logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Zote Za Kisiasa

  • Pata Habari Zote Za Kisiasa
Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 14 masaa yaliopita

ADC kulea watoto, kufuta madeni wadaiwa Bodi ya Mikopo

MGOMBEA Urais kupitia tiketi ya chama cha Alliance For Democratic Change (ADC), Wilson Mulumbe amesema endapo atapewa ridhaa ya kuiongoza nchi ataondoa makato ya mikopo ya vyuo vya Elimu ya Juu inayot . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Kesi ya CHADEMA Kusikilizwa Agosti 18, Mahakama Kutoa Uamuzi wa Zuio

Kesi ya madai iliyofunguliwa dhidi ya Bodi ya Wadhamini ya CHADEMA na Katibu Mkuu wa chama hicho, inayohusu zuio la kufanya shughuli za kisiasa, imeahirishwa hadi Agosti 18, 2025, kwa ajili ya kusikil . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 7, 2025

Fatma Ferej Ateuliwa Rasmi Mgombea Mwenza wa Urais ACT Wazalendo

Katibu wa Ngome ya Wanawake ya ACT Wazalendo, Fatma Abdulhabib Ferej, ameteuliwa rasmi kuwa mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, baada ya jina lake kupitishwa kwa kauli moja na . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 5, 2025

Mkurugenzi INEC ataka vyombo vya habari kutopendelea chama cha siasa

Mkurugenzi wa Uchaguzi Tume Huru ya Uchaguzi (INEC) Ramadhani Kailima amevitaka vyombo vya habari kuripoti habari za uchaguzi bila kupendelea chama chochote cha siasa.Kailima ameyasema hayo leo Agost . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 28, 2025

Tume ya Uchaguzi Cameroon yamzuia mpinzani wa Rais Biya

Tume ya uchaguzi ya Cameroon, ELECAM, imetangaza kuwa mwanasiasa wa upinzani Maurice Kamto amezuiliwa kushiriki katika kinyang'anyiro cha uchaguzi wa urais wa Oktoba 12 mwaka huu.Profesa, huyo mashuhu . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 27, 2025

DC Msando aonya mikusanyiko isiyo rasmi waumini wa Gwajima

MKUU wa Wilaya ya Ubungo, Albert Msando, ametoa kauli kuhusu uvumi wa kufungwa kwa ukumbi wa Tanzanite ulioko Kimara Korogwe,Dar es Salaam, akibainisha kuwa ukumbi huo umesajiliwa kwa ajili ya shughul . . .

afrika mashariki
  • Na Baba Juti
  • July 17, 2025

Akamatwa na Bomu katika Uchaguzi wa Chama cha NRM, Uganda

Polisi nchini Uganda wanamshikilia mwanaume mmoja baada ya kukutwa na bomu la mkononi aina ya “guruneti” (Grenade) wakati wa uchaguzi wa awali wa chama tawala cha NRM .Kwa mujibu wa NTV Uganda, . . .

afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • July 10, 2025

Ruto atoa maagizo polisi kuwapiga risasi za miguu waandamanaji

Rais wa Kenya William Ruto ameagiza Polisi kuwapiga risasi za miguu waandamanaji wanaoharibu mali za watu ili kuwazuia kufanya uharibifu huo bila kuwaua. Agizo hilo limekuja baada ya baadhi ya waandam . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • July 10, 2025

Kesi ya mgawanyo mali za Chadema imeahirishwa

Kesi namba 8323/2025 ya mgawanyo wa rasilimali za Chama cha Demokrasia na Maendeleo imeahirishwa mpaka Jumatatu ya tarehe 14, Julai 2025 saa nne asubuhiKatika Kesi hiyo inayoendelea Mahakama Kuu ya Ta . . .

afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • July 9, 2025

Ruto kuwachukulia hatua kali wapanga njama kumuondoa madarakani

Rais wa Kenya William Ruto akiwa na hasira kali ameapa kuwachukulia hatua kali wale anaowaita wapanga njama wa kutaka kumuondoa madarakani kwa njia zisizo halali kabla ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2027.& . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • July 8, 2025

Hatua ya Elon Musk kuzindua chama kipya cha siasa chazua moto kwa Donald Trump

Utajiri wa Mkurugenzi Mtendaji wa Tesla na SpaceX, Elon Musk, umepungua kwa kiasi cha dola bilioni 15 kwa siku ya leo pekee baada ya hisa za kampuni ya Tesla kuporomoka kwa karibu asilimia 7 na kushuk . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 8, 2025

CHAUMMA kuja na awamu ya pili ziara ya Chopa siku 13

Chama cha Ukombozi wa Umma(CHAUMMA), kimetangaza awamu ya pili ya ziara yake baada ya ile iliyofanyika Juni mwaka huu.Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano kwa Umma wa chama hicho, John Mr . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 7, 2025

ACT-Wazalendo" Kususia uchaguzi ni kuipa CCM ushindi bila kupingwa"

Chama cha ACT-Wazalendo kimesema kuwa uamuzi wa baadhi ya vyama kususia Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 ni sawa na kuipa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ushindi wa bure, hali itakayochangia kupatikana kwa viong . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 4, 2025

ACT Wazalendo yasema serikali imeshindwa kumaliza umasikini

Chama cha ACT Wazalendo kimewataka Watanzania kuwahoji na kuwapima watawala kwa msingi wa utekelezaji wa Katiba, hususan kifungu cha kupunguza umasikini wa wananchi, badala ya kuridhika na maneno ya k . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • July 4, 2025

Waasi wa Congo na M23 kuanza mazungumzo nchini Qatar kwa shinikizo la Trump

Serikali ya Kongo na waasi wa M23, wanaoungwa mkono na Rwanda, wametangaza siku ya Alhamisi kurejea kwa wajumbe wao nchini Qatar kwa mazungumzo ya amani, wakati Washington inataka kukomesha mapigano, . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • July 4, 2025

Karish kumenyana na Njagagua wa UDA uchaguzi mdogo Mbeere North

UCHAGUZI mdogo unaokaribia katika eneo bunge la Mbeere Kaskazini, Kaunti ya Embu, unatarajiwa kuwa wa kusisimua huku upinzani ukimtangaza mwanamuziki kumenyana na wakili anayepigiwa debe na serikali.K . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 3, 2025

Mchujo wa wagombea CCM kuanza kesho, uteuzi wa mwisho Julai 19

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza ratiba ya uchujaji wa majina ya watia nia wake inayoanza kesho hadi Julai 19, 2025.Hatua hiyo ni baada ya kuhitimisha mchakato wa wanachama wake wa uchukuaji fomu . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 3, 2025

"Wagombea 20,000 wajitokeza CCM, uchukuaji fomu wavunja rekodi"

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema waliochukua fomu kuomba ridhaa ya ubunge kupitia majimbo Tanzania Bara na Visiwani Zanzibar ni wanachama 4,109.Kimesema kati yao waliochukua Bara ni wanachama 3,585 . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • July 3, 2025

Marekani yakanusha kusitisha silaha kwenda Ukraine

MAAFISA wa serikali ya Marekani wametupilia mbali taarifa ya awali kutoka Ikulu ya White House inayodai kuwa Washington inazuia usafirishaji wa baadhi ya silaha kwenda Ukraine, wakati ambapo taifa hil . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • July 2, 2025

Volker Turk awekewa kizuizi kuingia nchini Venezuela

BUNGE la Venezuela linaloungwa mkono na serikali limemtangaza Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Haki za Binadamu Volker Turk kuwa mtu asiyetakiwa nchini humo.Hatua hiyo imechukuliwa baada ya ripoti . . .

afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • July 2, 2025

Israel yapanua oparesheni za kijeshi ukanda wa Gaza

JESHI la Israel limepanua operesheni zake za kijeshi katika Ukanda wa Gaza, siku chache kabla ya ziara ya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, mjini Washington, Marekani.Operesheni hizo zimefany . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • July 1, 2025

Iran kutorudi kwenye meza ya mazungumzo

WAZIRI wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesema hakuna uwezekano wa nchi yake kurejea katika mazungumzo na Marekani kwa sasa, hadi pale itakapohakikishiwa usalama na kutoshambuliwa tena.Akizun . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • July 1, 2025

Kesi ya Lissu kupangiwa tarehe nyingine tena hadi julai 15

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasis na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu akizungumza na wanachama, wafuasi na viongozi mbalimbali wa chama hicho muda mfupi baada ya kesi ya Uhaini kuahirishwa.Kesi ya hiy . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • July 1, 2025

Askofu aongoza ibaada kabla kesi ya Lissu kuanza kusikilizwa

Askofu Emmaus Mwamakula ameongoza maombi ndani ya chumba cha mahakama kabla ya kuanza kesi ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu leo Julai 1, 2025.Ambapo ulinzi uli . . .

afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • June 30, 2025

Julai mosi serikali ya Ruto kuondoa mpango bei nafuu ya chakula KDF

NJAA itawasakama wanajeshi kuanzia kesho Julai 1, 2025 baada ya serikali ya Rais William Ruto kuondoa mpango wa chakula cha bei nafuu katika Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF).Kulingana na taarifa ambayo . . .

Kurasa 1 ya 15

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Matukio
news
  • 14 masaa yaliopita

Wimbi la ghasia lazuka Embu biashara za mamilioni ya pesa zikichomwa

Matukio
news
  • 14 masaa yaliopita

Watu 40 wapoteza maisha Darfur

Top Stories
news
  • 16 masaa yaliopita

Atupwa Jela Kwa Kuwatapeli Wanawake Wanne Kwa Njia Ya Mapenzi

Top Stories
news
  • 19 masaa yaliopita

Rais wa Marekani amtaka Putin kusitisha mapigano

Top Stories
news
  • 20 masaa yaliopita

Aliyekuwa Waziri wa Sheria wa Kongo kutumikia miaka 10 jera

Top Stories
news
  • 20 masaa yaliopita

Jera maisha kwa kumlawiti mwanafunzi wa miaka minne

Top Stories
news
  • 2 siku zilizopita

Maelezo ya mashahidi wa Lissu kusomwa August 18

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Wimbi la ghasia lazuka Embu biashara za mamilioni ya pesa zikichomwa

    • 14 masaa yaliopita
  • Juba yakanusha kuwapokea Wapalestina

    • 14 masaa yaliopita
  • Watu 40 wapoteza maisha Darfur

    • 14 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode