logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Burudani

  • Pata Habari Zote Za Burudani Hapa
news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • 17 masaa yaliopita

Hakuna wa kumfikia Drake kwenye mauzo Duniani

Msanii wa hip hop kutoka Canada, Drake, ameendelea kuthibitisha ubora wake katika muziki wa kimataifa baada ya kutajwa kuwa rapa anayeuza zaidi duniani kwa miaka 11 mfulu . . .

news
Mastaa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Bahati apima DNA na mwanamke anaedaiwa kuwa ni Mama yake

MWANAMUZIKI kutoka nchini Kenya Bahati hatimaye amekutana na mwanamke anayedaiwa kuwa ni Mama yake Judith Makokha na kuchukua hatua ya kwenda kupima naye vinasaba (DNA).M . . .

news
Muziki
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Gachi Amshutumu Yammi Kwa Kuvunja Mahusiano Yake

Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Fatma Omary ‘Gachi’ hivi karibuni ameibuka hadharani na madai mazito yanayomhusisha rafiki yake wa karibu, Yammi, katika kuvunjika kwa mah . . .

news
Mastaa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Mzee Steven Hizza Afariki Dunia Tanga

Mwanamuziki mkongwe nchini Tanzania, Mzee Steven Hizza, maarufu kwa wimbo wake wa “Tanzania Yetu Ndiyo Nchi ya Furaha,” amefariki dunia jioni ya jana Jumatatu katika . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • February 12, 2026

Chris Brown aweka rekodi hii Dunia

Chris Brown ameandika historia mpya katika tasnia ya muziki duniani baada ya ziara yake ya Breezy Bowl XX kutajwa rasmi kuwa tour iliyoingiza mapato makubwa zaidi kuwahi . . .

news
TAMASHA
  • Na Nattyebrandy
  • February 10, 2026

Tamasha la 24 Sauti za Busara Lapangwa Kufanyika Machi 11 – 14 ,2027

Tamasha kubwa la muziki la kimataifa, Sauti za Busara, linalofanyika visiwani Zanzibar, limeendelea kuthibitisha hadhi yake kama moja ya matamasha makubwa na yenye mvuto . . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • February 10, 2026

Msanii wa Tanzania Manfongo Aapa Kuongoza Kampeni za Kupinga Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto Kupitia Muziki

Katika Tamasha la Sauti za Busara 2026, msanii wa muziki wa singeli kutoka Tanzania, Manfongo, ametangaza rasmi dhamira yake ya kuanza kufanya kazi za muziki na kampeni z . . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • February 10, 2026

Wasanii Wengi Hutengeneza Muziki Bila Kuzingatia Mustakabali wa Mtoto - Labdi

Mwanamuziki wa muziki wa asili (traditional/fusion) kutoka Kenya, Labdi, ambaye ni miongoni mwa wasanii waliopata fursa ya kutumbuiza katika Tamasha la 23 la Sauti za Bus . . .

news
Muziki
  • Na Jembe Digital
  • February 6, 2026

BASATA Yapiga Marufuku MC na DJ Wasio na Vibali

Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limetangaza kuwa kuanzia leo Februari 06 mwaka huu waongoza sherehe na matukio (MCs) pamoja na Manju Muziki (DJs) wote wasio na vibali h . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • February 3, 2026

Davido Akosa Grammy Tatu Mfululizo

Mwimbaji maarufu kutoka Nigeria, Davido, ameendelea kukumbana na bahati mbaya katika Tuzo za Grammy baada ya kushindwa kuondoka na tuzo yoyote kwenye toleo la 68 la Gramm . . .

news
Mastaa
  • Na Jembe Digital
  • February 2, 2026

Hii hapa orodha Kamili ya Washindi wa Grammy Awards 2026

 Usiku wa Februari mosi mwaka huu ulimalizika kwa mwangaza mkubwa katika Grammy Awards tukio kuu la muziki duniani lililoandaliwa katika Crypto Arena.Staa wa Rap Ken . . .

news
Flamu/Movie
  • Na Jembe Digital
  • January 29, 2026

Jackie Chan Ajiandalia Wimbo wa Mazishi

Imeelezwa kuwa muigizaji maarufu wa filamu duniani Jackie Chan, tayari ameandaa wimbo maalum wa kuchezwa siku atakayofariki pamoja na siku ya mazishi yake. Taarifa hizo z . . .

news
Muziki
  • Na Jembe Digital
  • January 27, 2026

Spotify Yazizima! Drake Afikisha Rekodi Isiyowahi Kutokea

Rapper maarufu kutoka Canada Drake ameendelea kuandika historia katika muziki wa HipHop baada ya kuwa msanii wa kwanza wa HipHop duniani kufikisha wasikilizaji . . .

news
Mastaa
  • Na Jembe Digital
  • January 19, 2026

Niffer Athibitisha Kuachana na OG, Aomba Kuheshimiwa

Mfanyabiashara maarufu anayefahamika kwa jina la Niffer amethibitisha rasmi kuvunjika kwa mahusiano yake na aliyekuwa mpenzi wake OG Phone and Accessories akieleza kuwa u . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • January 13, 2026

Juma Jux Ashinda Tuzo ya Msanii Bora wa Kiume wa Afrika Mashariki kwenye AFRIMA

msanii maarufu wa RnB JUMA JUX kutoka Tanzania, anayejulikana kwa midundo yake ya kipekee na mashairi yenye hisia, amejivunia ushindi wa kipengele cha Msanii Bora wa . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • December 19, 2025

Wiz Khalifa Ahukumiwa Jela Romania kwa Kosa la Dawa za Kulevya

Staa mkubwa wa muziki wa Hip Hop nchini Marekani, Wiz Khalifa amehukumiwa na Mahakama ya Romania kifungo cha miezi tisa jela kwa kosa la kuvuta bangi jukwaani akiwa anafa . . .

news
Muziki
  • Na Jembe Digital
  • December 19, 2025

Wiz Khalifa Ahukumiwa Jela Romania kwa Kosa la Dawa za Kulevya

Staa wa muziki wa Hip Hop nchini Marekani, Wiz Khalifa, amehukumiwa kifungo cha miezi tisa jela na Mahakama ya Romania kwa kosa la kuvuta bangi hadharani wakati wa onyesh . . .

news
Muziki
  • Na Jembe Digital
  • December 18, 2025

Christian Bella amepewa uraia wa Tanzania

Msanii maarufu wa muziki wa Bongofleva wenye ladha ya R&B na Afro-pop Christian Bella amepewa uraia wa Tanzania.Hayo yamesemwa leo disembs 18 mwska huu jijini Dar es . . .

news
Michezo
  • Na Jembe Digital
  • December 8, 2025

Caren Simba Akanusha Madai ya Kutoka Kimapenzi na Pacome Zouzoua

Mrembo wa mitandao ya kijamii Caren Simba (@caren_simba), amefunguka na kufafanua kuwa hajawahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na kiungo wa Yanga, Pacome Zouzoua (@pacom_z . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • December 5, 2025

Muigizaji Tagawa wa Mortal Kombat afariki dunia

Muigizaji Mkongwe na Producer Cary-Hiroyuki Tagawa amefariki dunia jana Disemba 4, akiwa na miaka 75 Santa Barbara, California Marekani.Tagawa amefariki mbele ya familia . . .

news
Muziki
  • Na Jembe Digital
  • December 1, 2025

Rayvanny aweka rekodi, apata × 8 za Gold India

Msanii wa Bongo Flava nchiniTanzania@rayvanny , ameendelea kuweka rekodi na kuthibitisha ukubwa wake kimataifa baada ya wimbo wake “Oh Mama Tetema” kupata tuzo ya 8 . . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • November 28, 2025

“THE GUY WITH ENERGY” ALBAMU YENYE SAFARI YA MUZIKI WA DK BALAFU

Baada ya mashabiki kusubiri kwa muda mrefu, hatimaye msanii mwenye nguvu na uthubutu mkubwa kwenye game akiwakilisha nchini congo DK Balafu mwenye makazi yake nchini Finl . . .

news
Flamu/Movie
  • Na Jembe Digital
  • November 25, 2025

Wasani wakubwa India waomboleza kifo cha Legandary Dharmendra

Tasnia ya filamu ya India imegubikwa na simanzi kufuatia kifo cha mmoja wa nguli wake wakubwa na kipenzi cha vizazi vingi Dharmendra Kewal Krishan Deol ambaye amefariki a . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • November 17, 2025

Kifo cha MC PiliPili kimeacha majonzi makubwa

Jumuiya ya burudani nchini Tanzania imepokea kwa mshtuko mkubwa taarifa za kifo cha ghafla cha mchekeshaji na mshereheshaji maarufu, Emmanuel Mathias, anayefahamika zaidi . . .

news
Mastaa
  • Na Nattyebrandy
  • November 10, 2025

MSANII TEKNO AAMUA KUGAWA PESA ZAKE ZA USHINDI KWA MASHABIKI ZAKE

Msanii maarufu kutoka Nigeria, Tekno, amevutia hisia nyingi baada ya kushinda ₦298,000,000 kupitia mchezo wa betting. Kiasi hiki kikubwa cha fedha. Tekno haku . . .

news
TAMASHA
  • Na Nattyebrandy
  • November 10, 2025

SAUTI ZA BUSARA 2026: MUZIKI WA KIAFRIKA UKIKUSANYIKA ZANZIBAR

Tamasha la Sauti za Busara 2026 linarudi kwa shauku kubwa kutoka 5–8 Februari katika mji wa kihistoria wa Stone Town, Zanzibar. Tukio hili la mwaka la 23 litasherehekea . . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • November 10, 2025

GRACE OF AFRICA YAZINDUA WIMBO MPYA “NGUVU YANGU (MY STRENGTH)

Grace of Africa yazindua rasmi  wa wimbo wao mpya wa injili, “Nguvu Yangu (My Strength)”, unaohamasisha imani, tumaini, na nguvu ya ndani.Wimbo huu, ul . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • October 28, 2025

Diddy kutoka jela ni mei 2028

Kutoka kwenye website ya Magereza nchini Marekani (Federal Bureau of prison) Msanii Diddy anatarajiwa kuachiliwa kutoka Gerezani Mei 202Diddy alihukumiwa kifungo cha miez . . .

news
Michezo
  • Na Jembe Digital
  • October 24, 2025

MSIGWA AWAKABIDHI UMSOTA MILIONI TANO ZAWADI YA “GOLI LA MAMA

Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Ndg. Gerson Msigwa amekabidhi kiasi cha shilingi milioni tano (5,000,000/=) kwa t . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • October 21, 2025

Chris Brown aguswa na Bryson Tiller

Mwanamuziki wa R&B, Bryson Tiller, ameonyesha upendo na shukrani za dhati kwa mwenzake Chris Brown kwa kumzawadia gari jipya aina ya Lamborghini baada ya kumalizika k . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • October 15, 2025

Msanii Mkongwe wa R&B, D’Angelo Afariki Dunia Akiwa na Miaka 51

Mwanamuziki maarufu wa Marekani, Michael Eugene Archer almaarufu D’Angelo amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 51 baada ya kusumbuliwa na saratani ya kongosho kwa mud . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • October 13, 2025

Marioo Atoa Kauli Nzito Kuhusu Mke Wake

Msanii maarufu wa muziki wa Bongo Fleva, Marioo, amezua gumzo mitandaoni baada ya kuandika ujumbe mrefu wenye hisia kali kupitia ukurasa wake wa Instagram akimzungumzia m . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • October 10, 2025

Aggy Baby Afichua Ukweli! Asema Poshy Hajaolewa, Ile Ilikuwa Kiki Tu!

MSANII wa Bongo Muvi, Agness Suleiman Kihamba maarufu kama Aggy Baby ameendelea kusisitiza kuwa mrembo wa mitandaoni Poshqueeen hajaolewa, akidai tukio lililozua gumzo mi . . .

Kurasa 1 ya 15

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Yoon Suk Yeol Aomba Radhi Baada ya Hukumu ya Maisha Jela

    • 16 masaa yaliopita
  • Mtoto wa Mugabe Akamatwa kwa Jaribio la Mauaji

    • 16 masaa yaliopita
  • Kardinali Pengo Afariki Dunia

    • 17 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode