logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Mauaji
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Anayedaiwa kumuua mumwe anatafutwa

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linamsaka mwanamke mmoja aliyetambulika kwa jina moja la Mgore anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 25 na mkaz . . .

Mastaa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Enock Bella ajitokeza kumuomba msamaha Mbosso

Msaniii Enock Bella amejitokeza hadharani kumuomba msamaha Mbosso kwa yote ambayo amemkosea katika maisha waliyoishi zamani mpaka sasa.Enock . . .

Makala
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

BARAKA ROSE ,Aliyelelewa na wanyama porini yuko Dar

KATIKA mitaa ya Segerea jijini Dar es Salaam, kijana Baraka Rose, anaishi na ndiko anakofanya harakati za kujitafutia kipato, akijiajiri mwe . . .

UTALII
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Tanzania kushiriki vipengele 50 Tuzo za Utalii Duniani

Wageni 250 wanatarajiwa kushiriki katika utoaji Tuzo za Utalii Duniani Kanda ya Afrika na Bahari ya Hindi kwa mwaka 2025 (World Travel Award . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Kocha wa soka, mkufunzi wa ndondi washtakiwa kuambia waandamanaji wavamie Ikulu

KOCHA wa zamani wa timu ya taifa ya soka, Harambee Stars, Robert Otiti, na mkufunzi wa ndondi katika ukumbi wa Muthurwa na Makongeni, Suleim . . .

afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Leo DRC-- Rwanda wakutana kusaini mkataba wa amani

Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo leo wanatarajiwa kusaini mkataba muhimu mjini Washington wa kumaliza mzozo uliodumu kwa muda mref . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Fadlu Davids" Tutaboresha Kikosi Simba Kwa Msimu Ujao"

Kocha Mkuu wa Simba SC, Fadlu Davids, amesema kuwa kikosi hicho kinahitaji maboresho baada ya kumaliza msimu wa Ligi Kuu Bara kikiwa nafasi . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Watakaobainika na hatia ya kuwatumikisha watoto sheria kutowaonee huruma

HIVI karibuni serikali ilitoa takwimu zikionesha utumikishwaji wa watoto umepungua kutoka asilimia 29 mwaka 2014 hadi asilimia 24.9 mwaka 20 . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

CCM kuzuia misafara ya wapambe zoezi la uchukuaji fomu

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimepiga marufuku kwa mwanachama yeyote anayeomba kugombea uongozi kualika kundi la wapambe kumsindikiza kwenda of . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Wapalestina 56 wauawa Gaza

 IDARA ya Ulinzi wa Raia katika Ukanda wa Gaza imethibitisha kuwa watu 56 wameuawa  Juni 26, 2025 kufuatia mashambulizi ya anga ya . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Iran yatoa tahadhari nchini Marekani kuhusu mashambulio

 KIONGOZI Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, amesema taifa lake liko tayari kujibu kwa nguvu kubwa endapo Marekani itafanya shambuli . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Dk Biteko mgeni rasmi Nishati Bonanza kesho jijini Dodoma

 NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Bonanza la Wizara ya Nishati na taasisi zak . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

DCEA yabaini pipi za watoto kusafirisha madawa ya kulevya

Serikali kupitia Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imebaini mbinu mpya inayotumiwa na wasafirishaji wa dawa za kul . . .

Uwekezaji
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Tanzania waja na vipengele 50 kuwania tuzo ya utalii duniani

Tuzo za Utalii Duniani (WTA) kwa Kanda ya Afrika na Bahari ya Hindi mwaka 2025 zitafanyika Jumamosi, Juni 28, 2025 jijini Dar es Salaam huku . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

TRC kuongeza safari za treni kutoka Dodoma-Dar

Shirika la Reli Tanzania (TRC) limetangaza kuongeza safari za treni kati ya Dodoma na Dar es Salaam kwa tarehe 27 na 28 Juni 2025. Safari hi . . .

SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Ronaldo apata mkataba mpya kwenda timu ya Al-Nassr

Nyota wa soka duniani, Cristiano Ronaldo, amepewa mkataba wa kipekee na klabu ya Al-Nassr ya Saudi Arabia, ambao unatajwa kuwa miongoni mwa . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Lissu ndani ya mahakama kuu kupinga ushahidi wa siri

Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu leo Juni 27,2025 amefika katika Mahakama ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam kwa ajili ya kesi ya . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Sundowns, Al Ahly, Esperance Watolewa Kombe la Dunia la Vilabu

Juni 26, 2025 – Timu za soka kutoka bara la Afrika zimehitimisha safari yao mapema katika michuano ya Kombe la Dunia la Vilabu 2025, baada . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Nchemba afungwa jela maisha kwa kumbaka mtoto wa miaka sita

Mrisho Mussa Nchemba (31) Mkulima mkazi wa Milama, Kata ya Dakawa wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro , amehukumiwa kifungo cha maisha jela kw . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Babu Owino asema amepokonywa walinzi baada ya kushiriki maandamano

BUNGE wa Embakasi Mashariki, Babu Owino, amefichua kuwa serikali imeondoa walinzi wake rasmi, akidai hatua hiyo imetokana na kushiriki kwake . . .

Mastaa
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

BONGO FLEVA KUFANYA VIZURI

Kwa zaidi ya Miaka saba sasa Game ya muziki wa #BongoFleva imeshindwa kuzalisha wasanii wapya wakubwa ambao tunaweza kujivunia kama wasanii . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Watu 26 wakamatwa kusaidia Israel

Iran imeripoti kuwa watu wasiopungua 26 wamekamatwa katika mkoa wa Khuzestan, kusini magharibi mwa nchi, kwa madai ya kushirikiana na Israel . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Kumalizika kwa tundu jipya la reli mita 602 launganisha China na Urusi

SERIKALI ya China imekamilisha ujenzi wa tundu jipya la reli lenye urefu wa mita 602 katika mji wa Suifenhe, Heilongjiang, hatua inayolenga . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

NATO yakubali kuongeza Bajeti ya Ulinzi hadi asilimia tano

KATIBU Mkuu mpya wa Jumuiya ya Kujihami ya NATO, Mark Rutte, amesema hatua ya kuongeza bajeti ya ulinzi hadi asilimia tano ya pato la Taifa . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Putin hatoshiriki mkutano wa Brics

 RAIS wa Urusi, Vladimir Putin, hatosafiri kwenda Brazil kushiriki mkutano wa BRICS kutokana na waranti ya kukamatwa iliyotolewa na Mah . . .

Afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Idadi ya vifo yaongezeka Kenya

 IDADI ya raia waliofariki dunia kutokana na maandamano ya Jumatano imefikia 16, kwa mujibu wa taarifa ya shirika la Amnesty Internatio . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Samia ataka amani, umoja wa Afrika kufanikisha mageuzi ya kifikra

RAIS Samia Suluhu Hassan amezitaka nchi za Afrika kuhakikisha zinakuwa na amani na umoja wa kitaifa ili zishirikiane kufanikisha hatua za ma . . .

Kilimo
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Wadau wa korosho wapongeza teknolojia ya uzalishaji kisasa

 WADAU mbalimbali kutoka nchi nane za Bara la Afrika zinazolima na kutumia korosho wamepongeza teknolojia ya kisasa inayotumiwa na . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Wanahabari watakiwa kuhimiza uadilifu kuelekea uchaguzi mkuu

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Morogoro imewataka waandishi wa habari kuwa mstari wa mbele kupinga na kuzu . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

TRA Kigoma yateketeza tani 53 za bidhaa zisizofaa

MAMLAKA ya Mapato (TRA) mkoani Kigoma imeteketeza bidhaa mbalimbali za vyakula na vipodozi tani 53 zenye thamani ya Sh milioni 530 amba . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Mwanza wanufaika na utekelezaji mpango wa fedha za TASAF

 MKOA wa Mwanza umetumia zaidi ya Sh bilioni 50.3 ambazo zimelipwa kuanzia mwaka 2014 hadi mwezi Juni mwaka huu kama ruzuku kwa kaya kw . . .

afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Serikali ya Zambia yapeleka zuio la Mahakama mazishi Edgar Lungu yasimamishwe

Mgogoro kuhusu mahali atakapozikwa Rais wa zamani wa ZambianEdgar Lungu umechukua sura mpya baada ya Mahakama Kuu ya Afrika Kusini kusitisha . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Chaumma kuanza mchakato wa kumpata mgombea wa urais

Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) kimetangaza kuwa mchakato wa kumpata mgombea wa urais wa Tanzania kupitia chama hicho, pamoja na kupiti . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Kesi ya kanisa kumnyang’anya zawadi mtoto wa Askofu kuendelea leo

Mahakama Kuu Divisheni ya Ardhi leo Juni 26, 2025 itaendelea na usikilizwaji wa kesi ya ardhi iliyofunguliwa na mtoto wa Askofu John Sepeku, . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Mahakama ya Afrika leo kutoa hukumu ya uchaguzi mkuu 2020

Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu, leo Alhamisi, Juni 26, 2025 inatarajiwa kutoa hukumu za mashauri mawili yaliyofunguliwa na r . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Waandamanaji 2 wa Gen Z Wapigwa Risasi na Polisi

Maandamano yanayoendelea ya kizazi cha Gen Z katikati mwa Jiji la (CBD) jijini Nairobi yameanza kuchukua mkondo mbaya. Maandamano hayo, . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Mama Adaiwa Kuwaua Watoto Wake Wawili Baada ya Kukorofishana na Mumewe

Wasichana wawili wadogo wanaripotiwa kufariki baada ya mama yao mwenye umri wa miaka 26, Mary Mushi, kudaiwa kuwachoma kisu tumboni. Ba . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

UWAMWA kunusuru wanafunzi na adha ya usafiri

Ushirika wa usafirishaji mkoa wa Mwanza UWAMWA imezindua gari 10 kwa lengo la kusafirisha wanafunzi kwenda shule na kuwarudisha ili kuepuka . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • 7 siku zilizopita

Jera miaka 20 kwa udhalilishaji wa kingono

Mkazi wa Kijiji cha Lituhi kilichopo Wilaya ya Nyasa Mkoa wa Ruvuma Winfridi Twahibu Mahundi {29} amehukumiwa kifungo cha miaka 20 jela kwa . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 7 siku zilizopita

Magenge ya uhalifu yatikisa Haiti ongezeko la vitendo vya ukatili– UN

 WATAALAMU wa Umoja wa Mataifa wametahadharisha kuwa magenge ya wahalifu yanayodhibiti maeneo makubwa ya Haiti yameongeza vitendo vya u . . .

Kurasa 2 ya 171

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category