Waziri wa fedha wa Marekani Janet Yellen amefahamisha kupitia barua iliyoonekana na shirika la habari la Reuters,kwamba nchi yake itasadia katika juhudi za kuyatathmini upya madeni ya Sri-Lanka na kui . . .
Gavana mteule wa Kenya amejizolea sifa kwa sheria kali za afisini baada ya kuwafukuza maafisa wakuu kwa kufika kwenye mkutano dakika chache baada na yeye kuingia.Gavana George Natembeya wa kaunti ya T . . .
Vikao vya kwanza vya Bunge la Kitaifa na Seneti vitafanyika mnamo Alhamisi, Septemba 8, 2022 ambapo wajumbe katika mabunge hayo wataapishwa kisha wawachague maspika wao.Hii ni baada ya Rais Uhur . . .
Waziri Mkuu anaeondoka nchini Uingereza Boris Johnson ameapa kumuunga mkono mrithi wake Liz Truss katika kila hatua atakayoipiga kwenye kazi zake. Katika hotuba yake ya mwisho kama Waziri Mkuu aliyoit . . .
Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Huduma za Meli (MCSL), Erick Hamisi amesema ujenzi wa meli ya MV Mwanza umefika asilimia 71 na inatarajiwa kuanza huduma mwishoni mwa mwezi Oktoba.Amesema hayo akitoa taa . . .
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Angelina Mabula ameagiza kuondolewa kazini Mkurugenzi wa Tehama wa wizara hiyo, Venance Mwolo kwa kile alichifafanua kuwa hatoshi katika majukumu hay . . .
Kamati ya Bunge ya Uwekezaji na Mitaji ya Umma, (PIC) imesema mapato ya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), yameongezeka kutoka Sh58 bilioni mwaka 2018/2019 hadi Sh239 bilioni mwaka 2021/2022.&nbs . . .
. . .
Waziri Mkuu wa Ukraine Denys Shmyhal alikaribishwa mjini Berlin na heshima ya kijeshi wakati nchi hiyo ikitafuta silaha zaidi nzito kwa ajili ya vita dhidi ya Urusi. Alikutana na Kansela Olaf Scholz, . . .
Jeshi la Polisi linapenda kuwataarifu wananchi wote kuwa kutakuwa na uzinduzi wa kampeni maalum ya mwezi mmoja unaojulikana kama msamaha wa Afrika itakayohusisha usalimishaji wa silaha haramu kwa hiar . . .
Serikali ya Tanzania imesema asilimia 50 ya mahitaji ya mbolea ya ruzuku imeshaingizwa nchini kabla ya msimu wa kilimo wa 2022/23 kuanza.Hatua hiyo inakuja ikiwa ni utekelezaji wa Serikali kutoa ruzuk . . .
Kwa mara ya kwanza Watanzania wamechaguliwa kuwa sehemu ya Kamati ya Scouts Afrika ambapo Mkutano Mkuu ulifanyika Nairobi, Kenya Agosti 25 hadi 28, 2022. Yasin Othman ambaye ni Mshiriki wa Mkutan . . .
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) imewatimua viongozi wa Halamashauri ya Wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera baada ya kutekeleza maagizo matatu kati ya 33 walioipatia miaka iliyopit . . .
Watu wengi huona kunywea chai ya moto kuwa kuburudisha, lakini chai ya mchaichai inaweza kutoa manufaa zaidi za kupunguza wasiwasi. Kulingana na Kituo cha Saratani ya Memorial Sloan Kettering, kunusa . . .
Uingereza inatarajiwa kuwa na waziri mkuu mpya wiki ijayo karibu miezi miwili baada ya kujiuzulu kwa Boris Johnson mwezi Julai kufuatia mfululizo wa kashfa dhidi yake.Wanachama wa chama cha konsavativ . . .
Kamati ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii imeitaka Serikali kuacha kulalamika kuhusu kulegalega kwa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) na badala yake itoe suluhisho kwa kuharakisha muswada wa . . .
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu ametaja chanzo cha kuelemewa kwa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) akisema magonjwa yasiyoambukiza, urasimu na kuingizwa kwa wasio watumishi wa umma ambao asilimia 99 . . .
Mmoja wa vijana madaktari waliojiunga kwenye kikundi akizungumzia mradi wa zahanati walioijenga baada ya kupatiwa mkopo wa Sh110 milioni uliotokana na mapato ya asilimia 10 ya Halmashauri ya Jiji la D . . .
Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Manyara, Georgina Matagi amewaweka mahabusu wamilikiwa wa shule tatu zilizoko Mjini Babati, kwa kushidwa kupeleka magari ya kubebea wanafunzi ili yafanyiw . . .
Rais wa Afrika kusini Cyril Ramaphosa Jumanne Amekabiliwa na maswali makali bungeni, wakati wabunge walipotaka majibu jinsi anavyokabiliana na wizi wa mamilioni ya dola kutoka kwenye shamba lake . . .
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Innocent Bashungwa amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza Mkoani Tanga, ndugu Nassib Bakari Mmbaga, k . . .
Mikhail Gorbachev, aliyekuwa rais wa Urusi, ambaye alimaliza vita baridi bila kumwaga damu lakini akashindwa kuzuia kusambaratika kwa Muungano wa Urusi, alifariki Jumanne akiwa na umri wa miaka 91, ma . . .
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewasili katika ukumbi wa Shule ya Polisi Tanzania(TPS) mkoani Kilimanjaro kwa ajili ya ufunguzi kikao kazi cha Maofisa wakuu waand . . .
Mkuu wa Jeshi la polisi nchini (IGP), Camillus Wambura amesema takwimu za makosa makubwa ya jinai nchini zimeongezeka kipindi cha Januari hadi Juni mwaka 2022.Amesema yameongezeka kutoka makosa 24,848 . . .
Shirika la anga za juu la Marekani NASA limeahirisha uzinduzi wa roketi lenye nguvu uliopangwa kufanyika jana kutokana na tatizo la kwenye injini. Uzinduzi huo ni sehemu ya programu ya anga iliyopewa . . .
Colombia na Venezuela wamerudisha tena mahusiano kamili ya kidplomasia, miaka mitatu baada ya Venezuela kukata uhusiano huo kufuatia hatua ya Colombia kumuunga mkono kiongozi wa upinzani Juan Guaido. . . .
Machafuko mashariki mwa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo yamesababisha vifo vya zaidi ya watu kumi katika siku tatu, vyanzo vya kijeshi na vya eneo hilo vimesema Jumapili.Zaidi ya makundi ya wanamgam . . .
BABA Mtakatifu na mkuu wa kanisa katoliki duniani Papa Francis (85) amewateua maaskofu 20 na kuwatawaza kuwa makaldinali watakaoongezeka kwenye jopo litakaloshiriki kumteua mrithi wa kiti chake. . . .
Ukame wa kutisha unaoikumba Pembe ya Afrika, mbaya zaidi kuwahi kutokea katika kipindi cha miaka 40, huenda ukawa mbaya zaidi, kulingana na uchambuzi wa hivi punde kutoka kituo cha utabiri wa hali ya . . .
Kamishna wa Sensa ya Watu na Makazi 2022, Anne Makinda amesema asilimia 93.45 ya kaya zote Tanzania zimehesabiwa hadi kufikia leo Jumatatu Agosti 29, 2022 saa 2 asubuhi. Makinda amesema hayo jiji . . .