logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Mastaa
  • Na Jembe Digital
  • 14 masaa yaliopita

Niffer Athibitisha Kuachana na OG, Aomba Kuheshimiwa

Mfanyabiashara maarufu anayefahamika kwa jina la Niffer amethibitisha rasmi kuvunjika kwa mahusiano yake na aliyekuwa mpenzi wake OG Phone a . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • 14 masaa yaliopita

Rais wa Senegal Atangaza Mapumziko Baada ya Kushinda AFCON

Rais wa Senegal Bassirou Diomaye Faye ametangaza mapumziko ya kitaifa kufuatia ushindi wa kihistoria wa timu ya taifa ya soka Teranga Lions . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 14 masaa yaliopita

Iran Yakiri Maelfu Kuuawa Katika Maandamano, Takwimu Zazua Mabishano

Msemaji wa idara ya mahakama ya Iran amesema hadi sasa hakuna adhabu yoyote ya kifo iliyotolewa inayohusiana na maandamano ya hivi karibuni . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 14 masaa yaliopita

EU Yaitisha Mkutano wa Dharura Baada ya Trump Kutishia Ushuru Mpya

Mabalozi wa Umoja wa Ulaya wanazidisha juhudi za kumzuia Rais wa Marekani Donald Trump  asiwawekee washirika wa Ulaya ushuru mkubwa, wa . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 15 masaa yaliopita

Rais wa Guatemala atangaza hali ya hatari

Rais Bernardo Arevalo wa Guatemala ametangaza hali ya hatari ili kukabiliana na magenge yaliyouwa maafisa wanane wa polisiAmbapo Arevalo ali . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 15 masaa yaliopita

Viongozi wa Kimataifa Waalikwa Kusimamia Awamu ya Pili ya Makubaliano ya Kusitisha Vita Gaza

Waziri wa Mambo ya Nje wa Hungary Peter Szijjarto amesema kuwa Waziri Mkuu Viktor Orban amekubali mwaliko wa kujiunga na bodi ya kimataifa i . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • 17 masaa yaliopita

Ruto achukua washauri wa kiuchumi wa Raila

RAIS William Ruto amewachukua baadhi ya wapangaji mikakati waliokuwa wakihudumu katika ODM chini ya aliyekuwa waziri mkuu marehemu Raila Odi . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 17 masaa yaliopita

Watu wasiopungua 21 wafariki baada ya treni mbili kugongana

Watu kadhaa wamefariki na wengine kujeruhiwa siku ya Jumapili, Januari 18, kusini mwa Uhispania, msemaji wa kikosi jamii, Guardia Civil, ame . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 17 masaa yaliopita

Kihongosi aagiza Mganga Mfawidhi achukuliwe hatua

Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi, amemtaka Mganga Mfawidhi wa Halmashauri ya Itigi k . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

WFP: Uhaba wa chakula wafikia kiwango cha hatari

Umoja wa Mataifa umeonya kwamba takribani watu milioni 55 katika Afrika Magharibi na Kati wanakabiliwa na uhaba mkali wa chakula mwaka huu.S . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Watu saba wauawa katika machafuko Uganda

Takribani watu saba wameuwawa katika machafuko usiku wa kuamkia leo katikati mwa Uganda ikiwa ni siku moja baada ya uchaguzi wa kitaifa amba . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Rais wa Zamani wa Korea Kusini Yoon Suk Yeol Apatikana na Hatia

Rais wa zamani wa Korea Kusini, Yoon Suk Yeol, ambaye aliondolewa madarakani, ametiwa hatiani kwa matumizi mabaya ya madaraka na kughushi ny . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Marekani yatishia kuchukua hatua za kijeshi dhidi ya Iran

Marekani kwa mara nyingine imeitishia serikali ya Iran juu ya uwezekano wa kuchukua hatua za kijeshi kutokana na ukandamizaji wakati wa maan . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Yoweri Museveni anaongoza kwa 61.7%

Matokeo ya awali ya uchaguzi wa urais yanaonyesha Yoweri Museveni akiongoza kwa kura 14,232 (61.7%); Bobi Wine anashika nafasi ya pili kwa k . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Bobi Wine Awekewa Kizuizi Nyumbani Wakati Kura Zikihesabiwa

Kiongozi wa upinzani nchini Uganda Bobi Wine anaripotiwa kuwekwa katika kizuizi cha nyumbani huku mchakato wa kuhesabu kura za uchaguzi mkuu . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Spika Zungu Akutana na Spika wa India New Delhi

Spika wa Bunge la India Mheshimiwa Shri Om Birla amekutana na kufanya mazungumzo na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshi . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Mkuu wa Mipango Mbogwe Afikishwa Baraza la Maadili

Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma imemfikisha mbele ya Baraza la Maadili Mkuu wa Idara ya Mipango wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbog . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Ulaya Yatuma Vikosi Greenland Kusaidia Denmark

Vikosi vya kijeshi kutoka mataifa kadhaa ya Ulaya ikiwemo Ujerumani na Ufaransa vinaendelea kuwasili katika kisiwa kinachojitawala cha Green . . .

Afrika Mashariki
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Angola yajadili suala la usalama na viongozi wa kidini nchini DRC

Rais wa Angola Joao Lourenco ambaye pia ni mwenyekiti wa Umoja wa Afrika (AU) alikutana na viongozi wa kidini kutoka nchini Jamhuri ya Kidem . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Upigaji Kura Uganda Wachelewa Kuanza, Mashine za Uthibitishaji Zatajwa Kuwa Kikwazo

Shughuli ya upigaji kura nchini Uganda imechelewa kuanza katika maeneo mengi ya nchi hali iliyozua wasiwasi miongoni mwa wapiga kura waliowa . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Zelensky kutangaza hali ya dharura katika sekta ya nishati

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema atatangaza hali ya dharura katika sekta ya nishati kote nchini humo.Zelensky amesema hatua hiyo i . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Afcon: Senegal kuchuana na Morocco kwenye mechi ya fainali

Senegal na wenyeji Morocco ndio wamefuzu hatua ya fainali kwenye mashindano ya Kombe la Afrika AFCON baada ya kushinda mechi zao za nusu fai . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Denmark yashindwa kuafikiana na Marekani kuhusu Greenland

Maafisa wa Denmark na Greeland wamesema wameshindwa kuafikiana na kubadili mawazo ya utawala wa Rais Donald Trump kuhusu azma ya Marekani ku . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Trump: Mipango ya waandamanaji kunyongwa Iran imesitishwa

Idadi ya vifo kufuatia maandamano yanayoendelea kuitikisa Iran imeongezeka na kufikia watu 3,428 hayo ikiwa ni kulingana na shirika la haki . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Raia wa Uganda wanapiga kura leo kumchagua Rais

Raia zaidi ya milioni 21 wa Uganda wanapiga kura Alhamisi  ya leo katika uchaguzi wa rais unaotarajiwa kuendeleza utawala wa muda mrefu . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Raia wa Kenya Akamatwa Arusha kwa Wizi wa Tsh Milioni 91 Ndani ya Benki

Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limefanikiwa kumkamata mtu mmoja aitwaye Denis Ogesa (28) mkazi wa Nairobi nchini Kenya, kwa tuhuma za kuvunj . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Maafa ya maandamano yakiongezeka Iran

MBUNGE wa Iran ameonya kuwa serikali itakabiliwa na maandamano makubwa zaidi iwapo haitashughulikia malalamishi ya wananchi huku maandamano . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Uchunguzi waonyesha aliyefariki akikwea Mlima Kenya alikosa hewa

UCHUNGUZI wa maiti umebaini kuwa mwanamume aliyefariki akikwema Mlima Kenya, alifariki kutokana na kukosa hewa ya oksijeni, hatua iliyosaidi . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Mtuhumiwa adaiwa kujinyonga akiwa mahabusu, Polisi kufanya uchunguzi

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linafanya uchunguzi wa tukio la kujinyonga kwa mtuhumiwa aitwaye Michael Lambau (18), mkazi wa mtaa wa K . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Waziri wa zamani wa Burkina Faso auawa

Mamlaka za mahakama zimefungua uchunguzi na kutoa wito kwa mashahidi wowote kujitokeza kutoa taarifa kuhusu waziri wa zamani wa Burkina Faso . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Marekani kufuta ulinzi wa kufukuzwa kwa wahamiaji Wasomali

Mareani imesema itafuta hadhi ya ulinzi wa muda kwa baadhi ya wahamiaji kutoka Somalia ambapo hatua hii ni katika kuendeleza juhudi za rais . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

EU yajiandaa kuweka vikwazo vipya dhidi ya Iran

Rais wa Halmashauri Kuu ya Umoja wa Ulaya, Ursula von der Leyen, amesema Umoja huo unajiandaa kuweka vikwazo vipya dhidi ya Iran.Rais wa Hal . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Iran: Marekani yatafuta 'kisingizio cha kuingilia kijeshi'

Iran imedai Marekani inatafuta sababu ya kuingilia kati kijeshi kwa kutumia maandamano ya machafuko ya Wairan wanaopinga hali ngumu ya maish . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Zelensky akiri hali ni ngumu nchini Ukraine

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema baada ya karibu miaka minne ya vita, hali ya ugumu wa maisha  nchini mwake inaendelea kuwa m . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Viongozi wa Denmark na Greenland waungana kumpinga Trump

Denmark na Greenland zimeungana kupinga wito wa rais wa Marekani Donald Trump kutaka kukitwaa kisiwa cha Greenland hivyo viongozi wa nchi hi . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Wafungwa zaidi ya 400 wameachiwa Venezuela

Spika wa bunge la Venezuela Jorge Rodriguez amesema zaidi ya watu 400 wameachiliwa kutoka gerezani kama sehemu ya mchakato unaoendelea wa ku . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Man United Yakubaliana na Michael Carrick Kuwa Kocha Mkuu wa Muda

Klabu ya Manchester United imefikia makubaliano ya mdomo na Michael Carrick kwa ajili ya kuchukua nafasi ya Kocha Mkuu wa muda hadi mwisho w . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Marufuku kwa kaunti na mashirika ya umma kuajiri mawakili wa kibinafsi

MAHAKAMA Kuu imepiga marufuku kwa muda mashirika ya umma na serikali za kaunti kuajiri mawakili binafsi pale ambapo kuna mawakili wa serikal . . .

Mastaa
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Juma Jux Ashinda Tuzo ya Msanii Bora wa Kiume wa Afrika Mashariki kwenye AFRIMA

msanii maarufu wa RnB JUMA JUX kutoka Tanzania, anayejulikana kwa midundo yake ya kipekee na mashairi yenye hisia, amejivunia ushindi w . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Brighton Wamaliza Mkataba na Mshambuliaji wa Tanzania Aisha Masaka

Klabu ya Brighton & Hove Albion inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake nchini England haitaendelea na mshambuliaji wa Kitanzania, Aisha Masak . . .

Kurasa 1 ya 217

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category