Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amezielekeza Wilaya . . .
Taarifa za mashambulizi mapya ya Wahouthi katika maeneo ya Saudi Arabia, zilizotolewa leo asubuhi, zimepandisha bei ya mafuta katika masoko . . .
WATU wanaoshukiwa kutumia TikTok kuwavuta vijana katika mitego ya uhalifu wamekamatwa na polisi jijini Nairobi, huku uchunguzi ukionyesha hu . . .
Chombo cha Waamuzi wa kulipwa nchini Uingereza (PGMOL) kimewasiliana rasmi na klabu ya Manchester United na kuomba radhi baada ya kukiri kuw . . .
Staa maarufu wa muziki wa Pop, Justin Bieber, na mke wake Hailey Bieber, Septemba 13, 2026, wameadhimisha miaka minane tangu walipofun . . .
Oman imetangaza kuahirishwa kwa mazungumzo yaliyopangwa kufanyika kuanzia siku ya Jumatatu, kati ya Iran na nchi za Ghuba, kujadili mzozo wa . . .
Rais wa Marekani Donald Trump, Jumapili (Septemba 13) alitoa wito kwa mwenzake wa Ukraine Volodymyr Zelenskiy kusitisha mashambulio dhidi ya . . .
Bodi ya Ushauri ya Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imefanya ziara ya kukagua ujenzi wa miundombinu ya barabara za kuingili . . .
WATUMIAJI wa dawa za kulewamo hatarini zaidi ya maradhi ya kinywa, huku uharibifu wa meno ukiwa Kwa kiwango kikubwa, ukilinganisha na watu w . . .
SERIKALI imeanza kutekeleza mfumo mpya wa kitaifa wa kutambua na kufuatilia mifugo unaolenga kudhibiti wizi na kuboresha biashara ya bidhaa . . .
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kupitia Ofisi ya Baraza la Mapinduzi imetangaza majina ya Wajumbe wa Kamati ya Pamoja ya Majadiliano kati ya . . .
Manchester United na Manchester City wanatarajiwa kukutana katika mchezo wa kusisimua wa Premier League leo Jumapili, Septemba 13, 2026, kwe . . .
Rais Donald Trump amesema angependa kuona Ireland Kaskazini ikiungana na Jamhuri ya Ireland, kauli iliyoibua mjadala kuhusu suala nyeti la k . . .
Mashabiki wa muziki wa Afrika nchini Marekani wanatarajiwa kupata burudani ya aina yake kupitia AFRIMMA Musicfest, itakayofanyika Septemba 1 . . .
Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma imemwachia huru Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Melkisedek Kitunzi Kaijage, baada ya upande wa Jam . . .
Mashabiki wa muziki wa Afrika nchini Marekani wanatarajiwa kupata burudani ya aina yake kupitia AFRIMMA Musicfest, itakayofanyika Septemba 1 . . .
Rais Donald Trump amesema hajutii kuanzisha vita nchini Iran licha ya kwamba vita hivyo vitakuwa na athari kwa uchaguzi wa wabunge unaotaraj . . .
Baadhi ya matunda kama zabibu (grapefruit), nanasi, parachichi na kiwi yanaweza kusaidia kupunguza mafuta ya tumbo kutokana na kuwa na nyuzi . . .
Zaidi ya wanafunzi milioni 171 duniani kote waliona shule zao zikivurugwa na matukio yanayohusiana na hali ya hewa mwaka wa 2025, kulingana . . .
Urusi inapanua zaidi ushawishi wake barani Afrika. Shirika linalohusika na vituo vya kitamaduni vya Urusi duniani kote limetangaza kusaini m . . .
MAMIA ya watu, vijana kwa wazee waliojihami kwa koleo, mawakala waliobeba kitita cha hela na madereva wa malori, wamiliki mashine na wafayab . . .
Nigeria imemteua kamanda mpya kuongoza operesheni za kijeshi dhidi ya wanajihadi wa Boko Haram na Islamic State kaskazini mashariki mwa nchi . . .
Ufalme wa Tooro nchini Uganda umemteua mfalme mpya kujaza nafasi hiyo kufuatia kifo cha mtangulizi wake Oyo Nyimba, aliyefariki akiwa na umr . . .
Msanii maarufu wa muziki nchini Marekani, Taylor Swift, ameonekana akiwa na mume wake, Travis Kelce, katika ‘date night’ jijini New York . . .
Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema anaamini vita kati ya Marekani na Iran vinaweza kumalizika muda mfupi baada ya uchaguzi wa katikati . . .
Mbegu za maboga ni moja ya vyakula vya asili vinavyopatikana kwa urahisi, lakini mara nyingi hazipewi thamani inayostahili. Licha ya ukubwa . . .
Beki wa kati ndani ya kikosi cha Yanga SC, Dickson Job na mshambuliaji Clement Mzize wanatarajiwa kurejea uwanjani hivi karibuni baada ya ku . . .
Real Madrid nayo ilianza kampeni kwa ushindi wa 2–1 dhidi ya Inter Milan, wakati Borussia Dortmund ikiibuka na ushindi wa 3–1 dhidi ya V . . .
Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, inaendelea leo, Septemba 9, 2026, katika Mahakama Kuu ya Tanzania, huku upan . . .
Nchini Kenya, maagizo mapya ya serikali yanayolenga kuwafukuza wafanyabiashara wa kigeni wasio na vibali yanaendelea kuzua utata. Juman . . .
Watalaam wa haki za binadamu kutoka Umoja wa Mataifa wameitaka mamlaka ya Sudan Kusini kuhakikisha inaweka mazingira salama kwa wanasiasa na . . .
VIONGOZI na wakazi wa Mombasa wameelezea wasiwasi kuhusu visa vya vijana kupotea, huku baadhi yao baadaye wakipatikana Nairobi na katika viu . . .
Kaimu Waziri wa Ulinzi wa Iran, Majid Ibn e Reza, amesema jeshi la Iran lina uwezo kamili wa kushambulia meli za kivita za Marekani zinazote . . .
Rais wa Shirikisho la Kimataifa la Soka (FIFA), Gianni Infantino, amethibitisha kuwa atagombea tena nafasi ya urais wa FIFA katika uchaguzi . . .
Waasi wa Houthi nchini Yemen wameituhumu Saudi Arabia kwa kutekeleza shambulio la anga kwenye gereza kaskazini mwa Mji wa al-Hazm, shambulio . . .
Wanajeshi wa Ukraine na Urusi wameendelea kukabiliana licha ya juhudi za upatanishi zinazoongozwa na Marekani.Wizara ya ulinzi ya Urusi Juma . . .
Makamu wa Rais, Deogratius Ndejembi, ametangaza kifo cha Hafidh Ameir Hassan, ambaye ni mume wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt . . .
Kenya imejiunga na nchi zingine za Afrika kuunga mkono azimio la Umoja wa Mataifa lililoanzisha Novemba 27 kama Siku ya Kimataifa ya kutokom . . .
Uganda imezuia waombolezaji kutoka DR Congo kuhudhuria mazishi ya mfalme wa Tooro, Oyo Nyimba Kabamba wa nne, ikitaja sababu kuwa mlipuko wa . . .
KIONGOZI wa chama cha Democracy for the Citizens Party (DCP), Rigathi Gachagua, anatarajiwa kuanza rasmi shughuli zake za kisiasa nchini Ame . . .