logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Michezo

  • Pata Habari za Michezo Kwa Undani
news
SOKA
  • Na Jembefmtz
  • December 27, 2021

Hatma ya Sakho, Wawa leo Simba SC

HATMA ya kiungo mshambuliaji, Ousmane Sakho na beki Pascal Wawa na wenzao watatu itajulikana leo, ya kuendelea au kubakia kukipiga Msimbazi.Wachezaji hao ndiyo wanaotajwa . . .

news
Top Story
  • Na Jembefmtz
  • December 26, 2021

YANGA wagawa Dozi kwa Biashara 2-1

Kutoka pale Uwanja wa Mkapa, Wenyewe wanajiita ni Wananchi, Yanga SC, hii leo imeshuka Dimbani kuivaa Biashara United, huku Biashara United wakitangulia kutikisa nyavu za . . .

news
SOKA
  • Na Jembefmtz
  • December 26, 2021

Fraga anarudi Simba SC.

Baada ya kula sikukuu ya Krisimasi huku wakiwa na shangwe za mataji wa Bao 4 - 0 dhidi ya KMC katika mechi yao iliyopigwa Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, Simba SC wameleta & . . .

news
SOKA
  • Na Jembefmtz
  • December 26, 2021

Nabi afanya mikakati kabambe ya Dirisha Dogo la Usajili

MABOSI wa Yanga wako katika vikao vya siri wakipiga hesabu za usajili kupitia dirisha dogo lililofungwa Desemba 16, lakini ripoti ya kocha wao Nesreddine Nabi imewekwa ba . . .

news
Top Story
  • Na Jembefmtz
  • December 26, 2021

Metacha, Kakolanya kupishana Msimbazi

Unaambiwa mabosi wa Simba na Polisi Tanzania wapo hatua nzuri ya kubadilishana makipa, Metacha Mnata akiingia Msimbazi, huku Beno Kakolanya akitoka kwa Wekundu hao kwenda . . .

news
Top Story
  • Na Jembefmtz
  • December 26, 2021

Tetesi za soka Ulaya Jumapili 26.12.2021

Mchezaji anayelengwa na Arsenal, Chelsea na Manchester City Dusan Vlahovic huenda akaondoka katika klabu yake katika dirisha la uhamisho la mwezi Januari kwasababu mshamb . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jacobmlaytz
  • December 18, 2021

VINARA WA MAGOLI KWA MWAKA

Wachezaji waliofunga magoli mengi ndani ya mwaka mmoja.91 Messi 2012 (Barcelona)69 Ronaldo 2013 (Real Madrid)69 Lewandowski 2021 (Bayern)63 Ronaldo 2012 (Real Madrid)61 R . . .

news
SOKA
  • Na Suzuki
  • December 16, 2021

WANANCHI WAMREJESHA EDNA LEMA.

Uongozi wa Yanga umemrejesha aliyekuwa kocha mkuu wa timu ya Wanawake ya Yanga Princes, Edna Lema ili aendelee kukinoa kikosi hicho.Edna alijiuzuru nafasi hiyo mwishoni m . . .

news
SOKA
  • Na Suzuki
  • December 15, 2021

AGUERO ATUNDIKA DALUGA.

Mshambuliaji wa Barcelona na nyota wa zamani wa Manchester City, Sergio Agüero (33) ametangaza rasmi kustaafu Soka kutoka na maradhi ya moyo anayokabiliana nayo.Agüero . . .

news
Top Story
  • Na Jacobmlaytz
  • December 14, 2021

Mashindano ya watu wenye ulemavu wa Akili na Usonji kufanyika Mwanza Kitaifa

Mkuu wa Wilaya ya Ilemela Mh. Hassan Masalah amemuwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Mwanza katika ufunguzi wa 14 Michuano ya Watu wenye Ulemavu wa Akili na Usonji Kitaifa inayofa . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jacobmlaytz
  • December 13, 2021

AGUERO KUTANGAZA KUSTAAFU RASMI

Sergio Aguero anatarajiwa kutangaza kustaafu soka Rasmi Jumatano hii ikiwa ni miezi chini ya 6 tangu ajiunge na Barcelona akitokea Manchester City.Mechi ya mwisho ya Ague . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Suzuki
  • December 13, 2021

Sasa Manchester United uso kwa uso na Ateletico Madrid.

Droo ya ligi ya mabingwa hatua ya 16 Bora Baada ya Droo kurudiwa Baada ya matatizo ya Ufundi.Mechi za mkondo wa kwanza zitafanyika mwezi wa pili Mwakani. . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Suzuki
  • December 13, 2021

DROO YA HATUA YA 16 KURUDIWA.

UEFA imesema droo hiyo itachezeshwa upya baada ya matatizo ya kiufundi kutokea katika droo iliyochezeshwa awaliMatatizo hayo yalipelekea Man. Utd kupangwa dhidi ya Villar . . .

news
SOKA
  • Na Suzuki
  • December 11, 2021

ETO'O RAIS MPYA WA SOKA CAMEROON

Mshambuliaji wa zamani wa Barcelona, Inter Milan na Real Madrid, Samuel Eto'o amechaguliwa kuwa Rais wa Shirikisho la Soka la Cameroon (FECAFOOT).Nahodha huyo wa zamani w . . .

news
NBC Tanzania Premier League 2021/2022
  • Na Suzuki
  • December 11, 2021

TFF YASIKITISHWA NA VURUGU ZA BAADHI YA VIONGOZI WA SIMBA KABLA YA MCHEZO.

Shirikisho la Soka nchini TFF  limesikitishwa vitendo vya vurugu vilivyofanywa na baadhi ya viongozi wa Klabu ya Simba kabla ya mchezo wa Simba dhidi ya Yanga uliofa . . .

news
NBC Tanzania Premier League 2021/2022
  • Na Suzuki
  • December 11, 2021

SIMBA NA YANGA MZANI SAWA.

Klabu za Simba na Yanga zimeshindwa kutambiana baada ya kutoka sare ya 0-0 katika mchezo wa Ligi ya NBCYanga inaendelea kukaa kileleni mwa Ligi ikifikisha alama 20 na Sim . . .

news
Top Story
  • Na Jacobmlaytz
  • December 11, 2021

WATANI NGOMA NZITO KWA MKAPA

Dakika 45 za kipindi Cha kwanza za mchezo wa watani wa Jadi Simba dhidi ya Yanga zimemalizika Uwanja wa Mkapa kwa timu hizo kutokufungana (0-0).Bado timu zote mbili zinac . . .

news
NBC Tanzania Premier League 2021/2022
  • Na Jembefmtz
  • December 11, 2021

Mugalu Yanga freshi, Lwanga bado

KATIKA mechi ya dabi leo mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara Simba, watamkosa kiungo wao mkabaji, Taddeo Lwanga kutokana na majeraha ya goti ambayo bado yanamsumbua.Ofisa . . .

news
NBC Tanzania Premier League 2021/2022
  • Na Suzuki
  • December 10, 2021

SIMBA WAGOMEA KIKAO NA WAANDISHI WA HABARI.

UONGOZI wa klabu ya Simba kupitia kwa kitengo cha habari kinachoongozwa na Ally Shantri ‘Chico’ wamegoma kufanya kikao cha kocha na waandishi wa habari kisa bango len . . .

news
NBC Tanzania Premier League 2021/2022
  • Na Jacobmlaytz
  • December 10, 2021

TAKWIMU ZA SIMBA YANGA HIZI HAPA

Kesho Jumamosi nchi itasimama kwa muda kupisha mechi ya watani wa Jadi Simba wakiwakaribisha Yanga Uwanja wa Taifa Kwa Mkapa jioni majira ya saa 11:00.Kuelekea kwenye mch . . .

news
Top Story
  • Na Jembefmtz
  • December 9, 2021

Tigo Yataka Washiriki Kili Marathon Wajisajili Kwa Wingi

Kampuni ya Tigo ambayo inadhamini mbio za km 21 za Kilimanjaro Marathon imetoa wito kwa washiriki wa mbio hizo waendelee kujisajili kwa wingi huku ikiwa imebaki takriban . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Suzuki
  • December 9, 2021

BARCELONA YATUPWA NJE UEFA.

Barcelona wanamaliza nafasi ya tatu kwenye Kundi lake na watakwenda kucheza Europa league.Mara ya mwisho Barcelona kushindwa kucheza hatua ya 16 Bora ligi ya mabingwa na . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Suzuki
  • December 9, 2021

TIMU ZILIZOFANIKIWA KUFUZU KWENDA HATUA YA 16 BORA MASHINDANO YA UEFA CHAMPIONS LEAGUE.

Nafasi moja itaamuliwa na mchezo kati ya Atalanta na Villareal ulioahirishwa kutokana na hali ya hewa.Timuzilizopo upande wa kushoto ndio VINARA wa makundi na watakutana . . .

news
NBC Tanzania Premier League 2021/2022
  • Na Suzuki
  • December 8, 2021

Ni mwendo wa tambo na vijembe kuelekea Derby ya Kariakoo.

Ikiwa ni Siku tatu za tambo na vijembe kuelekea kwenye mchezo wa Kariakoo Derby, Simba na Yanga Disemba 11, 2021 kwenye dimba la Benjamin Mkapa, Maofisa habari wa vilabu . . .

news
Top Story
  • Na Jembefmtz
  • December 8, 2021

Rais Samia aahidi sapoti zaidi kwa Tembo Warriors

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameipongeza timu ya taifa ya soka ya Walemavu ‘Tembo Warriors’ kwa kufuzu kuiwakilisha nchi kwenye kombe . . .

news
SOKA
  • Na Jembefmtz
  • December 7, 2021

Namungo, Aussems sasa wanayajenga

NAMUNGO ni miongoni mwa timu inayopitia wakati mgumu kwenye Ligi Kuu Bara kutokana na kushindwa kupata matokeo mazuri huku ikielezwa kuwa matokeo haya yamepelekea viongoz . . .

news
SOKA
  • Na Jembefmtz
  • December 7, 2021

Simba yashusha kocha mpya

ACHANA na furaha waliyokuwa nayo Simba baada ya kufuzu kwa mara ya kwanza hatua ya makundi Kombe la Shirikisho Afrika, Uongozi wa timu hiyo umeendelea kulisuka benchi la . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Suzuki
  • December 7, 2021

MSIMAMO WA LIGI KUU YA ENGLAND BAADA YA MECHI 15.

Msimamo  wa ligi kuu ya England baada ya mechi 15.  Huku timu tatu Manchester City, Liverpool na Chelsea zikiwa na nafasi kubwa ya kumaliza ndani ya nne bo . . .

news
Top Story
  • Na Jembefmtz
  • December 6, 2021

Sasii pilato Kariakoo Derby - NBC Tanzania Premier League 2021/2022

Wakati joto la pambano la Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya vinara Yanga dhidi ya Simba likizidi kupanda mwamuzi, Herry Sasii amepewa jukumu la kusimama kati kuamua mchezo h . . .

news
Mitindo | Urembo
  • Na Jembefmtz
  • December 6, 2021

Miss Tanzania apata viza Kushiriki Miss World

Miss Tanzania namba mbili, Juliana Rugumisa ambaye aliteuliwa kushiriki Miss World baada ya aliyeshika nafasi ya kwanza, Rose Manfere kuenguliwa kutokana na utovu wa nidh . . .

news
Top Story
  • Na Jembefmtz
  • December 5, 2021

Simba yatinga makundi Kombe la Shirikisho Afrika

KLABU ya Simba imefanikiwa kuingia hatua ya makundi Kombe la Shirikisho Afrika licha ya kufungwa mabao 2-1 na Red Arrows katika Uwanja wa Taifa wa Mashujaa, Zambia. Wenye . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jembefmtz
  • December 5, 2021

Newcastle United yaonyesha nia kumtaka Jesse Lingard

Newcastle United imeanza kuonesha nia ya kumtaka kiungo wa Uingereza Jesse Lingard katika dirisha dogo la Januari, mchezaji huyo mwenye miaka 28 kandarasi yake inataraji . . .

news
Top Story
  • Na Suzuki
  • November 30, 2021

Timu ya Taifa ya Tanzania ya Soka kwa Wenye Ulemavu (Tembo Warriors), imeipa hadhi nchi kwa kuwa Taifa la kwanza Afrika, kufuzu kwenda Robo Fainali za Mashindano ya Soka kwa Walemavu Afrika (Canaf)

Timu ya Taifa ya Tanzania ya Soka kwa Wenye Ulemavu (Tembo Warriors), imeipa hadhi nchi kwa kuwa Taifa la kwanza Afrika, kufuzu kwenda Robo Fainali za Mashindano ya Soka . . .

Kurasa 30 ya 31

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • WIZARA YA MADINI YAZITAKA KAMPUNI ZA KIGENI KUHESHIMU SHERIA, YAWAHAMASISHA WATANZANIA KUCHANGAMKIA FURSA MIGODINI.

    • 17 masaa yaliopita
  • MHE. SALEHE MBWANA MHANDO: UCHAGUZI UMEKWISHA, SASA NI MUDA WA KAZI NA MAENDELEO

    • jana
  • Maandamano yakupinga mpango wa kubadilisha katiba yahairishwa

    • jana

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode