logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Zote Za Kisiasa

  • Pata Habari Zote Za Kisiasa
Top Story
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

CCM yatoa vipaumbele 9 na washirika 7 walioshiriki katika maandalizi ya Ilani

Ilani mpya ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa Uchaguzi Mkuu wa 2025 inalenga kujenga uchumi jumuishi unaowafikia Watanzania wote kuchochea maendeleo ya kisasa, kupunguza umaskini na kuimarisha ustawi wa . . .

Top Story
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Ilani mpya ya Chama cha Mapinduzi CCM yalenga kuboresha makazi vijijini a,na maji

Chama cha Mapinduzi (CCM) kupitia Ilani yake mpya ya uchaguzi, imeahidi mageuzi makubwa ya huduma ya maji nchini katika kipindi cha miaka mitano ijayo ikiwa ni pamoja na kuimarisha upatikanaji wa maji . . .

Top Story
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Chadema yapeleka kampeni ya No reforms no election wilayani Simanjiro

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) John Heche amepeleka kampeni ya 'No reforms, No election' kwa wafugaji wa jamii ya Kimaasai akitumia uwekezaji kwenye viwanda vya kusin . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Aliyekuwa kiongozi wa Chama cha upinzani Misri amechwa huru sasa.

Kiongozi wa upinzani nchini Misri, Ahmed al-Tantawi, ameachiliwa huru baada ya kufungwa jela kwa mwaka mmoja kutokana na makosa ya ukiukwaji wa sheria za uchaguzi kutokana na taarifa iliyotolewa na Wa . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

JICA kushirikiana na TZ katika utekelezaji wa mradi mbalimbali ya maendeleo nchini

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa Shirika la Kimataifa la Maendeleo la Japan (JICA) limeihakikishia Serikali ya Tanzania  ya Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa litaendelea kushirikiana nayo kat . . .

afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Joseph Kabila akutana na viongozi wa Dini nchini Goma

Rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Joseph Kabila ameonekana kwa mara ya kwanza tangu kuondolewa kinga ya kutoshtakiwa na seneti huku akionyesha nia ya kujitokeza tena kisiasa Kabila am . . .

Top Story
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

TUME YA MAADILI YA UONGOZI WA UMMA YAOMBA USHIRIKIANO BAINA YA VIONGOZI

TUME ya Maadili ya Viongozi wa Umma imewataka wahariri na waandishi wa habari kuendelea kushirikiana nayo katika kuwaibua viongozi wanaokiuka maadili ili kuimarisha uwajibikaji na utawala bora nchini. . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

ZIARA YA MAJALIWA YA.KUTANISHA NA WAZIRI WA JAPAN

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amekutana na Waziri Mkuu wa Japan Ishiba  Shigeru ambaye amemuhakikishia kuwa nchi hiyo itaendelea kuimarisha ushirikiano na Tanzania jambo ambalo linalenga kuchochea . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

CHAMA CHA CHAUMMA KINATARAJIA KUANZA ZIARA 3 JUNI

Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kinatarajia kuanza ziara rasmi kuanzia tarehe 3 Juni mwaka huu katika jiji la Mwanza. Ziara hiyo inalenga kuwakaribisha wanachama wapya, kutambulisha safu ya . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

WANNE WAFARIKI NA WAWILI KUKANYAGWA KATIKA VURUGU ZA KUWANIA CHAKULA

Maelfu ya watu wenye njaa kali wamevamia ghala la misaada katikati mwa Ukanda wa Gaza tukio lililoshuhudiwa kupitia  shirika la habari la Reuters. Katika vurugu hizo milio ya risasi ilisika huku . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

WAJUMBE WA KAMATI KUU CCM WAPEWA JUKUMU LA KUISAMBAZA ILANI YA CHAMA UCHAGUZI UTAKAPOWADIA

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefungua mkutano mkuu wa CCM unaofanyika Dodoma na kueleza kuwa agenda kubwa itakuwa ni kuipiti . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

WANAFUNZI WA CHINA KUFUTIWA VIZA NCHINI MAREKANI

Marekani imetangaza kuwa itaanza kufuta viza za Wanafunzi kutoka China hususani wale wanaohusishwa na Chama cha Kikomunisti cha China au wanaosomea fani zinazotajwa kuwa nyeti kwa usalama wa Taifa. T . . .

Bungeni
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

WABUNGE WAHIMIZWA KUFUATA KANUNU NA SHERIA ZA BUNGE

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Tulia Ackson ametoa onyo kali kwa wabunge akiwataka kuzingatia matakwa ya Katiba, sheria na kanuni za Bunge wakati wa kujadili hoja mbalimbali kwa . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

WAZIRI MKUU AWASHAWISHI WAWEKEZAJI KUTOKA JAPAN KUWEKEZA TANZANIA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ameendelea na ziara yake Toyko nchini Japan kwa kuwashawishi Wawekezaji na Wafanyabiashara wakubwa wa Japan kuja kuwekeza kwenye sekta ya kilimo, afya, u . . .

afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

RUTO AWAOMBEA MSAMAHA VIJANA WA GEN Z NA WANAHARAKATI

Rais William Ruto ameomba msamaha kwa vijana na mataifa jirani waTanzania na Uganda katika hatua inayotafasiriwa kuwa  ilitokana na malumbano makubwa ambayo yamedumu mitandaoni kwa wiki mbili sas . . .

Top Story
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

DKt, SAMIA AMEZINDUA NA KUWEKA JIWE LA MSINGI LA MAKAO MAKUU DODOMA

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan leo Mei 28, 2025, ameweka jiwe la msingi la jengo jipya la Makao Makuu ya Chama Cha Mapindu . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

DONALD TRUMP AMEYATAKA MASHIRIKA YA SERIKALI KUFUTA MIKATABA NA CHUO CHA HARVARD

Utawala wa Rais Donald Trump wa Marekani umeyataka mashirika ya Serikali kufuta mikataba na Chuo Kikuu cha Harvard yenye thamani ya kiasi cha dola milioni 100. Hatua hiyo ya Trump ni sehemu ya mapamb . . .

Top Story
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

VIKAO VYA MABALOZI WA KIMATAIFA KUANZA KUFANYIKA DODOMA KUANZIA JUNI 2025

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki (EAC) Balozi Mahmoud Thabit Kombo amesema kuwa kwa kuwa ofisi za wizara yake zinatarajiwa kuhamia rasmi Makao Makuu ya Nchi Dodoma ifikapo Jun . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

CHADEMA WASHINDWA KUTEKELEZA MAELEKEZO YA MSAJILI MKUU WA VYAMA VYA SIASA

Msajili mkuu wa Vyama vya siasa nchini Tanzania ametangaza kusitisha kutoa ruzuku kwa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) hadi pale watakapotekeleza maelekezo ya Ofisi ya Msajili kutokana na M . . .

Bungeni
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Serikali yaweka mpango wa kutangaza ajira mpya 45,000 hivi karibuni

Serikali imesema kabla ya mwaka huu wa fedha kuisha itakuwa imetangaza nafasi za ajira mpya 45,000 kwa kada mbalimbali ambazo utekelezaji wake unafanyika. Mwaka wa fedha wa Serikali unakwisha Juni 30 . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Kuwasili kwa Joseph Kabila nchini Kongo Kwapelekea chama cha PPRD matatani

Rais wa Zamani wa Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo Joseph Kabila amerejea Nchini humo kutafuta Suluhu ya Vita dhidi ya Mzozo wa kisiasa unaendelea.Inaelezwa kuwa rais huyo wa zamani wa Congo aliwasili G . . .

Top Story
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

KAULI YA JOSEPH MSUKUMA BUNGENI KUHUSU WANAHARAKATI KUTOKA KENYA

Mbunge wa Geita Vijijini Joseph Musukuma ametoa kauli kali bungeni akilaani matusi na kejeli wanazotupiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan mtandaoni kutoka kwa baadhi ya wan . . .

Top Story
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

WANANCHI WATAKIWA KUWA WAZALENDO WA NCHI YAO

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Innocent Bashungwa  ametoa wito kwa wananchi kuonyesha uzalendo kwa kutokubali kwa namna yoyote ile kutumika au kushiriki katika njama yoyote ya kuisaliti nchi ya . . .

Top Story
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

TETESI ZILIZOPO KUHUSU MBOWE KUJIUNGA CHAUMMA

Mwenyekiti wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) Hashim Rungwe amesema hana tatizo lolote kupokea msaada kutoka kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) endapo utatolewa kwa nia njema akisisitiza kuwa siasa si . . .

Top Story
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

DK,TULIA AWANIA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA UYOLE

Siku chache baada ya Mbunge wa Mbeya Mjini Dk Tulia Ackson kutangaza nia ya kugombea ubunge katika Jimbo jipya la Uyole makada wawili wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wameanza kupigana vikumbo Mbeya Mjini . . .

Kurasa 1 ya 12

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Top Stories
news
  • 11 masaa yaliopita

PSG watwaa kombe la kwanza Ligi ya Mabingwa Ulaya

Matukio
news
  • 2 siku zilizopita

Marekani yatoa siku 60 Gaza kusitisha vita, kuachiliwa kwa wafungwa pamoja na mateka wote.

Top Stories
news
  • 3 siku zilizopita

MWANAUME ALIYE VUNJA REKODI DUNIANI KWA KUKIMBIA KWA KASI ZAIDI

Matukio
news
  • 3 siku zilizopita

Israeli yatangaza kifo cha Mohammed Sinwar, anayechukuliwa kuwa Kiongozi wa Hamas

Matukio
news
  • 3 siku zilizopita

Mwanafunzi wa Kidato cha 3 Apatikana Ameuawa Akielekea Shuleni Asubuhi

Matukio
news
  • 3 siku zilizopita

MTUNZI WA RIWAYA NA TAMTHILIA GWIJI NGUGI WA THIONG’O AFARIKI DUNIA.

Top Stories
news
  • 4 siku zilizopita

TAMKO LA SERIKALI KUELEKEA MAADHIMISHO YA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI JUNI 5

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • PSG watwaa kombe la kwanza Ligi ya Mabingwa Ulaya

    • 11 masaa yaliopita
  • Kiungo Liverpool atwaa tuzo, awabwaga Cole Palmer na wenzake

    • 18 masaa yaliopita
  • Rekodi za mrithi wa Trent Alexander Arnold ni balaa

    • 18 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode