Emperor T-Jiga Azidi Kutamba Na Kilode

Msanii Wa Muziki Wa Nchini  Ghana Ambaye Pia Ni Mwandishi Wa Nyimbo,Mtayarishaji Wa Muziki ,Mtumbuizaji Na Mshindi Wa Tuzo Pia Ambaye Amefanikiwa Kufanya Kazi Nyingi Mbali Mbali Emperor T- Jig Ani Moja Kati Ya Msanii Ambaye Kwa Nafasi Yake Amefanikiwa Sana Kufikisha Muziki Wake Mbali Kutokana Na Ujumbe Ambao Msanii Huyo Amekuwa akitoa Kwa Jamii.

 

Licha Ya Kuachia Kazi Nyingi Na Pamoja Na Kuwa Na Mpango Wa Kuachia Kazi Nyingi Zijazo T-Jiga Ameendelea Kufanya Vyema Na Wimbo Wake Uitwao Kilode Akiwa Ameshirikiana Na Msanii Maarufu Ambaye Anafahamika Kwa Jina La Cabdrinny.


Emperor T Jiga Yuko Mbioni Kuendelea Kuliteka Soko La Muziki Katika Kanda Zote Za Afrika Nan Je Ya Afrika Pia.

Kazi Hii Inapatikana Katika Vyanzo Vyote Vya Kupakua Na Kutunza Muziki Ulimwenguni.

Pata Habari Kupitia Mitandao Yetu Ya Kijamii