logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Michezo

  • Pata Habari za Michezo Kwa Undani
news
SOKA
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Gamondi Atangaza Kikosi Cha Taifa Stars Kwa Ajili ya AFCON 2027

Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Miguel Ángel Gamondi, ametangaza kikosi cha awali kitakachoingia kambini hivi karibuni kwa ajili ya kujiandaa na mi . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Pitso Mosimane Apewa Tena Usukani wa Bafana Bafana

Shirikisho la Soka la Afrika Kusini (SAFA) limemtangaza Pitso Mosimane kuwa kocha mkuu mpya wa timu ya taifa ya Afrika Kusini, Bafana Bafana.Uteuzi huo unamrejesha Mosima . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Mbappe Kwenye Bio za Ballon d’Or

Kocha wa Real Madrid, Jose Mourinho, amesema mshambuliaji wa timu hiyo, Kylian Mbappe, ndiye anayestahili kushinda tuzo ya Ballon d’Or mwaka huu, akisisitiza kuwa tuzo . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • August 28, 2026

UEFA Yaandaa Kesi ya Jinai Dhidi ya Infantino

Shirikisho la Soka Ulaya (UEFA) linajiandaa kuanzisha mchakato wa kisheria nchini Uswisi dhidi ya Rais wa FIFA, Gianni Infantino, kwa tuhuma za usimamizi mbaya wa fedha, . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • August 26, 2026

Allen Robinson Astaafu NFL Baada ya Miaka 11, Aanza Maisha Mpya

Mchezaji wa zamani wa Ligi ya Soka ya Marekani (NFL), Allen Robinson, ametangaza kustaafu kucheza soka la Marekani akiwa na umri wa miaka 33, baada ya kutumia miaka 11 ka . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • August 24, 2026

Infantino awania muhula mwingine, licha ya upinzani

Rais wa FIFA, Gianni Infantino, anaendelea kusukuma ajenda yake ya kugombea tena urais, akijipambanua kama mtetezi wa mataifa dhaifu kwenye kandanda.Mkuu wa shirikisho la . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • August 19, 2026

Vieira Apata Kibarua Kipya, Apewa Jukumu la Kuinoa Senegal

Gwiji wa zamani wa Arsenal, Patrick Vieira, ametangazwa kuwa kocha mkuu mpya wa timu ya taifa ya Senegal, akichukua nafasi ya Pape Thiaw.Uteuzi huo umetangazwa rasmi na S . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • August 19, 2026

Musiala akabiliwa na tatizo la kupoteza fahamu

Kiungo wa kati wa Bayern Munich, Jamal Musiala, amegunduliwa kuwa na tatizo la mfumo wa kati wa neva baada ya kuanguka uwanjani kwa mara ya pili ndani ya siku nne.Mchezaj . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • August 17, 2026

Ronaldo Aweka Wazi Mpango wa Kustaafu Soka

Staa wa timu ya Al Nassr, Cristiano Ronaldo 41 amesema kuwa huenda msimu wa 2026/27 huenda ukawa wa mwisho kwake kama mchezaji wa kulipwa baada ya kucheza kwa zaidi ya mi . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • August 14, 2026

Ghana na Afrika zafufua matumaini ya Kombe la Dunia 2027

Timu hizo sasa zitaungana na mataifa ya Taiwan, Uzbekistan, Papua New Guinea na Venezuela au Ecuador katika mashindano ya mataifa sita mwezi Novemba na Disemba na kusaka . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • August 13, 2026

PSG yaitandika Aston Villa na kutwaa UEFA Super Cup

Paris Saint-Germain imeendelea kuthibitisha ubora wake barani Ulaya baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Aston Villa katika fainali ya Kombe la UEFA Super Cu . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • August 11, 2026

Simba Yakutana na Kaa la Moto

Pazia la NBC Premier League msimu wa 2026/27 linatarajiwa kufunguliwa rasmi Agosti 14, huku timu mbalimbali zikianza kampeni ya kusaka pointi tatu katika ratiba yenye mic . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • August 10, 2026

Baba Mzazi wa Lionel Messi Jorge Azikwa Nchini Argentina

Baba mzazi wa  nyota wa kimataifa wa Argentina Lionel Messi, Jorge Messi amezikwa katika makaburi binafsi ya El Prado, karibu na mji wa Rosario katika mazishi yalioh . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • August 10, 2026

Mourinho Afichua Kilichomfanya Agome Kuchukua Nafasi ya Sir Alex

JOSE Mourinho amefichua kuwa aliwahi kusaini makubaliano ya kuchukua nafasi ya ukocha wa Manchester United kutoka kwa Sir Alex Ferguson mwaka 2013, lakini akabadilisha ua . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • August 10, 2026

Malawi na Cameroon zatinga nusu fainali WAFCON

Malawi na Cameroon zimefanikiwa kuingia nusu fainali ya Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake, WAFCON, na kufuzu kushiriki Kombe la Dunia.Cameroon ilitinga . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • August 5, 2026

Salah Kutua Uturuki leo

Klabu ya Trabzonspor ya Uturuki imethibitisha kuwa ipo kwenye mazungumzo ya kumsajili nyota wa Misri, Mohamed Salah, huku ikitangaza kuwa mchezaji huyo anatarajiwa kuwasi . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • August 5, 2026

Infantino Aitisha Mkutano wa Dharura wa FIFA Morocco leo

Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA), Gianni Infantino, anatarajiwa kuongoza mkutano wa dharura na viongozi waandamizi wa shirikisho hilo leo Jumatano mjini Rabat, M . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • August 5, 2026

Azam FC Yazindua Jezi Mpya Msimu 2026/27 Tayari kwa Vita Ligi Kuu

Klabu ya Azam FC leo Agosti 5, 2026, imezindua rasmi jezi zitakazotumika katika msimu wa mashindano wa 2026/27, ikiwa ni sehemu ya maandalizi kuelekea msimu mpya wa mash . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • August 3, 2026

Hersi "Wanachama wa Yanga Kuvunja Makundi Baada ya Uchaguzi, Watano Wachaguliwa"

Wanachama wa Yanga wamewachagua wajumbe watano wapya wa Kamati ya Utendaji katika Mkutano Mkuu wa klabu hiyo uliofanyika katika Ukumbi wa SuperDome, Masaki jiji . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • August 3, 2026

Waziri Mkuu wa Uingereza asema Infantino hafai kuongoza FIFA

Waziri Mkuu wa Uingereza Andy Burnham amesema Rais wa FIFA Gianni Infantino sio mtu sahihi kuliongoza shirikisho hilo la kandanda kufuatia mpango uliofutwa wa kuuza hisa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 31, 2026

Mchezo wa Ngao ya Jamii 2026 Kupigwa Uwanja wa Amaan Zanzibar

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kuwa mchezo wa Ngao ya Jamii kwa msimu wa 2026/27 utachezwa katika Uwanja wa Amaan, Zanzibar.Mchezo huo wa ufunguz . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 30, 2026

Infantino Atingisha Soka la Dunia

Mvutano mkubwa umeibuka ndani ya Shirikisho la Soka Duniani baada ya taarifa kudai kuwa Rais wa FIFA, Gianni Infantino, anapanga kuuza sehemu ya umiliki wa biashara ya Ko . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 29, 2026

Liverpool Wafikia Makubaliano ya Awali na Bradley Barcola

Liverpool wanadaiwa kufikia makubaliano ya awali (agreement in principle) na winga wa Bradley Barcola kuhusu uhamisho wa majira haya ya kiangazi.Kwa mujibu wa gazeti la L . . .

news
NETBALL
  • Na Asha Business
  • July 28, 2026

LeBron James Atikisa NBA, Philadelphia 76ers Wathibitisha Kusajili

Philadelphia 76ers wamethibitisha kumsajili nyota wa NBA, LeBron James, ambaye amesema huu utakuwa mkataba wake wa mwisho katika ligi hiyo.James mwenye umri wa miaka 41 a . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 23, 2026

Inter Miami Yamtambulisha Casemiro, Lakini Yakumbwa na Uchunguzi

Klabu ya Inter Miami imetangaza rasmi kumsajili kiungo mkongwe wa Brazil, Casemiro, kama mchezaji huru baada ya kuondoka Manchester United mwishoni mwa msimu uliopita.Nyo . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 21, 2026

Argentina Yapokelewa Kishujaa Licha ya Kupoteza Fainali ya Kombe la Dunia

Maelfu ya mashabiki wa Argentina walijitokeza licha ya baridi kali na mvua kuwakaribisha wachezaji wa timu yao ya taifa waliorejea nyumbani baada ya kupoteza fainali ya K . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 17, 2026

Mzamiru Yassin Aaga Rasmi Simba Baada ya Miaka Tisa ya Utumishi

Klabu ya Simba SC imethibitisha rasmi kuachana na kiungo wake mkongwe Mzamiru Yassin, baada ya mkataba wake kumalizika, ikiwa ni sehemu ya mabadiliko ya kikosi kuelekea m . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 15, 2026

Mbappe akiri timu yake haikucheza kwa viwango

Ufaransa yaambulia patupu kwenye mchuano wa nusu fainali dhidi ya Uhispania. Lakini je Uhispania inatosha kutwaa kombe la dunia.Nahodha wa Ufaransa, Kylian Mbappe, amesem . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 14, 2026

Ni Lamine ama Mbappe nusu fainali Kombe la Dunia

Ufaransa na Uhispania wanakutana baadae leo kwenye nusu fainali za michuano ya Kombe la Dunia, katika mechi inayotarajiwa kuwa ya mvutano na mvuto wa hali ya juu.Ufaransa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 12, 2026

Jayden Adams, kiungo wa Bafana Bafana amefariki dunia

Kiungo wa kati Jayden Adams, ambaye alishiriki michuano ya Kombe la Dunia la 2026 akiichezea timu yake ya Afrika Kusini, , Bafana Bafana amefariki ghafla siku ya Jumamosi . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 12, 2026

Kocha Pape Thiaw afutwa kazi baada ya timu yake kushindwa kufanya vizuri Kombe la Dunia

Pape Thiaw si kocha tena wa timu ya taifa ya soka ya Senegal. Analipa gharama ya matokeo mabaya ya Simba kwenye Kombe la Dunia la 2026: kushindwa dhidi ya Ufaransa, na vi . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 10, 2026

Ufaransa yafuzu nusu fainali ya kombe la dunia, yaiondoa Morocco

Wachezaji wa timu ya taifa ya Ufaransa, Kylian Mbappe na Ousmane Dembele, usiku wa kuamkia leo walifunga magoli muhimu yaliyotamatisha safari ya wawakilishi pekee wa Afri . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 9, 2026

France na Morocco Kukutana Katika Robo Fainali ya Moto ya Kombe la Dunia 2026

Ulimwengu wa mpira wa miguu unasubiri kwa hamu mchezo wa leo Alhamisi, tarehe 9 Julai 2026, ambapo mabingwa wa zamani France watakabiliana na Morocco katika hatua ya robo . . .

Kurasa 1 ya 31

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Haya Ndiyo Maajabu ya Komamanga Mwilini Wako, Wengi Hawajui!

    • 2 siku zilizopita
  • Ubalozi Wafunguka Mtanzania Khalifa Siwa Afariki Dunia Nchini Marekani, Ubalozi Wafunguka

    • 2 siku zilizopita
  • Bodi ya Filamu Yawapa Wito ‘A-List’ Watakiwa Kufika Septemba 7, 2026

    • 2 siku zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode