logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • HABARI ZA MASTAA
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Kiuchumi Na Biashara

  • Pata Habari Zote Za Biashara Na Uchumi
news
Uchumi biashara
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Uganda kuanza kuyauza mafuta yake nje ya nchi mwishoni mwa mwaka huu

Uganda imeipa mafuta yake jina la "Pearl Sweet" wakati huu Waziri wa nishati nchini humo Irene Batebe akitangaza kuwa wanatarajia kuanza kuyauza nje ya nchi kufikia mwishoni mwa mwaka huu.Kwa mujibu w . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • August 3, 2026

DIB YAWAHIMIZA WANANCHI KUWEKA AKIBA KWENYE TAASISI ZENYE LESENI

Bodi ya Bima ya Amana (DIB) imewataka wananchi kutumia fursa ya Maonesho ya Nanenane kutembelea banda la DIB ili kupata elimu kuhusu ulinzi wa amana zao na taratibu za kufidia fedha wanazoweka katika . . .

news
Uchumi | Biashara Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 24, 2026

TNCM YAIDHINISHA OMBI LA TANZANIA LA UFADHILI WA MZUNGUKO WA NANE (GC8) WA MFUKO WA DUNIA KWA KIPINDI CHA 2027–2029

Kamati ya Kitaifa ya Kuratibu na Kusimamia Fedha za Mfuko wa Dunia nchini Tanzania (Tanzania National Coordinating Mechanism – TNCM), imeidhinisha rasmi Ombi la Tanzania la Ufadhili wa Mzunguko wa N . . .

news
Uchumi biashara
  • Na Asha Business
  • July 24, 2026

Wafanyabiashara Soko la Mawenzi Morogoro Wagoma

Wafanyabiashara wa Soko la Mawenzi mkoani Morogoro wamegoma kufungua biashara zao wakishinikiza Serikali kupunguza kodi ya pango la vizimba, wakidai kiwango cha sasa ni kikubwa na kinawaathiri kiuchum . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • July 16, 2026

Washington kuweka ushuru wa 25% kwa baadhi ya bidhaa za Brazil

Serikali ya Marekani imetangaza siku ya Jumatano kwamba itaweka ushuru wa 25% kwa bidhaa kadhaa za Brazil, kufuatia uchunguzi uliofanywa na Mwakilishi wa Biashara wa Marekani (USTR) kulingana na sheri . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • July 12, 2026

Wananchi waridhishwa na huduma za Wizara ya Fedha Sabasaba

Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), CPA Prof. Siasa Mzenzi, ametembelea Banda la Wizara ya Fedha katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya D . . .

news
Uchumi biashara
  • Na Asha Business
  • July 9, 2026

soko la dunia lahitaji tani laki tano kwa mwaka zao la mkonge

Zao la mkonge linaendelea kuwa moja ya mazao yenye fursa kubwa za kiuchumi nchini Tanzania. Kwa mujibu wa Bodi ya Mkonge Tanzania, uzalishaji wa sasa ni takribani tani 72,000 kwa mwaka, wakati mahitaj . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • June 5, 2026

TPA KUPITA NJIA ZA BANDARI KUBWA DUNIANI

Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imeanza kupita njia zinazotumiwa na baadhi ya bandari kubwa duniani katika kuboresha na kuendeleza miundombinu yake ili kuongeza tija, kuvutia uwekezaji . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • June 3, 2026

EWURA Yatangaza Bei Mpya za Mafuta, Petroli Yashuka Dar, Serikali Yaweka Ruzuku Kwenye Dizeli

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza rasmi bei mpya za kikomo za bidhaa za mafuta zitakazoanza kutumika nchini kuanzia leo Juni 3, 2026.Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa . . .

news
Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 20, 2026

NJOMBE YAIBUKA KITOVU CHA MADINI ADIMU, SOKO LAKE KUU LIPO CHINA

Serikali imetangaza kuwa Mkoa wa Njombe unatarajiwa kuwa kitovu kipya cha uwekezaji wa madini nchini baada ya kugunduliwa kwa madini adimu ya Rare Earth Elements (REE) ya aina mbili ambayo ni Neodymiu . . .

news
Uchumi biashara
  • Na Asha Business
  • May 20, 2026

Wafanyabiashara wasalia kuhesabu hasara ya mgomo

WAFANYABIASHARA kote nchini jana walikuwa wakikadiria hasara kubwa kufuatia maandamano ya Jumatatu yaliyogeuka kuwa vurugu katika miji kadhaa, ambapo makundi ya wahuni yalitumia fursa hiyo kuvamia bia . . .

news
Uchumi biashara
  • Na Asha Business
  • May 7, 2026

MKOA WA RUVUMA KUZALISHA TANI 29,000 ZA KAHAWA MSIMU 2026/2027

MKOA wa Ruvuma kwa kushirikiana na wadau mbalimbali, umejipanga kuongeza uzalishaji wa zao la kahawa kutoka tani 26,088.05 za msimu 2025/2026 hadi kufikia tani 29,000 katika msimu wa kilimo 2026/2027. . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • May 1, 2026

Mfumuko wa bei barani Ulaya ulipanda hadi 3% mwezi Aprili

Kupanda kwa kasi kwa bei ya mafuta kutokana na vita kati ya Iran na Marekani kumesababisha kupanda kwa mfumuko wa bei barani Ulaya mwezi Aprili.Kupanda kwa kasi kwa bei ya mafuta kutokana na vita kati . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • May 1, 2026

TANZANIA NA JAPAN KUFUNGUA MILANGO MIPYA YA UWEKEZAJI KATIKA SEKTA YA NISHATI

Ushirikiano kati ya Tanzania na Japan katika sekta ya nishati unaingia hatua mpya, huku juhudi zikielekezwa zaidi katika kuvutia uwekezaji wa sekta binafsi na teknolojia za kisasa za uzalishaji umeme. . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • April 30, 2026

SERIKALI YASISITIZA USHIRIKI WA VIJANA KATIKA UKUAJI WA UCHUMI

Serikali imesisitiza kuwa, Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 inatoa kipaumbele cha pekee kwa ushiriki wa vijana katika maendeleo, kwa lengo la kuinua vipaji, uwezo, na ari yao katika kufanikisha ukuaji . . .

Kurasa 1 ya 12

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Haya Ndiyo Maajabu ya Komamanga Mwilini Wako, Wengi Hawajui!

    • 2 siku zilizopita
  • Ubalozi Wafunguka Mtanzania Khalifa Siwa Afariki Dunia Nchini Marekani, Ubalozi Wafunguka

    • 2 siku zilizopita
  • Bodi ya Filamu Yawapa Wito ‘A-List’ Watakiwa Kufika Septemba 7, 2026

    • 2 siku zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode