logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
matukio
  • Na Jembe Digital
  • 31 dakika zilizopita

Watatu mbaroni kwa kuchimba mahandaki bila kibali

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linamshikilia Evance Ndeka Bisesagu (47), mfanyabiashara na mkazi wa Bupumula, Kata ya Nyamhongolo, Wilaya ya . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 35 dakika zilizopita

Uingereza, Ufaransa zaafikiana kudhibiti uhamiaji haramu

Uingereza na Ufaransa zimeafikiana kuhusu mkataba mpya wa miaka mitatu unaolenga kukomesha uhamiaji haramu kwa njia ya mkondo wa bahari uuna . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 41 dakika zilizopita

EU kuipa Afrika msaada wa euro milioni 275

Umoja wa Ulaya umetangaza kuwa watatoa kiasi cha euro milioni 275 kama msaada wa kiutu kwa ajili ya watu wanaoishi katika maeneo yenye migog . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 masaa yaliopita

RAIS SAMIA ATANGAZA HATUA ZA SERIKALI KUHUSU MATUKIO YA OKTOBA 29

Rais wa Tanzania MHE.DKT Samia Suluhu Hassan ametangaza hatua kadhaa za serikali kufuatia matukio ya vurugu yaliyotokea Oktoba 29, 2025, aki . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 masaa yaliopita

Dkt Samia: Tutagharamia matibabu na majeruhi wa Oktoba 29

 Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali itaweka utaratibu wa kugharamia matibabu kwa majeruhi wa ghasia za Oktoba 29, mwaka huu . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 2 masaa yaliopita

Tume: Askari 16 waliuawa Oktoba 29

Tume ya uchunguzi wa ghasia, wakati na baada ya uchaguzi wa Oktoba 29, 2025, imebaini askari 16 wa vyombo mbalimbali vya ulinzi na usalama w . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 masaa yaliopita

Dkt Samia: Yaliyotokea yatupe funzo tushirikiane, tuimarike

  Rais Samia Suluhu Hassan amesema ni rahisi kuivunja amani, lakini si rahisi kuirejesha hivyo hatima ya Tanzania ipo mikononi mwa Wata . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 2 masaa yaliopita

Tume-Makundi yaliyoshiriki ghasia Oktoba 29, yalilenga kupora na kuiba mali

Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu Amani Oktoba 29, imesema ushahidi iliyokusanywa na tume hiyo imebaini miongoni mwa makundi yaliyosh . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 3 masaa yaliopita

Tume: Watu 518 walifariki Oktoba 29

Tume ya uchunguzi wa matukio ya uvunjifu wa amani wakati na baada ya uchaguzi, imesema jumla ya watu 518 walipoteza maisha kutokana na ghasi . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 masaa yaliopita

Tume: Hakuna makaburi ya halaiki

Tume ya uchunguzi wa ghasia wakati na baada ya uchaguzi, imesema hakuna ushahidi uliothibitisha kuwepo kwa makaburi ya halaiki katika eneo l . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 masaa yaliopita

Jitihada zawekwa kutambua watoto waishio mitaani

HALMASHAURI zote mkoani Morogoro zimeagizwa kushirikiana na walezi pamoja na wadau wengine katika kutambua watoto wanaoishi na kufanya kazi . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 5 masaa yaliopita

Mahakama Bunda yamwachia Katibu BAVICHA na wenzake 13

Mahakama ya Wilaya ya Bunda imetoa uamuzi mdogo katika kesi ya jinai inayomkabili aliyekuwa Katibu Mkuu wa BAVICHA Taifa, Yohana Kaunya na w . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 masaa yaliopita

Trump Atoa Kauli Mpya Kuhusu Mazungumzo ya Amani na Iran

Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa kuna uwezekano wa kuanza kwa duru ya pili ya mazungumzo ya amani kati ya Marekani na Iran ndani y . . .

mahusiano
  • Na Jembe Digital
  • 5 masaa yaliopita

Mambo Matano Yanayoumiza Wengi Katika Uhusiano

KUNA mambo mengi ambayo husababisha watu wenye uhusiano kuumia roho zao na hivi Leo tutakwenda kuyafafanua kwa undani zaidi mambo hayo . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 masaa yaliopita

Serikali Yachukua Mwili wa Edgar Lungu, Familia Yapinga Mazishi ya Kitaifa

Serikali ya Zambia imethibitisha kuuchukua mwili wa Rais wa zamani Edgar Lungu aliyefariki dunia nchini Afrika Kusini mi . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 6 masaa yaliopita

Rais Samia apokea ripoti ya tume ya kuchunguza matukio ya uvunjifu wa amani – Uchaguzi Mkuu – 2025

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, akipokea Ripoti ya Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunj . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 6 masaa yaliopita

Ujerumani na India zakubaliana kukuza sekta zao za ulinzi

Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani Boris Pistorius na waziri mwenzake wa India Rajnath Singh wamesaini mpango wa vifungu 10 unaolenga kuimarisha . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 6 masaa yaliopita

Iran haitafungua Hormuz kama mzingiro wa Marekani utaendelea

Iran imeapa kutofungua tena Mlango-Bahari wa Hormuz kama mzingiro uliowekwa na jeshi la wanamaji la Marekani litaendelea kuwepo licha ya ku . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 6 masaa yaliopita

ICC yakataa ombi la kumwachilia rais wa zamani wa Ufilipino

Majaji wa rufaa wamefanya uamuzi kuwa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) ina mamlaka juu ya rais wa zamani wa Ufilipino Rodrigo Duterte& . . .

SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • 6 masaa yaliopita

Kane afunga tena wakati Bayern ikitinga fainali ya DFB Pokal

Bayern Munich imepiga hatua kuelekea kushinda mataji matatu, kwa kutinga fainali ya Kombe la Shirikisho la Ujerumani – DFB Pokal kwa mara . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • jana

Ongezeko la joto kali laathiri mifumo ya chakula duniani

Ripoti ya Umoja wa Mataifa imebainisha kuwa kiwango kikubwa cha joto kinachoshuhudiwa duniani, kinaiweka mashakani mifumo ya upatikanaji wa . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • jana

Ujerumani yawasilisha mkakati wa kijeshi kuimarisha ulinzi

Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani Boris Pistorius amewasilisha mkakati mpya wa Kijeshi wa Kitaifa wakati serikali yake ikijiandaa kukabiliana na . . .

Dini
  • Na Jembe Digital
  • jana

Papa Leo XIV atembelea gereza maarufu Guinea ya Ikweta

Papa Leo XIV amelitembelea gereza maarufu katika mji wa Bata, nchini Guinea ya Ikweta Ssiku ya leo Aprili 22,2026  ambapo ziara hiyo im . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • jana

Sudan Kusini inatarajiwa kufanya uchaguzi mkuu mwezi Desemba

Sudan Kusini inatarajiwa kufanya uchaguzi mkuu mwezi Desemba mwaka huu baada ya miaka mingi ya kucheleweshwa mara kwa mara.Na itakumbukwa ku . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • jana

Idadi ya watu waliohukumiwa kunyongwa nchini DRC yaongezeka

Idadi ya watu waliohukumiwa kunyongwa nchini DRC imeongezeka tangu kuondolewa kwa marufiku ya hukumu ya aina hiyo mwaka wa 2024 kulingana . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • jana

Idadi ya watu waliohukumiwa kunyongwa nchini DRC yaongezeka

Idadi ya watu waliohukumiwa kunyongwa nchini DRC imeongezeka tangu kuondolewa kwa marufiku ya hukumu ya aina hiyo mwaka wa 2024 kulingana . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • jana

Yanga yatinga nusu Finali ya Kombe la Muungano 2026

Hapo Aprili 21, 2026 Klabu ya Yanga Sc ilifanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya Kombe la Muungano kwa mwaka  2026/2027 baada ya kui . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • jana

Marekani yaongeza muda wa mapigano ya kusitishwa na Iran

Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza kuwa Marekani itaendelea na usitishaji wa mapigano na Iran bila muda maalum wa kuisha, hatua inayok . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • jana

Ronaldo na Mwanae kuandika historia ya kucheza pamoja Al Nassr

Nyota wa soka duniani Cristiano Ronaldo (40) anaweza kuandika historia nyingine kubwa ya michezo iwapo atafanikiwa kucheza pamoja na mwanawe . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • jana

Boda waripoti wizi feki wa pikipiki ili kuhepa kulipa mikopo

KWA karibu miaka miwili, pikipiki moja ilionekana kutoweka kabisa, angalau kwenye rekodi rasmi za kampuni ya kukopesha.Iliripotiwa kuibwa ma . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • jana

Ukraine tayari kusambaza tena mafuta ya Urusi kuelekea Ulaya

Ukraine imesema kwa sasa iko tayari kuanza tena usambazaji wa mafuta ya Urusi kuelekea Ulaya baada ya kukamilisha ukarabati wa bomba la mafu . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • jana

Mkutano kuhusu Mlango-Bahari wa Hormuz kufanyika London

Wataalam wa kijeshi kutoka nchi zaidi ya 30 watakutana Jumatano mjini London katika mkutano wa siku mbili utakaojadili namna ya kuhakikisha . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • jana

Watu sita, akiwemo jenerali mstaafu, washtakiwa kwa mpango jaribio la mapinduzi

Nchini Nigeria, waendesha mashtaka wamewashtaki wanaume sita, akiwemo meja jenerali mstaafu, siku ya Jumanne, Aprili 21, kwa kujaribu kupang . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • jana

Idadi ya watu waliohukumiwa kunyongwa nchini DRC yaongezeka

Idadi ya watu waliohukumiwa kunyongwa nchini DRC imeongezeka tangu kuondolewa kwa marufiku ya hukumu ya aina hiyo mwaka wa 2024 kulingana na . . .

Kilimo
  • Na Asha Business
  • jana

FAHAMU KUHUSU UWELE

Unga wa uwele ni maarufu katika baadhi ya nchi za Afrika kwa kutengeneza bidhaa zilizookwa. Mara nyingi unatengenezwa katika mikate na keki . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Uhaba wa maji Madiwani Ilemela waibana Mwauwasa

Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza wameibana Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mkoani Mwanza (MWAUWASA), w . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Tume ya Oktoba 29, kukabidhi ripoti Aprili 23

Tume ya Rais ya Uchunguzi wa Matukio ya Vurugu kabla na Baada ya Uchaguzi, imesema Alhamisi ya Aprili 23, mwaka huu, itakabidhi ripoti yake . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Ni muda wa Brazil kutwaa Kombe la Dunia 2026, CAF

MSHINDI wa Kombe la Dunia mara mbili na Brazil, Cafu amesema anaamini mashindano ya mwaka huu ni wakati muafaka kwa mabingwa hao mara tano k . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Gen Z waitisha maandamano kupinga bei ya mafuta Kenya

NCHINI Kenya hivi leo kumekuwepo na maandamano ya kupinga kupanda kwa bei ya mafuta ambapo kwa sasa lita ya petroli inauzwa kwa Sh. 197.60 z . . .

Mitindo | Urembo
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Rangi Gallery Yaitangaza Tanzania Kimataifa Kupitia Sanaa

Jumba la sanaa la Rangi Gallery limeweka historia kwa kuwa la kwanza kutoka Tanzania kushiriki katika maonesho ya kimataifa ya Art OnO 2026 . . .

Kurasa 1 ya 237

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category