logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
SOKA
  • Na Asha Business
  • 13 masaa yaliopita

Yanga Yatangaza wito wa EOI Ujenzi wa Uwanja wa Kisasa Jijini Dar

Klabu ya Yanga imeanza rasmi mchakato wa kuwarahisishia wawekezaji na wabia wa kimkakati kuwasilisha barua za kuonesha nia (EOI) kwa ajili y . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 13 masaa yaliopita

Magari mabovu marufuku kubeba wanafunzi

Hatua hiyo imekuja kufuatia ukaguzi uliofanywa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi kitengo cha usalama barabarani mkoani humo kubaini kuwa kat . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 13 masaa yaliopita

Hatarini kupata magonjwa ya mlipuko kisa mafuriko

Wananchi hao wameiomba serikali kurejesha huduma muhimu kama umeme maji pamoja na kutuma wataalamu kuja kutibu madimbwi ya maji yanayozagaa . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 13 masaa yaliopita

Urusi yaishambulia Ukraine kwa kombora jipya la Oreshnik

Urusi imesema hivi leo kwamba imetumia kombora jipya chapa Oreshnik pamoja na silaha nyingine katika shambulizi kubwa dhidi ya Ukraine.Maafi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 13 masaa yaliopita

Maandamano ya kupinga ugumu wa maisha yaendelea Iran

Waandamanaji nchini Iran wamepiga kelele na kuandamana hadi Ijumaa asubuhi kuendelea kupinga ugumu wa maisha.Waandamanaji wa Iran wamepiga k . . .

Top Story
  • Na Jacobmlaytz
  • 16 masaa yaliopita

Semenyo atua Man City, aweka rekodi hii hapa

Rasmi Antoine Semenyo amesaini mkataba wa kuitumikia Manchester City akitokea klabu ya AFC Bournemouth ya pale pale England.Semenyo anakuwa . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 18 masaa yaliopita

Ibaada ya mazishi ya watu waliouawa katika mapigano yafanyika Goma

Maelfu ya waombolezaji walijitokeza jijini Goma Mashariki ya DRC Januari   8 kuhudhuria ibaada ya mazishi ya watu 22 waliouawa wak . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 18 masaa yaliopita

Wanajeshi wanaotuhumiwa kwa uhaini wahamishiwa katika gereza la Ndolo

Maafisa kadhaa wa ngazi za juu wa jeshi la Kongo, waliokamatwa kwa miezi kadhaa iliopita, wameshtakiwa rasmi na tayari wamehamishiwa katika . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 18 masaa yaliopita

Mhandisi Mshauri Aliyechelewesha Mradi Wa Daraja Tabora Kusitishiwa Malipo

Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI) anayeshughulikia Elimu, Reuben Kwagilwa (Mb), a . . .

Afya
  • Na Jembe Digital
  • 18 masaa yaliopita

Unapaswa kutambua Sababu Kuu Za Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Soma hapa

Upungufu wa nguvu za kiume ni hali ya kushindwa kufanya mapenzi kikamilifu au kushindwa kusimamisha via ya uzazi kwa mwanaume katika shughul . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 18 masaa yaliopita

TRUMP AAGIZA MAREKANI KUJIONDOA KATIKA MASHIRIKA 66 YA KIMATAIFA

Rais wa Marekani Donald Trump ameagiza nchi yake kujiondoa katika mashirika 66 ya kimataifa akieleza kuwa taasisi hizo hazihudumii tena masl . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 19 masaa yaliopita

Marekani bado ina wajibu wa kufadhili mashirika yake

Umoja wa Mataifa amesema Marekani ina ‘wajibu wa kisheria' kuendelea kulipa michango inayofadhili mashirika ya umoja huo hata baada ya Iku . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 19 masaa yaliopita

Venezuela haijatishwa na Marekani

Rais wa muda wa Venezuela, Delcy Rodriguez amesisitiza kwamba nchi yake haina hofu yoyote licha ya madai ya Rais wa Marekani Donald Trump kw . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 19 masaa yaliopita

IKULU YATANGAZA MABADILIKO YA BARAZA LA MAWAZIRI

Ikulu ya Tanzania jana imetangaza mabadiliko katika Baraza la Mawaziri yaliyofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Afisa wa uhamiaji ampiga risasi mwanamke mwenye umri wa miaka 37

Afisa wa uhamiaji nchini Marekani, amempiga risasi mwanamke mwenye umri wa miaka 37 siku ya Jumatano kwenye mji wa Minneapolis.Maafisa wa se . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Mbunge Segerea, atwishwa kero ya maji Bonyokwa

Mbunge wa Segerea (CHAUMMA), Agnester Lambart, amefanya ziara katika Kata ya Bonyokwa, kusikiliza kero za maji katika eneo hilo.Miongoni mwa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Waziri Mkuu wa Ivory Coast ajiuzulu

Hatua hiyo imekuja, miezi miwili baada ya rais Ouattara kuchaguliwa tena kuongoza nchi hiyo, baada ya kupata ushindi wa karibu asilimia 90 y . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Shabiki wa Congo Anayesimama Kama Sanamu Kuzawadiwa Milioni 40

Habari za hivi punde zinaeleza kuwa wachezaji wa timu ya taifa ya Algeria, kupitia shirikisho lao la soka, wamemwandalia zawadi ya dola za K . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Wachezaji Nigeria Watia Mgomo Kisa Kutolipwa Bonasi za Ushindi

Hali ya wasiwasi imetanda katika kambi ya timu ya taifa ya Nigeria, “Super Eagles,” baada ya kuripotiwa kuwa wachezaji wamegoma kufanya . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Papa Leo ataka kanisa liendane na wakati

Papa Leo anaongoza kikao chake cha kwanza cha baraza la maaskofu tangu achaguliwe kwenye nafasi hiyo mwaka jana kufuatia kifo cha mtangulizi . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Vita ya Nusu Fainali Yaiva Januari 9 na 10 AFCON 2025

Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 imeingia hatua ya Robo Fainali ambapo timu nane bora barani Afrika zimejipanga vyema kuw . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Trump Aonya Republicans Kushindwa Uchaguzi 2026

 Rais wa Marekani Donald Trump ametoa onyo kali kwa wabunge wa chama chake cha Republican huku akisema kuwa kushindwa katika uchaguzi w . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Raia Wawili wa China Wakabiliwa na Kesi ya Utakatishaji Fedha T-Sh Bilioni 2.13

Raia wawili wa ambao ni wakazi wa  China Weisi Wang (41) pamoja  na Yao Licong wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mk . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

EU Yasisitiza Greenland Haiwezi Kujadiliwa Bila Denmark

Rais wa Baraza la Umoja wa Ulaya Antonio Costa amesema kuwa Umoja wa Ulaya utaiunga mkono Greenland na Denmark inapohitajika na hautakubali . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Wanajeshi Wengi Wauawa Katika Uvamizi wa Marekani Venezuela

Waziri wa Mambo ya Ndani wa Venezuela Diosdado Cabello amesema watu 100 wameuawa katika shambulio la Marekani mnamo siku ya Jumamosi lililom . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

EWURA Yatangaza Mabadiliko ya Bei za Mafuta

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei mpya za mafuta ya petroli zitakazotumika kuanzia leo Januari 7, 2026 . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Fahamu Kijiji cha Wamiliki wa Ndege Florida

Kijiji cha Spruce Creek Fly-In Florida ni eneo la kipekee ambapo wakazi wake wengi wanamiliki ndege binafsi. Makazi yamejengwa kuzunguka uwa . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Mwanaume ashikiliwa Mvomero kwa Kumng’oa Kinguvu Mwanawe

Jeshi la Polisi mkoani Morogoro linamshikilia mwanaume mwenye umri wa miaka 33 mkazi wa eneo la Katindiuka, wilayani Mvomero, kwa tuhuma za . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Watatu mbaroni kwa tuhuma mauaji, ubakaji

Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro, limewakamata watuhumiwa watatu wa matukio tofauti ya mauaji na ukatili wa kijinsia yaliyotokea mkoani hapa . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Mtoto wa miaka 13 Amnunulia Mama Gari

Kijana mmoja wa kiume mwenye umri wa miaka 13 William Rabillo kutoka Nevada nchini Marekani ametikisa mitandao ya kijamii baada ya kufanikiw . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Ivory Coast Yatinga Robo Fainali, Burkina Faso Yaaga AFCON 2025

Timu ya taifa ya Ivory Coast imefuzu hatua ya robo fainali ya michuano ya AFCON 2025 baada ya kuibuka na ushindi mnono wa mabao 3–0 dhidi . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Mabasi 30 Ya Udart Kurejea Barabarani, Huduma Kufika Mloganzila – Prof. Shemdoe

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI, Prof. Riziki Shemdoe amefanya ziara ya ukaguzi katika karakana ya UDART eneo la Ubungo Ji . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Israel kufungua ubalozi mjini Hargeisa Somaliland

Waziri wa mambo ya nje wa Israel Gideon Saar ameahidi kwamba nchi yake itakuza uhusiano wenye mafanikio na Somaliland baada ya kuwa nchi ya . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Raia wa Congo walifariki wakiwa katika kambi za wakimbizi Burundi

Shirika la Wananchi la Amani na Uwiano wa Jamii (CPCC), limesema hivi majuzi kwamba takriban raia 105 kutoka DRC wamefariki dunia katika kip . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Marekani "Tunaweza kutumia jeshi kuchukua kisiwa cha Greenland"

Rais Donald Trump, anathmini njia za namna Marekani inavyoweza kuchukua na kudhibiti kisiwa cha Greenland, kinachomilikiwa na Denmark.Ikulu . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Somalia yalaani ziara ya Waziri wa mambo ya kigeni wa Israel Somaliland

Hatua ya Waziri wa Mambo ya nje wa Israel Gideon Saar kuzuru jimbo la Somaliland siku 10 baada ya kulitambua jimbo hilo kama nchi huru, imes . . .

NGUMI
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Mwakinyo Arejea Kileleni Afrika, Ashika Nafasi ya 37 Duniani (Middleweight)

Bondia wa kulipwa kutoka nchini Tanzania Hassan Mwakinyo Jr ametangaza kurejea nafasi ya kwanza barani Afrika katika uzito wa kati (middlewe . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Ole Gunnar Solskjær Ajiandaa Kurejea Man United kama Kocha wa Muda

Aliyekuwa Kocha Mkuu wa Manchester United Ole Gunnar Solskjær, ameonyesha nia ya kurejea Old Trafford kuinoa klabu hiyo kama Kocha wa Muda . . .

SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Liam Rosenior Yupo Mbioni Kujiunga na Chelsea Kama Kocha Mkuu

Klabu ya Chelsea ipo hatua za mwisho kumtangaza Liam Rosenior kuwa Kocha Mkuu mpya wa kikosi hicho, baada ya pande zote kufikia makubaliano . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Delcy aapishwa kuwa Rais wa mpito Venezuela

Delcy Rodríguez ameapishwa kuwa Rais wa mpito wa Venezuela kufuatia kikao cha bunge kilichoanza kwa wito wa kutaka kuachiliwa kwa Rais aliy . . .

Kurasa 1 ya 215

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category