BASATA yasitisha shughuli za Kumbi 504

Baraza la Sanaa la Taifa – BASATA, limesitisha rasmi shughuli za Sanaa, sherehe na burudani katika kumbi 504 za Tanzania Bara ambazo hazikutimiza agizo la uhuishaji wa vibali vyao.

Taarifa ya iliyotolewa kwa umma na Katibu Mtendaji wa Baraza hilo, Dkt. Kedmon Mapana imeeleza kuwa, Februari 19, 2024 BASATA Ilitoa tamko la nia ya kusitisha huduma kwa kumbi 653 ndani ya siku 14 kwa wadau wote ambao hawatatimiza vigezo vya kuhuisha vibali vya kufanya shughuli za Sanaa, Sherehe na Burudani nchini.

Baraza la Sanaa la Taifa – BASATA, limesitisha rasmi shughuli za Sanaa, sherehe na burudani katika kumbi 504 za Tanzania Bara ambazo hazikutimiza agizo la uhuishaji wa vibali vyao.

Taarifa ya iliyotolewa kwa umma na Katibu Mtendaji wa Baraza hilo, Dkt. Kedmon Mapana imeeleza kuwa, Februari 19, 2024 BASATA Ilitoa tamko la nia ya kusitisha huduma kwa kumbi 653 ndani ya siku 14 kwa wadau wote ambao hawatatimiza vigezo vya kuhuisha vibali vya kufanya shughuli za Sanaa, Sherehe na Burudani nchini.

Pata Habari Kupitia Mitandao Yetu Ya Kijamii