Kocha raia wa Ureno, Ruben Amorim, anatarajiwa kuwa kocha mkuu mpya wa klabu ya Italia, AC Milan, baada ya kukubaliana kwa masharti ya awali . . .
Jeshi la Nigeria limethibitisha kifo cha Meja Jenerali mstaafu Rabe Abubakar, aliyekuwa msemaji wa jeshi kati ya mwaka 2015 na 2017, baada y . . .
Marius Borg Høiby, mtoto wa miaka 29 wa Malkia wa Norway, Mette-Marit, amehukumiwa kifungo cha miaka minne gerezani baada ya Mahakama ya Wi . . .
Idadi ya wagonjwa waliothibitishwa kuwa na maambukizi ya Ebola nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, imeongezeka na kufikia 782, ikiwemo . . .
Taarifa hiyo iliyochapishwa katika mtandao wa kijamii wa Facebook imeongeza kwamba picha za angani hazikuonyesha chochote kilichosalia cha n . . .
Katika michezo iliyochezwa hapo awali Cape Verde iliwashangaza wapenda kandanda duniani kwa kutoka sare ya bila kufungana dhidi ya mabingwa . . .
SHABIKI wa soka mwenye umri wa miaka 80 amefariki muda mfupi kabla ya kuingia uwanjani kuitazama Mexico ikivaana na Afrika Kusini katika mch . . .
WATAFITI wamebaini kuwa kuanza siku kwa kushiriki mapenzi huimarisha hisia na motisha ya kuchapa kazi.Utafiti huo uliofanyika Amerika na kuc . . .
Mwanamitindo na mfanyabiashara maarufu, Zari Hassan, ametangaza rasmi kuachana na mume wake, Shakib Cham, baada ya kuwa pamoja kwa takribani . . .
Mahakama ya Seoul imemhukumu Rais wa zamani wa Korea Kusini, Yoon Suk-yeol, kifungo cha miaka 30 gerezani kufuatia tuhuma za kuhusika katika . . .
Ukraine imetoa tahadhari kwa raia wake wanaoishi katika maeneo yanadhibitiwa na Urusi na kuhamihiza waondoke kuepuka hatari ya mashambulizi . . .
Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza siku ya Alhamisi, Juni 11, kwamba alifuta mashambulizi yaliyopangwa kwa siku hiyo dhidi ya Ir . . .
Rais wa zamani Joseph Kabila Kabange ametoa ujumbe mzito kwa raia wa Kongo siku ya Alhamisi, Juni 11, 2026, ambapo anapinga vikali mchakato . . .
Katika utafiti uliochapishwa mnamo Juni 11, muungano wa watafiti unabainisha kwamba lengo kuu zaidi la Mkataba wa Tabianchi wa Paris huenda . . .
Naibu Waziri wa Nishati, Salome Makamba, amesema Tanzania imepata mafanikio makubwa katika utekelezaji wa ajenda ya nishati safi ya kupikia, . . .
Tasnia ya sanaa ya maigizo nchini Tanzania imegubikwa na simanzi kufuatia taarifa za kifo cha muigizaji Mkongwe Issa Joseph maarufu Mzee Ony . . .
Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, amekutana na Bw. Massad Boulos, mwanadiplomasia na Mshauri Mwandamiz . . .
Michuano ya soka kuwania kombe la dunia, inaanza leo nchini Marekani, Mexico na CanadaSherehe za ufunguzi wa michuano hii mikubwa itaf . . .
Papa Leo XIV anatarajiwa kusafiri Alhamisi hadi visiwa vya Canary vya Uhispania kukutana na wahamiaji, ambao wengi wao walinusurika kutokana . . .
Idadi ya visa vya Ebola vilivyothibitishwa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imeongezeka hadi 635. Misri imeahidi kuisaidia Kongo kati . . .
Kuwait imeanzisha mabadiliko makubwa katika kanuni zake za kuajiri wafanyakazi wa ndani, ikiidhinisha nchi 10 pekee kama vyanzo vya ajira h . . .
Nchini Kenya, mtu mmoja ameuawa baada ya kupigwa risasi na polisi, wakati wa maandamano yaliyofanyika siku ya Jumanne katika mji wa Nanyuki, . . .
Serikali ya Somalia imemtetea mwamuzi wake maarufu Omar Artan baada ya kunyimwa ruhusa ya kuingia Marekani, jambo lililomfanya kushindwa kuw . . .
Mamlaka za Canada zimesema rubani wa zamani wa shirika la ndege la Air Canada anatuhumiwa kusafirisha maelfu ya abiria kwa miaka 17 bila les . . .
Wakati walinzi wa pwani wa Mauritania wakiripoti ongezeko kubwa la watu wanaojaribu kuvuka hadi Visiwa vya Canary tangu mwisho wa mwezi Mei, . . .
Maandamano ya wanawake yazimwa na maafisa wa usalama Herat. Mashuhuda wakiripoti mauwaji ya mtu mmoja na wengine wamejeruhiwa.Maafisa wa usa . . .
Waandamanaji wanaopinga wahamiaji wamechoma moto majengo na magari kwenye mji mkuu wa Ireland Kaskazini, Belfast siku moja baada ya kutokea . . .
JAMII katika Kaunti ya Lamu zimesisitiza wito wa ushirikiano kuhubiri amani na utangamano kati yao, kufuatia kisa cha mauaji msikitini wiki . . .
Gwiji wa zamani wa mchezo wa Baseball, Yadier Molina amenusurika kupanda ndege binafsi aina ya Gulfstream G200 iliyopata ajali na kulipuka m . . .
Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa wanajeshi wawili wa helikopta ya kijeshi ya Marekani wako salama baada ya kuokolewa katika Mlango . . .
Mwendesha mashtaka mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu, Karim Khan, amesimamishwa kazi kufuatia kesi za kinidhamu zilizoanzishwa baada . . .
Nchini Nigeria, maafisa wa usalama wamekabidhi kwa serikali wanawake na watoto 400 waliokolewa mikononi mwa wanajihadi wa Boko Haram.Watu ha . . .
Mvutano mpya umeibuka kuelekea Kombe la Dunia 2026 baada ya Iran kulalamikia Marekani kufuta mgao wa tiketi kwa mashabiki wake.Shirikisho la . . .
Pakistan na Lebanon wamekubaliana kuimarisha ushirikiano wa kijeshi wakati mazungumzo ya amani ya Mashariki ya Kati yakiendelea kusuasua.Wak . . .
Kiongozi wa Kanisa Katoliki Papa Leo XIV amekutana na manusura sita wa unyanyasaji wa kingono unaohusishwa na makasisi mjini Madrid na kuahi . . .
Polisi wametumia mabomu ya machozi kuwatawanya waandamanaji waliopinga ujenzi wa kituo cha karantini ya Ebola kwa raia wa Marekani.Polisi nc . . .
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,Nurdin Babu amehimiza familia kuandika Wosia ili kupunguza mgogoro kwenye jamii mmoja wa wanandoa hasa mwanaume . . .
Viongozi wa Uingereza, Ujerumani na Ufaransa wanaunga mkono pendekezo la mazungumzo kati ya Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskiy na Rais wa U . . .
Watu 19 wamekufa baada ya tetemeko kubwa la ardhi kutokea kusini mwa Ufilipino. Tetemeko hilo lenye ukubwa wa 7.8 katika kipimo cha Ritcher . . .