Idadi ya watu waliokufa kutokana na mafuriko yaliyokumba maeneo kadhaa nchini Kenya imefikia 120 huku maelfu ya makaazi yamesombwa na maji na kuwalazimisha watu kutafuta hifadhi.Takwimu hizo mpya zime . . .
Ghasia hizo zilimuua Dido Kasingi, wakili na baba wa watoto sita ambaye alikuwa rais wa vijana katika chama cha Katumbi, “Together for the Republic”, msemaji wa chama hicho aliwaambia waandishi wa . . .
Polisi katika kaunti ya Kericho wameanzisha uchunguzi kufuatia mauaji ya kinyama ya mwanamke mmoja huko Belgut. polisi walimkamata mwanamume mwenye umri wa miaka 46 anayedaiwa kumdunga kisu hadi . . .
Idadi ya waliofariki kutokana na mafuriko nchini Somalia inakaribia 100, huku takriban watu milioni mbili wakiathirika, baraza la mawaziri la nchi hiyo limesema siku ya Alhamis ya wiki hii.Somalia, ka . . .
MWILI wa kijana maarufu kwa jina Ally Dangote aliyekuwa tishio kutokana na kufanya matukio ya kihalifu ikiwemo mauaji, ubakaji, uporaji na kuwachoma watu jijini Arusha umezikwa usiku wa kuam . . .
Serikali ya Uingereza imesema itakutana na maafisa nchini Uturuki kujadili kanuni kuhusu utalii wa kimatibabu na urembo, baada ya vifo kadhaa kutokea.Melissa Kerr, 31, alifariki dunia katika Hospitali . . .
Mwanamke aliyetambuliwa kwa jina la Johari Mbuma (19), mkazi wa Kigamboni Manispaa ya Iringa anashikiliwa na polisi akituhumiwa kumuua mtoto wake mwenye umri wa miezi saba kwa kumzamisha kwenye ndoo y . . .
Kaunti ya Mombasa pwani ya taifa hilo na Tana River huko kaskazini Mashariki ni baadhi ya majimbo yalioathirika.Shirika la msalaba mwekundu nchini humo limesema familia 156 katika eneo la Bandi huko G . . .
Kijana mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 16 hadi 18, amekutwa amefariki eneo la Dampo kata ya Buhongwa Mwanza kwa kuchomwa na kitu chenye ncha kali maeneo mbalimbali ya mwili wake.Kwa mujibu w . . .
Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Fatma Mwasa, amesema amepokea kwa masikitiko vifo vya Watoto watano ambao wamefariki katikia Kijiji cha Nyakanazi kilichopo Wilayani Biharamuro, wakisadikika kuwa wamekula chak . . .
Mfanyabiashara mmoja ambaye pia alikuwa Shabiki wa Yanga, Alex Mayaya (40), mkazi wa Mji mdogo wa Katoro, Geita ameuawa kwa kupigwa rungu na walinzi wa Kampuni ya Samike Security Company akidhaniwa ku . . .
Msafara wa wanajeshi wa kikosi cha Umoja wa Mataifa wa Mali ulishambuliwa tena na vilipuzi mwishoni mwa juma, na kuwajeruhi walinda amani 22 zaidi katika harakati za kuondoka nchini humo, msemaji wake . . .
Zaidi ya watu 20 wameuwawa Jumapili, baada ya mashambulizi katika soko la kitongoji cha mji mkuu wa Sudan, Khartoum, kamati ya wanasheria inayopigania demokrasia imesema katika taarifa.Hiyo ni moja mk . . .
Mahakama ya Wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma imewahukumu kifungo cha Miaka 30 Mussa Zuberi Amuri (28) na Saidi Shaibu Saidi (27) wote wakazi wa Kijiji cha Lukumbule Wilaya ya Tunduru baada ya kupatikan . . .
Ujumbe wa waatalamu wa haki za binadam wa Umoja wa Mataifa pamoja na mfuatiliaji maalum wa Umoja wa Mataifa kwenye maeneo yanayokaliwa ya Wapalestina Francesca Albanese, umesema Alhamisi kwamba muda u . . .
Uganda ilisema Alhamisi kuwa imemkamata mkuu wa kikosi cha wanamgambo wanaolaumiwa kwa mauaji ya watalii wawili wa kigeni waliokuwa wakienda honeymoon na kiongozi wao wa ndani katika mbuga ya wanyama . . .
Mbunge wa Chama cha Upinzani cha Citizens Coalition for Change – CCC, nchini Zimbabwe, Takudzwa Ngadziore (25), anadaiwa kutekwa nyara na watu wasiojulikana na kisha kutupwa takriban kilomita 50 kas . . .
Wapiganaji wenye itikadi kali kaskazini mashariki mwa Nigeria wamewauwa takriban wanakijiji 37 katika mashambulio mawili tofauti, kwa mujibu wa wakaazi katika maeneo hayo.Wapiganaji hao wenye itikadi . . .
Sababu za Moto uliowaka Mwanza Mjini,Kamanda Kamila Rabani wa Jeshi la Zimamoto Aweka wazi . . .
Mkazi wa Kisiwa cha Maisome wilayani Sengerema mkoani Mwanza, Maisala Ramadhani (25) ameangua kilio mahakamani baada ya kuhukumiwa jela miaka 20 baada kukiri kosa la kukutwa na dawa za kulenya aina ya . . .
Askari Polisi kitengo cha Usalama Barabarani Sajenti Stella Alphonce, amefariki dunia baada ya kugongwa na gari ya shule asubuhi ya leo Novemba 1, 2023 wakati akitekeleza majukumu yake ya ukaguzi bara . . .
Nchini Nigeria, zaidi ya watu 70 hawajulikani walipo, kufuatia ajali ya boti iliotokea mwishoni mwa juma lililopita katika jimbo la tabara kaskazini mwa nchi hiyo.Wafanyakazi wa uokoaji nchini humo wa . . .
Mwanamke anayedaiwa kumuua mwanawe wa mwaka mmoja ili kusafiri hadi Umoja wa Falme za Kiarabu kutafuta kazi amepatikana na hatia na Mahakama Kuu mjini Mombasa. Jaji Anne Ong'injo alimpata Happy M . . .
Mwanamke mmoja amekamatwa baada ya kudaiwa kuwaua watoto wake wawili wa kambo kwa kuwapa chakula chenye sumu.Komuhendo Harriet alikamatwa baada ya watoto hao watatu kupoteza fahamu na kukimbizwa katik . . .