logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
matukio
  • Na Jembe Digital
  • 10 masaa yaliopita

Ajali ya Lori la Mizigo Yatokea Usagara Jijini Mwanza

Lori la mizigo aina ya Fuso lenye namba T290 DDG lililokuwa limebeba shehena ya viazi mbatata limepata ajali jioni ya Machi 12, 2026 majira . . .

UTALII
  • Na Jembe Digital
  • 10 masaa yaliopita

Dkt Samia: Tutashirikisha wananchi kutekeleza mapendekezo tume ya Ngorongoro

Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali itaendelea kushirikiana na wananchi katika utekelezaji wa mapendekezo ya Tume za Rais kuhusu . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 10 masaa yaliopita

Dkt Samia afichua fursa zilizojificha Ngorongoro

Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali imechukua hatua ya kuwahamisha wananchi Ngorogoro kwa sababu eneo hilo lina baionuai nzuri ku . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 16 masaa yaliopita

Israel Yaapa Kuendeleza Mashambulizi Hadi Malengo Dhidi ya Iran Yatimizwe

Israel Defense Forces imesema iko tayari kuendelea na vita dhidi ya Iran kwa muda mrefu kadri itakavyohitajika hadi malengo ya kijeshi yatak . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 16 masaa yaliopita

Papa Leo ahuzunishwa na mauaji ya watoto Iran

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Leo XIV (14 ) amesikitishwa na vifo vya raia wengi katika vita vya Iran. Vita vya Israel na Marekan . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 16 masaa yaliopita

Watu 40 wauawa katika shambulizi la droni jimboni Kordofan

Watu 40 wameuawa baada ya gari walililokuwa wamepanda wakielekea kwenye mazishi, kushambuliwa kwa droni katika eneo la Kordofan nchini Sudan . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 16 masaa yaliopita

Waziri Mkuu wa zamani Guillaume Bunyoni aachiwa huru

Waziri mkuu wa zamani wa Burundi, Jenerali Alain-Guillaume Bunyoni, ambaye anatumikia kifungo cha maisha gerezani kwa jaribio la mapinduzi, . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 16 masaa yaliopita

Raia wa Congo Brazzaville kushiriki uchaguzi mkuu wikendi hii

Raia wa Congo Brazzaville Jumapili ya wiki hii watachagua rais, huku kiongozi wa sasa Denis Sassou Nguesso mwenye umri wa miaka 82 akiwania . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • jana

Mamia ya raia waanza kutoroka katika Mji wa Tigray, Ethiopia

Mamia ya raia kwenye mji wa Tigray nchini Ethiopia, wameanza kuondoka kwenye maeneo yao kutokana na kuongezeka kwa hofu ya kuzuka kwa mapiga . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

RAIS SAMIA AMUASILI MTOTO MCHANGA ALIYETELEKEZWA NZEGA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemuasili mtoto mchanga wa kike leo Machi 11, 2026, katika ma . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Macron kujadili Iran na viongozi wa nchi za G7

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron atakutana na viongozi wa kundi la nchi saba zilizostawi kiviwanda duniani za G7 Jumatano kujadili mgogoro w . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Watu milioni 4.4 kutoka Ukraine wana hadhi ya ulinzi Ulaya

Ofisi ya takwimu ya Umoja wa Ulaya Eurostat imeripoti kwamba jumla ya raia milioni 4.38 wasio raia wa Umoja wa Ulaya waliokimbia Ukraine wal . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Israel yafanya mashambulizi mapya Beirut

Israel imefanya mashambulizi katika vitongoji vya kusini mwa mkuu wa Lebanon, Beiruteshi ambapo jeshi la Israel linasema limeilenga tena miu . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Mabalozi wa NATO kukutana na wenzao wa Ghuba

Mabalozi wa jumuiya ya kujihami ya NATO watakutana na wenzao wa nchi za Ghuba kuijadili hali ya vita vinavyoendelea nchini Iran.Mabalozi kut . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Rais wa Shirikisho la Soka Kongo Afungwa Jela Maisha kwa Kashfa ya Fedha

Mahakama nchini Kongo Brazzaville imemkuta na hatia Rais wa Shirikisho la Soka la nchi hiyo, Jean-Guy Blaise Mayolas, kwa makosa makubwa ya . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Maadhimisho ya Siku ya Haki za Mtumiaji Duniani kufanyika Tanga Machi 15

MAADHIMISHO ya kitaifa ya Siku ya Haki za Mtumiaji Duniani kwa mwaka 2026 yanatarajiwa kufanyika jijini Tanga Machi 15, yakilenga kuhamasish . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Ssebo wa EFM Afariki Dunia Akipatiwa Matibabu Muhimbili

Mkurugenzi wa Uzalishaji na Biashara wa Kituo cha Redio cha EFM na TVE, Denis Busulwa almaarufu Ssebo, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Maadhimisho ya Siku ya Haki za Mtumiaji Duniani kufanyika Tanga Machi 15

MAADHIMISHO ya kitaifa ya Siku ya Haki za Mtumiaji Duniani kwa mwaka 2026 yanatarajiwa kufanyika jijini Tanga Machi 15, yakilenga kuhamasish . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Shambulio la ndege zisizo na rubani laripotiwa Mjini Goma

Mji mkuu wa jimbo la Kivu Kaskazini, wa Goma ambao kwa sasa uko chini ya udhibiti wa uasi wa AFC/M23, umelengwa na mashambulio ya ndege zisi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Waziri Mkuu wa Madagascar atimuliwa na baraza la waziri

Waziri Mkuu wa Madagascar Herintsalama Rajaonarivelo ametimuliwa na kiongozi wa nchi hiyo Kanali Michael Randrianirina. Kanali Randrianirina . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Mabalozi wa NATO kukutana na wenzao wa Ghuba

Mabalozi wa jumuiya ya kujihami ya NATO watakutana na wenzao wa nchi za Ghuba kuijadili hali ya vita vinavyoendelea nchini Iran.Mabalozi kut . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Israel yafanya mashambulizi mapya Beirut

Isael imefanya mashambulizi katika vitongoji vya kusini mwa mkuu wa Lebanon, Beirut. Jeshi la Israel linasema limeilenga tena miundombinu ya . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Firat aombolezwa kama kocha nguli aliyefungulia Harambee Stars milango kimataifa

KOCHA wa zamani wa Harambee Stars Engin Firat ambaye aliaga dunia jana Uturuki, ameombolezwa kama aliyemakinikia kazi yake na mwenye taaluma . . .

Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Tanzania yashika nafasi ya nne kwa uwekezaji sekta ya madini Afrika

Tanzania imeendelea kuimarisha nafasi yake kama kivutio cha kimataifa cha uwekezaji kwenye sekta ya madini baada ya kuorodheshwa miongoni mw . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Dkt. Mwigulu" Wanafunzi Bora Kusomeshwa Nje Kupitia Samia Scholarship"

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema wanafunzi watakaofaulu kwa viwango vya juu watanufaika na ufadhili wa masomo kupitia mpango wa Sa . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Mtoa misaada Mfaransa akamatwa Jamhuri ya Afrika ya Kati

Mfanyakazi wa misaada raia wa Ufaransa anayefanya kazi na shirika la hisani la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) ametiwa mbaroni katika Jmahur . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Ujerumani yawaondoa wafanyakazi wa ubalozi wake Baghdad

Ujerumani imewaondoa wafanyakazi wake kwa muda katika ubalozi wake katika mji mkuu wa Iraqi Baghdad kwa sababu ya vita vinavyohusisha Iran.W . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

"HOUSE GIRL" AFIKISHWA MAHAKAMANI KWA TUHUMA ZA KUJARIBU KUUA KICHANGA

​Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza, leo Machi 09, 2026, limemfikisha katika Mahakama ya Wilaya ya Ilemela, Faima Yasin Twaibu (19), mkazi wa . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Biashara ya Silaha Duniani Yaongezeka

Ripoti mpya ya Stockholm International Peace Research Institute (SIPRI) imeonesha kuwa mtiririko wa silaha duniani umeongezeka kwa karibu as . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Iran Yatishia Kulenga Mafuta ya Nchi Jirani

Iran imetishia kushambulia miundombinu ya mafuta katika nchi jirani kufuatia mashambulizi ya anga yaliyofanywa na Israel dhidi ya maeneo ya . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Dk Akwilapo akabidhi baiskeli 10 kwa wenye ulemavu Masasi

Mbunge wa Jimbo la Masasi ambaye pia ni Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Leonard Akwilapo amekabidhi baiskeli kumi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Rais Emmanuel Macron kukitembelea kisiwa cha Cyprus

Ofisi ya Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron imesema atakutana na mwenzake wa Cyprus Nikos Christodoulides na Waziri Mkuu wa Ugiriki . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Iran yaishambulia Israel kufuatia uteuzi wa Ayatollah Seyyed

Iran imerusha makombora yake ya kwanza kuelekea Israeli Jumatatu baada ya kuteuliwa kwa kiongozi mpya mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu, Ayatollah . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Idadi ya watu waliofariki katika mafuriko yafikia 42

Polisi nchini Kenya inasema watu 42 ndio wamethibitishwa kufariki hadi sasa kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendele . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Mojtaba Khamenei Achaguliwa Kuwa Kiongozi Mkuu Mpya wa Iran

 Mwanazuoni wa Kiislamu Mojtaba Khamenei amechaguliwa kuwa Kiongozi Mkuu mpya wa Iran, akimrithi baba yake Ali Khamenei, aliyekuwa akio . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Mrithi wa Kiongozi Mkuu Iran Apatikana

Tume ya kuchagua kiongozi mkuu mpya wa Iran imetangaza leo Jumapili, Machi 8, kuwa imefikia uamuzi wa kumchagua kiongozi mpya wa nchi hiyo, . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

WAANDISHI WA HABARI WAKAMATWA MUSOMA WAKIRIPOTI MKUTANO WA CHADEMA ULIOSITISHWA.

Waandishi wa habari Philimon Mawazo na Leah Mnyambwa wamekamatwa na Jeshi la Polisi mjini Musoma mkoani Mara wakati wakiripoti taarifa za mk . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

KATIBU MKUU WA WANAWAKE WA CHADEMA AKAMATWA NA POLISI MARA

Katibu wa Mkuu wa Baraza la Wanawake Chama cha demkrasia na mendeleo (BAWACHA) Akamatwa na Polisi hii ni baada ya kutangaza kufanya Mkutano . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Nanauka Akabidhi Bilioni 7 kwa Vijana wa BBT–Uvuvi

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana, Joel Arthur Nanauka amekabidhi hundi ya shilingi bilioni saba kwa vijana kutoka mikoa ya . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Vijana BBT Waaswa Kutumia Vizuri Mikopo ya Uvuvi

Vijana wanaonufaika na programu ya Building a Better Tomorrow (BBT) katika sekta ya uvuvi jijini Mwanza wametakiwa kutumia kwa uangalifu fed . . .

Kurasa 1 ya 227

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category