logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 2, 2022

Waziri Mkuu wa India ziarani barani Ulaya

Waziri Mkuu wa India Narendra Modi leo anaanzia ziara yake barani Ulaya kwa kuzitembelea Ujerumani, Denmark na Ufaransa huku uamuzi wa serikali yake wa kukataa kulaani uvamizi wa Urusi nchini Ukra . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 2, 2022

Rais wa Tunisia aahidi katiba mpya katika siku chache zijazo

Rais wa Tunisia Kais Saied amesema serikali yake itaunda kamati ya kuandika katiba mpya ya kile alichokiita "taifa jipya" nchini Tunisia. Rais Saied ameyasema haya katika hotuba iliyorushwa kwenye . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 2, 2022

Morocco inaimarisha program yake dhidi ya ugaidi kwa wapiganaji wa zamani wa IS

Mamlaka ya magereza nchini Morocco imekuwa ikitoa mafunzo ya kutokomeza ugaidi tangu mwaka 2017 kwa wapiganaji wa zamani wa kundi la Islamic State (IS) na wengine waliopatikana na hatia ya makos . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 1, 2022

Baadhi ya Waukraine waondolewa kutoka kwenye eneo la kiwanda cha chuma cha Mariupol

Afisa wa Ukraine na mashirika ya habari ya serikali ya Urusi wamesema kuwa wanawake na watoto kadhaa wamehamishwa kutoka kiwanda cha chuma ambacho ni ngome ya mwisho ya ulinzi ya mji wa bandari wa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 1, 2022

Kiongozi wa Afghanistan anaye onekana kwa nadra apongeza 'usalama' katika kuadhimisha Eid

Kiongozi mkuu wa Afghanistan Hibatullah Akhundzada, ambaye alionekana hadharani leo Jumapili ikiwa ni mara ya pili tu katika kipindi cha miaka sita, amewaambia waumini waliokuwa wakisherehekea sik . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 1, 2022

Spika wa Bunge la Marekani, Nancy Pelosi akutana na Zelenskiy mjini Kyiv

Spika wa Bunge la Marekani Nancy Pelosi akiambatana na wabunge kadhaa, amefanya ziara mjini Kyiv katika kuonyesha mshikamano kwa nchi hiyo na kuelezea matumaini kuwa ombi la Rais Joe Biden la kuto . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • May 1, 2022

Tucta yapendekeza kima cha chini sekta zote kiwe Shilingi milioni moja

Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Nchini (Tucta) limemkumbusha Rais Samia Suluhu Hassan ahadi yake ya kuboresha mishahara kwa wafanyakazi na kupendekeza kima cha chini cha mshahara kwa sekta zot . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 29, 2022

Wairan waandamana kwa maelfu kuwaunga mkono Wapalestina

Maelfu ya Wairan wameshiriki kwenye mikutano mikubwa ya maandamano ya umma katika mji mkuu Tehran kuadhimisha siku ya Jerusalem ambayo wanasema ni siku ya kuonesha uungaji mkono wa nchi yao kwa Wa . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 29, 2022

TANESCO wanafanya tathmini Bwawa la Nyerere

Shirika la umeme nchini Tanesco, limesema linafanya Tathmini ya utekelezaji wa Mradi wa ujenzi wa Bwawa la umeme la Mwalimu Nyerere ambao ujenzi wake umefikia asilimia 58.84 ukitarajia kukamilika . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • April 29, 2022

Niger yaruhusu chanjo ya malaria kwa watoto walio na umri wa chini ya miaka mitano

Niger imeruhusu chanjo dhidi ya malaria iliyotengenezewa Uingereza itolewe kwa watoto walio na umri wa chini ya miaka mitano, ili kupambana na ugonjwa huo ambao uliua zaidi ya watu 4,000 nchini . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • April 29, 2022

UVIKO-19 Waongezeka Afrika Kusini

Wataalamu wa afya nchini Afrika Kusini wamesema nchi hiyo inashuhudia ongezeko la maambukizo ya ugonjwa wa UVIKO-19 unaosababishwa na aina mpya ya kirusi cha Corona. Mtaalamu wa afya ya umma Salim . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 29, 2022

Waziri Mkuu wa Japan kuyatembelea mataifa ya kusini mashariki mwa Asia

Waziri Mkuu wa Japan Fumio Kishida leo hii anaanza ziara ya kuyatembelea mataifa ya kusini mashariki mwa bara Asia. Ziara hiyo itakamfikisha kwanza nchini Indonesia na baadaye atazitembelea Vietna . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 29, 2022

Biden aliomba bunge kudhinisha dola bilioni 33 kuisadia Ukraine

Rais wa Marekani Joe Biden ameliomba bunge la nchi hiyo kuidhinisha kitita cha dola bilioni 33 kuisadia Ukraine kupambana na Urusi. Ombi hilo linajumuisha dola bilioni 20 kwa ajili ya ulinzi wa Uk . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 29, 2022

Miaka sita ya Ubungo kuzembea kukusanya mapato

Ikiwa na miaka sita tangu ianzishwe, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere amebainisha udhaifu katika ukusanyaji na usimamizi wa mapato katika Halmashauri ya Ubungo . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • April 28, 2022

Idadi ya wanaonyongwa Iran yapanda kwa asilimia 25

Masharika mawili ya kutetea haki za binadamu ya IHR lenye maskani yake nchini Norway na lile la nchini Ufaransa la ECPM linalopinga. Ripoti ya masharika hayo inaonesha utekelezaji wa adhabu ya kun . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • April 28, 2022

Tanzania Na Misri Zajadili Utozaji Kodi Mara Mbili

TANZANIA na Misri ziko katika hatua ya mwisho ya majadiliano ya kuipatia ufumbuzi changamoto ya utozaji kodi mara mbili kwenye bidhaa zinazoingia au kutoka katika nchi hizo mbili ili kusisimua b . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 28, 2022

Katibu Mkuu wa UN yuko Kyiv kwa mazungumzo na uongozi wa Ukraine

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres yuko mjini Kyiv kwa ajili ya mazungumzo na Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky na Waziri wa Mambo ya Kigeni Dymtro Kuleba. Guterres amepangiwa pia k . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 28, 2022

Kansela wa Ujerumani Scholz yuko ziarani Japan

Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz atakutana leo na Waziri Mkuu wa Japan Fumio Kishida mjini Tokyo katika ziara yake ya kwanza barani Asia tangu alipoingia madarakani. Scholz, ambaye aliondoka Berli . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 28, 2022

Marekani na Russia wabadilishana wafungwa

Marekani na Russia Jumatano wamebadilishana wafungwa licha ya uhusiano wao wenye mvutano mkali kutokana na vita vya Ukraine. Mwanajeshi wa zamani wa Marekani Trevor Reed ameachiliwa huru baada y . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • April 28, 2022

Google itafungua kituo cha kwanza cha bidhaa barani Afrika nchini Kenya

Kampuni kubwa ya mtandaoni ya Google imetangaza mwezi huu itafungua kituo chake cha kwanza cha kutengeneza bidhaa barani Afrika kitakachokuwa na makao yake katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi. Kam . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 28, 2022

Rais wa Mistri al Sisi atoa msamaha kwa mwanahabari na wafungwa 3,000

Rais wa Mistri Abdel Fattah al-Sisi amemusamehe mwanahabari aliyefungwa jela kwa “kusambaza habari za uongo”, pamoja na zaidi ya wafungwa 3,000, vyombo vya habari vya ndani na maafisa wamese . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • April 27, 2022

Watu 8 wafariki katika maporomoko ya udongo mjini Bukavu

Tukio la maporomoko ya udongo lilitokea katika wilaya ya Kadutu, huko Bukavu jioni ya Jumatatu Aprili 25 na kuua watu wanane, akiwemo mwanamke mjamzito na mwanafunzi, na tisa kujeruhiwa vibaya. Ny . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • April 27, 2022

Waasi wa Tigray waondoka eneo la Afar

Waasi wa Tigrayan wa TPLF wamejiondoa kabisa kutoka eneo la Afar kaskazini mashariki mwa Ethiopia. Walikuwa wamekalia eneo la kaskazini mwa jimbo hili tangu mwishoni mwa wa Januari, wakitaka kujih . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 27, 2022

Kampuni ya DJI yasitisha operesheni zake nchini Urusi na Ukraine

Kampuni kubwa inayotengeneza ndege zisizo na rubani, DJI, inatangaza "kusitishwa" kwa shughuli zake za kibiashara nchini Urusi na Ukraine, na kuwa moja ya kampuni chache za Kichina kuchukua hatua . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 27, 2022

Ujerumani kupeleka vifaru nchini Ukraine

 Marekani imeongoza jana mkutano wa zaidi ya nchi 20 katika kituo cha jeshi la anga la Marekani cha Ramstein magharibi mwa Ujerumani na kujadili kuhusu kuimarisha ulinzi wa Ukraine wakati ina . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 27, 2022

Poland na Bulgaria zakatiwa gesi asilia kutoka Urusi

WarsawUkraine imeituhumu Urusi kuwa inaihujumu Ulaya kwa kusitisha usambazaji wa gesi nchini Poland na Bulgaria wakati mzozo nchini Ukraine ukiendelea kutokota. Andriy Yermak, mkuu wa utumishi kat . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • April 27, 2022

Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris Akutwa na Corona

MAKAMU wa Rais wa Marekani Kamala Harris amekutwa na Korona, taarifa imetolewa na Ikulu ya Marekani. Makamu huyo wa Rais alikamilisha dozi zote mbili za Uviko-19 akitumia chanjo aina ya Moderna Cov . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 27, 2022

Uhuru wa habari kuadhimishwa katika mazingira tulivu

Tanzania inatarajia kushiriki maadhimisho ya uhuru wa vyombo vya habari unaoonekana kuongezeka baada ya kudumaa katika miaka mitano iliyopita.Tanzania ilipitia wakati mgumu wa uhuru wa vyombo vya . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • April 27, 2022

Serikali mbioni kurudisha shule za ufundi

Serikali imeanza mchakato wa mapitio ya sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 2014 na kuboresha mitaala ya elimu ili iweze kuwajengea uwezo wanafunzi kuwa na stadi za ujuzi katika shule 123 zilizokuwa . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • April 27, 2022

Ugonjwa wa homa ya ini wa aina ya kipekee umewapata takriban watoto 200

Maafisa wa afya wa Ulaya wamesema leo hawajagundua chanzo cha ugonjwa wa ajabu wa homa ya ini kwa watoto. Jumla ya watoto 190 wanaougua ugonjwa huo ambao asili yake haijulikani wameorodheshwa na 1 . . .

Kurasa 102 ya 123

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

    • 12 masaa yaliopita
  • Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

    • 12 masaa yaliopita
  • Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

    • 13 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode