logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
Mauaji
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Jeshi la Israel latekeleza shambulio kwenye hospitali ya Nasser Gaza

Jeshi la Israel limethibitisha kutekeleza shambulio katika kile limesema ni hospitali ambayo ilikuwa inatoa hifadhi kwa magaidi wakati wa oparesheni zake katika Ukanda wa Gaza.Hamas inasema wanahabari . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • May 8, 2025

BUNDUKI ILIYOTUMIKA KUMUUA POLISI KENYA YAOATIKANA

Inspekta Jenerali wa Polisi Douglas Kanja ametangaza kupatikana kwa bunduki iliyotumika kumpiga risasi na kumuua Mbunge wa Kasipul Charles Ong'ondo, katika barabara ya Ngong jijini Nairobi wikiiliyopi . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • May 8, 2025

RSF yaendelea kushambulia mji wa Port Sudan, wasiwasi watanda

Ndege zisizokuwa na rubani kwa mara ya tano siku ya Alhamisi, zimeshambulia ngome za jeshi Mashariki na Kusini mwa nchi ya Sudan.Mashambulio hayo yanatekelezwa na wanamgambo wa RSF wanaoendelea kupamb . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • May 4, 2025

Ndege zisizo na rubani za Sudani zashambulia mji wa mpakani karibu na Eritrea

Wanajeshi wa Sudani wamefanya shambulio la nadra la ndege zisizo na rubani katika mji wa mashariki wa Kassala, karibu na mpaka wa Eritrea, chanzo katika serikali pinzani, inayoshirikiana na jeshi, kim . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • May 2, 2025

Familia Ikifukua Mwili wa Marehemu Mchungaji Aliyezikwa Kisiri na Mkewe

Familia ya mwanamume aliyedaiwa kuzikwa kisiri na mkewe huko Voi, kaunti ya Taita Taveta, imechukua hatua kutokana na kucheleweshwa kwa haki. Edward Mwaigo Maghanga alizikwa na mkewe bila idhini ya fa . . .

Habari
  • Na Asha Business
  • April 25, 2025

Mkazi Wa Maswa Ahukumiwa Miaka 30 Jela Kwa Kumbaka Binti Yake Na Kumpa Mimba

Mahakama ya Wilaya ya Maswa, mkoani Simiyu, imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela Daudi Mabele (38), mkazi wa Kijiji cha Kakola, kilichopo Kata ya Shishiyu, wilayani humo.Mabele amehukumiwa kifungo hic . . .

Habari
  • Na Asha Business
  • April 24, 2025

Jeshi la Polisi Simiyu Lamfikisha Mahakamani Binti kwa Kudai ni Askari JWTZ

Jeshi la Polisi Mkoa wa Simiyu limemfikisha mahakamani binti aliyejitambulisha kwa jina la Pendo Paul Elikana (19), mkazi wa Kijiji cha Mbuga ya Banya, Wilaya ya Meatu, mkoani Simiyu, kwa tuhuma za ku . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • April 23, 2025

Jeshi Lazima Jaribio la Mapinduzi Dhidi ya Kapteni Traore

Maafisa kadhaa wa Jeshi walikamatwa kufuatia uvumi kuhusu Mapinduzi yaliyopangwa dhidi ya Kiongozi wa Burkina Faso Kapteni Ibrahim Traore ambaye alichukua madaraka mwaka wa 2022.Hii imezua hali ya was . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • April 18, 2025

Kaunti hizi 11 zinaongoza kwa magenge hatari

MOMBASA, Nairobi na Kilifi zimeibuka kama kaunti zinazoongoza kwa magenge ya uhalifu nchini, kulingana na ripoti ya 2025 iliyotolewa na Kituo cha Kitaifa cha Utafiti wa Uhalifu (NCRC).Ripoti hiyo, ili . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • April 16, 2025

Wanawake Wawili Wakamatwa Kwa Kutumia Bunduki Kuwatisha Wanaume

Kilichoanza kama kisa cha tahadhari kilizidi haraka kuwa kimbunga cha matatizo, kwani Sharon Auma na rafiki yake Nancy Atieno Obura walijikuta kwenye kina kirefu kuliko walivyowahi kufikiria.Hii ni ba . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 15, 2025

Hamas yakabidhiwa mapendekezo mapya ya Israel kuhusu usitishaji mapigano

Wapatanishi toka nchi ya Qatar na Misri, wamekabidhi mapendekezo mapya ya Israel ya usitishaji wa mapigano huko Gaza kwa kundi la Hamas, mapendekezo ambayo hata hivyo afisa mmoja wa Hamas amesema kuna . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 14, 2025

Serikali ya Ethiopia yatuhumiwa kwa kuwafukuza raia wake kwa nguvu

Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu Amnesty International, limetuhumu serikali ya Ethiopia kwa kuwafurusha kwa nguvu raia wake katika makaazi yao ili kupisha mradi wa serikali wa kupanua . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • April 9, 2025

Jela Miaka 30 Kwa Kumbaka Kiziwi Wilaya ya Kwimba, Mwanza

Mahakama ya Wilaya ya Kwimba, mkoani Mwanza, imemhukumu Malimo Mathias Nguno maarufu kama Gohe (41), kifungo cha miaka 30 jela baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka 13 amb . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • April 4, 2025

Daktari wa makalio aliyesababisha kifo cha mteja arushwa ndani

DAKTARI wa masuala ya urembo anayeshtakiwa kumuua mwanamke aliyemfanyia upasuaji kumjengea makalio manene amenyimwa dhamana na Mahakama ya Kibra.Hakimu mwandamizi Bw Samson Temu aliamuru Dkt Robert Ma . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • April 4, 2025

Watu 30 wameuawa katika shambulio la watu wenye silaha

Watu 30 wameuawa katika eneo la Ruweng, Kaskazini mwa Sudan Kusini, baada ya kushambuliwa na vijana waliokuwa wamejihami kwa silaha.Mauaji haya yameripotiwa kutokea baada ya mzozo kati ya wafugaj . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • April 4, 2025

Waliodai Kubadilishiwa Mtoto Waangua Kilio Baada ya Majibu ya DNA Kufichua Ukweli

Waliodai kubadilishiwa mtoto waangua kilio baada ya majibu ya DNAHatimaye majibu ya vinasaba (DNA) ya watoto watatu waliozaliwa Machi 24, 2025 katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Arusha (Mount Meru) . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • April 3, 2025

Ajali ya Basi yauwa saba Same, majeruhi 31

Watu nane wamefariki Dunia na wengine thelathini na moja kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kupinduka wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro.Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo, Kamanda wa J . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • April 2, 2025

Wanakwaya 6 waliofariki kwa ajali ya gari wilayani Same Kuzikwa leo

Miili sita ya wanakwaya wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Mmeni Chome, Dayosisi ya Pare waliofariki kwa ajali ya gari wilayani Same mkoani Kilimanjaro itazikwa leo Jumata . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • April 2, 2025

Wanakwaya 6 waliofariki kwa ajali ya gari wilayani Same Kuzikwa leo

Miili sita ya wanakwaya wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Mmeni Chome, Dayosisi ya Pare waliofariki kwa ajali ya gari wilayani Same mkoani Kilimanjaro itazikwa leo Jumata . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • March 28, 2025

Jeshi latakiwa kuwaachia huru wanahabari wanaozuiliwa

Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) hapo jana Alhamisi lilitoa wito kwa watawala wa kijeshi wa Burkina Faso kuwaachilia huru waandishi watatu waliokamatwa wiki hii ambao wa . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • March 26, 2025

Mwanamume Aliyehumukiwa Kifo Saudia Atarajia Kurejea Nyumbani

Stephen Munyakho, Mkenya aliyepatikana na hatia ya mauaji nchini Saudi Arabia, anatarajiwa kurejea Kenya kufuatia kuingilia kati kwa Jumuiya ya Waislamu Ulimwenguni. Machi 25, wakati wa futari ka . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 26, 2025

Chatu wazua taharuki Katavi, Wananchi waomba msaada

Taharuki imetanda kwa wakazi wa Mtaa wa Kasimba Kata ya Ilembo Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi, baada ya kuonekana mara kwa mara Nyoka aina ya Chatu katika makazi yao huku wakihofia usalama wao.Wakiz . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • March 25, 2025

Polisi Wamsaka Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Apotea,

Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Taifa Daniel Chonchorio, Mkazi wa Nyakato jijini Mwanza anadaiwa kupotea katika mazingira ya kutatanisha majira ya asubuhi siku alipotoka kuelekea . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • March 24, 2025

Al-Shabaab Waua Askari Polisi Sita Wa Kenya

Askari sita wa jeshi la Polisi la Kenya wameuawa na wengine wanne wamejeruhiwa katika shambulio linaloaminika kufanywa na kundi la kigaidi la Al-Shabaab la Somalia katika kambi ya polisi iliyoko kweny . . .

Kurasa 1 ya 49

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Top Stories
news
  • 8 masaa yaliopita

MTI WA MPINGO NA MAAJABU YAKE

Michezo
news
  • 9 masaa yaliopita

Uwanja wa Mkapa upo tayari, wenye maamuzi ni CAF

Habari
news
  • 10 masaa yaliopita

WAKANDARASI WAVIVU WACHUKULIWA HATUA

Michezo
news
  • 10 masaa yaliopita

Ahmed Ally Awatoa Hofu Wana Simba Kuhusu Kuondoka Kwa Mpanzu, Bado Yupo Sana

Habari
news
  • 10 masaa yaliopita

Mahakama yaombwa kuvunja vyama kadhaa vya siasa, kikiwemo chama cha Joseph Kabila

Habari
news
  • jana

Majaliwa na Waziri Mkuu wa Côte d’Ivoire Wajadili Ushirikiano wa Kiuchumi na Kilimo

Habari
news
  • jana

Rais Maskini Zaidi Duniani Afariki Akiwa na Umri wa Miaka 89

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • MTI WA MPINGO NA MAAJABU YAKE

    • 8 masaa yaliopita
  • Uwanja wa Mkapa upo tayari, wenye maamuzi ni CAF

    • 9 masaa yaliopita
  • WAKANDARASI WAVIVU WACHUKULIWA HATUA

    • 10 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode