logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Michezo

  • Pata Habari za Michezo Kwa Undani
news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • jana

TFF yahairisha hafla ya tuzo za msimu 2024/2025

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kuahirishwa kwa hafla ya utoaji wa tuzo za msimu wa 2024/2025, ambayo awali ilipangwa kufanyika tarehe 5 Desemba&n . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Vikosi Vikubwa Barani Ulaya Vitakutana London Leo Usiku

Vikosi viwili vyenye kiwango bora zaidi barani Ulaya vitachuana usiku wa kesho jumatano tarehe 26 kwenye Ligi ya Mabingwa Ndani ya uwanja wa Emirates, London.The Gunners, . . .

news
NGUMI
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Bondia wa Kitanzania Lupakisyo Shoti atwaa ubingwa IBO International

Bondia wa Kitanzania, Lupakisyo Mohamedi Shoti, ameandika historia mpya katika ngumi za kulipwa baada ya kumshinda Mromania Daniel “Magic Dan” Buciuc na kutwaa mkanda . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 20, 2025

Pasi Milioni" Kwa ubora huu wa Simba kuiangalia bure ni dhambi"

Shabiki wa klabu ya Simba maarufu kwa jina la Pasi Milioni leo katika hamasa za klabu ya Simba amefunguka juu ya suala la mashabiki wa simba kumgomea Ahmed Ally kuingiza . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 20, 2025

Washindi wa Tuzo za CAF 2025 Zilizofanyika Morocco

Sherehe za utoaji wa Tuzo za Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF Awards 2025) zimefanyika kwa kishindo na kushuhudia wachezaji, makocha, marefa na timu mbalimbali zikit . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 20, 2025

Arsenal kumaliza mkataba wake wa udhamini na Rwanda msimu ujao

Klabu ya soka ya Uingereza, Arsenal imetangaza kuwa itamaliza mkataba wake wa udhamini wa miaka nane na Visit Rwanda mwishoni mwa msimu wa 2025-26, ushirikiano uliokuwa k . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • November 20, 2025

Dkt. Samia na Rais wa Uganda Yoweri Museveni wametunukiwa tuzo za heshima na Shirikisho la Soka Afrika (CAF)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Uganda Yoweri Museveni wametunukiwa tuzo za heshima na Shi . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • November 20, 2025

CAF Awards 2025 Clement Mzize aibuka na Tuzo Maalum ya Bao Bora la Mwaka

Wakati sherehe za utoaji wa Tuzo za  shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF Awards 2025) zilizofanyika kwa kishindo na kushuhudia wachezaji, makocha, marefa na timu m . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 19, 2025

Ahmed Ally acheza kigoma Buguruni

Meneja wa habari na mawasiliano wa klabu ya Simba leo kwenye uzinduzi wa kispika (hamasa za Simba) kuelekea mchezo wao wa klabu Bingwa Afrika dhidi ya Petro Atletico Ahme . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 19, 2025

Mbappé Awadai PSG Bilioni 700 Kwa ‘Kumtenga

Nahodha wa Ufaransa Kylian Mbappé anadai fidia ya Euro Milioni 263 (takriban TSh 743 Bilioni) kutoka kwa Paris Saint-Germain katika mzozo unaohusu mkataba wake.Awali PSG . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 18, 2025

Klabu ya ALAHLI Tripoli ya Libya Imetuma ofa ya Tsh 4.8 Bilion Kumsajili Fei Toto

Klabu ya ALAHLI Tripoli,ya Libya imetuma ofa ya $2,000,000 (tsh 4.8 bilion) ili kumsajili Fei Toto kutoka Azam Fc.Klabu hiyo ya Libya imetuma ofa hiyo baada ya ile ya kwa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 18, 2025

Simba Yathibitisha Moussa Camara Kuendelea Kukosekana kwa Wiki 10

Klabu ya Simba Sc imethibitisha kuwa golikipa Moussa Pinpin Camara ambaye kwa sasa yupo Nchini Morocco kwa matibabu ataendelea kuwa nje ya uwanja kwa muda wa Wiki 10 huku . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 17, 2025

Liverpool inamfukuzia Semenyo Bournemouth

Mohamed Salah anatarajiwa kuichezea timu ya taifa Misri katika Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika mwezi Desemba na Januari, huku Liverpool ikiendelea kuhusishwa na mpa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 17, 2025

Leopards ya Congo yazima matumaini ya Nigeria kufuzu kombe la dunia

Timu ya taifa ya DRC hapo jana iliweka hai matumaini yake ya kufuzu kucheza fainali za kombe la Dunia hapo mwakani baada ya kuwafunga Nigeria kwa magoli 4 kwa 3 kwa njia . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • November 6, 2025

JKT Queens kushiriki Michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika

Timu ya JKT Queens pamoja na Viongozi na Benchi la Ufundi wameondoka Novemba 5 mwaka huu kwenda nchini Misri kushiriki Michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa upande wa w . . .

news
Top Story
  • Na Jembe Digital
  • October 27, 2025

Mtanzania aweka rekodi mashindano ya AA Junior and Senior Open Water Swimming Championship

LOLITA Borega aweka rekodi nyingine tena nchini Tanzania baada ya kung’ara katika mashindano ya AA Junior and Senior Open Water Swimming Championship yaliyofanyika Nyal . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • October 27, 2025

Klabu ya Juventus yamfuta kazi kocha Mkuu Igor Tudor

Klabu ya Juventus imemfuta kazi kocha wao Mkuu Igor Tudor baada ya kupoteza wa Serie A dhidi ya Lazio kwa goli 1-0. Igor alijiunga na Klabu hiyo mwezi Machi 2025 akichuk . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 22, 2025

Mshambuliaji na kiungo wa zamani wa Tanzania Alphonse?Modest amefariki dunia

Mshambuliaji na kiungo wa zamani wa Tanzania Alphonse Modest amefariki dunia.Modest alicheza kwa timu za kikanda ikiwa ni pamoja na Simba SC na Young African . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 22, 2025

Liverpool wanafikiria kumsajili Semenyo

Liverpool inafikiria kumsajili mshambuliaji wa Bournemouth na timu ya taifa ya Ghana Antoine Semenyo, 25, msimu wa uhamisho wa wachezaji Januari mwakani. (i Paper - usaji . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • October 21, 2025

Simba yatoa viingilio Kuelekea mchezo wa Jumapili dhidi ya Nsingizini Hotspurs

Kikosi kilirejea jana Dar es Salaam, leo vijana wamepumzika na kesho watarudi Mo Simba Arena kuanza maandalizi ya mchezo wa Jumapili. Tunayo furaha ya kocha wetu Seleman . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 21, 2025

Jurgen Klopp atoa sababu za kukataa kuifundisha Manchester United

Aliyekuwa kocha wa zamani wa Liverpool, Jurgen Klopp, amefichua sababu zilizomfanya kukataa ofa ya kujiunga na Manchester United kabla ya kuchukua mikoba ya Liverpool mwa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 20, 2025

Mchezaji Atekwa na Kuuawa Senegal Baada ya Familia Kushindwa Kulipa Ransom

Kipa kinda wa soka wa Senegal Cheikh Toure (18) ametekwa na kuuwawa na watu wasiojulikana baada ya kumtengenezea mtego kuwa anaenda kufanya majaribio ya soka la kulipwa.C . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 15, 2025

Inter Milan yavutiwa na beki wa Palace Marc Guehi

Klabu ya Italia Inter Milan imeingia kwenye kinyang'anyiro cha kumsajili beki wa kati wa Crystal Palace Marc Guehi lakini Liverpool bado wanapewa nafasi kubwa ya kuinasa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 15, 2025

Timu Zilizofuzu Kombe la Dunia 2026 Hadi Sasa, Senegal na Ivory Coast Ndani!

Sadio Mané ameendelea kuthibitisha ubora wake baada ya kuibuka shujaa kwa Senegal, akifunga magoli mawili muhimu katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Mauritania, uliowape . . .

news
NGUMI
  • Na Jembe Digital
  • October 13, 2025

Knock Out ya Mama yaendelea kuitangaza ngumi ya Tanzania

Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Ndg. Gerson Msigwa amesema Michezo ni ajira uchumi na inatangaza Tanzania na sas . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 10, 2025

TFF Yaruhusu Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi Kutumika Kwa Michezo ya Ligi

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeruhusu uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, uliopo mkoani Tabora, kutumika kwa michezo ya Ligi baada ya kufanyiwa marekebisho yali . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • October 9, 2025

TFF yatoa mwongozo wa Kupima Jinsia Kuanza Rasmi Msimu wa 2026/27

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetoa taarifa rasmi likibainisha kuwa mwongozo wa kupima na kuthibitisha jinsia za wachezaji wa kike utaanza kutumika rasmi kuanzia ms . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • October 9, 2025

Ronaldo Avunja Rekodi kuwa mchezaji bilionea duniani

Mshambuliaji nyota wa Ureno na klabu ya Al-Nassr, Cristiano Ronaldo, ametajwa kuwa mchezaji wa kwanza wa soka kufikia hadhi ya bilionea, kwa mujibu wa ripoti mpya ya chom . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 8, 2025

FIFA Yamteua Rais wa Yanga, Eng. Hersi Said, Kuwa Mjumbe wa Kamati ya Mashindano ya Vilabu Duniani

Rais wa Klabu ya Yanga SC, Eng. Hersi Said, ameteuliwa na Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) kuwa Mjumbe wa Kamati ya Mashindano ya Vilabu vya Wanaume Duniani kwa kipindi . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 8, 2025

FIFA Yamteua Wallace Karia Kuwa Makamu wa Rais wa Kamati ya Soka la Ufukweni Duniani

Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limemteua Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia, kuwa Makamu wa Rais wa Kamati ya Soka la Ufukweni ya FIFA kwa kipind . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 7, 2025

TFF Yamsimamisha Mchezaji wa Yanga Princess Kupisha Uchunguzi wa Jinsia

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limesimamisha kwa muda mchezaji wa klabu ya Yanga Queens, Princess Jeanine Mukandiyisenga, raia wa Rwanda, kupisha uchunguzi wa kina kuh . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • October 6, 2025

Diarra achaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Mwezi Septemba Ligi Kuu NBC

Mlinda mlango wa klabu ya Yanga SC, Djigui Diarra, amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Mwezi Septemba wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara kwa msimu wa 2025/2026. Hii ni baada . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • October 6, 2025

Ahmad Ali amechaguliwa kuwa Kocha bora wa mwezi Septemba

Kocha mkuu wa klabu ya JKT Tanzania, Ahmad Ali amechaguliwa kuwa Kocha bora wa mwezi Septemba wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania bara msimu wa mwaka 2025/2026 akiwashinda Romain . . .

Kurasa 1 ya 25

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • “THE GUY WITH ENERGY” ALBAMU YENYE SAFARI YA MUZIKI WA DK BALAFU

    • 2 masaa yaliopita
  • Jeshi la Israeli lawauwa watu 10 kusini mwa Syria

    • 2 masaa yaliopita
  • Baba na Mama Waua Mtato Wao

    • 3 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode