logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
Dini
  • Na Asha Business
  • 22 masaa yaliopita

Makanisa kuendelea na kelele Mombasa wamiliki hoteli wakilalamika

HOTELI zilizo karibu na maeneo ya ibada jijini Mombasa zimepata pigo baada ya Mahakama ya Mazingira na Ardhi kubatilisha uamuzi uliokuwa umewalinda dhidi ya kelele na kutoka makanisa jirani.Awali, B . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Tetemeko la ardhi lawauwa watu wanane nchini Afghanistan

Watu wanane wa familia moja wameuawa usiku wa kuamkia leo katika tetemeko la ardhi lililokumba eneo la Gosfand Dara mkoani Kabul, nchini Afghanistan. Hayo yamesemwa leo na wizara ya afya nchini humo n . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Vita Yazidi Kuchemka, Marekani Yapoteza Ndege Mbili

Ndege mbili za kijeshi za Marekani, F-15E Strike Eagle na A-10 Thunderbolt II, zimeripotiwa kuangushwa na mashambulizi ya Iran, huku juhudi za uokoaji zikiendelea kwa baadhi ya wahudumu . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Tetemeko la 7.4 Indonesia latishia tsunami, mawimbi hatari

Tetemeko hilo lilisababisha tahadhari ya tsunami kutolewa kwa maeneo ya Indonesia pamoja na nchi jirani za Ufilipino na Malaysia.Tetemeko kubwa la ardhi lenye ukubwa wa 7.4 limetokea katika Bahari ya . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Moto na milipuko kambi ya kijeshi Burundi vyaua watu 13

Watu 13 wamefariki na wengine 57 kujeruhiwa kufuatia mlipuko mkubwa uliosababishwa na moto katika kambi ya kijeshi nchini Burundi.Jeshi limesema moto huo ulizuka usiku katika ghala la kuhifadhia vifaa . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • March 30, 2026

Bunge la Israel kuamua kuhusu hukumu ya kifo kwa Wapalestina

Bunge la Israel kuamua kuhusu hukumu ya kifo kwa Wapalestina wanaowaua Waisraeli Ukingo wa MagharibiBunge la Israel linatarajiwa kujadili muswada utakaohalalisha hukumu ya kifo kwa Wapalestina watakao . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • March 29, 2026

Baadhi ya miili iliyofukuliwa Kericho ilikuwa na majereha kichwani uchunguzi wabaini

MIILI mitano kati ya 33 iliyofukuliwa katika kaburi la pamoja Makaburini mjini Kericho ina majeraha kichwani yaliyosababishwa na kupigwa kwa vitu butu, hali iliyozua maswali mapya kuhusu vifo hivyo vy . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • March 23, 2026

Mvua kubwa nchini Kenya yauwa watu 81

Mvua kubwa iliyosababisha mafuriko nchini Kenya imewaua watu wasiopungua 81 mwezi huu. Hayo ni kwa mujibu wa mamlaka za nchini humo huku mvua ikiendelea kunyesha sehemu nyingi za nchi.Katika eneo la m . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • March 23, 2026

Iran yatoa onyo kali endapo itashambuliwa

Jeshi la Ulinzi la Mapinduzi la Iran (IRGC) limetoa onyo kali kwamba litachukua hatua za kulipiza kisasi iwapo sekta ya umeme ya nchi hiyo itashambuliwa.Katika taarifa iliyotolewa leo Jumatatu, jeshi . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • March 19, 2026

LORI LATEKETEA KWA MOTO MOROGORO, MTU MMOJA ASADIKIKA KUFARIKA

Lori la mizigo lenye namba za usajili T729 BBT pamoja na tela namba T677 BTY limeteketea kwa moto katika eneo la Lugono, karibu na Nyama Choma Barabara Kuu ya Iringa–Morogoro.Tukio hilo la Lori kuwa . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • March 18, 2026

Iran Yashambulia Tel Aviv kwa Makombora, Hali Yazidi Kuwa Tete

Mashambulizi ya makombora kutoka Iran yameripotiwa kulenga jiji la Tel Aviv kwa mara ya pili usiku wa kuamkia leo 18 Machi 2026, huku Tehran ikiahidi kulipiza kisasi kufuatia kuuawa kwa kiongozi wake . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • March 17, 2026

Israel Katz Atangaza Kifo cha Afisa wa Usalama wa Iran

Waziri wa Ulinzi wa Israel Israel Katz ameiambia dunia kwamba afisa mkuu wa usalama wa Iran, Ali Larijani, ameuawa katika mashambulizi ya anga yaliyofanywa na jeshi la Israel usiku kucha, akisema IDF . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • March 11, 2026

Israel yafanya mashambulizi mapya Beirut

Israel imefanya mashambulizi katika vitongoji vya kusini mwa mkuu wa Lebanon, Beiruteshi ambapo jeshi la Israel linasema limeilenga tena miundombinu ya Hezbollah.Vyombo vya habari vya serikali ya Leba . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • March 9, 2026

Iran Yatishia Kulenga Mafuta ya Nchi Jirani

Iran imetishia kushambulia miundombinu ya mafuta katika nchi jirani kufuatia mashambulizi ya anga yaliyofanywa na Israel dhidi ya maeneo ya nishati ndani na karibu na mji mkuu wa Tehran.Mashambulizi h . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • March 6, 2026

Ukraine yaituhumu Hungary kwa utekaji

Waziri wa Mambo ya Nje wa Ukraine, Adrii Sybiha, ameituhumu Hungary kwa kuwateka nyara wafanyakazi wa benki wa Ukraine waliokuwa wakisafirisha dola milioni 40 na kilo tisa za dhahabu mapema leo.Sybiha . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • March 6, 2026

Wanamgambo wauwa wanajeshi 15 Benin

Kundi la wanamgambo wenye mahusiano na mtandao wa kigaidi wa Al-Qaida limedai kuhusika na mauaji ya wanajeshi 15 kwenye kambi ya kijeshi kaskazini mwa Benin.Wanamgambo hao wajiitao Kundi la Kuusaidia . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • March 6, 2026

Waziri wa Iran Atoa Tamko Uvamizi wa Wanajeshi wa Marekani Ardhini

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesema nchi yake iko tayari kukabiliana na uwezekano wa uvamizi wa ardhini kutoka kwa wanajeshi wa Marekani, huku akisisitiza kuwa Iran haitaogopa shin . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • March 4, 2026

Merz: Bado Hakuna Majibu ya Hatma ya Iran Baada ya Vita

Friedrich Merz amesema kuwa licha ya kukutana na Donald Trump mjini Washington, bado hajapata majibu ya wazi kuhusu hatma ya Iran baada ya kumalizika kwa vita.Akizungumza na kituo cha televisheni cha . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • March 3, 2026

Watu 169 Wauawa Kaskazini mwa Sudan Kusini

Watu 169, wakiwemo maafisa wakuu wa Sudan Kusini, wameuawa kufuatia shambulio lililotekelezwa na watu wasiojulikana katika eneo la kaskazini mwa nchi hiyo siku ya Jumapili.Kwa mujibu wa Waziri wa Haba . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • March 2, 2026

Idadi ya waliokufa maandamano ya Pakistan wafikia 25

Ripoti zinaeleza kuwa idadi ya vifo vilivyotokana na vurugu zilizozuka mwishoni mwa juma nchini Pakistan kufuatia mauaji ya kiongozi mkuu wa Iran, imefikia watu 25 kwa mujibu wa takwimu za shirika la . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • March 2, 2026

Meli Tatu Za Marekani Na Uingereza Zashambuliwa Katika Mlango Wa Hormuz

Mvutano katika Ghuba ya Uajemi umeongezeka kwa kiwango kikubwa baada ya meli tatu za mafuta zinazodaiwa kuhusishwa na Marekani na Uingereza kushambuliwa karibu na mlango wa bahari wa Strait of Hormuz, . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • March 2, 2026

UN Yalaani Mauaji ya Raia Kaskazini mwa Sudan Kusini

Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa raia kadhaa wamepoteza maisha kufuatia machafuko mapya yaliyozuka Kaskazini mwa Sudan Kusini ndani ya saa 48 zilizopita.Kupitia Ujumbe wake nchini humo (UNMISS), Umoja . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • February 27, 2026

UN: Zaidi ya wahamiaji 7,600 walikufa njiani mwaka 2025

Shirika la Uhamiaji la Umoja wa Mataifa IOM limebainisha kwamba zaidi ya wahamiaji 7, 600 wasio na vibali walifariki dunia au walipotea kote duniani wakiwa njiani mwaka uliopita.Ripoti iliyotolewa na . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • February 27, 2026

Wadau Waendelea Kutoa Maoni kwa Tume ya Uvunjifu wa Amani

Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, leo Februari 27, 2026 imekutana na Mufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir, . . .

Kurasa 1 ya 58

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Habari
news
  • 22 masaa yaliopita

Polisi Watoa Onyo Dhidi ya Uzushi wa ‘Kuibiwa Nyeti’

Habari
news
  • 22 masaa yaliopita

Trump Aibuka na Tishio Zito Kuhusu Mlango wa Hormuz

Habari
news
  • 22 masaa yaliopita

Sheria mpya ya kijeshi kwa wanaume Ujerumani yazusha mjadala

Habari
news
  • 23 masaa yaliopita

Zaidi ya watu 70 hawajulikani walipo baada ya boti yao kuzama katika Bahari ya Mediterania

Habari
news
  • 23 masaa yaliopita

Iran yaonya madhara makubwa kwa nchi jirani Marekani ikiishambulia zaidi

Habari
news
  • 2 siku zilizopita

Tarura Ruvuma yaweka mkazo kuboresha miundombinu ya barabara na madaraja

Habari
news
  • 2 siku zilizopita

Waziri Chongolo awatangazia neema wa Idofi, kunufaika na mardi wa umwagiliaji ekari 1,300

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Polisi Watoa Onyo Dhidi ya Uzushi wa ‘Kuibiwa Nyeti’

    • 22 masaa yaliopita
  • Trump Aibuka na Tishio Zito Kuhusu Mlango wa Hormuz

    • 22 masaa yaliopita
  • Makanisa kuendelea na kelele Mombasa wamiliki hoteli wakilalamika

    • 22 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode