Afrika Kusini imetangaza Jumamosi kuwa itawaondoa wanajeshi wake ambao ni sehemu ya Ujumbe wa Kulinda Amani wa Umoja wa Mataifa ulio nchini . . .
Raia nchini Japan, wamepiga kura Jumapili katika uchaguzi unaotazamiwa kukipa ushindi wa kihistoria chama cha Waziri Mkuu Sanae Takaichi.Kul . . .
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mwigulu Nchemba, amewataka mawaziri, wakuu wa mikoa na wilaya nchini kutenga muda wa kus . . .
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mussa Zungu, amesema mipango ya maendeleo katika sekta ya utalii haipaswi kuchangany . . .
Ukraine na Urusi zimefanya ubadilishanaji wa wafungwa wa vita na raia baada ya siku mbili za mazungumzo ya amani yanayosimamiwa na Marekani . . .
Asilimia moja ya wanaume hupata saratani ya matiti kwa mwaka, hivyo wametakiwa kuwahi hospitali pindi wanapotambua mabadiliko yoyote katika . . .
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limetangaza kuwa kuanzia leo Februari 06 mwaka huu waongoza sherehe na matukio (MCs) pamoja na Manju Muzik . . .
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawaarifu wateja wake pamoja na wakazi wa Mkoa wa Mwanza kuwa kutakuwa na zoezi la maboresho ya miundo . . .
Rais wa Jamhuri ya Uganda, Yoweri Kaguta Museveni, anatarajiwa kuwasili nchini Tanzania kesho Februari 7 mwaka huu kwa ziara ya kikazi . . .
TAASISI ya Madereva wa Magari ya Abiria na Mizigo (TIMD) mkoani Mwanza imesema imepokea na kuanza kutekeleza agizo la Waziri wa Uchukuzi, Pr . . .
SERIKALI imewahimiza wawekezaji wa ndani na nje ya nchi kuwekeza katika viwanda vya uchenjuaji na uchakataji wa madini ya dhahabu mkoani Gei . . .
Ofisi ya Kamishna Mkuu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa imejibu kuhusu kufutwa kwa vyama vya siasa nchini Burkina Faso, uamuzi uliofa . . .
Wananchi wa mtaa wa Nyahingi, kata ya Mkolani, wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza, wameiomba Serikali kukamilisha ujenzi wa Shule ya Msingi N . . .
Serikali kupitia Baraza la Ushindani (FCT) imeendesha semina kwa wadau wa Mkoa wa Mwanza hatua inayolenga kuimarisha ufanisi wa utekelezaji . . .
Mtaa wa Githurai 45 ulijaa kicheko na mshangao baada ya kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la ‘Kevo’ kunaswa akitekeleza wizi wa aina y . . .
Nyumba zaidi ya 3,000 zilizopo kandokando ya Mto Msimbazi zinatarajia kubomolewa ili kupunguza athari za mafuriko katika eneo la Jangwani na . . .
KLABU ya Simba SC ipo hatua za mwisho kukamilisha makubaliano ya kumuuza mshambuliaji wake, Kibu Denis, kwenda klabu ya Al Nasr ya Libya.Cha . . .
MAHAKAMA nchini Marekani imemhukumu Ryan Routh kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kujaribu kumuua Rais wa Marekani, Don . . .
Serikali ya Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga imeendelea kulitambua zao la pamba kama zao la kimkakati kutokana na mchango wake mkubwa kati . . .
Serikali imewaonya wananchi wanaotumia mitandao ya kijamii vibaya kwa kudhalilisha viongozi au kusambaza taarifa za uchochezi na ikisisitiza . . .
Kampuni ya Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGML) imekamilisha ujenzi wa nyumba mbili pacha za askari Polisi katika Mtaa wa Mgusu, Kata ya Mgusu, . . .
Meneja wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads) Mkoa wa Mwanza, Eng. Ambrose Paschal, amethibitisha kufunguliwa kwa kipande cha barabara ya . . .
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Camillus Wambura, amewataka Watanzania wote kushiriki kikamilifu katika udhibiti na usimamizi wa silaha, . . .
Serikali imesisitiza kuwa magereza nchini si sehemu ya mateso, bali ni vituo vya marekebisho na maendeleo ya wafungwa kupitia elimu na mafun . . .
Watu 15 wamefariki dunia kufuatia ajali ya kugongana kati ya mashua ya walinzi wa pwani ya Ugiriki na mashua iliyokuwa imewabeba wahamiaji, . . .
Nyota wa Ureno Cristiano Ronaldo ameripotiwa kuanza mgomo wa kuichezea Al Nassr akionya kuwa endapo malalamiko yake hayatashughulikiwa, yuko . . .
Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir Mayardit amejikuta katika sintofahamu baada ya kumteua kimakosa mtu aliyeshafariki dunia kuwa mjumbe wa Kama . . .
Kupitia taarifa iliyotolewa kwenye tovuti yao rasmi, Ubalozi wa Marekani umekufunzi kufunga ofisi zao katika nchi mbalimbali ikiwemo Burundi . . .
Marekani imerejesha fedha za mauzo ya mwanzo ya mafuta ya Venezuela, ikiwa ni sehemu ya makubaliano baina ya Caracas na Washington yaliyofik . . .
Saif al-Islam Gaddafi, mtotoa mdogo wa Muammar al-Gaddafi na mgombea katika uchaguzi wa rais wa 2021, ambao hatimaye haukufanyika, ameuawa n . . .
1 Huimarisha afya ya mmeng’enyo wa chakulaUwele una nyuzinyuzi (fiber) nyingi, husaidia choo kuwa laini na kuzuia tatizo la kufunga choo.2 . . .
Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa (kulia) akioneshwa picha zilizopo ukutani ( Wall Museum) zilizokuwa zikimuonesha historia ya Mgo . . .
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameanza rasmi mazungumzo na viongozi pamoja na wadau wa kimataifa kw . . .
Refa wa kimataifa mwenye historia ya “bahati” kwa klabu za Kaskazini mwa Afrika zinapocheza nyumbani, Tom Abongile kutoka Afrika Kusini, . . .
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limewakamata watu 19, wakiwemo madereva na makondakta wa daladala, kwa tuhuma za kujihusisha na vitendo vya w . . .
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe Said Mtanda, ameagiza kufanyika kwa uchunguzi wa kina baada ya Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Nenge Jonathan P . . .
waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba amesisitiza umuhimu wa kuharakisha utekelezaji wa mifumo ya zana endelev . . .
Siku moja baada ya mfumo uliowekwa na Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Felix Tchisekedi kwa ajili ya mazungumzo ya kitaifa ya . . .
Mwimbaji maarufu kutoka Nigeria, Davido, ameendelea kukumbana na bahati mbaya katika Tuzo za Grammy baada ya kushindwa kuondoka na tuzo yoyo . . .
Tajiri wa Virutubisho MuhimuMtama umejaa virutubisho muhimu kama vile magnesiamu, fosforasi, manganese, na chuma. Magnesiamu ni muhimu kwa a . . .