logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Michezo

  • Pata Habari za Michezo Kwa Undani
news
NGUMI
  • Na Jembe Digital
  • jana

Knock Out ya Mama yaendelea kuitangaza ngumi ya Tanzania

Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Ndg. Gerson Msigwa amesema Michezo ni ajira uchumi na inatangaza Tanzania na sas . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

TFF Yaruhusu Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi Kutumika Kwa Michezo ya Ligi

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeruhusu uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, uliopo mkoani Tabora, kutumika kwa michezo ya Ligi baada ya kufanyiwa marekebisho yali . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

TFF yatoa mwongozo wa Kupima Jinsia Kuanza Rasmi Msimu wa 2026/27

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetoa taarifa rasmi likibainisha kuwa mwongozo wa kupima na kuthibitisha jinsia za wachezaji wa kike utaanza kutumika rasmi kuanzia ms . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Ronaldo Avunja Rekodi kuwa mchezaji bilionea duniani

Mshambuliaji nyota wa Ureno na klabu ya Al-Nassr, Cristiano Ronaldo, ametajwa kuwa mchezaji wa kwanza wa soka kufikia hadhi ya bilionea, kwa mujibu wa ripoti mpya ya chom . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

FIFA Yamteua Rais wa Yanga, Eng. Hersi Said, Kuwa Mjumbe wa Kamati ya Mashindano ya Vilabu Duniani

Rais wa Klabu ya Yanga SC, Eng. Hersi Said, ameteuliwa na Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) kuwa Mjumbe wa Kamati ya Mashindano ya Vilabu vya Wanaume Duniani kwa kipindi . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

FIFA Yamteua Wallace Karia Kuwa Makamu wa Rais wa Kamati ya Soka la Ufukweni Duniani

Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limemteua Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia, kuwa Makamu wa Rais wa Kamati ya Soka la Ufukweni ya FIFA kwa kipind . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

TFF Yamsimamisha Mchezaji wa Yanga Princess Kupisha Uchunguzi wa Jinsia

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limesimamisha kwa muda mchezaji wa klabu ya Yanga Queens, Princess Jeanine Mukandiyisenga, raia wa Rwanda, kupisha uchunguzi wa kina kuh . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • October 6, 2025

Diarra achaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Mwezi Septemba Ligi Kuu NBC

Mlinda mlango wa klabu ya Yanga SC, Djigui Diarra, amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Mwezi Septemba wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara kwa msimu wa 2025/2026. Hii ni baada . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • October 6, 2025

Ahmad Ali amechaguliwa kuwa Kocha bora wa mwezi Septemba

Kocha mkuu wa klabu ya JKT Tanzania, Ahmad Ali amechaguliwa kuwa Kocha bora wa mwezi Septemba wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania bara msimu wa mwaka 2025/2026 akiwashinda Romain . . .

news
Marathoni
  • Na Nattyebrandy
  • October 5, 2025

YAS WAIPAMBA LAKE VICTORIA MARATHON MSIMU WA 5

Kama wasemavyo kila hatua mixx  ndivyo mtandao unaoongoza Tanzania nzima kwa 4G na 5G iliyoenea kila kona wamefanikiwa kuigusa kila hatua ya mshiriki katika mbi . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • October 4, 2025

Timu ya Taifa Stars kuikabili Zambia

TIMU ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars ina kibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo dhidi ya timu ya taifa ya Zambia.Mchezo huo ni maalumu kwa ajili ya kuwania kufuzu Kom . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • October 4, 2025

Simba Sc yatambulisha kocha Dimitri Pantev kuwa meneja wa timu

Klabu ya Simba Sc imemtambulisha kocha Dimitri Pantev kama meneja wa timu hiyo huku vyanzo vikieleza kocha mkuu wa Wekundu hao wa Msimbazi atakuwa Selemani Matola kwenye . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • October 4, 2025

Dodoma Jiji FC yapigwa faini ya milioni 15 kwa kukosa kocha mwenye sifa

Klabu ya Dodoma Jiji FC imepigwa faini ya jumla ya Shilingi milioni 15 za Kitanzania na Bodi ya Ligi Kuu baada ya kushiriki michezo mitatu bila kuwa na kocha mkuu mw . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • October 4, 2025

Kocha wa Manchester United atafutwa kazi endapo watakosa ushindi dhidi ya EPL

Kocha wa Manchester United, Rúben Amorim, yuko katika hatihati ya kufutwa kazi yuko katika hatihati ya kufutwa kazi endapo kikosi chake kitashindwa kupata ushindi d . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • September 30, 2025

Folz ataka muda kuijenge timu ya Yanga SC

WAKATI timu ya Yanga SC ikiwa ugenini kwenye Uwanja wa Sokoine Mbeya katika maandalizi ya mchezo dhidi ya Mbeya City, Kocha Mkuu wa Yanga, Romain Folz, amewataka wanacham . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • September 30, 2025

Hemed Suleiman 'Morocco' aitakia Simba ushindi mkubwa

KOCHA wa muda wa Simba, Hemed Suleiman 'Morocco' amesema haikuwa rahisi kuvuka mechi ya raundi ya kwanza kwa timu hiyo, kwani ilikuwa inacheza kwenye mazingira magumu kut . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • September 30, 2025

FIFA imetoa adhabu kwa SAFA

Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) imetoa adhabu kwa Chama cha Soka cha Afrika Kusini (SAFA) baada ya kubainika kumchezesha Teboho Mokoena, mchezaji a . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • September 29, 2025

Ahmed Arajiga kuchezesha mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia 2026,

Shirikisho la soka duniani, FIFA, limemchagua mwamuzi wa Tanzania, Ahmed Arajiga, kuchezesha mchezo muhimu wa kufuzu Kombe la Dunia 2026, kati ya Cape Verde na Eswatini!M . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • September 28, 2025

Man Utd & Liverpool wamuwinda Branthwaite

Liverpool na Manchester United wanatazamiwa kushindania usajili wa pauni milioni 65 wa mlinzi wa Everton mwenye umri wa miaka 23 wa Uingereza Jarrad Branthwaite. (Mirror) . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • September 26, 2025

Simba SC kucheza bila mashabiki na kutozwa faini ya milioni 200

Klabu ya Simba SC haitaruhusiwa kuwa na mashabiki kwenye mchezo wake wa pili dhidi ya Gaborone United baada ya CAF kukataa rufaa yao ya kupinga adhabu ya kucheza bila mas . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • September 23, 2025

JUSTFIT yazindua rasmi mpira mpya wa Ligi Kuu Tanzania

Kampuni ya Kitanzania ya JUSTFIT ( @justfitsportsgear ) inayojihusisha na uuzaji na utengenezaji wa vifaa vya michezo Septemba 22 mwaka huu kwa kushirikiana na Bodi ya Li . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • September 23, 2025

Dembélé Awashinda Lamine Yamal na Mohamed Salah

Staa wa Timu ya Taifa ya Ufaransa na Klabu ya Paris Saint-Germain (PSG), Ousmane Dembélé, ameshinda Tuzo ya Ballon d’Or ya 2025, akiwashinda wachezaji maarufu kama La . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • September 23, 2025

Simba Yamtangaza Hemed Suleiman Kuwa Kocha Mkuu wa Muda

Klabu ya Simba SC imefanya uteuzi rasmi wa kocha Hemed Suleiman ‘Morocco’ kuwa kocha mkuu wa muda wa timu hiyo. Hemed Morocco, ambaye pia ni kocha wa timu ya taifa ya . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • September 23, 2025

Kocha Fadlu Davids Aaga rasmi Simba kwa hisia na mapenzi nzito

Kocha wa Simba SC, Fadlu Davids, ameaga rasmi klabu hiyo akieleza hisia zake nzito baada ya muda wake kumalizika Msimbazi.Katika ujumbe wake wa kuaga, Davids amesema tang . . .

news
Riadha
  • Na Jembe Digital
  • September 23, 2025

SIMBU AMBAYE NI BINGWA WA MBIO ZA DUNIA AWASILI NCHINI

Katibu Mtendaji wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT) Bi. Neema Msitha, ameongoza mapokezi ya Mwanariadha Sajini Alphonce Simbu ambaye ni Bingwa wa mbio za Dunia kwa Wanau . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • September 23, 2025

Ousmane Dembélé na Aitana Bonmati washinda tuzo ya Ballon d'Or

Mshambulizi wa Paris Saint-Germain, raia wa Ufaransa, Ousmane Dembele, ameshinda tuzo ya Ballon d'Or 2025 usiku wa Jumatatu, akimshinda Lamine Yamal wa Barcelona (Mchezaj . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • September 22, 2025

Waziri Aweso awapa heko timu Maji kwa ushindi wa Michezo SHIMIWI

Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb) ameipongeza timu ya michezo ya Wizara ya Maji (Maji Sport) kwa ushindi walioupata katika Mashindano ya Shirikisho la Michezo la Wizar . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • September 22, 2025

Chelsea inamtaka kipa wa AC Milan Mike Maignan

Klabu ya Chelsea imefufua tena azma ya kumsajili kipa wa Ufaransa na AC Milan Mike Maignan, 30, na huenda ikamjumuisha kwenye orodha ya uhamisho katika dirisha lijalo la . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • September 19, 2025

Yanga Sc leo kibarua wanacho dhidi ya Wiliete FC

Kipyenga cha mashindano ya ngazi ya klabu barani Afrika kimepulizwa wiki hii na leo ni zamu ya mabingwa wa Tanzania Bara, Yanga, ambao watashuka dimbani kuanza safari yao . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • September 18, 2025

Kikosi cha Simba Chatua Botswana kwa Mtanange wa CAFCL

Kikosi cha Mnyama wa Afrika Mashariki, Simba SC, kimewasili nchini Botswana kwaajili ya mchezo wa hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League) dhidi y . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • September 16, 2025

Hawa Hapa Mapilato Yanga Vs Simba leo Uwanja wa Mkapa, Kayoko Kwenye Orodha

JOTO la Kariakoo Dabi linazidi kupanda kwa kasi ambapo watani hawa wa jadi wanatarajiwa kukutana Uwanja wa Mkapa, leo Septemba 16 2025 katika mchezo wa fainali.Ofisa Haba . . .

news
Kikapu
  • Na Jembe Digital
  • September 15, 2025

TFF Yatangaza Viingilio Ngao ya Jamii Simba vs Yanga

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetangaza viingilio vya mchezo wa Ngao ya Jamii utakaowakutanisha mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga SC, dhidi ya watani wao wa . . .

news
Riadha
  • Na Jembe Digital
  • September 15, 2025

Simbu Aandika Dhahabu ya Kwanza: Tanzania na kuingia Kwenye kwenye Historia ya Dunia

Kwa miaka mingi, Tanzania imekuwa ikikumbukwa kupitia mashujaa wake wa riadha kama Filbert Bayi, aliyewahi kuvunja rekodi ya dunia na kushinda medali ya fedha Olimpiki, n . . .

Kurasa 1 ya 25

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Mpango amewasili Viwanja vya Sokoine kushiriki kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru

    • 46 dakika zilizopita
  • MANISPAA YA GEITA YANG’ARA KITAIFA KATIKA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025

    • 55 dakika zilizopita
  • Watanzania wasisitizwa kuendelea kumwombea baba wa taifa

    • saa moja lililopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode