Israel imefanya mashambulizi katika vitongoji vya kusini mwa mkuu wa Lebanon, Beiruteshi ambapo jeshi la Israel linasema limeilenga tena miundombinu ya Hezbollah.Vyombo vya habari vya serikali ya Leba . . .
Iran imetishia kushambulia miundombinu ya mafuta katika nchi jirani kufuatia mashambulizi ya anga yaliyofanywa na Israel dhidi ya maeneo ya nishati ndani na karibu na mji mkuu wa Tehran.Mashambulizi h . . .
Waziri wa Mambo ya Nje wa Ukraine, Adrii Sybiha, ameituhumu Hungary kwa kuwateka nyara wafanyakazi wa benki wa Ukraine waliokuwa wakisafirisha dola milioni 40 na kilo tisa za dhahabu mapema leo.Sybiha . . .
Kundi la wanamgambo wenye mahusiano na mtandao wa kigaidi wa Al-Qaida limedai kuhusika na mauaji ya wanajeshi 15 kwenye kambi ya kijeshi kaskazini mwa Benin.Wanamgambo hao wajiitao Kundi la Kuusaidia . . .
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesema nchi yake iko tayari kukabiliana na uwezekano wa uvamizi wa ardhini kutoka kwa wanajeshi wa Marekani, huku akisisitiza kuwa Iran haitaogopa shin . . .
Friedrich Merz amesema kuwa licha ya kukutana na Donald Trump mjini Washington, bado hajapata majibu ya wazi kuhusu hatma ya Iran baada ya kumalizika kwa vita.Akizungumza na kituo cha televisheni cha . . .
Watu 169, wakiwemo maafisa wakuu wa Sudan Kusini, wameuawa kufuatia shambulio lililotekelezwa na watu wasiojulikana katika eneo la kaskazini mwa nchi hiyo siku ya Jumapili.Kwa mujibu wa Waziri wa Haba . . .
Ripoti zinaeleza kuwa idadi ya vifo vilivyotokana na vurugu zilizozuka mwishoni mwa juma nchini Pakistan kufuatia mauaji ya kiongozi mkuu wa Iran, imefikia watu 25 kwa mujibu wa takwimu za shirika la . . .
Mvutano katika Ghuba ya Uajemi umeongezeka kwa kiwango kikubwa baada ya meli tatu za mafuta zinazodaiwa kuhusishwa na Marekani na Uingereza kushambuliwa karibu na mlango wa bahari wa Strait of Hormuz, . . .
Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa raia kadhaa wamepoteza maisha kufuatia machafuko mapya yaliyozuka Kaskazini mwa Sudan Kusini ndani ya saa 48 zilizopita.Kupitia Ujumbe wake nchini humo (UNMISS), Umoja . . .
Shirika la Uhamiaji la Umoja wa Mataifa IOM limebainisha kwamba zaidi ya wahamiaji 7, 600 wasio na vibali walifariki dunia au walipotea kote duniani wakiwa njiani mwaka uliopita.Ripoti iliyotolewa na . . .
Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, leo Februari 27, 2026 imekutana na Mufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir, . . .
Kesi ya kupinga uteuzi wa Tume iliyoundwa kuchunguza matukio ya uvunjifu wa amani ya Oktoba 29, 2025 na siku zilizofuata, imeendelea kusikilizwa leo Alhamisi Februari 26, 2026 katika Mahakama Kuu ya T . . .
Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) kwa niaba ya Jamhuri amefungua shauri la mapitio juu ya uamuzi wa kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu.Akiwasilisha taarifa hiyo mahakamani leo, . . .
Mahakama Kuu, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam imekubaliana na pingamizi lililowasilishwa na mshtakiwa Tundu Lissu kupinga taarifa ya kuongezwa kwa ushahidi (Notice of Additional Evidence) iliyotolewa n . . .
Ajali mbaya imeripotiwa katika eneo la Kwa Idd, wilayani Arumeru, mkoani Arusha, baada ya basi la kampuni ya Dar Express kugongana na daladala ya abiria.Taarifa za awali zinaonesha kuwa watu kadhaa wa . . .
Zaidi ya wafungwa 200 wa kisiasa katika gereza la Rodeo I nchini Venezuela wameanzisha mgomo wa kula kama ishara ya kutaka kuachiliwa huru chini ya sheria mpya ya msamaha wa kisiasa ambayo haijawajumu . . .
Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, imeahirishwa hadi kesho kufuatia mjadala mzito wa kisheria kuhusu notisi ya upande wa Jamhuri ya kuw . . .
Kamati ya Kimataifa ya Kuwalinda Waandishi wa Habari - CPJ imesema waandishi habari wa Kipalestina waliofungwa katika magereza ya Israel kuanzia Oktoba 2023 hadi Januari 2026 wamepitia "unyanyasaji wa . . .
Mashambulizi katika soko kuu la kitongoji cha Sudri, Kordofan katikati mwa Sudan, yamesababisha vifo vya watu wasiopungua 28 na kujeruhi makumi ya wengine, imesema Jumatatu jioni kundi la kutetea haki . . .
Watu wanaoshukiwa kuwa wanamgambo wa itikadi kali wameshambulia hapo jana kituo cha wanajeshi katika mji wa kaskazini mwa Burkina Faso wa Nare.Taarifa ambazo hazijathibitishwa zinaeleza kuwa makumi ya . . .
Katika wiki za hivi karibuni, picha za mifugo iliyodhoofika katika eneo linalokabiliwa na ukame karibu na mpaka wa Somalia zimewashtua wengi katika eneo ambalo tayari limeathirika kutokana na athari z . . .
Iran imewakamata viongozi wanne wa kisiasa wenye mwelekeo wa mageuzi, akiwemo katibu mkuu wa chama cha reformist na aliyewahi kuwa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje, katika kile mamlaka za nchi hiyo zimeel . . .
Waziri wa Ulinzi wa Marekani amesema kuwa jeshi la nchi hiyo lipo katika utayari kamili kutekeleza uamuzi wowote utakaochukuliwa na Rais Donald Trump kuhusu Iran, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuizuia . . .