logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Top Story
  • Na Asha Business
  • February 17, 2022

Kiongozi wa Kijeshi Aapishwa Kuwa Rais

KIONGOZI wa Kijeshi wa Burkina Faso, Luteni Kanali Paul-Henri Damiba, ameapishwa kuwa rais wa mpito wa taifa hilo. Akiwa amevaa sare za kijeshi, Damiba ameapa kuheshimu katiba katika hafla ndogo il . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • February 17, 2022

Baba Adaiwa Kumpa Mimba Binti Yake

Mwanafunzi wa kidato cha tatu katika Shule ya Sekondari Tumaini wilayani Iramba mkoani Singida, amesimamishwa masomo baada ya kubainika kuwa na ujauzito anaodai kupewa na baba yake wa kambo, Abd . . .

Uwekezaji
  • Na Asha Business
  • February 17, 2022

kilio cha ubadirifu wa fedha za mikopo

 Ni kilio cha ubadirifu wa fedha za mikopo inayotolewa na halmashauri kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu katika maeneo mengi ya nchi.Wakati wabunge wakipigia kelele ubad . . .

UTALII
  • Na Asha Business
  • February 17, 2022

“Hakuna mgogoro kati ya Wananchi na Hifadhi Njombe” Naibu Waziri Utalii

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja (Mb) amesema hakuna mgogoro wa ardhi kati ya wananchi wa Kata za Inyala, Itewe, Ilungu na Hifadhi ya Kitulo iliyoko mkoani Njombe. Ameyasema . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • February 17, 2022

Ujerumani inapanga kuondoa vizuizi vya Covid-19 mwezi Machi

Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz na viongozi wa majimbo 16 wametangaza mipango ya kuondoa vizuizi vya kukabiliana na Covid-19 kufikia mwishoni mwa mwezi Machi. Mipango hiyo itashuhudia vizuizi vin . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • February 17, 2022

Israel yaushambulia mji wa kusini mwa Damascus

Vyombo vya habari vya serikali ya Syria vimeripoti kuwa Israel imeushambulia kwa makombora mji wa kusini mwa Damascus jana jioni, na kusababisha uharibifu wa mali. Hilo ni shambulio la pili la ang . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • February 17, 2022

Marekani yaituhumu Urusi kuongeza wanajeshi mpakani mwa Ukraine

Marekani imetupilia mbali ripoti za Urusi kuondoa wanajeshi wake mpakani mwa Ukraine na badala yake ikaituhumu Moscow kwa kupeleka wanajeshi zaidi. Afisa mmoja mwandamizi katika Ikulu ya White Hou . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • February 16, 2022

Kauli tata ya ubatizo yasababisha Padri ajiuzulu

Padri mmoja nchini Marekani amejiuzulu utumishi wake wa upadri aliotumikia kwa miaka mingi baada ya kufahamika kuwa amekuwa akiwabatiza watoto kwa kauli tata ambayo imebatilishwa na viongozi wa ka . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • February 16, 2022

Mwanafunzi Mwenye Umri Wa Miaka 19 Kumpachika Mimba Mwalimu Wake.

Richard Nana Sam, mwanamume mmoja kutoka Ghana ambaye alihuzunishwa na matukio ya hivi majuzi yaliyotokea nyumbani kwake aliamua kuyasimula kwenye mitandaoni kwa matumaini ya kupata suluhu.Akisimulia . . .

Afrika
  • Na JZ The Brand
  • February 16, 2022

Mvulana wa Sudan aokolewa baada ya kukwama kwenye lori la tatataka kwa saa nane

Mvulana mwenye umri wa miaka 10-ameokolewa saa nane baada ya kukwama katika lori la takataka katika mji mkuu wa Sudan Khartoum.Mvulana huyo aliyetambuliwa na polisi kama Majed Mubarak Ibrahim . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • February 16, 2022

Wamiliki wa vyombo vya habari watakiwa kutoa mikataba ya ajira kwa waandishi

Serikali imewataka waajiri na wamiliki wa Vyombo vya habari nchini kuwaajiri waandishi wa habari kwa mikataba maalumu ambayo inampa mwandishi nafasi ya kuingia katika mifuko ya kijamii na kuweza . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 16, 2022

Waziri Makamba amjibu Msukuma ishu ya Umeme “Huo sio Ubunge, kupanda helkopta’

Waziri wa Nishati Januari Makamba amejibu baadhi ya hoja za wabunge kuhusu kukatika kwa umeme ambapo amesema suala la hilo limezungumzwa na wabunge, na amesema kuwa hakuna mtu kwenye wizara au TAN . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 16, 2022

Putin "Hatutaki vita Ulaya tuko tayari kwa mazungumzo"

Rais Vladimir Putin amemueleza Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz kuwa Urusi haitaki vita barani Ulaya. Viongozi hao wawili walikutana jana mjini Moscow ikiwa ni juhudi za hivi karibuni za kuepusha . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 16, 2022

Macron kujadili mustakabi wa wanajeshi wa Ufaransa Mali

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron leo atakutana na washirika wake wa Ulaya kujadili juu ya ujumbe wa kijeshi nchini Mali. Maafisa wa serikali wamesema Macron atatangaza ikiwa anawaondoa wanajeshi w . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • February 16, 2022

Atiwa mbaroni kwa kutoa taarifa za uongo

Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limemkamata mfanyabiashara Maila Majula (29), mkazi wa Makongo juu kwa kutoa taarifa za uongo katika kituo cha Polisi Msimbazi kuwa kaibiwa gari. . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • February 15, 2022

Bennett kukutana na mfalme, mrithi wa ufalme wa Bahrain

Wakati hatima ya mazungumzo ya Mkataba wa Nyuklia wa Iran na mataifa makubwa duniani ikiwa haijuilikani, Waziri Mkuu wa Israel Naftali Bennett yuko ziarani nchini Bahrain kuimarisha mahusiano bain . . .

matukio
  • Na JZ The Brand
  • February 15, 2022

Ukweli wa mateso anayopitia Bambucha, asimulia kukatwa mguu, uigizaji

Wengi tunamfahamu kama Bambucha jina lake halisi ni Omary Said Babu (59) amewahi kuchez . . .

Teknolojia
  • Na JZ The Brand
  • February 15, 2022

Chombo kinachotarajiwa kugongana na mwezi chatambuliwa mmiliki wake

Wanaastronomia wanasema kwamba sehemu ya roketi iliotarajiwa kugongana na mwezi , mnamo mwezi Machi haikutoka kwa kampuni ya uchunguzi wa anga ya Elon Musk kama ilivyodhaniwa. Badala yake wanaamini . . .

Afrika
  • Na JZ The Brand
  • February 15, 2022

Kijana aliyepigwa picha akipika jangwani apata msaada

Mwandishi wa habari wa Ethiopia aliyepiga picha ya mvulana akipika jangwani peke yake ilyosambaa kwenye mitandao ya kijamii amezungumzia kisa cha picha hiyo yenye ujumbe mzito.Picha ya Boru Konso . . .

Afrika Mashariki
  • Na JZ The Brand
  • February 15, 2022

Kesi ya wakili wa Kenya kuanza katika mahakama ya ICC

Kesi ya wakili wa Kenya anayetuhumiwa kuwahonga mashahidi wa upande wa mashtaka wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa Jinai (ICC) inaanza Jumanne huko The Hague.Paul Gicheru anakabiliwa na mashtak . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • February 15, 2022

Baraza la madiwani kumfukuza mfanyakazi mtoro

Baraza la madiwani la halmashauri ya wilaya ya Mbinga limeazimia kumfukuza kazi mfanyakazi mmoja wa halmashauri hiyo kwa kosa la utoro kazini huku likiwapeleka kwenye kamati ya maadili wafanyakazi . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • February 15, 2022

Mgomo wa walimu waingia wiki ya pili

Mgomo wa walimu ambao umeathiri taasisi za elimu nchini Zimbabwe umeingia wiki yake ya pili jana Jumatatu.Serikali imewasimamisha kwa muda walimu wapatao 135,000 kwa kushindwa kuripoti kazini. Wizar . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • February 15, 2022

Waziri Mutahi Kagwe Katika Hatari ya Kufungwa Jela.

Waziri wa Afya, Mutahi Kagwe anakumbana na hatari ya kufungwa jela miezi sita kwa kudharau amri ya korti iliyomzuia kuruhusu jeshi kusimamia Mamlaka ya Usambazaji Dawa Nchini (KEMSA).Katika malalamish . . .

AFYA
  • Na JZ The Brand
  • February 14, 2022

WAGONJWA 26 WAPANDIKIZWA FIGO HOSPITALI YA BENJAMIN MKAPA

Hospitali ya Benjamin Mkapa imefanikiwa kupandikiza figo wagonjwa 26 kuanzia machi 22, 2018 kutoka mikoa mbalimbali nchini na wote wanaendelea vizuri.Hayo yamebainishwa leo na Mkuu wa idara ya . . .

AFYA
  • Na JZ The Brand
  • February 14, 2022

Wanasayansi kutengeneza mtoto kwenye maabara

Wanasayansi wanaendelea kutafiti kisayansi kuhusu njia mpya ya uzazi itakayotumika kutengeneza mtoto maabara bila kufuata njia za kawaida za uzazi zinazohusisha ubebaji wa mimba na kuzaa.Njia hii . . .

Hali ya hewa
  • Na JZ The Brand
  • February 14, 2022

Umoja wa Mataifa kukamilisha ripoti kuhusu athari za ongezeko la joto

Wanasayansi na maafisa wa serikali wanakutana leo kukamilisha ripoti muhimu ya Umoja wa Mataifa kuhusu jinsi ongezeko la joto duniani linavyoyavuruga maisha ya watu, mazingira yao ya asili na saya . . .

matukio
  • Na JZ The Brand
  • February 14, 2022

Wanajeshi wa Mali wauawa na wapiganaji wa jihadi

Wanajeshi wawili wa Mali wameuawa katika shambulizi linalodaiwa kufanywa na wapiganaji wa jihadi.Shambulio hilo limetokea kwenye kituo cha Niafunké katikati mwa Mali Jumapili asubuhi.Watano kati ya . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • February 14, 2022

Hoteli ya kwanza ya wapenzi wa jinsia moja yafunguliwa Cuba

Waandishi wa habari walipowasili kwa ziara iliyoandaliwa na serikali katika hoteli ya kifahari katika eneo la mapumziko la Cuba la Cayo Guillermo, walilakiwa na kikundi cha densi kilichovalia nguo z . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 14, 2022

WAZIRI WA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA WA UAE ATEMBELEA BANDA LA TANZANIA

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Nchi ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) Mhe.Sheikh Abdullah bin Zayed Al Nahyan tarehe 13 Februari, 2022 ametembelea Banda l . . .

Uwekezaji
  • Na JZ The Brand
  • February 14, 2022

RC PWANI AZINDUA ONE STOP CENTER

MKUU wa Mkoa wa Pwani Alhaji Abubakar Kunenge amezindua Kituo Cha uwezeshaji wa huduma za wawekezaji   kituo cha pamoja (One Stop Center). RC Kunenge  alisema kuwa Kitengo hicho ki . . .

Kurasa 115 ya 123

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

    • 9 masaa yaliopita
  • Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

    • 9 masaa yaliopita
  • Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

    • 10 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode