logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Israel yafanya mashambulizi mapya Beirut

Israel imefanya mashambulizi katika vitongoji vya kusini mwa mkuu wa Lebanon, Beiruteshi ambapo jeshi la Israel linasema limeilenga tena miundombinu ya Hezbollah.Vyombo vya habari vya serikali ya Leba . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Iran Yatishia Kulenga Mafuta ya Nchi Jirani

Iran imetishia kushambulia miundombinu ya mafuta katika nchi jirani kufuatia mashambulizi ya anga yaliyofanywa na Israel dhidi ya maeneo ya nishati ndani na karibu na mji mkuu wa Tehran.Mashambulizi h . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 7 siku zilizopita

Ukraine yaituhumu Hungary kwa utekaji

Waziri wa Mambo ya Nje wa Ukraine, Adrii Sybiha, ameituhumu Hungary kwa kuwateka nyara wafanyakazi wa benki wa Ukraine waliokuwa wakisafirisha dola milioni 40 na kilo tisa za dhahabu mapema leo.Sybiha . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 7 siku zilizopita

Wanamgambo wauwa wanajeshi 15 Benin

Kundi la wanamgambo wenye mahusiano na mtandao wa kigaidi wa Al-Qaida limedai kuhusika na mauaji ya wanajeshi 15 kwenye kambi ya kijeshi kaskazini mwa Benin.Wanamgambo hao wajiitao Kundi la Kuusaidia . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 7 siku zilizopita

Waziri wa Iran Atoa Tamko Uvamizi wa Wanajeshi wa Marekani Ardhini

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesema nchi yake iko tayari kukabiliana na uwezekano wa uvamizi wa ardhini kutoka kwa wanajeshi wa Marekani, huku akisisitiza kuwa Iran haitaogopa shin . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • March 4, 2026

Merz: Bado Hakuna Majibu ya Hatma ya Iran Baada ya Vita

Friedrich Merz amesema kuwa licha ya kukutana na Donald Trump mjini Washington, bado hajapata majibu ya wazi kuhusu hatma ya Iran baada ya kumalizika kwa vita.Akizungumza na kituo cha televisheni cha . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • March 3, 2026

Watu 169 Wauawa Kaskazini mwa Sudan Kusini

Watu 169, wakiwemo maafisa wakuu wa Sudan Kusini, wameuawa kufuatia shambulio lililotekelezwa na watu wasiojulikana katika eneo la kaskazini mwa nchi hiyo siku ya Jumapili.Kwa mujibu wa Waziri wa Haba . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • March 2, 2026

Idadi ya waliokufa maandamano ya Pakistan wafikia 25

Ripoti zinaeleza kuwa idadi ya vifo vilivyotokana na vurugu zilizozuka mwishoni mwa juma nchini Pakistan kufuatia mauaji ya kiongozi mkuu wa Iran, imefikia watu 25 kwa mujibu wa takwimu za shirika la . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • March 2, 2026

Meli Tatu Za Marekani Na Uingereza Zashambuliwa Katika Mlango Wa Hormuz

Mvutano katika Ghuba ya Uajemi umeongezeka kwa kiwango kikubwa baada ya meli tatu za mafuta zinazodaiwa kuhusishwa na Marekani na Uingereza kushambuliwa karibu na mlango wa bahari wa Strait of Hormuz, . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • March 2, 2026

UN Yalaani Mauaji ya Raia Kaskazini mwa Sudan Kusini

Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa raia kadhaa wamepoteza maisha kufuatia machafuko mapya yaliyozuka Kaskazini mwa Sudan Kusini ndani ya saa 48 zilizopita.Kupitia Ujumbe wake nchini humo (UNMISS), Umoja . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • February 27, 2026

UN: Zaidi ya wahamiaji 7,600 walikufa njiani mwaka 2025

Shirika la Uhamiaji la Umoja wa Mataifa IOM limebainisha kwamba zaidi ya wahamiaji 7, 600 wasio na vibali walifariki dunia au walipotea kote duniani wakiwa njiani mwaka uliopita.Ripoti iliyotolewa na . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • February 27, 2026

Wadau Waendelea Kutoa Maoni kwa Tume ya Uvunjifu wa Amani

Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, leo Februari 27, 2026 imekutana na Mufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir, . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • February 26, 2026

Mahakama Yasikiliza Kesi ya Kupinga Uteuzi wa Tume ya Uchunguzi

Kesi ya kupinga uteuzi wa Tume iliyoundwa kuchunguza matukio ya uvunjifu wa amani ya Oktoba 29, 2025 na siku zilizofuata, imeendelea kusikilizwa leo Alhamisi Februari 26, 2026 katika Mahakama Kuu ya T . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • February 24, 2026

Jamhuri Yafungua Shauri la Mapitio Kesi ya Uhaini ya Lissu

Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) kwa niaba ya Jamhuri amefungua shauri la mapitio juu ya uamuzi wa kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu.Akiwasilisha taarifa hiyo mahakamani leo, . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • February 24, 2026

Mahakama Yakubali Pingamizi la Lissu Dhidi ya Ushahidi wa Ziada

Mahakama Kuu, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam imekubaliana na pingamizi lililowasilishwa na mshtakiwa Tundu Lissu kupinga taarifa ya kuongezwa kwa ushahidi (Notice of Additional Evidence) iliyotolewa n . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • February 23, 2026

Basi la Dar Express Lagongwa na Daladala

Ajali mbaya imeripotiwa katika eneo la Kwa Idd, wilayani Arumeru, mkoani Arusha, baada ya basi la kampuni ya Dar Express kugongana na daladala ya abiria.Taarifa za awali zinaonesha kuwa watu kadhaa wa . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • February 23, 2026

Zaidi ya Wafungwa 200 wa Kisiasa Venezuela Waanza Mgomo wa Kula

Zaidi ya wafungwa 200 wa kisiasa katika gereza la Rodeo I nchini Venezuela wameanzisha mgomo wa kula kama ishara ya kutaka kuachiliwa huru chini ya sheria mpya ya msamaha wa kisiasa ambayo haijawajumu . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • February 23, 2026

Notisi ya Ushahidi Yazua Mjadala Mkali Mahakamani

Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, imeahirishwa hadi kesho kufuatia mjadala mzito wa kisheria kuhusu notisi ya upande wa Jamhuri ya kuw . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • February 19, 2026

CPJ: Waandishi wa Kipalestina wanateswa magerezani Israel

Kamati ya Kimataifa ya Kuwalinda Waandishi wa Habari - CPJ imesema waandishi habari wa Kipalestina waliofungwa katika magereza ya Israel kuanzia Oktoba 2023 hadi Januari 2026 wamepitia "unyanyasaji wa . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • February 17, 2026

Mashambulizi ya Droni Kordofan Yazua Vifo 28 na Majeruhi Wengi

Mashambulizi katika soko kuu la kitongoji cha Sudri, Kordofan katikati mwa Sudan, yamesababisha vifo vya watu wasiopungua 28 na kujeruhi makumi ya wengine, imesema Jumatatu jioni kundi la kutetea haki . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • February 16, 2026

Wanamgambo washambulia kituo cha jeshi Burkina Faso

Watu wanaoshukiwa kuwa wanamgambo wa itikadi kali wameshambulia hapo jana kituo cha wanajeshi katika mji wa kaskazini mwa Burkina Faso wa Nare.Taarifa ambazo hazijathibitishwa zinaeleza kuwa makumi ya . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • February 10, 2026

Mamilioni ya watu wakabiliwa na njaa kutokana na ukame, mifugo imeangamia

Katika wiki za hivi karibuni, picha za mifugo iliyodhoofika katika eneo linalokabiliwa na ukame karibu na mpaka wa Somalia zimewashtua wengi katika eneo ambalo tayari limeathirika kutokana na athari z . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • February 9, 2026

Iran Yawakamata Viongozi Wanne Wanaodaiwa Kujihusisha Na Vurugu

Iran imewakamata viongozi wanne wa kisiasa wenye mwelekeo wa mageuzi, akiwemo katibu mkuu wa chama cha reformist na aliyewahi kuwa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje, katika kile mamlaka za nchi hiyo zimeel . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 30, 2026

Marekani Yasema Iko Tayari Kuchukua Hatua Dhidi ya Iran Kuzuia Silaha za Nyuklia

Waziri wa Ulinzi wa Marekani amesema kuwa jeshi la nchi hiyo lipo katika utayari kamili kutekeleza uamuzi wowote utakaochukuliwa na Rais Donald Trump kuhusu Iran, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuizuia . . .

Kurasa 1 ya 58

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Habari
news
  • 12 masaa yaliopita

Ajali ya Lori la Mizigo Yatokea Usagara Jijini Mwanza

Habari
news
  • 12 masaa yaliopita

Dkt Samia: Tutashirikisha wananchi kutekeleza mapendekezo tume ya Ngorongoro

Habari
news
  • 12 masaa yaliopita

Dkt Samia afichua fursa zilizojificha Ngorongoro

Habari
news
  • 18 masaa yaliopita

Israel Yaapa Kuendeleza Mashambulizi Hadi Malengo Dhidi ya Iran Yatimizwe

Habari
news
  • 18 masaa yaliopita

Papa Leo ahuzunishwa na mauaji ya watoto Iran

Habari
news
  • 18 masaa yaliopita

Watu 40 wauawa katika shambulizi la droni jimboni Kordofan

Habari
news
  • 18 masaa yaliopita

Waziri Mkuu wa zamani Guillaume Bunyoni aachiwa huru

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Ajali ya Lori la Mizigo Yatokea Usagara Jijini Mwanza

    • 12 masaa yaliopita
  • Dkt Samia: Tutashirikisha wananchi kutekeleza mapendekezo tume ya Ngorongoro

    • 12 masaa yaliopita
  • Dkt Samia afichua fursa zilizojificha Ngorongoro

    • 12 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode