logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Michezo

  • Pata Habari za Michezo Kwa Undani
news
SOKA
  • Na Asha Business
  • 11 masaa yaliopita

Bosi wa Yanga afichua siri usajili wa Chivaviro

Ni suala la muda tu kwa mshambuliaji wa Marumo Gallants ya nchini Afrika Kusini, Ranga Chivaviro kutua Young Africans ni baada ya kusaini mkataba wa awali wa miaka miwili . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • 11 masaa yaliopita

FIFA yampa heshima Osimhen

Baada ya kutunukiwa Tuzo ya Kitaifa ya Mwanachama wa Agizo la Jamhuri ya Shirikisho na Rais wa zamani, Meja Jenerali Muhammadu Buhari (mstaafu.), mshambuliaji wa Sup . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • 12 masaa yaliopita

Mayele na Yanga Ndio Basi Tena

Baada ya kikao kizito hatimaye Mshambuliaji wa Yanga Sc, Fiston Mayele ameamua kuondoka klabuni humo mwishoni mwa msimu huu baada ya kudumu kwa muda wa miaka miwiliMayele . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • 13 masaa yaliopita

Chelsea yaingilia dili la Moses Caicedo

Klabu ya Arsenal imefikia makubaliano binafsi na kiungo wa Brighton, Moises Caicedo lakini itapata upinzani kutoka kwa Chelsea.Taarifa zinaeleza kuwa Caicedo anatamani ku . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

usajili wa Harry Kane watia presha

Meneja wa Real Madrid, Carlo Ancelotti amewaambia mabosi wa timu hiyo kuhakikisha wananasa saini ya Mshambuliaji kutoka England na Tottenham Hotspur Harry Kane kwenye dir . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Zlatan Ibrahimovic Astaafu Kucheza Soka

Straika huyo raia wa Sweden ambaye ni Zlatan Ibrahimovic ametangaza kustaafu akiwa na umri wa Miaka 41 baada ya kucheza Soka kwa Miaka 24Amestaafu akiwa anaichezea ACMila . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Fiston Mayele Aibuka Mfungaji Bora Kombe la Shirikisho

Mshambuliaji na mfumaniaji nyavu wa Young Africans SC Fiston Kalala Mayele amezawadiwa tuzo ya mfungaji Bora wa michuano ya Shirikisho Barani Afrika katika msimu wa 2022/ . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Feisal apitishwa usajili wa Simba SC 2023/24

MAGWIJI wa Simba SC wamesema kama Feisal Salum ‘Fei Toto’ atamaliza kesi yake na Young Africans ni mtu sahihi pale Msimbazi msimu ujao; kwani ana nafasi ya kumtoa mtu . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Marciniak kuwa mwamuzi wa fainali ya Ligi ya Mabingwa

UEFA ilisema Ijumaa kwamba mwamuzi wa Poland Szymon Marciniak ataruhusiwa kuchezesha fainali ya Ligi ya Mabingwa kwa wanaume kati ya Manchester City na Inter Milan licha . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Mashabiki wa soka walikataa ada ya tikiti ya kumuona Messi nchini China

Mashabiki wa soka wa Uchina watahitaji kutoa hadi $680 ili kumuona Lionel Messi akiongoza Argentina dhidi ya Australia katika mechi ya kirafiki ya Beijing, waandaaji wali . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Uuzaji wa polepole wa tikiti za Kombe la Dunia la Wanawake husababisha wasiwasi nchini New Zealand

FIFA mnamo Ijumaa ilitangaza kutolewa kwa takriban tikiti 250,000 zaidi za Kombe la Dunia la Wanawake, huku kukiwa na wasiwasi juu ya mauzo ya mechi nchini New Zealand.Ku . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Man United inatajia kuandika upya historia dhidi ya Man City

Miaka 12 iliyopita, Manchester City ilianzisha mabadiliko ya tetemeko katika soka la Uingereza kwa kuwafunga Manchester United waliokuwa wakiwinda mara tatu katika uwanja . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Feisal Salum 'Kabla ya Mgogoro Nilimpigia Sana Simu Boss Ghalibu GSM Akawa Hapokei Simu Yangu'

 “Nilimpigia simu Ghalibu [GSM] akawa hapokei, nikituma sms hajibu, nikawa nahisi pengine ana kazi zake akipata muda atanitafuta. Badae nikajua simu zangu anaziona . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Bosi FC Barcelona aweka wazi usajili wa Messi

Meneja wa Klabu Bingwa nchini Hispania FC Barcelona, Xavi Hernandez amesema alimwambia rais wa klabu hiyo Joan Laporta kwamba angependa kuwa na Lionel Messi msimu ujao na . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • May 30, 2023

Chelsea Wamwajiri Mauricio Pochettino Kuwa Kocha Wao Mpya

Klabu ya Chelsea imemteua Mauricio Pochettino kuwa meneja wao mpya huku mzawa huyo wa Argentina akikabidhiwa kibarua kigumu cha kufufua Blues iliyokumbwa na masaibu tele. . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • May 29, 2023

Mbappe atasalia PSG mpaka mwakani

Kylian Mbappe amewahakikishia mashabiki kuwa atasalia kwenye Klabu hiyo atakipiga hapo mpaka mwakani na kuhitimisha tetesi zinazomuhusu kuondoka.Mbappe, 24, ambaye ametwa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • May 29, 2023

Joao Cancelo awekwa sokoni kwa bei punguzo

Mabingwa wa Soka nchini England Manchester City wamekubali kushusha ada ya usajili ya kiungo wao Joao Cancelo na sasa ikiwa kuna timu inataka kumsajili katika dirisha lij . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • May 24, 2023

Yanga Waanza Mchakato wa Kujenga Uwanja Eneo la Jangwani

Rais wa Yanga Injinia Hersi Said amesema klabu imeanza mchakato wa ujenzi wa uwanja eneo la Jangwani yalipo Makao Makuu ya klabu ya Yanga Injinia Hersi alisema tarat . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • May 24, 2023

Bukayo Saka Atia Saini Mkataba Mpya na Arsenal

Mshambuliaji mahiri, Buyako Saka ametia saini mkataba mpya wa kusalia Arsenal hadi mwaka wa 2027. Akizungumzia mkataba huo mpya Saka alisema klabu hiyo ndiyo sehemu . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • May 23, 2023

Kenya kuboresha viwanja vinane

Viwanja vinane nchini Tanzania vitafanyiwa ukarabati mkubwa baada ya kuorodheshwa kama vitatumika kwa ajili ya mazoezi katika Fainali za Mataifa ya Afrika AFCON 2027 kati . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • May 22, 2023

Sakata la ubaguzi wa rangi La Liga

Vinicius Mdogo anasema “ubaguzi wa rangi ni jambo la kawaida katika La Liga” na kwamba “michuano ambayo hapo awali ilikuwa ya Ronaldinho, Ronaldo, Cristiano na Mess . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • May 22, 2023

Xavi akataa kuicheka Real Madrid

Meneja wa Mabingwa wa Soka nchini Hispania FC Barcelona, Xavi Hernandez amekataa kuiponda Real Madrid baada ya kuondoshwa katika hatua ya nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • May 19, 2023

Harry Kane akaa njia panda

Wakala wa Mshambuliaji kutoka England na Klabu ya Tottenham Hotspur Harry Kane amekutana na mabosi wa Paris Saint-Germain kujadili uwezekano mchezaji wake kuenda jijini P . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • May 18, 2023

Rais Samia aibeba tena Yanga

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan, ameibeba tena klabu ya Yanga, akisema kuwa katika mechi za fainali ya Kombe la Shirikisho itakayopigwa M . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • May 17, 2023

TIMU YA MBEYA CITY YA TIMUA WATU WATATU

 Uongozi Mbeya City umeachana na viongozi watatu wa benchi la ufundi huku sababu zikiendelea kufanya kuwa siri klabuni hapo.Mbeya City inayohaha kusaka matokeo mazur . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • May 17, 2023

SMZ kuboresha ligi za soka Zanzibar

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imesema itaendelea kusisitiza uwepo wa ligi za mpira wa miguu zenye ubora katika maeneo ya mijini na vijijini, lengo likiwa kukuz . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • May 16, 2023

Kocha Yanga achukua tahadhari Afrika Kusini

Kusini9 mins agoKocha Mkuu wa Mabingwa wa Soka Tanzania Bara Young Africans Nasreddine Nabi, amesema anatarajia upinzani mkali kutoka kwa Marumo Gallants katika mchezo wa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • May 11, 2023

MASHABIKI MWANZA WAUZUNGUMZIA USHINDI WA YANGA

Baada ya mchezo kumalizika Jembe Fm ikiwa kibanda umiza ikateta na mashabiki wa soka, kwenye mic Jacob Mlay wa Sports Ripoti ya Jembe Fm Mwanza.MAGOLI.Ni Aziz Ki, kiungo . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • May 11, 2023

Pauni Milion 70 kumng’oa Raphinha FC Barcelona

Uongozi wa FC Barcelona unahitaji Pauni Milioni 70 milioni ili kumuachia mshambuliaji wao wa kimataifa wa Brazil, Raphinha wakati wa usajili wa Majira ya Kiangazi.Klabu z . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • May 9, 2023

Man City Wamposti Yaya Toure Kuondoa Laana yake kwa Kocha Guardiola

Club ya Manchester city ni kama wamekubali wayamalize na nyota wa zamani wa club hiyo Yaya Toure raia wa Ivory coast kufuatia laana inayosemekana kutoka kwake kupitia kwa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • May 8, 2023

Marumo Gallants kutua Dar leo

Wapinzani wa Young Africans katika Michuano ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika Marumo Gallants wanatarajiwa kuwasili jijini Dar es salaam leo Jumatatu (Mei 08) tayari k . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • May 5, 2023

Historia kuandikwa soka la Saudi Arabia

Serikali ya Saudi Arabia imeandaa ofa kubwa zaidi katika historia ya soka la nchi hiyo ili kumnasa Nahodha na Mshambuliaji wa Mabingwa wa Dunia, Timu ya Taifa ya Argentin . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • May 5, 2023

Azam FC yaahidiwa Mamilioni Nusu Fainali ASFC

Uongozi wa Azam FC umetangaza donge nono kwa Wachezaji wanaounda kikosi cha klabu hiyo, endapo watafanikiwa kuifunga Simba SC na kutonga Fainali ya Kombe la Shirikisho Ta . . .

Kurasa 1 ya 13

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Otile Brown, Meneja Noriega ‘waachana’ rasmi

    • 9 masaa yaliopita
  • Papa Francis kufanyiwa upasuaji wa tumbo

    • 9 masaa yaliopita
  • Kagame atimua wanajeshi 244

    • 10 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P.O BOX 1334,
Malimbe-Luchelele,
Mwanza-Tanzania.

info@jembenijembe.com

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode