logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
SOKA
  • Na Asha Business
  • 5 masaa yaliopita

Paul Pogba " Mke Wangu Aliniacha Nilipofungiwa Kucheza Soka"

Mke wangu aliniacha nilipofungiwa kucheza soka na kupoteza umaarufu wangu. Alikuwepo tu kwa ajili ya pesa na umaarufu.” Paul Pogba”“Ni . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • 5 masaa yaliopita

Rais Samia airuhusu Yanga kujenga uwanja

“Serikali ya awamu ya sita ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan, imeipa Yanga sehemu ya ardhi yake ha . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 5 masaa yaliopita

RC Mtanda" kero za wananchi zimeisha ni uongo"

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda amewakosoa baadhi ya viongozi wa Serikali wanaoibuka na kusema kero za wananchi zimeisha kwa kile alicho . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 masaa yaliopita

Iran kutorudi kwenye meza ya mazungumzo

WAZIRI wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesema hakuna uwezekano wa nchi yake kurejea katika mazungumzo na Marekani kwa sasa, hadi p . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • 5 masaa yaliopita

Mchungaji auawa kikatili na aliyefika kuombewa

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara linamshikilia Victor Fransis Thomas (39), mkulima na mkazi wa Kitongoji cha Kadudu, Kijiji cha Lupaso, Wilaya . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 5 masaa yaliopita

Kuzindua upya msaada wa kimataifa kwa maendeleo

Mkutano wa nne wa Kimataifa wa Ufadhili wa Maendeleo umefunguliwa siku ya Jumatatu hii, Juni 30, huko Seville, nchini Uhispania, huku kukiwa . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 5 masaa yaliopita

Félix Tshisekedi arejelea makubaliano ya amani katika hotuba yake kwa taifa

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) imeadhimisha miaka 65 ya uhuru siku ya Jumatatu, Juni 30. Wakati wa hotuba yake kwa taifa, Mkuu wa Nc . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 masaa yaliopita

Watumishi wahimizwa kuzingatia maadili serikalini

Katibu Tawala wa Wilaya ya Arusha, Jacob Rombo amewasihi watumishi wa Wizara ya Ujenzi kuzingatia maadili ya kutunza siri za Utumishi wa Umm . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 6 masaa yaliopita

DTO atoa mkakati wa kuanza kupima madereva kila wikendi

Leo julai mosi kwenye Kipindi cha MchakaMchaka amesikika Mkuu  Usalama Barabarani Wilaya ya Ilemela DTO Kilimbida Thomas Kilimbida na k . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • 6 masaa yaliopita

Msajili wa Vyama Vya Siasa hana mamlaka ya Kuzuia Chadema kushiriki uchaguzi mkuu

Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu ameiambia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwamba Msajili wa Vyama vya Siasa hana mamlaka ya kukizuia Cham . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • 6 masaa yaliopita

Kesi ya Lissu kupangiwa tarehe nyingine tena hadi julai 15

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasis na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu akizungumza na wanachama, wafuasi na viongozi mbalimbali wa chama hich . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • 9 masaa yaliopita

Kiongozi wa (CWT) Tanga achukua fomu kuwania ubunge jimbo la Korogwe mjini

Kiongozi wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) Wilaya ya Tanga, Mwajuma Mohamed amechukua na kurejesha fomu ya kugombea ubunge katika Jimbo la . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • 9 masaa yaliopita

Aliyekuwa rais wa zamani (MAT)achukua fomu ya ubunge Mbagala

Rais mstaafu wa Chama cha Madaktari Tanzania (MAT) Dkt Elisha Osati amechukua fomu ya kuwania uteuzi kwa ajili ya kugombea ubunge kwenye jim . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • 9 masaa yaliopita

Askofu aongoza ibaada kabla kesi ya Lissu kuanza kusikilizwa

Askofu Emmaus Mwamakula ameongoza maombi ndani ya chumba cha mahakama kabla ya kuanza kesi ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendele . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • jana

UN yasitisha uchunguzi kuhusu uhalifu uliofanyika mashariki mwa DRC kutokana na ukosefu wa fedha

Ofisi ya Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Haki za Kibinadamu ambayo imeguswa na mzozo mkubwa wa ukwasi unaohusishwa kwa kiasi kikubwa na . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • jana

Makonda amkabidhi majukumu ya Ofisi RC mpya

Leo Juni 30,2025, aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda, amekabidhi ofisi kwa mkuu mpya wa mkoa huo Kenan Kihongosi. 8Hivi kar . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • jana

Serikali yabeba gharama za maziko, 39 waliofariki ajalini

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu, amesema serikali imeamua kubeba gharama za maziko ya watu 39, waliopoteza maisha katika ajali ya b . . .

AJALI
  • Na Jembe Digital
  • jana

Idadi ya Vifo yaongezeka ajali ya Same hadi kufikia 39

Idadi ya watu waliofariki katika ajali ya magari mawili kugongana uso kwa uso Wilaya ya Same, mkoani Kilimanjaro imeongezeka na kufikia 39.A . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • jana

Nusura Ya Mauti! Ndege ya Batik Air Yatingishwa na Hali Mbaya ya Hewa!

Ndege ya abiria ya Batik Air ilinusurika kuteleza wakati wa kutua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Soekarno-Hatta, kutokana na hali mb . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • jana

Mkuchu arejesha fomu udiwani Kunduchi

 KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Emmanuel Mkuchu, amekamilisha hatua ya awali ya kugombea nafasi ya udiwani kwa kurejesha fomu ya ku . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • jana

Nyota wa Yanga ajitosa kuchukua fomu ya ubunge Iringa Mjini

MWANASOKA wa zamani wa timu ya Yanga SC, Ally Msigwa, amejitosa rasmi katika mbio za kisiasa baada ya kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • jana

Maasi ya Gen Z yatia wasiwasi kwa vigogo wa siasa za maeneo nchini Kenya

VIGOGO wa maeneo ya kisiasa nchini ambao kwa kawaida wamekuwa wakijivunia ufuasi mkubwa, sasa wapo hatarini kupoteza umaarufu huo kutokana n . . .

afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • jana

Julai mosi serikali ya Ruto kuondoa mpango bei nafuu ya chakula KDF

NJAA itawasakama wanajeshi kuanzia kesho Julai 1, 2025 baada ya serikali ya Rais William Ruto kuondoa mpango wa chakula cha bei nafuu katika . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • jana

Atinga kwa msajili baada ya kuenguliwa kuwania Urais

Siku moja baada ya Chama Cha Alliance Democratic For Change (ADC) kumpata mgombea urais wa Tanzania na Zanzibar, kada wa chama hicho na aliy . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • jana

Watu 11 wafukiwa na kifusi Sudan

Kampuni ya Rasilimali ya Madini Sudan (SMRC) imethibitisha kuwa wachimbaji 11 wa dhahabu wamefariki dunia baada ya kuangukiwa na mgodi katik . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • jana

Odinga amkosoa waziri wa Ulinzi nchini Kenya

Aliyekuwa waziri mkuu wa Kenya Raila Odinga amelaani vikali wito wa waziri wa usalama nchini Kenya Kipchumba Murkomen kwa polisi kuwafyatuli . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • jana

Dkt, Biteko ahudhuria mkutano wa nyuklia Afrika

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt Doto Biteko amewasili Kigali nchini Rwanda, kushiriki mkutano unaohusu masuala ya nyuklia Afrika. . . .

Afrika Mashariki
  • Na Jembe Digital
  • jana

Maadhimisho uhuru wa Somalia kufanyika Tanzania

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Said Shaib Mussa amempokea Waziri wa Mambo ya Nje na U . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Rais RUTO Ajipalilia Makaa, Awaponda Wananchi Wanaoandamana Kenya

Rais wa Kenya William Ruto amepuuzilia mbali wito ambao umekuwa ukitolewa na waandamanaji na viongozi wa upinzani kumtaka ajiuzulu na kuwapa . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

KIKOSI cha Yanga Vs Singida Black Stars Leo Tarehe 29 June 2025

Juni 29, Young Africans watakuwa wenyeji wa Singida Black Stars katika michuano ya Kombe la Shirikisho Tanzania. Mechi itaanza saa 21:15 saa . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Wakili Ajitosa Ubunge Jimbo la Mbagala

Mwanazuoni na Wakili Dk Aloys Rugazia ameibuka kwa kishindo baada ya kuchukua rasmi fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea Ubunge wa Jimbo la Mba . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Gavana motoni kwa kuwadhalilisha wanawake wa Taita

WANAWAKE katika Kaunti ya Taita Taveta wamemtaka Gavana Andrew Mwadime kuomba msamaha kwa matamshi ya kuwadhalilisha.Hii ni baada ya Gavana . . .

Afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Waziri akemea uharibifu uliotokea maandamano ya Gen Z

WAZIRI wa Huduma ya Umma, Geoffrey Ruku, amekashifu vikali uharibifu ulioshuhudiwa kote nchini katika maandamano ya Gen Z majuzi.Akizungumza . . .

afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Maneno ya Matiangí Ruto hanitishii, nitavua koti na kumkabili

ALIYEKUWA Waziri wa Usalama wa Ndani Fred Matiang’i Juni 27,2025 alieleza matumaini yake kuwa atakitwaa kiti cha urais katika uchaguzi mku . . .

Flamu/Movie
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Washindi tamasha la Kimataifa la Filamu Zanzibar (ZIFF) kujulikana kesho

 BAADA ya siku tano za hekaheka ndani ya Tamasha la Kimataifa la Filamu Zanzibar (ZIFF), msimu wa 28, tamasha hilo litafungwa rasmi kes . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Msigwa autaka tena ubunge Iringa Mjini akitokea ndani ya (CCM).

ALIYEKUWA Mbunge wa Iringa Mjini kwa miaka 10, Mchungaji Peter Msigwa, amechukua fomu kuwania ubunge Iringa Mjini—safari hii akitokea . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Ngajilo aingia tena uwanja wa Iringa Mjini kugombea ubunge

 Fadhili Fabian Ngajilo, mwanasiasa mwenye rekodi ya utumishi wa muda mrefu ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), leo amechukua rasmi fom . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Makongo achukua fomu kuwania nafasi ya ubunge Chato Kaskazini

 Mwandishi wa habari mwandamizi wa habari za uchunguzi aliyejikita kutetea haki za binadamu, Cosmas Makongo amechukuwa fomu ya kuwania . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Ahukumiwa jera maisha kwa kosa la kulawitiwa mtoto

Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Ruangwa, mkoani Lindi, imemhukumu Shabani Mohamed (27), mkazi wa Mchangani, kifungo cha maisha gerezani b . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Jera miaka 20 kwa udhalilishaji wa kingono

Mahakama ya Wilaya ya Masasi Mkoani Mtwara imemuhukumu kifungo cha miaka 20 jela Mussa Hassan Ntakula (70), Mkazi wa Kijiji cha Ngalinje baa . . .

Kurasa 1 ya 171

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category