logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
Jamii
  • Na Asha Business
  • 41 dakika zilizopita

Harusi yakumbwa na taharuki baada ya nywele kupatikana kwa sufuria

Watu walikimbia ovyo huku wakipiga mayowe na wengine wakipoteza fahamu baada ya harusi iliyokuwa imepangwa kwa miezi kadhaa kuvurugika ghafla wakati wa kupika chakula cha wageni, ambapo nywele ya ajab . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • saa moja lililopita

Watu 300 wapoteza maisha Pakistan

 IDADI ya vifo imefikia karibu watu 300 kufuatia mafuriko makubwa yaliyosababisha kuporomoka kwa majengo katika Wilaya ya Buner, Kaskazini Magharibi mwa Pakistan.Waokoaji wameendelea ku . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • saa moja lililopita

Askari wanne mbaroni kwa kuua raia

Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita linawashikilia askari wanne wa Hifadhi ya Kigosi iliyoko Wilaya ya Bukombe kwa tuhuma za mauaji ya kijana Hezron Fikiri (20), mkazi wa Kijiji cha Msonga.Kamanda wa Polisi . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • saa moja lililopita

Zaidi ya watu 40 wafariki katika ajali ya boti

Idara ya huduma za uokoaji zinajaribu kutafuta zaidi ya watu 40 ambao hawajulikani waliko baada ya ajali ya boti kaskazini magharibi mwa Nigeria siku ya Jumapili jioni, Agosti 17, Mamlaka ya kitaifa y . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Urusi ilirusha makombora na ndege zisizo na rubani 85 kuelekea Ukraine

Urusi ilirusha makombora na ndege 85 zisizo na rubani nchini Ukraine usiku wa kuamkia leo kulingana na taarifa ya Kyiv.Taarifa ya Kyiv  imejiri saa chache kupita tangu kukamilika kwa kikao kati y . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Wimbi la ghasia lazuka Embu biashara za mamilioni ya pesa zikichomwa

SERIKALI imetuma kikosi maalum cha wapelelezi mjini Siakago, Kaunti ya Embu, kufuatia wingu la visa vya ghasia ambavyo vimesababisha mali yenye thamani ya mamilioni kuharibiwa na wakazi kadhaa kujeruh . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Watu 40 wapoteza maisha Darfur

DARFUR, SUDAN : SHIRIKA la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) limeripoti kuwa takriban watu 40 wamefariki dunia katika eneo la Darfur, Sudan, kufuatia mlipuko mkubwa wa ugonjwa wa kipindupindu.Kwa mujibu . . .

Mauaji
  • Na Jembe Digital
  • 7 siku zilizopita

Wahalifu wafanya mauaji ya watu kaskazini Magharibi mwa Nigeria

Magenge ya wahalifu yamewaua maafisa 13 wa usalama, wakiwemo polisi wawili na walinzi 11, katika jimbo la Zamfara kaskazini Magharibi mwa Nigeria katika ghasia za hivi punde katika eneo hilo, vyanzo v . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • August 8, 2025

Ahukumiwa miaka 30 jera kwa kosa kulawiti mtoto

Mahakama ya Wilaya ya Kibiti Mkoa wa Pwani, imemhukumu Kulwa Said Omary (26) mkazi wa Bungu "A" kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la kumlawiti mtoto wa miaka (3) (jina limehifadhiwa).Hukumu hiyo imet . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • August 8, 2025

Aliyeua babake wakizozania mboga ya sukumawiki auawa na umati

WAKAZI wa kijiji cha Emulwala, Khwisero, Kaunti ya Kakamega wanaomboleza baada ya tukio la kusikitisha ambapo mwanamume mwenye umri wa miaka 39 alimuua babake kwa kisu baada ya kugombana kuhusu mboga . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • August 7, 2025

Mawaziri wawili nchini Ghana wafariki wa helikopta

Watu  wanne wafariki dunia kwa ajali ya helikopta iliyotokea August 6 mwaka huu katika eneo la Ashanti nchini Ghana na kusababisha vifo vya watu wanane huku miongoni mwao kuna mawaziri wawili.Kwa . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • August 6, 2025

Ugonjwa wa Chikungunya waja na staili mpya China

Wakati ugonjwa wa Chikungunya ukisambaa kwa kasi nchini China na kuambukiza zaidi ya watu 7,000 mamlaka zimeibuka na mbinu ya kuachia mbu wakubwa wasio na uwezo wa kung’ata binadamu ili kula mabuu y . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • August 4, 2025

Martyn afia Uturuki akijiandaa kufanyiwa upandikizaji nywele

Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na Magazeti ya Uingereza ya The Independent na The Guardian, Marehemu Martyn Latchman alikuwa akijiandaa kufanyiwa upasuaji wake wa pili katika kliniki hiyo baada ya . . .

Afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • July 28, 2025

kundi la Al-Shabaab wafanya jaribio jingine la kuvamia kambi ya polisi GSU.

VIKOSI vya kulinda usalama msituni Boni, Kaunti ya Lamu, vimezidisha msako dhidi ya magaidi wanaohusishwa na kundi la Al-Shabaab, baada ya jaribio jingine la kuvamia kambi ya polisi wa GSU.Katika kipi . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • July 22, 2025

Stephen Munyakho apata nafasi ya kuishi tena

Stephen Bertrand Munyakho, Mkenya ambaye alikuwa akikabiliwa na hukumu ya kifo nchini Saudi Arabia, sasa ameachiliwa rasmi kutoka kizuizini.Munyakho, kwa jina maarufu la Stevo, mwana wa kwanza wa mwan . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • July 22, 2025

Jair Bolsonaro akabiliwa na kifungo kwa 'kutotii

Jaji wa Mahakama ya Juu ya Brazili amewapa mawakili wa Jair Bolsonaro saa 24 kueleza "kutofuata" kwao marufuku ya rais huyo wa zamani kutumia mitandao ya kijamii, "chini ya adhabu ya kifungo cha mara . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • July 22, 2025

Bangladesh :Zaidi ya watu ishirini wamefariki kwa ajali ya ndege

Idadi ya vifo kutokana na ajali ya ajali ya ndege ya kivita ya Jeshi la Wanahewa la Bangladesh katika shule huko Dhaka Jumatatu, Julai 21, imeongezeka na kufikia angalau 27, wengi wao wakiwa wanafunzi . . .

Afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • July 22, 2025

Israel yafanya mashambulizi dhidi ya wafanyakazi wa WHO

Jeshi la Israel limevamia maghala na majengo mengine ya Shirika la Afya Duniani, WHO, katika Ukanda wa Gaza wakati ikiendesha operesheni zake.Mkuu wa WHO, Tedros Adhanom Ghebreyesus, amesema kwenye ta . . .

AJALI
  • Na Jembe Digital
  • July 18, 2025

Wanafunzi wawili wafariki kwa ajili Morogoro

Watu watatu wamefariki dunia wakiwemo wanafunzi wawili wa kidato cha nne, kufuatia ajali ya barabarani iliyohusisha pikipiki yenye namba za usajili MC 534 DYX iliyokuwa ikiendeshwa na Baraka Sajio(22) . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • July 18, 2025

Kijana adaiwa kumuua baba yake na kumtumbukiza kwenye shimo la choo

Jeshi la Polisi mkoa wa Pwani linamshikilia Rajabu Hamis (23), mkazi wa Mtaa wa Muheza, wilaya ya Kibaha, kwa tuhuma za kumuua baba yake mzazi, Hamis Musa (50), katika tukio la kikatili lililotokea us . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • July 18, 2025

Meno ya tembo, kiboko yampeleka jela miaka 20

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam imemuhukumu mfanyabiashara Abubakari Msangi (48), kifungo cha miaka 20 jela baada ya kupatikana na hatia ya kukutwa na vipande saba vya meno ya tembo na s . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • July 17, 2025

Polisi" Hatuhusiki kutoweka kijana Kongowe"

Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani limekanusha vikali taarifa zinazoeleza kuwa Mkuu wa Kituo Kidogo cha Polisi Kongowe, Wilaya ya Kibaha, alihusika katika kumkamata kijana Hussein Abdallah Mkama mnamo Mei . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • July 16, 2025

Syria yalengwa na mashambulizi usiku, Israeli yaongeza maonyo

Syria imelengwa na mashambulizi mapya ya Israeli wakati wa usiku wa Julai 15 kuamkia Julai 16, hasa dhidi ya miundombinu ya kijeshi. Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu amefafanua nia ya Israeli. Shirika l . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • July 16, 2025

Al Shabab wauteka mji wa Tardo

Wapiganaji wa Kiislamu wa Al Shabab wanaendelea na mashambulizi yao katikati mwa Somalia Tangu mwanzoni mwa mwaka 2025, wamekuwa wakirejea kaskazini mwa Mogadishu, mji mkuu, eneo ambalo walikuwa wamef . . .

Kurasa 1 ya 54

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Habari
news
  • 12 dakika zilizopita

Apandishwa kizimbani mashtaka ya kubaka, kulawiti mwanafunzi

Makala
news
  • 24 dakika zilizopita

Wataalam wahimiza kufua taulo angalau mara mbili baada ya kujipangusa nayo

Habari
news
  • 52 dakika zilizopita

Wasomi wa Kiswahili wamuomboleza Profesa Hamu Habwe

Habari
news
  • 54 dakika zilizopita

Wasomi wa Kiswahili wamuomboleza Profesa Hamu Habwe

Habari
news
  • saa moja lililopita

Syria yataka amani

Top Stories
news
  • 2 masaa yaliopita

Wagombea wote watakiwa kuwasilisha gharama za kampeni kabla ya siku husika kufika

Top Stories
news
  • 2 masaa yaliopita

Kesi ya Lissu yaendelea leo mahakamani

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Apandishwa kizimbani mashtaka ya kubaka, kulawiti mwanafunzi

    • 12 dakika zilizopita
  • Wataalam wahimiza kufua taulo angalau mara mbili baada ya kujipangusa nayo

    • 24 dakika zilizopita
  • Harusi yakumbwa na taharuki baada ya nywele kupatikana kwa sufuria

    • 41 dakika zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode