logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
AJALI
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Wafugaji 27 wafariki kwa kulipukiwa na bomu machungani

Takriban Wafugaji 27 wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya kutokea mlipuko wa bomu katika eneo lenye mivutano ya kikabila na kidini nchini Nigeria.Kwa mujibu wa Kamishna wa polisi wa Na . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

mapigano ya kikabila Ethiopia yaua raia

Makabiliano hayo yaliibuka siku ya Jumamosi katika mji wa Jewuha lililopo jimbo la Amhara. Mmoja ya mashuhuda ambaye hakutaka kutambulishwa aliliambia shirika hilo la habari kwamba wanamgambo wanaodha . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Mbwa Ampiga Risasi na Kumuua Mmiliki Wake Wakati wa Uwindaji

Katika kisa adhimu kuwahi kushuhudiwa ulimwenguni, mwanamume mmoja nchini Marekani anaripotiwa kupigwa risasi na mbwa wake walipokuwa mawindoni. Mbwa huyo anasemekana kufyatua risasi hiyo walipok . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 25, 2023

Rais wa zamani wa Mauritania kufikishwa mahakamani

Kesi ya rushwa dhidi ya Rais wa zamani wa Mauritania Mohamed Ould Abdel Aziz inaanza kesho. Itakuwa ni tukio la nadra kiongozi wa zamani wa nchi barani Afrika kufikishwa mahakamani.Abdel Aziz, . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • January 25, 2023

Mwalimu Aliyerekodiwa akichapa Watoto kwenye visigino Asimamishwa Kazi

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda amesema hatua stahiki zitachukuliwa dhidi ya Mwalimu aliyeonekana katika picha ya video iliyosambaa kwenye mitandao mbalimbali ya kijami . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • January 24, 2023

Mwanamume Apoteza Nyeti Zake Katika Maandamano Nchini Ufaransa

Mwanamume mmoja anadaiwa kupoteza nyeti zake kufuatia kichapo cha mbwa alichopokezwa katika maandamano ya kupinga mageuzi ya pensheni nchini Ufaransa. Katika maandamano hayo ya Alhamisi, Januari . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • January 20, 2023

Kutekwa wanawake Burkina Faso ilikuwa ni kulipiza kisasi

Wachunguzi wanaamini uvamizi wa wiki iliyopita kwa watu wanaoshukiwa kuwa wanajihadi nchini Burkina Faso, ulisababisha kutekwa kwa takriban wanawake 60, wasichana na watoto, mwendesha mashtaka wa eneo . . .

Habari
  • Na Asha Business
  • January 20, 2023

Taliban wa Pakistan wafanya shambulizi la kigaidi Pakistan

Serekali ya kaskazini  mwa Pakistani, Alhamisi imesema wanamgambo wamefanya shambulizi la bunduki na bomu kwenye kituo cha polisi, na kuwauwa wanajeshi watatu wa kikosi cha usalama.Kundi lililopi . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • January 18, 2023

MAMA AUAWA, AACHA WATOTO WATANO WADOGO

Sabina Barma (28) mwenye watoto watano ameuawa kwa kuchomwa shingoni kwa kitu Chenye ncha Kali na mtu anayetajwa kuwa ni mumewe.Marehemu ameacha watoto watano wa mwisho akiwa ana umri wa Mwaka mmoja a . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • January 18, 2023

Mwanajeshi Apigwa RISASI na Jamaa Aliyemuuliza Kwanini Anavuta Bangi Hadharani

Mwanajeshi mmoja anauguza jeraha hospitalini baada ya kupigwa risasi mkononi na mwanaume anayeshukiwa kuwa jambazi kuwa kumuuliza kwa nini alikuwa akivuta bangi hadharani.Timothy Mwangi alikuwa kwenye . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • January 17, 2023

Mume Wa Rubani Mwenza Wa Nepal Pia Afariki Katika Ajali Ya Ndege Miaka 16 Iliyopita

ambalo limeshuhudia mamia ya watu wakifariki katika ajali za ndege katika miongo ya hivi karibuni.Kwa miaka mingi, sababu kadhaa zimelaumiwa kwa rekodi mbaya ya usalama ya mashirika ya ndege ya Nepal. . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • January 17, 2023

Wanawake waliotekwa Burkina Faso ni 50

Takriban wanawake 50 wametekwa nchini Burkina Faso na wenye msimamo mkali wa Islamic State katika eneo la Sahel, kaskazini mwa Burkina Faso wiki iliyopoita kwa mujibu wa maafisa wa huko waliozungumza . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • January 16, 2023

KIFUNGO CHA MAISHA JELA KWA KUMLAWITI MTU MZIMA HADHARANI

Mahakama ya wilaya ya Tabora imemuhukumu  mkazi wa Kidatu “B” kata ya Mtendeni Mkoani Tabora Husseni Mashibu (32) kifungo cha maIsha jela baada ya kupatikana na hati ya  kumlaw . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • January 15, 2023

Watu 67 wamethibitishwa wamefariki katika ajali ya ndege Nepal

Watu 67 wamekufa leo baada ya ndege yenye uwezo wa kubeba abiria 72 kuanguka kwenye korongo wakati ikitua katika uwanja mpya wa ndege uliofunguliwa kwenye mji wa Pokhara nchini Nepal. Kwa mujibu wa af . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • January 15, 2023

Watu 8 wafariki katika shambulizi la Al-Shabaab nchini Somalia

Polisi wa Somalia wamesema kwamba watu wanane wameuawa katika shambulio la bomu kando ya barabara, huko Buloburde, mji ulipo katika wilaya ya Hiran ambapo vikosi vya serikali na wanamgambo wa ukoo wam . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • January 15, 2023

Ndege ya Abiria ya Kampuni ya Yeti Airlines Yenye Abiria 72 Yaanguka

Ndege ya abiria ya Kampuni ya Yeti Airlines iliyobeba jumla ya Watu 72 imeanguka leo katika Mji wa Pokhara karibu na uwanja wa ndege wa Mji huo uliopo nchini Nepal, Vikosi vya Uokoaji vinaendelea na u . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • January 13, 2023

Wanafunzi Wakimbizwa Hospitalini Baada ya Kula Nyoka Shuleni

Wanafunzi kadhaa walilazwa hospitalini Jumatatu, Januari 9, alasiri baada ya kula chakula chao cha mchana uliotolewa na serikali. Wanafunzi hao wa Shule ya Msingi ya Mandalpur, wanaripotiwa kuath . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • January 12, 2023

Mali yasema wanajeshi wake 14 wameuwawa katika mashambuli mawili ya wanamgambo

Wanajeshi 14 wa Mali wameuwawa na wengine 11 wamejeruhiwa katika mashambulzii mawili tofauti yaliyotokea katikati mwa nchi hiyo baada ya magari waliyokuwa wakitumia kukanyaga mabomu. Hayo yameelezwa n . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • January 11, 2023

Mama amuua mtoto wake

Jeshi la Polisi mkoa wa Mbeya, linamshikilia Joyce Matingo (26), mkazi wa Unyamwanga wilaya ya Rungwe, mkoani Mbeya kwa tuhuma za kumuua mtoto wake aitwaye Emily Matingo(9) kwa kumpiga sehemu mbalimba . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 10, 2023

Polisi ya Brazil yasambaratisha kambi ya wafuasi wa Bolsonaro

 Polisi wa nchini Brazil imeisambaratisha kambi ya waandamanaji nje ya makao makuu ya jeshi la nchi hiyo siku moja baada ya wafuasi wa rais wa zamani Jair Bolsonaro kuyavamia majengo ya utawala k . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • January 9, 2023

Urusi yadai kuwauwa wanajeshi wa Ukraine ila Ukraine yakanusha

Jeshi la Urusi limedai kufanya mashambulizi ya angani katika kambi ya kijeshi inayotumiwa na majeshi ya Ukraine kama hatua ya kulipiza kisasi kwa vifo vya wanajeshi wa Urusi waliouwawa kutokana na sha . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • January 9, 2023

Mtoto wa umri wa Miaka 6 ampiga risasi mwalimu wake

Mtoto mwenye umri wa miaka sita, anashikiliwa  na polisi baada ya kumpiga risasi mwalimu wake katika jimbo la Virginia nchini Marekani. Kwa mujibu wa ripoti ya maafisa wa polisi, mtoto huyo . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • January 8, 2023

Ukraine Yapokea Silaha Za Kujikinga Na Makombora, Russia Imetengua Ndege Isiyo Na Rubani Ya Ukraine

Rais wa Ukraine Volodymr Zelenskyy amepongeza msaada wa silaha kutoka Marekani, unaojumuisha magari yenye uwezo wa kurusha makombora ya kuharibu vifaru vya kivita.Zelenskyy amesema kwamba msaada huo u . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • January 6, 2023

Wanajeshi 46 wa Ivory Coast wafikishwa mahakamani Mali

Wanajeshi 46 wa Ivory Coast ambao kuzuiliwa kwao na Mali kulizua mzozo wa kidiplomasia walifikishwa katika mahakama ya rufaa mjini Bamako, Alhamisi, kwa mujibu wa ripota wa AFP. Kuonekana kwao . . .

Kurasa 1 ya 28

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
PickOfTheDay
news
  • 12 masaa yaliopita

Song Name: One Call | Artist : Otile Brown Ft Ruby

Habari
news
  • 13 masaa yaliopita

Viongozi wa kikanda wakubaliana kuiangamiza al-Shabab

Habari
news
  • 13 masaa yaliopita

KUFIKIA DESEMBA 2023 WAUGUZI 3000 KUPATA MAFUNZO YA MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA NCHINI.

Top Stories
news
  • 13 masaa yaliopita

Papa Francis akutana na wahanga wa vita vya Kongo

Habari
news
  • 14 masaa yaliopita

FBI Haijakuta Nyaraka Mpya Za Siri Katika Makazi Ya Rais Wa Marekani, Joe Biden

Michezo
news
  • 14 masaa yaliopita

BEKI WA KAZI SIMBA AREJEA

Habari
news
  • 14 masaa yaliopita

Marekani yamuwekea vikwazo mfanyabiashara wa silaha wa Russia

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Viongozi wa kikanda wakubaliana kuiangamiza al-Shabab

    • 13 masaa yaliopita
  • KUFIKIA DESEMBA 2023 WAUGUZI 3000 KUPATA MAFUNZO YA MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA NCHINI.

    • 13 masaa yaliopita
  • Papa Francis akutana na wahanga wa vita vya Kongo

    • 13 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P.O BOX 1334,
Malimbe-Luchelele,
Mwanza-Tanzania.

info@jembenijembe.com

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created By ZEDCODE Email: dammedeggers7777@gmail.com