logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Kitaifa
  • Na Asha Business
  • September 9, 2026

Kesi ya Lissu Yaendelea, Upande wa Utetezi Kuwasilisha Ushahidi

Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, inaendelea leo, Septemba 9, 2026, katika Mahakama Kuu ya Tanzania, huku upan . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • September 9, 2026

Mzozo unaongezeka kuhusu vitisho vya kuwafukuza wafanyabiashara wa kigeni wasio na vibali

Nchini Kenya, maagizo mapya ya serikali yanayolenga kuwafukuza wafanyabiashara wa kigeni wasio na vibali yanaendelea kuzua utata. Juman . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • September 9, 2026

Juba yatakiwa kuweka mazingira salama kuelekea uchaguzi mkuu

Watalaam wa haki za binadamu kutoka Umoja wa Mataifa wameitaka mamlaka ya Sudan Kusini kuhakikisha inaweka mazingira salama kwa wanasiasa na . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • September 8, 2026

Wapwani walalamikia ongezeko la vijana kutekwa na kupatikana Nairobi

VIONGOZI na wakazi wa Mombasa wameelezea wasiwasi kuhusu visa vya vijana kupotea, huku baadhi yao baadaye wakipatikana Nairobi na katika viu . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • September 8, 2026

Iran "Tuna uwezo kuzishambulia meli za kivita za Marekani"

Kaimu Waziri wa Ulinzi wa Iran, Majid Ibn e Reza, amesema jeshi la Iran lina uwezo kamili wa kushambulia meli za kivita za Marekani zinazote . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • September 8, 2026

Infantino Athibitisha Kugombea tena Urais wa FIFA Mwakani

Rais wa Shirikisho la Kimataifa la Soka (FIFA), Gianni Infantino, amethibitisha kuwa atagombea tena nafasi ya urais wa FIFA katika uchaguzi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • September 8, 2026

Houthi waituhumu Saudi Arabia kwa shambulio kwenye gereza

Waasi wa Houthi nchini Yemen wameituhumu Saudi Arabia kwa kutekeleza shambulio la anga kwenye gereza kaskazini mwa Mji wa al-Hazm, shambulio . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • September 8, 2026

Makabiliano yaendelea kuripotiwa licha ya upatanishi wa Marekani

Wanajeshi wa Ukraine na Urusi wameendelea kukabiliana licha ya juhudi za upatanishi zinazoongozwa na Marekani.Wizara ya ulinzi ya Urusi Juma . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • September 7, 2026

Mume wa Rais Samia afariki dunia

Makamu wa Rais, Deogratius Ndejembi, ametangaza kifo cha Hafidh Ameir Hassan, ambaye ni mume wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • September 7, 2026

Nairobi yaunga juhudi za kimataifa kumaliza ndoa za mapema

Kenya imejiunga na nchi zingine za Afrika kuunga mkono azimio la Umoja wa Mataifa lililoanzisha Novemba 27 kama Siku ya Kimataifa ya kutokom . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • September 7, 2026

Kampala yazuia waombolezaji kutoka DRC kuhudhuria mazishi ya mfalme Oyo

Uganda imezuia waombolezaji kutoka DR Congo kuhudhuria mazishi ya mfalme wa Tooro, Oyo Nyimba Kabamba wa nne, ikitaja sababu kuwa mlipuko wa . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • September 6, 2026

Siri ya ziara ya Gachagua Amerika

KIONGOZI wa chama cha Democracy for the Citizens Party (DCP), Rigathi Gachagua, anatarajiwa kuanza rasmi shughuli zake za kisiasa nchini Ame . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • September 6, 2026

Usimamizi taka ngumu bado hauridhishi

SERIKALI imesema usimamizi wa taka hususan katika maeneo ya mjini hauridhishi, kwa kuwa ni wastani wa asilimia 37 tu ya taka ngumu zinazozal . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • September 6, 2026

Moto wazuka katika sherehe ya harusi na kuua watu wasiopungua 22

Watu wasiopungua 22 wameangamia baada ya kuvamiwa na moto katika sherehe ya harusi huko Kinshasa, mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Ko . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • September 6, 2026

Watuhumiwa 199 Wakamatwa Kwa Makosa Mbalimbali Rufiji

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi Rufiji limekamata jumla ya watuhumiwa 199 kwa makosa mbalimbali katika operesheni na misako iliyofanyika ku . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • September 4, 2026

Haya Ndiyo Maajabu ya Komamanga Mwilini Wako, Wengi Hawajui!

Komamanga ni miongoni mwa matunda yenye virutubisho mbalimbali vinavyoweza kuwa sehemu ya lishe bora. Tunda hili, linalojulikana kwa jina la . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • September 4, 2026

Ubalozi Wafunguka Mtanzania Khalifa Siwa Afariki Dunia Nchini Marekani, Ubalozi Wafunguka

Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani umetangaza kifo cha Mtanzania Khalifa H. Siwa, aliyefariki dunia Septemba 2, 2026 . . .

Mastaa
  • Na Asha Business
  • September 4, 2026

Bodi ya Filamu Yawapa Wito ‘A-List’ Watakiwa Kufika Septemba 7, 2026

Bodi ya Filamu Tanzania imewataka waigizaji Irene Uwoya, Aunty Ezekiel, Frida Kajala na Jacqueline Wolper kufika katika ofisi za Bodi hiyo s . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • September 4, 2026

Golugwa Kupambana Na Maswali Ya Dodoso Kesi ya Lisu leo

Hatua ya maswali ya dodoso (Cross-examination) kwa shahidi wa tatu wa upande wa utetezi katika kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Dem . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • September 4, 2026

Netanyahu Atishia Kuipindua Serikali ya Iran ‘Utawala Wao Upo Dhaifu’

Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, amesema kuuangusha utawala wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kunawezekana, akidai kuwa serikali hiyo . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • September 4, 2026

Gamondi Atangaza Kikosi Cha Taifa Stars Kwa Ajili ya AFCON 2027

Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Miguel Ángel Gamondi, ametangaza kikosi cha awali kitakachoingia kambini hivi karibun . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • September 3, 2026

Kutakuwa na El Niño kubwa zaidi hadi Februari 2027

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), António Guterres, ameonya dunia imeingia katika eneo hatari la hali mbaya ya hewa, huku athari za El . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • September 3, 2026

Wasira Akutana na Wabunge wa CCM katika Makao Makuu ya Chama

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM – Bara), Stephen Wasira, amekutana na kuzungumza na Kamati ya Wabunge wa CCM, Septemba 2,&nb . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • September 3, 2026

Kagame ajadili mgogoro wa DR Congo na mkuu mpya wa MONUSCO

Rais Paul Kagame siku ya Jumatano, Septemba 2, amekutana na James Swan, mkuu mpya wa ujumbe wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa nchini DR C . . .

Uchumi biashara
  • Na Asha Business
  • September 3, 2026

Uganda kuanza kuyauza mafuta yake nje ya nchi mwishoni mwa mwaka huu

Uganda imeipa mafuta yake jina la "Pearl Sweet" wakati huu Waziri wa nishati nchini humo Irene Batebe akitangaza kuwa wanatarajia kuanza kuy . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • September 3, 2026

UNICEF "Takriban watoto Milioni 20 walirubuniwa kimapenzi"

Ripoti mpya ya shirika la watoto UNICEF imesema kuwa takriban watoto milioni 20 wanaotumia mtandao katika nchi 21 walirubiniwa kimapenzi au . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • September 3, 2026

Nepal kujenga upya nyumba 20,000 baada ya mafuriko

Nepal inakabiliwa na kazi kubwa ya kujenga upya nyumba takriban 20,000 katika maeneo yaliyoharibiwa na mafuriko, huku waokoaji wakiendelea k . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • September 3, 2026

Putin asema kuna fursa ya kufikia amani Ukraine

Rais Vladmir Putin amesema bado kuna nafasi ya kufikiwa kwa makubaliano ya amani Ukraine, huku akielezea maonyo ya Ukraine kuhusu hatari kwa . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • September 2, 2026

Mambo Sita Usiyoyajua Kuhusu Faida na Hasara za Pilipili

Pilipili ni kiungo kinachotumiwa sana kwenye vyakula mbalimbali kutokana na ladha yake ya ukali. Ina kemikali iitwayo capsaicin ambayo ndiyo . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • September 2, 2026

Jaribio la mapinduzi Niger ni tishio kwa demokrasia ya Afrika

Serikali ya kijeshi ya Niger, inayoongozwa na Jenerali Abdourahamane Tiani kwa msaada wa washirika wake wa kijeshi  kutoka Urusi, ilise . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • September 2, 2026

MIKOA 14 YATAKIWA KUCHUKUA TAHADHARI DHIDI YA EL NIÑO

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Profesa Palamagamba Kabudi, amezitaka mamlaka katika mikoa 14 k . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • September 2, 2026

Polisi wachunguza kifo cha mwanafunzi aliyejirusha ghorofani

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limeanza uchunguzi wa kifo cha mwanafunzi wa Kidato cha Tatu katika Shule ya Sekondari ya Wasichana Loreto, S . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • September 2, 2026

TANESCO yabaini wizi wa umeme Kinondoni

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limebaini matukio ya wizi wa umeme katika maeneo ya Visiwani, Mwananyamala na Mivumoni, Wilaya ya Kinond . . .

Mastaa
  • Na Asha Business
  • September 2, 2026

Davido Aongoza Afrimma 2026 Kwa Nominations Tano

Msanii wa Nigeria, Davido, ameibuka kuwa msanii mwenye uteuzi mwingi zaidi katika tuzo za AFRIMMA 2026 baada ya kutajwa katika vipengele vit . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • September 2, 2026

Rais Dkt. Samia Awaapisha Viongozi Wateule, Ikulu Ndogo Ya Tunguu, Zanzibar

Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwaapisha Wakuu wa Mikoa na Katibu Tawala wa Mkoa, Ikulu Ndogo ya Tunguu . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • September 2, 2026

Waandishi wa habari wa Ufaransa na msaidizi wao wameachiliwa huru kwa muda

Nchini Togo, waandishi hao wawili wa habari wa Ufaransa na msadizi wao, raia wa Togo, ambao walikuwa wamefungwa kwa wiki kadhaa huko Lomé, . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • September 2, 2026

Katiba mpya kupitishwa baada ya kura ya maoni

Guinea-Bissau itapitisha katiba mpya kufuatia kura ya maoni ya Jumapili iliyopita. Matokeo ya kura yalitangazwa Jumanne usiku na Tume ya Kit . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • September 2, 2026

Mgomo wa wauguzi waendelea kwenye majimbo

Nchini Kenya, wagonjwa wameendelea kuathirika wakati huu wauguzi wakiendelea na mgomo wao katika majimbo mbalimbali ya taifa hilo la Afrika& . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • September 1, 2026

Wezi waiba jeneza, walitelekeza karibu na kanisa

WATU wasiojulikana wameiba jeneza katika ofisi ya biashara iliyopo Kijiji cha Mbweera, Kata ya Masama, Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, kab . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • September 1, 2026

Mtoto wa miaka sita apatikana akiwa hai, vifo vyafikia 1,00 mafuriko Nepal

JUHUDI za uokoaji zinaendelea nchini Nepal na China, baada ya mafuriko makubwa na maporomoko ya udongo yaliyotokea wiki iliyopita, kusababis . . .

Kurasa 2 ya 258

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category