logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
SOKA
  • Na Asha Business
  • 3 masaa yaliopita

Mchezo wa Ngao ya Jamii 2026 Kupigwa Uwanja wa Amaan Zanzibar

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kuwa mchezo wa Ngao ya Jamii kwa msimu wa 2026/27 utachezwa katika Uwanja wa Amaan, . . .

Mastaa
  • Na Asha Business
  • 3 masaa yaliopita

Davido Ajinunulia Jumba la Kifahari Georgia

Staa wa muziki wa Afropop kutoka Nigeria, Davido, amewaonesha mashabiki wake jumba jipya alilonunua hivi karibuni katika jimbo la Georgia, M . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 3 masaa yaliopita

Kafulila "PPP Ni Muhimu kwa Mustakabali wa Uchumi"

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP-CENTRE), David Kafulila, amesema kuwa mfumo wa ubia kati y . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 3 masaa yaliopita

MD TWANGE AWATAKA WANASHERIA WA TANESCO KUENDELEA KUSIMAMIA MAADILI

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Bw. Lazaro Twange, amewataka wanasheria wa shirika kuendelea kusimamia maadili y . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 3 masaa yaliopita

Maelfu ya wahamiaji waingia katika himaya ya Uhispania

Maelfu ya wahamiaji usiku wa kuamkia leo hii walivuka kutoka Morocco kuingia katika eneo la Ceuta linalodhibitiwa na Uhispania katika Afrika . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 3 masaa yaliopita

Rebeca Grynspan wa Costa Rica ameongoza kumrithi Guterres

Rebeca Grynspan wa Costa Rica ameongoza duru ya kwanza ya kura isiyo rasmi ya kumtafuta mrithi wa António Guterres kama Katibu Mkuu wa Umoj . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • jana

Urusi yafanya mashambulio makubwa nchini Ukraine

Takriban watu wanane wauwawa na wengi kujeruhiwa katika mashambulizi yaliyofanyika dhidi ya miji mbali mbali ya Ukraine huku Rais Zelensky a . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • jana

Kizza Besigye yuko hoi hospitali baada ya kuanguka kortini

Kiongozi mkongwe wa upinzani nchini Uganda anayezuiliwa jela Kizza Besigye ambaye hapo jana alianguka akiwa mahakamani, amelazwa hospitali a . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • jana

Mashirika ya kiraia yanatiwa wasiwasi na kuongezeka kwa vurugu Bamenda

Nchini Cameroon, vifo vitatu katika siku chache tu huko Bamenda na vitongoji vyake vinatumika kama ukumbusho dhahiri kwamba ukosefu wa usala . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • jana

RC Mtanda" Boti za uokozi ni nguzo muhimu ya kuokoa maisha Ziwa Victoria"

Ajali za majini zimeendelea kuwa miongoni mwa changamoto zinazohatarisha maisha ya maelfu ya wananchi wanaotegemea Ziwa Victoria kwa shughul . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • jana

Kunenge" Maofisa maendeleo wafuate dira ya taifa 2050 kuacha tabasamu kwa wananchi"

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ametoa rai kwa maofisa maendeleo ya Jamii kuhakikisha wanazingatia Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • jana

Infantino Atingisha Soka la Dunia

Mvutano mkubwa umeibuka ndani ya Shirikisho la Soka Duniani baada ya taarifa kudai kuwa Rais wa FIFA, Gianni Infantino, anapanga kuuza sehem . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Tshisekedi huenda akawania awamu ya tatu ya urais

Mahakama ya Katiba ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imeidhinisha jana Jumanne sheria inayoruhusu kufanyika kwa kura ya maoni.Wakosoaji wa . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

MIAKA 30 JELA KWA KUSAFIRISHA KILO 75.15 ZA MIRUNGI

Mahakama ya Wilaya ya Mkinga mkoani Tanga imemhukumu Isa Musini Rashidi maarufu kama Hamidu kifungo cha miaka 30 jela baada ya kumtia hatian . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Liverpool Wafikia Makubaliano ya Awali na Bradley Barcola

Liverpool wanadaiwa kufikia makubaliano ya awali (agreement in principle) na winga wa Bradley Barcola kuhusu uhamisho wa majira haya ya kian . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Watu kadhaa wauawa nchini Iraq katika mashambulizi ya anga kati ya Marekani na Saudi Arabia

Katika Mashariki ya Kati, mashambulizi ya anga yameanza tena Jumatano, Julai 29, baada ya utulivu wa siku kadhaa. Jeshi la Marekani limetang . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Shirika la habari la Nation larejelea shughuli zake nchini Uganda

Shirika la habari la Nation limetangaza kurejelea shughuli zake nchini Uganda, mwezi mmoja baada ya mkuu wa majeshi nchini humo, Muhoozi Kai . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Senegal kuisaidia Mali katika vita dhidi ya makundi ya wanajihadi wa kiislamu

Rais wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye, amesema nchi yake inaiunga mkono Mali kwa asilimia 100, akisema yuko tayari kuisaidia nchi hiyo ya J . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Dar, Lindi na Mtwara na Hazitaathiriwa ukamilishaji mradi wa Chalinze – Dodoma

Mikoa ya Dar es Salaam, Pwani, Lindi na Mtwara haitakumbwa na changamoto ya kukatika kwa umeme wakati wa utekelezaji wa hatua za mwisho za M . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Wataalam wa ndani wafanikisha upandikizaji mashine za usikivu

Tanzania imeandika historia mpya katika sekta ya afya baada ya wataalamu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kufanikisha kwa mara ya kwanz . . .

NETBALL
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

LeBron James Atikisa NBA, Philadelphia 76ers Wathibitisha Kusajili

Philadelphia 76ers wamethibitisha kumsajili nyota wa NBA, LeBron James, ambaye amesema huu utakuwa mkataba wake wa mwisho katika ligi hiyo.J . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Kanali Bienvenu Lamah aachiliwa huru mwishoni mwa kesi ya pili

Nchini Guinea, uamuzi mpya umetangazwa Jumatatu, Julai 27, katika kesi ya mauaji ya Septemba 28, 2009. Mahakama ya Jinai ya Dixinn ilimwachi . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

UNAIDS "Dunia iko hatarini kwa mlipuko mwengine wa UKIMWI"

Umoja wa Mataifa unasema kuna dunia iko kwenye hatari ya kuzuka tena kwa mlipuko wa virusi vya ukimwi.Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshug . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Haiti hatimaye kuandaa uchaguzi baada ya mwongo mmoja

Baraza la uchaguzi la Haiti limetangaza kuwa nchi hiyo itafanya uchaguzi wake wa kwanza katika kipindi cha mwongo mmoja, mnamo Disemba 13.Uc . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

WAZIRI NDEJEMBI AWASILI SHINYANGA KWA ZIARA YA KIKAZI

Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi (Mb.), amewasili mkoani Shinyanga kwa ziara ya kikazi na kupokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Mshukiwa wa shambulizi la Berlin apigwa risasi na kuuwawa

Mshukiwa aliyehusika katika mauaji ya mtu mmoja na wengine 29 kujeruhiwa mjini Berlin ameuwawa.Mshukiwa huyo ameuwawa kwa kupigwa risasi na . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Maambukizi ya Ebola yapindukia 3,000 Kongo

Wahudumu wa afya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo wamerekodi zaidi ya maambukizi 3,000 ya ugonjwa wa Ebola, vikiwemo zaidi ya vifo 1,354.Haya . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Benki ya maendeleo ya Afrika yatoa tahadhari dhidi ya mvua za El Nino

Benki ya maendeleo ya Afrika (AfDB) imeonya kuwa mvua za El Nino zinazotarajiwa kuanza mwezi Oktoba mwaka huu, huenda zikasababisha hasara y . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Olara Otunnu, raia wa Uganda kuwania nafasi ya katibu Mkuu wa UN

Kinyang'anyiro cha kumsaka katibu mkuu ajaye wa Umoja wa Mataifa, sasa kimechukua sura mpya baada ya mgombea wa saba kujitokeza mwanadiploma . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Moto wa nyika wazidi kusambaa Ufaransa na Uhispania

Nchini Ufaransa, moto umeharibu zaidi ya nyumba 100 katika mji wa Le Porge ulioko karibu na eneo la mapumziko la Cap Ferret, nyumba nyingi z . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Watu 35 Wafariki, 30 Wajeruhiwa Ajali Mbaya ya Mabasi Syria

Watu 35 wamefariki dunia na wengine 30 kujeruhiwa kufuatia ajali mbaya ya barabarani iliyohusisha mabasi mawili kugongana kwenye barabara ku . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Iran na Oman zapiga hatua kuhusu Mlango Bahari wa Hormuz

Iran na Oman zapiga hatua katika mazungumzo juu ya kuusimamia Mlango Bahari wa Hormuz.Iran imesema imepiga hatua katika mazungumzo na Oman j . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Vikosi vya Israel vyaingia ndani ya Syria

Syria imeripoti kwamba Israeimevamia na kufanya mashambulizi mapya ya makombora kusini mwa nchi hiyo.Vyombo vya habari vya serikali ya Syria . . .

Uchumi | Biashara Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

TNCM YAIDHINISHA OMBI LA TANZANIA LA UFADHILI WA MZUNGUKO WA NANE (GC8) WA MFUKO WA DUNIA KWA KIPINDI CHA 2027–2029

Kamati ya Kitaifa ya Kuratibu na Kusimamia Fedha za Mfuko wa Dunia nchini Tanzania (Tanzania National Coordinating Mechanism – TNCM), imei . . .

Uchumi biashara
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Wafanyabiashara Soko la Mawenzi Morogoro Wagoma

Wafanyabiashara wa Soko la Mawenzi mkoani Morogoro wamegoma kufungua biashara zao wakishinikiza Serikali kupunguza kodi ya pango la vizimba, . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Ajali Moro Yaua Watu Wawili

Mtu mmoja amefariki dunia na wengine wawili kujeruhiwa katika ajali ya barabarani iliyotokea usiku wa kuamkia Julai 24, 2026, katika eneo la . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Uingereza yafuta mazozi ya kila mwaka ya wanajeshi wake Kenya

Uingereza imefuta mazoezi ya kila mwaka ya wanajeshi wake nchini Kenya, baada ya kutopata leseni kutoka kwa utawala wa Nairobi.Wizara ya Uli . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Gavana wa zamani apatikana na hatia ya mauaji

Mahakama nchini Kenya imemkuta na hatia gavana wa zamani wa kaunti ya Migori, Okoth Obado, katika kesi ya mauaji ya mwanafunzi wa chuo kikuu . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Marekani kuongeza ushuru mpya kwa washirika wake wa kibiashara

Marekani imetangaza kuwa itaongeza ushuru mpya wa forodha wa asilimia 60 kwa washirika wake wa kibiashara, kwa madai kuwa yameshindwa kumali . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Nigeria kuajiri wanajeshi wapya 28,000

Rais wa Nigeria Bola Tinubu ameidhinisha kuajiriwa kwa wanajeshi wapya 28,000 ili kuimarisha ulinzi wa taifa hilo la Afrika Magharibi linalo . . .

Kurasa 1 ya 252

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category