HOTELI zilizo karibu na maeneo ya ibada jijini Mombasa zimepata pigo baada ya Mahakama ya Mazingira na Ardhi kubatilisha uamuzi uliokuwa umewalinda dhidi ya kelele na kutoka makanisa jirani.Awali, B . . .
Watu wanane wa familia moja wameuawa usiku wa kuamkia leo katika tetemeko la ardhi lililokumba eneo la Gosfand Dara mkoani Kabul, nchini Afghanistan. Hayo yamesemwa leo na wizara ya afya nchini humo n . . .
Ndege mbili za kijeshi za Marekani, F-15E Strike Eagle na A-10 Thunderbolt II, zimeripotiwa kuangushwa na mashambulizi ya Iran, huku juhudi za uokoaji zikiendelea kwa baadhi ya wahudumu . . .
Tetemeko hilo lilisababisha tahadhari ya tsunami kutolewa kwa maeneo ya Indonesia pamoja na nchi jirani za Ufilipino na Malaysia.Tetemeko kubwa la ardhi lenye ukubwa wa 7.4 limetokea katika Bahari ya . . .
Watu 13 wamefariki na wengine 57 kujeruhiwa kufuatia mlipuko mkubwa uliosababishwa na moto katika kambi ya kijeshi nchini Burundi.Jeshi limesema moto huo ulizuka usiku katika ghala la kuhifadhia vifaa . . .
Bunge la Israel kuamua kuhusu hukumu ya kifo kwa Wapalestina wanaowaua Waisraeli Ukingo wa MagharibiBunge la Israel linatarajiwa kujadili muswada utakaohalalisha hukumu ya kifo kwa Wapalestina watakao . . .
MIILI mitano kati ya 33 iliyofukuliwa katika kaburi la pamoja Makaburini mjini Kericho ina majeraha kichwani yaliyosababishwa na kupigwa kwa vitu butu, hali iliyozua maswali mapya kuhusu vifo hivyo vy . . .
Mvua kubwa iliyosababisha mafuriko nchini Kenya imewaua watu wasiopungua 81 mwezi huu. Hayo ni kwa mujibu wa mamlaka za nchini humo huku mvua ikiendelea kunyesha sehemu nyingi za nchi.Katika eneo la m . . .
Jeshi la Ulinzi la Mapinduzi la Iran (IRGC) limetoa onyo kali kwamba litachukua hatua za kulipiza kisasi iwapo sekta ya umeme ya nchi hiyo itashambuliwa.Katika taarifa iliyotolewa leo Jumatatu, jeshi . . .
Lori la mizigo lenye namba za usajili T729 BBT pamoja na tela namba T677 BTY limeteketea kwa moto katika eneo la Lugono, karibu na Nyama Choma Barabara Kuu ya Iringa–Morogoro.Tukio hilo la Lori kuwa . . .
Mashambulizi ya makombora kutoka Iran yameripotiwa kulenga jiji la Tel Aviv kwa mara ya pili usiku wa kuamkia leo 18 Machi 2026, huku Tehran ikiahidi kulipiza kisasi kufuatia kuuawa kwa kiongozi wake . . .
Waziri wa Ulinzi wa Israel Israel Katz ameiambia dunia kwamba afisa mkuu wa usalama wa Iran, Ali Larijani, ameuawa katika mashambulizi ya anga yaliyofanywa na jeshi la Israel usiku kucha, akisema IDF . . .
Israel imefanya mashambulizi katika vitongoji vya kusini mwa mkuu wa Lebanon, Beiruteshi ambapo jeshi la Israel linasema limeilenga tena miundombinu ya Hezbollah.Vyombo vya habari vya serikali ya Leba . . .
Iran imetishia kushambulia miundombinu ya mafuta katika nchi jirani kufuatia mashambulizi ya anga yaliyofanywa na Israel dhidi ya maeneo ya nishati ndani na karibu na mji mkuu wa Tehran.Mashambulizi h . . .
Waziri wa Mambo ya Nje wa Ukraine, Adrii Sybiha, ameituhumu Hungary kwa kuwateka nyara wafanyakazi wa benki wa Ukraine waliokuwa wakisafirisha dola milioni 40 na kilo tisa za dhahabu mapema leo.Sybiha . . .
Kundi la wanamgambo wenye mahusiano na mtandao wa kigaidi wa Al-Qaida limedai kuhusika na mauaji ya wanajeshi 15 kwenye kambi ya kijeshi kaskazini mwa Benin.Wanamgambo hao wajiitao Kundi la Kuusaidia . . .
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesema nchi yake iko tayari kukabiliana na uwezekano wa uvamizi wa ardhini kutoka kwa wanajeshi wa Marekani, huku akisisitiza kuwa Iran haitaogopa shin . . .
Friedrich Merz amesema kuwa licha ya kukutana na Donald Trump mjini Washington, bado hajapata majibu ya wazi kuhusu hatma ya Iran baada ya kumalizika kwa vita.Akizungumza na kituo cha televisheni cha . . .
Watu 169, wakiwemo maafisa wakuu wa Sudan Kusini, wameuawa kufuatia shambulio lililotekelezwa na watu wasiojulikana katika eneo la kaskazini mwa nchi hiyo siku ya Jumapili.Kwa mujibu wa Waziri wa Haba . . .
Ripoti zinaeleza kuwa idadi ya vifo vilivyotokana na vurugu zilizozuka mwishoni mwa juma nchini Pakistan kufuatia mauaji ya kiongozi mkuu wa Iran, imefikia watu 25 kwa mujibu wa takwimu za shirika la . . .
Mvutano katika Ghuba ya Uajemi umeongezeka kwa kiwango kikubwa baada ya meli tatu za mafuta zinazodaiwa kuhusishwa na Marekani na Uingereza kushambuliwa karibu na mlango wa bahari wa Strait of Hormuz, . . .
Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa raia kadhaa wamepoteza maisha kufuatia machafuko mapya yaliyozuka Kaskazini mwa Sudan Kusini ndani ya saa 48 zilizopita.Kupitia Ujumbe wake nchini humo (UNMISS), Umoja . . .
Shirika la Uhamiaji la Umoja wa Mataifa IOM limebainisha kwamba zaidi ya wahamiaji 7, 600 wasio na vibali walifariki dunia au walipotea kote duniani wakiwa njiani mwaka uliopita.Ripoti iliyotolewa na . . .
Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, leo Februari 27, 2026 imekutana na Mufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir, . . .