Katibu Mtendaji wa Shirika la maendeleo ya jamii na viziwi (DCPO),Jafari Shabani akizungumza kuhusiana na mafunzo hayo.Benki kuu ya Tanzania (BoT) imetoa mafunzo ya kutambua noti halali kwa watu wa ma . . .
Pato la Taifa lafikia Sh. trilioni 200 kwa mwaka 2023 kutoka Sh. trilioni 163 ya mwaka 2021, Uchumi wa Tanzania sasa ni mkubwa kuliko baadhi ya nchi za Ulaya na ni wa 6 kwa ukubwa kwa nchi zote za Kus . . .
KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imesaini Mkataba wa Makubaliano (MoU) na wenyeji wake Halmashauri ya Mji Geita, Wilaya ya Geita pamoja na Halmashauri za jirani za wilaya za Chato, Bukombe . . .
. . .
Katibu Mkuu Sekta ya Uchukuzi, Bw. Gabriel Migire akizungumza na Wadau wa usafiri kutoka Taasisi za Kikanda za Usafirishaji Majini (ISCOS), Jijini Dar es.Nchi za Afrika zimetakiwa kuwekeza katika umil . . .
Wafanyabiashara wa jumla wa Nafaka hususani Mchele katika soko la Tandale Dar es salaam wamesema hatua ya serikali kutangaza kuagiza Mchele nje ya nchi ni nzuri lakini wameomba uletwe sampo kidogo waj . . .
Wakopeshaji wa kimataifa walisema, kwa uzalishaji wa kimataifa,( pato la jumla la taifa) makadirio ya ukuaji uchumi, hata hivyo bado yako chini ya wastani wa kihistoria kwa asilimia 3.8, uliorekodiwa . . .
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, amesema kuwa Tanzania inaunga mkono mpango ulioanzishwa na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) la kuingiza masuala ya kijinsia kwenye utekeleza . . .
Mkuu wa Benki Kuu ya Ulaya Christine Lagarde amesema, uchumi wa kanda ya Ulaya utakuwa bora zaidi mwaka huu kinyume na ilivyohofiwa awali. Lagarde ameyasema haya huko Davos Uswisi kunakoendelea kongam . . .
Pakistan imesema Jumatatu kwamba Russia imeamua kuiuzia mafuta ghafi, petroli pamoja na dizeli kwa bei nafuu. Naibu waziri wa mafuta wa taifa hilo la kusini mwa Asia Musadik Malik, amesema hay . . .
Kamishna wa uendelezaji wa sekta ya fedha kutoka Wizara ya Fedha na Mipango Dr Charles Mwamwaja akizungumza na waandishi wa habari juu ya Maadhimisho ya wiki ya Huduma za Fedha yatakayofayika Kitaifa . . .
Mamlaka zimegundua uwepo wa Kiwanda haramu kinachotengeneza Simu za Kampuni ya #AppleInc bandia katika Mji Mkuu Maputo, ambapo walinasa Simu 1,165 Kiwanda hicho kinachomilikiwa na Raia wawili wa #Chin . . .
Benki ya Dunia imesema sio rahisi ulimwengu kulifikia lengo lake la kuondoa umaskini uliokithiri ifikapo mwaka 2030. Hayo yameelezwa katika ripoti mpya ya Benki ya Dunia iliyotolewa jana. Ripoti hiyo . . .
Jumuiya ya Nchi zinazouza petroli duniani, pamoja na Russia na wazalishaji wengine wa mafuta, Jumatano zilipunguza uzalishaji mafuta kwa mapipa milioni 2 kwa siku.Hatua ambayo inaweza kusaidia M . . .
Serikali imetangaza viwango vipya vya tozo vya miamala simu na benki zikiwa zimepita siku chache tangu iahidi kuvipunguza kutokana na malalamiko ya wananchi.Taarifa iliyotolewa na Waziri wa Fedha na M . . .