Ni suala la muda tu kwa mshambuliaji wa Marumo Gallants ya nchini Afrika Kusini, Ranga Chivaviro kutua Young Africans ni baada ya kusaini mkataba wa awali wa miaka miwili . . .
Baada ya kutunukiwa Tuzo ya Kitaifa ya Mwanachama wa Agizo la Jamhuri ya Shirikisho na Rais wa zamani, Meja Jenerali Muhammadu Buhari (mstaafu.), mshambuliaji wa Sup . . .
Baada ya kikao kizito hatimaye Mshambuliaji wa Yanga Sc, Fiston Mayele ameamua kuondoka klabuni humo mwishoni mwa msimu huu baada ya kudumu kwa muda wa miaka miwiliMayele . . .
Klabu ya Arsenal imefikia makubaliano binafsi na kiungo wa Brighton, Moises Caicedo lakini itapata upinzani kutoka kwa Chelsea.Taarifa zinaeleza kuwa Caicedo anatamani ku . . .
Meneja wa Real Madrid, Carlo Ancelotti amewaambia mabosi wa timu hiyo kuhakikisha wananasa saini ya Mshambuliaji kutoka England na Tottenham Hotspur Harry Kane kwenye dir . . .
Straika huyo raia wa Sweden ambaye ni Zlatan Ibrahimovic ametangaza kustaafu akiwa na umri wa Miaka 41 baada ya kucheza Soka kwa Miaka 24Amestaafu akiwa anaichezea ACMila . . .
Mshambuliaji na mfumaniaji nyavu wa Young Africans SC Fiston Kalala Mayele amezawadiwa tuzo ya mfungaji Bora wa michuano ya Shirikisho Barani Afrika katika msimu wa 2022/ . . .
MAGWIJI wa Simba SC wamesema kama Feisal Salum ‘Fei Toto’ atamaliza kesi yake na Young Africans ni mtu sahihi pale Msimbazi msimu ujao; kwani ana nafasi ya kumtoa mtu . . .
UEFA ilisema Ijumaa kwamba mwamuzi wa Poland Szymon Marciniak ataruhusiwa kuchezesha fainali ya Ligi ya Mabingwa kwa wanaume kati ya Manchester City na Inter Milan licha . . .
Mashabiki wa soka wa Uchina watahitaji kutoa hadi $680 ili kumuona Lionel Messi akiongoza Argentina dhidi ya Australia katika mechi ya kirafiki ya Beijing, waandaaji wali . . .
FIFA mnamo Ijumaa ilitangaza kutolewa kwa takriban tikiti 250,000 zaidi za Kombe la Dunia la Wanawake, huku kukiwa na wasiwasi juu ya mauzo ya mechi nchini New Zealand.Ku . . .
Miaka 12 iliyopita, Manchester City ilianzisha mabadiliko ya tetemeko katika soka la Uingereza kwa kuwafunga Manchester United waliokuwa wakiwinda mara tatu katika uwanja . . .
“Nilimpigia simu Ghalibu [GSM] akawa hapokei, nikituma sms hajibu, nikawa nahisi pengine ana kazi zake akipata muda atanitafuta. Badae nikajua simu zangu anaziona . . .
Meneja wa Klabu Bingwa nchini Hispania FC Barcelona, Xavi Hernandez amesema alimwambia rais wa klabu hiyo Joan Laporta kwamba angependa kuwa na Lionel Messi msimu ujao na . . .
Klabu ya Chelsea imemteua Mauricio Pochettino kuwa meneja wao mpya huku mzawa huyo wa Argentina akikabidhiwa kibarua kigumu cha kufufua Blues iliyokumbwa na masaibu tele. . . .
Kylian Mbappe amewahakikishia mashabiki kuwa atasalia kwenye Klabu hiyo atakipiga hapo mpaka mwakani na kuhitimisha tetesi zinazomuhusu kuondoka.Mbappe, 24, ambaye ametwa . . .
Mabingwa wa Soka nchini England Manchester City wamekubali kushusha ada ya usajili ya kiungo wao Joao Cancelo na sasa ikiwa kuna timu inataka kumsajili katika dirisha lij . . .
Rais wa Yanga Injinia Hersi Said amesema klabu imeanza mchakato wa ujenzi wa uwanja eneo la Jangwani yalipo Makao Makuu ya klabu ya Yanga Injinia Hersi alisema tarat . . .
Mshambuliaji mahiri, Buyako Saka ametia saini mkataba mpya wa kusalia Arsenal hadi mwaka wa 2027. Akizungumzia mkataba huo mpya Saka alisema klabu hiyo ndiyo sehemu . . .
Viwanja vinane nchini Tanzania vitafanyiwa ukarabati mkubwa baada ya kuorodheshwa kama vitatumika kwa ajili ya mazoezi katika Fainali za Mataifa ya Afrika AFCON 2027 kati . . .
Vinicius Mdogo anasema “ubaguzi wa rangi ni jambo la kawaida katika La Liga” na kwamba “michuano ambayo hapo awali ilikuwa ya Ronaldinho, Ronaldo, Cristiano na Mess . . .
Meneja wa Mabingwa wa Soka nchini Hispania FC Barcelona, Xavi Hernandez amekataa kuiponda Real Madrid baada ya kuondoshwa katika hatua ya nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa . . .
Wakala wa Mshambuliaji kutoka England na Klabu ya Tottenham Hotspur Harry Kane amekutana na mabosi wa Paris Saint-Germain kujadili uwezekano mchezaji wake kuenda jijini P . . .
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan, ameibeba tena klabu ya Yanga, akisema kuwa katika mechi za fainali ya Kombe la Shirikisho itakayopigwa M . . .
Uongozi Mbeya City umeachana na viongozi watatu wa benchi la ufundi huku sababu zikiendelea kufanya kuwa siri klabuni hapo.Mbeya City inayohaha kusaka matokeo mazur . . .
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imesema itaendelea kusisitiza uwepo wa ligi za mpira wa miguu zenye ubora katika maeneo ya mijini na vijijini, lengo likiwa kukuz . . .
Kusini9 mins agoKocha Mkuu wa Mabingwa wa Soka Tanzania Bara Young Africans Nasreddine Nabi, amesema anatarajia upinzani mkali kutoka kwa Marumo Gallants katika mchezo wa . . .
Baada ya mchezo kumalizika Jembe Fm ikiwa kibanda umiza ikateta na mashabiki wa soka, kwenye mic Jacob Mlay wa Sports Ripoti ya Jembe Fm Mwanza.MAGOLI.Ni Aziz Ki, kiungo . . .
Uongozi wa FC Barcelona unahitaji Pauni Milioni 70 milioni ili kumuachia mshambuliaji wao wa kimataifa wa Brazil, Raphinha wakati wa usajili wa Majira ya Kiangazi.Klabu z . . .
Club ya Manchester city ni kama wamekubali wayamalize na nyota wa zamani wa club hiyo Yaya Toure raia wa Ivory coast kufuatia laana inayosemekana kutoka kwake kupitia kwa . . .
Wapinzani wa Young Africans katika Michuano ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika Marumo Gallants wanatarajiwa kuwasili jijini Dar es salaam leo Jumatatu (Mei 08) tayari k . . .
Serikali ya Saudi Arabia imeandaa ofa kubwa zaidi katika historia ya soka la nchi hiyo ili kumnasa Nahodha na Mshambuliaji wa Mabingwa wa Dunia, Timu ya Taifa ya Argentin . . .
Uongozi wa Azam FC umetangaza donge nono kwa Wachezaji wanaounda kikosi cha klabu hiyo, endapo watafanikiwa kuifunga Simba SC na kutonga Fainali ya Kombe la Shirikisho Ta . . .