Msanii maarufu wa muziki kutoka Nigeria, David Adedeji Adeleke, anayefahamika zaidi kwa jina la Davido, ameendelea kuthibitisha kuwa ni mmoja wa mastaa matajiri zaidi bar . . .
Klabu ya Liverpool ya England inaendelea kuweka juhudi zake za kumtia mikononi mshambuliaji chipukizi Hugo Ekitike kutoka Eintracht Frankfurt ya Ujerumani, katika dirisha . . .
Joel Lwaga amefunguka kuhusu hali yake ya kiafya baada ya kupata ajali ya kimichezo. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Lwaga ameeleza kuwa alipata jeraha la mguu wakati . . .
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally amesema kocha wa kikosi hicho Fadlu Davids anahusika moja kwa moja na kutoongezwa au kuvunjwa kwa mikataba kwa baadhi . . .
Aliyekuwa kipa wa Simba SC na timu ya taifa, Taifa Stars, Aishi Salum Manula, amerejea rasmi katika klabu yake ya zamani ya Azam FC baada ya kusaini mkataba wa miaka minn . . .
MSANII mashuhuri wa muziki wa hip-hop, Sean Diddy Combs maarufu kama P Diddy, ameendelea kusalia rumande baada ya Jaji Arun Subramanian wa Mahakama ya Shirikisho kumkatal . . .
BAADA ya siku tano za hekaheka ndani ya Tamasha la Kimataifa la Filamu Zanzibar (ZIFF), msimu wa 28, tamasha hilo litafungwa rasmi kesho huku washindi mbalimbali wa . . .
Msaniii Enock Bella amejitokeza hadharani kumuomba msamaha Mbosso kwa yote ambayo amemkosea katika maisha waliyoishi zamani mpaka sasa.Enock ameomba msamaha huo baada ya . . .
Kwa zaidi ya Miaka saba sasa Game ya muziki wa #BongoFleva imeshindwa kuzalisha wasanii wapya wakubwa ambao tunaweza kujivunia kama wasanii wetu wapya wakubwa.Ukitoa Kiza . . .
Simba imethibitisha kucheza mechi ya Ligi Kuu dhidi ya Yanga ‘Kariakoo Derby leo d kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa.Mechi hiyo imepangwa kuchezwa kuanzia saa 11:00 jioni . . .
Jeshi la Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam limewahakikishia usalama wananchi katika mechi ya Simba na Yanga inayotarajiwa kuchezwa kesho Jumatano Juni 25, 2025 huku ik . . .
Rapper na producer maarufu kutoka Marekani, Russ, ameweka wazi mtazamo wake kuhusu tatizo la msongo wa mawazo (depression) linalowakumba watu wengi, akisema kuwa mara nyi . . .
Mwanamuziki maarufu kutoka Nigeria, Tiwa Savage, amefunguka kuhusu safari yake ya muziki, akieleza kuwa alipoanza hakufikiria sana kuhusu fedha, bali aliingia kwenye muzi . . .
Kwa mara ya kwanza katika historia ya mpira wa Tanzania inaenda kushuhudia mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania NBC kwenda kuamuliwa na Waamuzi kutoka nje ya Tanzania.Shirikish . . .
Mwigizaji na msanii mashuhuri wa muziki, Miley Cyrus, amefunguka kwa kina kuhusu safari yake katika tasnia ya muziki na kueleza namna ambavyo amekua na uelewa mkubwa kuhu . . .
Msanii maarufu kutoka Kenya, KRG The Don, ameweka wazi nia yake ya kuwania kiti cha Ubunge katika Jimbo la Naivasha mwaka wa 2027. Akiwa mgeni katika kipindi maarufu cha& . . .
Shirikisho la Mpira wa Miguu Italia (FIGC) limetaja sifa tatu zilizoishawishi iamue kumpa Gennaro Gattuso nafasi ya ukocha mkuu wa timu ya taifa ya nchi hiyo ‘Azz . . .
Mwimbaji mashuhuri wa Kimataifa, Justin Bieber, ameonekana akijibizana vikali na paparazzi nje ya Soho House, Malibu, California usiku wa Alhamisi, tarehe 12 Juni. Tukio . . .
Msanii chipukizi mwenye kipaji cha kipekee, JD Young, ambaye kwa sasa anaishi ughaibuni, ameendelea kupeperusha bendera ya Rwanda kimataifa kupitia muziki wake. Safari hi . . .
Juni 13, 2025 – Historia iliandikwa jijini London! Msanii maarufu wa Tanzania, Diamond Platnumz, ameweka rekodi mpya kwa kuwa msanii wa kwanza kutoka Afrika Mashariki k . . .
Kutoka kushoto; Mkurugenzi wa Goethe-Institute Tanzania Bw. Mpangi Otte, Mtendaji Mkuu ZIFF Joseph Mwale, Mkurugenzi wa ZIFF, Hatibu Madudu na Mwakilishi . . .
Mwanamuziki mkongwe na msanii wa kike wa kwanza kung’ara kwenye Bongo Fleva, Judith Wambura Mbibo, maarufu kama Lady Jay Dee, jana alizindua rasmi kitabu chake kipya ki . . .
Msanii nyota wa muziki wa Bongo Fleva, Mbosso, ameachia rasmi Extended Playlist (EP) yake mpya iitwayo “Room Number 3”, ambayo imezua msisimko mkubwa miongoni mwa mas . . .
Msanii maarufu wa muziki wa Bongo Fleva, Bilnass, amefungua ukurasa mpya wa majadiliano kwenye tasnia ya muziki kwa kutoa waraka mzito kupitia ukurasa wake wa Instagram, . . .
Rapa maarufu kutoka Atlanta, Silentó, anayejulikana sana kwa kibao chake kilichotamba mwaka 2015 “Watch Me (Whip/Nae Nae),” amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jel . . .
Baada ya ukimya wa takribani miezi saba, msanii maarufu kutoka Kanda ya Ziwa anayewakilisha mkoa wa Shinyanga, Nyasani, amerejea kwa kishindo katika game ya muziki kwa ku . . .
Hatimaye CDQ ametoa EP Yake ya “SADIKU “ Ep ambayo amefanikiwa kuifanyia maandalizi ya muda mrefu sana iliyowashirikisha Masterkraft, Ayanfe, Jzyno, SirAHE . . .
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu Ofisa Habari na Mawasiliano wa Klabu ya KenGold Joseph Mkoko(34) kulipa faini ya Sh1 milioni au kwenda jela miaka miwili baada . . .
Uongozi wa Klabu ya Simba umesema mchezo namba 184 wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Yanga uliopangwa kufanyika Juni 15, 2025 upo kama ulivyopangwa. Taarifa iliyotolewa kwa um . . .
Afisa Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania, Almas Kasongo, amesema kikao cha leo kimepokea matakwa kutoka Yanga SC ikiwemo kujiuzulu kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi, . . .
Timu ya Taifa ya Ureno imeweka historia mpya katika soka la Ulaya baada ya kutwaa ubingwa wa UEFA Nations League kwa mara ya pili ikiwa ndiyo timu pekee kufanikisha hivyo . . .
Habari mbaya za kusikitisha zilizotufikia hivi punde zinaeleza kuwa mama wa msanii Hawa Hussen almaarufu Carina, Fatma Maruzuku amefariki dunia.Mama Carina amefariki yapa . . .
Wanamuziki watano wa bendi ya muziki ya Fugitivo nchini Mexico, waliotoweka tangu Jumapili, Mei 18, kaskazini mwa Mexico, waliuawa na washukiwa wa mauaji kutoka kundi la . . .