1. KARIBU UTANGAZE BIASHARA AU SUALA LAKO NA SISI ... TUNAFIKIA WENGI NDANI NA NJE YA NCHI

  • MWANZA 93.7MH/z |
Jembe Burudani

Rayvanny aweka rekodi, apata × 8 za Gold India

Msanii wa Bongo Flava nchiniTanzania@rayvanny , ameendelea kuweka rekodi na kuthibitisha ukubwa wake kimataifa baada ya wimbo wak . . .

MSANII TEKNO AAMUA KUGAWA PESA ZAKE ZA USHINDI KWA MASHABIKI ZAKE

Msanii maarufu kutoka Nigeria, Tekno, amevutia hisia nyingi baada ya kushinda ₦298,000,000 kupitia mchezo wa betting. Kiasi hiki . . .

Jembe Michezo

Yanga na Pyramid ndio zina safu bora ya ulinzi kwenye mizunguko miwili ya CAF Champions league

Vigogo wa Afrika, Young Africans SC ya Tanzania na Pyramids FC ya Misri, ndiyo timu pekee ambazo hadi sasa hazijaruhusu goli katik . . .

Bondia wa Kitanzania Lupakisyo Shoti atwaa ubingwa IBO International

Bondia wa Kitanzania, Lupakisyo Mohamedi Shoti, ameandika historia mpya katika ngumi za kulipwa baada ya kumshinda Mromania Daniel . . .

Jembe Habari

BARAZA LAMCHAGUA SARA NG'HWANI KUWA MEYA

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela Mkoani Mwanza limempitisha Diwani wa kata ya Buswelu Bi  Sara Poul N . . .

Habari Zote
Top Story

BARAZA LAMCHAGUA SARA NG'HWANI KUWA MEYA

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela Mkoani Mwanza limempitisha Diwani wa kata ya Buswelu Bi  Sara Poul Ng'hwani ku . . .

Kimataifa

Wanamgambo wa RSF waliteka eneo la Babanusa, jimbo la Kordof

Vikosi vya RSF nchini Sudan vimesema, vimechukua udhibiti kamili wa eneo muhimu la Babanusa, linalotumika pakubwa kwa usafirishaji kusini mw . . .

Kitaifa

Mkoa wa Katavi wafungua fursa mpya za uwekezaji katika sekta ya Madini

Mkoa wa Katavi umeendelea kuwa kivutio cha wawekezaji kufuatia maboresho makubwa ya miundombinu, usalama na kasi ya utoaji leseni katika Sek . . .

Kimataifa

Waziri wa ulinzi Nigeria ajiuzulu

Waziri wa Ulinzi wa Nigeria Mohammed Badaru Abubakar amejiondoa madarakani wakati taifa hilo likikumbwa na ongezeko la matukio ya kutatanish . . .

Kimataifa

Putin anatarajiwa kukutana na ujumbe maalum wa Marekani kujadili vita ya Ukraine

Rais wa Russia Vladimir Putin anatarajiwa kukutana na mjumbe maalum wa Marekani Steve Witkoff mjini Moscow leo Desemba 2 mwaka huu baada ya . . .

SOKA

Yanga na Pyramid ndio zina safu bora ya ulinzi kwenye mizunguko miwili ya CAF Champions league

Vigogo wa Afrika, Young Africans SC ya Tanzania na Pyramids FC ya Misri, ndiyo timu pekee ambazo hadi sasa hazijaruhusu goli katika mizunguk . . .