logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kitaifa
  • Na Asha Business
  • February 3, 2022

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UENDESHAJI WA MTIHANI WA AWALI KWA MADAKTARI WATARAJIWA

. . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • February 3, 2022

NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA MAJI ATEMBELEA MRADI MKUBWA WA MAJI LONGIDO.

Naibu Katibu mkuu wizara ya maji ,Mhandisi Nadhifa Kemikimba ametembelea mradi wa maji wilayani Longido na kusema wameridhishwa na mradi huo unavyotekelezwa.Aliyasema hayo wakati alipotembele . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • February 2, 2022

Mwanajeshi apandishwa cheo kwa kumsaidia mwanamke kujifungua Zambia

Mwanjeshi wa Zambia amepandishwa cheo cha kijeshi kwa kumsaidia mwanamke mjamzito kujifungua mtoto katika shamba la mahindi.Humphrey Mangisani amepadishwa cheo kutoka askari alisiye na cheo hadi ko . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • February 2, 2022

Mwanajeshi apandishwa cheo kwa kumsaidia mwanamke kujifungua Zambia

Mwanjeshi wa Zambia amepandishwa cheo cha kijeshi kwa kumsaidia mwanamke mjamzito kujifungua mtoto katika shamba la mahindi.Humphrey Mangisani amepadishwa cheo kutoka askari alisiye na cheo hadi ko . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 2, 2022

Waziri Gwajima Apokea Ugeni Wa ‘un Women’, Waonesha Utayari Kuboresha Miongozo Ya Wizara

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wanawake na Makundi Maaum, Dkt. Dorothy Gwajima, amepokea ugeni wa Shirika la kupigania haki za wananawake na usawa wa kijinsia katika nafasi za uongozi, UN . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 2, 2022

Serikali Kupima Utendaji Kazi Wa Taasisi Zake Kielektroniki-Waziri Mhagama

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama amesema Serikali inaboresha Mfumo wa Uwazi wa Kupima Utendaji Kazi wa Taasisi unaojulikana ka . . .

Afrika Mashariki
  • Na JZ The Brand
  • February 2, 2022

Rwanda - Uganda: Kwa nini mpaka haujafunguliwa kikamilifu

Furaha ya wengi ilitoweka wakati watu wachache tu waliruhusiwa kuvuka mpaka wa Gatuna/Katuna, ambao ulipangwa kufunguliwa tena Jumatatu.Kwa sababu ya mzozo wa kisiasa mamlaka nchini Rwanda ziliamu . . .

Top Story
  • Na JZ The Brand
  • February 2, 2022

Sakata la mtoto kumuua mtoto mwenzake, familia yatoa kauli

Familia ya Marehemu Ally Khalifa Bakari, Mtoto mwenye umri wa miaka tisa ambaye amefariki mara baada ya kupigwa na kitu chenye ncha kali kichwani na mwenzake hadi kupelekea kufariki Dunia, imeiomb . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 2, 2022

Kesi ya Mbowe:Shahidi Mwanajeshi akana kukamatwa

Shahidi wa 12 upande wa Jamhuri Luteni Denis Urio katika kesi ya Ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Freeman Mbowe na wenzake watatu amekataa kuwa aliwahi k . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • February 2, 2022

Mwanamke Aolewa na Ndugu yake wa Damu Bila Kujua na Kumzalia Watoto 3

Mwanamke Mrwanda, Mukandamage Domitila aliwashtua wengi baada ya kufichua alikuwa ameolewa na ndugu yake wa damu moja.Domitila alizaliwa mnamo mwaka 1978, lakini mwaka mmoja baadaye mama yake alifarik . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • February 2, 2022

Baba wa Polisi aliyejinyonga mahabusu ataka uchunguzi

 Wakati Jeshi la Polisi likieleza jinsi mkaguzi msaidizi wa polisi Grayson Mahembe alivyojinyonga akiwa mahabusu, hatua iliyoibua hisia na maswali kadhaa, baba mzazi wa marehemu Gaitan Mahe . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • February 1, 2022

Uchaguzi WaSpika: Mtia Nia Awaacha Hoi Wabunge

WAKATI wabunge wakiendelea kusikiliza hoja za watia nia wanaowania kurithi mikoba ya Job Ndugai, Bungeni jijini Dodoma, Ndonge Said Ndonge, kutoka Chama cha AAFP huenda akawa ni mtia nia pekee aliei . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 1, 2022

Mwaka mmoja wa mapinduzi ya kijeshi Myanmar waadhimishwa kwa maandamano

Wapinzani wa utawala wa kijeshi nchini Myanmar wameadhimisha mwaka mmoja wa mapinduzi ya kijeshi nchini humo kwa mgomo wa kitaifa kuonyesha mshikamano wao, huku jeshi likiendelea kung'ang'ania mad . . .

Afrika
  • Na JZ The Brand
  • February 1, 2022

Nchi za Kusini mwa Afrika zajiandaa kukabiliana na kimbunga cha pili

Kituo cha Huduma za Hali ya Hewa cha Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (Sadc) (CSC) kimeonya juu ya mvua kubwa ambayo inaweza kusababishwa na kimbunga inayokuja, iitwayo Batsirai.CSC ilisem . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 1, 2022

MKUU WA WILAYA SONGWE AKAGUA UJENZI WA BARABARA,AISHUKURU SERIKALI

MKUU wa Wilaya ya Songwe Simon Simalenga amefanya ziara ya kutembelea ujenzi wa barabara yenye kipande cha urefu wa kilomita 7 kutoka Kata ya Kanga kwenda Kata ya Ifwenkenya ambayo inajengwa na . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 1, 2022

KURA ZA SPIKA KUPIGWA LEO

 Bunge la Tanzania limeanza vikao vyake hii leo huko jijini Dodoma, ambapo limeanza shughuli zake kwa kuendesha uchaguzi wa spika mpya atakaeliongoza bunge hilo. Nafasi ya spika iliachwa wazi p . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 1, 2022

ATCL Yapewa Maagizo Bei za Tiketi

NAIBU Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Atupele Mwakibete ameitaka idara ya Masoko ya Kampuni ya Ndege ya Tanzania (ATCL) kufanya tafiti na kuja na mpango madhubuti wa bei za tiketi ili kuruhusu abir . . .

Afrika Mashariki
  • Na JZ The Brand
  • February 1, 2022

Kenya yawarudisha nyumbani washukiwa wa mauaji Uingereza

Kenya imewarudisha raia wawili wa Uingereza nchini humo ambako wanasakwa kwa mauaji.Taarifa kutoka kwa Idara ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai nchini Kenya inasema wapelelezi walimkamata Mohamud Siy . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • February 1, 2022

Marekani na Urusi zakabiliana katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa

Balozi wa Marekani Linda Thomas-Greenfield alisema upelekwaji huo ulikuwa mkubwa zaidi Ulaya kuwahi kuonekana katika miongo kadhaa.Mwenzake wa Urusi aliishutumu Marekani kwa kuchochea hali ya wasi . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 1, 2022

Familia zaidi zalia watoto kupotea mikononi mwa polisi

 Wingu limetanda katika familia ya Salmin Shame (33) kijana anayedaiwa kupotea katika mazingira ya kutatanisha tangu usiku wa Desemba 24 mwaka jana.Kijana huyu akiwa na wenzake wawili, Elis . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 1, 2022

BUTIKU MWENYEKITI MPYA TAASISI YA MWALIM NYERERE

BODI ya Wakurugenzi ya Taasisi ya Mwalimu Nyerere (MNF), inayomaliza muda wake imemteua Joseph Butiku kuwa mwenyekiti mpya wa bodi hiyo.Hayo yamesemwa na Kaimu Mwenyekiti wa bodi aliyemaliza mud . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 1, 2022

UJENZI WA DARAJA LA MTO RUHUHU WAKAMILIKA, NI LA CHUMA LIMEJENGWA NA WAHANDISI WA TANROADS WA MIKOA 26 TANZANIA

WAKALA wa Barabara nchini (Tanroads) imepiga hatua nyingine, baada ya kukamilisha ujenzi wa daraja la urefu wa mita 98 katika mto Ruhuhu linalounganisha wilaya ya Nyasa mkoa wa Ruvuma na Ludewa . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 1, 2022

WANANCHI 1000 WAHUDUMIWA NA BRELA NDANI YA SIKU TANO KATIKA VIWANJA VYA MLIMAN CITY

WAKALA wa Usajili wa Biahara na Leseni (BRELA) umesema katika kipindi cha siku tano za mwanzo ambazo wamekuwa wakitoa elimu kuhusu umuhimu wa wananchi kusajili biashara zao pamoja na kutoa hudum . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 1, 2022

Tanzania Na Misri Zakubaliana Ushirikiano Kuimarisha Uwekezaji Sekta Ya Kilimo, Usafiri, Miundombinu Ya Umeme, Maji Na Usafiri

Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji amekutana na balozi wa Misri nchini Tanzania Mhe. balozi Mohamed Gaber Abulwafa na kujadiliana masuala mbalimbali ya Uwekezaji na . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • January 31, 2022

Harakati ndogo mpakani mwa Rwanda na Uganda baada ya kufunguliwa tena

Kuna harakati kidogo kwenye mpaka wa Gatuna wa Rwanda na Uganda, ambao umefunguliwa tena baada ya karibu miaka mitatu ya kufungwa. Mpaka huo ulifungwa mwaka 2019 kufuatia mvutano kati ya nchi hizo . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • January 31, 2022

Gari la umma lalengwa katika shambulio la bomu kaskazini mwa Kenya

Gari la uchukuzi wa umma limekumbwa na shambulizi la bomu kaskazini mwa Kenya, karibu na mpaka wa Somalia.Waandishi wa habari wa eneo hilo wanasema takriban watu tisa wamefariki na wengine kadhaa . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 31, 2022

Polisi Watoa Ufafanuzi Tukio La Kujinyoga Askari huko Mtwara

. . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 31, 2022

Masauni Aitaka UNHCR Kufuata Sheria, Mwakilishi Mkazi Mpya Ajitambulisha Kwa Waziri

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, amelitaka Shirikika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) nchini kufanya kazi kwa kuzingatia sera, sheria na vipaumbele vya . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 31, 2022

Local chanel ambazo ni Clouds Tv, ITV, Chanel Ten, Star Tv na zingine zarudishwa DStv rasmi

Waziri Nape ameyasema hayo leo januari 31 alipotembelea ofisi za kampuni ya Multichoice Tanzania DStv ikiwa ni sehemu ya ziara zake kwa wadau wa Wizara anayoingoza.Ameongeza kuwa Serikali imefanya . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 30, 2022

Bodi Ya Utalii Tanzania –TTB Yapokea Maandamano Ya Vijana Wa Ccm Ya Kuhamasisha Utalii Wa Ndani

Bodi ya utalii Tanzania (TTB)  imeapokea maandamano ya Wanachama wa Umoja wa Vijana –UVCCM Tanzania Kata ya Saranga iliyopo katika Jimbo la Kibamba, Wilaya ya Ubungo Jijini Dar es Salaam . . .

Kurasa 118 ya 123

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

    • 8 masaa yaliopita
  • Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

    • 9 masaa yaliopita
  • Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

    • 9 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode