logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 masaa yaliopita

Pakistan yafanya maandalizi ya mazungumzo ya amani

Pakistan imeendeleza leo maandalizi ya duru mpya ya mazungumzo kati ya Marekani na Iran siku chache kabla ya makubaliano ya kusitisha mapiga . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 masaa yaliopita

Netanyahu aagiza uchunguzi baada ya Mwanajeshi wa Israel Kuharibu Sanamu ya Yesu

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amelaani vikali tukio lililosambaa mtandaoni likimuonesha mwanajeshi wa Israel akiharibu sanamu ya . . .

Afya
  • Na Jembe Digital
  • 6 masaa yaliopita

Fahamu mambo 5 unayotakiwa kujua kuhusiana na Hedhi

NI vema kujua haya tutakayoyaainisha hapa leo. Inakadiriwa kuwa, mwanamke hupata hedhi wastani wa mara 400 katika maisha yake. Pia . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 6 masaa yaliopita

Waandishi Wamshambulia Madam Ritha Wataka Asusiwe na Vyombo vya Habari

Jumuiya ya Wanahabari wa Mitandao ya Kijamii Tanzania (JUMIKITA) imelaani vikali kitendo kinachodaiwa kufanywa na Madam Rita dhidi ya chombo . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 6 masaa yaliopita

Rais Samia aagiza fedha za Muungano zisaidie ukarabati wa miundombinu ya Barabara nchini

Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba amesema Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza fedha zilizokuwa zimetengwa kwa ajili ya maadhimisho ya miaka 62 ya M . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • 6 masaa yaliopita

TPLB yatoa adhabu nzito kwa Simba, TRA United na Azam FC

Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imetangaza adhabu kwa klabu kadhaa za Ligi Kuu Tanzania kutoka . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • 6 masaa yaliopita

Mudathir afungiwa Mechi tatu na kutozwa faini

Kiungo wa Yanga, Mudathir Yahya amefungiwa michezo mitatu pamoja na kutozwa faini ya Tsh milioni 1 baada ya kukutwa na kosa l . . .

Mauaji
  • Na Jembe Digital
  • 6 masaa yaliopita

Watoto wanane wauawa katika shambulizi Louisiana

Mwanamume mmoja amewauwa watoto wanane, saba ambao wakiwa wake mwenyewe na kuwapiga risasi wanawake wawili katika shambulizi moja mjini Shre . . .

Dini
  • Na Jembe Digital
  • 7 masaa yaliopita

Papa Leo aelekea Saurimo Angola kwa ibada ya misa

Kiongozi wa kanisa Katoliki duniani Papa Leo XIV, amesafiri mapema leo kuelekea mjini Saurimo mashariki mwa Angola kutoka mji mkuu Luanda, k . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 7 masaa yaliopita

Wagombea wanne wa wadhifa wa katibu mkuu wa UN kuhojiwa

Wagombea wanne wa wadhifa wa katibu mkuu ajaye wa Umoja wa Mataifa watafika wiki hii mbele ya jopo la mabalozi kutoka nchi 193 wanachama wa . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • 16 masaa yaliopita

RUTO "Tanzania, Uganda, Rwanda si ligi yetu, tuko mbele kimaendeleo"

RAIS William Ruto amewataka wakosoaji wake wakome kulinganisha bei ya mafuta nchini na mataifa jirani akisema uchumi wa Kenya umepiga hatua . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • 16 masaa yaliopita

Bayern Munich yatwaa ubingwa wa 35 wa Bundesliga

Bayern Munich ndio mabingwa wa ligi kuu ya Ujerumani "Bundesliga" msimu huu, baada ya kupata ushindi siku ya Jumapili wa mabao 4-2 dhidi ya . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 16 masaa yaliopita

Iran yakataa kushiriki katika duru mpya ya mazungumzo ya amani

Kwa sasa Tehran haijapanga kushiriki katika mazungumzo mapya na Marekani, vyombo vya habari vya serikali ya Iran vimeripoti siku ya Jumapili . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 16 masaa yaliopita

AU yalaani hatua ya Israel kumteua balozi mpya Somaliland

Umoja wa Afrika hapo jana "ulilaani vikali" hatua ya Israel kuteua balozi mpya kwenye eneo la Somaliland linalotaka kujitenga na Somalia, ua . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 16 masaa yaliopita

Papa Leo akemea vitendo vya rushwa nchini Angola

Kiongozi wa kanisa katoliki duniani, Papa Leo wa 14, amekemea vitendo vya rushwa na kuzitaka mamlaka za Angola kumaliza ubaguzi ambao umeend . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • jana

NYOKA ALIYEKUWA AKIFUGWA AUAWA BAADA YA KULETA TAHARUKI MAVIMBA

Mkaguzi wa Kata ya Milola, Wilaya ya Ulanga Mkoani Morogoro, Mkaguzi Msaidizi wa Polisi (A/INSP) Aloyce Andrew, kwa kushirikiana na wananchi . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • jana

MTAKA "UONGOZI SI KUPANDISHA MABEGA, NI KUHUDUMIA WANANCHI"

VIONGOZI mbalimbali wametakiwa kutendea haki nafasi walizonazo katika maeneo yao ya kazi ili kuleta matokeo chanya na kuacha alama, badala y . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • jana

Mabadiliko ya teknolojia katika sekta ya biashara Nchini

Viongozi wa Dini wa Madhehebu mbalimbali Nchini wamekumbushwa kuimarishwa Mahusiano kati ya Taasisi za Dini na Serikali ili kudumisha Amani . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • jana

Iran yatangaza kukamatwa kwa watu kadhaa wanaohusishwa na Israel na makundi adui

Karibu watu 70 wamekamatwa na mamlaka ya Iran, wakituhumiwa kwa kuhusishwa na mitandao ya ujasusi ya kigeni katika jimbo la Mazandaran, kuli . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • jana

Spika wa Bunge la Iran "makubaliano 'bado yako mbali' licha ya maendeleo katika mazungumzo"

Mazungumzo ya amani kati ya Iran na Marekani "yamepiga hatua," lakini makubaliano ya mwisho "bado yako mbali," spika mwenye wa bunge la Iran . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Rais Samia "Tunaendelea kuwekeza katika huduma za afya za kibobezi, zikiwemo upasuaji wa Neva"

Tanzania imeweka historia mpya katika sekta ya afya baada ya kuwa mwenyeji wa Mkutano wa Kimataifa wa Shirikisho la Jumuiya ya Madaktari wa . . .

Mastaa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Samia Khan, ang’ara katika Shindano la Top Model – Miss World Tanzania 2026

Mbunifu chipukizi mwenye kipaji kikubwa, Samia Khan, ameendelea kuvutia hisia za wengi baada ya kuonesha ubunifu wake wa kipekee katika jukw . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Utata Wagubika Kifo cha Waziri wa Mawasiliano Burundi Gabby Bugaga Akiwa Ndani ya Gari

Serikali ya Burundi imethibitisha kifo cha Waziri wa Mawasiliano na Vyombo vya Habari, Gabby Bugaga, kilichotokea Alhamisi asubuhi katika ki . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

IEBC, wabunge watetea kituo cha kujumlisha kura za urais kinachopingwa na wanaharakati

JUHUDI za kufuta kituo cha kitaifa cha kujumlishia kura kabla ya uchaguzi mkuu wa 2027 zimepata upinzani mkali kutoka kwa wabunge na Tume Hu . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Watafiti "Vinywaji vyenye sukari ya juu huchangia upara kwa wanaume"

KUNYWA zaidi ya kinywaji kimoja chenye kiwango cha juu cha sukari kila siku kunaongeza hatari ya kupoteza nywele na kuwa na upara miongoni m . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Papa Leo Awashambulia “Madikteta” Wanaotumia Mabilioni Kwenye Vita, Atoa Wito wa Amani

Kiongozi wa Kanisa Katoliki, Pope Leo XIV, ametoa kauli kali akiwakosoa viongozi wa dunia wanaotumia mabilioni ya fedha kuendesha vita badal . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Cuba yakasirishwa na kauli za vitisho za Trump

Rais wa Cuba Miguel Diaz-Canel amesema nchi hiyo iko tayari kupambana iwapo itahitajika kufanya hivyo, ingawa haitaki makabiliano ya kijeshi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Umoja wa Mataifa wasema Sudan "imetengwa"

Mshirikishi wa misaada ya kiutu wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Denise Brown amesema nchi hiyo imetengwa.Brown ameyasema haya wakati ambapo . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Israel na Lebanon zasitisha mapigano

Makubaliano ya siku 10 ya kusitishwa mapigano kati ya Lebanon na Israel yameanza Ijumaa.Haya yanakuja wakati ambapo Rais Donald Trump wa Ma . . .

SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Atlético Madrid yatinga nusu fainali UEFA baada ya kuiondoa FC Barcelona

Atlético Madrid iko kwenye kiwango cha juu cha mafanikio baada ya kutinga nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa (UEFA) na wakati huo h . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Shehbaz Sharif kuzitembelea Saudi Arabia, Qatar na Uturuki

Waziri mkuu wa Pakitan Shehbaz Sharif anaanza ziara ya kidiplomasia ya siku nne kwenda Saudi Arabia, Qatar na Uturuki  Jumatano, huku . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Kundi la mawasiliano la ulinzi la Ukraine lakutana Berlin

Kundi la Mawasiliano la Ulinzi la Ukraine linakutana hivi leo mjini Berlin kufuatia mualiko wa waziri wa ulinzi wa Ujerumani, Boris Pistoriu . . .

Dini
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Papa azuru mji wa Cameroon kwa awamu ya pili ya ziara yake Afrika.

Kiongozi wa kanisa Katoli duniani Papa Leo XIV anatarajiwa kuwasili nchini Cameroon Jumatano. Akiwa nchini humo atakutana na rais Paul Biya . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Ujerumani yatoa msaada wa euro milioni 20 kwa Sudan

Ujerumani iimesema itatoa euro milioni 20 zaidi kwa Sudan mwaka huu, huku ahadi zaidi za ufadhili zikipitiwa upya msaada huo unatolewa huku . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Mahakama ya Rufani Yarejesha Shughuli za Kisiasa za Chadema

Mahakama ya Rufani Kanda ya Dodoma, Aprili 15, 2026 imetengua maamuzi ya Mahakama Kuu yaliyokizuia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadem . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Zelensky asema Marekani haina muda na vita vya Ukraine

Rais Volodymyr Zelensky wa Ukraine amesema vita vya Iran vimesababisha mkwamo katika juhudi za kuvimaliza vita vinavyoendelea nchini mwake d . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Rais Ruto"Kila kitu kiko shwari; hatuwezi kukosana na ODM"

RAIS Ruto amewalaumu baadhi ya wanasiasa kwa kukubali kutumiwa kuzua mgawanyiko huku akisisitiza kuwa ushirikiano wa UDA na ODM utadumu hata . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Rwanda na nchi nyingine 11 kupata dozi za Lenacapavir

Rwanda na mataifa mengine 11 duniani yatanufaika na ufadhili mpya wa Marekani utakaosaidia upatikanaji wa dawa ya sindano za kuzuia maambuki . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Wapiganaji 27 wa Alshabaab wauliwa nchini Somalia

Wizara ya ulinzi ya Somalia imesema operesheni hiyo kubwa iliendeshwa kweye maeneo ya Lower Jubba na Jubba ya Kati, ambako walikamata silaha . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Israel na Lebanon zakubaliana kuandaa mazungumzo mengine

Israel na Lebanon zimekubaliana kufanya mazungumzo mapana ya ngazi ya juu baada ya pande hizo mbili kukutana kwa mara ya kwanza kwa mashauri . . .

Kurasa 1 ya 236

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category