logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Burudani

  • Pata Habari Zote Za Burudani Hapa
news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • August 25, 2023

Zuchu Amchana Mange Kimambi 'Mbona Huleti Hizo Fito zako Tanzania Umejificha Store Marekani'

@officialzuchu .. . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • August 23, 2023

Rayvanny Athibitisha Kumuoa Fahyma

Staa wa Bongo Fleva, Raymond Mwakyusa 'Rayvanny' amethibitisha kwamba siku sio nyingi atamuoa mpenzi wake wake Fahyma.Kauli hiyo ya kishujaa ameitoa usiku wa kuamkia leo . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • August 16, 2023

Davido anunua mkufu wa almasi wa N577m kusherehekea albamu ya 'Timeless'

Nyota wa Afrobeat, Davido amenunua neckless mpya kusherehekea mafanikio ya albamu yake ya Timeless.Pendenti iliyotengenezwa kwa almasi iliundwa na chapa ya kifahari ya Lo . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • August 16, 2023

Haji Manara Afikiria Kumuoa Mange Kimambi,

Mnanishauri kitu ? Nikutana nae? Nimfanye nini maana mimi ndio Mtu kanipost mara nyingi na kanizushia sana kuhusu kuchafua hali ya hewa?Au nioe tu na yeye tupate kulea Wa . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • August 9, 2023

Tory Lanez Ahukumiwa Miaka 10 Jela Kwa Kumpiga Risasi The Stallion

Nyota huyo wa Hip Hop na R&B mwenye asili ya Canada amehukumiwa kifungo baada ya kupatikana na hatia ya makosa 3 ikiwemo kumpiga Risasi Rapa wa Kike #MeganTheeStallio . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • July 31, 2023

Kings Music wapost na kuandika hiki

Kitu ambacho wengi hawakutegemea ni kumuoa mdogo wake @officialalikiba kwenye video moja na @diamondplatnumz wakiimba ngoma ya SUMU ya @officiala . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • July 27, 2023

Mama wa Beyonce, Tina Knowles,adai talaka kwa Mumewe

Mama wa Beyonce, Tina Knowles, amefungua kesi ya kudai talaka dhidi ya mume wake wa pili, Richard Lawson, baada ya miaka nane ya ndoa yao.Tina, mwenye umri wa miaka 69, a . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • July 20, 2023

Rosa Ree" Masta Nigeia Wananijua"

Rapa maarufu Bongo, Rosa Ree amesema muziki wake unasafiri na kuwafikia watu ambao yeye binafsi hakutarajia.Staa huyo ambaye kwa sasa analea mtoto wake, amesema alipoenda . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • July 5, 2023

Mwimbaji Willy Paul atangaza kuachana na Miss P

HomeTrending GossipMwimbaji Willy Paul atangaza kuachana na Miss PMwimbaji Willy Paul atangaza kuachana na Miss PUdaku Special July 05, 2023recommended byNATURE'S BO . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • July 5, 2023

Rayvanny Atangaza Kuuza Akaunti zake za Mitandao ya kijamii

Mkurugenzi mkuu wa lebo ya Next Level Music, Rayvanny amejitokeza waziwazi na kukana kuwa na akaunti yoyote kwenye mtandao wa Facebook, licha ya kuwepo na akaunti yenye j . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • July 2, 2023

Rosa Ree"Nilipoteza kazi baada ya kusema hadharani siko sawa kiakili"

Rosa Ree ni mmoja kati ya wanamuziki wakubwa wa Hip Hop nchini Tanzania. Hata hivyo, licha ya ufanisi kimuziki, Rosa Ree alipitia changamoto ya afya ya akili baada ya kuj . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • June 28, 2023

Davido amkataa mwanamke mwenye ujauzito wake

Mitandao ya kijamii imejawa na msisimko kufuatia madai mapya kuwa mwimbaji wa Nigeria, Davido Adeleke, almaarufu Davido, alimpa ujauzito mfanyabiashara wa Marekani, Anita . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • June 27, 2023

Mwimbaji wa Cameroon Libianca amemshinda Asake kwenye Tuzo ya Mwanasheria Bora wa Kimataifa wa BET

Mwimbaji wa mpito wa Kiamerika mwenye asili ya Cameroon Libianca Kenzonkinboum Fonji, maarufu Libianca, alishinda Tuzo yake ya kwanza kabisa ya BET kwa wimbo wake wa kipe . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • June 26, 2023

Burna Boy hashikiki amechukua tuzo ya BET

Burna Boy hashikiki amechukua tuzo ya BET usiku wa kuamkia leo kwa mara nyingine kwenye kipengele cha best international act.Kwenye kipengele hicho alikua akishindana na . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • June 22, 2023

Akaunti ya Youtube ya Alikiba yadukuliwa na Tesla, video zaondolewa na kubakizwa mbili tu

Akaunti ya YouTube ya msanii @officialalikiba inaonekana kuhakiwa na akunti ya jina likisomeka kampuni ya TESLA. Kupitia akaunti hiyo video zote zimefichwa na zimebaki mb . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • June 21, 2023

Uuzaji Uliofichwa wa Dola Milioni 200 Inasemekana Kukamilika huko California na Ununuzi wa Malibu wa Beyonce na Jay-Z.

Beyoncé na Jay-Z waliongoza chati mwishoni mwa wiki-sio kwa kutoa albamu kwa siri au tarehe mpya ya ziara ya ulimwengu ya Queen Bey, lakini kwa habari kwamba wanandoa wa . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • June 19, 2023

Davido "Nadondosha chozi kila siku tangu nimpoteze mwanangu"

Mwanamuziki maarufu Nigeria, David Adekele, anayejulikana na wengi kama Davido amesema kwamba anaendelea kumuomboleza mwanawe Ifeanyi Adekele kila siku.Davido alizungumza . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • June 14, 2023

Habeeb Okikiola"ninatunza wanawake wengi sana

MSANII wa Nigeria, Habeeb Okikiola, maarufu kwa jina la Portable, amedai kuwa yeye ni 'mtu anayewajibika' kinyume na wengi wanavyomfikiria.  Katika video iliyos . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • June 14, 2023

Davido"Nina mtoto mwingine wa kiume anayeitwa Dawson"

Mkali wa Afrobeats, David Adeleke, almaarufu Davido, amefichua kuwa mtoto wake marehemu, Ifeanyi, ana kaka mdogo anayeitwa Dawson.Mwimbaji huyo alifichua haya katika maho . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • June 13, 2023

Eric Omondi Amzawadi Mpenzi Wake Lynne Gari Aina ya Mazda SUV

Mcheshi Eric Omondi amemfurahisha mpenzi wake mjamzito Lynne, kwa kumpa zawadi ya kifahari gari aina ya Mazda SUV kama zawadi ya kumpa motisha wakati wa kujifungua.  . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • June 7, 2023

Otile Brown, Meneja Noriega ‘waachana’ rasmi

Otile Brown na meneja wake Joseph Noriega wameamua rasmi kusitisha makubaliano ya kufanya kazi pamoja, ikiwa ni baada ya ushirikiano mkubwa waliokuwa nao kwa takriban mia . . .

news
Mastaa
  • Na Nattyebrandy
  • May 30, 2023

DJ ZINHLE AKIRI HAYUKO TAYARI KUFIKA DURBAN BAADA YA KIFO CHA A.K.A

DJ Zinhle hayuko tayari kutembelea Durban hivi karibuni kufuatia kifo cha baba wa mtoto,wake  Kiernan Forbes maarufu A.K.A Ikumbukwe kw . . .

news
Michezo
  • Na Nattyebrandy
  • May 30, 2023

MWANAMUZIKI MEGAN STALLION AONEKANA AKIJIVINJARI NA MWANSOKA LUKAKU

Inafahamika kuwa megan Stallion amekuwa katika vichwa vingi vya Habari kufuatia lile Sakata dhidi yake na mwimbaji tory lanez.Fununu zilizosambaa katika mitandao mbali mb . . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • May 26, 2023

NE-YO:SIPENDI KWENDA KUANGALIA MCHEZO WA NGUMI KWA WANAWAKE

Shaffer smith maarufu kwa jina la neyo ambaye ni msanii wa muziki wa rnb kutoka nchini marekani aliyefanikiwa kwa nafasi yake katika mziki kushinda na kuchaguliwa kuwania . . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • May 26, 2023

ROMA:WANANDOA MNAKOSEA KUCHAGUA WASIMAMIZI

Msanii wa muziki wa hiphop kutoka nchini Tanzania ambaye kwa sasa yupo nchini marekani roma mkatoliki ambaye pia anafanya vizuri na wimbo wake uitwao nipeni maua yangu.Ro . . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • May 25, 2023

RICK ROSS AWEKA WAZI ANATARAJIA WATU ELFU SABA KATIKA SHOW YAKE YA MAGARI

Msanii wa muziki wa hiphop kutoka nchini marekani rick ross ambaye pia ni boss wa maybach music group.Rick ross mwaka jana alifanikiwa kufanya show yake ya kwanza ya maga . . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • May 25, 2023

NICK CANNON AKIRI KUWA HAIPENDI NDOA

Msanii na mwigizaji nick cannon kutoka nchini marekani ambaye mara kadhaa amekuwa akiingia katika vichwa vya Habari kutokana na namna ambavyo amekuwa akipata Watoto na wa . . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • May 24, 2023

CAMILA CABELLO NA SHAWN MENDES WAAMUA KUJARIBU NAFASI NYINGINE

Wapenzi wawili ambao waliwahi kutikisa katika safu ya burudani wakiwa Pamoja shawn mendes Pamoja na mwanadada camia Cabello wameamua kurudi Pamoja na kuangali pale walipo . . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • May 24, 2023

SAUTI SOL KUFANYA ZIARA YA KIMUZIKI KWA MARA YA MWISHO WAKIWA KAMA KUNDI

Wasanii kutoka nchini kenya ambao wamekuwa wakifanya vizuri kwa kipindi kirefu na kwa mara kadhaa wamekuwa wakifanya muziki wao kama kundi n ahata walipofanikiwa kuanza k . . .

news
Top Story
  • Na Nattyebrandy
  • May 23, 2023

MAMA WA MSANII COSTA TITCH AVUNJA UKIMYA ADAI MAJIBU YA VIPIMO VYA SUMU

Mama mzazi wa msanii wa muziki kutoka nchini Africa ya kusini costa tich ambaye pia alikuwa anawakilisha titch gang aliyefariki mwanzo mwa mwaka huu march 12 huko afrika . . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • May 23, 2023

KAREN MUKUPA AACHIA ALBUM YAKE RASMI “BONOBO”

Karen mukupa ni msanii wa muziki wa hiphop ,rap na raggae kutoka nchini Denmark ambaye alizaliwa nchini Zambia na kukulia nchini Tanzania mpaka alipofika umri wa miaka 15 . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • May 22, 2023

Davido 'Kumpata Chioma na Kuwa Naye ni Auamuzi Sahihi

Msanii  David Adeleke (Davido) ameeleza kuwa moja kati ya uamuzi bora zaidi kuwahi kuufanya ni kumpata mke wake Chioma.Kupitia mahojiano na kituo cha Redio, Beat 105 . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • May 4, 2023

Ali Kamwe, Mobeto wadaiwa wapenzi

Inadaiwa kuwa Afisa Habari wa Klabu ya Yanga SC, Ali Kamwe na Mrembo Hamisa Mobeto wapo kwenye penzi la moto, hii imekuja baada ya wawili hao kupostiana kwa nyakati tofau . . .

Kurasa 5 ya 12

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Majaliwa na Waziri Mkuu wa Côte d’Ivoire Wajadili Ushirikiano wa Kiuchumi na Kilimo

    • 9 masaa yaliopita
  • Rais Maskini Zaidi Duniani Afariki Akiwa na Umri wa Miaka 89

    • 9 masaa yaliopita
  • PAMBA JIJI YAISHUSHA DARAJA KAGERA SUGAR, YANGA KAMA KAWAIDA

    • jana

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode