Jeshi la Israel limethibitisha kutekeleza shambulio katika kile limesema ni hospitali ambayo ilikuwa inatoa hifadhi kwa magaidi wakati wa oparesheni zake katika Ukanda wa Gaza.Hamas inasema wanahabari . . .
Inspekta Jenerali wa Polisi Douglas Kanja ametangaza kupatikana kwa bunduki iliyotumika kumpiga risasi na kumuua Mbunge wa Kasipul Charles Ong'ondo, katika barabara ya Ngong jijini Nairobi wikiiliyopi . . .
Ndege zisizokuwa na rubani kwa mara ya tano siku ya Alhamisi, zimeshambulia ngome za jeshi Mashariki na Kusini mwa nchi ya Sudan.Mashambulio hayo yanatekelezwa na wanamgambo wa RSF wanaoendelea kupamb . . .
Wanajeshi wa Sudani wamefanya shambulio la nadra la ndege zisizo na rubani katika mji wa mashariki wa Kassala, karibu na mpaka wa Eritrea, chanzo katika serikali pinzani, inayoshirikiana na jeshi, kim . . .
Familia ya mwanamume aliyedaiwa kuzikwa kisiri na mkewe huko Voi, kaunti ya Taita Taveta, imechukua hatua kutokana na kucheleweshwa kwa haki. Edward Mwaigo Maghanga alizikwa na mkewe bila idhini ya fa . . .
Mahakama ya Wilaya ya Maswa, mkoani Simiyu, imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela Daudi Mabele (38), mkazi wa Kijiji cha Kakola, kilichopo Kata ya Shishiyu, wilayani humo.Mabele amehukumiwa kifungo hic . . .
Jeshi la Polisi Mkoa wa Simiyu limemfikisha mahakamani binti aliyejitambulisha kwa jina la Pendo Paul Elikana (19), mkazi wa Kijiji cha Mbuga ya Banya, Wilaya ya Meatu, mkoani Simiyu, kwa tuhuma za ku . . .
Maafisa kadhaa wa Jeshi walikamatwa kufuatia uvumi kuhusu Mapinduzi yaliyopangwa dhidi ya Kiongozi wa Burkina Faso Kapteni Ibrahim Traore ambaye alichukua madaraka mwaka wa 2022.Hii imezua hali ya was . . .
MOMBASA, Nairobi na Kilifi zimeibuka kama kaunti zinazoongoza kwa magenge ya uhalifu nchini, kulingana na ripoti ya 2025 iliyotolewa na Kituo cha Kitaifa cha Utafiti wa Uhalifu (NCRC).Ripoti hiyo, ili . . .
Kilichoanza kama kisa cha tahadhari kilizidi haraka kuwa kimbunga cha matatizo, kwani Sharon Auma na rafiki yake Nancy Atieno Obura walijikuta kwenye kina kirefu kuliko walivyowahi kufikiria.Hii ni ba . . .
Wapatanishi toka nchi ya Qatar na Misri, wamekabidhi mapendekezo mapya ya Israel ya usitishaji wa mapigano huko Gaza kwa kundi la Hamas, mapendekezo ambayo hata hivyo afisa mmoja wa Hamas amesema kuna . . .
Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu Amnesty International, limetuhumu serikali ya Ethiopia kwa kuwafurusha kwa nguvu raia wake katika makaazi yao ili kupisha mradi wa serikali wa kupanua . . .
Mahakama ya Wilaya ya Kwimba, mkoani Mwanza, imemhukumu Malimo Mathias Nguno maarufu kama Gohe (41), kifungo cha miaka 30 jela baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka 13 amb . . .
DAKTARI wa masuala ya urembo anayeshtakiwa kumuua mwanamke aliyemfanyia upasuaji kumjengea makalio manene amenyimwa dhamana na Mahakama ya Kibra.Hakimu mwandamizi Bw Samson Temu aliamuru Dkt Robert Ma . . .
Watu 30 wameuawa katika eneo la Ruweng, Kaskazini mwa Sudan Kusini, baada ya kushambuliwa na vijana waliokuwa wamejihami kwa silaha.Mauaji haya yameripotiwa kutokea baada ya mzozo kati ya wafugaj . . .
Waliodai kubadilishiwa mtoto waangua kilio baada ya majibu ya DNAHatimaye majibu ya vinasaba (DNA) ya watoto watatu waliozaliwa Machi 24, 2025 katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Arusha (Mount Meru) . . .
Watu nane wamefariki Dunia na wengine thelathini na moja kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kupinduka wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro.Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo, Kamanda wa J . . .
Miili sita ya wanakwaya wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Mmeni Chome, Dayosisi ya Pare waliofariki kwa ajali ya gari wilayani Same mkoani Kilimanjaro itazikwa leo Jumata . . .
Miili sita ya wanakwaya wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Mmeni Chome, Dayosisi ya Pare waliofariki kwa ajali ya gari wilayani Same mkoani Kilimanjaro itazikwa leo Jumata . . .
Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) hapo jana Alhamisi lilitoa wito kwa watawala wa kijeshi wa Burkina Faso kuwaachilia huru waandishi watatu waliokamatwa wiki hii ambao wa . . .
Stephen Munyakho, Mkenya aliyepatikana na hatia ya mauaji nchini Saudi Arabia, anatarajiwa kurejea Kenya kufuatia kuingilia kati kwa Jumuiya ya Waislamu Ulimwenguni. Machi 25, wakati wa futari ka . . .
Taharuki imetanda kwa wakazi wa Mtaa wa Kasimba Kata ya Ilembo Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi, baada ya kuonekana mara kwa mara Nyoka aina ya Chatu katika makazi yao huku wakihofia usalama wao.Wakiz . . .
Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Taifa Daniel Chonchorio, Mkazi wa Nyakato jijini Mwanza anadaiwa kupotea katika mazingira ya kutatanisha majira ya asubuhi siku alipotoka kuelekea . . .
Askari sita wa jeshi la Polisi la Kenya wameuawa na wengine wanne wamejeruhiwa katika shambulio linaloaminika kufanywa na kundi la kigaidi la Al-Shabaab la Somalia katika kambi ya polisi iliyoko kweny . . .