logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Michezo

  • Pata Habari za Michezo Kwa Undani
news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 10, 2022

Luka Modric amuita Mbappe Real Madrid

Kiungo kutoka nchini Croatia na klabu ya Real Madrid Luka Modric ametangaza hadharani kutaka kuona Mshambuliaji wa PSG Kylian Mbappe akijiunga na The Galacticos msimu . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 10, 2022

RS Berkane yaanza safari ya Dar es salaam.

Kikosi cha RS Berkane kimeanza safari ya kuelekea Dar es salaam Tanzania, tayari kwa mchezo wa Mzunguuko wa 04 wa ‘Kundi D’ Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Si . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 9, 2022

Kapombe: Nina imani nitaikabili RS Berkane

Beki wa Kulia wa Mabingwa wa Soka Tanzania Bara Simba SC Shomari Salum Kapombe amewatoa hofu Mashabiki na Wanachama wa klabu hiyo, kuhusu hali yake kuelekea mchezo wa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 8, 2022

Samatta kuibeba Twiga Stars

Nahodha na Mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Soka ya Tanzania, Mbwana Samatta na mamia ya watu maarufu wamejitokeza kuchangia timu ya Taifa ya Wanawake ya Twiga Stars . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 8, 2022

Wachezaji Geita Gold FC wapongezwa

Licha ya kupoteza kwa bao 1-0 dhidi ya Young Africans katika mchezo wa Mzunguuko wa 17 wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Wachezaji wa Geita Gold FC wamepongezwa na Uongozi w . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 8, 2022

Azam FC yasalimu amri Ligi Kuu Tanzania Bara

Klabu ya Azam FC imejitoa Rasmi katika mbio za Ubingwa wa Tanzania Bara msimu wa 2021/22, baada ya kuangusha alama 08 katika michezo mitatu dhidi ya Biashara United M . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 8, 2022

Pablo: Simba SC ina nafasi ya kutwaa ubingwa

Kocha Mkuu wa Simba SC Franco Pablo Martin anaamini bado kikosi chake kina nafasi ya kutetea taji la Ligi Kuu Tanzania Bara kwa mara ya tano mfululizo msimu huu 2021/ . . .

news
Riadha
  • Na JZ The Brand
  • March 8, 2022

Kwa nini herufi 'Z' imekuwa ishara ya kuunga mkono vita vya Urusi?

Mwanariadha wa Kirusi Ivan Kuliak anakabiliwa na kesi ya kinidhamu na Shirikisho la Kimataifa la Gymnastics (FIG) kwa kuonyesha herufi "Z" kwenye jukwaa karibu na m . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 4, 2022

Kakolanya kuanza langoni mwa Simba SC.

Mlinda Lango chaguo la pili katika kikosi cha Mabingwa wa Soka Tanzania Bara Simba SC Beno Kakolanya, huenda akaanza langoni leo Ijumaa (Machi 04), katika mchezo wa M . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 4, 2022

Saido Na Aucho Wanalo

YANGA inazidi kupasua anga ikionyesha inalitaka kombe na wakati mbio hizo zikiendelea kocha wao Nesreddine Nabi ameshusha mkwara mzito akiwachonganisha mastaa wake wa . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na JZ The Brand
  • March 4, 2022

EPL, La Liga Na Serie A Kuendelea Leo Wikiendi Hii

Ni wikiendi ya kibabe katika kuuanza mwezi wa 3 mwaka huu wa 2022. Ni mwendo wa ‘Big Match’ kunako EPL na Serie A. Mbio za Top 4 vs vita ya kuwania Scudetto, Meridian . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 1, 2022

Franco Pablo" Hatuna muda wa kupumzika"

Kocha Mkuu wa Simba SC Franco Pablo Martin amesema wachezaji wake hawatakua na muda wa kupumzika baada ya kuwasili Dar es salaam, wakitokea nchini Morocco. Sim . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 1, 2022

Mshindo Msolla awasihi Wachezaji, Kocha Young Africans

Mwenyekiti wa Klabu ya Young Africans Mshindo Mbette Msolla ameibuka kwa mara ya kwanza msimu huu na kutoa nasaha kwa Benchi la Ufundi na Wachezaji wa klabu hiyo, kuf . . .

news
SOKA
  • Na JZ The Brand
  • March 1, 2022

Mayele kumbe 60% tu Yanga

Mshambulia wa Yanga na kinara wa mabao, Fiston Mayele aliyetupia tisa katika Ligi Kuu katika mchezo dhidi ya Kagera Sugar, akiwa ameiteka asilimia kubwa ya nchi kwa s . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 1, 2022

Lwanga" Nipo tayari kuitetea Simba SC"

Kiungo kutoka nchini Uganda na klabu ya Simba SC Thadeo Lwanga amesema yupo tayari kuipigania klabu yake katika Mzunguuko wa Pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara ambao ulia . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 28, 2022

Goncalo Inacio Amekubali Kusaini Mkataba Mpya

Mlinzi wa Sporting Lisbon mreno Goncalo Inacio amekubali kusaini mkataba mpya kusalia klabuni hapo. Kinda huyo mwenye umri wa miaka 20 alikuwa akiwaniwa na Newcastl . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 28, 2022

Usajili umewadia Wa Franck Kessie

Barcelona wanakaribia kumsajili kiungo wa Ivory Coast Franck Kessie kwa uhamisho huru wakati mkataba wa nyota huyo wa AC Milan mwenye umri wa miaka 25 utakapom . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 28, 2022

Robert Lewandowski hajakubali kujiunga na Real Madrid

mshambuliaji wa Poland, Robert Lewandowski pale Bayern Munich unamalizika mwaka 2023, wakati mkongwe huyo mwenye miaka 33 akitaka mkataba mpya kusalia katika klabu . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na JZ The Brand
  • February 28, 2022

Roman Abramovich akabidhi usimamizi wa Chelsea kwa bodi ya wadhamini

Mmiliki wa Chelsea Mrusi Roman Abramovich anasema "anawapa wadhamini wa wakfu wa hisani wa Chelsea usimamizi na utunzaji" wa klabu hiyo. Abramovich, ambaye atasalia k . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na JZ The Brand
  • February 28, 2022

Urusi yazuiwa kuimba wimbo Taifa

Shirikisho la Soka Duniani ( FIFA ) jana lilijibu shinikizo la kimataifa linaloongezeka kuhusiana na uvamizi wa Urusi nchini Ukraine likisema Urusi itacheza mechi zak . . .

news
Magari
  • Na JZ The Brand
  • February 18, 2022

Michael Masi aondolewa kama mkurugenzi wa mbio za F1

Michael Masi ameondolewa kama mkurugenzi wa mbio za magari ya langalanga kama sehemu ya urekebishaji katika bodi ya FIA kufuatia mashindano ya Abu Dhabi Grand Prix ya . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 18, 2022

Chama apewa kazi maalumu

Ushindi  wa mabao 3-1  umewafurahisha sana viongozi wa Simba na sasa katika kujipanga kuhakikisha wanaendeleza kasi hiyo ugenini dhidi ya USGN ya Niger na i . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • February 17, 2022

Mwanasoka wa zamani wa Zimbabwe auawa Afrika Kusini

Mwanasoka wa zamani wa Zimbabwe Charles Yohane amefariki dunia nchini Afrika Kusini akiwa na umri wa miaka 48 katika tukio linaloonekana kuwa la wizi wa gari. Beki . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 17, 2022

Simba Wampa Masharti Mawili Morrison

UONGOZI wa Simba licha ya kumsamehe winga wao, Bernard Morrison, lakini wamepatia masharti ambayo anatakiwa kuyafuata baada ya kupewa msamaha huo ndani ya kikosi chao.Mor . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 17, 2022

Kipigo cha 7-0, Masau Bwire atoa visingizio

Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasilino ya klabu ya Ruvu Shooting Masau Bwire amekiri kuwa mnyonge, kufuatia timu yao kukubali kichapo cha mabao 7-0, katika mchezo wa K . . .

news
SOKA
  • Na JZ The Brand
  • February 16, 2022

Morocco Yakubali Kushiriana Na Tanzania Kwenye Michezo

Waziri wa utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Mohamed Mchengerwa  Februari 15, 2022 amekutana na Balozi wa Morocco nchini Mhe. Zakaria Elgoumiri na kufanya mazungum . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 16, 2022

Yacouba Apewa Siku 45 Tu Yanga

DAKTARI wa viungo wa Yanga, Mtunisia, Youssef Ammar, amesema kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Yacouba Songne, amepata nafuu na atarejea uwanjani baada ya takribani siku . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 16, 2022

Baada ya Ukame wa Muda, Ronaldo Aweka Kambani

Baada ya kukosa ushindi katika mechi tatu za mwisho kwenye Ligi mechi mbili na moja Kombe la FA, Manchester United imefanikiwa kuibuka na ushindi wa goli 2-0 dhidi ya . . .

news
Masumbwi
  • Na JZ The Brand
  • February 15, 2022

Top 10 ya Mabondia Bora Tanzania

UKIACHANA na mchezo wa soka ambao umekuwa na wafuatiliaji wengi zaidi duniani, mchezo ambao pia unafuatiliwa na mashabiki ni ule wa ngumi za kulipwa ambao pia una fed . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na JZ The Brand
  • February 15, 2022

Michezo Mtoto wa Kolo Toure, Yassine asajiliwa Leicester

Klabu ya Leicester City imemsajili mtoto wa mlinzi wa zamani wa Arsenal na Liverpool Kolo Toure, Yassine kwa mkataba wa miaka miwili. Yassine ambaye tofauti na baba ya . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • February 15, 2022

TFF na Semina ya siku tatu kwa Waamuzi

Shirikisho la soka nchini Tanzania TFF, Jumanne ya Leo February 15, 2022 limeanza rasmi kuendesha semina ya siku tatu kwa waamuzi wote wanaochezesha Ligi Kuu NBC Tanz . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 15, 2022

Joao Cancelo asimulia namna wezi walivyovamia nyumbani kwake

Beki wa klabu ya Manchester City, Joao Cancelo amezungumzia tukio la “kutisha” la kuvamiwa na wezi alilolielezea “lilitishia familia yangu” na kumjeruhiCancel . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 15, 2022

Bernard Morrison arudishwa kundini Simba SC

Hatimaye Uongozi wa Mabingwa wa Soka Tanzania Bara Simba SC umekubali kumsamehe Kiungo Mshambuliaji kutoka nchini Ghana Bernard Morrison na kumrudisha kambini. . . .

Kurasa 22 ya 25

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Kukubali Masharti Bila Kusoma Yatajwa Kuhatarisha Usalama wa Taarifa Binafsi

    • 13 masaa yaliopita
  • Mpango amewasili Viwanja vya Sokoine kushiriki kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru

    • 15 masaa yaliopita
  • MANISPAA YA GEITA YANG’ARA KITAIFA KATIKA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025

    • 16 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode