logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Burudani

  • Pata Habari Zote Za Burudani Hapa
news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • October 13, 2022

MTAYARISHAJI NGULI WA MUZIKI KUTOKA NIGERIA MASTERKRAFTS KUJA NA EP.

Sunday Ginikachukwu Nweke Maarufu Kwa Jina La Masterkraft Mtayarishaji Wa Muziki Kutoka Nchini Nigeria Ambaye Amefanikiwa Kufanya Kazi Na Wasanii Mbali Mbali Kutoka Nchin . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • October 13, 2022

Zuchu aingia tuzo za MTV EMA, kipengele kimoja Burna boy, Tems na Ayra Starr na wengine

Zoezi la upigaji kura limezinduliwa rasmi leo kuwapa nafasi mashabiki kuwapigia kura Wasanii na kazi za sanaa ya muziki wazipendazo na kuwezesha ushindi wao kwenye vipeng . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • October 12, 2022

DJ Khaled atinga studio na Burnaboy

Producer maarufu nchini Marekani na duniani kwa ujumla DJ Khaled amekutana na staa wa muziki barani Africa Burnaboy studio na kurekodi baadhi ya nyimbo wakiwa pamoja.Taar . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • October 12, 2022

Justina Syokau " Nataka Nifanye Upasuaji Wa Kuongeza Makalio Ili Niwavutia Wanaume kwa Mungu"

Mwimbaji wa nyimbo za Injili Justina Syokau amefichua mipango yake kuhusu kufanyiwa upasuaji ili kuongeza makalio yake.Mwimbaji huyo alidai kuwa ataanza na upasuaji ujuli . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • October 10, 2022

Burna Boy Aalikwa Paris Kwenye Party ya Beyonce

 BurnaBoy amealikwa kwenye Private Party ya Beyonce, unaambiwa ni watu wachache sana Wamealikwa kwenye party hiyo. Wangekuwa Ndugu zetu wamealikwa tusingepumua.Hii s . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • October 7, 2022

Mume wa Vera Sidika Afunguka "Nitampenda hadi mwisho"

Mwimbaji wa muziki toka Kenya, Brown Mauzo yeye kwake umbo la kuvunja chaga sio inshu, ameeleza kwamba atampenda zaidi mke wake Vera Sidika na muonekano huu alionao hivi . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • October 5, 2022

Kill Paul Aupiga Mwingi Kwenye Tv Show Kubwa

Mtengeneza wa Maudhui maarufu nchini Tanzania, ambae amejizolea umaarufu mkubwa Kwenye Mtandao wa Tiktok Pamoja na Instagram Maudhui ambayo yalimfanya ajizolee mashabiki . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • October 4, 2022

Kim Kardashian afungiwa kutangaza crypto

Mwanadada maarufu Kim Kardashian amefungiwa kwa miaka mitatu kuitangaza na atalipa faini ya dola milioni 1 ili kulipia mashtaka ya serikali dhidi yake ambapo alipendekeza . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • October 3, 2022

Davido Aingia Kanisani Baada ya Kuasi Kwa Miaka Mitatu

Supastaa Davido ameweka wazi kwamba jana Jumapili alifanikiwa kuingia Kanisani na kutekeleza Ibada ikiwa ni miaka mitatu kutokufanya hivyo.Davido ameeleza hilo kupitia in . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • September 29, 2022

Queen Darleen “Acha Wanione Mjinga”

Msanii wa Bongo Fleva Queen Darleen aliye chini ya Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB) ya Diamond Platnumz ambaye ameibuka kusema kwamba acha watu wamuone mjinga baada ya k . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • September 29, 2022

Rapa Coolio Afariki Dunia

Rapa wa Marekani Coolio amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 59. Coolio ambaye alipata umaarufu kwenye miaka ya 90 akiwa na Hits zake kama “Gangsta's Paradise” na . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • September 27, 2022

Official Lyyn " Diamond Platnumz Alikuja Kwetu Kujitambulisha ili Anioa Mazima, Alinicheat "

Msanii wa Bongofleva, Official Lyyn ameongea kuhusu mahusiano na Diamond Platnumz kwenye kipindi cha Lavi Davi cha Wasafi FM na Diva,Official Lyyn Amesema, "Nimekaa na Di . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • September 23, 2022

Chege Chigunda " Kulipwa Milioni 25 na Rayvanny"

Mwanamuziki Chege Chigunda akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar es salaam amefunguka kutokulipwa kiasi cha Sh Milioni 25 na msanii Rayvanny kama ambavyo Mwij . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • September 23, 2022

Wakazi Apata Ajali Mbaya ya Gari Nchini Marekani

Mwanamuziki wa Hip Hop Nchini Wakazi ametangaza kunusurika Kifo kwenye ajali mbaya ya gari. rapper huyo kwa sasa yupo zake nchini Marekani, Kupitia taarifa yake ambayo am . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • September 22, 2022

Rapa cardi B " harusi yangu ni sasa"

Rapa Cardi B kutoka Marekani, ameweka wazi kuwa ni muda wa harusi yake sasa na mumewe rapa Kiari Kendrell Cephus maarufu kama Offset, baada ya kufikisha miaka mitano ya n . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • September 21, 2022

Wasanii wa Nigeria wameitawala Top 20 ya wasanii wa Afrika Spotify

Wasanii wa Nigeria wameitawala Top 20 ya wasanii wa Afrika ambao wana idadi kubwa ya wasikilizaji wa mwezi kwenye mtandao wa Spotify (Africa's Most Spotify Monthly Listen . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • September 16, 2022

Kanye West Avunja Mkataba na Kampuni ya Kuuza na Kusambaza Bidhaa Zake "Nitafanya Mwenyewe"

Rappa na mfanyabiashara Kanye West 'YE' anaripotiwa kuwa amefikia maamuzi ya kuvunja mkataba wake na Kampuni Ya GAP iliyokuwa ikihusika na uuzaji pamoja na usambazaji wa . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • September 16, 2022

Dully Sykes "Wasanii Wengine Wananiita Mjinga"

Mkongwe wa muziki wa Bongo Fleva princedullysykes ameamua kuvunja ukimya kufuatia baadhi ya wasanii wenzake wa zamani kumuona yeye kama mjinga anavyokuwa anafanya kazi na . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • September 15, 2022

HAWA NDIO WASANII WALIO NG'ARA KWENYE TUZO ZA AFRIMA

Tuzo za AFRIMA Siku ya Jana Wametoa List ya wasanii Waafrika Waliochaguliwa Kuwania Tuzo hizo Barani Afrika , Katika Wasanii Kutoka Tanzania walioingia Katika List Hiyo n . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • September 14, 2022

OMMY DIMPOZ AMLIPUA BABA YAKE

Msanii wa bongo fleva , omary nyembo alimaarufu ommy dimpozi amesema baba yake mzazi alimtelekeza akiwa mdogo na hakuwahi kumuonesha mapenzi tangu azaliwe mpaka sasa.akiz . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • September 12, 2022

Wizkid Kwa Mara Ya Kwanza Afrika kupanda kwenye Tamasha la Rolling Loud.

Staa wa muziki nchini Nigeria  Wizkid anakuwa Msanii wa kwanza wa Kiafrika kuwa kwenye vichwa cha habari duniani kote baada ya kuhudhuria kwenye tamasha kubwa zaidi . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • September 9, 2022

Hatimaye Paula Kajala Amkubali Harmonize Kama Baba

Hatimae mtoto wa mpenzi wa mwanamuziki harmonize Kajala Masanja #PaulaKajala kwa mara ya kwanza amemtambua @harmonize_tz kama baba yake hadharani kupitia ukurasa wake wa . . .

news
Mastaa
  • Na Nattyebrandy
  • September 8, 2022

BAD BOY TIMZ KUJA KIVINGINE HIVI KARIBUNI

Alifanya vizuri na kazi kadhaa ikiwemo check and balance,mj,complete me ,move pamoja  have fun lakini hivi karibuni ameachia wimbo wake uitwao iz going Unaoende . . .

news
Muziki
  • Na Asha Business
  • September 5, 2022

KANYE WEST AUTAJA WIMBO ESSENCE NI WIMBO BORA KATIKA HISTORIA YA MUZIKI.

Rapper Kanye West ametumia ukurasa wake wa Instagram kutoa hisia zake juu ya wimbo wa Wizkid “Essence ” akiutaja kama wimbo bora toka historia ya muziki ianze hadi hi . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • August 30, 2022

Nigeria imepiga marufuku wasanii na wanamitindo kupewa matangazo ambao sio raia wa taifa hilo

hatua hiyo inachochewa na nia ya Serikali ya Shirikisho katika kuendeleza vipaji vya ndani, ukuaji wa uchumi jumuishi, na kukuza sekta ya utangazaji ya nchi hiyo ya Afrik . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • August 30, 2022

Roma Mkatoliki na Wakazi wararuana mtandaoni

Wakali wawili wa kurap kunako industry ya muziki wa Bongo Fleva  Ibrahim Mussa alimaarufu Roma Mkatoliki pamoja na msanii mwenzake Webiro Wassira alimaarufu Wakazi w . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • August 29, 2022

Rasmi Mpiga Picha Lukamba Atangaza Kuacha Kufanya Kazi na Diamond Platnumz

Baada ya kutoonekana kufanya kazi na mwanamuziki @diamondplatnumz hatimae leo hii aliyekua videographer na mpiga picha rasmi wa Diamond @lukambaofficial ameweka wazi kuwa . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • August 29, 2022

Bei Za Diamond Platnumz, Davido na Buena Boy Kutumbuiza Kimataifa Zawekwa wazi.

Kwa upande wa Diamond Platnumz, wameandika kwamba kwa sasa analipwa kiasi cha ($100,000) zaidi ya TSh. 234M pia waandaaji wakilazimika kumgharamia usafiri wa ndege binafs . . .

news
Top Story
  • Na Nattyebrandy
  • August 28, 2022

MSANII CHIKE AMETULETEA THE BROTHER’S KEEPER

The brother’s keeper ni album ya pili ikifuatia album yake ya kwanza ambayo ilikuwa inafahamika kwa jina la Boo of the Booless ambayo ilifanikiwa na wimbo kama Running . . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • August 27, 2022

VIAN MUSIC ANAKIRI KUWA MZIKI WA UGANDA NI CHANGAMOTO.

Baada ya kufanikiwa kupokelewa vizuri na mashabiki kutoka nchini uganda miaka miwili iliyopita kupitia wimbo wake uitwao kili wakati akiwa ameshirikiana na gravity ommutu . . .

news
Mastaa
  • Na Nattyebrandy
  • August 27, 2022

ZARA OZAY KUTOKA NIGERIA ALILIA KOLABO YA HARMONIZE NA DIAMOND

Msanii wa muziki wa miondoko ya hiphop na afro beat zara ozay mwenye asili ya nchini nigeria ambaye anafanya vizuri na wimbo wake wa beau_e akiwa ameshirikiana na shun br . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • August 25, 2022

Vanessa Mdee "Naombeni Mnilipe Pesa Zangu"

Supastaa @vanessamdee leo Alhamisi ameamka na mood ya kukusanya madeni yake, kupitia ukurasa wake wa twitter asubuhi hii ameitolea uvivu kampuni ya MZIIKI ambayo imekuwa . . .

news
Mastaa
  • Na Nattyebrandy
  • August 19, 2022

XLIM JAY AUNGANA NA JAYWILLZ NDANI YA MARATHON

Xlim Jay ni Msanii kutoka nchini Nigeria Mwenye makaza Yake nchini Africa ya Musani ambaye amekuwa akifanya muziki kwa kipindi Kirefu na sasa ameamua Muziki wake uzidi kw . . .

Kurasa 10 ya 14

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

    • 8 masaa yaliopita
  • Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

    • 8 masaa yaliopita
  • Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

    • 9 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode