UKIONA Simba inavyobadilisha ndege kila mara kwenye safari zake za mechi za kimataifa, iheshimu.Sio Simba tu, hata vigogo wengine kama Yanga na Azam ambazo kwa miaka za . . .
Uongozi wa Mtibwa Sugar umeshindwa kusema lolote kufuatia taarifa zilizosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu Beki wao Mzawa Abdi Banda anayedaiwa kufanya mahojian . . .
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasilino ya Klabu ya Young Africans Hassan Bumbuli anaamini iwe isiwe, msimu huu Azam FC watawachangia alama sita katika safari yao ya ku . . .
Mshambuliaji kutoka nchini Niger na klabu ya USGN Victorien Adebayor amesema mchezo dhidi ya Simba SC hakuwa na changamoto kubwa sana kwa upande wake, licha ya baadhi . . .
Kocha Mkuu wa Mabingwa wa Soka Tanzania Bara Simba SC Franco Pablo Martin amesema wachezaji wake wamekamilisha Program ya maandalizi kabla ya kuikabili USGN leo Jumap . . .
Mshambuliaji wa zamani wa Majogoo wa Jiji ‘Liverpool’ Dirk Kuyt, anaamini Meneja Erik Ten Hag kutoka Uholanzi, atakua chaguo sahihi kwa Manchester United, ambayo . . .
Mashabiki wa mchezo wa mpira wa miguu duniani wamenunua tiketi 804,186 za mechi za Kombe la Dunia nchini Qatar baadae mwaka huu katika awamu ya kwanza ya uuzajiiShiri . . .
Mwenyekiti wa Klabu ya Simba SC, Murtaza Mangungu ameahidi kutoa Tiketi 200 kwa Wanachama na Mashabiki wa klabu hiyo, kuelekea mchezo wa mwisho wa ‘Kundi D’ Kombe . . .
Aliyewahi kuwa Meneja wa kikosi cha Manchester United, Louis van Gaal, amemuonya Erikten Hag dhidi ya kuchukua mikoba ya kuliongoza Benchi la Ufundi la klabu hiyo kua . . .
Kocha kutoka nchini Ureno Carlos Queiroz ametangaza kujiuzulu nafasi yake ya Kocha Mkuu wa Timu ya taifa ya Misri, saa chache baada ya kikosi cha nchi hiyo kushindwa . . .
Timu ya taifa ya Senegal, imefuzu kushiriki katika michuano ya Kombe la Dunia itakayofanyika baadae mwaka huu huko Qatar. Senegal mabingwa wa Kombe la Mataifa ya Afri . . .
Kiungo Mshambuliaji wa Timu ya taifa ya Argentina Angel Di Maria amewaaga rasmi Mashabiki wa taifa hilo baada ya kucheza mchezo wa mwisho kwenye ardhi ya nyumbani mwi . . .
Yanga inajiandaa na pambano lao dhidi ya Azam, huku kikosi chake kikizidi kuimarika kutokana na baadhi ya wachezaji waliokuwa majeruhi kurejea akiwamo Saido Nti . . .
Bondia Twaha Kassim ‘Kiduku’ amewatoa hofu Mashabiki wake kuelekea pambano la kesho Jumamosi (Machi 26), ambalo litamkutanisha na Bondia kutoka DR Congo Alex Kaba . . .
Kocha Mkuu wa Dodoma Jiji FC Masoud Djuma Irambona amesema mchezo unaofuata dhidi ya Tanzania Prisons hautakua rahisi kwake na kwa wachezaji wake, kutokana na ubora w . . .
Mshambuliaji wa Tottenham Harry Kane, 28, alikataa kujitolea kwake kwa Spurs baada yakuulizwa kuhusu mustakabali wake akiwa kwenye majukumu ya Uingereza. (Mirror)Ki . . .
Mjumbe wa Kamati ya Usajili ya Young Africans Hersi Ally Said amesema klabu hiyo haitafanya usajili ama kuwaacha baadhi ya wachezaji wanaomaliza mitakaba yao kwa kuku . . .
Uongozi wa Klabu ya Mbeya Kwanza FC imemtangaza kocha wa zamani wa Dodoma Jiji, Mbwana Makata kuwa Kocha Mkuu wa kikosi cha klabu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania . . .
Kiungo Mshambuliaji Wa Klabu ya Simba SC Bernard Morrison amewataka Mashabiki wa klabu hiyo kuamini timu yao bado ina nafasi kubwa ya kutinga hatua ya Robo Fainali Ko . . .
Mabingwa watetezi Chelsea watamenyana na mabingwa mara 13 Real Madrid katika robo fainali ya Kombe la Klabu Bingwa barani Ulaya.Mabingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza Manchest . . .
Menaja wa Habari na Mawasilino wa Klabu ya Simba SC Ahmed Ally amesema lengo kuu la kikosi chao kuelekea Benin ni kuendeleza mapambano katika michuano ya Kombe la Shi . . .
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasilino ya Klabu ya Young Africans Hassan Bumbuli ameijibu KMC FC baada ya klabu hiyo ya Kinondoni Jijini Dar es salaam, kutamba kuondok . . .
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Klabu Bingwa Tanzania Bara Simba SC Salim Abdallah ‘Try Again’ amesema klabu hiyo ina mpango wa kusajili wachezaji wanne wa K . . .
Mnigeria Sylvester Igboun (31) amekuwa Mwanasoka wa Kiafrika wa kwanza kuondoka kwenye Ligi ya Urusi kufuatia uvamizi uliofanywa na Urusi nchini Ukraine. Igboun amet . . .
Kiungo wa klabu ya Manchester United Paul Pogba ametangaza kuwa nyumba yake ilivamiwa na wezi siku ya Jumanne usiku wakati timu yake ikicheza na Atletico Madrid. Waka . . .
Mshambuliaji wa Namungo FC Reliant Lusajo amewajibu baadhi ya Wadau wa Soka la Bongo ambao wamekua wakihoji ubunifu wa ushangiliaji pale anapoifungia timu yake kwenye . . .
Makamu wa Rais wa RS Berkane Majid Medrane amethibitisha kuandikwa kwa barua ya malalamiko na kutumwa Shirikisho la Soka Barani Afrika ‘CAF’ kuhusu mapungufu yali . . .
Shabiki wa Kalbu ya Young Africans Peter Kanduru ametimiza ahadi yake kwa kumzawadia Ng’ombe Mshambuliaji hatari wa klabu hiyo kwa sasa, Fiston Kalala Mayele. . . .
Timu ya US Monastir ya Tunisia ilikuwa ya kwanza kukata tiketi ya kuingia robo fainali ya michuano ya BAL baada ya kuishinda timu ya Dakar University Club-DUC   . . .
Kocha Mkuu wa RS Berkane ya Morocco Florent Ibenge amesema hatashangaa kuiona Simba SC ikicheza Fainali ya Kombe la Shirikisho msimu huu, kufutia kiwango chao kuikari . . .
Uongozi wa Young Africans umesema upo tayari kumuuza mchezaji yoyote mwishoni mwa msimu huu, endapo itapata ofa nzuri inayoendana na thamani ya mchezaji husika. . . .
Washindi wa mechi ya ufunguzi ya BAL ya msimu wa pili timu ya Seydou Legacy Athletique Club (SLAC) ya Guinea wamepata ushindi mwingine dhidi ya Ferrovia . . .
Mkuu wa Mkoa wa Dar esa Salaam Amos Makalla amewahimiza Mashabiki wa soka mkoani humo na sehemu za karibu, kufika Uwanja wa Benjamin Mkapa siku ya Jumapili (Machi 13) . . .