• Ijumaa , Mei 9 , 2025

Justina Syokau " Nataka Nifanye Upasuaji Wa Kuongeza Makalio Ili Niwavutia Wanaume kwa Mungu"

Mwimbaji wa nyimbo za Injili Justina Syokau amefichua mipango yake kuhusu kufanyiwa upasuaji ili kuongeza makalio yake.

Mwimbaji huyo alidai kuwa ataanza na upasuaji ujuliokanao kama liposuction kupunguza mafuta tumboni mwake.

Liposuction ni aina ya upasuaji unaotumia mbinu ya kufyonza na kupunguza mafuta mwilini. Upasuaji huo sio wa kila mtu kwani ni wa bei ghali.

Msanii huyo maarufu wa kibao cha Twendi Twendi alifihua kuwa anampenda Vera Sidika na anataka kufanana na sosholaiti huyo.

Pata Habari Kupitia Mitandao Yetu Ya Kijamii