logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Burudani

  • Pata Habari Zote Za Burudani Hapa
news
Mastaa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Sherehe ya 40 Ya Mtoto wa Jux na Priscilla Yazua Gumzo Mitandaoni

Msanii na nyota wa mziki Juma Jux na mke wake mrembo Priscilla wameweka kumbukumbu nyingine ya kipekee baada ya kufanya sherehe ya 40 ya mtoto wao kwa bashasha na mvuto w . . .

news
Mastaa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Surraiya Rimoy amewataka mashabiki wakea kutodanganyika na Maisha Yake ya Mitandaoni

 Msanii  maarufu wa mitindo, Surraiya Rimoy almaarufu kama Sanchi, ameweka wazi kuwa maisha anayoyaonesha kwenye mitandao ya kijamii yasichukuliwe kama taswira . . .

news
Mastaa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Poshy Queen amefunguka kuolewa na mwanaume anayefanya kazi ya udalali.

Mrembo maarufu wa mitandao ya kijamii, Poshy Queen, ambaye amejipatia umaarufu mkubwa kutokana na urembo na muonekano wake (shape), hatimaye amefunguka rasmi kuwa kwa sas . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Zari The Bosslady Apata Ajali ya Gari

Mfanyabiashara na staa maarufu wa Afrika, Zari The Bosslady, amethibitisha kuwa amepata ajali ya gari akiwa ndani ya Range Rover yake. Kupitia ukurasa wake . . .

news
Mastaa
  • Na Jembe Digital
  • September 27, 2025

Msanii chipukizi wa muziki D4vd akutwa na tuhuma nzito ya kimahusiano

Msanii chipukizi wa muziki duniani, D4vd, amejikuta katikati ya tuhuma nzito baada ya kuripotiwa kuwa na mahusiano ya kimapenzi na msichana mwenye umri wa miaka 15, Celes . . .

news
Muziki
  • Na Jembe Digital
  • September 22, 2025

Jasinta Makwabe Atoa Kauli Nzito Kuhusu Diamond Platnumz

Mwanamitindo maarufu wa Afrika Mashariki, Jasinta Makwabe ‘Candy Boo’, amewasha moto mitandao baada ya kudaiwa kutoa kauli nzito inayozua mjadala mkubwa. Amesema staa . . .

news
Mastaa
  • Na Jembe Digital
  • September 12, 2025

Lulu Diva Afunguka Kuhusu Tuhuma za Kutoka na Ex wa Mobetto

Staa wa muziki na filamu Bongo, Lulu Diva @luludivatz amefungukia tuhuma za kutoka kimapenzi na aliyekuwa X wa Hamisa Mobetto, Kelvin Sowax kabla hajaolewa.Lulu . . .

news
Mastaa
  • Na Jembe Digital
  • September 5, 2025

Muigizaji maarufu wa filamu za BongoMuvi“Cloud” Awasili Nchini, Kuungana na Mashabiki Yanga Day – Video

Muigizaji mkongwe na maarufu wa filamu za BongoMuvi, Issa Musa maarufu kama “Cloud”, jana mchana amewasili nchini akitokea London, Uingereza, ambako anaishi na famili . . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • August 31, 2025

FUTOPIA SIKU YA PILI 2: MOTO WA KUOTEA MBALI KENYA,TANZANIA,SOUTH AFRICA,ESWATINI NDANI YA JUKWAA MOJA

Tamasha jipya la muziki na utamaduni, Futopia Festival 2025, limeendelea kuteka hisia za mashabiki waliomiminika Fumba Town, Zanzibar. Baada ya siku ya kwanza iliyojaa su . . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • August 31, 2025

FUTOPIA ZANZIBAR: SIKU YA KWANZA HAIKUPOA

Zanzibar jana ilikuwa sehemu ya moto kabisa baada ya kuzinduliwa rasmi kwa tamasha jipya la Futopia. Siku ya kwanza pekee imeonyesha wazi kuwa hili si tukio la kawaida, b . . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • August 29, 2025

MIAKA 22 YA SAUTI ZA BUSARA YAZAA TAMASHA JIPYA FUTOPIA

“Kuanzishwa kwa Tamasha la Futopia hakumaanishi tumeliacha Sauti za Busara,” alisema Lorenzo, Mkurugenzi wa Busara Promotions, katika ufunguzi rasmi wa tamasha jipya . . .

news
Mastaa
  • Na Jembe Digital
  • August 25, 2025

Wasanii wa bongo fleva Harmonize na Abigail Chams waungana tena

MSANII wa Bongo Fleva, Rajab Abdul 'Harmonize', ameungana tena kimuziki na mrembo mwenye kipaji Abigail Chamungwana 'Abigail Chams' kwenye kazi mpya iitwayo "Lala", wimbo . . .

news
Mastaa
  • Na Jembe Digital
  • August 22, 2025

RHYME ASSASSIN AMEREJEA NA BE MIGHTY

‎Rapa na Emcee kutoka Uingereza mwenye asili ya Zimbabwe Rhyme Assassin ameachia wimbo mpya unaokwenda kwa jina la Be Might ‎‎Kupitia wimbo huo uliotayarishwa . . .

news
Muziki
  • Na Jembe Digital
  • August 22, 2025

MENEJA JAYZOW AIBUKA MSHINDI TUZO ZA KIMATAIFA ZA GMA 2025

‎Mtanzania Juma Hamad maarufu kama Jayzow ameshinda tuzo ya Kimataifa katika tuzo za GMA ( Ghana Merit Awards 2025 ) zilizofanyika Nchini Ghana ‎‎Jayzow ameibu . . .

news
Michezo
  • Na Jembe Digital
  • August 15, 2025

China imeanza rasmi maonesho Michezo ya Roboti

China imeanza maonesho ya Michezo ya siku tatu kwa Roboti wenye umbo la binadamu, ikilenga kuonesha maendeleo katika teknolojia ya akili bandia na uhandisi wa roboti, Mas . . .

news
Muziki
  • Na Jembe Digital
  • August 14, 2025

Mtunzi wa nyimbo za Chadema afariki dunia

Mtunzi na mwimbaji wa nyimbo za mbalimbali za hamasa za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ikiwemo ya ‘Tundu Lissu wapeleke mchakamchaka’, George Mwingira a . . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • August 12, 2025

RAPA EVE: “RAP YA U.K. SASA IMEJIPATA”

Rapa maarufu Eve ameweka wazi mtazamo wake kuhusu mabadiliko ya muziki wa rap nchini Uingereza, akisema kuwa kwa sasa rap ya U.K. imejipata na imepata sauti yake tofauti . . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • August 12, 2025

DK. BALAFU AACHIA LYRICS VIDEO YA “NEVER SELL MY SOUL”

Msanii anayechipukia kwa kasi, Dk. Balafu, ameendelea kutikisa anga ya muziki baada ya kuachia lyrics video ya wimbo wake mpya “Never Sell My Soul”. Audio ya wimbo hu . . .

news
Mastaa
  • Na Jembe Digital
  • July 31, 2025

Sean Diddy aomba kuachiliwa kwa dhamana ya Bil 132

Mwanamuziki na mfanyabiashara maarufu Sean "Diddy" Combs anataka kuondolewa katika gereza la MDC Brooklyn, akidai kuwa mazingira ya gerezani ni kama "jahannamu." Kupitia . . .

news
Mastaa
  • Na Jembe Digital
  • July 25, 2025

Rapa maarufu kutoka Memphis, GloRilla avunja ukimya

Rapa maarufu kutoka Memphis, GloRilla, hatimaye amezungumza hadharani kufuatia kukamatwa kwake hivi karibuni kwa tuhuma za kumiliki dawa za kulevya, na kwa mujibu wa mael . . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • July 25, 2025

JUX NA PRISCILLA WAWEKA WAZI KUTARAJIA MTOTO, WASHEHEREKEA KWA WIMBO MPYA “THANK YOU”

Msanii maarufu wa Bongo Fleva, Jux, kwa mara nyingine amewashangaza mashabiki wake baada ya kuweka wazi kuwa yeye na mpenzi wake  Priscilla wanatarajia kupata m . . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • July 25, 2025

LAHY UHN AACHIA WIMBO MPYA “IT’S AIIGHT” MUZIKI UNAOGUSA NAFSI.

Msanii Lahy Uhn ameachia rasmi wimbo wake mpya unaoitwa “It’s Aiight”, kazi inayobeba uhalisia wa maisha, hisia kali na ujumbe wa matumaini. Kupitia sauti yake yeny . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • July 23, 2025

Malkia wa Mitindo Vera Sidika Aanza Maisha Mapya Kibabe!

Mwanamitindo na sosholaiti maarufu kutoka Kenya, Vera Sidika, anayejulikana kwa jina la utani kama Vee Beiby, ameibuka upya na kuteka mitandao ya kijamii kwa kishindo baa . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • July 23, 2025

Mfalme wa Rock na Heavy Metal, Ozzy Osbourne Afariki Akiwa na Miaka 76

Mwanamuziki nguli wa Rock na Heavy Metal, Ozzy Osbourne, maarufu kama ‘Prince of Darkness’, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 76. Taarifa rasmi kutoka kwa famili . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • July 17, 2025

Davido Atikisa Tena! Anunua Lamborghini Revuelto Yenye Thamani Ya Bilioni 2.6

Msanii maarufu wa muziki kutoka Nigeria, David Adedeji Adeleke, anayefahamika zaidi kwa jina la Davido, ameendelea kuthibitisha kuwa ni mmoja wa mastaa matajiri zaidi bar . . .

news
Michezo
  • Na Jembe Digital
  • July 17, 2025

Liverpool mbioni kumsajil mshambuliaji Hugo Ekitike kutoka Ujerumani

Klabu ya Liverpool ya England inaendelea kuweka juhudi zake za kumtia mikononi mshambuliaji chipukizi Hugo Ekitike kutoka Eintracht Frankfurt ya Ujerumani, katika dirisha . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • July 14, 2025

Hali ya Joel Lwaga Kiafya Sio Nzuri

Joel Lwaga amefunguka kuhusu hali yake ya kiafya baada ya kupata ajali ya kimichezo. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Lwaga ameeleza kuwa alipata jeraha la mguu wakati . . .

news
Michezo
  • Na Jembe Digital
  • July 10, 2025

Fadlu ahusika kuvunjwa mikataba kwa baadhi ya wachezaji

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally amesema kocha wa kikosi hicho Fadlu Davids anahusika moja kwa moja na kutoongezwa au kuvunjwa kwa mikataba kwa baadhi . . .

news
Michezo
  • Na Jembe Digital
  • July 9, 2025

Manula Atambulishwa Rasmi Azam FC

Aliyekuwa kipa wa Simba SC na timu ya taifa, Taifa Stars, Aishi Salum Manula, amerejea rasmi katika klabu yake ya zamani ya Azam FC baada ya kusaini mkataba wa miaka minn . . .

news
Muziki
  • Na Jembe Digital
  • July 3, 2025

P DIDDY rumande hadi Oktoba mwaka huu

MSANII mashuhuri wa muziki wa hip-hop, Sean Diddy Combs maarufu kama P Diddy, ameendelea kusalia rumande baada ya Jaji Arun Subramanian wa Mahakama ya Shirikisho kumkatal . . .

news
Flamu/Movie
  • Na Jembe Digital
  • June 28, 2025

Washindi tamasha la Kimataifa la Filamu Zanzibar (ZIFF) kujulikana kesho

 BAADA ya siku tano za hekaheka ndani ya Tamasha la Kimataifa la Filamu Zanzibar (ZIFF), msimu wa 28, tamasha hilo litafungwa rasmi kesho huku washindi mbalimbali wa . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • June 27, 2025

Enock Bella ajitokeza kumuomba msamaha Mbosso

Msaniii Enock Bella amejitokeza hadharani kumuomba msamaha Mbosso kwa yote ambayo amemkosea katika maisha waliyoishi zamani mpaka sasa.Enock ameomba msamaha huo baada ya . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • June 26, 2025

BONGO FLEVA KUFANYA VIZURI

Kwa zaidi ya Miaka saba sasa Game ya muziki wa #BongoFleva imeshindwa kuzalisha wasanii wapya wakubwa ambao tunaweza kujivunia kama wasanii wetu wapya wakubwa.Ukitoa Kiza . . .

Kurasa 1 ya 14

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • YAS WAIPAMBA LAKE VICTORIA MARATHON MSIMU WA 5

    • 21 masaa yaliopita
  • Yatambue Mambo Sita Yasiyopaswa Kufanywa Wakati Wa Ujauzito

    • 2 siku zilizopita
  • Ibrahim Bacca Afungiwa na TFF Mechi 5 kwa kucheza Rafu Mbaya

    • 2 siku zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode