SHABIKI wa soka mwenye umri wa miaka 80 amefariki muda mfupi kabla ya kuingia uwanjani kuitazama Mexico ikivaana na Afrika Kusini katika mchezo wa ufunguzi wa fainali za . . .
Michuano ya soka kuwania kombe la dunia, inaanza leo nchini Marekani, Mexico na CanadaSherehe za ufunguzi wa michuano hii mikubwa itafanyika kwa wakati mmoja katika . . .
Serikali ya Somalia imemtetea mwamuzi wake maarufu Omar Artan baada ya kunyimwa ruhusa ya kuingia Marekani, jambo lililomfanya kushindwa kuwa mwamuzi wa kwanza kutoka Som . . .
Mvutano mpya umeibuka kuelekea Kombe la Dunia 2026 baada ya Iran kulalamikia Marekani kufuta mgao wa tiketi kwa mashabiki wake.Shirikisho la Soka la Iran limeilaumu Marek . . .
Mashindano ya Monaco Grand Prix mwaka 2026 yameendelea kuvuta hisia za mashabiki wa Formula One duniani baada ya kijana wa Mercedes, Kimi Antonelli, kuibuka mshindi wa mb . . .
Wachezaji saba wenye umri wa miaka 40 na zaidi wanatarajiwa kushiriki kwenye Kombe la Dunia la FIFA 2026 jambo linaloonyesha uimara na maisha marefu ya soka kwa baadhi ya . . .
Algeria iliwashangaza Uholanzi kwa kuwafunga bao 1-0 mjini Rotterdam hapo Juni 03,2026 katika mchezo wa kirafiki wa kujiandaa na Kombe la Dunia wiki moja kabla ya mashind . . .
Mechi za kirafiki za Tanzania zilizokuwa zichezwe nchini Morocco dhidi ya Uganda na Rwanda zimeripotiwa kufutwa kutokana na changamoto za upangaji wa ratiba na maandalizi . . .
Arsène Wenger amesema mafanikio ya timu ya taifa ya vijana chini ya miaka 17, Serengeti Boys, yanaonyesha kuwa Tanzania ina kizazi kipya cha wanasoka wenye uwezo wa kush . . .
Arsenal wanatarajiwa kuingia katika mchezo wa fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Paris Saint-Germain (PSG) leo Mei 30, 2026 wakiwa na changamoto kubwa ya uchovu w . . .
Mchezaji wa zamani wa timu ya Timu ya Uingereza Raheem Sterling amekamatwa na polisi kufuatia ajali aliyopata akiwa anaendesha gari lake la kifahari aina ya Lamborghini k . . .
Kombe la Dunia 2026 litaanza rasmi Juni 11, 2026 ambapo wenyeji Mexico watafungua pazia dhidi ya South Africa katika mchezo wa ufunguzi utakaopigwa kwenye Mexico City jij . . .
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Paul Makonda amemteua Haji Manara kuwa msemaji wa timu zote za Taifa za Tanzania zinazoshiriki mpira wa miguu.Makonda ametan . . .
Kocha anayeondoka wa Crystal Palace Oliver Glasner amesema hana mpango wowote wa haraka kuhusu mustakabali wake wa kazi baada ya kuiongoza timu hiyo katika mechi yake ya . . .
Klabu ya Southampton F.C. pamoja na Royal Antwerp F.C. zimethibitisha kifo cha aliyekuwa mchezaji wao wa akademi, Victor Udoh aliyefariki akiwa na umri wa miaka 21.Udoh a . . .
Rais wa Mexico Claudia Sheinbaum ametangaza kuwa nchi hiyo itaihifadhi timu ya taifa ya Iran wakati wa mashindano ya 2026 FIFA World Cup baada ya Marekani kuonyesha kutot . . .
Kipa mkongwe wa Timu ya Taifa ya Ujerumani, Manuel Neuer amerejeshwa kutoka kustaafu na kujumuishwa kwenye kikosi kitakachoshiriki Kombe la Dunia.Neuer mwenye umri wa mia . . .
Ghana wamepangwa katika kundi moja na Cote d'Ivoire wakati draw ya mechi za kufuzu Kombe la Mataifa ya Afrika - AFCON 2027 ilipofanywa jana mjini Cairo.Gambia na Somalia . . .
Uongozi wa klabu ya Young Africans Sports Club (Yanga SC) imetangaza rasmi kuingia katika hatua mpya ya kihistoria ya ujenzi wa uwanja wake binafsi, ndoto ambayo imekuwa . . .
Manchester City wameendelea kuweka presha kwenye mbio za ubingwa wa Ligi Kuu England baada ya kuichapa Crystal Palace mabao 3-0 katika mchezo uliopigwa katika dimba la Et . . .
Klabu ya soka ya Al Hilal Omdurman imeandika historia mpya katika soka la Afrika baada ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Rwanda msimu huu, licha ya kucheza uhamishoni kuto . . .
Kiungo mshambuliaji wa klabu ya Yanga Allan Okello amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa mwezi Aprili wa Ligi Kuu ya soka ya NBC msimu wa mwaka 2025/26 baada ya kutoa mchang . . .
Nyota wa Paris Saint-Germain, Ousmane Dembélé, ametawazwa kuwa Mchezaji Bora wa Mwaka wa Ligue 1 (UNFP Player of the Year) kwa msimu wa pili mfululizo (2024/25 na 2025/ . . .
Klabu ya Espérance Sportive de Tunis imetangaza kuachana na kocha Patrice Beaumelle, kwa uamuzi uliotekelezwa mara moja. Hatua hii imekuja baada ya mfululizo wa matokeo . . .
Mchezo wa Dabi ya Kariakoo katika Ligi Kuu Bara uliomalizika kwa sare ya 2-2, umeiletea Yanga maumivu makali ikipgwa faini ya Sh30 milioni huku maafisa wake wawili wakiku . . .
Marie-Louise Eta amekuwa kocha wa kwanza wa kike kushinda mechi katika mojawapo ya ligi tano kuu za kandanda Ulaya.Hii ni baada ya timu yake ya Union Berlin kuilaza Mainz . . .
Nchini Senegal, mashabiki watatu katika kundi la kwanza waliokamatwa nchini Morocco kufuatia vurugu wakati wa mchezo wa fainali ya AFCON huko Rabat walitua uwanja wa ndeg . . .
Afisa Habari wa Yanga Ali Kamwe amesema sababu kubwa ya uongozi wa klabu hiyo kuachana na Kocha Pedro Goncalves ni mwenendo usioridhisha wa timu licha ya kuendelea kushin . . .
Nusu Fainali kule Ureno hivyo leo hii ni kisasi kwa mwenyeji pia. Jisajili hapa.Mechi hii wageni wanaingia uwanjani wakiwa na faida ya bao 1, baada ya kushinda mechi ya k . . .
Ni baada ya kutoka sare ya 1-1 katika mchezo wa marudiano wa nusu fainali dhidi ya Bayern Munich usiku wa kuamkia leo.Sasa watakutana na Arsenal Mei 30 katika mchezo wa f . . .
Mchezo wa mkondo wa pili wa nusu fainali ya UEFA Champions League kati ya Bayern Munich na Paris Saint-Germain unaingia ukiwa na presha ya kipekee, hasa kutokana na matok . . .
Kiungo mshambuliaji Matheus Cunha ameendelea kumiminia sifa kocha wa muda wa Manchester United Michael Carrick akisema anastahili kupewa kibarua cha kudumu kutokana na ma . . .
Shirikisho la Soka barani Afrika, CAF limetoa tangazo rasmi kwamba Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika ya AFCON 2027 yatafanyika kuanzia tarehe 19 mwezi Juni hadi tare . . .