logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Top Story
  • Na Asha Business
  • February 8, 2022

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Awapongeza Wajumbe Kamati Kuu Ya Taifa Ya Sensa Ya Watu Na Makaazi

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa amewapongeza wajumbe wa Kamati Kuu ya Taifa ya Sensa ya watu na Makaazi kwa hatua waliyofikia katika maandalizi ya Se . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • February 8, 2022

Mabadiliko ya hali ya hewa kusababisa hasara ya kifedha kwa mataifa

Benki ya dunia Jumatatu imesema kwamba uchafuzi wa hewa mashariki ya kati pamoja na kaskazini mwa Afrika unasababisha hasara ya dola bilioni 141 za kimarekani kila mwaka.Kiasi hicho ni takriban as . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 8, 2022

WATUMISHI WAMPONGEZA WAZIRI JENISTA KUUNDA TIMU YA WATAALAM ITAKAYOPENDEKEZA MFUMO MPYA WA KUPIMA UTENDAJI KAZI WAO

Watumishi wa Umma mkoani Mwanza wamempongeza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama kwa hatua yake ya kuunda kikosi kazi maalum cha wata . . .

matukio
  • Na JZ The Brand
  • February 8, 2022

Watu 22 mbaroni kwa tuhuma za mauaji Mbeya

Kufuatia kuwepo kwa wimbi la matukio ya mauaji jijini Mbeya, Jeshi la Polisi mkoani humo limewatia nguvuni watu 22 kwa tuhuma za kuhusika na vitendo hivyo, huku likitoa mwelekeo wa namna ya kumal . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • February 8, 2022

Mazungumzo ya nyuklia na Iran kuendelea Vienna

Mazungumzo kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran yanatarajiwa kuendelea tena Jumanne (08.02.2022) mjini Vienna, Austria baada ya kusitishwa mwishoni mwa mwezi Januari.Marekani imesema inawezekana mkata . . .

matukio
  • Na JZ The Brand
  • February 8, 2022

Kesi ya maofisa saba wa polisi wanaodaiwa kuua yapigwa kalenda

Mahakama ya Hakimu Mkazi Mtwara imeahirisha kesi ya mauaji inayowakabili maofisa saba wa polisi mkoani Mtwara imeahirishwa hadi Februari 22, 2022 itakapotajwa tena.Watuhumiwa hao saba wanadaiwa k . . .

matukio
  • Na JZ The Brand
  • February 8, 2022

Agizo la Rais Samia lazua kilio upya

Agizo la Rais Samia Suluhu la kumtaka Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kuunda kamati kuchunguza matukio ya mauaji mkoani Mtwara na Kilindi, Tanga limewaibua ndugu wa askari mwingine, Linus Mzema aliye . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • February 8, 2022

Wezi waiba kompyuta za wanafunzi wakati wanasoma

Majambazi wawili waliokuwa na visu waliingia katika shule ya upili nchini Uswidi siku ya Jumatatu na kuiba kompyuta za wanafunzi, vyombo vya habari vya ndani vimeripoti.Watu hao waliojifunika nyuso . . .

Afrika
  • Na JZ The Brand
  • February 8, 2022

Zaidi ya watu milioni 10 wanakabiliwa na njaa kali katika Pembe ya Afrika - UN

Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) linasema watu milioni 13 kote katika Pembe ya Afrika wanakabiliwa na njaa kali kutokana na kuendelea kwa ukame.Mavuno yaliyoshindikan . . .

AFYA
  • Na JZ The Brand
  • February 8, 2022

Wakuu wa Idara wa Hospitali watakiwa kuweka mkakati wa kuboresha huduma za afya

Wakuu wa Idara wa hospitali ya Rufaa ya Kumbukumbu ya Mwl.JK Nyerere wametakiwa kuweka mkakati wa kuboresha huduma za afya kwenye hospitali hiyo.Hayo yamesemwa jana na Katibu Mkuu wa Wizara ya A . . .

Elimu
  • Na JZ The Brand
  • February 8, 2022

TAMISEMI kuboresha elimu Nchini

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe Innocent Bashungwa  amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassani kwa kuwezesha ujenzi . . .

siasa
  • Na JZ The Brand
  • February 8, 2022

Wasira: "Sitaki Tena Urais , Mama Samia Suluhu Hassan Anatosha 2025"

Mwanasiasa   mkongwe nchini, Stephen Wasira, amesema Rais Samia aachwe amalizie vipindi viwili vya urais kama ilivyo utamaduni wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).Aliyasema hayo jana mkoani Mara a . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • February 7, 2022

Kalonzo Akanusha Kuweka Masharti ya Kujiunga na Azimio la Umoja

Kiongozi wa chama cha Wiper Kalonzo Musyoka amepuuzilia mbali tetesi kuwa muungano wa One Kenya Alliance (OKA) umetoa masharti ya kujiunga na mrengo wa Azimio la Umoja.Akizungumza mtaani Huruma, Kaunt . . .

AFYA
  • Na JZ The Brand
  • February 7, 2022

Watu 206 wathibitika kuwa na Virusi vya Corona ndani ya wiki moja

Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amesema hali ya UViKO-19 nchini katika kipindi cha tarehe 29 Januari hadi 4 Februari, 2022, jumla ya 6,938 walipimwa na watu 206 walithibitika kuwa na Virusi vya . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • February 7, 2022

Profesa Makubi ahimiza mikakati Bora hospitali ya rufaa Mwl Nyerere

Wakuu wa Idara wa hospitali ya Rufaa ya Kumbukumbu ya Mwl.JK Nyerere wametakiwa kuweka mkakati wa kuboresha huduma za afya kwenye hospitali hiyo. Hayo yamesemwa leo Februari 7, 2022 na Kati . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • February 7, 2022

Jinsi Marekani inavyotumia msafara wa magari kumlinda rais wake

Mojawapo ya mambo ambayo watu wengi huwa na hamu ya kujua ni masuala yanayohusiana na ulinzi wa viongozi .Katika hili Marekani ni mojawapo ya nchi ambazo zimetenga kiasi kikubwa cha fedha katika . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • February 7, 2022

Kituo cha anga cha kimataifa kuanguka katika bahari ya Pasifiki mwaka 2031

Kituo cha Kimataifa cha Anga za Juu (ISS) kitaendelea kufanya kazi hadi 2030, kabla ya kutumbukia katika Bahari ya Pasifiki mapema 2031, kulingana na Nasa.Katika ripoti ya wiki jana, shirika l . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • February 7, 2022

Kwanini majasusi wa Israel wanapenya na kuingia Iran kwa wingi

Mnamo Novemba 2020, msafara uliokuwa umembeba Mohsen Fakhrizadeh, mwanasayansi mashuhuri zaidi wa nyuklia wa Iran, ulishambuliwa. Aliuawa kwa bunduki iliyoelekezwa kwa njia ya teknolojia.Kufany . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 7, 2022

Mapya yaibuka sakata la mauaji nchini

Siku moja baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kumwagiza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kuunda kamati maalum ya kuchunguza mauaji ya aliyekuwa mfanyabiashara wa madini, mama wa mfanyabiashara huyo a . . .

Afrika
  • Na JZ The Brand
  • February 7, 2022

Mkutano wa 35 wa Wakuu wa Nchi na Serikali umeridhia na kupitisha ombi la Tanzania la kutaka Kiswahili kuwa lugha ya kazi katika Umoja huo.

Mkutano wa 35 wa Wakuu wa Nchi na Serikali umeridhia na kupitisha ombi la Tanzania la kutaka Kiswahili kuwa lugha ya kazi katika Umoja huo. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. . . .

Teknolojia
  • Na JZ The Brand
  • February 7, 2022

Namna Maboresho ya Kanuni za Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta yatakavyochochea Ukuaji wa Sekta ya Mawasiliano Tanzania

KATIKA kuboresha mazingira ya utoaji huduma za mawasiliano nchini Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari wiki hii imetangaza maboresho ya Kanuni za Miundombinu ya Utangazaji . . .

Top Story
  • Na JZ The Brand
  • February 7, 2022

Mauaji mengine, Mwalimu akutwa ameuwawa Dodoma

Mwalimu Albert Kaguli (43) wa shule ya Msingi Kisokwe wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma amekutwa ameuwawa kwa kupigwa nan a kitu kizito kichwani."Tukio la leo kwa kweli ni tukio la huzuni na ote . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 7, 2022

Rais Samia akiweka jiwe la Msingi mradi wa miundombinu ya kusafisha na kutibu maji bunda

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiweka jiwe la msingi katika mradi wa miundom . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 6, 2022

Waziri Mkuu wa Ujerumani ahimiza taifa hilo kuacha kutegemea gesi kutoka Urusi

Waziri wa uchumi wa Ujerumani Robert Habeck amelihimiza taifa hilo kupunguza utegemezi wake wa gesi asilia kutoka Urusi wakati kukiwa na wasiwasi kuhusiana na mzozo wa Ukraine.Matamshi yake yali . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • February 6, 2022

TMA Yasema kimbunga kikali hakitafika Pwani ya bahari ya Hindi

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa taarifa ya uwepo wa Kimbunga Batsirai katika maeneo ya kusini Magharibi mwa bahari ya Hindi. TMA imesema Kimbunga hicho tangu kilipojitokeza kati . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 4, 2022

Urusi yapiga marufuku DW kuendesha shughuli zake nchini humo

Shirika la Utangazaji la Ujerumani - DW limeapa kuchukua hatua ya kisheria baada ya Urusi kulipiga marufuku kuendesha shughuli zake nchini humo. Wizara ya Mambo ya Kigeni ya Urusi imetangaza jana kuwa . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • February 4, 2022

Wabunge wahoji mikataba kupelekwa bungeni

 Mbunge wa Bunda Vijijini, Mwita Getere ameibua tena sakata la wabunge kudai mikataba ya miradi mikubwa ipelekwe bungeni ili waipitie.Katika swali la msingi mbunge huyo ameitaja mikataba ya m . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 4, 2022

Marekani yadai ina ushahidi Urusi ina mpango wa kudanganya kuwa imeshambuliwa na Ukraine

 Wizara ya ulinzi ya Marekani imesema inao ushahidi kuhusu mpango wa Urusi kutoa mkanda bandia wa video, ikionyesha kitakachoelezwa kuwa ni shambulizi la Ukraine, ili iutumie kama kisingizi . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • February 4, 2022

VIJANA WANAHITAJIKA KATIKA MAKUMBUSHO YA AZIMIO LA ARUSHA .

Vijana na wananchi mbalimbali nchini wameshauriwa kwenda Makumbusho ya Azimio la Arusha kujifunza misingi muhimu iliyowekwa na waasisi wa nchi hii wakiongozwa na Hayati Baba wa Taifa Mwl Julia N . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • February 4, 2022

WASAMBAZAJI WA VIFAA VYA UJENZI WAONYWA KUPANDISHA BEI BILA SABABU YA MSINGI

Katibu Mkuu wa Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara Prof. Godius Kahyarara amewaonya wasambazaji wa bidhaa za vifaa vya ujenzi kutokupandisha bei kwakuwa ni kosa la kisheria kupandisha bei z . . .

Kurasa 101 ya 107

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Trump akiri kutokubaliana na Putin

    • 13 masaa yaliopita
  • Waliompiga Enock wakamatwa

    • 13 masaa yaliopita
  • Nico Williams asaini mkataba Athletic mpaka 2035

    • 13 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode