logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • HABARI ZA MASTAA
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Kiuchumi Na Biashara

  • Pata Habari Zote Za Biashara Na Uchumi
news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • April 20, 2023

BENKI KUU YA TANZANIA YATOA MAFUNZO YA KUTAMBUA NOTI HALALI KWA WATU WA MAKUNDI MAALUMU

Katibu Mtendaji wa Shirika la maendeleo ya jamii na viziwi (DCPO),Jafari Shabani akizungumza kuhusiana na mafunzo hayo.Benki kuu ya Tanzania (BoT) imetoa mafunzo ya kutambua noti halali kwa watu wa ma . . .

news
Uchumi | Biashara Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 17, 2023

IFM "Uchumi wa Tanzania wapaa miaka miwili ya Rais Samia"

Pato la Taifa lafikia Sh. trilioni 200 kwa mwaka 2023 kutoka Sh. trilioni 163 ya mwaka 2021, Uchumi wa Tanzania sasa ni mkubwa kuliko baadhi ya nchi za Ulaya na ni wa 6 kwa ukubwa kwa nchi zote za Kus . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • March 22, 2023

GGML,HALMASHAURI ZA GEITA ZASAINI MAKUBALIANO YA CSR YA THAMANI YA SH BILIONI 19

KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imesaini Mkataba wa Makubaliano (MoU) na wenyeji wake Halmashauri ya Mji Geita, Wilaya ya Geita pamoja na Halmashauri za jirani za wilaya za Chato, Bukombe . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • March 14, 2023

BENKI KUU YA TANZANIA YAONGEZA MUDA WA USIMAMIZI WA YETU MICROFINANCE BANK PLC

. . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • March 3, 2023

NCHI ZA AFRIKA ZATAKIWA KUMILIKI MELI

Katibu Mkuu Sekta ya Uchukuzi, Bw. Gabriel Migire akizungumza na Wadau wa usafiri kutoka Taasisi za Kikanda za Usafirishaji Majini (ISCOS), Jijini Dar es.Nchi za Afrika zimetakiwa kuwekeza katika umil . . .

news
Kitaifa
  • Na Asha Business
  • February 16, 2023

Wafanyabiashara wa mchele Dar waomba sampo.

Wafanyabiashara wa jumla wa Nafaka hususani Mchele katika soko la Tandale Dar es salaam wamesema hatua ya serikali kutangaza kuagiza Mchele nje ya nchi ni nzuri lakini wameomba uletwe sampo kidogo waj . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • February 1, 2023

IMF yapitia makadirio ya ukuaji uchumi duniani baada ya China kufungua biashara

Wakopeshaji wa kimataifa walisema, kwa uzalishaji wa kimataifa,( pato la jumla la taifa) makadirio ya ukuaji uchumi, hata hivyo bado yako chini ya wastani wa kihistoria kwa asilimia 3.8, uliorekodiwa . . .

news
Uchumi | Biashara Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 23, 2023

Tanzania yaunga mkono mkakati wa IMF

Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, amesema kuwa Tanzania inaunga mkono mpango ulioanzishwa na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) la kuingiza masuala ya kijinsia kwenye utekeleza . . .

news
Uchumi | Biashara Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 20, 2023

Uchumi 2023 utakuwa bora kuliko ilivyohofiwa

Mkuu wa Benki Kuu ya Ulaya Christine Lagarde amesema, uchumi wa kanda ya Ulaya utakuwa bora zaidi mwaka huu kinyume na ilivyohofiwa awali. Lagarde ameyasema haya huko Davos Uswisi kunakoendelea kongam . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • December 6, 2022

Russia kuuzia Pakistan mafuta kwa bei nafuu

Pakistan imesema Jumatatu kwamba Russia imeamua kuiuzia mafuta ghafi, petroli pamoja na dizeli kwa bei nafuu. Naibu waziri wa mafuta wa taifa hilo la kusini mwa Asia Musadik Malik, amesema hay . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • November 21, 2022

WATANZANIA KUPEWA ELIMU YA FEDHA ITAKAYOWASAIDIA KUWA NA UCHUMI IMARA

Kamishna wa uendelezaji wa sekta ya fedha kutoka Wizara ya Fedha na Mipango Dr Charles Mwamwaja akizungumza na waandishi wa habari juu ya Maadhimisho ya wiki ya Huduma za Fedha yatakayofayika Kitaifa . . .

news
Viwanda
  • Na Asha Business
  • November 1, 2022

Kiwanda Cha Iphone Bandia Chagunduliwa Msumbiji

Mamlaka zimegundua uwepo wa Kiwanda haramu kinachotengeneza Simu za Kampuni ya #AppleInc bandia katika Mji Mkuu Maputo, ambapo walinasa Simu 1,165 Kiwanda hicho kinachomilikiwa na Raia wawili wa #Chin . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • October 6, 2022

Benki ya Dunia"Umaskini uliokithiri utaendelea kuwepo"

Benki ya Dunia imesema sio rahisi ulimwengu kulifikia lengo lake la kuondoa umaskini uliokithiri ifikapo mwaka 2030. Hayo yameelezwa katika ripoti mpya ya Benki ya Dunia iliyotolewa jana. Ripoti hiyo . . .

news
Uchumi | Biashara Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 6, 2022

Nchi zinazo zalisha petroli duniani zapunguza uzalishaji

Jumuiya ya Nchi zinazouza petroli duniani, pamoja na Russia na wazalishaji wengine wa mafuta, Jumatano zilipunguza uzalishaji mafuta  kwa mapipa milioni 2 kwa siku.Hatua ambayo inaweza kusaidia M . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • October 2, 2022

Tozo mpya miamala ya simu, benki hii hapa

Serikali imetangaza viwango vipya vya tozo vya miamala simu na benki zikiwa zimepita siku chache tangu iahidi kuvipunguza kutokana na malalamiko ya wananchi.Taarifa iliyotolewa na Waziri wa Fedha na M . . .

Kurasa 1 ya 7

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Otile Brown, Meneja Noriega ‘waachana’ rasmi

    • 9 masaa yaliopita
  • Papa Francis kufanyiwa upasuaji wa tumbo

    • 9 masaa yaliopita
  • Kagame atimua wanajeshi 244

    • 10 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P.O BOX 1334,
Malimbe-Luchelele,
Mwanza-Tanzania.

info@jembenijembe.com

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode