logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • HABARI ZA MASTAA
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Kiuchumi Na Biashara

  • Pata Habari Zote Za Biashara Na Uchumi
news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • January 29, 2025

Wakubaliana kuondoa ulaghai ununuzi Mazao ya nafaka

Wakulima wa mazao ya biashara mkoani Simiyu, wameazimia kutumia mfumo wa stakabadhi ghalani kuuza mazao yao, ili kukabiliana na ulaghai unaofanywa na walanguzi wa mazao hayo wanaowasababishia hasara.M . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • December 17, 2024

Ripoti ya Uchumi Duniani, Yaonyesha matokeo makubwa Uchumi wa Tanzania chini ya Rais Samia

Uthibitisho wa ripoti ya Fitch Ratings umeipa Tanzania kiwango cha alama B+ kuwa na Uchumi unaokua kwa kasi na uwezo wa Kulipa Madeni ya Nje kwa Muda Mrefu (IDR).Ripoti hiyo imeonyesha mtazamo thabiti . . .

news
Uchumi biashara
  • Na Asha Business
  • December 16, 2024

Kiwanda cha mafuta Libya chafungwa

Kiwanda kimoja cha kusafisha mafuta cha Libya kilichopo magharibi mwa Libya kimefungwa baada ya mapigano kati ya makundi yenye silaha kuzuka mapema Jumapili na kusababisha moto kwenye miundombinu, kam . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • October 27, 2024

Noti za Zamani Kuondolewa Kwenye Mzunguko wa Fedha Tanzania

Benki Kuu ya Tanzania imewataarifu Watanzania kuhusu zoezi la kuondoa kwenye mzunguko noti za zamani za shilingi ishirini (20), mia mbili (200), mia tano (500), elfu moja (1000), elfu mbili (2000), el . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • September 25, 2024

Wakalini watakiwa kuungana kulinda uchumi wa nchi

Vyama vya Mawakili nchini vimetakiwa kushirikiana kwa pamoja kusaidia wananchi katika kupata haki lakini pia kupunguza changamoto za uhujumu wa uchumi kwa wawekezaji wanaotaka kuwekeza ndani na nje ya . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • June 25, 2024

Kinachoendelea mgomo wa wafanyabiashara Dar, Mwanza, Mbeya

Siku moja tangu mgomo wa wafanyabiashara wa Kariakoo uanze, mikoa ya Mwanza na Mbeya imeanza mgomo huo kwa madai ya utitiri wa kodi na tozo huku wakishinikiza mazingira mazuri ya biashara.Licha ya Waz . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • June 21, 2024

IMF yaidhinisha ufadhili wa dola milioni 900 kwa Tanzania

Shirika la kimataifa la fedha (IMF) Alhamisi limesema bodi yake ya utendaji imeidhinisha ufadhili wa dola milioni 786.2 kwa Tanzania kuisaidia nchi hiyo kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa.Shiri . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • June 20, 2024

Mbunge ataka serikali isisimamie mwendokasi

Mbunge wa Jimbo la Kwimba mkoani Mwanza Mansoor Shanif Jamal, ameishauri serikali kutangaza tenda kwa Watanzania wenye uwezo wa kuendesha na kusimamia mradi wa mabasi ya mwendokasi ili wananchi wa Dar . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • June 5, 2024

Bei ya mafuta nchini yashuka

Bei ya mafuta nchini kwa mwezi Juni imeshuka ambapo katika jiji la Dar es Salaam petroli itauzwa kwa shilingi 3,261 kwa lita kutoka tsh 3,314 na dizeli itauzwa kwa 3,112 na mafuta ya taa 3,261.Mamlaka . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • June 5, 2024

Wananchi wapewa darasa ununuzi Hati Fungani

MENUNYUMBANIHABARIBURUDANIAJIRAMICHEZOMAGAZETIZAIDIBIASHARA HABARI MAISHA MATUKIO UCHUMIWananchi wapewa darasa ununuzi Hati Fungani4 hours agoWananchi Mkoani Kigoma wametakiwa kuje . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • May 22, 2024

Dkt. Kijaji "Mauzo ya bidhaa soko la Ulaya yameongezeka"

Serikali Nchini, imesema thamani ya mauzo ya bidhaa za kwenda katika soko la Ulaya kwa mwaka 2023 iliongezeka hadi kufikia shilingi Trilioni 3.836, kutoka shilingi Trilioni 2.446 kwa mwaka 2022 ambayo . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • May 9, 2024

Neema kuwaangukia wachimbaji wadogo

Serikali kupitia Wizara ya Madini, inakusudia kusaidia utatuzi wa changamoto zinazowakabili wachimbaji wadogo nchini, kuwawezesha upatikanaji wa mikopo nafuu na fursa ya ukodishaji wa mitambo na vifaa . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • March 19, 2024

Korea Kusini watoa msaada wa vifaa vya zaidi ya Bilioni moja kwa Tantrade

SERIKALI ya Korea Kusini imetoa msaada wa vifaa mbalimbali venye thamani ya zaidi ya Bilioni moja kwa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (Tantrade) kwa ajili ya kuboresha Maonesho ya 48 ya Bias . . .

news
Uchumi biashara
  • Na Asha Business
  • March 19, 2024

Wakamatwa wakitorosha dhahabu Mbeya

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikiliwa watu kumi kwa tuhuma za kutorosha kilo 9.5 za madini ya dhahabu.Waziri wa madini Anthony Mavunde amesema thamani ya dhahabu iliyokamatwa ina thamani ya sh . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • February 28, 2024

TGJTA"Tanzania ina nafasi kuwa kitovu cha Madini Afrika "

Ujumbe wa Tanzania umekutana na Uongozi wa Shirikisho la Wafanyabiashara wa Vito na Bidhaa za Usonara nchini Thailand (TGJTA), katika kikao kilichojadili kwa kina masuala mbalimbali yanayohusu biashar . . .

Kurasa 1 ya 9

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Majaliwa na Waziri Mkuu wa Côte d’Ivoire Wajadili Ushirikiano wa Kiuchumi na Kilimo

    • 11 masaa yaliopita
  • Rais Maskini Zaidi Duniani Afariki Akiwa na Umri wa Miaka 89

    • 11 masaa yaliopita
  • PAMBA JIJI YAISHUSHA DARAJA KAGERA SUGAR, YANGA KAMA KAWAIDA

    • jana

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode