logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
SOKA
  • Na Asha Business
  • 10 masaa yaliopita

Aliyetimuliwa Man Utd Kuwa Kocha Mpya AC Milan ya Italia

Kocha raia wa Ureno, Ruben Amorim, anatarajiwa kuwa kocha mkuu mpya wa klabu ya Italia, AC Milan, baada ya kukubaliana kwa masharti ya awali . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 10 masaa yaliopita

Jenerali wa Zamani wa Jeshi la Nigeria Afariki Baada ya Kutekwa

Jeshi la Nigeria limethibitisha kifo cha Meja Jenerali mstaafu Rabe Abubakar, aliyekuwa msemaji wa jeshi kati ya mwaka 2015 na 2017, baada y . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 10 masaa yaliopita

Mtoto wa Malkia wa Norway Ahukumiwa Miaka 4 Jela kwa Makosa ya Ubakaji

Marius Borg Høiby, mtoto wa miaka 29 wa Malkia wa Norway, Mette-Marit, amehukumiwa kifungo cha miaka minne gerezani baada ya Mahakama ya Wi . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • 10 masaa yaliopita

Idadi ya watu walioambukizwa yafikia 782

Idadi ya wagonjwa waliothibitishwa kuwa na maambukizi ya Ebola nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, imeongezeka na kufikia 782, ikiwemo . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 10 masaa yaliopita

Ndege ya kijeshi ya Marekani yaanguka nane wahofiwa kufa

Taarifa hiyo iliyochapishwa katika mtandao wa kijamii wa Facebook imeongeza kwamba picha za angani hazikuonyesha chochote kilichosalia cha n . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • 10 masaa yaliopita

Cape Verde na Misri zaitoa kimasomaso Afrika kombe la Dunia

Katika michezo iliyochezwa hapo awali Cape Verde iliwashangaza wapenda kandanda duniani kwa kutoka sare ya bila kufungana dhidi ya mabingwa . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Shabiki afariki akiingia uwanjani Kombe la Dunia

SHABIKI wa soka mwenye umri wa miaka 80 amefariki muda mfupi kabla ya kuingia uwanjani kuitazama Mexico ikivaana na Afrika Kusini katika mch . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Utafiti "Kushiriki mapenzi asubuhi huimarisha utendakazi"

WATAFITI wamebaini kuwa kuanza siku kwa kushiriki mapenzi huimarisha hisia na motisha ya kuchapa kazi.Utafiti huo uliofanyika Amerika na kuc . . .

Mastaa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Ndoa ya Zari na Shakib Cham yavunjika Baada ya Miaka Mitano

Mwanamitindo na mfanyabiashara maarufu, Zari Hassan, ametangaza rasmi kuachana na mume wake, Shakib Cham, baada ya kuwa pamoja kwa takribani . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Rais wa Zamani wa Korea Kusini Ahukumiwa Miaka 30 Jela

Mahakama ya Seoul imemhukumu Rais wa zamani wa Korea Kusini, Yoon Suk-yeol, kifungo cha miaka 30 gerezani kufuatia tuhuma za kuhusika katika . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Ukraine yahimiza raia kuondoka maeneo yanayokaliwa na Urusi

Ukraine imetoa tahadhari kwa raia wake wanaoishi katika maeneo yanadhibitiwa na Urusi na kuhamihiza waondoke kuepuka hatari ya mashambulizi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Trump adai makubaliano na Iran yako karibu, Tehran yasema bado haijafanya uamuzi wa mwisho

Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza siku ya  Alhamisi, Juni 11, kwamba alifuta mashambulizi yaliyopangwa kwa siku hiyo dhidi ya Ir . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Kabila avunja ukimya wake na kutoa wito kupambana dhidi ya marekebisho ya katiba

Rais wa zamani Joseph Kabila Kabange ametoa ujumbe mzito kwa raia wa Kongo siku ya Alhamisi, Juni 11, 2026, ambapo anapinga vikali mchakato . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Wanasayansi wanaonya ongezeko la joto duniani linatarajiwa kufikia 1.5°C ifikapo mwaka wa 2030

Katika utafiti uliochapishwa mnamo Juni 11, muungano wa watafiti unabainisha kwamba lengo kuu zaidi la Mkataba wa Tabianchi wa Paris huenda . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

NAIBU WAZIRI WA NISHATI AFUNGUA MKUTANO WA WADAU WA NISHATI SAFI JIJINI ARUSHA

Naibu Waziri wa Nishati, Salome Makamba, amesema Tanzania imepata mafanikio makubwa katika utekelezaji wa ajenda ya nishati safi ya kupikia, . . .

Mastaa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Mwigizaji Mkongwe Mzee Onyango Afariki Dunia Alfajiri ya Leo

Tasnia ya sanaa ya maigizo nchini Tanzania imegubikwa na simanzi kufuatia taarifa za kifo cha muigizaji Mkongwe Issa Joseph maarufu Mzee Ony . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Rais Mstaafu Kikwete Ahudhuria Mkutano wa Viongozi Duniani Norway

Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, amekutana na Bw. Massad Boulos, mwanadiplomasia na Mshauri Mwandamiz . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Michuano ya soka kuwania kombe la dunia inaanza leo

Michuano ya soka kuwania  kombe la dunia, inaanza leo nchini Marekani, Mexico na CanadaSherehe za ufunguzi wa michuano hii mikubwa itaf . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Papa Leo kukutana na wahamiaji katika visiwa vya Canary

Papa Leo XIV anatarajiwa kusafiri Alhamisi hadi visiwa vya Canary vya Uhispania kukutana na wahamiaji, ambao wengi wao walinusurika kutokana . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Idadi ya visa vya ebola yaongezeka Kongo

Idadi ya visa vya Ebola vilivyothibitishwa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imeongezeka hadi 635. Misri imeahidi kuisaidia Kongo kati . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Taifa la Ghuba Lapiga Marufuku Kuajiri Wafanyakazi wa Ndani Kutoka Kenya, Nchi Nyingine 25 za Afrika

Kuwait imeanzisha mabadiliko makubwa katika kanuni zake za kuajiri wafanyakazi wa ndani, ikiidhinisha nchi 10 pekee kama vyanzo vya ajira h . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Mtu mmoja auawa katika maandamano ya kupinga kituo cha Ebola

Nchini Kenya, mtu mmoja ameuawa baada ya kupigwa risasi na polisi, wakati wa maandamano yaliyofanyika siku ya Jumanne katika mji wa Nanyuki, . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Somalia Yasikitishwa na Kuzuiwa kwa Mwamuzi Omar Artan Kuingia Marekani

Serikali ya Somalia imemtetea mwamuzi wake maarufu Omar Artan baada ya kunyimwa ruhusa ya kuingia Marekani, jambo lililomfanya kushindwa kuw . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Rubani Atuhumiwa Kurusha Ndege Miaka 17 Bila Kuwa na Leseni Halali

Mamlaka za Canada zimesema rubani wa zamani wa shirika la ndege la Air Canada anatuhumiwa kusafirisha maelfu ya abiria kwa miaka 17 bila les . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Zaidi ya wahamiaji 1,000 waokolewa pwani ya Mauritania ndani ya siku kumi

Wakati walinzi wa pwani wa Mauritania wakiripoti ongezeko kubwa la watu wanaojaribu kuvuka hadi Visiwa vya Canary tangu mwisho wa mwezi Mei, . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Taliban yavunja maandamano ya haki za wanawake Afghanistan

Maandamano ya wanawake yazimwa na maafisa wa usalama Herat. Mashuhuda wakiripoti mauwaji ya mtu mmoja na wengine wamejeruhiwa.Maafisa wa usa . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Shambulio la kisu lazusha vurugu Ireland Kaskazini

Waandamanaji wanaopinga wahamiaji wamechoma moto majengo na magari kwenye mji mkuu wa Ireland Kaskazini, Belfast siku moja baada ya kutokea . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Wito wa amani kufuatia kisa cha mauaji msikitini

JAMII katika Kaunti ya Lamu zimesisitiza wito wa ushirikiano kuhubiri amani na utangamano kati yao, kufuatia kisa cha mauaji msikitini wiki . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

RPC Morcase akanusha uvumi wa maiti sita kuokotwa mto Ruvu

. . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Marubani Wawili Wafariki Katika Ajali ya Private Jet ya Yadier Molina

Gwiji wa zamani wa mchezo wa Baseball, Yadier Molina amenusurika kupanda ndege binafsi aina ya Gulfstream G200 iliyopata ajali na kulipuka m . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Helikopta ya Kijeshi ya Marekani Yaanguka Hormuz

Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa wanajeshi wawili wa helikopta ya kijeshi ya Marekani wako salama baada ya kuokolewa katika Mlango . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Mwendesha mashtaka mkuu wa ICC asimamishwa kazi kutokana na tuhuma za ngono

Mwendesha mashtaka mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu, Karim Khan, amesimamishwa kazi kufuatia kesi za kinidhamu zilizoanzishwa baada . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Mateka 400 waliokuwa wametekwa na Boko Haram wakabidhiwa kwa serikali

Nchini Nigeria, maafisa wa usalama wamekabidhi kwa serikali wanawake na watoto 400 waliokolewa mikononi mwa wanajihadi wa Boko Haram.Watu ha . . .

SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • 7 siku zilizopita

Iran yalalamikia vikwazo vya tiketi na visa Kombe la Dunia

Mvutano mpya umeibuka kuelekea Kombe la Dunia 2026 baada ya Iran kulalamikia Marekani kufuta mgao wa tiketi kwa mashabiki wake.Shirikisho la . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 7 siku zilizopita

Pakistan, Lebanon waongeza ushirikiano wa kijeshi

Pakistan na Lebanon wamekubaliana kuimarisha ushirikiano wa kijeshi wakati mazungumzo ya amani ya Mashariki ya Kati yakiendelea kusuasua.Wak . . .

Dini
  • Na Jembe Digital
  • 7 siku zilizopita

Papa Leo asikiliza manusura wa unyanyasaji Uhispania

Kiongozi wa Kanisa Katoliki Papa Leo XIV amekutana na manusura sita wa unyanyasaji wa kingono unaohusishwa na makasisi mjini Madrid na kuahi . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 7 siku zilizopita

Polisi watumia vitoa machozi kutawanya waandamanaji Nanyuki

Polisi wametumia mabomu ya machozi kuwatawanya waandamanaji waliopinga ujenzi wa kituo cha karantini ya Ebola kwa raia wa Marekani.Polisi nc . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • June 8, 2026

Wajane wapanda Mlima Kilimanjaro, wahimiza uandikaji wosia katika familia

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,Nurdin Babu amehimiza familia kuandika Wosia ili kupunguza mgogoro kwenye jamii mmoja wa wanandoa hasa mwanaume . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 8, 2026

Viongozi wa Ulaya waunga mkono mazungumzo ya Ukraine, Urusi

Viongozi wa Uingereza, Ujerumani na Ufaransa wanaunga mkono pendekezo la mazungumzo kati ya Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskiy na Rais wa U . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • June 8, 2026

Watu 20 waangamia kwenye tetemeko la ardhi Ufilipino

Watu 19 wamekufa baada ya tetemeko kubwa la ardhi kutokea kusini mwa Ufilipino. Tetemeko hilo lenye ukubwa wa 7.8 katika kipimo cha Ritcher . . .

Kurasa 1 ya 246

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category