Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amekutana na Waziri Mkuu wa Japan Ishiba Shigeru ambaye amemuhakikishia kuwa nchi hiyo itaendelea kuimarisha ushirikiano na Tanzania jambo ambalo linalenga kuchochea . . .
Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kinatarajia kuanza ziara rasmi kuanzia tarehe 3 Juni mwaka huu katika jiji la Mwanza. Ziara hiyo inalenga kuwakaribisha wanachama wapya, kutambulisha safu ya . . .
Maelfu ya watu wenye njaa kali wamevamia ghala la misaada katikati mwa Ukanda wa Gaza tukio lililoshuhudiwa kupitia shirika la habari la Reuters. Katika vurugu hizo milio ya risasi ilisika huku . . .
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefungua mkutano mkuu wa CCM unaofanyika Dodoma na kueleza kuwa agenda kubwa itakuwa ni kuipiti . . .
Marekani imetangaza kuwa itaanza kufuta viza za Wanafunzi kutoka China hususani wale wanaohusishwa na Chama cha Kikomunisti cha China au wanaosomea fani zinazotajwa kuwa nyeti kwa usalama wa Taifa. T . . .
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Tulia Ackson ametoa onyo kali kwa wabunge akiwataka kuzingatia matakwa ya Katiba, sheria na kanuni za Bunge wakati wa kujadili hoja mbalimbali kwa . . .
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ameendelea na ziara yake Toyko nchini Japan kwa kuwashawishi Wawekezaji na Wafanyabiashara wakubwa wa Japan kuja kuwekeza kwenye sekta ya kilimo, afya, u . . .
Rais William Ruto ameomba msamaha kwa vijana na mataifa jirani waTanzania na Uganda katika hatua inayotafasiriwa kuwa ilitokana na malumbano makubwa ambayo yamedumu mitandaoni kwa wiki mbili sas . . .
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan leo Mei 28, 2025, ameweka jiwe la msingi la jengo jipya la Makao Makuu ya Chama Cha Mapindu . . .
Utawala wa Rais Donald Trump wa Marekani umeyataka mashirika ya Serikali kufuta mikataba na Chuo Kikuu cha Harvard yenye thamani ya kiasi cha dola milioni 100. Hatua hiyo ya Trump ni sehemu ya mapamb . . .
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki (EAC) Balozi Mahmoud Thabit Kombo amesema kuwa kwa kuwa ofisi za wizara yake zinatarajiwa kuhamia rasmi Makao Makuu ya Nchi Dodoma ifikapo Jun . . .
Msajili mkuu wa Vyama vya siasa nchini Tanzania ametangaza kusitisha kutoa ruzuku kwa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) hadi pale watakapotekeleza maelekezo ya Ofisi ya Msajili kutokana na M . . .
Serikali imesema kabla ya mwaka huu wa fedha kuisha itakuwa imetangaza nafasi za ajira mpya 45,000 kwa kada mbalimbali ambazo utekelezaji wake unafanyika. Mwaka wa fedha wa Serikali unakwisha Juni 30 . . .
Rais wa Zamani wa Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo Joseph Kabila amerejea Nchini humo kutafuta Suluhu ya Vita dhidi ya Mzozo wa kisiasa unaendelea.Inaelezwa kuwa rais huyo wa zamani wa Congo aliwasili G . . .
Mbunge wa Geita Vijijini Joseph Musukuma ametoa kauli kali bungeni akilaani matusi na kejeli wanazotupiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan mtandaoni kutoka kwa baadhi ya wan . . .
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Innocent Bashungwa ametoa wito kwa wananchi kuonyesha uzalendo kwa kutokubali kwa namna yoyote ile kutumika au kushiriki katika njama yoyote ya kuisaliti nchi ya . . .
Mwenyekiti wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) Hashim Rungwe amesema hana tatizo lolote kupokea msaada kutoka kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) endapo utatolewa kwa nia njema akisisitiza kuwa siasa si . . .
Siku chache baada ya Mbunge wa Mbeya Mjini Dk Tulia Ackson kutangaza nia ya kugombea ubunge katika Jimbo jipya la Uyole makada wawili wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wameanza kupigana vikumbo Mbeya Mjini . . .
Kamati Kuu ya CHADEMA, imeazimia kuwa haitofuata maamuzi ya Msajili mkuu wa Vyama vya siasa ambayo pamoja na mambo mengine yaliyolenga kutengua uteuzi wa Wajumbe wanane wa Sekretarieti na Kamati Kuu y . . .
Mbunge wa Chama cha Wafanyakazi Australia Magharibi Kyle McGinn amemaliza muda wake wa mihula miwili Bungeni kwa kuvua kiatu chake na kumimina bia kwenye kiatu na kisha kunywa.McGinn amefanya tukio hi . . .
Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika amesema watawala wanatumia mifumo yao kutaka kujaribu kutengeneza vyama mbadala ili kuziba pengo la Chadema la chama kikuu cha upinzani huku akisisitiza kuwa vita hi . . .
Hata kama naibu wa rais wa zamani Rigathi Gachagua anafuraha kuhusu chama chake kipya kuwa nguvu mpya katika ulingo wa kisiasa wa eneo hilo, anashukuru kwamba kupenya katika baadhi ya maeneo huenda is . . .
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara John Heche pamoja na Katibu Mkuu wa zamani wa chama hicho, Dk Wilbroad Slaa wamewasili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo Jumatatu Mei 19, 2025 kwa ajil . . .
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imepanga kuendelea na kesi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu leo May 19,2025 ambapo hivi ndivyo hali ilivyo nje ya Mahakama hiyo muda huu saa 12 asubuhi Po . . .
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Jaji Jacobs Mwambegele ametembelea na kukagua mwenendo wa zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura na uwekaji wazi wa daftari l . . .