logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Michezo

  • Pata Habari za Michezo Kwa Undani
news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • 14 masaa yaliopita

Rais wa Senegal Atangaza Mapumziko Baada ya Kushinda AFCON

Rais wa Senegal Bassirou Diomaye Faye ametangaza mapumziko ya kitaifa kufuatia ushindi wa kihistoria wa timu ya taifa ya soka Teranga Lions katika michuano ya Kombe la Ma . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Afcon: Senegal kuchuana na Morocco kwenye mechi ya fainali

Senegal na wenyeji Morocco ndio wamefuzu hatua ya fainali kwenye mashindano ya Kombe la Afrika AFCON baada ya kushinda mechi zao za nusu fainali Jumatano usiku.Simba wa T . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Man United Yakubaliana na Michael Carrick Kuwa Kocha Mkuu wa Muda

Klabu ya Manchester United imefikia makubaliano ya mdomo na Michael Carrick kwa ajili ya kuchukua nafasi ya Kocha Mkuu wa muda hadi mwisho wa msimu.Makubaliano hayo yanak . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Brighton Wamaliza Mkataba na Mshambuliaji wa Tanzania Aisha Masaka

Klabu ya Brighton & Hove Albion inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake nchini England haitaendelea na mshambuliaji wa Kitanzania, Aisha Masaka, msimu ujao baada ya mkataba . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • January 11, 2026

Tanzania yajiandaa kiuchumi ,na kimaandishi kwa AFCON 2027 inayo karibishwa pamoja na Kenya na uganda.

Tanzania pamoja na Kenya na Uganda,imepata nafasi ya kipekee yakuwa mmoja wa wenyeji wa mashindano ya kombe la mataifa ya kombe la mataifa ya Afrika ( AFCON) mwaka 2027,t . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • January 10, 2026

Enzo Maresca Atajwa Kumrithi Ruben Amorim Manchester United

Jina la Enzo Maresca, kocha raia wa Italia aliyemaliza hivi karibuni kazi yake na klabu ya Chelsea, limo kwenye orodha ya makocha wanaotajwa kuchukua nafasi ya Ruben Amor . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • January 9, 2026

Yanga Yatangaza wito wa EOI Ujenzi wa Uwanja wa Kisasa Jijini Dar

Klabu ya Yanga imeanza rasmi mchakato wa kuwarahisishia wawekezaji na wabia wa kimkakati kuwasilisha barua za kuonesha nia (EOI) kwa ajili ya ujenzi wa uwanja mpya wa kis . . .

news
Top Story
  • Na Jacobmlaytz
  • January 9, 2026

Semenyo atua Man City, aweka rekodi hii hapa

Rasmi Antoine Semenyo amesaini mkataba wa kuitumikia Manchester City akitokea klabu ya AFC Bournemouth ya pale pale England.Semenyo anakuwa mchezaji wa nne ghali wa Afrik . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • January 8, 2026

Wachezaji Nigeria Watia Mgomo Kisa Kutolipwa Bonasi za Ushindi

Hali ya wasiwasi imetanda katika kambi ya timu ya taifa ya Nigeria, “Super Eagles,” baada ya kuripotiwa kuwa wachezaji wamegoma kufanya mazoezi kutokana na madai ya k . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • January 8, 2026

Vita ya Nusu Fainali Yaiva Januari 9 na 10 AFCON 2025

Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 imeingia hatua ya Robo Fainali ambapo timu nane bora barani Afrika zimejipanga vyema kuwania kufuzu nusu fainali na ku . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • January 7, 2026

Ivory Coast Yatinga Robo Fainali, Burkina Faso Yaaga AFCON 2025

Timu ya taifa ya Ivory Coast imefuzu hatua ya robo fainali ya michuano ya AFCON 2025 baada ya kuibuka na ushindi mnono wa mabao 3–0 dhidi ya Burkina Faso, ambayo sasa i . . .

news
NGUMI
  • Na Jembe Digital
  • January 6, 2026

Mwakinyo Arejea Kileleni Afrika, Ashika Nafasi ya 37 Duniani (Middleweight)

Bondia wa kulipwa kutoka nchini Tanzania Hassan Mwakinyo Jr ametangaza kurejea nafasi ya kwanza barani Afrika katika uzito wa kati (middleweight) na kushika nafasi ya 37 . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • January 6, 2026

Ole Gunnar Solskjær Ajiandaa Kurejea Man United kama Kocha wa Muda

Aliyekuwa Kocha Mkuu wa Manchester United Ole Gunnar Solskjær, ameonyesha nia ya kurejea Old Trafford kuinoa klabu hiyo kama Kocha wa Muda (Caretaker) hadi mwisho wa msi . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • January 6, 2026

Liam Rosenior Yupo Mbioni Kujiunga na Chelsea Kama Kocha Mkuu

Klabu ya Chelsea ipo hatua za mwisho kumtangaza Liam Rosenior kuwa Kocha Mkuu mpya wa kikosi hicho, baada ya pande zote kufikia makubaliano ya awali. Rosenior anatar . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • January 5, 2026

Kocha wa Morocco aonya dhidi ya kuidharau Taifa Stars

Kocha wa timu mwenyeji wa Kombe la Mataifa ya Afrika – AFCON 2025 Morocco Walid Regragui amewaonya wachezaji wake dhidi ya kuwapuuza wapinzani wao wasio na uzoefu Tanza . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • January 5, 2026

Wenyeji Morocco wafuzu robo fainali AFCON 2025

Morocco imefuzu hatua ya robo fainali ya michuano ya AFCON 2025 baada ya kupata ushindi mwembamba wa 1–0 dhidi ya Taifa Stars Tanzania katika mechi iliochezwa katika uw . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • January 2, 2026

Gabon Yasimamisha Timu, Aubameyang Afungiwa na Kocha Atimuliwa!

Serikali ya Gabon imesitisha ushiriki wa timu ya taifa ya soka “The Panthers” na kumfungia mshambuliaji nyota Pierre-Emerick Aubameyang, kufuatia kutolewa kwao kwenye . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • January 1, 2026

AFCON hatua ya 16 bora kuanza kutimua vumbi wikiendi hii

Januari 3 Sudan watakipiga na Senegal katika mechi ya mwanzo kabisa katika uwanja wa Grand Stade de Tanger na usiku wake kutakuwa na mtanange mkali kati ya Mali dhidi ya . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • December 31, 2025

Arsenal Yaizamisha Aston Villa 4–1

Ligi Kuu ya England iliendelea kwa hamasa kubwa, na matokeo ya mwisho ya mechi za jana yanaonyesha wazi kwamba msimu huu bado umejaa presha, ushindani na matokeo ya kusha . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • December 31, 2025

Tanzania yaweka historia kwa kutinga hatua ya mchujo AFCON

Senegal na Congo zimetuma ujumbe wa nia yao baada ya kupata ushindi wa uhakika katika mechi zao za Kombe la Mataifa ya Afrika - AFCON 2025 ambapo Tanzania na Tunisia  . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • December 30, 2025

Mourinho awapa maua yao wachezaji kutoka Afrika

Miongoni mwa Kocha bora duniani Jose Mourihno (The Special one) katika moja ya mazungumzo yake na Rio Ferdinand amefunguka kuhusu wachezaji wa Afrika."Siwezi kwenda Afrik . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • December 29, 2025

Lamine Yamal Atwaa Tuzo ya Mshambuliaji Bora wa Mwaka 2025

Mshambuliaji nyota wa klabu ya Barcelona Lamine Yamal ametwaa Tuzo ya mshambuliaji bora wa mwaka 2025 kutoka Global Soccer 2025.Lamine ametwaa Tuzo hiyo baada ya kuwa na . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • December 29, 2025

Algeria yatinga hatua ya mtoano ya AFCON nchini Morocco

Algeria imekuwa nchi ya tatu baada ya Misri na Nigeria kutinga hatua ya mtoano ya Kombe la Mataifa ya Afrika - AFCON 2025. Iliifunga Burkina Faso bao moja kwa sifuri mjin . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • December 29, 2025

Msimamo wa Makundi Wazidi Kuchanganya vichwa Morocco

Michuano ya AFCON 2025 imeendelea kuwasha moto nchini Morocco na sasa picha ya nani anaweza kusonga mbele hatua ya 16 bora inaanza kuonekana kwa  baadhi ya vigogo wa . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • December 26, 2025

Mechi za Mzunguko wa pili AFCON 2025 kuendelea hii leo

Mechi ya awali kabisa hii leo ni kati ya Angola dhidi ya  Zimbabwe timu hizi za kundi zinakutana baada ya kila mmoja kuchapwa katika mechi zao za mzunguko wa kw . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • December 25, 2025

AFCON 2025 Yaendelea Kupamba Moto Morocco

Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) inaendelea kushika kasi nchini Morocco, huku mashindano hayo yakizidi kuvutia mashabiki wa soka barani Afrika.Usiku wa . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • December 24, 2025

TANZANIA NA UGANDA ZAANZA AFCON 2025 KWA KICHAPO

Mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) yameanza vibaya kwa mataifa ya Afrika Mashariki, Tanzania na Uganda, baada ya timu hizo kukubali kichapo katika mech . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • December 23, 2025

Tanzania, Uganda na Kongo kutupa karata zao AFCON

Wawakilishi wa kanda ya Afrika Mashariki na Kati kwenye michuano ya kandanda kwa mataifa ya Afrika - AFCON 2025, wanatupa karata zao za kwanza uwanjani leo Jumanne.Baaday . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • December 22, 2025

AFCON yafunguliwa rasmi Rabat, Morocco waanza kwa kishindo

Michuano ya kandanda kwa mataifa ya Afrika AFCON 2025 imeanza usiku wa kuamkia leo na katika mechi ya ufunguzi wenyeji Morocco waliibamiza timu ya taifa ya visiwa vya Com . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • December 21, 2025

Mbappé Avunja Ukimya wa Miaka 12 Real Madrid, Aifikia Rekodi ya Ronaldo

Nyota wa soka wa Ufaransa, Kylian Mbappé, ameandika historia mpya ndani ya klabu ya Real Madrid baada ya kufikia rekodi ya muda mrefu iliyowekwa na Cristiano Ronaldo mwa . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • December 20, 2025

CAF Yatangaza Zawadi za Fedha za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025

Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) limetangaza rasmi muundo wa zawadi za fedha kwa michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025, itakayofanyika nchini Morocco . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • December 20, 2025

Simba Yamteua Steve Barker Kuwa Kocha Mkuu Mpya

Klabu ya Simba SC imethibitisha rasmi kumteua Steve Barker kuwa kocha mkuu mpya wa kikosi hicho, akichukua nafasi ya Meneja Dimitar Pantev ambaye ameo . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • December 17, 2025

Khalid Aucho Afungiwa Michezo 5 na Kutozwa Faini Sh. 1,000,000

wachezaji wa klabu ya Singida Big Stars Khalid Aucho amefungiwa michezo mitano (5) na kutozwa faini ya Sh. 1,000,000 kwa kosa la kufanya kitendo kisicho cha kiuanamichezo . . .

Kurasa 1 ya 27

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Niffer Athibitisha Kuachana na OG, Aomba Kuheshimiwa

    • 14 masaa yaliopita
  • Rais wa Senegal Atangaza Mapumziko Baada ya Kushinda AFCON

    • 14 masaa yaliopita
  • Iran Yakiri Maelfu Kuuawa Katika Maandamano, Takwimu Zazua Mabishano

    • 14 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode