logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Michezo

  • Pata Habari za Michezo Kwa Undani
news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

WENGER AIPONGEZA SERENGETI BOYS KWA KUFUZU KOMBE LA DUNIA

Arsène Wenger amesema mafanikio ya timu ya taifa ya vijana chini ya miaka 17, Serengeti Boys, yanaonyesha kuwa Tanzania ina kizazi kipya cha wanasoka wenye uwezo wa kush . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Uchovu Watishia Ndoto za Arsenal Kwenye Fainali Dhidi ya PSG Leo

Arsenal wanatarajiwa kuingia katika mchezo wa fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Paris Saint-Germain (PSG) leo Mei 30, 2026 wakiwa na changamoto kubwa ya uchovu w . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Raheem Sterling akamatwa Kwa tuhuma za Dawa za Kulevya

Mchezaji wa zamani wa timu ya Timu ya Uingereza Raheem Sterling amekamatwa na polisi kufuatia ajali aliyopata akiwa anaendesha gari lake la kifahari aina ya Lamborghini k . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • 7 siku zilizopita

FIFA yatangaza rasmi Uwanja wa ufunguzi wa kombe la Dunia 2026

Kombe la Dunia 2026 litaanza rasmi Juni 11, 2026 ambapo wenyeji Mexico watafungua pazia dhidi ya South Africa katika mchezo wa ufunguzi utakaopigwa kwenye Mexico City jij . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • 7 siku zilizopita

Waziri Makonda amteua Haji Manara kuwa msemaji wa timu za Taifa

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Paul Makonda amemteua Haji Manara kuwa msemaji wa timu zote za Taifa za Tanzania zinazoshiriki mpira wa miguu.Makonda ametan . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • 7 siku zilizopita

Mustakabali wa Oliver Glasner bado kitendawili

Kocha anayeondoka wa Crystal Palace Oliver Glasner amesema hana mpango wowote wa haraka kuhusu mustakabali wake wa kazi baada ya kuiongoza timu hiyo katika mechi yake ya . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • May 27, 2026

Aliyekuwa mchezaji wa Southampton Afariki Dunia

Klabu ya Southampton F.C. pamoja na Royal Antwerp F.C. zimethibitisha kifo cha aliyekuwa mchezaji wao wa akademi, Victor Udoh aliyefariki akiwa na umri wa miaka 21.Udoh a . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • May 26, 2026

Mexico Yakubali Kuwa Mwenyeji wa Timu ya Iran Kombe la Dunia 2026 Kufuatia Mvutano na Marekani

Rais wa Mexico Claudia Sheinbaum ametangaza kuwa nchi hiyo itaihifadhi timu ya taifa ya Iran wakati wa mashindano ya 2026 FIFA World Cup baada ya Marekani kuonyesha kutot . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • May 22, 2026

Manuel Neuer arejeshwa timu ya Taifa ya Ujerumani

Kipa mkongwe wa Timu ya Taifa ya Ujerumani, Manuel Neuer amerejeshwa kutoka kustaafu na kujumuishwa kwenye kikosi kitakachoshiriki Kombe la Dunia.Neuer mwenye umri wa mia . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • May 20, 2026

Ghana, Cote d'Ivoire kukutana mechi za kufuzu AFCON 2027

Ghana wamepangwa katika kundi moja na Cote d'Ivoire wakati draw ya mechi za kufuzu Kombe la Mataifa ya Afrika - AFCON 2027 ilipofanywa jana mjini Cairo.Gambia na Somalia . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • May 15, 2026

Yanga yaanza rasmi ujenzi wa uwanja wake wa kihistoria

Uongozi wa klabu ya Young Africans Sports Club (Yanga SC) imetangaza rasmi kuingia katika hatua mpya ya kihistoria ya ujenzi wa uwanja wake binafsi, ndoto ambayo imekuwa . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • May 14, 2026

Man City waendelea kuwakaba Arsenal baada ya kuichapa Crystal Palace 3-0

Manchester City wameendelea kuweka presha kwenye mbio za ubingwa wa Ligi Kuu England baada ya kuichapa Crystal Palace mabao 3-0 katika mchezo uliopigwa katika dimba la Et . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • May 13, 2026

Al Hilal Omdurman waandika kubeba ubingwa Rwanda wakiwa uhamishoni

Klabu ya soka ya Al Hilal Omdurman imeandika historia mpya katika soka la Afrika baada ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Rwanda msimu huu, licha ya kucheza uhamishoni kuto . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • May 13, 2026

Okello mchezaji bora wa Mwezi April ligi kuu Tanzania bara

Kiungo mshambuliaji wa klabu ya Yanga Allan Okello amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa mwezi Aprili wa Ligi Kuu ya soka ya NBC msimu wa mwaka 2025/26 baada ya kutoa mchang . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • May 12, 2026

OUSMANE DEMBÉLÉ ATWAA TUZO YA UNFP KWA MARA YA PILI MFULULIZO

Nyota wa Paris Saint-Germain, Ousmane Dembélé, ametawazwa kuwa Mchezaji Bora wa Mwaka wa Ligue 1 (UNFP Player of the Year) kwa msimu wa pili mfululizo (2024/25 na 2025/ . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • May 12, 2026

KOCHA WA ESPÉRANCE SPORTIVE DE TUNIS ATIMULIWA

Klabu ya Espérance Sportive de Tunis imetangaza kuachana na kocha Patrice Beaumelle, kwa uamuzi uliotekelezwa mara moja. Hatua hii imekuja baada ya mfululizo wa matokeo . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • May 12, 2026

YANGA SC YAPIGWA FAINI YA SHILINGI MILIONI 30

Mchezo wa Dabi ya Kariakoo katika Ligi Kuu Bara uliomalizika kwa sare ya 2-2, umeiletea Yanga maumivu makali ikipgwa faini ya Sh30 milioni huku maafisa wake wawili wakiku . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • May 11, 2026

Kocha wa kike Eta aandika historia zaidi Union Berlin

Marie-Louise Eta amekuwa kocha wa kwanza wa kike kushinda mechi katika mojawapo ya ligi tano kuu za kandanda Ulaya.Hii ni baada ya timu yake ya Union Berlin kuilaza Mainz . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • May 8, 2026

Mashabiki watatu waliokuwa wanazuiliwa Morocco tangu fainali ya AFCON warejea nyumbani

Nchini Senegal, mashabiki watatu katika kundi la kwanza waliokamatwa nchini Morocco kufuatia vurugu wakati wa mchezo wa fainali ya AFCON huko Rabat walitua uwanja wa ndeg . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • May 8, 2026

Ali Kamwe Afunguka Sababu ya Yanga Kumfuta Kazi Kocha Pedro Goncalves

Afisa Habari wa Yanga Ali Kamwe amesema sababu kubwa ya uongozi wa klabu hiyo kuachana na Kocha Pedro Goncalves ni mwenendo usioridhisha wa timu licha ya kuendelea kushin . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • May 7, 2026

Villa vs Forest, Freiburg vs Braga leo Nani Atatinga Fainali Europa

Nusu Fainali kule Ureno hivyo leo hii ni kisasi kwa mwenyeji pia. Jisajili hapa.Mechi hii wageni wanaingia uwanjani wakiwa na faida ya bao 1, baada ya kushinda mechi ya k . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • May 7, 2026

PSG kukipiga na Arsenal fainali ya ligi ya mabingwa Ulaya

Ni baada ya kutoka sare ya 1-1 katika mchezo wa marudiano wa nusu fainali dhidi ya Bayern Munich usiku wa kuamkia leo.Sasa watakutana na Arsenal Mei 30 katika mchezo wa f . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • May 6, 2026

Usiku wa Maamuzi, Nani kwenda Fainali UCL Leo Bayern Munich vs Paris Saint-Germain

Mchezo wa mkondo wa pili wa nusu fainali ya UEFA Champions League kati ya Bayern Munich na Paris Saint-Germain unaingia ukiwa na presha ya kipekee, hasa kutokana na matok . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • May 5, 2026

Carrick aibuka shujaa mpya Old Trafford, Cunha aunga mkono ajira ya kudumu

Kiungo mshambuliaji Matheus Cunha ameendelea kumiminia sifa kocha wa muda wa Manchester United Michael Carrick akisema anastahili kupewa kibarua cha kudumu kutokana na ma . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • May 3, 2026

AFCON 2027 kuanza Juni 19 hadi Julai 17 mwakani

Shirikisho la Soka barani Afrika, CAF limetoa tangazo rasmi kwamba Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika ya AFCON 2027 yatafanyika kuanzia tarehe 19 mwezi Juni hadi tare . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • May 1, 2026

Iraola Aibuka Mpinzani Mkubwa wa Carrick Mbio za Kuinoa Man United

Kocha wa AFC Bournemouth, Andoni Iraola, ameibuka kama mpinzani mkubwa wa Michael Carrick katika mbio za kuinoa Manchester United, kwa mujibu wa ripoti ya The Telegraph.I . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • April 29, 2026

Ligi ya Mabingwa: PSG Yashinda Dhidi ya Bayern Munich 5-4

Mabingwa watetezi wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, Paris Saint-Germain (PSG), wameanza utetezi wao wa kombe lao kwa ushindi wa mabao 5-4 dhidi ya Bayern Munich katika mchezo wa . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • April 27, 2026

Vita ya Ubingwa: Simba na Yanga Kukutana Mara Mbili Mfululizo Aprili 29 na Mei 3

Simba imetinga hatua ya fainali Muungano Cup 2026 kwa ushindi wa magoli 3-0 Mlandege FC Aprili 29 katika dimba la New Amaan Complex, Zanzibar.Simba wameonyesha ubora . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • April 25, 2026

Real Madrid wakwama tena kuchukua ubingwa wa La Liga

Mambo yamezidi kuwa magumu kwa Real Madrid katika mbio za kuwania ubingwa wa La Liga, baada ya kupoteza alama muhimu kufuatia sare ya 1-1 dhidi ya Real Betis ugenini, kat . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • April 24, 2026

Bingwa mtetezi Stuttgart atinga fainali Kombe la Ujerumani

Mabingwa watetezi VfB Stuttgart, wamefika fainali ya Kombe la Shirikisho la Ujerumani – DFB Pokal kwa mara nyingine tena kutokana na ushindi wa 2-1 baada ya muda wa zia . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • April 23, 2026

Kane afunga tena wakati Bayern ikitinga fainali ya DFB Pokal

Bayern Munich imepiga hatua kuelekea kushinda mataji matatu, kwa kutinga fainali ya Kombe la Shirikisho la Ujerumani – DFB Pokal kwa mara ya kwanza tangu 2020 Bayern wa . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • April 22, 2026

Yanga yatinga nusu Finali ya Kombe la Muungano 2026

Hapo Aprili 21, 2026 Klabu ya Yanga Sc ilifanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya Kombe la Muungano kwa mwaka  2026/2027 baada ya kuibuka na ushindi mnono wa mabao . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • April 22, 2026

Ronaldo na Mwanae kuandika historia ya kucheza pamoja Al Nassr

Nyota wa soka duniani Cristiano Ronaldo (40) anaweza kuandika historia nyingine kubwa ya michezo iwapo atafanikiwa kucheza pamoja na mwanawe Cristiano Ronaldo Jr katika t . . .

Kurasa 1 ya 30

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Ruto ageukia KDF kukamilisha miradi mikubwa kabla ya uchaguzi wa 2027

    • 21 masaa yaliopita
  • DIPLOMASIA YA KIMKAKATI KATIKA JUKWAA LA KIMATAIFA

    • 21 masaa yaliopita
  • EWURA Yatangaza Bei Mpya za Mafuta, Petroli Yashuka Dar, Serikali Yaweka Ruzuku Kwenye Dizeli

    • 21 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode