logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • HABARI ZA MASTAA
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Kiuchumi Na Biashara

  • Pata Habari Zote Za Biashara Na Uchumi
news
Uchumi | Biashara Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 31, 2022

Viongozi wa EU wakubaliana kuacha kuagiza asilimia 90 ya mafuta kutoka Urusi

Viongozi wa mataifa ya Umoja wa Ulaya wamekubaliana kupiga marufuku uingizaji wa hadi theluthi mbili ya mafuta kutoka Urusi ifikapo mwishoni mwa mwaka huu. Makubaliano hayo yamefikiwa wakati wa si . . .

news
Uchumi | Biashara Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 31, 2022

Biden kukutana na gavana wa Benki Kuu kujadili mfumuko wa bei

Rais wa Marekani Joe Biden leo atakutana na gavana wa benki kuu ya Marekani Jerome Powell kwa mazungumzo kuhusu hali ya uchumi wa taifa hilo na ulimwengu kwa jumla katika wakati mfumuko mkubwa wa . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • May 23, 2022

Tozo Daraja la Nyerere zashuka, kulipwa kwa vifurushi

Hatimaye Serikali imesikia kilio cha wananchi juu ya malipo ya kuvuka daraja la Nyerere lililopo Kigamboni jijini Dar es Saalam na kubadili mfumo wa malipo ambao unaelezwa utakuwa na ahueni.Watumi . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • May 13, 2022

Ujerumani imesema inaweza kuhimili athari za vikwazo vya nishati ya Urusi

Waziri wa Uchumi wa Ujerumani Robert Habeck amesema athari za vikwazo vya Urusi katika sekta ya nishati ya Ujerumani zinaweza kudhibitiwa.Waziri huyo alikuwa akizungumzia uamuzi wa Urusi kuiwekea . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na JZ The Brand
  • May 10, 2022

Serikali yatoa Sh100 bilioni kupunguza bei ya mafuta

Waziri wa Nishati, January Makamba amesema Serikali imetoa ruzuku ya Sh100 bilioni kwa ajili ya kupunguza bei ya mafuta nchini.Akizungumza Bungeni leo Jumanne Mei 10, 2922 Waziri  Makamba ames . . .

news
Uchumi biashara
  • Na Asha Business
  • May 10, 2022

Iran inadai inauza nje mafuta mengi licha ya vikwazo vya Marekani

Rais wa Iran Jumatatu amesema nchi yake inauza nje mafuta mara mbili zaidi ya wakati alipoingia madarakani mwezi Agosti, na licha ya vikwazo vikali kwa mauzo ya mafuta ya Iran vilivyowekwa na Ma . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • May 10, 2022

Wafanyabiashara waonya juu ya athari za hatua ya kusitisha ukopeshaji kwenye benki

Hatua ya Zimbabwe ya kusitisha ukopeshaji wa benki itakuwa na matokeo mabaya, itaunda mfumo sambamba wa benki na kukwamisha juhudi za kuboresha uchumi unaodorora, wakuu wa sekta ya biashara nchi . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na JZ The Brand
  • May 9, 2022

Matajiri na maskini wanavyoishi sawa mtaani

Matajiri na maskini sasa wanaishi katika mazingira yanayowiana, hivyo ndivyo inavyoweza kuelezwa kwa kile kinachoonekana katika jamii huku wafanyabiashara wakijaribu kuweka usawa wa maisha kwa wat . . .

news
Uchumi biashara
  • Na JZ The Brand
  • April 28, 2022

YAFUTURISHA WADAU NA WAFANYAKAZI

Waislamu na wanajamii kwa ujumla wametakiwa kuutumia mwezi Mtukufu wa Ramadhani kubadili tabia kwa kutenda yaliyo mema na kuyaendeleza hata baada ya kumalizika mfungo.Rai hiyo ilitolewa na Mweny . . .

news
Utalii
  • Na Asha Business
  • April 24, 2022

Gari la Rais Samia la Royal Tour lavutia utalii

Baada ya filamu ya Royal Tour kuzinduliwa katika miji ya New York na Los Angeles Marekani, gari lililoonekana likiendeshwa na Rais Samia Suluhu Hassan katika filamu hiyo, limekuwa kivutio kipya ch . . .

news
Uchumi | Biashara Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 22, 2022

Uvamizi wa Russia dhidi ya Ukraine tayari umesababisha hasara ya dola bilioni 60

Uharibifu wa majengo na miundombinu ya Ukraine kutokana na uvamizi wa Russia umefikia hasara ya takriban dola bilioni 60 na utaongezeka zaidi kadri vita vinavyoendelea, Rais wa Benki ya dunia Da . . .

news
Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 21, 2022

Google Wazindua Kituo cha Ukuzaji wa Bidhaa Nairobi Kenya Ambacho ni cha Kwanza Afrika

Mtandao wa Google umezindua kituo cha ukuzaji wa bidhaa jijini Nairobi Kenya ambacho ni cha kwanza katika bara la Afrika ambacho kitakua kikifanya kazi ya kujenga bidhaa na huduma za ‘mabadili . . .

news
Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 21, 2022

Italy na Angola wametia saini mkataba wa usambazaji gesi

Italy siku ya Jumatano iliingia mkataba na Angola ili kuongeza usambazaji wa gesi kutoka nchi hiyo ya kusini mwa Afrika huku ikihangaika kujitenga haraka na gesi ya Russia kutokana na vita vya . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • April 17, 2022

RC awatumbua mgambo saba, mratibu machinga Mwanza

Muda mfupi baada ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tamisemi, Innocent Bashungwa kutoa maagizo kwa uongozi wa Jiji la Mwanza kutokana na video iliyosambaa mtandaoni ikionyesha watu wanaodaiwa kuwa mg . . .

news
Uchumi biashara
  • Na Asha Business
  • April 14, 2022

Afisa Mkuu wa Rubis Atimuliwa nchini.

Serikali imetimiza ahadi yake ya kuwaadhibu wauzaji mafuta wanaoficha mafuta huku kukiwa na uhaba wa bidhaa hiyo kote nchini kote.Mnamo Jumatano, Aprili 13, 2022, serikali ilifuta kibali cha kufanya k . . .

Kurasa 1 ya 5

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Marekani yafungua uchunguzi baada ya wahamiaji 51 kufa kwa joto ndani ya Trela

    • jana
  • Maajenti wa kazi Uarabuni kuchunguzwa

    • jana
  • Samboja awindwa tena kuhusu cheti cha chuo kikuu baada ya kuponyoka

    • jana

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P.O BOX 1334,
Malimbe-Luchelele,
Mwanza-Tanzania.

info@jembenijembe.com

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created By ZEDCODE Email: dammedeggers7777@gmail.com