logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 6 masaa yaliopita

Serikali yatangaza hatua kuhakikisha mafuta yanapatikana

- Lengo ni kuikinga nchi na athari za Vita vya Iran- EWURA na waagizaji wapewa maelekezo- Waziri Ndejembi aonya walanguziSerikali imewahakik . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 8 masaa yaliopita

Kijana akamatwa kwa shambulio la aibu dhidi ya mtoto

Jeshi la Polisi Mkoa wa Tabora limemkamata Ibrahimu Kitundu (18) Mkazi wa Kata ya Ipuli kwa tuhuma za kufanya shambulio la aibu kwa kuingiz . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 9 masaa yaliopita

Yvette Cooper akemea mashambulizi ya Iran kuelekea Diego Garcia

Waziri wa Mambo ya Ndani wa Uingereza, Yvette Cooper, amekashifu vikali mashambulizi yaliyolenga kambi ya pamoja ya kijeshi ya Marekani na U . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • 10 masaa yaliopita

Elie Mpanzu Asaini Mkataba Mpya wa Miaka Miwili Simba

Kiungo mshambuliaji wa kimataifa kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Elie Mpanzu, ameongeza mkataba mpya wa miaka miwili kuendelea kuit . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • 10 masaa yaliopita

Mvua kubwa nchini Kenya yauwa watu 81

Mvua kubwa iliyosababisha mafuriko nchini Kenya imewaua watu wasiopungua 81 mwezi huu. Hayo ni kwa mujibu wa mamlaka za nchini humo huku mvu . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 10 masaa yaliopita

Waomba huduma ya kipolisi irejee, RPC Mutafungwa awataka kutunza amani

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza ameridhia ombi la wananchi wa Kata za Mabatini na Mbugani, Wilaya ya Nyamagana, la kurejesha huduma za kipo . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 10 masaa yaliopita

Ndejembi ataka EWURA kukagua maghala ya mafuta kuhakikisha hakuna mafuta yanayofichwa

Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi ameitaka Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kuhakikisha kuwa, hakuna mfany . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 10 masaa yaliopita

Serikali yashtakiwa kwa kuendelea kuzingira makazi ya Bobi Wine

Chama cha wanasheria nchini Uganda, ULS, kimeishtaki serikali ya Uganda kwa kile chama hicho kimesema polisi kuendelea kuzingira makazi ya m . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 10 masaa yaliopita

Rubani Na msaidizi wake wafariki katika ajali ya ndege kwenye uwanja wa New York

Rubani wa shirika la ndege la Air Canada na msaidizi wake wamethibitishwa kufa baada ya ndege yao kugonga gari lilokuwa limeegeshwa kwenye u . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 11 masaa yaliopita

Iran yatoa onyo kali endapo itashambuliwa

Jeshi la Ulinzi la Mapinduzi la Iran (IRGC) limetoa onyo kali kwamba litachukua hatua za kulipiza kisasi iwapo sekta ya umeme ya nchi hiyo i . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 11 masaa yaliopita

Mgambo Watatu Mwanza Wakamatwa kwa Tuhuma za Mauaji ya Kijana

Jeshi la polisi mkoa Mwanza tangu tarehe 20/03/2026 usiku liliwakamata na linaendelea kuwahoji watu watatu (3) ambao ni askari mgambo kwa tu . . .

Burudani
  • Na Nattyebrandy
  • 3 siku zilizopita

Gwiji wa Filamu Chuck Norris Afariki Dunia Akiwa na Miaka 86

Gwiji wa filamu za mapigano na sanaa ya karate, Chuck Norris, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 86.Kupitia taarifa ya familia yake, ime . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Kenya Hatarini Kupoteza Haki ya Kuandaa Afcon 2027 Kwa Kushindwa Kulipa Ada

Afisa Mkuu wa Serikali ameonya kuwa Kenya iko katika hatari kubwa ya kupokonywa haki ya kuandaa michuano ya Africa Cup of Nations (AFCON) 20 . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Wafanyabiashara wakoshwa mapendekezo tume ya Rais ya kodi

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania (JWT), Hamis Livembe, amesema wamefurahishwa na ripoti ya Tume ya Rais ya Kutathmini Mabor . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Idadi ya watu waliouawa katika mashambulio Iran yapita 3100

Zaidi ya watu 3,186 wameuawa nchini Iran tangu kuzuka kwa mapigano Februari 28 kulingana na Shirika la kutetea haki za binadamu (Hrana) leny . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Nchimbi awasisitiza viongozi wa dini kuimarisha mafundisho ya maadili kwa vijana

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewasihi Viongozi wa Dini kuendelea kuwekeza katika kufu . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

WIKI YA MAJI, Rais Samia alivyoitoa Wizara ya Maji kutoka kuwa kero na lawama hadi faraja

Maji ni miongoni mwa huduma muhimu ya kijamii. Maji ni huduma ambayo kila mtu anahitaji tena kila siku. Utahitaji maji kwa kuoga, kupikia, k . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

LORI LATEKETEA KWA MOTO MOROGORO, MTU MMOJA ASADIKIKA KUFARIKA

Lori la mizigo lenye namba za usajili T729 BBT pamoja na tela namba T677 BTY limeteketea kwa moto katika eneo la Lugono, karibu na Nyama Cho . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Serikali yatangaza kutowavumilia wanaokwepa kodi

Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Hemed Suleiman Abdullah akiwa katika Iftari iliyoandaliwa na Mamlaka ya Mapato . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Wanafunzi watatu wafariki dunia kwa kupigwa na radi Dar

WANAFUNZI watatu wa Shule ya Msingi Msongola iliyopo eneo la Msongola, wilayani Ilala jijini Dar es Salaam, wamefariki dunia baada ya kupigw . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Dereva Bajaj Aliyemuua Mwanaye Apate Utajiri, Ahukumiwa Kifo

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Iringa imemhukumu kunyongwa hadi kufa Joseph Mhulilwa, dereva bajaji na mkazi wa Mtwivila B, Manispaa ya Iringa, baada . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Merz "Ujerumani haitoshiriki vita dhidi ya Iran Jacob Safari"

Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz amesema kuwa hakuna mpango wa kushawishi unaoonesha kuwa operesheni ya Marekani na Israel dhidi ya Iran . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Harry Kane" Hatuiogopi Real Madrid"

Hii ni baada ya Bayern kujikatia tiketi ya robo fainali ya Ligi ya Vilabu Bingwa Ulaya kufuatia ushindi wao wa 4-1 dhidi ya Atalanta ya Ital . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Dkt Samia: Kodi zisipendelee wala kukandamiza watu

Rais wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan amesema mapendekezo ya Tume aliyoiunda ya Kutathmini Maboresho ya Mfumo wa Kodi, yanashauri kuwepo . . .

Uwekezaji
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Amir Mkalipa Asisitiza Marejesho ya Mikopo ya Asilimia 10 Ilemela

Mkuu wa Wilaya ya Ilemela Mkoani Mwanza , Amir Mkalipa, amevitaka vikundi vilivyopata mikopo ya asilimia 10 katika wilaya hiyo kuhakikisha v . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

MBUNGE JIMBO LA SEGEREA AWAFARIJI WANAFUNZI WA SHULE YA BUGURUNI VIZIWI

Mbunge wa Jimbo la Segerea kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Mhe. Agnesta Kaiza, ametembelea na kutoa msaada wa mahitaji mbalimb . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

TANZANIA YAPOKEA MAGARI MATATU YA ZIMAMOTO KUTOKA JAPAN KUIMARISHA HUDUMA ZA UOKOAJI

Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Japan, Mheshimiwa Anderson Mutatembwa, alipokea kwa niaba ya Serikali msaada wa magari mata . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

GWAJIMA "TEKNOLOJIA IIMARISHE UPATIKANAJI WA HAKI KWA WANAWAKE"

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima, amesema matumizi sahihi ya teknolojia katika mi . . .

Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Ulega "Shinyanga kupaa kiuchumi kupitia kiwanja cha ndege"

‎Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema kukamilika kwa mradi wa upanuzi wa Kiwanja cha Ndege cha Shinyanga kunatarajiwa kuchochea shugh . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Samia Suluhu Hassan Afanya Uteuzi Mpya wa Viongozi na Mabalozi

Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mhe dkt Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi viongozi na kupanga vituo vipya kwa ubalozi.Kwa mujibu . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Dkt Samia:Kutakuwa na haki, usawa ulipaji kodi

Kilio cha baadhi ya wafanyabiashara kuhusu mfumo wa haki na usawa katika ulipaji wa kodi, kinakwenda kupata muarobaini, baada ya Tume ya Tum . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Iran Yashambulia Tel Aviv kwa Makombora, Hali Yazidi Kuwa Tete

Mashambulizi ya makombora kutoka Iran yameripotiwa kulenga jiji la Tel Aviv kwa mara ya pili usiku wa kuamkia leo 18 Machi 2026, huku Tehran . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Denis Sassou Nguesso Ashinda Urais kwa Asilimia 94.82

Rais wa Jamhuri ya Congo, Denis Sassou Nguesso, ametangazwa mshindi wa uchaguzi wa urais kwa kupata asilimia 94.82 ya kura.Matokeo hayo yame . . .

Dini
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Swala ya Eid Kufanyika Uwanja wa Nyamagana Kimkoa Mwanza

Baraza Kuu la Waislam Mkoa wa Mwanza limetangaza kuwa Swala ya Eid itafanyika kimkoa katika Uwanja wa Nyamagana uliopo Wilaya ya Nyamagana, . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

DCP MUTAFUNGWA: TOENI HUDUMA BORA KWA WANANCHI SIYO BORA HUDUMA

​Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Wilbrod Mutafungwa, amewakumbusha Maafisa, Wakaguzi na Askari wa vyeo mb . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Mwanadiplomasia wa zamani kufika mahakamani kuhusu mauaji ya Lumumba

Mwanadiplomasia wa zamani wa Ubelgiji atafikishwa mahakamani hivi karibuni mbele ya mahakama ya jinai ya Brussels kwa kuhusika kwake katika . . .

AFYA
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Chanjo ya Polio Kuwafikia Watoto Milioni 1.2 Mwanza

Zaidi ya watoto 1,241,809 wenye umri wa chini ya miaka 10 katika Mkoa wa Mwanza wanatarajiwa kupatiwa chanjo ya matone dhidi ya Polio katika . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Israel Katz Atangaza Kifo cha Afisa wa Usalama wa Iran

Waziri wa Ulinzi wa Israel Israel Katz ameiambia dunia kwamba afisa mkuu wa usalama wa Iran, Ali Larijani, ameuawa katika mashambulizi ya an . . .

Uchumi biashara
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

TMB"Mahitaji ya nyama soko la nje ni makubwa kuliko uwezo wa uzalishaji hapa nchini"

Mahitaji ya nyama katika soko la nje ni makubwa kuliko uwezo wa uzalishaji hapa nchini.Taarifa ya Msajili wa Bodi ya Nyama Tanzania, Tanzani . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Waziri Dk Gwajima aieleza dunia mafanikio ya mapambano dhidi ya ukeketaji

SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo, inaendelea kuimarisha hatua za kinga na huduma kwa waat . . .

Kurasa 1 ya 229

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category