logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 10 masaa yaliopita

Uhaba wa maji Madiwani Ilemela waibana Mwauwasa

Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza wameibana Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mkoani Mwanza (MWAUWASA), w . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 10 masaa yaliopita

Tume ya Oktoba 29, kukabidhi ripoti Aprili 23

Tume ya Rais ya Uchunguzi wa Matukio ya Vurugu kabla na Baada ya Uchaguzi, imesema Alhamisi ya Aprili 23, mwaka huu, itakabidhi ripoti yake . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • 11 masaa yaliopita

Ni muda wa Brazil kutwaa Kombe la Dunia 2026, CAF

MSHINDI wa Kombe la Dunia mara mbili na Brazil, Cafu amesema anaamini mashindano ya mwaka huu ni wakati muafaka kwa mabingwa hao mara tano k . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 11 masaa yaliopita

Gen Z waitisha maandamano kupinga bei ya mafuta Kenya

NCHINI Kenya hivi leo kumekuwepo na maandamano ya kupinga kupanda kwa bei ya mafuta ambapo kwa sasa lita ya petroli inauzwa kwa Sh. 197.60 z . . .

Mitindo | Urembo
  • Na Jembe Digital
  • 12 masaa yaliopita

Rangi Gallery Yaitangaza Tanzania Kimataifa Kupitia Sanaa

Jumba la sanaa la Rangi Gallery limeweka historia kwa kuwa la kwanza kutoka Tanzania kushiriki katika maonesho ya kimataifa ya Art OnO 2026 . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 12 masaa yaliopita

Dkt.Samia:Amani ni hazina yetu kiuchumi na kijamii

Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema kua amani iliyopo nchini ni hazina ya shughuli za kiuchumi na kijamii.Dk . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 12 masaa yaliopita

Waziri wa Ujenzi ajibu Kauli ya William Ruto Kuhusu Barabara

WAZIRI wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema Tanzania ina mtandao mkubwa zaidi wa barabara kulinganisha na nchi yoyote jirani huku akisifu jiti . . .

bungeni
  • Na Jembe Digital
  • 13 masaa yaliopita

Ado Shaibu aaonywa Bungeni na Spika Zungu

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mussa Zungu amemuonya Mbunge wa Tunduru Kaskazini Ado Shaibu Ado kwa kuendelea kuzungumza . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 13 masaa yaliopita

Wanadiplomasia wa Umoja wa Ulaya kujadili mizozo

Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Umoja wa Ulaya watakutana Jumanne kujadili kuhusu mzozo wa Mashariki ya Kati pamoja na uungwaji mkono kwa Ukrain . . .

Dini
  • Na Jembe Digital
  • 13 masaa yaliopita

Papa Leo XIV asafiri kuelekea Guinea ya Ikweta

Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Leo XIV anasafiri Jumanne kuelekea Guinea ya Ikweta, kituo cha mwisho cha ziara yake ya siku 10 bar . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 13 masaa yaliopita

DRC na Uganda zawaokoa mateka 200 waliokuwa mikononi mwa ADF

Wanajeshi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wakishirikiana na wale wa Uganda walifanikiwa wiki iliyopita kuwaokoa raia wasiopungua 200 wak . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 20 masaa yaliopita

DKT. ABBAS: UHIFADHI UMEIFANYA TANZANIA KUONGOZA KWA SIMBA WENGI DUNIANI

Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Hassan Abbasi amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu Wizara ya Utalii, Wanyamapori na . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 20 masaa yaliopita

MWENGE WAHAMASISHA VIJANA KUNUFAIKA NA MIKOPO YA ASILIMIA 10 KIBAHA

KIONGOZI wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Wazo Mwang’onda, amewahimiza vijana nchini kuchangamkia fursa ya mikopo ya asilimia 10 inayot . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 20 masaa yaliopita

Iran yasema haina mpango wa kushiriki awamu ya pili ya mazungumzo

Iran inasema haina mpango wa kutuma wajumbe wake nchini Pakistan kushiriki kwenye mazungumzo mapya na Marekani, hatua ya Tehran ikija wakati . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • 20 masaa yaliopita

Maandamano ya kupinga kupanda kwa bei ya mafuta yatarajiwa Kenya

Nchini Kenya hivi leo kunatarajiwa kushuhudiwa maandamano ya kupinga kupanda kwa bei ya mafuta.Maandamano hayo yanatarajiwa kuongozwa na vij . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 20 masaa yaliopita

Chad kutuma wanajeshi wake nchini Haiti kupambana na majambazi

Chad itatuma wanajeshi elfu 1 na 500 nchini Haiti ikiwa ni sehemu ya kikosi cha kimataifa kinachoungwa mkono na umoja wa Mataifa kusaidia ku . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • jana

Pakistan yafanya maandalizi ya mazungumzo ya amani

Pakistan imeendeleza leo maandalizi ya duru mpya ya mazungumzo kati ya Marekani na Iran siku chache kabla ya makubaliano ya kusitisha mapiga . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • jana

Netanyahu aagiza uchunguzi baada ya Mwanajeshi wa Israel Kuharibu Sanamu ya Yesu

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amelaani vikali tukio lililosambaa mtandaoni likimuonesha mwanajeshi wa Israel akiharibu sanamu ya . . .

Afya
  • Na Jembe Digital
  • jana

Fahamu mambo 5 unayotakiwa kujua kuhusiana na Hedhi

NI vema kujua haya tutakayoyaainisha hapa leo. Inakadiriwa kuwa, mwanamke hupata hedhi wastani wa mara 400 katika maisha yake. Pia . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • jana

Waandishi Wamshambulia Madam Ritha Wataka Asusiwe na Vyombo vya Habari

Jumuiya ya Wanahabari wa Mitandao ya Kijamii Tanzania (JUMIKITA) imelaani vikali kitendo kinachodaiwa kufanywa na Madam Rita dhidi ya chombo . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • jana

Rais Samia aagiza fedha za Muungano zisaidie ukarabati wa miundombinu ya Barabara nchini

Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba amesema Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza fedha zilizokuwa zimetengwa kwa ajili ya maadhimisho ya miaka 62 ya M . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • jana

TPLB yatoa adhabu nzito kwa Simba, TRA United na Azam FC

Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imetangaza adhabu kwa klabu kadhaa za Ligi Kuu Tanzania kutoka . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • jana

Mudathir afungiwa Mechi tatu na kutozwa faini

Kiungo wa Yanga, Mudathir Yahya amefungiwa michezo mitatu pamoja na kutozwa faini ya Tsh milioni 1 baada ya kukutwa na kosa l . . .

Mauaji
  • Na Jembe Digital
  • jana

Watoto wanane wauawa katika shambulizi Louisiana

Mwanamume mmoja amewauwa watoto wanane, saba ambao wakiwa wake mwenyewe na kuwapiga risasi wanawake wawili katika shambulizi moja mjini Shre . . .

Dini
  • Na Jembe Digital
  • jana

Papa Leo aelekea Saurimo Angola kwa ibada ya misa

Kiongozi wa kanisa Katoliki duniani Papa Leo XIV, amesafiri mapema leo kuelekea mjini Saurimo mashariki mwa Angola kutoka mji mkuu Luanda, k . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • jana

Wagombea wanne wa wadhifa wa katibu mkuu wa UN kuhojiwa

Wagombea wanne wa wadhifa wa katibu mkuu ajaye wa Umoja wa Mataifa watafika wiki hii mbele ya jopo la mabalozi kutoka nchi 193 wanachama wa . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

RUTO "Tanzania, Uganda, Rwanda si ligi yetu, tuko mbele kimaendeleo"

RAIS William Ruto amewataka wakosoaji wake wakome kulinganisha bei ya mafuta nchini na mataifa jirani akisema uchumi wa Kenya umepiga hatua . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Bayern Munich yatwaa ubingwa wa 35 wa Bundesliga

Bayern Munich ndio mabingwa wa ligi kuu ya Ujerumani "Bundesliga" msimu huu, baada ya kupata ushindi siku ya Jumapili wa mabao 4-2 dhidi ya . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Iran yakataa kushiriki katika duru mpya ya mazungumzo ya amani

Kwa sasa Tehran haijapanga kushiriki katika mazungumzo mapya na Marekani, vyombo vya habari vya serikali ya Iran vimeripoti siku ya Jumapili . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

AU yalaani hatua ya Israel kumteua balozi mpya Somaliland

Umoja wa Afrika hapo jana "ulilaani vikali" hatua ya Israel kuteua balozi mpya kwenye eneo la Somaliland linalotaka kujitenga na Somalia, ua . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Papa Leo akemea vitendo vya rushwa nchini Angola

Kiongozi wa kanisa katoliki duniani, Papa Leo wa 14, amekemea vitendo vya rushwa na kuzitaka mamlaka za Angola kumaliza ubaguzi ambao umeend . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

NYOKA ALIYEKUWA AKIFUGWA AUAWA BAADA YA KULETA TAHARUKI MAVIMBA

Mkaguzi wa Kata ya Milola, Wilaya ya Ulanga Mkoani Morogoro, Mkaguzi Msaidizi wa Polisi (A/INSP) Aloyce Andrew, kwa kushirikiana na wananchi . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

MTAKA "UONGOZI SI KUPANDISHA MABEGA, NI KUHUDUMIA WANANCHI"

VIONGOZI mbalimbali wametakiwa kutendea haki nafasi walizonazo katika maeneo yao ya kazi ili kuleta matokeo chanya na kuacha alama, badala y . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Mabadiliko ya teknolojia katika sekta ya biashara Nchini

Viongozi wa Dini wa Madhehebu mbalimbali Nchini wamekumbushwa kuimarishwa Mahusiano kati ya Taasisi za Dini na Serikali ili kudumisha Amani . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Iran yatangaza kukamatwa kwa watu kadhaa wanaohusishwa na Israel na makundi adui

Karibu watu 70 wamekamatwa na mamlaka ya Iran, wakituhumiwa kwa kuhusishwa na mitandao ya ujasusi ya kigeni katika jimbo la Mazandaran, kuli . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Spika wa Bunge la Iran "makubaliano 'bado yako mbali' licha ya maendeleo katika mazungumzo"

Mazungumzo ya amani kati ya Iran na Marekani "yamepiga hatua," lakini makubaliano ya mwisho "bado yako mbali," spika mwenye wa bunge la Iran . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Rais Samia "Tunaendelea kuwekeza katika huduma za afya za kibobezi, zikiwemo upasuaji wa Neva"

Tanzania imeweka historia mpya katika sekta ya afya baada ya kuwa mwenyeji wa Mkutano wa Kimataifa wa Shirikisho la Jumuiya ya Madaktari wa . . .

Mastaa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Samia Khan, ang’ara katika Shindano la Top Model – Miss World Tanzania 2026

Mbunifu chipukizi mwenye kipaji kikubwa, Samia Khan, ameendelea kuvutia hisia za wengi baada ya kuonesha ubunifu wake wa kipekee katika jukw . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Utata Wagubika Kifo cha Waziri wa Mawasiliano Burundi Gabby Bugaga Akiwa Ndani ya Gari

Serikali ya Burundi imethibitisha kifo cha Waziri wa Mawasiliano na Vyombo vya Habari, Gabby Bugaga, kilichotokea Alhamisi asubuhi katika ki . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

IEBC, wabunge watetea kituo cha kujumlisha kura za urais kinachopingwa na wanaharakati

JUHUDI za kufuta kituo cha kitaifa cha kujumlishia kura kabla ya uchaguzi mkuu wa 2027 zimepata upinzani mkali kutoka kwa wabunge na Tume Hu . . .

Kurasa 1 ya 236

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category