Kampuni kubwa ya Saruji ya Uswizi imetangaza mpango wa kuuza kampuni yake tanzu Pan African Cement, ambayo inashikilia asilimia 65 ya Kampuni ya Saruji Mbeya (Mbeya Cement), kwa Kampuni ya Amsons Grou . . .
Malawi itaanza kuzuia biashara ya fedha za kigeni na kufanya msako dhidi ya wafanyabiashara magendo, baada ya kushuka thamani ya sarafu yake, wizara ya fedha imesema Jumatatu.Kwa mujibu wa shirika la . . .
Maafisa wa Umoja wa Mataifa wameiambia VOA kwamba huenda magenge ya kihalifu ya kimataifa yanatumia sekta inayokuwa ya michezo ya Kamari kwa njia ya dijitali Asia Kusini Mashariki, kama mfumo wa . . .
Wajumbe wa Shirika la Fedha la Kimataifa, IMF, na Benki ya Dunia kwa mara ya kwanza katika kipindi cha miaka 50 wanafanya mkutano wao wa kila mwaka katika ardhi ya Afrika huko nchini nchini Morocco.Mk . . .
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji – EWURA, inatangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini zitakazotumika kuanzia hii leo Jumatano, Oktoba 4, 2023, ambapo bei za . . .
Serikali ya Uganda ipo katika hatua za mwisho za majadiliano na wafadhili kutoka China kuisaidia kufadhili mradi wenye utata wa bomba la mafuta ghafi.Hayo yamesemwa jana na Irene Bateebe katibu katika . . .
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete amewatahadharisha Watumishi wa Umma kujiepusha na mikopo yenye riba kubwa maarufu kwa jina la “Kausha D . . .
EWURA imesema kwamba kupanda kwa bei ya mafuta mwezi Agosti yanatokana na changamoto za upatikanaji wa dola za Marekani, mabadiliko ya sera za kikodi, kushuka kwa thamani ya shilingi dhidi ya dola, on . . .
Baada ya ukame kukumba maeneo mengi ya nchi, wakulima wengi wa kitunguu waliokuwa wameenda hasara kubwa katika msimu wa Oktoba hadi Desemba waliogopa kupanda.“Lakini wale wachache waliothubutu kupan . . .
Mafuta ya petroli wilayani Kiteto mkoani manyara ambayo awali yalikuwa yakiuzwa kwa shilingi 2,930 kwa lita sasa yanauzwa shilingi 6,000 kwa lita baada ya kuadimika.Hali hii imeanza kuathiri wananchi . . .
Benki Kuu ya Tanzania imesema shilingi ya Tanzania ndiyo fedha pekee ambayo inaruhusia kutumika nchini, hivyo hakuna Mtu au Kampuni yoyote inayoruhusiwa kuikataa kwa malipo yoyote halali Taarifa . . .
Katibu Mtendaji wa Shirika la maendeleo ya jamii na viziwi (DCPO),Jafari Shabani akizungumza kuhusiana na mafunzo hayo.Benki kuu ya Tanzania (BoT) imetoa mafunzo ya kutambua noti halali kwa watu wa ma . . .
Pato la Taifa lafikia Sh. trilioni 200 kwa mwaka 2023 kutoka Sh. trilioni 163 ya mwaka 2021, Uchumi wa Tanzania sasa ni mkubwa kuliko baadhi ya nchi za Ulaya na ni wa 6 kwa ukubwa kwa nchi zote za Kus . . .
KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imesaini Mkataba wa Makubaliano (MoU) na wenyeji wake Halmashauri ya Mji Geita, Wilaya ya Geita pamoja na Halmashauri za jirani za wilaya za Chato, Bukombe . . .
. . .