Meneja wa Habari na Mawasilino wa Simba SC Ahmed Ally amefichua siri iliyomvuta Kocha Mkuu wa klabu hiyo kwa sasa Abdelhak Benchikha ambaye tayari ameshawasili jijini Dar . . .
Timu ya taifa ya Italia imeshinda ubingwa wa michuano ya tenisi ya Davis Cup baada ya kuifunga timu ya taifa ya Australia kwenye mchezo wa fainali uliochezwa Malga nchini . . .
DullahMbabe” ameendeleza unyonge kwa kupoteza kwa mara ya pili dhidi ya #EricKatompa wa DR Congo katika pambano lisilo la ubingwa la Uzito wa Super Middleweight lililof . . .
Rais Samia Suluhu Hassan, amenunua tiketi zote za mzunguko katika Uwanja wa Benjamini Mkapa jijini Dar mechi dhidi ya Morocco.Akizungumza mara baada ya kuwapokea Taifa St . . .
Beki wa Manchester United, Diogo Dalot amejiondoa kwenye kikosi cha Ureno kwa ajili ya mechi za kimataifa za mwezi huu.Ureno maarufu kama ‘Selecao’ tayari wamejihakik . . .
Klabu ya Manchester City imeweka rekodi ya mapato ya Premier League kufikia Pauni 712.8m kwa mwaka wa fedha wa 2022-23.Hii inazidi rekodi ya Pauni 648.4m iliyowekwa mwezi . . .
Klabu ya Manchester United imepata pigo baada ya majeruhi wapya ya Rasmus Hojlund na Christian Eriksen baada ya ushindi wao wa 1-0 dhidi ya Luton Town, juzi Jumamosi (Nov . . .
Novak Djokovic amejihakikishia kumaliza nafsi ya kwanza kwenye viwango vya ubora wa wachezaji wa tenisi Dunia upande wa wanaume mwaka 2023. Djkovic anamaliza mwaka akiwa . . .
Mchezaji soka wa Ghana Raphael Dwamena amefariki dunia kwa masikitiko baada ya kuzimia wakati wa mchezo wa Albania Superliga kati ya FK Egnatia na KF Partizani. Mche . . .
Viongozi wa Ligi ya Premia Manchester City watasafiri hadi Chelsea Jumapili huku Erling Haaland akiwa katika hali ya kutisha huku Arsenal na Tottenham zikijaribu kupata n . . .
Kuna uwezekano mkubwa kwa timu ya A-Etifag ya Saudi Arabia ikawasilisha ofa ya kuwasajili kwa pamoja Kevin de Bruyne wa Man City na Victor Osimhen wa SSC Napoli katika di . . .
Baadhi ya Mashabiki na Wanachama wa Simba SC wameanzisha kampeni katika mitandao ya kijamii wakishinikiza baadhi ya viongozi wa klabu hiyo waondoke (kujiuzulu) kwa kile w . . .
Imefahamika kuwa Uongozi wa Klabu ya Arsenal unajutia uamuzi wa kumsajili Mshambuliaji kutoka nchini Ujerumani, Kai Havertz kwenye dirisha lililopita la majira ya kiangaz . . .
Klabu ya Simba imefikia makubaliano ya pande zote mbili ya kuvunja mkataba na Kocha Mkuu wa kikosi cha kwanza Roberto Oliveira Goncalves Do Carmo (Robetinho).Taarifa iliy . . .
Nyota wa klabu ya Wydad Casablanca Oussama Falouh amefariki Dunia baada ya kupata majeraha yaliyotokana na ajali ya gari aliyoipata wiki kadhaa zilizopita.Oussama alikuwa . . .
PRESHA imezidi kuongezeka kuelekea mchezo wa Kariakoo Dabi, ni baada baadhi ya viongozi kumtaka kipa namba moja Aishi Manula akae golini kuchukua nafasi ya Ally Salim.Dab . . .
Mbio za changamoto za Newcastle katika Kombe la Carabao zitaendelea baada ya vijana hao wa Eddie Howe kutolewa ugenini na Chelsea katika robo fainali.The Magpies walipata . . .
Kiungo wa zamani wa Leicester na Chelsea Danny Drinkwater alitangaza kustaafu siku ya Jumatatu baada ya kukiri kuwa alikuwa "katika hali ya sintofahamu" kwa muda mrefu sa . . .
Lionel Messi ndiye anayepewa nafasi kubwa ya kushinda tuzo ya Ballon d'Or ya nane katika maisha yake ya ajabu wakati sherehe za mwaka huu za kutwaa taji la mwanasoka bora . . .
Baada ya timu yake kupoteza mechi ya pili mfululizo, Kocha Msaidizi wa Azam FC, Bruno Ferry amesema wachezaji wake hawakuwa na kiwango bora lakini wataendelea kujifunza k . . .
Mama wa Mshambuliaji wa Mabingwa wa Soka nchini Ufaransa PSG Kylian Mbappe amefichua siri ya mwanaye kwa kusema, aliwahi kuvaa jezi za Manchester United zilizoandikwa jin . . .
Manchester City ikiongozwa na Erling Haaland ilishinda mabao 3-1 dhidi ya Young Boys na kuongoza kundi G, ikifuatiwa na RB Leipzig iliyopata ushindi dhidi ya Red Star Bel . . .
59 mins agoBaada ya kufanikiwa kufunga ‘Hat Trick’ dhidi ya Azam FC Kiungo Mshambuliaji wa Young Africans, Stephane Azizi Ki ameyachambua mabao yake hayo matatu.Aziz . . .
Kinda wa FC Barcelona Marc Guiu ameweka rekodi ya kuwa mchezaji mwenye umri mdogo zaidi kufunga bao kwenye mchezo wake wa kwanza kucheza kwenye kikosi cha kwanza cha timu . . .
Mikel Arteta alifichua Ijumaa kwamba "mfano wa kuigwa" Mauricio Pochettino alimshauri kutojihusisha na ukocha anapoitayarisha timu yake ya Arsenal kuivaa Chelsea.Wanaume . . .
Kiungo wa kimataifa wa England, Jordan Henderson amekiri pesa ndio ilikuwa sababu mojawapo ya kujiunga na Al- Ettifaq kutoka Saudi Arabia.Kiungo huyo wa zamani wa Liverpo . . .
Viongozi wa Vyama na Mashirikisho ya michezo nchini wametakiwa kushirikisha watu wenye Ulemavu katika programu zao za mashindano, mazoezi na katika kuandaa timu ya Taifa. . . .
Imeripokuwa kuwa Kocha Mkuu wa Manchester United, Erik ten Hag, anafikiria kumuweka nje kipa namba moja wa timu hiyo, Andrè Onana.Hatua hiyo imekuja baada ya kuonekana O . . .
Tanzania imepangwa Kundi F pamoja na Morocco, Zambia na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) katika Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika mwakani nchini Ivory Coast.Kat . . .
Rais wa zamani wa Shiriksho la Soka Duniani (FIFA), Sepp Blatter, amekosoa uamuzi wa shirikisho hilo kubariki Fainali za Kombe la Dunia la mwaka 2030 kuandaliwa katika ma . . .
Morocco, Uhispania na Ureno zimetajwa kuwa wenyeji wa Kombe la Dunia la soka mwaka 2030, huku Uruguay, Argentina na Paraguay wakiwa wenyeji wa mechi za ufunguzi kua . . .
Uongozi wa Klabu ya Arsenal umeanza mazungumzo rasmi na beki wake Ben White, ili kufanikisha mpango wa kumsainisha mkataba wa kuendelea kuitumikia klabu hiyo ya Kaskazini . . .
Mwanasheria na mshauri wa Mshambuliaji Mohamed Salah amedokeza kuwa nyota huyo wa Liverpool anaweza kuwa anapata kiasi kikubwa mno cha mapato ya jumla kwa mujibu wa . . .