Shabiki wa Simba Simon Mkondya ambaye ni Mfanyabiashara na Mfugaji kutoka Jijini Dodoma ( 104.4), amemtaka Wachezaji wa Simba Clatous Chama na Kibu Dennis kwenda kuchukua . . .
Tetesi zinazoendelea kwa sasa katika Klabu ya Simba SC juu ya Mwenyekiti wao upande wa wanachama;SIMBA MPYA: Katika kikao kilichofanyika Juzi Jumamosi, Mwenyekiti wa klab . . .
Bondia Karim Mandonga amepoteza pambano dhidi ya Mada Maugo kwa kupigwa katika Raundi ya 6 kwa TKO kwenye pambano lililofanyika Mkoani MorogoroNgumi iliyopigwa kwenye kid . . .
Kocha Mkuu wa Liverpool Jurgen Klopp ameionya Manchester United akisema watachezea kichapo kutoka kwa Arsenal mwezi ujao ikiwa watacheza kama walivyocheza dhidi ya kikosi . . .
Mabingwa wa Soka nchini Ufaransa Paris St-Germain wamepaga kulipa Pauni 111.5 milioni kumnunua Mshambuliaji wa SSC Napoli, Victor Osimhen katika dirisha lijalo la majira . . .
Shirikisho la Soka nchini Cameroon ‘FECAFOOT’ limekanusha na kushangazwa na Wizara ya Michezo ya nchi hiyo kumteua Marc Brys kuwa Kocha Mkuu mpya wa timu ya taifa, †. . .
Jangili wa Manchester City, Erling Haaland , amesema kwamba timu yake bado inaweza kushinda taji la Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) licha ya sare ya bila kufungana . . .
Mkufunzi wa Manchester United Erik ten Hag anasema hajali kuhusu uvumi unaohusu kibarua chake.Kundi la Sir Jim Ratcliffe la Ineos linaripotiwa kufikiria kufanya marekebis . . .
Nahodha na Mshambuliaji Lionel Messi atakosa mechi zijazo za Kimataifa ya Kirafiki za Argentina dhidi ya El Salvador na Costa Rica kwa sababu ya jeraha la msuli wa paja l . . .
Kikosi cha Ihefu FC, kitaweka kambi jijini Arusha kwa ajili ya kuweka kambi kujiandaa na michezo inayokuja ya Ligi Kuu na Kombe la Shirikisho Tanzania Bara ‘ASFC’.Tim . . .
Kwa mujibu wa taarifa zinasema kuwa Klabu ya Al Hilal ya Sudan imepeleka ofa ya Dola 200,000 [TZS 509 Million] kwenye klabu ya Azam FC ili kuinasa saini ya mshambuliaji w . . .
Uongozi wa Singida Fountain Gate umefikia uamuzi wa Kuvunja benchi lote la ufundi Kocha na wasaidizi wake lililokuwa likiongozwa na Kocha Thabo Senong kufuatia matokeo ma . . .
Bondia Anthony Joshua ametamba kumpiga mpinzani wake Francis Ngannou kwa ‘KO’ kwenye pambano la uzito wa juu litakalofanyika Saudi Arabia, mwishoni mwa juma lijalo.Jo . . .
Klabu ya Azam FC imethibitisha kupokea barua kutoka kwa mshambuliaji wao wa Kimataifa wa Zimbabwe, Prince Dube akiomba kuvunja mkataba na Klabu hiyo.Ikumbukwe kuwa mkatab . . .
Mshambuliaji wa Man Utd, Anthony Martial ataondoka kwenye kikosi hicho katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi ambapo mkataba wake utamalizika na Man United imekataa . . .
Meneja Habari na Mawasiliano Simba SC Ahmedy Ally amesema mchezo wao Ligi ya Mabingwa barani Afrika dhidi Jwaneng Galaxy utachezwa Jumamosi Machi 2, 2024 saa 1:00 usiku, . . .
Mshambulizi wa Honduras Alberth Elis alibaki katika hali ya kukosa fahamu Jumapili baada ya jeraha baya la kichwa na klabu yake ya Ufaransa ya Bordeaux ikisema "haiwezeka . . .
NYOTA wa zamani wa timu ya Taifa ya Brazil, Dani Alves amehukumiwa kifungo cha miaka minne na miezi 6 jela baada ya kukutwa na hatia ya kumnyanyasa kingono mwanamke mmoja . . .
Kocha Mkuu wa Azam FC, Youssouf Dabo amewaomba wachezaji wake kuongeza bidii kuendana na ushindani kwenye mbio za ubingwa Ligi Kuu soka Tanzania Bara.Dabo amesema kwa nam . . .
Mkurugenzi Mtendaji wa Manara TV, Haji Manara amesema kuwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), wanapaswa kumfukuza Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Adel Amrouche k . . .
Shirikisho la Soka ‘TFF’ limesema Tanzania itakuwa kituo cha mafunzo ya mfumno wa VAR kwenye ukanda wa Afrika Mashariki na Kati ‘CECAFA’.Katibu Mkuu wa TFF, Kidao . . .
Wakati kikosi cha Simba SC kikiwa safarini kuelekea nchini Ivory Coast kwa ajili ya mchezo wa Mzunguuko watano wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Barani Afrika dhidi ya Asec Mim . . .
Kocha kutoka nchini Ureno Jose Mourinho anaamini Mabingwa wa Soka nchini England Manchester City ndio washindani wakuu wa taji la Ligi ya mabingwa Barani Ulaya msimu huu, . . .
Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya wanawake ‘Twiga Stars’, Bakari Shime amesema maandalizi ya mchezo wa kutafuta nafasi ya kufuzu michuano ya Olimpiki dhidi ya Afrika Kus . . .
Wachezaji wa Ivory Coast na Kocha wao wa muda Emerse Fae wamepewa fedha na nyumba za kifahari baada ya kutwaa Ubingwa wa Afrika ‘AFCON 2023’ kwa kuifunga Nigeria maba . . .
Klabu za Newcastle United na Arsenal zote za England zimeanza kujipanga baada ya kusikia taarifa kwamba Brentford inamfuatilia Mshambuliaji kutoka nchini Canada na Klabu . . .
Sakata la Fiston Mayele limemuibua mshambuliaji wa zamani wa Yanga, Mrisho Khalfan Ngassa ambaye amesema kama ni kutupiwa jini basi Fei Toto angekuwa chizi, majini ya hap . . .
Nyota wa timu ya Taifa ya Tanzania nahodha Mbwana Ally Samatta ameeleza uchu wake wa kurudi kucheza timu moja wapo ya Ligi kuu kandanda Tanzania Bara.Samatta anatamani ku . . .
Licha ya kuibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya Mashujaa FC jana Alhamis (Februari 08) katika Uwanja wa Azam Complex jijini Dar es salaam, Kocha Mkuu wa Mabingwa wa Soka Tanz . . .
Kocha Mkuu wa Vinara wa Ligi Kuu ya Ujerumani Bayern Leverkusen, Xabi Alonso amesema kuwa hana mpango wa kujiunga na Liverpool kwa sasa kwa kuwa alipo ana furaha.Alonso a . . .
Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Afrika Kusini ‘Bafana Bafana’ Hugo Broos amewapongeza wachezaji wake licha ya kushindwa kutinga Hatua ya Fainali ya Michuano ya Mataifa . . .
Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika ‘AFCON 2023’ imefikia Nusu Fainali ambako Nigeria itaivaa Afrika Kusini saa 2:00 usiku na wenyeji Ivory Coast dhidi ya Jamhuri . . .
Mshambuliaji Karl Toko Ekambi ametangaza rasmi kustaafu kuitumikia timu ya taifa ya Cameroon baada ya kuondoshwa katika hatua ya 16 bora ya michuano ya Afcon 2023 na Nige . . .