1. KARIBU UTANGAZE BIASHARA AU SUALA LAKO NA SISI ... TUNAFIKIA WENGI NDANI NA NJE YA NCHI

  • MWANZA 93.7MH/z |
Jembe Burudani

Marioo Atoa Kauli Nzito Kuhusu Mke Wake

Msanii maarufu wa muziki wa Bongo Fleva, Marioo, amezua gumzo mitandaoni baada ya kuandika ujumbe mrefu wenye hisia kali kupitia u . . .

Surraiya Rimoy amewataka mashabiki wakea kutodanganyika na Maisha Yake ya Mitandaoni

 Msanii  maarufu wa mitindo, Surraiya Rimoy almaarufu kama Sanchi, ameweka wazi kuwa maisha anayoyaonesha kwenye mitanda . . .

Jembe Michezo

Knock Out ya Mama yaendelea kuitangaza ngumi ya Tanzania

Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Ndg. Gerson Msigwa amesema Michezo ni aj . . .

Jembe Habari

Donald Trump atishia kusitisha ununuzi wa mafuta ya kupikia kutoka China

Rais wa Marekani Donald Trump ameikosoa China siku ya Jumanne, Oktoba 14, kwa kutonunua tena soya kutoka Marekani na kudai kuwa nc . . .

Majaliwa ashiriki ibada ya kumwombea baba wa taifa

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa leo Oktoba 14 mwaka huu ameshiriki katika Ibada ya kumuombea Baba wa Taifa Hayati Mwalimu. Julius Kamb . . .

Habari Zote
Kimataifa

Donald Trump atishia kusitisha ununuzi wa mafuta ya kupikia kutoka China

Rais wa Marekani Donald Trump ameikosoa China siku ya Jumanne, Oktoba 14, kwa kutonunua tena soya kutoka Marekani na kudai kuwa nchi yake in . . .

Afrika

Wanajeshi wachukuwa madaraka baada ya rais kuondolewa na Bunge

Bunge la taifa la Madagascar limepiga kura ya kumuondoa Rais Andry Rajoelina kwa kura nyingi (130 kati ya wabunge 163) siku ya Jumanne, Okto . . .

Habari

Kukubali Masharti Bila Kusoma Yatajwa Kuhatarisha Usalama wa Taarifa Binafsi

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imeonya watumiaji wa simu na mitandao kuacha tabia ya kukubali masharti (Terms and Conditions) . . .

Kitaifa

Mpango amewasili Viwanja vya Sokoine kushiriki kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Isdory Mpango, amewasili katika Viwanja vya Sokoine jijini Mbeya kushiriki kilele . . .

Kitaifa

MANISPAA YA GEITA YANG’ARA KITAIFA KATIKA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025

Halmashauri ya Manispaa ya Geita imeibuka mshindi wa kwanza kitaifa katika mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka huu ikiongoza miongoni mwa Halmasha . . .

Habari

Watanzania wasisitizwa kuendelea kumwombea baba wa taifa

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Philip Mpango amewasihi Watanzania kuendelea kumuombea Baba wa Taifa hayati Mwalim . . .