Shirikisho la soka duniani FIFA linachunguza video inayoonyesha wachezaji wa timu ya taifa ya Argentina wakiimba nyimbo kuhusu wachezaji wa Ufaransa zilizotafsiriwa na sh . . .
Klabu ya Young Africans Sc imeibuka bingwa wa kombe la Safari Cup baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Safari Champions katika dimba la Benjamin Mkapa. . . .
Ligi ya Afrika Kusini inafanya vyema na ni moja kati ya ligi bora barani Afrika lakini Sielewi kwanini timu yao ya taifa sio nzuri ”“Wasimamizi wanatakiwa kukaa na ku . . .
Nyota wa klabu ya Manchester City, Kevin De Bruyne yupo tayari kupunguza nusu ya mshahara wake ili acheze misimu miwili au mitatu Real Madrid.Nyota huyo raia wa Ubelgiji . . .
Inaelezwa kuwa juma mgunda yupo mbioni kurejea Coastal Union kwa nia ya kwenda kuiongezea nguvu timu hiyo itakayoshiriki michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika. Ina . . .
Mwekezaji wa Klabu ya Simba, Mfanyabiashara Mohamed Dewji ameripotiwa kutoa shinikizo la kujiuzulu nafasi zao kwa wajumbe wote aliowateua yeye ambapo mpaka sasa wajumbe w . . .
Aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Klabu hiyo Barbara Gonzalez amekubali kurudi ndani ya klabu hiyo.Makubaliano baina ya pande zote mbili, yaani Bodi ya Wakurungenzi n . . .
Winga wa Ufaransa, Kylian Mbappe amekamilisha taratibu zote za usajili za kujiunga na Real Madrid akitokea PSG.Kwa mujibu wa ripoti, Mbappe atakuwa akilipwa mshahara wa . . .
KIKOSI Cha Tanzania Kilichoitwa vs Zambia Kufuzu Kombe la DuniaNi kesho ligi inatamatika huku ni Yanga vs Tz prison kule ni Simba vs Jkt tanzania usikose kuzitazama mechi . . .
WAGOSI wa Kaya, Coastal Union wamejihakikisha nafasi ya kushiriki michuano ya kimataifa msimu ujao baada ya leo kukata tiketi ya CAF kwa kutoka suluhu na JKT Tanzania kwe . . .
Klabu ya Arsenal inahusishwa na mpango wa kumsajili Mshambuliaji kutoka nchini Uholanzi na Klabu ya Bologna ya Italia Joshua Orobosa Zirkzee.Siri ya mpango wa usajili wa . . .
Kocha wa Mabingwa wa Soka nchini England Manchester City Pep Guardiola ametajwa kuwa Kocha Bora wa Msimu wa 2023/24 kwenye Ligi Kuu ya England.Guardiola aliiongoza Manche . . .
Kocha wa Manchester United, Erik ten Hag amedai Manchester United ipo katika nafasi nzuri zaidi ya ilivyokuwa miezi 12 iliyopita, licha ya kuwa katika hatari ya kumaliza . . .
Mshambulaiji kutoka nchini Ufaransa Kylian Mbappe atalazimika kupunguza sehemu kubwa ya mshahara wake ili kufanikisha safari ya kutua kwa Mabingwa wa Soka nchini Hispania . . .
Kiungo Mkabaji kutoka DR Congo na Klabu ya Simba, Fabrice Ngoma amewapa masharti uongozi wa klabu hiyo, kama wanataka aendelee kusalia kikosini hapo, wasajili wachezaji w . . .
Nyota wa Chelsea, Thiago Silva mwenye umri wa miaka 39 atajiunga tena na klabu ya Fluminese ya kwao Brazil.Chelsea itamruhusu kujiunga na klabu hiyo ya Brazil mapema sana . . .
Mchezaji kutoka DR Congo Makuntima Kisombe Guylain ameiwekea kigingi klabu ya Tabora United kufanya usajili, baada ya kushinda kesi ya madai dhidi ya klabu hiyo ya mkoani . . .
Unaweza kusema ndani ya Simba eneo la beki wa kati mwenye namba yake yupo njiani kutua kikosini hapo baada ya klabu hiyo kufikia dau linalotakiwa na Coastal Union kwa aji . . .
Kiungo mshambuliaji wa Yanga SC, Stephane Aziz Ki ameteuliwa kuwa Mchezaji Bora wa mwezi Aprili 2024, kwenye NBC Premier League huku kocha wa timu hiyo Miguel Gamond akit . . .
Shabiki wa Simba Simon Mkondya ambaye ni Mfanyabiashara na Mfugaji kutoka Jijini Dodoma ( 104.4), amemtaka Wachezaji wa Simba Clatous Chama na Kibu Dennis kwenda kuchukua . . .
Tetesi zinazoendelea kwa sasa katika Klabu ya Simba SC juu ya Mwenyekiti wao upande wa wanachama;SIMBA MPYA: Katika kikao kilichofanyika Juzi Jumamosi, Mwenyekiti wa klab . . .
Bondia Karim Mandonga amepoteza pambano dhidi ya Mada Maugo kwa kupigwa katika Raundi ya 6 kwa TKO kwenye pambano lililofanyika Mkoani MorogoroNgumi iliyopigwa kwenye kid . . .
Kocha Mkuu wa Liverpool Jurgen Klopp ameionya Manchester United akisema watachezea kichapo kutoka kwa Arsenal mwezi ujao ikiwa watacheza kama walivyocheza dhidi ya kikosi . . .
Mabingwa wa Soka nchini Ufaransa Paris St-Germain wamepaga kulipa Pauni 111.5 milioni kumnunua Mshambuliaji wa SSC Napoli, Victor Osimhen katika dirisha lijalo la majira . . .
Shirikisho la Soka nchini Cameroon ‘FECAFOOT’ limekanusha na kushangazwa na Wizara ya Michezo ya nchi hiyo kumteua Marc Brys kuwa Kocha Mkuu mpya wa timu ya taifa, . . .
Jangili wa Manchester City, Erling Haaland , amesema kwamba timu yake bado inaweza kushinda taji la Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) licha ya sare ya bila kufungana . . .
Mkufunzi wa Manchester United Erik ten Hag anasema hajali kuhusu uvumi unaohusu kibarua chake.Kundi la Sir Jim Ratcliffe la Ineos linaripotiwa kufikiria kufanya marekebis . . .
Nahodha na Mshambuliaji Lionel Messi atakosa mechi zijazo za Kimataifa ya Kirafiki za Argentina dhidi ya El Salvador na Costa Rica kwa sababu ya jeraha la msuli wa paja l . . .
Kikosi cha Ihefu FC, kitaweka kambi jijini Arusha kwa ajili ya kuweka kambi kujiandaa na michezo inayokuja ya Ligi Kuu na Kombe la Shirikisho Tanzania Bara ‘ASFC’.Tim . . .
Kwa mujibu wa taarifa zinasema kuwa Klabu ya Al Hilal ya Sudan imepeleka ofa ya Dola 200,000 [TZS 509 Million] kwenye klabu ya Azam FC ili kuinasa saini ya mshambuliaji w . . .
Uongozi wa Singida Fountain Gate umefikia uamuzi wa Kuvunja benchi lote la ufundi Kocha na wasaidizi wake lililokuwa likiongozwa na Kocha Thabo Senong kufuatia matokeo ma . . .
Bondia Anthony Joshua ametamba kumpiga mpinzani wake Francis Ngannou kwa ‘KO’ kwenye pambano la uzito wa juu litakalofanyika Saudi Arabia, mwishoni mwa juma lijalo.Jo . . .
Klabu ya Azam FC imethibitisha kupokea barua kutoka kwa mshambuliaji wao wa Kimataifa wa Zimbabwe, Prince Dube akiomba kuvunja mkataba na Klabu hiyo.Ikumbukwe kuwa mkatab . . .