Kadri matumizi ya mitandao yanavyoongezeka barani Afrika, wanawake na wasichana wanazidi kuripoti ukatili kutokana na matumizi hayo ya mitandao.Kwenye ripoti iliyotolewa na Shirikisho la Mawakili Wana . . .
JESHI la Polisi mkoani Shinyanga linamsaka Christina Kishiwa (42), mkazi wa Mtaa wa Nyakato, Kata ya Nyasubi, Manispaa ya Kahama, kwa tuhuma za kumuua mjukuu wake, Sofia Ndoni (4), baada ya kumshambul . . .
MSHUKIWA mkuu katika mauaji ya wagonjwa katika Hospitali Kuu ya Kenyatta, Kennedy Kalombotole amerudishwa rumande kusubiri uamuzi iwapo atapimwa utimamu wa akili yake.Mawakili Joshua Ombengi, Philip M . . .
Jeshi la Israel limesema Jumatano litaifunga njia ya mwisho iliyosalia kwa ajili ya wakaazi wa kusini mwa Gaza kuelekea kaskazini, huku likiendeleza mashambulizi yake Gaza City.Msemaji wa Jeshi la Isr . . .
Watu 95 wamekufa kutokana na njaa pamoja na magonjwa katika kipindi cha siku 40 zilizopita kwenye kambi ya wakimbizi ya Abu Shouk huko El Fasher nchini Sudan, wafanyakazi wa kujitolea wamethibitisha.K . . .
Maafisa wa upelelezi wanapigwa darubini vikali kwa kushindwa kumkamata mshukiwa hata mmoja kuhusiana na mauaji ya wakili Mathew Kyalo Mbobu, karibu siku 20 baada ya kuuawa kwa kupigwa risasi jijini Na . . .
Rais mstaafu wa Ufaransa, Nicolas Sarkozy, amehukumiwa kifungo cha miaka mitano gerezani, baada ya kupatikana na hatia ya kula njama ya uhalifu katika kesi inayohusiana na kupokea fedha za kampe . . .
Serikali ya Madagascar, kisiwa kilicho katika Bahari ya Hindi, siku ya Alhamisi kimetangaza marufuku ya kutotoka nje usiku kufuatia maandamano makali. Polisi walitumia risasi za mpira na mabomu ya mac . . .
Mahakama Kuu ya Tanzania, Kitengo cha Rushwa na Uhujumu Uchumi, imemhukumu Hemed Juma Mrisho maarufu kwa jina la “Horohoro” kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kusafirisha dawa . . .
Mkazi wa Nyakato ambaye ni Mfanyakazi wa ndani (Hauseboy), Fred Kelendo Marekioli (19), amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Nyamagana Mkoani Mwanza kwa tuhuma za kumfanyia shambulio la aibu mtoto . . .
Njombe – Askari wa Gereza la Njombe, Erasto Mlelwa (26) mwenye namba C.916 WDR, amefariki dunia baada ya kujirusha kutoka kwenye gari la Polisi wakati likiwa linaenda kwa mwendo, kufuatia kuoneshwa . . .
WANAJESHI wa Ukraine wanaendelea kuwazuilia zaidi ya Wakenya wanne ambao imebainika walinyakwa wakipigania jeshi la Urusi.Ukraine na Urusi zimekuwa na mzozo wa zaidi ya miaka mitatu kuhusu mipaka yao . . .
Mahakama Kuu nchini Afrika Kusini ilitupilia mbali rufaa siku ya Jumanne iliyowasilishwa na familia ya aliyekuwa Rais wa Zambia, Edgar Lungu, iliyokuwa ikitaka kusitisha urejeshaji wa mwili wake nchin . . .
Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa linatarajiwa kupiga kura kuidhinisha usitishwaji wa vita na kuruhusu misaada kuingia Gaza, licha ya kura turufu ya Marekani ambayo haiungi mkono hatua hiyo.Wanach . . .
Zaidi ya watu 50 waliuawa wiki iliyopita katika mfululizo wa mashambulizi ya magenge nchini Haiti, kulingana na ripoti iliyotolewa siku ya Jumatatu na Mtandao wa Kitaifa wa Kutetea Haki za Kibinadamu . . .
Watu zaidi ya 800 wamefariki na wengine zaidi ya 2,700 wamejeruhiwa mashariki mwa Afghanistan, ambayo imekumbwa usiku na tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 6 lenye ukubwa wa 6 katika kipimo cha Richter . . .
Watu wawili wamefariki dunia na mmoja kujeruhiwa huku nyumba kadhaa zikiharibiwa kufuatia mlipuko uliotokea katika banda la kuchomelea vyuma lililopo Kichemuchemu, Kata ya Magomeni, Wilaya ya Bagamoyo . . .
Watu 79 wakiwemo watoto 19, wamefariki dunia baada kutokea ajali ya basi katika Jimbo la Herat kaskazini magharibi mwa Afghanistan ikihusisha lori pamoja na pikipiki.Taarifa iliyotolewa na . . .
Watu walikimbia ovyo huku wakipiga mayowe na wengine wakipoteza fahamu baada ya harusi iliyokuwa imepangwa kwa miezi kadhaa kuvurugika ghafla wakati wa kupika chakula cha wageni, ambapo nywele ya ajab . . .
IDADI ya vifo imefikia karibu watu 300 kufuatia mafuriko makubwa yaliyosababisha kuporomoka kwa majengo katika Wilaya ya Buner, Kaskazini Magharibi mwa Pakistan.Waokoaji wameendelea ku . . .
Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita linawashikilia askari wanne wa Hifadhi ya Kigosi iliyoko Wilaya ya Bukombe kwa tuhuma za mauaji ya kijana Hezron Fikiri (20), mkazi wa Kijiji cha Msonga.Kamanda wa Polisi . . .
Idara ya huduma za uokoaji zinajaribu kutafuta zaidi ya watu 40 ambao hawajulikani waliko baada ya ajali ya boti kaskazini magharibi mwa Nigeria siku ya Jumapili jioni, Agosti 17, Mamlaka ya kitaifa y . . .
Urusi ilirusha makombora na ndege 85 zisizo na rubani nchini Ukraine usiku wa kuamkia leo kulingana na taarifa ya Kyiv.Taarifa ya Kyiv imejiri saa chache kupita tangu kukamilika kwa kikao kati y . . .
SERIKALI imetuma kikosi maalum cha wapelelezi mjini Siakago, Kaunti ya Embu, kufuatia wingu la visa vya ghasia ambavyo vimesababisha mali yenye thamani ya mamilioni kuharibiwa na wakazi kadhaa kujeruh . . .