logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
Dini
  • Na Asha Business
  • February 11, 2022

Kumpachika Mkeo Mimba na Kunywa Dawa ni Dhambi, Pasta Aonya.

 humu duniani hapakosi vituko. Pasta mmoja wa kuhubiri mitaani amewashtua wengi na mahubiri yake tatanishi kuwa waume wanao wapachika mimba wake zao wanatenda dhambi.Vile vile pasta huyo amewaony . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • February 9, 2022

Papa Benedict aomba msamaha, akubali makosa ya unyasaji wa kijinsia

Aliyekuwa Kiongozi wa Kanisa Katoliki na kujiuzulu mwaka 2013, Papa Benedict amekiri makosa yalitokea katika kushughulikia kesi za unyanyasaji wa kijinsia alipokuwa Askofu Mkuu wa Munich, na kuomb . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • February 6, 2022

Kijiji Ambacho Wakaazi Hulala Kwenye Miti Licha ya Kuwa na Nyumba

    Wakaazi wa kijiji cha Malelei Kaunti ya Lamu sasa wanalazimika kulala kwa miti licha ya kuwa na nyumba zao.Wakaazi wa kijiji hicho ambacho kinapatikana katika wadi ya Witu wanalazim . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • February 6, 2022

Mwanamume Akamatwa kwa Kuweka Kamera za Siri katika Vyumba vya Wanawake Vya Kuoga.

    Mwanamume mmoja amekamatwa baada ya kamera za siri kupatikana katika vyumba vya wanawake vya kuoga    Haijulikani kamera hizo zimekuwa katika vyumba hivyo kwa muda ga . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • February 3, 2022

Watu 26 wafariki kutokana na radi Congo

Watu 26 wamefariki dunia Jumatano baada radi kupiga katika waya inayobeba umeme mwingi katika vitongoji vya mji mkuu wa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Kinshasa, na kuangukia nyumba na soko s . . .

Top Story
  • Na JZ The Brand
  • February 2, 2022

Watu 25 wauwa na umeme sokoni Kinshasa

Taarifa za hivi punde zinaarifu kuwa watu wasiopungua 25 wamekufa katika mjini mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Kinshasa, baada ya waya wenye kiwango cha juu cha nguvu ya umeme kukatika n . . .

Top Story
  • Na JZ The Brand
  • February 2, 2022

Maporomoko ya udongo yaua 14 Ecuador

Watu wasiopungua 14 wamekufa na wengine 32 wamejeruhiwa na maporomoko ya udongo yaliyotokea usiku wa kuamkia kaskazini mwa mji mkuu wa Ecuador, Quito. Ofisi ya msaada wa dharura nchini Ecuador ndi . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • February 2, 2022

Mwanafunzi Apokezwa Kichapo cha Mbwa kwa Kula Chapati ya Mwalimu Mkuu .

Mwanafunzi wa Shule ya Gremon Education Center eneo la Bamburi, kaunti ya Mombasa anauguza majeraha mabaya katika Hospitali ya Rufaa ya Coast General baada ya kudaiwa kupewa  kichapo cha mbwa na . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • February 2, 2022

Watu Tisa (9) Wanashikiliwa Na Jeshi La Polisi Mkoa Wa Mwanza Kwa Tuhuma Za Mauaji

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linawashikilia watu wanne ambao:- 1.Robert Daud, miaka 42, mume wa mganga, mkazi wa katunguru, 2. Sylivester Renetus, Miaka 30, Mkazi wa katunguru, 3. Ryabakamba S . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • February 2, 2022

Watu zaidi ya 20 washikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za mauaji Kilindi Mkoani Tanga

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro amesema kamwe Jeshi hilo alitavumilia vitendo vya kujichukulia sheria mkononi vinayofanywa na baadhi ya watu wa jamii ya wakulima na kifugaji ambap . . .

Siasa
  • Na Asha Business
  • February 1, 2022

Boris hataki kutoa majibu mahsusi kutoingilia uchunguzi wa polisi

Naibu Waziri Mkuu wa Uingereza Dominic Raab amesema waziri mkuu wa nchi hiyo, Boris Johnson, hawezi kutoa majibu kamili juu ya dhifa kadhaa zilizofanyika kwenye ofisi yake ya Mtaa wa Downing wakat . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • February 1, 2022

Waandishi wawili wa habari wakamatwa na Taliban

Waandishi wawili wa habari wanaofanya kazi na kituo binafsi cha televisheni nchini Afghanistan wamekamatwa na maafisa wa kundi la Taliban kwenye mji mkuu Kabul kwa sababu ambazo hazijulikani. Wa . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • January 31, 2022

MLIMBWENDE AFARIKI BAADA YA KUJIRUSHA KUTOKA GHOROFANI

Aliyewahi kushika taji la Miss USA Cheslie Kryst amefariki siku ya Jumapili akiwa na umri wa miaka 30 baada ya kuruka kutoka katika jengo refu huko Manhattan, New york.Polisi pamoja na familia . . .

Siasa
  • Na Asha Business
  • January 31, 2022

Takriban magaidi 60 wauwawa Burkina Faso

Takriban magaidi 60 wameuwawa nchini Burkina Faso na vikosi vya ndani vikisaidiwa na vile vya Ufaransa vilivyo pelekwa nchini humo kwa mujibu wa taarifa ya jeshi la Ufaransa. Taarifa ya . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • January 30, 2022

Mahakama ya DRC yawahukumu kifo watu 51 kwa mauaji ya wataalam wa Umoja wa Mataifa

Mahakama ya kijeshi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imewahukumu adhabu ya kifo watuhumiwa 51 waliokabiliwa na kesi ya mauaji ya wataalamu wawili wa Umoja wa Mataifa waliouawa mwaka 2017.Id . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • January 30, 2022

Marufuku wajawazito kutozwa fedha hospitalini

Waziri Ummy ametoa kauli hiyo jijini Tanga mara baada ya kutembelea kituo cha afya cha Makorora na kujionea hali ya utoaji huduma.“Naomba nisisitize hili si hapa tu bali ni nchi nzima, acheni ta . . .

Afya
  • Na Gsengo
  • January 27, 2022

RAIS SAMIA AWATAJA WANAOMTULIZA UBONGO WAKE.

 @Jembefmtz . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • January 26, 2022

MZEE MIAKA 55 AFIA GESTI AKIFANYA MAPENZI NA BINTI WA MIAKA 25.

Polisi wameanzisha uchunguzi katika kisa ambacho mwanaume mmoja mwenye umri wa miaka 55, amefariki katika chumba cha hoteli nchini Kenya, baada ya kufurahia burudani ya tendo la ndoa kati yake na mwan . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • January 23, 2022

Watu Watano wa Familia Moja Wauawa Dodoma

Watu watano wa familia moja wamekutwa wakiwa wameuawa nyumbani kwao eneo la Zanka wilayani Bahi mkoani Dodoma.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Onesmo Lyanga amethibitisha kutokea kwa tukio hilo.Mkuu . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • January 21, 2022

'Mchungaji' akamatwa baada ya watu wenye ulemavu kupatikana wamefungiwa katika nyumba yake

Mchungaji mmoja na mkewe wamekamatwa kwa madai ya kuwafungia walemavu katika eneo la chini la nyumba yao.Maafisa wa polisi wanasema kwamba Curtis Keith Bankston , 55, na mkewe walikuwa wakiendesh . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • January 20, 2022

WAZIRI MKUU WA UINGEREZA ASEMA HATOJIUZULU

  Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson anayepigania kuinusuru kazi yake baada kufanya sherehe za kunywa pombe ofisini na makazi yake ya Downing Street kipindi nchi ilipokuwa imefungwa ku . . .

Top Story
  • Na JZ The Brand
  • January 20, 2022

KUUNGUA KWA SOKO LA MITUMBA JIJINI DAR ES SALAAM

             Rais Samia Suluhu ametuma salamu za pole kwa wafanyabiashara wote wa soko la mitumba la Karume jijini Dar-es-salaam nchini Tanz . . .

Top Story
  • Na Suzuki
  • January 18, 2022

AJINYONGA JUU YA GOLI

Tyson Kilasi (32), Mkazi wa Kijiji cha Mawindi Halmashauri ya Wilaya ya Wanging’ombe Mkoani Njombe, amekutwa amefariki kwa kujinyonga kwenye goli la kuchezea mpira wa miguu wa kijiji hicho huku pemb . . .

Top Story
  • Na Suzuki
  • January 10, 2022

BINTI ADAIWA KUMUUA MAMA ILI ARITHI MALI

Ikiwa zimepita siku kadhaa tangu litokee tukio la kijana mmoja jijini Arusha kumuua mama yake mzazi kwa tamaa ya mali, limeibuka tukio lingine la kinyama mkoani Kilimanjaro katika Manispaa ya Moshi.In . . .

Kurasa 58 ya 59

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Michezo
news
  • 12 dakika zilizopita

BODI YA USHAURI YA TARURA YAKAGUA BARABARA ZA KUINGIA UWANJA WA AFCON ARUSHA

Makala
news
  • 14 dakika zilizopita

Watumiaji dawa za kulevya hatarini kuugua saratani ya kinywa

Habari
news
  • 15 dakika zilizopita

Ng’ombe, mbuzi na kondoo kupewa vitambulisho

Habari
news
  • 17 dakika zilizopita

Wajumbe wa Kamati ya Pamoja CCM na ACT Wazalendo Watangazwa

Michezo
news
  • 18 dakika zilizopita

Man United na Man City Kukutana Kwenye Derby Kali

Habari
news
  • 20 dakika zilizopita

Trump apigia chapuo kuungana tena kwa Ireland

Burudani
news
  • 2 siku zilizopita

Marioo, Jux Na Wasanii Wengine Kushiriki Afrimma Musicfest Dallas

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • BODI YA USHAURI YA TARURA YAKAGUA BARABARA ZA KUINGIA UWANJA WA AFCON ARUSHA

    • 12 dakika zilizopita
  • Watumiaji dawa za kulevya hatarini kuugua saratani ya kinywa

    • 14 dakika zilizopita
  • Ng’ombe, mbuzi na kondoo kupewa vitambulisho

    • 15 dakika zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode