Mashabiki wa muziki wa Afrika nchini Marekani wanatarajiwa kupata burudani ya aina yake kupitia AFRIMMA Musicfest, itakayofanyika Septemba 12 katika Annette Strauss Squar . . .
Mashabiki wa muziki wa Afrika nchini Marekani wanatarajiwa kupata burudani ya aina yake kupitia AFRIMMA Musicfest, itakayofanyika Septemba 12 katika Annette Strauss Squar . . .
Msanii maarufu wa muziki nchini Marekani, Taylor Swift, ameonekana akiwa na mume wake, Travis Kelce, katika ‘date night’ jijini New York, huku akivutia kwa muonekano . . .
Bodi ya Filamu Tanzania imewataka waigizaji Irene Uwoya, Aunty Ezekiel, Frida Kajala na Jacqueline Wolper kufika katika ofisi za Bodi hiyo siku ya Jumatatu, Septemba 7, 2 . . .
Msanii wa Nigeria, Davido, ameibuka kuwa msanii mwenye uteuzi mwingi zaidi katika tuzo za AFRIMMA 2026 baada ya kutajwa katika vipengele vitano.Davido ametajwa katika vip . . .
Mahakama nchini Marekani imemkuta na hatia Duane “Keffe D” Davis kwa kosa la mauaji ya mwanamuziki maarufu wa Hip Hop, Tupac Shakur, katika tukio lililotokea takriban . . .
Msanii mkubwa wa muziki kutoka Colombia, Karol G, ameonyesha mshikamano na wananchi walioathiriwa na tetemeko kubwa la ardhi nchini humo baada ya kutoa mchango wa dola mi . . .
Kwa karibu miaka 30, swali la nani aliyemuua Tupac Shakur halijapata jibu la kisheria. Kesi ya Duane Davis sasa inachunguza madai ya kisasi, magenge na simulizi za mtu an . . .
Nyota wa Marekani Kim Kardashian amekumbwa na tukio la uvamizi katika moja ya nyumba zake zilizopo eneo la Hidden Hills, Los Angeles, ambapo mwanaume mwenye umri wa miaka . . .
Mrembo wa Marekani, Jordyn Lucas, ametimiza ndoto yake ya muda mrefu baada ya kupata nafasi ya kukutana na rapa maarufu Drake.Baada ya kukutana na msanii huyo, Jordyn ana . . .
Msanii na mfanyabiashara maarufu wa muziki Sean ‘Diddy’ Combs ataendelea kutumikia kifungo chake kwa muda mrefu zaidi baada ya mamlaka za magereza nchini Marekani kus . . .
Staa wa muziki wa Afropop kutoka Nigeria, Davido, amewaonesha mashabiki wake jumba jipya alilonunua hivi karibuni katika jimbo la Georgia, Marekani.Msanii huyo alishiriki . . .
Sam Neill, aliyepata umaarufu mkubwa duniani kupitia nafasi yake ya Dk. Alan Grant katika filamu za “Jurassic Park”, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 78.Familia . . .
Nyota wa muziki duniani Justin Bieber ataungana na Shakira, Madonna na kundi la BTS kutumbuiza kwenye onyesho maalum la mapumziko ya kipindi cha kwanza (halftime show) ka . . .
Maandalizi ya sherehe inayodaiwa kuwa ya harusi ya mastaa wa Marekani, Taylor Swift na Travis Kelce, imeripotiwa kuanza katika ukumbi wa Madison Square Garden (MSG) . . .
Jennifer Lopez amefunguka kuhusu moja ya nyakati ngumu zaidi katika maisha yake ya kazi, akieleza jinsi alivyolazimika kukimbizwa hospitalini baada ya mwili wake kuchoka . . .
Nyota wa vipindi vya Televisheni na mjasiriamali, Kim Kardashian, anaendelea kuishi maisha ya kifahari yanayoakisi utajiri wake unaokadiriwa kufikia dola bilioni 1.9 za M . . .
siasa za Nigeria zinaingilia tasnia ya burudani na ulimwengu wa muziki. Miezi saba kabla ya uchaguzi mkuu ujao, chama tawala cha All Progressives Congress (APC) kinashutu . . .
Msanii na mfanyabiashara maarufu wa muziki Sean Combs, anayejulikana pia kama Diddy, ameongezewa tena punguzo la muda wake wa kifungo huku tarehe yake ya kuachiliwa gerez . . .
Mwanamitindo na mfanyabiashara maarufu, Zari Hassan, ametangaza rasmi kuachana na mume wake, Shakib Cham, baada ya kuwa pamoja kwa takribani miaka mitano.Zari amethibitis . . .
Tasnia ya sanaa ya maigizo nchini Tanzania imegubikwa na simanzi kufuatia taarifa za kifo cha muigizaji Mkongwe Issa Joseph maarufu Mzee Onyango.Mzee Onyango alikuwa mion . . .
Kim Kardashian ameonekana akimpa sapoti mpenzi wake Lewis Hamilton wakati wa mazoezi ya kufuzu kuelekea Monaco Grand Prix 2026 iliyofanyika katika Circuit de Monaco, Mont . . .
Sakata limeibuka ndani ya Familia ya Kifalme ya Uingereza kati ya Prince William na Queen Camilla kufuatia maandalizi ya harusi ya Peter Phillips.Kwa mujibu wa ripoti za . . .
Msanii wa muziki nchini ambae anafahamika kwa jina la Gachi amezua furaha na gumzo mitandaoni baada ya kupewa zawadi ya gari jipya jipya aina ya Range Rover, tukio lililo . . .
Mashabiki wa msanii wa Afrika Kusini, Tyla, wameibua taharuki mtandaoni baada ya nyota huyo kuzima akaunti zake za X na TikTok huku akiifanya akaunti yake ya Instagram ku . . .
Rapper Drake anaripotiwa kukataa kuingiza Album zake tatu kwenye mchakato wa kuwania tuzo za Grammy, licha ya mafanikio makubwa aliyoyapata kupitia album hizo zilizotikis . . .
Mwanamitindo Jasinta Makwabe ameibua mjadala mtandaoni baada ya kuweka wazi kuwa hawezi kuwa kwenye mahusiano na mwanaume ambaye amemzidi urefu.Kauli hiyo imezua maoni to . . .
Taarifa zinazosambaa mtandaoni zinadai kuwa mwigizaji maarufu wa Nigeria Alexx Ekubo amefariki akiwa na umri wa miaka 40, hali ambayo imeacha mashabiki na tasnia ya filam . . .
Katika tukio lililovuta hisia za mashabiki wengi, Cardi B na Stefon Diggs wameonekana pamoja tena katika hafla ya Siku ya Akina Mama iliyofanyika Washington, D.C., iliyoa . . .
Msanii wa muziki na filamu Bongo, Lulu Diva, usiku wa kuamkia leo Mei 8, 2026 ameibua gumzo kubwa mitandaoni baada ya kuweka wazi hisia zake kwa msanii wa singeli ku . . .
Msanii wa filamu na video vixen maarufu, Careen Simba, amezua gumzo mitandaoni baada ya kutangaza rasmi kuwa amekubali kuchumbiwa.Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Caree . . .
Muimbaji maarufu kutoka Nigeria, Tekno, amewapa mashabiki wake habari njema baada ya kutangaza ujio wa album yake mpya aliyoipa jina “Where Did Love Go?”. Tangaz . . .
Mbunifu chipukizi mwenye kipaji kikubwa, Samia Khan, ameendelea kuvutia hisia za wengi baada ya kuonesha ubunifu wake wa kipekee katika jukwaa la Shindano la Top Model nd . . .