logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • HABARI ZA MASTAA
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Kiuchumi Na Biashara

  • Pata Habari Zote Za Biashara Na Uchumi
news
Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 7 siku zilizopita

TISEZA imesema mchakato wa Uchaguzi Mkuu haujaathiri kasi ya uwekezaji nchini.

MAMLAKA ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) imesema mchakato wa Uchaguzi Mkuu haujaathiri kasi ya uwekezaji nchini.Mkurugenzi Mkuu wa Tiseza, Gilead Teri amesema hali hiyo ina . . .

news
Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 7 siku zilizopita

EAC kusimamia vyema Itifaki ya Soko la pamoja

JUMUIYA ya Afrika Mashariki (EAC) imefanikiwa kusimamia vyema Itifaki ya Soko la Pamoja katika miaka 25 baada ya kuanzishwa tena mwaka 1999.Kazi kubwa iliyopo mbele yake kuanzia 2025 ni kusimamia na k . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Jembe Digital
  • September 23, 2025

Majaliwa Aitaja Sekta ya Madini Nguzo Kuu ya Uchumi Kanda ya Ziwa

WAZIRI MKUU,Kassim Majaliwa amesema kuwa Sekta ya madini imeendelea kuwa nguzo ya uchumi nchini ambapo katika mwaka 2022 sekta hiyo imekua kwa asilimia 10.9 na kufikia mchango wa asilimia 10.1 kwenye . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Jembe Digital
  • September 22, 2025

Maonesho ya madini kuongeza ajira Geita

Katibu Tawala wa Mkoa wa Geita, Mohamed Gombati amesema Maonesho ya Teknolojia ya Madini yanayoendelea mkoani humo kila mwaka yamekuwa yakiongeza ajira na mzunguko wa biashara kwa wananchi, watoa hudu . . .

news
Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • September 11, 2025

Sekta ya usafirishaji yachangia 40% Pato la Taifa

WIZARA ya Uchukuzi imesema sekta ya usafirishaji kupitia bandari inachangia asilimia 40 ya mapato ya nchi.Pia, imesema serikali ina matarajio ya kuunganisha bandari na Reli ya Kisasa (SGR) ili kuwa na . . .

news
Uchumi biashara
  • Na Jembe Digital
  • August 20, 2025

DC Songwe aongoza Baraza la Biashara la wilaya

Mkuu wa Wilaya ya Songwe Mh. Fadhili Nkurlu na Mwenyekiti wa Baraza la Biashara,Viwanda na kilimo Tanzania Wilaya ya Songwe ameongoza Mkutano wa Baraza la Biashara la Wilaya  lililofanyika katika . . .

news
Uchumi biashara
  • Na Asha Business
  • August 18, 2025

TMDA yagundua uwepo wa Dettol za maji bandia

MAMLAKA ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA),imesema kuwa  kupitia mifumo ya ukaguzi na ufuatiliaji wa bidhaa katika soko iliyowekwa imebaini uwepo katika soko wa Dettol za maji bandia zenye ujazo wa 50m . . .

news
Uchumi biashara
  • Na Jembe Digital
  • August 6, 2025

Jumla ya tani 42.5 za madini ya dhahabu kuzalishwa Shinyanga

Mafanikio katika sekta ya madini ni pamoja na kuongezeka kwa uzalishaji wa madini kutoka tani 7.9 mwaka 2020 hadi tani 42.5 mwaka 2025 hivyo jumla yamadini yaliyopatikana ni tani 50.4.Hii imechangia k . . .

news
Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • July 28, 2025

Mil 100 zatolewa maandalizi ya nanenane

 BENKI ya NMB imeikabidhi Wizara ya Kilimo Sh milioni 100 kusaidia maandalizi ya Maonesho ya Wakulima, Wafugaji na Wavuvi maarufu kwa jina la Nanenane.Kiasi hicho ni sehemu ya jumla ya Sh milioni . . .

news
Uchumi biashara
  • Na Jembe Digital
  • July 4, 2025

Maonyesho ya 49 ya Biashara yaendelea kutoa fursa za ubunifu na uvumbuzi

MAONESHO ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam yanaendelea yakitoa fursa kwa washiriki kuonesha bidhaa zao, huduma na teknolojia kwa lengo la kufi kia masoko mapya na kutafuta fursa mpya.Sam . . .

news
Top Story
  • Na Jembe Digital
  • June 19, 2025

TAMISA yaanza kusajili wanachama na kuwapa njia za kupata tenda migodini.

Taasisi ya TAMISA (Tanzania Mining industry suppliers Association) leo imefanya uzinduzi wa kamati ya masoko na mawasiliano ambayo itaongozwa na Dr Sebastian Ndege.Akizungumza kwenye uzinduzi huo, Dr. . . .

news
Top Story
  • Na Jembe Digital
  • June 18, 2025

Wilaya ya kalambo yapata hati safi miaka 5 mfululizo kwa ukusanyaji wa mapato

Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa kwa mwaka wa fedha 2023/2024 imepata hati safi (inayoridhisha) hatua iliochangiwa na uwepo wa ushirikiano baina ya madiwani na watalaamu pamoja na halmash . . .

news
Uchumi biashara
  • Na Jembe Digital
  • June 17, 2025

MSIMU wa kwanza wa zao la biashara la ufuta mwaka 2025/2026 umefunguliwa.

Katika mnada  wa hivi karibuni, bei ya juu ilikuwa Sh 2,710 na bei ya chini ilikuwa Sh 2,510 kwa kilogramu moja. Tani 3,000 ziliingizwa sokoni na kushindaniwa na wanunuzi.Mkulima wa ufuta kijijin . . .

news
Uchumi biashara
  • Na Jembe Digital
  • June 16, 2025

Mauzo ya Nyama Nje ya Nchi yaongezeka kutoka tani 1,000 hadi tani 14,000 mwaka 2025

 SERIKALI imebani kuwa kiwango cha kuuza nyama nje ya nchi kimeongezeka kutoka tani 1,000 hapo awali hadi 14,000 mwaka 2025.Akizunguma hayo leo Juni 16, 2025 katika mahojiano maalum na waandishi . . .

news
Teknolojia
  • Na Jembe Digital
  • June 11, 2025

Uzinduzi wa Zoezi la kampeni ya chanjo ya mifugo kitaifa kufanyika mkoani Simiyu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuzindua zoezi la Kampeni ya Chanjo na Utambuzi wa Mifugo Kitaifa, Juni16, 2025 Mjini Bariadi, mkoani Simiyu.Hayo yam . . .

Kurasa 1 ya 10

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Mpango amewasili Viwanja vya Sokoine kushiriki kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru

    • 45 dakika zilizopita
  • MANISPAA YA GEITA YANG’ARA KITAIFA KATIKA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025

    • 54 dakika zilizopita
  • Watanzania wasisitizwa kuendelea kumwombea baba wa taifa

    • saa moja lililopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode