logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Burudani

  • Pata Habari Zote Za Burudani Hapa
news
mastaa
  • Na Asha Business
  • October 23, 2024

Ruger aitamani kolabo ya Bob Marley

Msanii Michael Adebayo Olayinka Maarufu kama Ruger kutoka nchini Nigeria amefunguka moja kati ya wasanii ambao angetamani kabisa kufanya nao wimbo kama wangelikuwa hai ba . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • October 23, 2024

Ripoti ya Uchunguzi Maiti ya Mohbad iko Tayari

Ripoti ya uchunguzi wa maiti (toxicology) na uchambuzi mwingine wa kitaalamu uliofanywa nchini Marekani kuhusu rapa marehemu, Ilerioluwa Oladimeji Aloba maarufu kama Mohb . . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • October 18, 2024

Emperor T-Jiga Azidi Kutamba Na Kilode

Msanii Wa Muziki Wa Nchini  Ghana Ambaye Pia Ni Mwandishi Wa Nyimbo,Mtayarishaji Wa Muziki ,Mtumbuizaji Na Mshindi Wa Tuzo Pia Ambaye Amefanikiwa Kufanya Kazi N . . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • October 16, 2024

Sauti za Busara Yatoa Orodha ya Wasanii kwa Tamasha la 2025

Waandaji wa Tamasha la Sauti za Busara, linalofanyika visiwani Zanzibar kila Februari, wametangaza orodha ya wasanii watakaotumbuiza katika tamasha la 22, litakalofanyika . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • October 14, 2024

HARMONIZE ALIVYOIPAGAWISHA WANANCHI WA BUKOMBE

HARMONIZE ALIVYOIPAGAWISHA WANANCHI WA BUKOMBE . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • October 13, 2024

Wa South Africa Hawamtaki Chriss Brown Afanye Show Nchini Kwao

Kikundi cha Utetezi wa Wanawake (Woman Change) Afrika Kusini kimeanzisha Kampeni ya kutaka kusitishwa kwa Tamasha lijalo la Msanii #ChrisBrown Nchini humo Disemba 14.2024 . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • October 2, 2024

BASATA WALAANI KITENDO CHA ZUCHU KUTUPIWA VITU JUKWAANI MBEYA

Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limelaani vikali kitendo alichofanyiwa Mwimbaji wa Bongo Flava, Zuhura Othman Soud (@officialzuchu ) cha Mashabiki kumtupia vitu jukwani . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • September 29, 2024

BONGO PIA KUNA KINA DIDDY IPO SIKU WATATAJWA

Producer Mkongwe Master Jay amefunguka kuwa kila nchi kuna watu ambao bila wao huwezi kutoboa kwenye tasnia ya burudani, kitaalamu zaidi wanaitwa "Gatekeepers" wao wana n . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • September 26, 2024

Tuhuma zote zinazotolewa dhidi ya rapa wa Marekani, P Diddy

Sean Combs, anayejulikana kama P Diddy au Puff Daddy, rapa na nguli wa muziki anayesifiwa kwa kuanzisha kazi za mastaa wakuu, amekuwa akitangaziwa hivi karibuni kwa shida . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • September 26, 2024

WATOTO WA P DIDDY WAWEKA MSIMAMO KUSIMAMA NA BABA YAO

Watoto wa Diddy na Kim Porter wamezungumzia uvumi unaoendelea kuhusu uhusiano wa wazazi wao pamoja na kifo cha mama yao, Kim Porter. Kwenye taarifa yao, Quincy, Christian . . .

news
Top Story
  • Na Nattyebrandy
  • September 20, 2024

C-Unit safari hii wanasema hakuna kukata tamaa “Odieshi"

Mapacha wanaoimba, Onyedika Pascal Ike na Onyebuchi Anthony Ike, wanaojulikana pamoja na kitaaluma kama C-UNIT, wameweka jina lao kwenye tasnia ya muziki kwa wimbo mpyaam . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • September 12, 2024

Chino Kidd Atoa Ujumbe Kwa Vijana Wenye Mafanikio Kifedha

Chino Kidd ametoa ujumbe mzito kwa vijana na watu wote, akisisitiza umuhimu wa kumweka Mungu karibu, hasa wakati ambao mtu ana mafanikio. Anasema kuwa kipindi ambacho mtu . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • September 12, 2024

Portable"Sitajishusha kwa Davido mimi ni tajiri kuliko yeye"

Katika mahojiano ya hivi majuzi kwenye chaneli rasmi ya YouTube ya Echo Room, mwimbaji maarufu wa Nigeria Portable amefunguka kuhusu kukutana kwake na mwimbaji mwenzake D . . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • September 11, 2024

INNOCENT KAZERA AAMUA KUIBARIKI TANZANIA NA BAHATI BUKUKU

Msanii Wa Muziki Wa Injili Kutoka Nchini Burundi Ambaye Makazi Yake Ni Nchini Canada Licha Ya KuhudumuKatika Shughuli Za Kumtukuza Na Kumuabudu Mungu Amekuwa Akifanya Muz . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • September 11, 2024

MwigizajiTyrese Akamatwa na Polisi Kwa Kushindwa Kulipa Matunzo ya Mtoto Milioni 27 Kwa Mwezi

Tyrese Gibson alikamatwa mahakamani Jumatatu asubuhi kwa kushindwa kulipa matunzo ya mtoto kwa mke wake wa zamani, Samantha Lee.Kwa mujibu wa TMZ, muigizaji huyo wa “Fa . . .

news
Mastaa
  • Na Nattyebrandy
  • September 6, 2024

DJ DAVIZO KUWANIA TUZO ZA TMA AKIWA NA PARTY LOVER

Msanii wa muziki wa miondoko ya dancehall ambaye anawakilisha jiji la Arusha David mchome maarufu kwa jina la Dj Davizo a.k.a bunduki mwaka jana alifanikiwa kuachia singl . . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • August 29, 2024

ROBY TONE ANASEMA BAADA YA SIRI SASA NI NAKUGANDA

Tanzania imebarikiwa vipaji vingi ,na kila siku kuna wasanii wapya wanaibuka katika kulisukuma gurudumu la muziki Tanzania kama inavyoaminika kuwa muziki ni biashara ulim . . .

news
Top Story
  • Na Nattyebrandy
  • August 29, 2024

RICH MAVOKO KUFANYA ALBUM NDIO UKUBWA WA MSANII NITATOA NYINGINE.

Rich mavoko ambaye mwaka huu tangu uanze nyimbo alizoachia ni tatu yaani miss you,my g na sasa ni kill myself akiwa ameshirikiana na chino kid moja ya msanii ambaye kwake . . .

news
Mastaa
  • Na Nattyebrandy
  • August 29, 2024

BAYO THE GREATEST SINGELI NI MZIKI AMBAO UMEUZIDI DANCEHALL TANZANIA

Bayo ni moja ya msanii ambaye amekuwa kaifanya vizuri kutoka nchini Tanzania akiwa anawakilisha mziki wa dancehall akiwa pia anawakilisha mkoa wa Mwanza. Amefanikiwa . . .

news
Mastaa
  • Na Nattyebrandy
  • August 21, 2024

Shakira Akiri urafiki una nguvu zaidi kuliko mapenzi

Mwanamuziki wa muda mrefu kutoka nchi Colombia Shakira ambaye mwaka huu aliuanza kwa kuachia album yake mpya ambayo iliambatana na ziara yake ya muziki baada ya kukaa kim . . .

news
Top Story
  • Na Nattyebrandy
  • August 21, 2024

KIRI RECORDS YAIRUDISHA DAKIKA MOJA KWA MASHABIKI

Kiri records ni moja kati ya lebo ya muziki nchini Tanzania ambayo imekuwa na mchango mkubwa sana katika kukuza Sanaa ya muziki Tanzania katika kutoa vipaji vingi tofauti . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • August 2, 2024

Burna Boy, akabidhi taji lake la African Giant kwa mwenzake

Mwimbaji wa Nigeria, Damini Ogulu, almaarufu Burna Boy, amemkabidhi taji lake la African Giant kwa mwenzake, Folarin Falana, almaarufu Falz the Bahd Guy.Burna Boy alifich . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • July 17, 2024

Mama aliyetekwa nyara wa Mwanamuziki maarufu wa Kihausa, Rarara, aachiliwa

Baada ya siku 20 kifungoni Hajiya Hauwa'u Adamu, mamake mwanamuziki mashuhuri wa Kihausa, Dauda Adamu, almaarufu Rarara, hatimaye amepata uhuru wake.Habari za uhuru wake . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • June 19, 2024

Vanessa Kashera Afunguka Mobetto Kuvunja Penzi Lake na Aziz Ki

Msanii wa Filamu za kibongo, Vanessa Kashera maarufu 'Vee Kashera' ameibuka na kudai kwamba mwanamitindo Hamisa Mobetto hawezi kuvunja mahusiano yake na kiungo mshambulia . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • June 16, 2024

Producer S2Kizzy Amjibu Baddest 47 Kuhusu Rayvanny Kumuibia Wimbo wa Sensema

Mtaarishaji wa muziki kutoka Bongo @s2kizzy amemjibu Msanii @badest_47 kuhusu madai ya kuwa ameibiwa Idea ya wimbo wa #Sensema ulioachiwa usiku wa kuamkia leo na Mastaa @ . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • June 13, 2024

Celine Dion Japo Bado Mgonjwa Adai Atarudi Jukwaani Hata Kwa Kutambaa

Mwanamuziki mkongwe na maarufu duniani kutokea nchini Canada, Celine Dion amesema hataruhusu vita vyake na ugonjwa unaomsumbua wa (Stiff Person Syndrome) kumzuia kufanya . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • June 10, 2024

Nick Cannon akatia Korodani zake Bima ya Bilioni 26

Muigizaji na mtangazaji wa TV maarufu nchini Marekani, Nick Cannon ameweka bima ya Korodani zake $10 Milion sawa na Bilioni 26 za kitanzania.Cannon ameamua kufanya hivyo . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • June 3, 2024

Babake Mohbad analia kwa kunyimwa maabara ya Marekani, adai majibu

Joseph Aloba, baba wa marehemu mwimbaji, Ilerioluwa Oladimeji Aloba, anayejulikana pia kama Mohbad, anasema alisikitishwa sana kujua kwamba uongozi wa Maabara ya Huduma z . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • May 28, 2024

Alikiba amchukua mfanyakazi wa Wasafi Media

Alikiba ameandika kuwa “HANS! @hansrafael14 Mimi ni miongoni mwa Mashabiki wa kazi yako, namna unavyochambua Football na kuufanya uonekane mchezo wa kimahesab . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • May 24, 2024

Diamond Platnumz Ataja na Kufunguka Wazi Kinachofanya Ampende Zuchu Kupindukia: "Ni Matunzo Tu"

 Diamond Platnumz na Zuchu wamethibitisha kuwa mapenzi yao bado yana nguvu baada ya kushiriki vipande vya wimbo wao mpya unaotarajiwa. Zuchu, wiki moja iliyopit . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • May 22, 2024

Drake Aliwa Bilioni 1.4 Kisa Kumbetia Tyson Fury

Rapa Drake amepata hasara ya Dollar laki 565 sawa na tsh bilioni 1.4 mara baada ya kuliwa kwenye kamari aliyocheza usiku wa kuamkia jumapili.Kamari hiyo Drake alicheza ka . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • May 20, 2024

Diddy Aiomba Msamaha Dunia Baada ya VIDEO Kutoka Akimpiga Cassie Hotelini

Sean "Diddy" Combs ameomba msamaha kwa tabia yake "isiyo na udhuru" baada ya CCTV kuonekana kumuonyesha akimshambulia mwimbaji Casandra "Cassie" Ventura.Akiongea kwenye v . . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • May 17, 2024

VANILLAH :MBOSSO ,IBRAAH NA D VOICE LOLOTE LINAWEZA KUTOKEA

Msanii wa kizazi kipya kutoka Mwanza Tanzania Vanillah music ambaye kwa sasa ni msanii ambaye anasimamiwa chini uya lebo ya muziki maarufu kings music amefanikiwa kwa asi . . .

Kurasa 2 ya 12

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Majaliwa na Waziri Mkuu wa Côte d’Ivoire Wajadili Ushirikiano wa Kiuchumi na Kilimo

    • 14 masaa yaliopita
  • Rais Maskini Zaidi Duniani Afariki Akiwa na Umri wa Miaka 89

    • 14 masaa yaliopita
  • PAMBA JIJI YAISHUSHA DARAJA KAGERA SUGAR, YANGA KAMA KAWAIDA

    • jana

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode