logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Burudani

  • Pata Habari Zote Za Burudani Hapa
news
Top Story
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Davido Atikisa Tena! Anunua Lamborghini Revuelto Yenye Thamani Ya Bilioni 2.6

Msanii maarufu wa muziki kutoka Nigeria, David Adedeji Adeleke, anayefahamika zaidi kwa jina la Davido, ameendelea kuthibitisha kuwa ni mmoja wa mastaa matajiri zaidi bar . . .

news
Michezo
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Liverpool mbioni kumsajil mshambuliaji Hugo Ekitike kutoka Ujerumani

Klabu ya Liverpool ya England inaendelea kuweka juhudi zake za kumtia mikononi mshambuliaji chipukizi Hugo Ekitike kutoka Eintracht Frankfurt ya Ujerumani, katika dirisha . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Hali ya Joel Lwaga Kiafya Sio Nzuri

Joel Lwaga amefunguka kuhusu hali yake ya kiafya baada ya kupata ajali ya kimichezo. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Lwaga ameeleza kuwa alipata jeraha la mguu wakati . . .

news
Michezo
  • Na Jembe Digital
  • July 10, 2025

Fadlu ahusika kuvunjwa mikataba kwa baadhi ya wachezaji

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally amesema kocha wa kikosi hicho Fadlu Davids anahusika moja kwa moja na kutoongezwa au kuvunjwa kwa mikataba kwa baadhi . . .

news
Michezo
  • Na Jembe Digital
  • July 9, 2025

Manula Atambulishwa Rasmi Azam FC

Aliyekuwa kipa wa Simba SC na timu ya taifa, Taifa Stars, Aishi Salum Manula, amerejea rasmi katika klabu yake ya zamani ya Azam FC baada ya kusaini mkataba wa miaka minn . . .

news
Muziki
  • Na Jembe Digital
  • July 3, 2025

P DIDDY rumande hadi Oktoba mwaka huu

MSANII mashuhuri wa muziki wa hip-hop, Sean Diddy Combs maarufu kama P Diddy, ameendelea kusalia rumande baada ya Jaji Arun Subramanian wa Mahakama ya Shirikisho kumkatal . . .

news
Flamu/Movie
  • Na Jembe Digital
  • June 28, 2025

Washindi tamasha la Kimataifa la Filamu Zanzibar (ZIFF) kujulikana kesho

 BAADA ya siku tano za hekaheka ndani ya Tamasha la Kimataifa la Filamu Zanzibar (ZIFF), msimu wa 28, tamasha hilo litafungwa rasmi kesho huku washindi mbalimbali wa . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • June 27, 2025

Enock Bella ajitokeza kumuomba msamaha Mbosso

Msaniii Enock Bella amejitokeza hadharani kumuomba msamaha Mbosso kwa yote ambayo amemkosea katika maisha waliyoishi zamani mpaka sasa.Enock ameomba msamaha huo baada ya . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • June 26, 2025

BONGO FLEVA KUFANYA VIZURI

Kwa zaidi ya Miaka saba sasa Game ya muziki wa #BongoFleva imeshindwa kuzalisha wasanii wapya wakubwa ambao tunaweza kujivunia kama wasanii wetu wapya wakubwa.Ukitoa Kiza . . .

news
Michezo
  • Na Jembe Digital
  • June 25, 2025

Simba yaahidi kuwepo na kucheza derby ya Karyakoo

Simba imethibitisha kucheza mechi ya Ligi Kuu dhidi ya Yanga ‘Kariakoo Derby leo d kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa.Mechi hiyo imepangwa kuchezwa kuanzia saa 11:00 jioni . . .

news
Michezo
  • Na Jembe Digital
  • June 24, 2025

Polisi Dar yahakikisha usalama wa mchezo wa Simba na Yanga hapo kesho

Jeshi la Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam limewahakikishia usalama wananchi katika mechi ya Simba na Yanga inayotarajiwa kuchezwa kesho Jumatano Juni 25, 2025 huku ik . . .

news
Mastaa
  • Na Nattyebrandy
  • June 23, 2025

RAPPER RUSS AFUNGUKA KUHUSU SABABU YA WASANII WENGI KUPATA DEPRESSION: “NILIKUWA HIVYO PIA, ILA NIMESHINDA”

Rapper na producer maarufu kutoka Marekani, Russ, ameweka wazi mtazamo wake kuhusu tatizo la msongo wa mawazo (depression) linalowakumba watu wengi, akisema kuwa mara nyi . . .

news
Mastaa
  • Na Nattyebrandy
  • June 23, 2025

TIWA SAVAGE: NILIANZA MUZIKI BILA KUANGALIA PESA, LAKINI SASA NAJUA PESA NI KILA KITU

Mwanamuziki maarufu kutoka Nigeria, Tiwa Savage, amefunguka kuhusu safari yake ya muziki, akieleza kuwa alipoanza hakufikiria sana kuhusu fedha, bali aliingia kwenye muzi . . .

news
Michezo
  • Na Jembe Digital
  • June 23, 2025

Mechi ya Simba SC na Yanga SC kuamuliwa na marefa kutoka Misri

Kwa mara ya kwanza katika historia ya mpira wa Tanzania inaenda kushuhudia mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania NBC kwenda kuamuliwa na Waamuzi kutoka nje ya Tanzania.Shirikish . . .

news
Mastaa
  • Na Nattyebrandy
  • June 17, 2025

MILEY CYRUS: “NINAIJUA BIASHARA YA MUZIKI VIZURI, LAKINI WAKATI MWINGINE UNAHITAJI KUFANYA KWA AJILI YAKO MWENYEWE”

Mwigizaji na msanii mashuhuri wa muziki, Miley Cyrus, amefunguka kwa kina kuhusu safari yake katika tasnia ya muziki na kueleza namna ambavyo amekua na uelewa mkubwa kuhu . . .

news
Mastaa
  • Na Nattyebrandy
  • June 17, 2025

KRG THE DON AWEKA WAZI NIA YA KUGOMBEA UBUNGE NAIVASHA 2027

Msanii maarufu kutoka Kenya, KRG The Don, ameweka wazi nia yake ya kuwania kiti cha Ubunge katika Jimbo la Naivasha mwaka wa 2027. Akiwa mgeni katika kipindi maarufu cha& . . .

news
Michezo
  • Na Jembe Digital
  • June 16, 2025

Mambo matatu yaliyopelekea Gennaro kuwa kocha mkuu timu ya Italia

Shirikisho la Mpira wa Miguu Italia (FIGC) limetaja sifa tatu zilizoishawishi  iamue kumpa Gennaro Gattuso nafasi ya ukocha mkuu wa timu ya taifa ya nchi hiyo ‘Azz . . .

news
Mastaa
  • Na Nattyebrandy
  • June 15, 2025

JUSTIN BIEBER AINGIA KATIKA MABISHANO MAKALI NA PAPARAZZI NCHINI MAREKANI

Mwimbaji mashuhuri wa Kimataifa, Justin Bieber, ameonekana akijibizana vikali na paparazzi nje ya Soho House, Malibu, California usiku wa Alhamisi, tarehe 12 Juni. Tukio . . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • June 15, 2025

MSANII JD YOUNG AACHIA WIMBO MPYA “DARLING” AKIIWAKILISHA RWANDA KWA KISHINDO!

Msanii chipukizi mwenye kipaji cha kipekee, JD Young, ambaye kwa sasa anaishi ughaibuni, ameendelea kupeperusha bendera ya Rwanda kimataifa kupitia muziki wake. Safari hi . . .

news
Top Story
  • Na Nattyebrandy
  • June 14, 2025

Diamond Platnumz Aandika Historia Mpya Royal Albert Hall, London – Usiku wa Bongo Fleva Uliotikisa Dunia!

Juni 13, 2025 – Historia iliandikwa jijini London! Msanii maarufu wa Tanzania, Diamond Platnumz, ameweka rekodi mpya kwa kuwa msanii wa kwanza kutoka Afrika Mashariki k . . .

news
Top Story
  • Na Nattyebrandy
  • June 13, 2025

ZIFF 2025 YAJA KWA KISHINDO: TAMASHA LA FILAMU LENYE LADHA YA DUNIA NZIMA!

Kutoka kushoto; Mkurugenzi wa Goethe-Institute Tanzania Bw. Mpangi Otte, Mtendaji Mkuu   ZIFF Joseph Mwale, Mkurugenzi wa ZIFF, Hatibu Madudu na Mwakilishi . . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • June 13, 2025

LADY JAY DEE AZINDUA RASMI KITABU CHAKE “DIARY YA LADY JAY DEE” BAADA YA MIAKA 25 YA SAFARI YA MUZIKI

Mwanamuziki mkongwe na msanii wa kike wa kwanza kung’ara kwenye Bongo Fleva, Judith Wambura Mbibo, maarufu kama Lady Jay Dee, jana alizindua rasmi kitabu chake kipya ki . . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • June 13, 2025

BAADA YA MBOSSO KUACHIA EP YAKE “ROOM NUMBER 3”, AOMBA SAPOTI – MARA YA KWANZA TANGU KUTENGANA NA WCB

Msanii nyota wa muziki wa Bongo Fleva, Mbosso, ameachia rasmi Extended Playlist (EP) yake mpya iitwayo “Room Number 3”, ambayo imezua msisimko mkubwa miongoni mwa mas . . .

news
Top Story
  • Na Nattyebrandy
  • June 13, 2025

MSANII BILNASS AFUNGUKA KUHUSU KUDHULUMIWA NA WADAU WA MUZIKI

Msanii maarufu wa muziki wa Bongo Fleva, Bilnass, amefungua ukurasa mpya wa majadiliano kwenye tasnia ya muziki kwa kutoa waraka mzito kupitia ukurasa wake wa Instagram, . . .

news
Top Story
  • Na Nattyebrandy
  • June 12, 2025

RAPA SILENTÓ AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MIAKA 30 JELA

Rapa maarufu kutoka Atlanta, Silentó, anayejulikana sana kwa kibao chake kilichotamba mwaka 2015 “Watch Me (Whip/Nae Nae),” amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jel . . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • June 12, 2025

BAADA YA UKIMYA WA MIEZI SABA, MSANII KUTOKA KANDA YA ZIWA AWASHANGAZA MASHABIKI KWA KAZI MPYA NA MR. BLUE – “SAWA

Baada ya ukimya wa takribani miezi saba, msanii maarufu kutoka Kanda ya Ziwa anayewakilisha mkoa wa Shinyanga, Nyasani, amerejea kwa kishindo katika game ya muziki kwa ku . . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • June 12, 2025

RAPA CDQ KUTOKA NIGERIA AMEACHIA RASMI EP YAKE SADIKU

Hatimaye CDQ ametoa  EP Yake ya “SADIKU “ Ep ambayo amefanikiwa kuifanyia maandalizi ya muda mrefu sana iliyowashirikisha Masterkraft, Ayanfe, Jzyno, SirAHE . . .

news
Michezo
  • Na Jembe Digital
  • June 12, 2025

Afisa habari Klabu ya KenGold akutwa na hatia ya kosa la kuomba na kupokea rushwa

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu Ofisa Habari na Mawasiliano wa Klabu ya KenGold Joseph Mkoko(34) kulipa faini ya Sh1 milioni au kwenda jela miaka miwili baada . . .

news
Michezo
  • Na Jembe Digital
  • June 10, 2025

Baada ya tamko kutoka Bodi ya ligi Simba yazidi kuhamasisha Mashabiki kujitokeza kwa wingi juni 15

Uongozi wa Klabu ya Simba umesema mchezo namba 184 wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Yanga uliopangwa kufanyika Juni 15, 2025 upo kama ulivyopangwa. Taarifa iliyotolewa kwa um . . .

news
Michezo
  • Na Jembe Digital
  • June 9, 2025

Bodi ya Ligi yatoa tamko kuwa mechi ya Simba na Yanga iko palepale juni 15

Afisa Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania, Almas Kasongo, amesema kikao cha leo kimepokea matakwa kutoka Yanga SC ikiwemo kujiuzulu kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi, . . .

news
Michezo
  • Na Jembe Digital
  • June 9, 2025

Time ya Taifa ya Ureno imetwaa ubingwa wa UEFA Nations League kwa mara ya pili

Timu ya Taifa ya Ureno imeweka historia mpya katika soka la Ulaya baada ya kutwaa ubingwa wa UEFA Nations League kwa mara ya pili ikiwa ndiyo timu pekee kufanikisha hivyo . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • June 6, 2025

Mama Wa Msanii Carina Afariki Dunia

Habari mbaya za kusikitisha zilizotufikia hivi punde zinaeleza kuwa mama wa msanii Hawa Hussen almaarufu Carina, Fatma Maruzuku amefariki dunia.Mama Carina amefariki yapa . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • May 30, 2025

Wanamuziki watano wauawa na wafanyabiasha wa dawa za kulevya

Wanamuziki watano wa bendi ya muziki ya Fugitivo nchini Mexico, waliotoweka tangu Jumapili, Mei 18, kaskazini mwa Mexico, waliuawa na washukiwa wa mauaji kutoka kundi la . . .

Kurasa 1 ya 13

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Polepole akemea utekaji nchini kwa madai ya kutekwa kwa dada yake

    • 18 masaa yaliopita
  • Hakuna amani bila haki

    • 18 masaa yaliopita
  • Wanafunzi wawili wafariki kwa ajili Morogoro

    • 18 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode