Kiungo kutoka nchini Croatia na klabu ya Real Madrid Luka Modric ametangaza hadharani kutaka kuona Mshambuliaji wa PSG Kylian Mbappe akijiunga na The Galacticos msimu . . .
Kikosi cha RS Berkane kimeanza safari ya kuelekea Dar es salaam Tanzania, tayari kwa mchezo wa Mzunguuko wa 04 wa ‘Kundi D’ Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Si . . .
Beki wa Kulia wa Mabingwa wa Soka Tanzania Bara Simba SC Shomari Salum Kapombe amewatoa hofu Mashabiki na Wanachama wa klabu hiyo, kuhusu hali yake kuelekea mchezo wa . . .
Nahodha na Mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Soka ya Tanzania, Mbwana Samatta na mamia ya watu maarufu wamejitokeza kuchangia timu ya Taifa ya Wanawake ya Twiga Stars . . .
Licha ya kupoteza kwa bao 1-0 dhidi ya Young Africans katika mchezo wa Mzunguuko wa 17 wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Wachezaji wa Geita Gold FC wamepongezwa na Uongozi w . . .
Klabu ya Azam FC imejitoa Rasmi katika mbio za Ubingwa wa Tanzania Bara msimu wa 2021/22, baada ya kuangusha alama 08 katika michezo mitatu dhidi ya Biashara United M . . .
Kocha Mkuu wa Simba SC Franco Pablo Martin anaamini bado kikosi chake kina nafasi ya kutetea taji la Ligi Kuu Tanzania Bara kwa mara ya tano mfululizo msimu huu 2021/ . . .
Mwanariadha wa Kirusi Ivan Kuliak anakabiliwa na kesi ya kinidhamu na Shirikisho la Kimataifa la Gymnastics (FIG) kwa kuonyesha herufi "Z" kwenye jukwaa karibu na m . . .
Mlinda Lango chaguo la pili katika kikosi cha Mabingwa wa Soka Tanzania Bara Simba SC Beno Kakolanya, huenda akaanza langoni leo Ijumaa (Machi 04), katika mchezo wa M . . .
YANGA inazidi kupasua anga ikionyesha inalitaka kombe na wakati mbio hizo zikiendelea kocha wao Nesreddine Nabi ameshusha mkwara mzito akiwachonganisha mastaa wake wa . . .
Ni wikiendi ya kibabe katika kuuanza mwezi wa 3 mwaka huu wa 2022. Ni mwendo wa ‘Big Match’ kunako EPL na Serie A. Mbio za Top 4 vs vita ya kuwania Scudetto, Meridian . . .
Kocha Mkuu wa Simba SC Franco Pablo Martin amesema wachezaji wake hawatakua na muda wa kupumzika baada ya kuwasili Dar es salaam, wakitokea nchini Morocco. Sim . . .
Mwenyekiti wa Klabu ya Young Africans Mshindo Mbette Msolla ameibuka kwa mara ya kwanza msimu huu na kutoa nasaha kwa Benchi la Ufundi na Wachezaji wa klabu hiyo, kuf . . .
Mshambulia wa Yanga na kinara wa mabao, Fiston Mayele aliyetupia tisa katika Ligi Kuu katika mchezo dhidi ya Kagera Sugar, akiwa ameiteka asilimia kubwa ya nchi kwa s . . .
Kiungo kutoka nchini Uganda na klabu ya Simba SC Thadeo Lwanga amesema yupo tayari kuipigania klabu yake katika Mzunguuko wa Pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara ambao ulia . . .
Mlinzi wa Sporting Lisbon mreno Goncalo Inacio amekubali kusaini mkataba mpya kusalia klabuni hapo. Kinda huyo mwenye umri wa miaka 20 alikuwa akiwaniwa na Newcastl . . .
Barcelona wanakaribia kumsajili kiungo wa Ivory Coast Franck Kessie kwa uhamisho huru wakati mkataba wa nyota huyo wa AC Milan mwenye umri wa miaka 25 utakapom . . .
mshambuliaji wa Poland, Robert Lewandowski pale Bayern Munich unamalizika mwaka 2023, wakati mkongwe huyo mwenye miaka 33 akitaka mkataba mpya kusalia katika klabu . . .
Mmiliki wa Chelsea Mrusi Roman Abramovich anasema "anawapa wadhamini wa wakfu wa hisani wa Chelsea usimamizi na utunzaji" wa klabu hiyo. Abramovich, ambaye atasalia k . . .
Shirikisho la Soka Duniani ( FIFA ) jana lilijibu shinikizo la kimataifa linaloongezeka kuhusiana na uvamizi wa Urusi nchini Ukraine likisema Urusi itacheza mechi zak . . .
Michael Masi ameondolewa kama mkurugenzi wa mbio za magari ya langalanga kama sehemu ya urekebishaji katika bodi ya FIA kufuatia mashindano ya Abu Dhabi Grand Prix ya . . .
Ushindi wa mabao 3-1 umewafurahisha sana viongozi wa Simba na sasa katika kujipanga kuhakikisha wanaendeleza kasi hiyo ugenini dhidi ya USGN ya Niger na i . . .
Mwanasoka wa zamani wa Zimbabwe Charles Yohane amefariki dunia nchini Afrika Kusini akiwa na umri wa miaka 48 katika tukio linaloonekana kuwa la wizi wa gari. Beki . . .
UONGOZI wa Simba licha ya kumsamehe winga wao, Bernard Morrison, lakini wamepatia masharti ambayo anatakiwa kuyafuata baada ya kupewa msamaha huo ndani ya kikosi chao.Mor . . .
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasilino ya klabu ya Ruvu Shooting Masau Bwire amekiri kuwa mnyonge, kufuatia timu yao kukubali kichapo cha mabao 7-0, katika mchezo wa K . . .
Waziri wa utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Mohamed Mchengerwa Februari 15, 2022 amekutana na Balozi wa Morocco nchini Mhe. Zakaria Elgoumiri na kufanya mazungum . . .
DAKTARI wa viungo wa Yanga, Mtunisia, Youssef Ammar, amesema kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Yacouba Songne, amepata nafuu na atarejea uwanjani baada ya takribani siku . . .
Baada ya kukosa ushindi katika mechi tatu za mwisho kwenye Ligi mechi mbili na moja Kombe la FA, Manchester United imefanikiwa kuibuka na ushindi wa goli 2-0 dhidi ya . . .
UKIACHANA na mchezo wa soka ambao umekuwa na wafuatiliaji wengi zaidi duniani, mchezo ambao pia unafuatiliwa na mashabiki ni ule wa ngumi za kulipwa ambao pia una fed . . .
Klabu ya Leicester City imemsajili mtoto wa mlinzi wa zamani wa Arsenal na Liverpool Kolo Toure, Yassine kwa mkataba wa miaka miwili. Yassine ambaye tofauti na baba ya . . .
Shirikisho la soka nchini Tanzania TFF, Jumanne ya Leo February 15, 2022 limeanza rasmi kuendesha semina ya siku tatu kwa waamuzi wote wanaochezesha Ligi Kuu NBC Tanz . . .
Beki wa klabu ya Manchester City, Joao Cancelo amezungumzia tukio la “kutisha” la kuvamiwa na wezi alilolielezea “lilitishia familia yangu” na kumjeruhiCancel . . .
Hatimaye Uongozi wa Mabingwa wa Soka Tanzania Bara Simba SC umekubali kumsamehe Kiungo Mshambuliaji kutoka nchini Ghana Bernard Morrison na kumrudisha kambini. . . .