Wagombea 10, wakiwemo wapinzani wawili wakali wa utawala wa kijeshi wa Chad, Jumatano waliandamana baada ya kuzuiliwa kushiriki kwenye uchaguzi wa rais wa tarehe 6 Mei.Mahakama ya Katiba mjini N’Dja . . .
Mgombea wa upinzani nchini Senegal, Bassirou Diomaye Faye anaongoza katika matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais, ambao ulifanyika baada ya miaka kadhaa ya ghasia na mzozo wa kisiasa.Mshindi wa uchaguz . . .
Lukashenko alitoa matamshi hayo baada ya kupiga kura katika uchaguzi wa bunge na madiwani, uliokosolewa na Marekani kuwa upuuzi.Afisa mkuu anayesimamia uchaguzi katika taifa hilo la zamani la Kisoviet . . .
Siri yafichuka CHADEMA Kukodisha Waandamanaji Mwanza / Mwenezi CCM Mwanza Atoboa . . .
Baraza la Katiba la Senegal limechapisha orodha iliyorekebishwa ya wagombea wa uchaguzi wa rais uliocheleweshwa kutoka Februari 25 hadi tarehe ambayo haijatangazwa.Baraza hilo wiki iliyopita lilibatil . . .
Wanachama wa chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA mkoani Mbeya tayari wanejikusanya maoneo ya Mbalizi mkoani humo wapo tayari kuanza maandamano. Maandamano hayo ambayo yataongozwa na Mwenyekiti F . . .
Baraza la Katiba la Senegal, limebatilisha tangazo la kuchelewesha uchaguzi wa rais, uliokuwa ufanyike mwezi huu likisema kura ya Bunge ilikuwa kinyume na katiba likidai muswada uliopitishwa ulikuwa k . . .
Wabunge watatu wa upinzani wamekamatwa nchini Senegal, huku kukiwa na mzozo mkali wa kisiasa.Mvutano huo ni kufuatia hatua ya Bunge kupiga kura hapo jana na kuahirisha uchaguzi wa urais hadi Disemba 1 . . .
Karim Wade, mtoto wa kiume wa aliyekuwa rais wa Senegal na pia kiongozi wa kisiasa mwenye nguvu nchini humo, amekana uraia wa Ufaransa ili kuweza kugombea urais kwenye uchaguzi mkuu mwezi ujao.Wade am . . .
Kufuatia Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump kuibuka mshindi Jumatatu usiku kwenye uchaguzi wa mapema wa kuidhinisha mgombea urais wa Repablikan, kwa kujipatia asilimia 51 ya kura zilizopigw . . .
Uchaguzi wa Comoros imefanyika Jumapili, ukitarajiwa kutoa ushindi kwa wa muhula wa nne wa miaka 5 kwa Rais Azari Assoumani.Uchaguzi huo imefanyika wakati wapinzani wake watano wakidai ulijawa na udan . . .
Tume ya uchaguzi ya Congo imesema kwamba imefuta kura zilizopigiwa wagombea 82 kati ya 101,000 waliowania viti vya bunge na udiwani, kwenye uchaguzi mkuu uliyofanyika Desemba.Hatua hiyo ni kutokana na . . .
Rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump, Jumatano aliiomba Mahakama ya Juu ya Marekani kubatilisha uamuzi wa kuzuia ugombea wake katika jimbo la Colorado, na kuanzisha mzozo wa hali ya juu kuhusu iwa . . .
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amewasili wilayani Ruangwa kwa ziara ya kikazi ambapo pamoja na mambo mengine, atakuwa mgeni rasmi katika Mkutano Mkuu wa Chama wa wi . . .
Polisi mjini Kinshasa walizingira makao makuu ya Martin Fayulu, mmoja wa wapinzani watano wa Rais Felix Tshisekedi wa DRCWatu kadhaa wamejeruhiwa katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo si . . .
Tume ya Uchaguzi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, CENI, imetoa matokeo zaidi ya awali ya uchaguzi wa rais, yakionesha rais Felix Tshisekedi anaongoza kwa mbali, akifuatiwa na mfanyabiashara Mo . . .
Warepublikan kote Marekani, wamelalamika uamuzi wa mahakama kuu ya Colorado, wa kuondoa jina la rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump, katika karatasi ya kura ya uchaguzi wa awali wa Republikan wa . . .
Mtoto wa Msanii wa Bongo Fleva Shetta, Qailah Nurdin Bilal amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Chipukizi Taifa katika Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika mkutano wa 9 wa Chipukizi Taifa uliofanyika katika uk . . .
Uchelewesho wa kiwango kikubwa katika vituo vya kupigia kura, Jumatano umewalazimisha maafisa kuongeza muda wa kupiga kura katika uchaguzi wa rais mpaka leo Alhamisi.Wapiga kura wengi katika taifa hil . . .
Takriban wapiga kura milioni 44 wameitwa kumchagua rais wao lakini pia wabunge wao wa kitaifa na mikoa na madiwani wao wa manispaa leo Jumatano. Rais anayemaliza muda wake, Félix Tshisekedi, anatafut . . .
Wapiga kura ama walikuwa na wasiwasi, au kususia uchaguzi, ambao baadhi ya watu wanaona kama kurudisha nyuma demokrasia ya jiji.Idadi ya wapiga kura waliojitokeza siku ya Jumapili katika uchaguzi wa h . . .
Sonko, ambaye aliondolewa kwenye orodha ya uchaguzi kufuatia hukumu yake mwezi Juni, amekuwa katikati ya mvutano na serikali ambayo imedumu kwa zaidi ya miaka miwili, na kuibua matukio kadhaa ya ghasi . . .
Watu wawili wamekufa na wengine kadhaa wamejeruhiwa jana jioni mjini Monrovia baada ya gari kuwagonga wafuasi wa Joseph Boakai, saa chache kabla ya kutangazwa kwake kuwa mshindi wa urais nchini Liberi . . .
Kiongozi wa upinzani nchini Liberia Joseph Boakai anaongoza kwa asilimia 50.58 dhidi ya Rais George Weah aliye na asilimia 49.42 katika matokeo ya duru ya pili ya uchaguzi wa rais.Asilimia tisini ya k . . .
Kura zinahesabiwa nchini Madagascar baada ya kufanyika kwa uchaguzi wa rais ulosusiwa na idadi kubwa ya wapinzani.Uchaguzi umefanyika baada ya wiki kadhaa za ghasia na maandamano, na katika mji mkuu w . . .