Wakopeshaji wa kimataifa walisema, kwa uzalishaji wa kimataifa,( pato la jumla la taifa) makadirio ya ukuaji uchumi, hata hivyo bado yako chini ya wastani wa kihistoria kwa asilimia 3.8, uliorekodiwa . . .
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, amesema kuwa Tanzania inaunga mkono mpango ulioanzishwa na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) la kuingiza masuala ya kijinsia kwenye utekeleza . . .
Mkuu wa Benki Kuu ya Ulaya Christine Lagarde amesema, uchumi wa kanda ya Ulaya utakuwa bora zaidi mwaka huu kinyume na ilivyohofiwa awali. Lagarde ameyasema haya huko Davos Uswisi kunakoendelea kongam . . .
Pakistan imesema Jumatatu kwamba Russia imeamua kuiuzia mafuta ghafi, petroli pamoja na dizeli kwa bei nafuu. Naibu waziri wa mafuta wa taifa hilo la kusini mwa Asia Musadik Malik, amesema hay . . .
Kamishna wa uendelezaji wa sekta ya fedha kutoka Wizara ya Fedha na Mipango Dr Charles Mwamwaja akizungumza na waandishi wa habari juu ya Maadhimisho ya wiki ya Huduma za Fedha yatakayofayika Kitaifa . . .
Mamlaka zimegundua uwepo wa Kiwanda haramu kinachotengeneza Simu za Kampuni ya #AppleInc bandia katika Mji Mkuu Maputo, ambapo walinasa Simu 1,165 Kiwanda hicho kinachomilikiwa na Raia wawili wa #Chin . . .
Benki ya Dunia imesema sio rahisi ulimwengu kulifikia lengo lake la kuondoa umaskini uliokithiri ifikapo mwaka 2030. Hayo yameelezwa katika ripoti mpya ya Benki ya Dunia iliyotolewa jana. Ripoti hiyo . . .
Jumuiya ya Nchi zinazouza petroli duniani, pamoja na Russia na wazalishaji wengine wa mafuta, Jumatano zilipunguza uzalishaji mafuta kwa mapipa milioni 2 kwa siku.Hatua ambayo inaweza kusaidia M . . .
Serikali imetangaza viwango vipya vya tozo vya miamala simu na benki zikiwa zimepita siku chache tangu iahidi kuvipunguza kutokana na malalamiko ya wananchi.Taarifa iliyotolewa na Waziri wa Fedha na M . . .
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri Mkuu wa Japan Fumio Kishida, wakati walipokutana kwenye kasri la Kifalme ambalo hutumika kufanyia shughuli za Kiserikali la Asaka (Asaka Palace), . . .
Naibu Waziri wa Ushirikiano wa Kiuchumi na Maendeleo wa Ujerumani Dr Bärbel Kofler, amefanya leo ziara ya kihostoria katika jiji la Tanga nchini Tanzania. Ziara yake inaleta ujumbe mzito wa uungwaji . . .
Shirika la kimataifa la fedha IMF, limesema Jumanne kwamba uchumi wa dunia uko katika kasi ya pole pole, na wala hakuna dalili za hali hiyo kubadilika kwa haraka. IMF limesema kwamba ina . . .
Shirika la Fedha la Kimataifa IMF limesema limeipa Tanzania mkopo wa dola bilioni 1.046 utakaotolewa katika kipindi cha miezi 40, kwa lengo la kuisaidia nchi hiyo kukabiliana na athari za vita vya . . .
Serikali imesema inatambua mchango wa mafundi sanifu nchini katika kuufikia uchumi wa kidijitali unaokwenda sambamba na matokeo ya ubunifu na mabadiliko ya teknolojia. Ameyasema hayo jijini Dar e . . .
Waziri Mkuu wa Slovania, Robert Golob ametetea uamuzi wa kufanya matengenezo ya bomba la gesi linaloleta nishati hiyo kutoka Urusi hadi Ujerumani na ameyapinga madai yaliyotolewa na Ukraine. Wazir . . .