logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Zote Za Kisiasa

  • Pata Habari Zote Za Kisiasa
Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • May 29, 2025

ZIARA YA MAJALIWA YA.KUTANISHA NA WAZIRI WA JAPAN

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amekutana na Waziri Mkuu wa Japan Ishiba  Shigeru ambaye amemuhakikishia kuwa nchi hiyo itaendelea kuimarisha ushirikiano na Tanzania jambo ambalo linalenga kuchochea . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • May 29, 2025

CHAMA CHA CHAUMMA KINATARAJIA KUANZA ZIARA 3 JUNI

Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kinatarajia kuanza ziara rasmi kuanzia tarehe 3 Juni mwaka huu katika jiji la Mwanza. Ziara hiyo inalenga kuwakaribisha wanachama wapya, kutambulisha safu ya . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • May 29, 2025

WANNE WAFARIKI NA WAWILI KUKANYAGWA KATIKA VURUGU ZA KUWANIA CHAKULA

Maelfu ya watu wenye njaa kali wamevamia ghala la misaada katikati mwa Ukanda wa Gaza tukio lililoshuhudiwa kupitia  shirika la habari la Reuters. Katika vurugu hizo milio ya risasi ilisika huku . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • May 29, 2025

WAJUMBE WA KAMATI KUU CCM WAPEWA JUKUMU LA KUISAMBAZA ILANI YA CHAMA UCHAGUZI UTAKAPOWADIA

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefungua mkutano mkuu wa CCM unaofanyika Dodoma na kueleza kuwa agenda kubwa itakuwa ni kuipiti . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • May 29, 2025

WANAFUNZI WA CHINA KUFUTIWA VIZA NCHINI MAREKANI

Marekani imetangaza kuwa itaanza kufuta viza za Wanafunzi kutoka China hususani wale wanaohusishwa na Chama cha Kikomunisti cha China au wanaosomea fani zinazotajwa kuwa nyeti kwa usalama wa Taifa. T . . .

Bungeni
  • Na Jembe Digital
  • May 28, 2025

WABUNGE WAHIMIZWA KUFUATA KANUNU NA SHERIA ZA BUNGE

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Tulia Ackson ametoa onyo kali kwa wabunge akiwataka kuzingatia matakwa ya Katiba, sheria na kanuni za Bunge wakati wa kujadili hoja mbalimbali kwa . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • May 28, 2025

WAZIRI MKUU AWASHAWISHI WAWEKEZAJI KUTOKA JAPAN KUWEKEZA TANZANIA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ameendelea na ziara yake Toyko nchini Japan kwa kuwashawishi Wawekezaji na Wafanyabiashara wakubwa wa Japan kuja kuwekeza kwenye sekta ya kilimo, afya, u . . .

afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • May 28, 2025

RUTO AWAOMBEA MSAMAHA VIJANA WA GEN Z NA WANAHARAKATI

Rais William Ruto ameomba msamaha kwa vijana na mataifa jirani waTanzania na Uganda katika hatua inayotafasiriwa kuwa  ilitokana na malumbano makubwa ambayo yamedumu mitandaoni kwa wiki mbili sas . . .

Top Story
  • Na Jembe Digital
  • May 28, 2025

DKt, SAMIA AMEZINDUA NA KUWEKA JIWE LA MSINGI LA MAKAO MAKUU DODOMA

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan leo Mei 28, 2025, ameweka jiwe la msingi la jengo jipya la Makao Makuu ya Chama Cha Mapindu . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • May 28, 2025

DONALD TRUMP AMEYATAKA MASHIRIKA YA SERIKALI KUFUTA MIKATABA NA CHUO CHA HARVARD

Utawala wa Rais Donald Trump wa Marekani umeyataka mashirika ya Serikali kufuta mikataba na Chuo Kikuu cha Harvard yenye thamani ya kiasi cha dola milioni 100. Hatua hiyo ya Trump ni sehemu ya mapamb . . .

Top Story
  • Na Jembe Digital
  • May 28, 2025

VIKAO VYA MABALOZI WA KIMATAIFA KUANZA KUFANYIKA DODOMA KUANZIA JUNI 2025

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki (EAC) Balozi Mahmoud Thabit Kombo amesema kuwa kwa kuwa ofisi za wizara yake zinatarajiwa kuhamia rasmi Makao Makuu ya Nchi Dodoma ifikapo Jun . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • May 28, 2025

CHADEMA WASHINDWA KUTEKELEZA MAELEKEZO YA MSAJILI MKUU WA VYAMA VYA SIASA

Msajili mkuu wa Vyama vya siasa nchini Tanzania ametangaza kusitisha kutoa ruzuku kwa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) hadi pale watakapotekeleza maelekezo ya Ofisi ya Msajili kutokana na M . . .

Bungeni
  • Na Jembe Digital
  • May 27, 2025

Serikali yaweka mpango wa kutangaza ajira mpya 45,000 hivi karibuni

Serikali imesema kabla ya mwaka huu wa fedha kuisha itakuwa imetangaza nafasi za ajira mpya 45,000 kwa kada mbalimbali ambazo utekelezaji wake unafanyika. Mwaka wa fedha wa Serikali unakwisha Juni 30 . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • May 27, 2025

Kuwasili kwa Joseph Kabila nchini Kongo Kwapelekea chama cha PPRD matatani

Rais wa Zamani wa Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo Joseph Kabila amerejea Nchini humo kutafuta Suluhu ya Vita dhidi ya Mzozo wa kisiasa unaendelea.Inaelezwa kuwa rais huyo wa zamani wa Congo aliwasili G . . .

Top Story
  • Na Jembe Digital
  • May 26, 2025

KAULI YA JOSEPH MSUKUMA BUNGENI KUHUSU WANAHARAKATI KUTOKA KENYA

Mbunge wa Geita Vijijini Joseph Musukuma ametoa kauli kali bungeni akilaani matusi na kejeli wanazotupiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan mtandaoni kutoka kwa baadhi ya wan . . .

Top Story
  • Na Jembe Digital
  • May 26, 2025

WANANCHI WATAKIWA KUWA WAZALENDO WA NCHI YAO

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Innocent Bashungwa  ametoa wito kwa wananchi kuonyesha uzalendo kwa kutokubali kwa namna yoyote ile kutumika au kushiriki katika njama yoyote ya kuisaliti nchi ya . . .

Top Story
  • Na Jembe Digital
  • May 26, 2025

TETESI ZILIZOPO KUHUSU MBOWE KUJIUNGA CHAUMMA

Mwenyekiti wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) Hashim Rungwe amesema hana tatizo lolote kupokea msaada kutoka kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) endapo utatolewa kwa nia njema akisisitiza kuwa siasa si . . .

Top Story
  • Na Jembe Digital
  • May 26, 2025

DK,TULIA AWANIA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA UYOLE

Siku chache baada ya Mbunge wa Mbeya Mjini Dk Tulia Ackson kutangaza nia ya kugombea ubunge katika Jimbo jipya la Uyole makada wawili wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wameanza kupigana vikumbo Mbeya Mjini . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • May 26, 2025

CHADEMA KUTOFUATA UAMUZI WA MSAJILI MKUU WA VYAMA VYA SIASA

Kamati Kuu ya CHADEMA, imeazimia kuwa haitofuata maamuzi ya Msajili mkuu wa Vyama vya siasa ambayo pamoja na mambo mengine yaliyolenga kutengua uteuzi wa Wajumbe wanane wa Sekretarieti na Kamati Kuu y . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • May 24, 2025

MBUNGE ANYWA BIA KWENYE KIATU BUNGENI

Mbunge wa Chama cha Wafanyakazi Australia Magharibi Kyle McGinn amemaliza muda wake wa mihula miwili Bungeni kwa kuvua kiatu chake na kumimina bia kwenye kiatu na kisha kunywa.McGinn amefanya tukio hi . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • May 23, 2025

CHADEMA MBIONI KUJADILI MUSTAKABALI WA DEMOKRASIA NCHINI

Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika amesema watawala wanatumia mifumo yao kutaka kujaribu kutengeneza vyama mbadala ili kuziba pengo la Chadema la chama kikuu cha upinzani huku akisisitiza kuwa vita hi . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • May 19, 2025

Gachagua Akiri ni Vigumu Kushawishi Watu wa Nyanza Kuingia Chama chake Kipya

Hata kama naibu wa rais wa zamani Rigathi Gachagua anafuraha kuhusu chama chake kipya kuwa nguvu mpya katika ulingo wa kisiasa wa eneo hilo, anashukuru kwamba kupenya katika baadhi ya maeneo huenda is . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • May 19, 2025

DK, SLAA NA HECHE KUWASILI MAHAKAMA YA KISUTU

Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara John Heche pamoja na Katibu Mkuu wa zamani wa chama hicho, Dk Wilbroad Slaa wamewasili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo Jumatatu  Mei 19, 2025 kwa ajil . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • May 19, 2025

LISSU AFIKISHWA MAHAKAMANI LEO MAPEMA

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imepanga kuendelea na kesi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu leo May 19,2025 ambapo hivi ndivyo hali ilivyo nje ya Mahakama hiyo muda huu saa 12 asubuhi Po . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • May 18, 2025

ZOEZI LA MABORESHO YA DAFTAR LA MPIGA KURA YAENDELEA

 Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Jaji Jacobs Mwambegele ametembelea na kukagua mwenendo wa zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura na uwekaji wazi wa daftari l . . .

Kurasa 5 ya 16

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Matukio
news
  • 10 masaa yaliopita

Ajiua baada ya kumumuua mtoto wake wa miaka 2

Matukio
news
  • jana

Wahanga wa maporomoko Chesongoch kuzikwa kaburi la pamoja

Top Stories
news
  • 4 siku zilizopita

Miaka kumi ya Jembefm

Matukio
news
  • 5 siku zilizopita

32 wamefariki dunia, baada ya mgodi wa Kobalt Congo i kuporomoka

Top Stories
news
  • 5 siku zilizopita

Wanafunzi 595,816 wa kidato cha nne wameanza rasmi leo mitihani ya kuhitimu elimu ya sekondari

Top Stories
news
  • 5 siku zilizopita

REA,TANESCO watakiwa kushirikiana kuongeza idadi ya wateja vijijini

Matukio
news
  • 5 siku zilizopita

Netanyahu aapa kupinga kuanzisha taifa la Palestina

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

    • 8 masaa yaliopita
  • Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

    • 8 masaa yaliopita
  • Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

    • 9 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode