Watu walikimbia ovyo huku wakipiga mayowe na wengine wakipoteza fahamu baada ya harusi iliyokuwa imepangwa kwa miezi kadhaa kuvurugika ghafla wakati wa kupika chakula cha wageni, ambapo nywele ya ajab . . .
IDADI ya vifo imefikia karibu watu 300 kufuatia mafuriko makubwa yaliyosababisha kuporomoka kwa majengo katika Wilaya ya Buner, Kaskazini Magharibi mwa Pakistan.Waokoaji wameendelea ku . . .
Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita linawashikilia askari wanne wa Hifadhi ya Kigosi iliyoko Wilaya ya Bukombe kwa tuhuma za mauaji ya kijana Hezron Fikiri (20), mkazi wa Kijiji cha Msonga.Kamanda wa Polisi . . .
Idara ya huduma za uokoaji zinajaribu kutafuta zaidi ya watu 40 ambao hawajulikani waliko baada ya ajali ya boti kaskazini magharibi mwa Nigeria siku ya Jumapili jioni, Agosti 17, Mamlaka ya kitaifa y . . .
Urusi ilirusha makombora na ndege 85 zisizo na rubani nchini Ukraine usiku wa kuamkia leo kulingana na taarifa ya Kyiv.Taarifa ya Kyiv imejiri saa chache kupita tangu kukamilika kwa kikao kati y . . .
SERIKALI imetuma kikosi maalum cha wapelelezi mjini Siakago, Kaunti ya Embu, kufuatia wingu la visa vya ghasia ambavyo vimesababisha mali yenye thamani ya mamilioni kuharibiwa na wakazi kadhaa kujeruh . . .
DARFUR, SUDAN : SHIRIKA la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) limeripoti kuwa takriban watu 40 wamefariki dunia katika eneo la Darfur, Sudan, kufuatia mlipuko mkubwa wa ugonjwa wa kipindupindu.Kwa mujibu . . .
Magenge ya wahalifu yamewaua maafisa 13 wa usalama, wakiwemo polisi wawili na walinzi 11, katika jimbo la Zamfara kaskazini Magharibi mwa Nigeria katika ghasia za hivi punde katika eneo hilo, vyanzo v . . .
Mahakama ya Wilaya ya Kibiti Mkoa wa Pwani, imemhukumu Kulwa Said Omary (26) mkazi wa Bungu "A" kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la kumlawiti mtoto wa miaka (3) (jina limehifadhiwa).Hukumu hiyo imet . . .
WAKAZI wa kijiji cha Emulwala, Khwisero, Kaunti ya Kakamega wanaomboleza baada ya tukio la kusikitisha ambapo mwanamume mwenye umri wa miaka 39 alimuua babake kwa kisu baada ya kugombana kuhusu mboga . . .
Watu wanne wafariki dunia kwa ajali ya helikopta iliyotokea August 6 mwaka huu katika eneo la Ashanti nchini Ghana na kusababisha vifo vya watu wanane huku miongoni mwao kuna mawaziri wawili.Kwa . . .
Wakati ugonjwa wa Chikungunya ukisambaa kwa kasi nchini China na kuambukiza zaidi ya watu 7,000 mamlaka zimeibuka na mbinu ya kuachia mbu wakubwa wasio na uwezo wa kung’ata binadamu ili kula mabuu y . . .
Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na Magazeti ya Uingereza ya The Independent na The Guardian, Marehemu Martyn Latchman alikuwa akijiandaa kufanyiwa upasuaji wake wa pili katika kliniki hiyo baada ya . . .
VIKOSI vya kulinda usalama msituni Boni, Kaunti ya Lamu, vimezidisha msako dhidi ya magaidi wanaohusishwa na kundi la Al-Shabaab, baada ya jaribio jingine la kuvamia kambi ya polisi wa GSU.Katika kipi . . .
Stephen Bertrand Munyakho, Mkenya ambaye alikuwa akikabiliwa na hukumu ya kifo nchini Saudi Arabia, sasa ameachiliwa rasmi kutoka kizuizini.Munyakho, kwa jina maarufu la Stevo, mwana wa kwanza wa mwan . . .
Jaji wa Mahakama ya Juu ya Brazili amewapa mawakili wa Jair Bolsonaro saa 24 kueleza "kutofuata" kwao marufuku ya rais huyo wa zamani kutumia mitandao ya kijamii, "chini ya adhabu ya kifungo cha mara . . .
Idadi ya vifo kutokana na ajali ya ajali ya ndege ya kivita ya Jeshi la Wanahewa la Bangladesh katika shule huko Dhaka Jumatatu, Julai 21, imeongezeka na kufikia angalau 27, wengi wao wakiwa wanafunzi . . .
Jeshi la Israel limevamia maghala na majengo mengine ya Shirika la Afya Duniani, WHO, katika Ukanda wa Gaza wakati ikiendesha operesheni zake.Mkuu wa WHO, Tedros Adhanom Ghebreyesus, amesema kwenye ta . . .
Watu watatu wamefariki dunia wakiwemo wanafunzi wawili wa kidato cha nne, kufuatia ajali ya barabarani iliyohusisha pikipiki yenye namba za usajili MC 534 DYX iliyokuwa ikiendeshwa na Baraka Sajio(22) . . .
Jeshi la Polisi mkoa wa Pwani linamshikilia Rajabu Hamis (23), mkazi wa Mtaa wa Muheza, wilaya ya Kibaha, kwa tuhuma za kumuua baba yake mzazi, Hamis Musa (50), katika tukio la kikatili lililotokea us . . .
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam imemuhukumu mfanyabiashara Abubakari Msangi (48), kifungo cha miaka 20 jela baada ya kupatikana na hatia ya kukutwa na vipande saba vya meno ya tembo na s . . .
Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani limekanusha vikali taarifa zinazoeleza kuwa Mkuu wa Kituo Kidogo cha Polisi Kongowe, Wilaya ya Kibaha, alihusika katika kumkamata kijana Hussein Abdallah Mkama mnamo Mei . . .
Syria imelengwa na mashambulizi mapya ya Israeli wakati wa usiku wa Julai 15 kuamkia Julai 16, hasa dhidi ya miundombinu ya kijeshi. Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu amefafanua nia ya Israeli. Shirika l . . .
Wapiganaji wa Kiislamu wa Al Shabab wanaendelea na mashambulizi yao katikati mwa Somalia Tangu mwanzoni mwa mwaka 2025, wamekuwa wakirejea kaskazini mwa Mogadishu, mji mkuu, eneo ambalo walikuwa wamef . . .