iran akisema atashambulia na kusambaratisha kabisa vituo vya nishati vya Iran makubaliano yasipofiki . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 22 masaa yaliopita

WIZI WA MTOTO WAMPONZA, AFUNGWA MWAKA MMOJA

Mahakama ya Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza imemhukumu Novina Yoel Kuboja (23) ambaye ni mkulima na mkazi wa Buchosa wilayani humo, kutumi . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 22 masaa yaliopita

Bunge la Israel kuamua kuhusu hukumu ya kifo kwa Wapalestina

Bunge la Israel kuamua kuhusu hukumu ya kifo kwa Wapalestina wanaowaua Waisraeli Ukingo wa MagharibiBunge la Israel linatarajiwa kujadili mu . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 22 masaa yaliopita

Wanamgambo waua watu 30 jimbo la Plateau, Nigeria

Wanamgambo wenye bunduki wamewaua takriban watu 30 katika jimbo la kati la Nigeria Plateau.Maafisa na wakaazi wa eneo hilo wamesema hayo sik . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • jana

Aliyekuwa mbunge Kilwa Kusini Seleman Bungara afariki dunia

Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kilwa Kusini, Seleman Bungara maarufu kama Bwege, amefariki dunia mchana huu akiwa katika hospitali binafsi ene . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • jana

Asilimia 51 ya Gen Z Wadai Degree Ni Hasara

Kwa mujibu wa takwimu mpya kutoka Indeed Survey, asilimia 51 ya vijana wa kizazi cha Gen Z wenye shahada wanasema elimu yao ni upotevu wa pe . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • jana

Vita dhidi ya Iran vyavuuka mwezi mzima

Vita vilivyoanzishwa na Marekani na Israel dhidi ya Iran vimeingia siku yake ya 31, huku kila upande ukizidisha mashambulizi na vitisho dhid . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • jana

Trump adai mabadiliko ya utawala yamefanikiwa Iran

Rais Donald Trump wa Marekani amedai kwamba vita vilivyoanzishwa na nchi yake na Israel vimeshafanikiwa kuleta mabadiliko ya utawala nchini . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • jana

Jamhuri ya Afrika ya Kati: Faustin-Archange Touadéra kuapishwa kwa muhula wa tatu

Faustin-Archange Touadéra ambaye alitangazwa mshindi wa uchaguzi wa urais wa Desemba 26, ataapishwa kwa muhula mpya wa miaka saba katika sh . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Baadhi ya miili iliyofukuliwa Kericho ilikuwa na majereha kichwani uchunguzi wabaini

MIILI mitano kati ya 33 iliyofukuliwa katika kaburi la pamoja Makaburini mjini Kericho ina majeraha kichwani yaliyosababishwa na kupigwa kwa . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Kiongozi wa Zamani Nepal Akamatwa Kufuatia Vifo vya Maandamano ya Gen Z

Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Nepal, K. P. Sharma Oli, amekamatwa na mamlaka za nchi hiyo kufuatia uchunguzi unaohusiana na vifo vya watu 76 vili . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Niger" Serikali yapiga marufuku kusambaza picha za wapokeaji wa chakula au misaada ya kijamii"

Nchini Niger, ni marufuku kusambaza picha za watu wanaopokea misaada, kama vile michango ya chakula. Shirika la taifa la Mawasiliano (ONC) l . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Ugonjwa wa uti wa mgongo huua takriban watu 260,000 duniani kote kila mwaka

Karibu watu 260,000 huuawa na ugonjwa wa uti wa mgongo kila mwaka duniani kote. Hii ni kulingana na utafiti uliochapishwa siku ya Jumamosi, . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Dkt Samia aongoza Taifa kumuaga Lukuvi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Machi 28, 2026 ameongoza viongozi wa kitaifa pamoja na mamia ya Watanzania . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Balen Shah aapishwa kuwa Waziri Mkuu wa Nepal

Mwanamuziki wa zamani wa Hip Hop aliyegeukia siasa Balen Shah, ameapishwa kuwa Waziri Mkuu mpya wa Nepal kufuatia ushindi mkubwa wa chama ch . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Taifa Stars yashuka nafasi ya ubora FIFA

Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, imeshuka kwa nafasi tatu katika viwango vya ubora wa soka duniani vinavyotolewa na FIFA, na sasa kus . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Djigui Diarra afungiwa michezo mitatu na faini ya milioni 4

Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imetoa adhabu kwa mchezaji wa klabu ya Young Africans SC Djigu . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Donald Trump Aongeza Muda wa Kusitisha Mashambulizi kwa Iran

Rais wa United States, Donald Trump, amesema ameongeza muda wa kusitisha mashambulizi dhidi ya viwanda vya nishati vya Iran kutoka siku chac . . .

Dini
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Dame Sarah Mullally sandika historia kanisa la Anglikana

Askofu Mkuu mwanamke wa kwanza Dame Sarah Mullally ameapishwa rasmi kuwa katika historia ya Kanisa la Anglikana duniani, akiongoza waumini t . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Hakimu Hellerstein Kusikiliza Pingamizi la Kisheria la Maduro

Rais wa zamani wa Venezuela, Nicolás Maduro, kurejea mahakamani leo Ijumaa leo 27, 2026 mjini New York huku akihoji uhalali wa mashtaka ya . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Pakistan yasimamia mazungumzo kati ya Marekani na Iran

Waziri wa Mambo ya Nje wa Pakistan Ishaq Dar, amethibitisha leo kuwa nchi yake inasimamia mawasiliano kati ya Marekani na Iran ili kupunguza . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Watu 20 wafariki Tanzania kufuatia maporomoko ya ardhi

Watu wasiopungua 20 wamefariki kusini mwa Tanzania katika mkoa wa Mbeya, kufuatia maporomoko ya ardhi yaliyosababishwa na mvua kubwa ilioamb . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Yair Lapid "Israel inakabiliwa na uhaba wa wanajeshi"

Kiongozi mkuu wa upinzani huko Israel ameikosoa serikali ya Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu kwa kuielekeza nchi hiyo kwenye "janga la kiusala . . .

Kurasa 1 ya 231

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category