logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
Mauaji
  • Na Asha Business
  • 9 masaa yaliopita

Ajiua baada ya kumumuua mtoto wake wa miaka 2

Kabla ya tukio hilo baba mzazi wa mtoto huyo ambao wote ni marehemu, alikwenda nyumbani kwa mzazi kwenzie Violeth Edward (19) na kumchukua kwa nguvu mtoto huyo huku akiwa na jazba.Derick Mwangama (23) . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • jana

Wahanga wa maporomoko Chesongoch kuzikwa kaburi la pamoja

KWA familia za wahanga wa maporomoko ya ardhi ya Chesongoch, Kaunti ya Elgeyo Marakwet, majonzi yao ni zaidi ya kuwapoteza wapendwa wao, sasa wanakabiliwa na swali gumu: watawazika wapi wakati mashamb . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

32 wamefariki dunia, baada ya mgodi wa Kobalt Congo i kuporomoka

Watu 32 wamefariki dunia, baada ya mgodi wa Kobalti kuporomoka katika eneo la uchimbaji madini la Kalando, katika machimbo ya Mulondo ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). Ajali hiyo ilitokea ba . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Netanyahu aapa kupinga kuanzisha taifa la Palestina

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu ameapa kupinga jaribio la kuanzisha taifa la Palestina, siku moja kabla ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kupiga kura kuhusu azimio lililoandaliwa na Ma . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • October 28, 2025

Watu 12 wafariki katika ajali ya ndege Kwale

WATU 12, wakiwemo watalii, wanahofiwa kufariki baada ya ajali ya ndege kutokea katika eneo la Vyungwani, Matuga, Kaunti ya Kwale, asubuhi ya Jumanne.Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Nchin . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 27, 2025

Mashambulizi ya Israel yamewaua watu watatu

Lebanon kupitia wizara yake ya afya imesema mashambulizi ya Israel kusini na mashariki mwa nchi hiyo, yamewaua watu watatu, licha ya makubaliano yanayoendelea ya usitishaji mapigano.Lebanon kupitia wi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 27, 2025

Watu wanne wameuawa katika maandamano ya upinzani

Takriban watu wanne wameuawa kwa kupigwa risasi katika maandamano mjini Douala nchini Cameroon siku ya Jumapili wakilalamikia wizi wa kura, huku raia wakizidi kusubiri matokeo ya urais baada ya uchagu . . .

Habari
  • Na Asha Business
  • October 24, 2025

Wawili Wahukumiwa Kifungo Cha Miaka 35 Jela Kwa Unyang’anyi Wa Kutumia Nguvu Na Kujaribu Kubaka

Mahakama ya Wilaya Temeke Jijini Dar es Salaam Oktoba 22,2025 imewahukumu kutumikia kifungo cha miaka 35 jela Mohamed Aloyce Mtangile mwenye umri wa miaka 32 mkazi wa yombo vituka na Shafii Ahmed Sali . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • October 23, 2025

Maafisa 2 wa DCI Wakamatwa kwa Madai ya Kumuibia Mwanamume KSh 2m

Maafisa wawili wa Idara ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai wametiwa mbaroni kufuatia kisa cha wizi katika eneo la Kasarani. Kulingana na ripoti iliyowasilishwa katika Kituo cha Polisi cha Kasarani c . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • October 22, 2025

Zaidi ya watu 40 wafariki dunia baada ya mabasi kugongana Uganda

Mamlaka za Uganda zinasema idadi ya waliofariki katika ajali mbaya iliyotokea kwenye Barabara Kuu ya Kampala–Gulu 46, kufuatia taarifa mpya kutoka kwa maafisa wa hospitali.Maafisa wanasema baadhi ya . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • October 22, 2025

12 watiwa mbaroni kwa kufanya fujo Sirari

Baada ya watuhumiwa hao kufikishwa kituoni, vijana wa bodaboda waliopewa taarifa potofu na ambao walishuhudia watuhumiwa hao kufikishwa kituoni walirudi eneo la mji wa Sirari na bila halali yoyote na . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • October 21, 2025

Waliotaka Kumteka Tarimo Wafungwa Miaka Saba Jela

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kivukoni, Kinondoni imewahukumu vijana wanne, akiwemo askari mmoja na mabondia wawili, kifungo cha miaka saba jela kila mmoja baada ya kupatikana na hatia ya ku . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 17, 2025

Serikali kutangaza hali ya hatari katika mji wa Lima kufuatia wimbi la maandamano ya ghasia

Serikali mpya ya Peru imetangaza siku ya Alhamisi nia yake ya kutangaza hali ya hatari katika mji mkuu, Lima, kufuatia wimbi la ghasia za uhalifu zilizopangwa ambazo zimesababisha maandamano makubwa y . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • October 15, 2025

Kiwanda cha nguo chateketea kwa moto huku 16 wafariki dunia

Takriban watu 16 wamefariki dunia baada ya moto mkubwa kuzuka katika kiwanda cha nguo nchini Bangladesh, huku maafisa wakisema kuwa huwenda idadi hiyo ikaongezeka.Shirika la zimamoto limesema miili 16 . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • October 14, 2025

Watu 300,000 walitoroka Sudan Kusini mnamo mwaka 2025 kufuatia mgogoro wa kivita

Takriban watu 300,000 wameikimbia Sudan Kusini tangu mwanzoni mwa mwaka 2025, huku mzozo kati ya viongozi wanaohasimiana ukitishia kuzua vita vya wenyewe kwa wenyewe, Umoja wa Mataifa unaonya.Kutoroka . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • October 13, 2025

Wanajeshi 15 wa Pakistan wauawa katika mapigano makali na Taliban mpakani

Wanajeshi 15 wa Pakistan wameuawa katika mapigano makali kati ya vikosi vya Taliban na jeshi la Pakistan karibu na mpaka wa Durand, baada ya mashambulizi ya anga yaliyotekelezwa na Pakistan ndani ya a . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • October 8, 2025

Aliyekuwa Mgombea Ubunge wa CUF, Daud Mtuyehabi, Auawa Kwa Kupigwa

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linaendelea na uchunguzi wa tukio la mauaji ya Daud Mtuyehabi, aliyewahi kuwa mgombea ubunge kupitia Chama cha Wananchi (CUF) katika Jimbo . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • October 7, 2025

Watu wawili wafariki ajali ya basi na lori Geita

Watu wawili wamefariki dunia katika ajali iliyohusisha basi la abiria la Kampuni ya Mallesa na gari la mizigo iliyotokea katika kijiji cha Rumasa, kata ya Butengorumasa, tarafa ya Buseresere, wilayani . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • October 7, 2025

Mahakama Kuu Yaamua Hatima ya Mpina Oktoba 10

Mwanachama wa chama cha ACT Wazalendo, Luhaga Mpina, amesema kuwa matamanio yake makuu ni kuona anaruhusiwa kugombea nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akisisitiza kuwa anataka kuonye . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 7, 2025

Imetimia miaka miwili tangu shambulizi la Hamas la Oktoba 7

Waisrael wanajiandaa kuomboleza waliouawa, wakati taifa hilo linaadhimisha miaka miwili tangu shambulio la Hamas la Oktoba 7, ambalo liliingiza eneo hilo katika vita vya maangamizi.Katika kumbukumbu y . . .

Mtandaoni
  • Na Asha Business
  • October 2, 2025

Wanawake wanazidi kunyanyaswa kwenye mitandao

Kadri matumizi ya mitandao yanavyoongezeka barani Afrika, wanawake na wasichana wanazidi kuripoti ukatili kutokana na matumizi hayo ya mitandao.Kwenye ripoti iliyotolewa na Shirikisho la Mawakili Wana . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • October 1, 2025

Bibi adaiwa kuua mjukuu wake kisa kutomsalimia

JESHI la Polisi mkoani Shinyanga linamsaka Christina Kishiwa (42), mkazi wa Mtaa wa Nyakato, Kata ya Nyasubi, Manispaa ya Kahama, kwa tuhuma za kumuua mjukuu wake, Sofia Ndoni (4), baada ya kumshambul . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • October 1, 2025

Ombi mshukiwa wa mauaji ya wagonjwa KNH Kalombotole apimwe akili kwa mara ya pili

MSHUKIWA mkuu katika mauaji ya wagonjwa katika Hospitali Kuu ya Kenyatta, Kennedy Kalombotole amerudishwa rumande kusubiri uamuzi iwapo atapimwa utimamu wa akili yake.Mawakili Joshua Ombengi, Philip M . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • October 1, 2025

Jeshi la Israel lazuia njia ya kuelekea kaskazini mwa Gaza

Jeshi la Israel limesema Jumatano litaifunga njia ya mwisho iliyosalia kwa ajili ya wakaazi wa kusini mwa Gaza kuelekea kaskazini, huku likiendeleza mashambulizi yake Gaza City.Msemaji wa Jeshi la Isr . . .

Kurasa 1 ya 56

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Habari
news
  • 7 masaa yaliopita

China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

Habari
news
  • 7 masaa yaliopita

Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

Habari
news
  • 8 masaa yaliopita

Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

Habari
news
  • 8 masaa yaliopita

Uhamiaji Simiyu yaendelea na jitihada za kudhibiti Wahamiaji haramu

Habari
news
  • 8 masaa yaliopita

Serikali kufuatilia Makala ya CNN kuhusu maandamano ya uchaguzi oktoba 29

Habari
news
  • 8 masaa yaliopita

Dkt, Samia anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi siku mbili mkoani Arusha

Habari
news
  • 9 masaa yaliopita

Kesi ya 3 yawasilishwa kupinga ujenzi wa Chuo Kikuu cha Nyamira

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

    • 7 masaa yaliopita
  • Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

    • 7 masaa yaliopita
  • Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

    • 8 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode