Staa wa muziki kutoka Nchini Nigeria Davido Rasmi ameachia Album yake mpya ya #TIMELESS baada ya kukaa kimya kwa muda, ndani ya Album hiyo yenye ngoma 17 Mastaa kama #Asa . . .
Msanii wa muziki na mzaliwa kutoka nchini Congo ambaye makazi yake ni nchini ubeligiji ,homa homa ambaye amekuwa akifanya muziki kwa miaka kadhaa ameakuja kivingine na ku . . .
Msanii wa muziki wa Hip hop Stamina Shorwebwenzi ambaye ndoa yake ilidumu kwa miezi 7 amefunguka ya moyoni kueleza jinsi vijana wengi wanavyopitia magumu kwenye mais . . .
Katika orodha iliyotolewa kwa rapa wa Marekani wanaochaji kiasi kikubwa cha fedha ili uwashirikishe, Wakongwe wawili Jay Z pamoja na Kanye West imeelezwa kuwa wao wanacho . . .
Afrika Kusini inaomboleza kifo kingine cha mwanamuziki maarufu. Kwa mujibu wa taarifa za mitandao ya kijamii, rapa Costa Tsobanoglou maarufu kwa jina la kisanii Costa Tit . . .
Msanii wa muziki na Mjasiliamali, Shilole amefanikisha kuurudisha mgahawa mpya wa Shishi Food Mabatini, Kijitonyama jijini Dar Es Salaam baada ya ule wa awali ambao uliku . . .
Supastaa kajala frida ametangaza binti yake Paula ameolewa yaani paulah kajala kwa sasa ni mke wa mtu.Posti hiyo ya Kajala ambayo imewashangaza wengi mtandaoni, hata hivy . . .
Orodha ya wanamuziki 10 kutoka Tanzania Waliotazamwa zaidi katika mtandao wa YouTube ndani ya mwezi January 2023.1. @DiamondPlatnumz 31.7M2. @Rayvanny 20.5M3. @harmonize_ . . .
Floda grae ni moja ya mwimbaji wa muziki wa afro beat kutoka nchini afrika ya kusini ambaye amejikita zaidi nchini nigeria ambapo amekuwa akifanya shughuli zake za kimuzi . . .
Mwigizaji na mwanamitindo kutoka nchini marekani Gabriel union ambaye pia ni mke wa mcheza mpira wa kikapu mstaafu Dwayne wade ameweka wazi katika mahojiano aliyofanya hi . . .
Vyombo vya Habari vya AfrikaKusini vimeripoti kuwa Gavana wa Serikali ya Gauteng Panyaza Lesufi, alimwandikia Rais #Ramaphosa ombi la Msanii huyo kuzikwa kama Mtu mwenye . . .
Mbosso Amenusurika Kifo baada ya Kupata Ajali huko Marekani, Kupitia ukurasa wake wa Instagram Staa huyo ameshare video zikionesha gari alilokuwa amepanda likiwa limehari . . .
Chini ya miezi miwili baada ya timu ya utetezi ya Dedrick Williams – mmoja wa washukiwa watatu katika kesi ya mauaji ya XXXtentacion – kuorodhesha mauaji ya wasanii k . . .
Kuandika Instagram pekee kuwa yupo single haijatosha kwa msanii @harmonize_tz ameendeleza Tena utaratibu wake wa kuwa kwenye mabango!Boss huyo wa Konde Gang mara hii ajiw . . .
Rapa Diddy amekanusha uvumi wa kuwa amemchana Burna Boy baada ya kushindwa kuondoka na Tuzo ya Grammy mwaka huu. Taarifa hiyo ilionekana mitandaoni ikionesha imetoka kwen . . .
Mwimbaji, na mtunzi kutoka nchin Nigeria Burna Boy amepoteza vipengele viwili alivyoteuliwa katika toleo la 65 la tuzo za Grammy 2023, zinazo enedelea Muda huu kwenye uku . . .
Baada ya kushinda tuzo ya Albamu Bora ya Muziki ya Dansi/Elektroniki, @beyonce sasa anashikilia rekodi ya wakati wote ya ushindi mwingi wa #Grammy @recordingacademy rekod . . .
Aliyekuwa mke wa hajismanara , rushaynah ametua Jijini Dar Es Salaam kwaajili ya kuongea na waanishi wa habari.Mrembo huyo amefika katika eneo hilo akiwa na walinzi.Rusha . . .
Shilole ambaye yeye binafsi hakuwahi kufika hata kidato cha nne sababu ya kukumbana na changamoto za kimaisha katika umri mdogo, amejitosa kusherehekea mwanae kufaulu . . .
Mwimbaji nyota wa muziki nchini, msanii Ruby ameuthibitishia uma kuwa yeye ni mjamzito. @iamrubyafrica ame-share picha hiyo inayoonesha ukubwa wa tumbo lake kupitia kuras . . .
Dr.Mwaka hajakubali kuachwa ageuka mbogo, adai yeye hajatoa talaka kwa Queen na atamshitakimtu yeyote anakayejitosa kumuoa, awalipua masheikh wa mkoaDr Mwaka amegeuka Mbo . . .
Staa wa Muziki kutoka Nchini Nigeria Burna Boy ametajwa kumpa Mwandishi wa Habari wa Ufaransa Zaidi ya Milioni 4 kwa ajili ya kwenda kurekebisha Camera yake ambayo aliian . . .
Timu ya Wanasheria wa Kanye West wamepanga kutumia njia ya Gazeti kumfikishia taarifa rapa huyo kuwa wamemtema rasmi na hawatamuwakilisha tena kwenye masuala yake ya Kima . . .
Mdau wa michezo hajismanara ametoa ya moyoni juu ya kuachana na aliyekuwa Mke wake mdogo rushaynah.Haji amekiri kuachana na Rushayna na ameweka wazi kuwa hayupo tayari ku . . .
Amefunguka juu ya kuondoka kwa wasanii kwenye Lebo ya Konde Gang ikiwa ni pamoja na "machawa'Meneja wa Harmonize ambaye pia ni CEO wa Jembe Media Limited inayomiliki kitu . . .
Trust me watoto wangu wana mambo mengi ya kujifunza duniani zaidi ya kuja kushangaa nguo za ndani za mama Yao . . .
Usiku wa kuamkia leo katika Hoteli ya Ramada, staa mkubwa wa Bongofleva, Diamond Platnumz amefanya bonge moja la shoo ambayo ilisheheni ubunifu wa hali ya juu, na kukonga . . .
Muigizaji na mchekeshaji hodari kutoka nchini Marekani ambaye pia ni mtangazaji wa televisheni Nicholas Scott Cannon maarufu Nick Cannon na mrembo Alyssa Scott wamebariki . . .
Kupitia nyaraka za mahakama zilizodakwa na mtandao wa Radar Online, rapa Kanye West 'YE' ametajwa kutoonekana na haijulikani yupo wapi kwa wiki kadhaa sasa na hata kw . . .
Msanii wa bongo fleva Nay wa Mitego amewaomba wasanii wenzake waache kulalamika sana."Hivi Msanii Unaanzaje Kulaumu Kutokuwepo Kwenye Top Ten Ya Mtu Kama Sallam Au Babuta . . .
I think mmeshajulika kama nilazima mchokenolewe, Ndio mfunction ,ili jambo lenu liende . Nilitamani kumwambia Njomba kimbulu asiwachokunoe maana mtakua mmekamilisha male . . .
Rapper Drake ameliwa kiasi cha dola za kimarekani milioni moja katika mchezo wa betting baada ya kuipa ushindi Argentina kuifunga Ufaransa ndani ya dakika 90.Staa huyo wa . . .
Mwanamuziki wa nyimbo za asili na uhamasishaji nchini Tanzania, Mrisho Mpoto ameondoka nchini pamoja na bendi yake kuelekea nchini India katika tamasha kubwa la kid . . .