MAMLAKA ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) imesema mchakato wa Uchaguzi Mkuu haujaathiri kasi ya uwekezaji nchini.Mkurugenzi Mkuu wa Tiseza, Gilead Teri amesema hali hiyo ina . . .
JUMUIYA ya Afrika Mashariki (EAC) imefanikiwa kusimamia vyema Itifaki ya Soko la Pamoja katika miaka 25 baada ya kuanzishwa tena mwaka 1999.Kazi kubwa iliyopo mbele yake kuanzia 2025 ni kusimamia na k . . .
WAZIRI MKUU,Kassim Majaliwa amesema kuwa Sekta ya madini imeendelea kuwa nguzo ya uchumi nchini ambapo katika mwaka 2022 sekta hiyo imekua kwa asilimia 10.9 na kufikia mchango wa asilimia 10.1 kwenye . . .
Katibu Tawala wa Mkoa wa Geita, Mohamed Gombati amesema Maonesho ya Teknolojia ya Madini yanayoendelea mkoani humo kila mwaka yamekuwa yakiongeza ajira na mzunguko wa biashara kwa wananchi, watoa hudu . . .
WIZARA ya Uchukuzi imesema sekta ya usafirishaji kupitia bandari inachangia asilimia 40 ya mapato ya nchi.Pia, imesema serikali ina matarajio ya kuunganisha bandari na Reli ya Kisasa (SGR) ili kuwa na . . .
Mkuu wa Wilaya ya Songwe Mh. Fadhili Nkurlu na Mwenyekiti wa Baraza la Biashara,Viwanda na kilimo Tanzania Wilaya ya Songwe ameongoza Mkutano wa Baraza la Biashara la Wilaya lililofanyika katika . . .
MAMLAKA ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA),imesema kuwa kupitia mifumo ya ukaguzi na ufuatiliaji wa bidhaa katika soko iliyowekwa imebaini uwepo katika soko wa Dettol za maji bandia zenye ujazo wa 50m . . .
Mafanikio katika sekta ya madini ni pamoja na kuongezeka kwa uzalishaji wa madini kutoka tani 7.9 mwaka 2020 hadi tani 42.5 mwaka 2025 hivyo jumla yamadini yaliyopatikana ni tani 50.4.Hii imechangia k . . .
BENKI ya NMB imeikabidhi Wizara ya Kilimo Sh milioni 100 kusaidia maandalizi ya Maonesho ya Wakulima, Wafugaji na Wavuvi maarufu kwa jina la Nanenane.Kiasi hicho ni sehemu ya jumla ya Sh milioni . . .
MAONESHO ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam yanaendelea yakitoa fursa kwa washiriki kuonesha bidhaa zao, huduma na teknolojia kwa lengo la kufi kia masoko mapya na kutafuta fursa mpya.Sam . . .
Taasisi ya TAMISA (Tanzania Mining industry suppliers Association) leo imefanya uzinduzi wa kamati ya masoko na mawasiliano ambayo itaongozwa na Dr Sebastian Ndege.Akizungumza kwenye uzinduzi huo, Dr. . . .
Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa kwa mwaka wa fedha 2023/2024 imepata hati safi (inayoridhisha) hatua iliochangiwa na uwepo wa ushirikiano baina ya madiwani na watalaamu pamoja na halmash . . .
Katika mnada wa hivi karibuni, bei ya juu ilikuwa Sh 2,710 na bei ya chini ilikuwa Sh 2,510 kwa kilogramu moja. Tani 3,000 ziliingizwa sokoni na kushindaniwa na wanunuzi.Mkulima wa ufuta kijijin . . .
SERIKALI imebani kuwa kiwango cha kuuza nyama nje ya nchi kimeongezeka kutoka tani 1,000 hapo awali hadi 14,000 mwaka 2025.Akizunguma hayo leo Juni 16, 2025 katika mahojiano maalum na waandishi . . .
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuzindua zoezi la Kampeni ya Chanjo na Utambuzi wa Mifugo Kitaifa, Juni16, 2025 Mjini Bariadi, mkoani Simiyu.Hayo yam . . .