Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) hapo jana Alhamisi lilitoa wito kwa watawala wa kijeshi wa Burkina Faso kuwaachilia huru waandishi watatu waliokamatwa wiki hii ambao wa . . .
Stephen Munyakho, Mkenya aliyepatikana na hatia ya mauaji nchini Saudi Arabia, anatarajiwa kurejea Kenya kufuatia kuingilia kati kwa Jumuiya ya Waislamu Ulimwenguni. Machi 25, wakati wa futari ka . . .
Taharuki imetanda kwa wakazi wa Mtaa wa Kasimba Kata ya Ilembo Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi, baada ya kuonekana mara kwa mara Nyoka aina ya Chatu katika makazi yao huku wakihofia usalama wao.Wakiz . . .
Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Taifa Daniel Chonchorio, Mkazi wa Nyakato jijini Mwanza anadaiwa kupotea katika mazingira ya kutatanisha majira ya asubuhi siku alipotoka kuelekea . . .
Askari sita wa jeshi la Polisi la Kenya wameuawa na wengine wanne wamejeruhiwa katika shambulio linaloaminika kufanywa na kundi la kigaidi la Al-Shabaab la Somalia katika kambi ya polisi iliyoko kweny . . .
Polisi mjini Naivasha wamemkamata mwanamume mmoja raia wa Uganda kwa madai ya kumuua mkewe katika eneo la Lwakhakha linalopakana na Kenya na Uganda.mshukiwa alimdunga kisu mkewe wa miaka 28 hadi akafa . . .
MAHAKAMA ya Wilaya ya Iramba Mkoani Singida imemhukumu kifungo cha maisha jela Barnaba Yohana Isaya (20), mkazi wa kiji cha Nselembwe, kata ya Sherui, Wilayani humo kwa kosa la kumlawiti mtoto wa kium . . .
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linamshikilia mwanaume mmoja (26), mkazi wa kijiji cha Kirwa, Wilaya ya Rombo, kwa tuhuma za mauaji ya mtoto Rosemary Mathias (06), mwanafunzi wa darasa la kwanza k . . .
Mwanamke mmoja kutoka Connecticut, Kimberly Sullivan (56), amekamatwa baada ya kijana anayesemekana kuwa mtoto wake wa kambo kudai kuwa alimfungia ndani ya nyumba kwa zaidi ya miaka 20 na kumtesa. Kij . . .
Mahakama ya Wilaya Bariadi mkoani Simiyu imemhukumu kifungo cha miaka 20 jela pamoja na kuchapwa viboko 12 Emmanuel John (31), maarufu kama Chief wa Kilulu, kwa kosa la kukutwa na nyara za serikali ai . . .
Uchunguzi kuhusu kifo cha Gilbert Kinyua, mgonjwa anayedaiwa kuuawa akiwa amelazwa katika Hospitali ya Kitaifa ya Kenyatta, umekwama baada ya mshukiwa kuruhusiwa. Hali hiyo ni kikwazo kwa familia ya K . . .
Umoja wa Mataifa umesema Wapiganaji wa M23 wamewateka karibu Watu 130 kutoka Hospitali za Mji wa Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, Goma unaodhibitiwa na Waasi.Umoja wa Mataifa umesema wik . . .
Mwanaume mmoja aliyefahamika kwa jina la Omary Seleman Mwanamtwa (61), mkazi wa Morogoro ambaye ni dereva wa teksi, anashikiliwa na polisi mkoani Morogoro kwa tuhuma za mauaji ya mteja wake, Ulumbi St . . .
Familia mashariki mwa DRC, Jumanne ya wiki hii zilizika wahanga wa shambulio lililoua takriban watu 13 huko Bukavu, huku jamaa waliokuwa na huzuni wakiisihi serikali kuhakikisha amani na usalama.Majen . . .
Takriban Watu sita wamefariki dunia na wengine 49 kujeruhiwa kufuatia kutokea kwa ajali iliyohusisha Lori na Basi la abiria katika eneo la Chigongwe llililopo jijini Dodoma.Ajalinhiyo, imetokea Machi . . .
Hamas wamekabidhi miili ya mateka wanne wa Israeli mapema siku ya Alhamisi, baada ya wafungwa wa Kipalestina ambao wamekuwa wakizuiwa magereza ya Israeli kuachiwa na kupelekwa kwenye ukanda wa Gaza.Of . . .
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imemhukumu Khamis Luwoga (45) adhabu ya kunyongwa hadi kufa baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mkewe, Naomi Marijani, kisha kuchoma mwili wake kwa kutumia magun . . .
Hali bado ni ya wasiwasi nchini Haiti kutokana na ghasia za magenge. Afisa wa polisi wa Kenya aliyetumwa Haiti, aliyejeruhiwa wakati wa operesheni, alifariki kwa majeraha siku ya Jumapili, Februari 23 . . .
Wanawake wawili wanauguza majeraha kutokana kisa cha kupigwa na mchungaji katika Kanisa la Betheli katika eneo la Kapkwen, Kaunti ya Bomet. Waathiriwa, Mercy Rono (38) na Mercy Cherotich (30), wa . . .
POLO aliyepokezwa hela za mazishi na mwanasiasa hapa Chepalungu, Kaunti ya Bomet, alihepa nazo akisema zilikuwa zake.Duru zinaarifu kuwa polo ni mfuasi sugu wa kigogo huyo wa siasa.Juzi familia yake i . . .
Msiba umekumba kijiji cha Kanyamelo huko Bondo baada ya wanafamilia wawili kufariki na wengine watatu kulazwa hospitalini kufuatia kisa kinachoshukiwa kuwa na sumu kwenye chakula. Chifu wa eneo h . . .
Mahakama ya Wilaya Sengerema mkoani Mwanza imemhukumu kwenda jela miaka mitatu Mkazi wa Kijiji cha Soswa wilayani humo, Amos John Malaki (30) baada ya kukutwa na hatia ya kuwajeruhi watu wawili kwa ku . . .
Wanamgambo wa Sudan wamewaua zaidi ya watu 200 wakiwemo wanawake na watoto, katika shambulio la siku tatu kwenye vijiji vya kusini mwa nchi hiyo, kundi la wanasheria linalofuatilia vita nchini humo li . . .
Waasi wa M23 sasa wako katika maeneo mawili y mko wa Kivu Kusini, ambayo ni maeneo ya Kalehe na Kabare, ambapo sasa wanakalia eneo la Kabamba na jiji la Katana. Maeneo muhimu yaliyo umbali wa kilomita . . .