Arsène Wenger amesema mafanikio ya timu ya taifa ya vijana chini ya miaka 17, Serengeti Boys, yanaonyesha kuwa Tanzania ina kizazi kipya cha wanasoka wenye uwezo wa kush . . .
Arsenal wanatarajiwa kuingia katika mchezo wa fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Paris Saint-Germain (PSG) leo Mei 30, 2026 wakiwa na changamoto kubwa ya uchovu w . . .
Mchezaji wa zamani wa timu ya Timu ya Uingereza Raheem Sterling amekamatwa na polisi kufuatia ajali aliyopata akiwa anaendesha gari lake la kifahari aina ya Lamborghini k . . .
Kombe la Dunia 2026 litaanza rasmi Juni 11, 2026 ambapo wenyeji Mexico watafungua pazia dhidi ya South Africa katika mchezo wa ufunguzi utakaopigwa kwenye Mexico City jij . . .
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Paul Makonda amemteua Haji Manara kuwa msemaji wa timu zote za Taifa za Tanzania zinazoshiriki mpira wa miguu.Makonda ametan . . .
Kocha anayeondoka wa Crystal Palace Oliver Glasner amesema hana mpango wowote wa haraka kuhusu mustakabali wake wa kazi baada ya kuiongoza timu hiyo katika mechi yake ya . . .
Klabu ya Southampton F.C. pamoja na Royal Antwerp F.C. zimethibitisha kifo cha aliyekuwa mchezaji wao wa akademi, Victor Udoh aliyefariki akiwa na umri wa miaka 21.Udoh a . . .
Rais wa Mexico Claudia Sheinbaum ametangaza kuwa nchi hiyo itaihifadhi timu ya taifa ya Iran wakati wa mashindano ya 2026 FIFA World Cup baada ya Marekani kuonyesha kutot . . .
Kipa mkongwe wa Timu ya Taifa ya Ujerumani, Manuel Neuer amerejeshwa kutoka kustaafu na kujumuishwa kwenye kikosi kitakachoshiriki Kombe la Dunia.Neuer mwenye umri wa mia . . .
Ghana wamepangwa katika kundi moja na Cote d'Ivoire wakati draw ya mechi za kufuzu Kombe la Mataifa ya Afrika - AFCON 2027 ilipofanywa jana mjini Cairo.Gambia na Somalia . . .
Uongozi wa klabu ya Young Africans Sports Club (Yanga SC) imetangaza rasmi kuingia katika hatua mpya ya kihistoria ya ujenzi wa uwanja wake binafsi, ndoto ambayo imekuwa . . .
Manchester City wameendelea kuweka presha kwenye mbio za ubingwa wa Ligi Kuu England baada ya kuichapa Crystal Palace mabao 3-0 katika mchezo uliopigwa katika dimba la Et . . .
Klabu ya soka ya Al Hilal Omdurman imeandika historia mpya katika soka la Afrika baada ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Rwanda msimu huu, licha ya kucheza uhamishoni kuto . . .
Kiungo mshambuliaji wa klabu ya Yanga Allan Okello amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa mwezi Aprili wa Ligi Kuu ya soka ya NBC msimu wa mwaka 2025/26 baada ya kutoa mchang . . .
Nyota wa Paris Saint-Germain, Ousmane Dembélé, ametawazwa kuwa Mchezaji Bora wa Mwaka wa Ligue 1 (UNFP Player of the Year) kwa msimu wa pili mfululizo (2024/25 na 2025/ . . .
Klabu ya Espérance Sportive de Tunis imetangaza kuachana na kocha Patrice Beaumelle, kwa uamuzi uliotekelezwa mara moja. Hatua hii imekuja baada ya mfululizo wa matokeo . . .
Mchezo wa Dabi ya Kariakoo katika Ligi Kuu Bara uliomalizika kwa sare ya 2-2, umeiletea Yanga maumivu makali ikipgwa faini ya Sh30 milioni huku maafisa wake wawili wakiku . . .
Marie-Louise Eta amekuwa kocha wa kwanza wa kike kushinda mechi katika mojawapo ya ligi tano kuu za kandanda Ulaya.Hii ni baada ya timu yake ya Union Berlin kuilaza Mainz . . .
Nchini Senegal, mashabiki watatu katika kundi la kwanza waliokamatwa nchini Morocco kufuatia vurugu wakati wa mchezo wa fainali ya AFCON huko Rabat walitua uwanja wa ndeg . . .
Afisa Habari wa Yanga Ali Kamwe amesema sababu kubwa ya uongozi wa klabu hiyo kuachana na Kocha Pedro Goncalves ni mwenendo usioridhisha wa timu licha ya kuendelea kushin . . .
Nusu Fainali kule Ureno hivyo leo hii ni kisasi kwa mwenyeji pia. Jisajili hapa.Mechi hii wageni wanaingia uwanjani wakiwa na faida ya bao 1, baada ya kushinda mechi ya k . . .
Ni baada ya kutoka sare ya 1-1 katika mchezo wa marudiano wa nusu fainali dhidi ya Bayern Munich usiku wa kuamkia leo.Sasa watakutana na Arsenal Mei 30 katika mchezo wa f . . .
Mchezo wa mkondo wa pili wa nusu fainali ya UEFA Champions League kati ya Bayern Munich na Paris Saint-Germain unaingia ukiwa na presha ya kipekee, hasa kutokana na matok . . .
Kiungo mshambuliaji Matheus Cunha ameendelea kumiminia sifa kocha wa muda wa Manchester United Michael Carrick akisema anastahili kupewa kibarua cha kudumu kutokana na ma . . .
Shirikisho la Soka barani Afrika, CAF limetoa tangazo rasmi kwamba Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika ya AFCON 2027 yatafanyika kuanzia tarehe 19 mwezi Juni hadi tare . . .
Kocha wa AFC Bournemouth, Andoni Iraola, ameibuka kama mpinzani mkubwa wa Michael Carrick katika mbio za kuinoa Manchester United, kwa mujibu wa ripoti ya The Telegraph.I . . .
Mabingwa watetezi wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, Paris Saint-Germain (PSG), wameanza utetezi wao wa kombe lao kwa ushindi wa mabao 5-4 dhidi ya Bayern Munich katika mchezo wa . . .
Simba imetinga hatua ya fainali Muungano Cup 2026 kwa ushindi wa magoli 3-0 Mlandege FC Aprili 29 katika dimba la New Amaan Complex, Zanzibar.Simba wameonyesha ubora . . .
Mambo yamezidi kuwa magumu kwa Real Madrid katika mbio za kuwania ubingwa wa La Liga, baada ya kupoteza alama muhimu kufuatia sare ya 1-1 dhidi ya Real Betis ugenini, kat . . .
Mabingwa watetezi VfB Stuttgart, wamefika fainali ya Kombe la Shirikisho la Ujerumani – DFB Pokal kwa mara nyingine tena kutokana na ushindi wa 2-1 baada ya muda wa zia . . .
Bayern Munich imepiga hatua kuelekea kushinda mataji matatu, kwa kutinga fainali ya Kombe la Shirikisho la Ujerumani – DFB Pokal kwa mara ya kwanza tangu 2020 Bayern wa . . .
Hapo Aprili 21, 2026 Klabu ya Yanga Sc ilifanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya Kombe la Muungano kwa mwaka 2026/2027 baada ya kuibuka na ushindi mnono wa mabao . . .
Nyota wa soka duniani Cristiano Ronaldo (40) anaweza kuandika historia nyingine kubwa ya michezo iwapo atafanikiwa kucheza pamoja na mwanawe Cristiano Ronaldo Jr katika t . . .