logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • HABARI ZA MASTAA
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Kiuchumi Na Biashara

  • Pata Habari Zote Za Biashara Na Uchumi
news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

IMF yapitia makadirio ya ukuaji uchumi duniani baada ya China kufungua biashara

Wakopeshaji wa kimataifa walisema, kwa uzalishaji wa kimataifa,( pato la jumla la taifa) makadirio ya ukuaji uchumi, hata hivyo bado yako chini ya wastani wa kihistoria kwa asilimia 3.8, uliorekodiwa . . .

news
Uchumi | Biashara Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 23, 2023

Tanzania yaunga mkono mkakati wa IMF

Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, amesema kuwa Tanzania inaunga mkono mpango ulioanzishwa na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) la kuingiza masuala ya kijinsia kwenye utekeleza . . .

news
Uchumi | Biashara Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 20, 2023

Uchumi 2023 utakuwa bora kuliko ilivyohofiwa

Mkuu wa Benki Kuu ya Ulaya Christine Lagarde amesema, uchumi wa kanda ya Ulaya utakuwa bora zaidi mwaka huu kinyume na ilivyohofiwa awali. Lagarde ameyasema haya huko Davos Uswisi kunakoendelea kongam . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • December 6, 2022

Russia kuuzia Pakistan mafuta kwa bei nafuu

Pakistan imesema Jumatatu kwamba Russia imeamua kuiuzia mafuta ghafi, petroli pamoja na dizeli kwa bei nafuu. Naibu waziri wa mafuta wa taifa hilo la kusini mwa Asia Musadik Malik, amesema hay . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • November 21, 2022

WATANZANIA KUPEWA ELIMU YA FEDHA ITAKAYOWASAIDIA KUWA NA UCHUMI IMARA

Kamishna wa uendelezaji wa sekta ya fedha kutoka Wizara ya Fedha na Mipango Dr Charles Mwamwaja akizungumza na waandishi wa habari juu ya Maadhimisho ya wiki ya Huduma za Fedha yatakayofayika Kitaifa . . .

news
Viwanda
  • Na Asha Business
  • November 1, 2022

Kiwanda Cha Iphone Bandia Chagunduliwa Msumbiji

Mamlaka zimegundua uwepo wa Kiwanda haramu kinachotengeneza Simu za Kampuni ya #AppleInc bandia katika Mji Mkuu Maputo, ambapo walinasa Simu 1,165 Kiwanda hicho kinachomilikiwa na Raia wawili wa #Chin . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • October 6, 2022

Benki ya Dunia"Umaskini uliokithiri utaendelea kuwepo"

Benki ya Dunia imesema sio rahisi ulimwengu kulifikia lengo lake la kuondoa umaskini uliokithiri ifikapo mwaka 2030. Hayo yameelezwa katika ripoti mpya ya Benki ya Dunia iliyotolewa jana. Ripoti hiyo . . .

news
Uchumi | Biashara Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 6, 2022

Nchi zinazo zalisha petroli duniani zapunguza uzalishaji

Jumuiya ya Nchi zinazouza petroli duniani, pamoja na Russia na wazalishaji wengine wa mafuta, Jumatano zilipunguza uzalishaji mafuta  kwa mapipa milioni 2 kwa siku.Hatua ambayo inaweza kusaidia M . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • October 2, 2022

Tozo mpya miamala ya simu, benki hii hapa

Serikali imetangaza viwango vipya vya tozo vya miamala simu na benki zikiwa zimepita siku chache tangu iahidi kuvipunguza kutokana na malalamiko ya wananchi.Taarifa iliyotolewa na Waziri wa Fedha na M . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • September 26, 2022

Tanzania Kuuza Tumbaku Japan Sasa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri Mkuu wa Japan Fumio Kishida, wakati walipokutana kwenye kasri la Kifalme ambalo hutumika kufanyia shughuli za Kiserikali la Asaka (Asaka Palace), . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • August 16, 2022

Naibu Waziri wa Ushirikiano wa Kiuchumi na Maendeleo wa Ujerumani atembelea Tanga

Naibu Waziri wa Ushirikiano wa Kiuchumi na Maendeleo wa Ujerumani Dr Bärbel Kofler, amefanya leo ziara ya kihostoria katika jiji la Tanga nchini Tanzania. Ziara yake inaleta ujumbe mzito wa uungwaji . . .

news
Uchumi | Biashara Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 27, 2022

IMF "Uchumi wa dunia unajikokota".

Shirika la kimataifa la fedha IMF, limesema Jumanne kwamba uchumi wa dunia uko katika kasi ya pole pole, na wala hakuna dalili za hali hiyo kubadilika kwa haraka. IMF limesema kwamba ina . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • July 19, 2022

IMF yaipa Tanzania mkopo wa dola bilioni moja

Shirika la Fedha la Kimataifa IMF limesema limeipa Tanzania mkopo wa dola bilioni 1.046 utakaotolewa katika kipindi cha miezi 40, kwa lengo la kuisaidia nchi hiyo kukabiliana na athari za vita vya . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • July 15, 2022

Serikali Yatambua Mchango Wa Mafundi Sanifu Katika Ukuaji Uchumi

Serikali imesema inatambua mchango wa mafundi sanifu nchini katika kuufikia uchumi wa kidijitali unaokwenda sambamba na matokeo ya ubunifu na mabadiliko ya teknolojia. Ameyasema hayo jijini Dar e . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • July 13, 2022

Waziri Mkuu wa Slovania atetea uamuzi wa kufanya matengenezo ya bomba la gesi

Waziri Mkuu wa Slovania, Robert Golob ametetea uamuzi wa kufanya matengenezo ya bomba la gesi linaloleta nishati hiyo kutoka Urusi hadi Ujerumani na ameyapinga madai yaliyotolewa na Ukraine. Wazir . . .

Kurasa 1 ya 6

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Viongozi wa kikanda wakubaliana kuiangamiza al-Shabab

    • 15 masaa yaliopita
  • KUFIKIA DESEMBA 2023 WAUGUZI 3000 KUPATA MAFUNZO YA MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA NCHINI.

    • 15 masaa yaliopita
  • Papa Francis akutana na wahanga wa vita vya Kongo

    • 15 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P.O BOX 1334,
Malimbe-Luchelele,
Mwanza-Tanzania.

info@jembenijembe.com

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created By ZEDCODE Email: dammedeggers7777@gmail.com