logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Zote Za Kisiasa

  • Pata Habari Zote Za Kisiasa
Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • February 25, 2026

Trump Atoa Hotuba ya Hali ya Taifa mbele ya Bunge Marekani

Rais wa Marekani Donald Trump ametoa hotuba kuhusu hali ya taifa mbele ya Bunge la Marekani katika kipindi ambacho taifa hilo linakabiliwa na changamoto za kisiasa ikiwemo mvutano unaoendelea na Iran. . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • February 19, 2026

Rubio kukutana na Netanyahu Februari 28

Afisa mmoja wa Marekani amesema kuwa waziri wa mambo ya nje wa nchi hiyo Marco Rubio atasafiri na kuelekea Israel wiki ijayo wakati ambapo mivutano inazidi kati yake na Iran.Afisa huyo ambaye hakutaka . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • February 17, 2026

Lissu Awasili Mahakamani na Makabrasha Kujibu Mashahidi wa Jamhuri

Mwenyekiti wa CHADEMA, Mhe. Tundu Lissu, amewasili katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, akiwa amebeba vifurushi vilivyojaa makabrasha tayari kwa kuendelea na usikilizwaji w . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 13, 2026

Tarique Rahman wa BNP aongoza matokeo ya awali Bangladesh

Bangladesh inaingia katika sura mpya ya kisiasa baada ya kufanya uchaguzi wake wa kwanza tangu maandamano makubwa yaliyosababisha kuondolewa madarakani kwa serikali ya Waziri Mkuu wa zamani Sheikh Has . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 9, 2026

José Seguro ashinda urais nchini Ureno

Tayari mshindani wake mkuu André Ventura amekubali kushindwa na mshindi anatarajiwa kuchukua madaraka Machi 9, akimrithi Rebelo de Sousa, ambaye ameiongoza nchi hiyo ya kusini-magharibi mwa Ulaya tan . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 23, 2026

Umoja wa Afrika waiondolea Guinea vikwazo

Umoja wa Afrika umetangaza kuiondolea Guinea vikwazo ilivyoiwekea kufuatia mapinduzi ya mwaka 2021, baada ya nchi hiyo kuandaa uchaguzi wa rais mwezi Disemba.Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afr . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 23, 2026

Umoja wa Ulaya kuekeza zaidi eneo la Arctic

Umoja wa Ulaya haujaekeza vya kutosha kwa usalama wa eneo la Arctic na sasa ndio wakati wa kubadilisha hilo na kuekeza zaidi.Haya yamesemwa na Rais wa Halmshauri Kuu ya Umoja wa Ulaya Ursula vonder Le . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • January 22, 2026

Pigo kwa Mudavadi mahakama ikifufua chama chake ANC

MAHAKAMA Kuu imebatilisha kuvunjwa kwa chama cha kisiasa cha Amani National Congress (ANC), kinachohusishwa na Mkuu wa Mawaziri Musalia Mudavadi, na kukirejesha rasmi katika ulingo wa siasa.Katika hat . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • January 16, 2026

Yoweri Museveni anaongoza kwa 61.7%

Matokeo ya awali ya uchaguzi wa urais yanaonyesha Yoweri Museveni akiongoza kwa kura 14,232 (61.7%); Bobi Wine anashika nafasi ya pili kwa kura 7,753 (33.64%), kulingana na Tume ya Uchaguzi nchini hum . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 14, 2026

Viongozi wa Denmark na Greenland waungana kumpinga Trump

Denmark na Greenland zimeungana kupinga wito wa rais wa Marekani Donald Trump kutaka kukitwaa kisiwa cha Greenland hivyo viongozi wa nchi hizo wamesema wanaichagua Jumuiya ya NATO na Umoja wa Ulaya ba . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 14, 2026

Wafungwa zaidi ya 400 wameachiwa Venezuela

Spika wa bunge la Venezuela Jorge Rodriguez amesema zaidi ya watu 400 wameachiliwa kutoka gerezani kama sehemu ya mchakato unaoendelea wa kuachiliwa huru wafungwa wa kisiasa.Akizungmza siku ya Jumanne . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • January 5, 2026

Mahakama ya Juu yaidhinisha ushindi wa Mamadi Doumbouya katika uchaguzi wa urais

Mahakama ya Juu nchini Guinea imeeidhinisha siku ya Jumapili jioni, Januari 5, ushindi wa Mamadi Doumbouya katika uchaguzi wa urais wa Desemba 28, kwa asilimia 86.72 ya kura. Jenerali Doumbouya alicha . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • December 30, 2025

Chama tawala chapata wingi kamili, PDCI yapata pigo kubwa

Chini Côte d'Ivoire chama tawala cha RHDP kimeimarisha wingi wake kamili katika uchaguzi wa wabunge uliofanyika siku ya Jumamosi, Desemba 27. Chama cha Rais Alassane Ouattara, kilichochaguliwa tena m . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • December 29, 2025

Bobi Wine "Museveni Acha kutumia jeshi kuingilia uchaguzi"

Mgombea wa chama kikuu cha upinzani nchini Uganda, NUP, Robert Kyagulani maarufu kama Bobi Wine, sasa anamtaka mgombea wa NRM, rais Yoweri Museveni, kuwataka wafuasi wake kulinda kura zake, badala ya . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • December 29, 2025

Ruto ahakikishia ODM atakubali masharti yao mradi wawe pamoja 2027

RAIS William Ruto amesema kuwa utawala wake utazingatia masharti yanayosukumwa na ODM kuelekea uchaguzi wa 2027, akisema chama hicho kinastahili kujiandaa kuwa ndani ya serikali inayokuja.Kiongozi wa . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • December 24, 2025

Chaguzi za UDA kupima nguvu zake Mlima Kenya

CHAGUZI za UDA zilizopangiwa kufanyika Mlima Kenya huenda zikawa jukwaa la wanasiasa kupimana ubabe hali ambayo inaweza kusababisha migawanyiko hata zaidi chamani kabla ya Uchaguzi Mkuu 2027.UDA imera . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • December 11, 2025

CHADEMA " Uchaguzi ufutwe, INEC ivunjwe"

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetaka kufutwa kwa uchaguzi uliofanyika Oktoba 29 na kuvunjwa kwa Tumehuru ya Uchaguzi nchini (INEC) kwa madai kuwa haukuwa huru wala wa haki.Akitoa msima . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • December 11, 2025

Msemaji wa Serikali azungumzia jaribio la mapinduzi

Nchini Benin, msemaji wa serikali Wilfried Houngbédji amezungumzia jaribio la mapinduzi la Desemba 7 huko Cotonou siku ya Jumatano, Desemba 10. Amesimulia mfuatano wa matukio na kukiri uungwaji mkono . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • December 4, 2025

Waangalizi wasema chaguzi ndogo hazikuwa na uwazi

KUNDI la Waangalizi wa Uchaguzi (ELOG) limetoa ripoti ambayo inasema chaguzi ndogo za Novemba 27 zilizingirwa na ghasia, wizi wa kura, kuingiliwa kisiasa na pia mwongozo wa uchaguzi kukosa kuzing . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • December 4, 2025

Wawakilishi wa wagombea wakutana na Tume Uganda

Mkutano huo ulilenga kutoa hakikisho, na kugusia tamko la Umoja wa Mataifa kuhusu jinsi Uganda inavyoshughulikia upinzani wa kisiasa.Tume ya Uchaguzi nchini Uganda imefanya mkutano muhimu na wawakilis . . .

afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • November 27, 2025

IEBC yaonya wapiga kura dhidi ya kupiga picha za karatasi zenye alama za kupigia kura

Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka imewatahadharisha wapiga kura katika maeneo ambayo uchaguzi mdogo unafanyika dhidi ya upigaji picha wa karatasi za kupigia kura zilizowekwa alama. Tume hiyo ilionya kuw . . .

afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • November 27, 2025

Rigathi Gachagua Ataja Sababu ya Kuvaa Helmeti na Vest Ya kuzuia Risasi huko Narok

Kinara wa Democracy for Citizens Party Rigathi Gachagua aliingia kwa kishindo katika Mji wa Narok mnamo Jumatatu, Novemba 24.Kuwasili kwake kulipitia vizuizi vizito vya polisi na wingu la vitoa machoz . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • November 26, 2025

IEBC"Wala msiwe na hofu, tumejipanga kisawasawa kwa hizi chaguzi ndogo "

TUME Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) imetangaza kuwa ipo tayari kwa uchaguzi mdogo utakaofanyika Alhamisi katika maeneo 24 ya uchaguzi — viti sita vya bunge, kiti kimoja cha Seneti, na viti 17 vya . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • November 25, 2025

IEBC Yajibu Madai ya Gachagua Kuhusu Mipango ya Kuvurugwa kwa Uchaguzi Mdogo wa Magarini

Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) imetoa jibu kuhusu madai ya mipango ya kuvuruga chaguzi ndogo zinazokuja.Makamu wa Rais wa zamani, Rigathi Gachagua, alidai kwamba Muungano wa Kenya Kwanza unata . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 25, 2025

Mgombea huru adai kuibuka mshindi wa uchaguzi wa urais

Nchini Guinea Bissau mgombea huru Fernando Dias da Costa, anayeungwa mkono na chama cha Social Renewal Party (PRS) na Muungano wa kisiasa wa Terra Ranka amedai kushinda  duru ya kwanza  kati . . .

Kurasa 1 ya 17

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Matukio
news
  • 3 siku zilizopita

Israel yafanya mashambulizi mapya Beirut

Matukio
news
  • 5 siku zilizopita

Iran Yatishia Kulenga Mafuta ya Nchi Jirani

Top Stories
news
  • 5 siku zilizopita

WAANDISHI WA HABARI WAKAMATWA MUSOMA WAKIRIPOTI MKUTANO WA CHADEMA ULIOSITISHWA.

Matukio
news
  • March 6, 2026

Ukraine yaituhumu Hungary kwa utekaji

Matukio
news
  • March 6, 2026

Wanamgambo wauwa wanajeshi 15 Benin

Matukio
news
  • March 6, 2026

Waziri wa Iran Atoa Tamko Uvamizi wa Wanajeshi wa Marekani Ardhini

Matukio
news
  • March 4, 2026

Merz: Bado Hakuna Majibu ya Hatma ya Iran Baada ya Vita

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Mtumbwi Wapinduka na Kuua Watumishi 6, Miili 3 Haijapatikana Kigoma

    • 11 masaa yaliopita
  • Mary Chatanda atimiza ahadi ya ng’ombe wawili kwa Magereza Korogwe

    • 11 masaa yaliopita
  • Wanafunzi Hatarini Kuzama Kwenye Daraja la Mbao

    • 11 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode