TAKWIMU ZA SIMBA YANGA HIZI HAPA

Kesho Jumamosi nchi itasimama kwa muda kupisha mechi ya watani wa Jadi Simba wakiwakaribisha Yanga Uwanja wa Taifa Kwa Mkapa jioni majira ya saa 11:00.


Kuelekea kwenye mchezo huo mkali na wa kusisimua JembeniJembe tunakuletea TAKWIMU za timu hizi tangu Msimu wa Mwaka 2017/18.

Vilabu hivi vimekutana mara 8 kwenye ligi kuu tangu Msimu wa Mwaka 2017/18 Simba wakishinda mara 02 Yanga wakishinda mara 02 na michezo minne ikimalizika kwa Sare.

Swali ni Je nani ataibuka Mbabe siku ya kesho???


Pata Habari Kupitia Mitandao Yetu Ya Kijamii