logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Top Story
  • Na Asha Business
  • August 15, 2022

Anastasia Pokreshchuk Atumia Mamilioni Kufanya Sajari Ya Mashavu

Ukisikia Dunia ina mambo ndiyo huku sasa! Anastasia Pokreshchuk mwenye umri wa miaka 33; ni mrembo kutoka huko Kiev nchini Ukraine ambaye am . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • August 15, 2022

Israel yamuua Mpalestina mmoja huko Jerusalem

Polisi wa Israel wamempiga risasi na kumuua Mpalestina mmoja aliyefahamika kwa jina la Mohammed al-Shaham ambaye alijaribu kuwashambulia maa . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 15, 2022

Wabunge wa Marekani wakutana na rais wa Taiwan na kuichukiza China

Ujumbe wa Wabunge watano wa Marekani umekutana leo na Rais wa Taiwan Tsai Ing-Wen mjini Taipei na kuzua hasira ya China, ikiwa ni wiki mbili . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • August 15, 2022

Wanajeshi watatu wauawa katika shambulio la anga karibu na Damascus

Jeshi la Israel limelaumiwa na vyombo vya habari nchini Syria kuhusika na mashambulizi ya anga karibu na mji mkuu Damascus na kusababisha vi . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • August 15, 2022

Misri yaomboleza vifo vya watu 41 kufuatia mkasa wa moto

Misri imefanya mazishi ya watu 41 waliopoteza maisha katika mkasa wa moto uliozuka ndani ya kanisa moja la wakristo wa madhehebu ya Coptic w . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • August 15, 2022

Mikusanyiko ya kidini yalaumiwa kwa kuenea kwa Surua Zimbabwe

Wizara ya afya ya Zimbabwe imesema Jumapili kwamba mlipuko wa Surua umeua watoto 80 nchini humo tangu Aprili, wakati ikidai  mikus . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 15, 2022

Taliban yatangaza Jumatatu kuwa siku kuu ya kitaifa

Utawala wa Taliban nchini Afghanistan umetangaza lJumatatu kuwa siku kuu ya kitaifa ya kuandhimisha mwaka mmoja tangu kuchukua tena madaraka . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • August 15, 2022

Wajackoyah, Wahiga watinga Bomas

Wagombea urais, George Wajackoyah kutoka Chama cha Roots na David Waihiga leo, Jumatatu Agosti 15, 2022 wameingia katika ukumbi wa Bomas una . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • August 14, 2022

Mafuriko yasababisha zaidi ya 50 kutpoteza maisha Sudan

Mafuriko yaliyosababishwa na mvua za msimu nchini Sudan yamesababisha vifo vya zaidi ya watu 50 na kuharibu makazi zaidi ya 8,170 tangu kuan . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 14, 2022

Utawala wa Taliban waelezwa kuminya uhuru wa wanawake na wasichana

Umoja wa Ulaya umesema mamlaka ya Taliban "imekiuka na kudhulumu kwa kiwango kikubwa haki za wanawake na wasichana wa Afghanistan." Hayo yam . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 14, 2022

Iran imempandisha kizimbani mgombea Tajzadeh

Vyombo vya habari nchini Iran vimeripoti kwamba, Iran imemfungulia mashtaka mwanasiasa mwanamageuzi Mostafa Tajzadeh, ambaye aliwahi kufungw . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 14, 2022

Makamu wa Rais Philip Mpango ashiriki Marathon CRDB Bank 2022

Ni Agosti 14, 202 Benki ya CRDB imefanya Marathon huku mgeni rasmi alikuwa ni Makamu wa Rais Dr Philip Isdor Mpango huku kuhudhuriwa na Vion . . .

Mastaa
  • Na Asha Business
  • August 14, 2022

Uwoya" Msiniige Mtaumia, Hamjui Nimepitia Msoto Gani Mpaka Kufikia Hapa".

Irene Pancras Uwoya; ni mwanamama kinara wa Bongo Movies mwenye mvuto wa kipekee nchini Tanzania ambaye anasema kuwa, huu ni wakati wake wa . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • August 12, 2022

PENZI LAKUBALI KWA MABOSI HAWA

KWA miaka na mikaka, suala la mpenzi wa kike kumpiku mpenziwe kipato limeishi kuwa donda ndugu.Uzunguni kidogo hili sio tatizo ila huku kwet . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 12, 2022

Venezuela na Colombia zipo katika jitihada ya kurejesha mahusiano

Mataifa ya Venezulea na Colombia kila moja, limeteuwa balozi wake kuyawakilisha katika miji mikuu ya mataifa hayo kwa kujenga upya uhusiano . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • August 12, 2022

RAIS SAMIA SULUHU AMEWEKA JIWE LA MSINGI LA UKARABATI NA UPANUZI WA UWANJA WA NDEGE

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa kama ishara ya kuweka Jiwe la Msingi Mradi wa ukarabati na . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • August 12, 2022

Yanga Wathibitisha Kuachana na Hassani Bumbuli, Aliyekuwa Afisa wa Habari na Mawasiliano

YANGA wamethibitisha rasmi leo Agosti 12, 2022 kuachana na aliyekuwa Afisa wa habari na mawasiliano wake, Hassani Bumbuli. . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • August 12, 2022

Guterres azitaka Russia na Ukraine kusitisha harakati za kijeshi karibu na kiwanda cha nyuklia cha Ukraine

Katibu mkuu wa Umoja wa mataifa Antonio Guterres Alhamisi ametoa wito wa kusitisha harakati za kijeshi karibu na jengo la kiwanda cha nyukli . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • August 12, 2022

Polisi wa Afrika Kusini wawakamata watu 20 wanaoshukiwa kuchochea ghasia mbaya mwaka jana

Polisi wa Afrika Kusini Alhamisi wamesema wamewakamata watu 20 wanaoshukiwa kuwa miongoni mwa watu waliochochea vurugu ambazo zilisababisha . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • August 12, 2022

Ugonjwa wa ajabu waitesa familia Babati

 Utadhani unatazama filamu ya kutisha; hivyo ndivyo unavyoweza kusema unapofika Kijiji cha Imbilili Juu, Halmashauri ya Mji wa Babati M . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • August 12, 2022

Sabaya na wenzake wafikishwa tena mahakamani

Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya na wenzake wanne wamefikishwa tena katika mahakama ya hakimu mkazi Mos . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • August 12, 2022

Pacha wa pili aliyetenganishwa Muhimbili naye afariki

Pacha aliyesalia ‘Rehema’ kati ya mapacha wawili waliotenganishwa Julai Mosi mwaka huu, amefariki dunia jana saa 5 asubuhi Agosti 11, wa . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • August 11, 2022

Mali yatangaza siku tatu za maombolezo ya kitaifa kufuatia mauaji ya askari

Mamlaka nchini Mali zimetangaza siku tatu za maombolezo ya kitaifa kuanza leo, baada ya mashambulizi mawili yaliyofanywa na makundi ya Kiisl . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • August 11, 2022

Klabu ya Simba imeomba Radhi kwa Waumini wa Dini ya Kikristo Sakata la Msalaba

Klabu ya Simba imeomba radhi kwa Waumini wa Dini ya Kikristo, Viongozi wa Madhehebu yote ya Kikristo, Serikali, Shirikisho la Mpira wa Miguu . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • August 11, 2022

Mwanamke ajinyonga na kipande cha kitenge

Elizabeth Cheleo mwenye umri wa miaka 37 mkazi wa mtaa wa Nsemulwa, Kata ya Nsemulwa wilaya ya Mpanda mkoani Katavi, amepoteza maisha kwa ku . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • August 11, 2022

Muqtada al-Sadr atoa wito kwa mahakama kuvunja Bunge

Muqtada al-Sadr anaendelea na mapambano yake na wapinzani wake wa kisiasa nchini Iraq. Mhubiri huyo wa Kishia anatoa wito wa kuvunjwa kwa Bu . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • August 11, 2022

IEBC yawataka Wakenya kuwa watulivu wakati kura zikiendelea kuhesabiwa.

Wakenya kwa siku ya pili leo, bado wanasubiri matokeo ya uchaguzi wa urais, baada ya kupiga kura siku ya Jumanne. Maafisa wa tume huru . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • August 11, 2022

Trump akataa kujibu maswali ya mwendesha mashtaka katika uchunguzi kuhusu biashara yake

Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump Jumatano amekataa kujibu masuali katika uchunguzi kuhusu utaratibu wa biashara ya familia yake, akit . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 11, 2022

Polisi wawili wauawa Sierra Leonne katika maandamano ya kupinga hali ngumu ya uchumi

Maafisa wawili wa polisi wameuawa Jumatano nchini Sierra Leonne baada ya maandamano dhidi ya hali ngumu ya uchumi kugeuka kuwa mapambano kat . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 5, 2022

Wachimba migodi haramu washambuliwa Afrika Kusini

Maelfu ya waandamanaji wenye hasira nchini Afrika Kusini waliwasaka wachimba migodi wasiokuwa na vibali baada ya ubakaji wa wanawake wanane . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 5, 2022

Rais Samia akataa ombi la kuipandisha hadhi Mbalizi

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema Serikali yake haina mpango wa kukata maeneo kwa kuyapandisha hadhi, badala yake wanajielekeza . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 5, 2022

Amnesty International yasema Ukraine yahatarisha maisha ya raia

Shirika la Kimataifa la kutetea haki za binadamu lililo na makao yake mjini London Amnesty International, limesema kuwa vikosi vya Ukraine v . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • August 5, 2022

Pelosi kuzuru Japan baada ya Taiwan

Spika wa baraza la wawakilishi la Marekani Nancy Pelosi amesema leo mjini Tokyo kuwa Marekani "haitairuhusu" China kuitenga Taiwan, baada ya . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 5, 2022

TCRA yawapiga msasa waandishi wa TV za Mtandao, kupewa pesa ili kuziimarisha

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA imesema inaangalia mpango wa kuzipa kipaumbele na kuziwezesha kiuchumi runinga za mtandaoni kupitia mfu . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 5, 2022

WATOTO WAKAMATWA WAKIFUNGA NDOA

 Mzazi aliyepokea mahari ya kumuoza binti wa miaka 15 ambaye ni mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika Sekondari ya Makang’wa, ametem . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • August 5, 2022

mchezaji wa mpira wa kikapu Brittney Griner ahukumiwa miaka 9 jela

Hukumu ya mchezaji wa mpira wa kikapu wa Marekani Brittney Griner kwenda jela miaka 9 nchini Urusi kwa ulanguzi wa madawa ya kulevya, katika . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • August 5, 2022

Mjumbe wa Marekani kwenye UN afanya ziara ya Afrika

Mjumbe wa Markani kwenye Umoja wa Mataifa Alhamisi ameanza ziara yake barani Afrika, akisema kwamba madhumuni yake ni kutadhmini namna Marek . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 5, 2022

Serikali ya mpito ya Sudan Kusini kubaki madarakani kwa miaka miwili zaidi

Viongozi wa  Sudan Kusini Alhamisi wamesema kwamba serikali itabaki madarakani kwa miaka miwili zaidi, ili kukamilisha mageuzi ya . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • August 5, 2022

Manula apewa siku saba kwa Yanga

Kocha msaidizi na mtaalamu wa viungo Simba, Karim Sbai amesema kwa muda wa wiki mbili aliokuwa kwenye kikosi hicho amefanikiwa katika maeneo . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • August 5, 2022

Morrison apewa wiki mbili Yanga

Morrison ameanza kazi rasmi Yanga na leo akiingia siku ya nne mazoezini, lakini kocha mmoja fundi wa mazoezi ameshtukia kitu kwa winga huyo . . .

Kurasa 99 ya 159

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category