logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Michezo

  • Pata Habari za Michezo Kwa Undani
news
SOKA
  • Na JZ The Brand
  • April 11, 2022

Simba yaleta msala, klabu 8 presha tupu

UKIONA Simba inavyobadilisha ndege kila mara kwenye safari zake za mechi za kimataifa, iheshimu.Sio Simba tu, hata vigogo wengine kama Yanga na Azam ambazo kwa miaka za . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • April 8, 2022

Utata kuhusu abdi banda

Uongozi wa Mtibwa Sugar umeshindwa kusema lolote kufuatia taarifa zilizosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu Beki wao Mzawa Abdi Banda anayedaiwa kufanya mahojian . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • April 5, 2022

Bumbuli " Azam FC watatuchangia alama sita"

Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasilino ya Klabu ya Young Africans Hassan Bumbuli anaamini iwe isiwe, msimu huu Azam FC watawachangia alama sita katika safari yao ya ku . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • April 4, 2022

Adebayor" Sikuwa na Presha yoyote Simba ni kubwa Afrika"

Mshambuliaji kutoka nchini Niger na klabu ya USGN Victorien Adebayor amesema mchezo dhidi ya Simba SC hakuwa na changamoto kubwa sana kwa upande wake, licha ya baadhi . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • April 3, 2022

Kocha Pablo" Wachezaji wapo tayari kimwili na akili"

Kocha Mkuu wa Mabingwa wa Soka Tanzania Bara Simba SC Franco Pablo Martin amesema wachezaji wake wamekamilisha Program ya maandalizi kabla ya kuikabili USGN leo Jumap . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • April 1, 2022

Dirk Kuyt ampigia debe Erik Ten Hag Man Utd

Mshambuliaji wa zamani wa Majogoo wa Jiji ‘Liverpool’ Dirk Kuyt, anaamini Meneja Erik Ten Hag kutoka Uholanzi, atakua chaguo sahihi kwa Manchester United, ambayo . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 31, 2022

Zaidi ya tiketi 800,000 za Kombe la Dunia zimeshauzwa mpaka sasa

Mashabiki wa mchezo wa mpira wa miguu duniani wamenunua tiketi 804,186 za mechi za Kombe la Dunia nchini Qatar baadae mwaka huu katika awamu ya kwanza ya uuzajiiShiri . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 30, 2022

Mangungu kutoa tiketi 200 Simba SC

Mwenyekiti wa Klabu ya Simba SC, Murtaza Mangungu ameahidi kutoa Tiketi 200 kwa Wanachama na Mashabiki wa klabu hiyo, kuelekea mchezo wa mwisho wa ‘Kundi D’ Kombe . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 30, 2022

Van Gaal amuonya Erikten Hag kwenda Man Utd

Aliyewahi kuwa Meneja wa kikosi cha Manchester United, Louis van Gaal, amemuonya Erikten Hag dhidi ya kuchukua mikoba ya kuliongoza Benchi la Ufundi la klabu hiyo kua . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 30, 2022

Senegal yamuondoa Carlos Queiroz

Kocha kutoka nchini Ureno Carlos Queiroz ametangaza kujiuzulu nafasi yake ya Kocha Mkuu wa Timu ya taifa ya Misri, saa chache baada ya kikosi cha nchi hiyo kushindwa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 30, 2022

Senegal, Ghana, Tunisia, Cameroon, Morocco zafuzu Kombe la Dunia Qatar

Timu ya taifa ya Senegal, imefuzu kushiriki katika michuano ya Kombe la Dunia itakayofanyika baadae mwaka huu huko Qatar. Senegal mabingwa wa Kombe la Mataifa ya Afri . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 28, 2022

Di Maria awaaga mashabiki Argentina

Kiungo Mshambuliaji wa Timu ya taifa ya Argentina Angel Di Maria amewaaga rasmi Mashabiki wa taifa hilo baada ya kucheza mchezo wa mwisho kwenye ardhi ya nyumbani mwi . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 27, 2022

Saido arudi na mkwara

Yanga  inajiandaa na pambano lao dhidi ya Azam, huku kikosi chake kikizidi kuimarika kutokana na baadhi ya wachezaji waliokuwa majeruhi kurejea akiwamo Saido Nti . . .

news
NGUMI
  • Na Asha Business
  • March 25, 2022

Twaha" Kiduku Nipo tayari"

Bondia Twaha Kassim ‘Kiduku’ amewatoa hofu Mashabiki wake kuelekea pambano la kesho Jumamosi (Machi 26), ambalo litamkutanisha na Bondia kutoka DR Congo Alex Kaba . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 25, 2022

Kocha Dodoma jiji aihofia Tanzania Prisons

Kocha Mkuu wa Dodoma Jiji FC Masoud Djuma Irambona amesema mchezo unaofuata dhidi ya Tanzania Prisons hautakua rahisi kwake na kwa wachezaji wake, kutokana na ubora w . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 24, 2022

KUNAKO TETESI

Mshambuliaji wa Tottenham Harry Kane, 28, alikataa kujitolea kwake kwa Spurs baada yakuulizwa kuhusu mustakabali wake akiwa kwenye majukumu ya Uingereza. (Mirror)Ki . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 23, 2022

Hersi Said afichua usajili Young Africans 2022/23

Mjumbe wa Kamati ya Usajili ya Young Africans Hersi Ally Said amesema klabu hiyo haitafanya usajili ama kuwaacha baadhi ya wachezaji wanaomaliza mitakaba yao kwa kuku . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 22, 2022

Mbwana Makata Kocha mpya Mbeya Kwanza FC

Uongozi wa Klabu ya Mbeya Kwanza FC imemtangaza kocha wa zamani wa Dodoma Jiji, Mbwana Makata kuwa Kocha Mkuu wa kikosi cha klabu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 21, 2022

Bernard Morrison awatuliza mashabiki Simba SC

Kiungo Mshambuliaji Wa Klabu ya Simba SC Bernard Morrison amewataka Mashabiki wa klabu hiyo kuamini timu yao bado ina nafasi kubwa ya kutinga hatua ya Robo Fainali Ko . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 18, 2022

RATIBA KAMILI YA MECHI ZITAKAZO CHEZA ROBO FAINALI YA UEFA

Mabingwa watetezi Chelsea watamenyana na mabingwa mara 13 Real Madrid katika robo fainali ya Kombe la Klabu Bingwa barani Ulaya.Mabingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza Manchest . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 18, 2022

Simba SC yadhamiria kufuzu ugenini

Menaja wa Habari na Mawasilino wa Klabu ya Simba SC Ahmed Ally amesema lengo kuu la kikosi chao kuelekea Benin ni kuendeleza mapambano katika michuano ya Kombe la Shi . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 18, 2022

Hassan Bumbuli aikazia macho KMC FC

Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasilino ya Klabu ya Young Africans Hassan Bumbuli ameijibu KMC FC baada ya klabu hiyo ya Kinondoni Jijini Dar es salaam, kutamba kuondok . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 17, 2022

Simba SC kusajili wanne 2022/23

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Klabu Bingwa Tanzania Bara Simba SC Salim Abdallah ‘Try Again’ amesema klabu hiyo ina mpango wa kusajili wachezaji wanne wa K . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 17, 2022

Mchezaji wa kwanza Afrika kuvunja mkataba Urusi

Mnigeria Sylvester Igboun (31) amekuwa Mwanasoka wa Kiafrika wa kwanza kuondoka kwenye Ligi ya Urusi kufuatia uvamizi uliofanywa na Urusi nchini Ukraine. Igboun amet . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 17, 2022

Wezi wavamia nyumbani kwa Pogba akiwa uwanjani

Kiungo wa klabu ya Manchester United Paul Pogba ametangaza kuwa nyumba yake ilivamiwa na wezi siku ya Jumanne usiku wakati timu yake ikicheza na Atletico Madrid. Waka . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 16, 2022

Lusajo "natamani kufunga zaidi"

Mshambuliaji wa Namungo FC Reliant Lusajo amewajibu baadhi ya Wadau wa Soka la Bongo ambao wamekua wakihoji ubunifu wa ushangiliaji pale anapoifungia timu yake kwenye . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 15, 2022

RS Berkane wathibitisha kutuma barua CAF

Makamu wa Rais wa RS Berkane Majid Medrane amethibitisha kuandikwa kwa barua ya malalamiko na kutumwa Shirikisho la Soka Barani Afrika ‘CAF’ kuhusu mapungufu yali . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 14, 2022

Mayele akabidhiwa Ng’ombe Dar

Shabiki wa Kalbu ya Young Africans Peter Kanduru ametimiza ahadi yake kwa kumzawadia Ng’ombe Mshambuliaji hatari wa klabu hiyo kwa sasa, Fiston Kalala Mayele. . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 14, 2022

Timu ya US Monastir yakata tiketi ya kwanza kuingia robo fainali ya BAL

Timu ya US Monastir ya Tunisia ilikuwa ya kwanza kukata tiketi ya kuingia robo fainali ya michuano ya BAL baada ya kuishinda timu ya Dakar University Club-DUC   . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 14, 2022

Kocha RS Berkane aitabiria makubwa Simba SC

Kocha Mkuu wa RS Berkane ya Morocco Florent Ibenge amesema hatashangaa kuiona Simba SC ikicheza Fainali ya Kombe la Shirikisho msimu huu, kufutia kiwango chao kuikari . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 14, 2022

Young Africans: Tutamuuza yeyote utaratibu ukifuatwa

Uongozi wa Young Africans umesema upo tayari kumuuza mchezaji yoyote mwishoni mwa msimu huu, endapo itapata ofa nzuri inayoendana na thamani ya mchezaji husika. . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 13, 2022

SLAC ya Guinea yapata ushindi dhidi ya CFV Beira ya Msumbiji

Washindi wa mechi ya ufunguzi ya BAL ya msimu wa pili timu ya  Seydou Legacy Athletique Club (SLAC) ya Guinea wamepata ushindi mwingine dhidi ya  Ferrovia . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 11, 2022

Amos Makalla awaita mashabiki Kwa Mkapa

Mkuu wa Mkoa wa Dar esa Salaam Amos Makalla amewahimiza Mashabiki wa soka mkoani humo na sehemu za karibu, kufika Uwanja wa Benjamin Mkapa siku ya Jumapili (Machi 13) . . .

Kurasa 21 ya 25

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Kitabu cha historia ya miaka 60 mbio za Mwenge wa Uhuru chazinduliwa

    • 45 dakika zilizopita
  • Kilicho muua Odinga chabainishwa

    • 54 dakika zilizopita
  • Raila Odinga afariki dunia

    • saa moja lililopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode