logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Zote Za Kisiasa

  • Pata Habari Zote Za Kisiasa
Kitaifa
  • Na Asha Business
  • December 22, 2023

Warepublikan Walalamikia Uamuzi Wa Colorado Kuondoa Jina La Trump

Warepublikan kote Marekani, wamelalamika uamuzi wa mahakama kuu ya Colorado, wa kuondoa jina la rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump, katika karatasi ya kura ya uchaguzi wa awali wa Republikan wa . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • December 21, 2023

Mtoto wa Shetta achaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Chipukizi CCM Taifa

Mtoto wa Msanii wa Bongo Fleva Shetta, Qailah Nurdin Bilal amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Chipukizi Taifa katika Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika mkutano wa 9 wa Chipukizi Taifa uliofanyika katika uk . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • December 21, 2023

Kura kuendelea leo DRC

Uchelewesho wa kiwango kikubwa katika vituo vya kupigia kura, Jumatano umewalazimisha maafisa kuongeza muda wa kupiga kura katika uchaguzi wa rais mpaka leo Alhamisi.Wapiga kura wengi katika taifa hil . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • December 20, 2023

DRC yafanya Uchaguzi Mkuu

Takriban wapiga kura milioni 44 wameitwa kumchagua rais wao lakini pia wabunge wao wa kitaifa na mikoa na madiwani wao wa manispaa leo Jumatano. Rais anayemaliza muda wake, Félix Tshisekedi, anatafut . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • December 11, 2023

Idadi ndogo ya wapiga kura wamejitokeza katika uchaguzi wa Jumapili Hong Kong

Wapiga kura ama walikuwa na wasiwasi, au kususia uchaguzi, ambao baadhi ya watu wanaona kama kurudisha nyuma demokrasia ya jiji.Idadi ya wapiga kura waliojitokeza siku ya Jumapili katika uchaguzi wa h . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • December 1, 2023

Serikali ya Senegal inakataa fedha za amana zilizowasilishwa na mpinzani Sonko

Sonko, ambaye aliondolewa kwenye orodha ya uchaguzi kufuatia hukumu yake mwezi Juni, amekuwa katikati ya mvutano na serikali ambayo imedumu kwa zaidi ya miaka miwili, na kuibua matukio kadhaa ya ghasi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 21, 2023

Wawili wafa baada ya kutangazwa matokeo ya urais Liberia.

Watu wawili wamekufa na wengine kadhaa wamejeruhiwa jana jioni mjini Monrovia baada ya gari kuwagonga wafuasi wa Joseph Boakai, saa chache kabla ya kutangazwa kwake kuwa mshindi wa urais nchini Liberi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 17, 2023

Matokeo Ya Uchaguzi Wa Liberia: George Weah Na Joseph Boakai Katika Kinyang’anyiro Kikali

Kiongozi wa upinzani nchini Liberia Joseph Boakai anaongoza kwa asilimia 50.58 dhidi ya Rais George Weah aliye na asilimia 49.42 katika matokeo ya duru ya pili ya uchaguzi wa rais.Asilimia tisini ya k . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 17, 2023

Zowezi la kuhesabu kura za uchaguzi wa rais Madagascar linaendelea

Kura zinahesabiwa nchini Madagascar baada ya kufanyika kwa uchaguzi wa rais ulosusiwa na idadi kubwa ya wapinzani.Uchaguzi umefanyika baada ya wiki kadhaa za ghasia na maandamano, na katika mji mkuu w . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 15, 2023

Makonda Atoa Maagizo Bodaboda Zilizokamtwa ziachiwe

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeagiza pikipiki zote zilizokamatwa kwenye kituo cha polisi cha Sirari kilichopo mpakani mwa Tanzania na Kenya ziachiwe haraka.Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Itikadi na U . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 8, 2023

Aliyekuwa mgombe urais Misri kufikishwa mahakamani

Mgombea urais wa zamani wa Misri Ahmed al-Tantawi atakabiliwa na kesi kwa kusambaza fomu za kuidhinisha uchaguzi ujao wa Misri bila idhini, mwanachama wa kampeni na watetezi wa haki alisema Jumanne.Ta . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 23, 2023

Mtoto wa Rais achaguliwa kuwa mgombea mwenza

Waziri wa ulinzi wa Indonesia na mgombea wa urais, Prabowo Subianto amemtangaza mtoto wa kiume wa rais anayeondoka madarakani, Joko Widodo kuwa mgombea wake mwenza katika uchaguzi unaotarajia kufanyik . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • October 20, 2023

CENI yatoa orodha ya Wagombea Urais DRC

Tume ya Uchaguzi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo – DRC, imetangaza rasmi wagombea 24 waliojisajili kwa uchaguzi wa Rais utakaofanyika Desemba 20, 2023 ambapo orodha kamili ya wagombea itacha . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 20, 2023

CENI imepokea majina 24 ya wagombea urais kuelekea mchujo

Tume ya uchaguzi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imethibitisha kupokea orodha ya wagombea 24 wa urais ambao wamejisajili kuwania katika ucaguzi wa Desemba 20.Licha ya orodha hiyo, wagombea bad . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 16, 2023

ECOWAS yawaonya wagombea urais Liberia

Jumuiya ya Kiuchumi ya Afrika Magharibi (ECOWAS) imewataka wagombea wa uchaguzi nchini Liberia kujiepusha na kutangaza ushindi kabla ya wakati au kuweka shinikizo lisilofaa kwa Tume ya Taifa ya Uchagu . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • October 9, 2023

Walinda usalama wamezingira afisi za upinzani

Maofisa wa polisi nchini Uganda na wenzao wa jeshi, wameripotiwa kuweka vizuizi katika afisi kuu za chama cha upinzani cha National Unity Platform (NUP), kinachoongozwa na mwanasiasa wa upinzani Bobi . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • October 5, 2023

Milionea wa DRC awasilisha ombi lake la kugombea urais

Kiongozi wa upinzani wa Congo Moise Katumbi amewasilisha ombi lake la kuwania nafasi ya urais katika uchaguzi utakaofanyika mwezi Desemba ambapo Rais Felix Tshisekedi anawania tena nafasi hiyo kwa muh . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 3, 2023

Wagombea urais Madagascar warushiwa mabomu ya kutoa machozi

Maafisa wa usalama wa Madagascar wafyetua gesi ya kutoa machozi kwa wagombea wa upinzani waliokuwa wakiongoza maandamano katika mji mkuu wa Antananarivo siku ya Jumatatu.Waandishi wa habari wa shirika . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • October 2, 2023

Tshisekedi na Fayulu kupambana tena katika uchaguzi wa rais wa DRC hapo Disemba 20, 2023

Tshisekedi anagombania mhula wa pili katika taifa lenye utajiri mkuu wa cobalt duniani, baada ya kushinda katika mhula wa kwanza ulokuwa na utata mwaka 2018.Wajumbe wa mungano wa Union Sacree unaohusi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • September 18, 2023

Kiongozi wa upinzani azinduwa kampeni ya uchaguzi Liberia

Joseph Boakai, amezindua kampeni yake kuelekea uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba, ambapo atachuana na nyota wa zamani wa soka na rais wa nchi hiyo, George Weah.Kiongozi wa upinzani nchini Liberia, Joseph . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • August 27, 2023

Rais Mnangagwa arejea tena mdarakani

Rais wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa aliyekuwa anagombania nafasi hiyo katika kipindi cha awamu ya pili ameshinda kwa kura asilimia 52.6 dhidi ya mpinzani wake Nelson Chamisa aliyepata asilimia 44Mato . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 25, 2023

Wakamatwa kwa kujumlisha matokeo

Polisi nchini Zimbabwe wanasema wamewakamata watu 41, simu za mkononi, talakilishi na vifaa vingine vya kielektroniki wakati wa msako mkali katika maeneo manne ya jijini Harare mara baada ya kupata ta . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • August 24, 2023

Zimbabwe: Muda wa kupiga kura waongezewa hadi Alhamisi

Maafisa wa uchaguzi nchini Zimbabwe, waliongeza muda wa upigaji kura katika uchaguzi wa rais hadi Alhamisi, baada ya kucheleweshwa kwa hadi saa 10 katika ngome nyingi za upinzani.Hayo yalijiri wakati . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 21, 2023

Trump athibitisha hatashiriki mdahalo wa wawaniaji urais Jumatano

Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump alithibitisha Jumapili kwamba hatashiriki mdahalo wa kwanza wa urais wa Jumatano wa chama chake cha  Republican."Wamarekani wanajua mimi ni nani na kwamba . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 18, 2023

Vyama saba vya kisiasa vinalenga kukiangusha chama tawala ANC

Muungano wa vyama saba vya kisiasa nchini Afrika Kusini umesaini makubaliano ya ushirikiano yanayolenga kukiondoa chama tawala cha ANC katika uchaguzi mkuu wa mwak wa 2024.Kwa mujibu wa makubaliano ha . . .

Kurasa 5 ya 13

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Matukio
news
  • 20 masaa yaliopita

Rais wa zamani wa Zambia afariki dunia

Matukio
news
  • 20 masaa yaliopita

Landilodi Adaiwa Kufungulia Maji Taka Katika Nyumba ya Mpangaji Kumfukuza

Matukio
news
  • 21 masaa yaliopita

Mtanzania mmoja afariki nchini Saudi Arabia akiwa kwenye ibada ya Hijjah

Top Stories
news
  • 23 masaa yaliopita

Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam ataka taasisi za kidini kuchunguzwa mara kwa mara

Top Stories
news
  • 23 masaa yaliopita

Sheikh Ponda atangazwa kuwa mwanachama mpya wa ACT-Wazalendo

Matukio
news
  • 23 masaa yaliopita

Waumini 84 waliokamatwa kanisani kwa Gwajima waachiliwa kwa thamana

Matukio
news
  • 24 masaa yaliopita

Trump ametia saini mataifa 12 kutoingia nchini Marekani.

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Fahamu historia Fupi kuhusu Rais wa zamani wa Zambia Edgar Chagwa Lungu

    • 37 dakika zilizopita
  • Rais wa zamani wa Zambia afariki dunia

    • 20 masaa yaliopita
  • Landilodi Adaiwa Kufungulia Maji Taka Katika Nyumba ya Mpangaji Kumfukuza

    • 20 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode