kijana mmoja kuoa na kuwa na familia yake zilivunjwa na mwanamke ambaye alikuwa amemwamini.Mwanamume huyo mwenye huzuni alisalia amechanganyikiwa na mumeza mate machungu baada ya ndoa yake kuvunjika s . . .
Wizara ya Ulinzi ya China imesema katika taarifa yake kwamba ndege hizo zilizoingia ndani ya mipaka yake ya ulinzi ADIZ ya Seoul zilikuwa zikishiriki katika mazoezi ya pamoja ya anga na Russia katika . . .
Mchezaji soka wa Colombia na Klabu ya Boca Juniors, Sebastian Villa amehukumiwa miaka miwili na mwezi mmoja jela kwa kosa la kumnyanyasa kijinsia aliyekuwa mpenzi wake Daniela Cortes.Daniela Cortes mp . . .
Mhubiri tata, Paul Mackenzie anayedaiwa kuchangia vifo vya watu wengi katika msitu wa Shakahola, amewataka Wanahabari kumnunulia mkate na maziwa akisema wametengeneza pesa nyingi kupitia jina lake.&nb . . .
Takriban watu watano waliuawa na wanane kujeruhiwa Jumapili wakati wanaume watatu walipofyatua risasi ndani ya nyumba huko Guayaquil, mojawapo ya miji iliyoathiriwa zaidi na uhalifu na ulanguzi wa daw . . .
Rais wa Marekani Joe Biden amejikwaa na kuanguka alipokuwa akikabidhi cheti cha diploma katika sherehe ya kuhitimu kwa Chuo cha Jeshi la Wanahewa la Marekani huko Colorado.Biden, ambaye ndiye rais mko . . .
Msichana mwenye umri wa miaka 9 na mama yake walikuwa miongoni mwa watu watatu waliouawa kufuatia mgomo wa Urusi huko Kyiv mapema Alhamisi, maafisa wa Ukraine walisema, huku picha ya wazi zaidi ikione . . .
Mwanamume mmoja nchini Marekani ameachiliwa na Mahakama ya California baada ya kutumiwa kifungo cha miaka 33 kwa tuhuma za jaribio la mauaji.Fox 2 inaripoti kuwa Daniel Saldana mwenye umri wa miaka 55 . . .
Msichana mwenye umri wa miaka 15 ameshtakiwa kwa kuchoma moto bweni la shule huko Guyana na kusababisha vifo vya wanafunzi 18 na mvulana wa miaka mitano..Msichana huyo alishtakiwa siku ya Jumatatu kwa . . .
PASTA kutoka Nigeria ameshtakiwa kwa kula njama za kuitapeli benki mamilioni ya pesa.Pasta Wealth Ochelle almaarufu Apostle Wealth wa Kanisa la Cogic International Church of God lililoko eneo la . . .
Urusi imefanya wimbi jipya la mashambulizi katika mji mkuu wa Kiev mapema leo Jumanne huku milio ya ving'ora ikisika katika maeneo kadhaa ya Ukraine kama tahadhari.Meya wa mji mkuu huo Vitali Klitschk . . .
Gavana wa Mkoa wa Darful uliopo Magharibi mwa Sudan, Mini Minawi amewahimiza raia kwenye eneo hilo kubeba silaha ili kujilinda na wahujumu wa taasisi za taifa.Amesema, raia wanapaswa kuchukua silaha k . . .
HomeGossip NewsAskari Wawili Wauawa Mbuga ya WanyamaAskari Wawili Wauawa Mbuga ya WanyamaUdaku Special May 29, 2023Weka Tangazo Lako Hapa Walinzi wawili wa Mbuga za Wanyama Virunga, wameuawa . . .
Zuhura Ramadhani (30) amemshtaki Khadija Katusi Muoza katika Serikali ya Mtaa ya Mpiji Magohe kwa kutomlipa stahiki zake kwa zaidi ya Miaka mitano ambapo kwa mwezi mshahara wake ni Tsh. 35,000Zuhura a . . .
Wakati mapigano mjini Khartoum yakiingia siku ya 23, raia waliobaki mjini humo wameelezea hali mbaya ya kikatili huku wakidai wanakaribia kuishiwa na mahitaji muhimu, masoko yakiwa yamefungwa na bidha . . .
Kijana mmoja mwenye umri wa miaka 19 amebaki kwenye njia panda baada ya kushinda hela ndefu kutoka kwenye mchezo wa Kamari (betting) lakini babake akazikataa hela hizo kwenye nyumba yake. Kulingana na . . .
Askari wa Zimamoto na Uokoaji Assintant Inspector Mohammed kutoka Kinondoni amesema chanzo cha lifti ya jengo la Millenium Tower lililopo eneo la Makumbusho, imetokana na kubeba watu zaidi ya uzito un . . .
Urusi imesema mji wake wa Belgorod uliko mpakani na Ukraine umeshambuliwa kwa idadi kubwa ya ndege zisizo na rubani.Viongozi wa Urusi wamesema mji wake wa Belgorod ambao uko kwenye mpaka na Ukraine um . . .
Maafisa wa serikali nchini Cameroon, wanasema takriban Wanawake 30 wametekwa nyara na wanamgambo wanaopigania kujitenga na wenzao wanaozungumza kiingereza, huku wakidai utekaji nyara huo ulitokana na . . .
Mlinzi mmoja nchini Uganda aliwafungia nje wafanyakazi 50 wa serikali kwa madai ya kutolipwa malimbikizo ya mshahara wake. Karim Kanku, 67, anasemekana kudai serikali takriban KSh1.8 milioni . . .
Waziri mmoja mwanamama aliwakilisha nchi yake kwenye kikao Mjini Dakar Senegal na akiwa hapo ikawa kajiwekea la Utaratibu ka kuiba vijiko, visu na nyuma kila wanapoenda restaurant. Breakfast anaiba, â . . .
Fundi Ujenzi, Iddi Saidi Kindula (37), mkazi wa Madale jijini Dar es Salaam anadaiwa kumuua mkewe, Tukae Seif Ramadhani (16), kwa kumnyonga kisha naye kukutwa amefariki dunia akining’inia kwenye kam . . .
Mtoto mwenye umri wa miaka 12, kutoka nchini Zambia amefariki dunia baada ya kudaiwa kupigwa na marafiki zake watatu wakati wakicheza mchezo wa mateke na makofi. Kulingana na shangazi wa marehemu . . .
Takriban watu 12 wameuawa katika vurugu zilizotokea ndani ya Uwanja wa El Salvador, ambapo mashabiki wa soka walikusanyika kutazama mechi kati ya FC Alianza na Club Deportivo FAS. Taarifa ya polisi nc . . .