WATANI NGOMA NZITO KWA MKAPA

Dakika 45 za kipindi Cha kwanza za mchezo wa watani wa Jadi Simba dhidi ya Yanga zimemalizika Uwanja wa Mkapa kwa timu hizo kutokufungana (0-0).

Bado timu zote mbili zinacheza kwa tahadhari zikifanya mashambulizi ambayo hayajazaa matunda.

Hivi hapa ni vikosi vilivyoanza vya timu zote mbili (Simba vs Yanga).


Pata Habari Kupitia Mitandao Yetu Ya Kijamii