logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Michezo

  • Pata Habari za Michezo Kwa Undani
news
SOKA
  • Na Asha Business
  • 16 masaa yaliopita

BEKI WA KAZI SIMBA AREJEA

HENOCK Inonga, beki wa Simba amerejea kwenye uimara wake taratibu baada ya kupata maumivu kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Tanzania Prisons.Katika mchezo huo wa ligi Inonga . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • 16 masaa yaliopita

Robertinho aanika ramani ya Ubingwa

Kocha Mkuu Simba SC Roberto Oliveira ‘Robertinho’ amesema, ili kufanikisha ndoto za kutwaa ubingwa msimu huu 2022/23 kwa klabu hiyo, ni lazima kikosi chake kishinde m . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

ALONSO ATAJWA KUMRITHI KLOPP LIVERPOOL

Inasemwa  kuwa, licha ya kuzungumzia mafanikio ya Jurgen Klopp ndani ya Liverpool, lakini mambo yanaweza kubadilika wakati wowote kikosini hapo na nafasi yake ik . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

HUU HAPA UZI MPYA WA YANGA KIMATAIFA

JANUARI 30,2023 Yanga imezindua uzi wao mpya kwa ajili ya mechi za kimataifa ikiwa imetinga hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika. Timu hiyo inayonolewa na Ko . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Wanafaidi Matunda ya Kumvumilia Arteta

Kocha wa Manchester City Pep Guardiola anaamini kuwa viongozi wa Ligi Kuu ya Uingereza Arsenal sasa wanafaidi matunda ya kumvumilia Mikel Arteta kama kocha wao kwa miaka . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Fenabahce kumpiga bei Samatta, Al Ahly

Miamba ya Soka nchini Misri Al Ahly imeendelea kutajwa kuwa kwenye mpango wa kumsajili Mshambuliaji na Nahodha wa Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ Mbwana Ally . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Manzoki avunja ukimya Dar es salaam

anaipenda klabu hiyo ya Msimbazi na ataitumikia siku moja.Manzoki amesema anajua kuna baadhi ya watu waliwahi kumuhusisha na mpango wa kusajiliwa na timu inayovaa rangi y . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • January 25, 2023

USAJILI WA NYOTA WA ZAMANI WA YANGA NA NAMUNGO ACHA TU

MIONGONI mwa taarifa ambazo zilikuwa na sarakasi nyingi ni pamoja usajili wa nyota Mohamed Issa Banka kuibuka ndani ya Ruvu Shooting na kabla ya kuanza kucheza mkatab . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • January 19, 2023

HII NDIO MIPANGO YA YANGA

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa kikubwa ambacho amewaambia wachezaji wake ni kucheza kwa umakini kila mechi.Timu hiyo imekuwa kwenye mwendo bora msimu h . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • January 18, 2023

IHEFU YATAMBULISHA WATAMBULISHA WACHEZAJI WAWILI

 Nelson Okwa ambaye ni mali ya Simba kaibuka ndani ya kikosi cha Ihefu chenye maskani yake Mbeya, nyanda za juu Kusini. Hakuwa na msimu mzuri ndani ya Simba ingizo . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • January 17, 2023

Kocha Nabi awakataa Fei Toto, Morrison

Kocha Mkuu wa Mabingwa Soka Tanzania Bara Young Africans Nasreddine Mohammed Nabi ni kama amewakataa viungo Feisal Salum ‘Fei Toto’ na Bernard Morisson ambao wameshin . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • January 16, 2023

Kipa Metacha Mnata awaomba radhi Yanga Baada ya Kurudi

Mlinda Lango Metacha Mnata amewaomba radhi Mashabiki na Wanachama wa Klabu ya Young Africans, baada ya kusajiliwa kwa mkopo klabuni hapo.Metacha amerudi Young Africans ak . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • January 12, 2023

Yanga Yatangaza Kumuuza Fei Toto

UONGOZI wa Yanga, umeweka bayana kuwa, wapo tayari kumuuza kiungo wao, Feisal Salum ‘Fei Toto’ na mchezaji mwingine yeyote kwenye timu hiyo kama tu utaratibu utafuatw . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • January 12, 2023

Kocha Graham Potter Akiri Chelsea Ndiyo Kazi Ngumu Zaidi Katika Soka

Kocha Graham Potter anadai kuwa ana kibarua kigumu zaidi katika taaluma yake ya soka huku mazimwi ya majeraha ikivamia klabu ya Chelsea. Kikosi cha Potter kwa sasa k . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • January 11, 2023

Philemon Mulala Auawa na Mbwa Wake 3 Afrika Kusini

Nyota wa zamani wa Chipolopolo, Philemon Mulala ameuawa na mbwa wake watatu nyumbani kwake Lichtenburg, Afrika Kusini. Mulala aliumwa na mbwa hao alipotoka nje kuchu . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • January 10, 2023

Juma mgunda "Namheshimu Big Brother Robertinho"

Kocha Mkuu mpya, Roberto Oliveira ‘Robertinho’ jana kimeanza mazoezi huko Dubai Dubai kwa ajili ya kambi ya wiki moja kujiandaa Ligi Kuu Tanzania Bara na Ligi ya Mabi . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • January 9, 2023

SINGIDA BIG STARS YATINGA FAINALI KOMBE LA MAPINDUZI

SINGIDA Big Stars wana jambo lao ndani ya Kombe la Mapinduzi kutokana na kasi yao mbele za vigogo wanaokutana nao.Inakuwa timu ya kwanza kwenye makundi msimu huu kushusha . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • January 8, 2023

Arsenal Yafunguliwa Mashtaka Kuhusu Mwenendo wa Wachezaji Wake

Klabu ya Arsenal imefunguliwa mashtaka na Shirikisho la Soka nchini Uingereza (FA) kuhusu mwenendo wa wachezaji wake katika mechi yao ya Ligi Kuu ya Uingereza na Newcastl . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • January 6, 2023

KOCHA JUMA MGUNDA AKIRI ALITELEZA

JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa aliteleza kwenye maelezo wakati akizingumza kuhusu suala la kutetea ubingwa wa timu hiyo.Kwenye mchezo wa ufunguzi dhidi ya . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • January 4, 2023

Ronaldo akataa kupendelewa ndani ya Al Nassr

Rais wa Klabu ya Al Nassr, Musalli Al Muammar amesema kuwa staa wa timu hiyo Cristiano Ronaldo ameomba atendewe sawa na wachezaji wenzake ndani ya kikosi, asipendelewe. . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • January 3, 2023

Messi na Cristiano itakuwa mechi yao ya mwisho kukutana 2023 ?

Paris Saint-Germain ikiwa na Lionel Messi itasafiri hadi Saudi Arabia kwajili ya mchezo wa kirafiki  Januari 19 dhidi ya kikosi kitakachojumuisha wachezaji wa Klabu . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • January 3, 2023

Rais wa FIFA" Tutaomba kila nchi kutaja jina la Pele kweny mmoja ya viwanja vyao"

nyota wa Brazil ambaye alishinda Kombe la Dunia mara tatu na kufunga zaidi ya mabao 1,000, alifariki Alhamisi iliyopita akiwa na umri wa miaka 82. Infantino, ambaye yuk . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • December 30, 2022

Yanga"Feisal Ametoroka Kambini Hatujui Alipo"

Sakata la mchezaji wa Yanga SC, Feisal Salum (Feitoto) lazidi kuchukua sura mpya tangu tetesi za kuhusishwa kuondoka Young Africans Sports na kujiunga na Azam FC.“Feisa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • December 27, 2022

KIPA SIMBA SC AINGIA ANGA ZA AZAM FC

Inaelezwa  kuwa Klabu ya Azam FC ipo kwenye hesabu za kuinasa saini ya kipa namba mbili wa Simba, Beno Kakolanya.Mkataba wa kipa huyo ambaye aliongeza hivi karibuni . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • December 26, 2022

Claudio Ranieri Arejea Italia Kuwa Kocha Wa Klabu Ya Cagliari Aliyowahi Kuinoa Zaidi Ya Miaka 30 Iliyopita

CLAUDIO Ranieri ameaajiriwa tena kuwa kocha wa Cagliari, zaidi ya miaka 30 tangu apokezwe mikoba ya kudhibiti kikosi hicho cha soka ya Italia kwa mara ya kwanza.Umaarufu . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • December 22, 2022

Argentina Kuweka Picha ya Messi Kwenye Pesa ya Nchi Hiyo

Baada ya Lionel Messi kushinda Kombe la Dunia la FIFA huko Qatar, Benki Kuu ya Argentina inafikiria kuweka sura wa mchezaji huyo mashuhuri wa PSG katika noti ya 1000 kuto . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • December 21, 2022

Umati wa mashabiki wa Argentina wakusanyika Buenos Aires kukaribisha washindi wa kombe la Dunia

Maelfu ya wakazi wa Argentina Jumanne wamemiminika kwenye barabara za mji mkuu wa Buenos Aires, ili kuishangilia timu yao iliyochukua kombe la dunia ikiongozwa na nyota L . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • December 21, 2022

Ronaldo Kujiunga na Klabu ya Saudia ya Al Nassr Mwishoni mwa Mwaka

Klabu ya Saudi Arabia ya Al Nassr inatarajia kupata saini ya mshambuliaji wa Ureno Cristiano Ronaldo mwishoni mwa mwaka huu. Mchezaji huyo wa zamani wa Manchester Un . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • December 20, 2022

RASMI KOCHA COASTAL UNION AONDOKA

RASMI uongozi wa Coastal Union umetangaza kufikia makubaliano ya kuvunja mkataba na Yusuf Chipo ambaye alikuwa ni kocha mkuu wa timu hiyo.Taarifa rasmi iliyotolewa na Coa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • December 20, 2022

Benzema atangaza kustaafu mpira

Karim Benzema ametangaza kustaafu soka la kimataifa, siku moja baada ya Ufaransa kushindwa na Argentina katika fainali ya Kombe la Dunia 2022.Benzema alikosa michuano hiy . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • December 17, 2022

FIFA wakataa ombi la Rais Zelensky wa Ukraine Kuhusu World Cup

Shirikisho la soka Ulimwenguni (FIFA) linadaiwa kuwa limekataa ombi la Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky kutaka kabla ya mchezo wa fainali ya Kombe la Dunia kati ya Arge . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • December 16, 2022

Mbappe "Waafrika ni Ndugu Zetu Tunategemea Support yenu"

Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Ufaransa Kylian Mbappe amesema kwenye mechi yao ya fainali dhidi ya Argentina anategemea sapoti kubwa kutoka barani Afrika kwa kuwa Wafar . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • December 16, 2022

Da Cruz atambulishwa Brazil

LIYEKUWA mshambuliaji wa Singida Big Stars, Peterson Da Cruz ‘Peu’ ametambulishwa kuwa mchezaji mpya wa Clube Nautico Marcilio Dias inayoshiriki Ligi Daraja la Tatu n . . .

Kurasa 1 ya 10

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Viongozi wa kikanda wakubaliana kuiangamiza al-Shabab

    • 15 masaa yaliopita
  • KUFIKIA DESEMBA 2023 WAUGUZI 3000 KUPATA MAFUNZO YA MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA NCHINI.

    • 15 masaa yaliopita
  • Papa Francis akutana na wahanga wa vita vya Kongo

    • 15 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P.O BOX 1334,
Malimbe-Luchelele,
Mwanza-Tanzania.

info@jembenijembe.com

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created By ZEDCODE Email: dammedeggers7777@gmail.com