logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
Habari
  • Na Asha Business
  • 24 masaa yaliopita

Marekani yafungua uchunguzi baada ya wahamiaji 51 kufa kwa joto ndani ya Trela

Idadi ya vifo vya wahamiaji wasio na vibali waliotelekezwa kwenye trela lenye joto kali mjini Texas imepanda hadi 51 jana Jumanne, huku Rais Joe Biden akiwalaumu wale aliowaita wahalifu wenye utaa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • jana

Jeshi la Sudan lafyatua mizinga eneo la mpaka na Ethiopia

Wanajeshi wa Sudan wamefyatua mizinga wakati wa makabiliano katika eneo la mashariki lilalozozaniwa ambalo linapakana na Ethiopia. Hayo ni kwa mujibu wa afisa mmoja wa Ethiopia, ikiwa ni tukio la . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • jana

Zaidi ya wanawake 100 wameuawa nchini Syria

Zaidi ya watu 100 wengi wao wakiwemo wanawake wameuawa kwenye kambi moja nchini Syria katika muda wa miezi 18 pekee Umoja wa Mataifa ulisema Jumanne ukizitaka nchi kuwarejesha makwao raia wao. . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Zaidi ya watu 40 wakutwa wamekufa kwenye lori

Takriban watu 46, wanaoaminika kuwa wahamiaji, wamepatikana wamefariki kwenye lori lililotelekezwa viungani mwa San Antonio, Texas. Afisa wa zima moto alisema watu 16 wakiwemo watoto wanne pia wam . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Idadi ya watoto waliokufa kutokana na mitetemeko ya ardhi imeongezeka na kufikia 155

Umoja wa Mataifa umesema idadi ya watoto waliokufa kutokana na mitetemeko ya ardhi nchini Afghanistan sasa imefikia 155. Asasi ya misaada ya Umoja huo, OCHA imesema watoto wengine wapatao 250 wa . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Mwili wa mchimba dhahabu wapatikana baada ya miezi 8

 Mwili wa mchimba dhahabu Tom Okwach ulipatikana Jumapili, baada ya siku 205, tangu timbo la Abimbo, Kaunti ya Siaya, kuporomoka Desemba 2, 2021. Wakazi walikuwa wakichimba mtaro karibu na t . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Miss Bbrazil 2018 Afariki Baada ya Kufanya Upasuaji

Gleycy Correia ni aliyekuwa Miss Brazil mwaka 2018 ambaye amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 27 baada kufanyiwa upasuaji (sajari) kutoa mafindofindo. Kwa mujibu wa vyombo vingi vya habari vya . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Maafisa polisi wawili wameuawa kufuatia shambulizi lililofanywa na wanajihadi huko Benin

Maafisa wawili wa polisi waliuawa na mmoja kujeruhiwa katika shambulizi dhidi ya kituo cha polisi kaskazini magharibi mwa Benin siku ya Jumapili duru za polisi zilisema. Mashambulizi ya karibun . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Urusi yasema vikosi vyake vimechukua udhibiti kamili wa Sieverodonetsk

Urusi imesema vikosi vyake vimechukua udhibiti kamili wa mji wa mashariki mwa Ukraine wa Sieverodonetsk. Wizara yake ya Ulinzi imesema vikosi vyao vimechukua pia udhibiti wa mji jirani wa Bor . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Maandamano kuhusu uamuzi wa Mahakama Kuu juu ya utowaji mimba yafanyika kote Marekani

Maelfu na maelfu ya Wamarekani wameandamana Jumamosi siku moja baada ya Mahakama Kuu kugeuza sheria ya miaka 50, maarufu kwa jina la Roe V. Wade, inayompatia mwanamka haki ya kutoa mimba. . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 22, 2022

Tetemeko la ardhi mashariki mwa Afghanistan lauwa karibu watu 920

Tetemeko kubwa la ardhi limetikisa mashariki mwa Afghanstan mapema leo na kusababisha vifo vya karibu watu 920. Maafisa wamesema mamia ya watu wamejeruhiwa na na kuwa idadi ya vifo inatarajiwa kup . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 22, 2022

Iran ilinyonga zaidi ya watu 100 miezi mitatu ya kwanza ya 2022-Ripoti ya UN

Iran iliwanyonga zaidi ya watu 100 katika miezi mitatu ya kwanza ya 2022, hali ya kutisha ambayo inazidi kuongezeka, kulingana na ripoti ya katibu mkuu wa Umoja wa mataifa Antonio Guterres iliyo . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • June 22, 2022

Mgambo, ofisa mtendaji wadaiwa kuua mwanafunzi

Ofisa mtendaji katika kata moja wilayani Siha mkoani Kilimanjaro na mgambo, wanadaiwa kuwatembezea kipigo wanafunzi wanne na kusababisha kifo cha mmoja wao anayesoma kidato cha pili.Marehemu ambay . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • June 20, 2022

NYANI WAVAMIA MAKAZI YA WATU

Kundi la nyani wa hifadhi ya Gombe iliyopo kijiji cha Mwamgongo wilayani Kigoma, limevamia nyumba ya Shayima Faya (20) na kumpokonya mtoto mchanga wakati akimnyonyesha na kutokomea naye porini . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 20, 2022

Mamia waandamana kupinga mabadiliko ya katiba Tunisia

Mamia ya watu wameandamana Jumapili katika mji mkuu wa Tunisia wakipinga mpango wa kura ya maoni kubadili katiba na hatua ya hivi karibuni ya Rais Kais Saied ya kuwafukuza kazi darzeni ya majaji . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • June 20, 2022

Watu 20 wauawa katika mashambulio la wanamgambo wa kijihadi Mali

Karibu watu 20 wameuawa katika shambulio linaotuhumiwa kutekelezwa na wapiganaji wa kijihadi kaskazini mwa Mali, ofisi ya kikanda katika eneo hilo inasema.Ghasia za Jumamosi zilitokea karibu na . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • June 20, 2022

Sabaya, wenzake kizimbani tena leo

Aliyekuwa mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wanne leo Jumatatu Juni 20, 2022 wamefikishwa mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi kusikiliza mashtaka yanayowakabili ikiwemo uhujumu uchumi . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • June 19, 2022

Zelensky aapa kuikwamua kusini, NATO yaonya kuhusu vita virefu

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky ameapa leo Jumapili kuwa vikosi vyake havitomuachia yeyote eneo lake la kusini baada ya ziara yake ya kwanza katika maeneo hayo. Wakati huohuo, Katibu Mkuu wa Ju . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 19, 2022

Wanajeshi wa Sri Lanka wafyatua risasi kudhibiti ghasia za mafuta

Wanajeshi wa Sri Lanka walifyatua risasi katika mji wa Visuvamadu, karibu kilometa 365 kaskazini mwa mji mkuu wa nchi hiyo, Colombo ili kudhibiti ghasia katika kituo cha mafuta ambako kulishuhudiw . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • June 19, 2022

Wafuasi wa Askofu Mwaikali wasusa ibada Mbeya

Baadhi ya waamini wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Konde usharika wa Ruanda, wanaomuunga mkono Askofu Edward Mwaikali aliyeondolewa katika kanisa hilo, wamesusia ib . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • June 17, 2022

Waasi waua wanakijiji 7 Jamhuri ya Afrika ya Kati

Kundi la waasi limewashambulia na kuwaua wanakijiji 7 kaskazini magharibi mwa Jamhuri ya Afrika ya Kati, taifa ambalo linaandamwa na vita kwa miaka kadhaa.Duru za polisi kwenye eneo hilo zimesema . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • June 17, 2022

Marekani yalaani matamshi ya kumdhihaki mtume Mohammed

Marekani imelaani vikali matamshi yaliyotolewa na maafisa wa chama tawala nchini India cha BJP kuhusu mtume Mohammed ambayo yamezusha hasira na ukosoaji mkubwa kutoka mataifa ya kiislamu.Msemaji w . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • June 17, 2022

Wasichana 35 waliokua wanatumiwa kama watumwa wa ngono waokolewa Nigeria

Polisi wa Nigeria wamesema wamewaokoa wasichana 35 kutoka hoteli walimokuwa watumwa wa ngono na kisha kulazimishwa kupata ujauzito na kujifungua na hapo baadae  kuwauza watoto wao. . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • June 17, 2022

LOLIONDO MAMBO YAWA MAGUMU

Wakati Serikali ikisema uwekaji mipaka katika pori la Loliondo unaendelea vizuri, Mbunge wa Ngorongoro, Emmanuel Ole Shangai ameendelea kulalamika kutojulikana walipo viongozi 10, akiwamo mwenyeki . . .

Kurasa 1 ya 17

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Habari
news
  • jana

Maajenti wa kazi Uarabuni kuchunguzwa

Siasa
news
  • jana

Samboja awindwa tena kuhusu cheti cha chuo kikuu baada ya kuponyoka

Habari
news
  • jana

Polisi yavunja maandamano dhidi ya hali ngumu kiuchumi Ghana

Habari
news
  • jana

Uturuki yaridhia Sweden, Finland kujiunga na NATO

Habari
news
  • jana

Mahakama ya Misri yatoa hukumu ya kifo kwa wanamgambo 10 wa kiislamu

Siasa
news
  • jana

kina Mdee kortini tena leo

Michezo
news
  • jana

Straika mpya Simba kumekucha

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Marekani yafungua uchunguzi baada ya wahamiaji 51 kufa kwa joto ndani ya Trela

    • 24 masaa yaliopita
  • Maajenti wa kazi Uarabuni kuchunguzwa

    • jana
  • Samboja awindwa tena kuhusu cheti cha chuo kikuu baada ya kuponyoka

    • jana

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P.O BOX 1334,
Malimbe-Luchelele,
Mwanza-Tanzania.

info@jembenijembe.com

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created By ZEDCODE Email: dammedeggers7777@gmail.com