logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Michezo

  • Pata Habari za Michezo Kwa Undani
news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 17, 2025

Lamine Yamal akabidhiwa jezi namba 10 ya Messi Barcelona, asaini Mkataba mpya mpaka 2031

Kinda mahiri wa FC Barcelona, Lamine Yamal, amesaini mkataba mpya wa muda mrefu na klabu hiyo, ambao utamuweka Camp Nou hadi tarehe 30 Juni 2031 amekabidhiwa rasmi jezi n . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 15, 2025

Mo Dewji Atoa Tamko Zito Kuhusu Simba -”Kusema Sitoi Hela Ni Fitina Nimewekeza Bilioni 87

Mwekezaji maarufu na Rais wa heshima wa klabu ya Simba SC, Mohammed Dewji (Mo), amevunja ukimya kwa kutoa ufafanuzi mzito kuhusu mchango wake ndani ya klabu hiyo tangu al . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 13, 2025

Miloud Hamdi Atwaa Tuzo ya Kocha Bora wa Mwezi Juni wa NBC

Kocha wa klabu ya Yanga Sc, Miloud Hamdi amechaguliwa kuwa Kocha Bora wa mwezi Juni wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania bara msimu wa 2024/2025 akiwashinda Rachid Taoussi wa Azam . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • July 10, 2025

Manchester United imetia saini na mshambuliaji kinda

Manchester United imemsajili rasmi Enzo Kana-Biyik, mshambuliaji  kinda mwenye umri wa miaka 18 kutoka Le Havre, kwa uhamisho wa bure baada ya mkataba wake kumalizik . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 6, 2025

Huu Ndio Usajili wa Ovyo Kabisa Kuwahi Kutokea

Alisainiwa kwa mkopo wa miezi mitatu kwa Kombe la Dunia la Klabu ya FIFA ya 2025. Baada ya mashindano kumalizika, walitaka kumsaini.Lakini kocha mkuu wa Benchachem hajari . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 4, 2025

Nico Williams asaini mkataba Athletic mpaka 2035

Winga wa klabu ya Athletic Bilbao, Nico Williams, amesaini mkataba mpya wa miaka 10 wa kuendelea kuitumikia klabu hiyo inayoshiriki ligi kuu ya Hispania hadi Juni 2035.Mh . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 4, 2025

Kamati ya Uchaguzi TFF Yamwacha Karia Pekee Urais 2025

Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imewatangaza rasmi wagombea watano wa nafasi ya urais kuondolewa katika kinyang’anyiro hicho, na kumwacha Wallac . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 4, 2025

Azam Yamnasa Lamek Lawi Kutoka Coastal Union kwa Mkataba wa Miaka Miwili

MATAJIRI wa Dar, Azam FC hawataki utani kwa kuwa tayari wameanza kushusha mashine za kazi kuelekea msimu mpya wa 2025/26 kwa kumtambulisha beki wa kazi ambaye ni mzawa.Ju . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • July 4, 2025

Mgombea asiyekuwa na udhamini usiopungua watu watano kukosa sifa uchaguzi mkuu TFF

MWENYEKITI wa Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu (TFF), Kiomoni Kibamba amesema mgombea asiyekuwa na wadhamini zaidi ya watano hatapitishwa kugombea kweny . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 3, 2025

Nyota wa Liverpool Diogo Jota afariki katika ajali barabarani

MWANASOKA nyota Diogo Jota ameaga dunia baada ya kuhusika katika ajali ya gari kaskazini mwa Uhispania akiwa na umri wa miaka 28, ripoti nchini Uhispania zimesema mnamo A . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • July 3, 2025

Mchezaji klabu ya Liverpool Diogo Jota afariki kwa ajili ya gari

Mchezaji wa klabu ya Liverpool na timu ya taifa ya Ureno, Diogo Jota, amefariki dunia kwa ajali ya gari nchini Hispania akiwa na umri wa miaka 28.Kwa mujibu wa vyombo mba . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • July 2, 2025

Jobe Belligham kuukosa mchezo wa robo fainali dhidi ya Real Madrid

Kiungo mshambuliaji wa klabu ya Borrusia Dortmund Jobe Belligham,atakosekana kwenye mchezo wa robo fainali ya kombe la dunia la vilabu dhidi ya Real Madrid utakaopigwa kw . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 1, 2025

Paul Pogba " Mke Wangu Aliniacha Nilipofungiwa Kucheza Soka"

Mke wangu aliniacha nilipofungiwa kucheza soka na kupoteza umaarufu wangu. Alikuwepo tu kwa ajili ya pesa na umaarufu.” Paul Pogba”“Niligundua jinsi nilivyo tupu na . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 1, 2025

Rais Samia airuhusu Yanga kujenga uwanja

“Serikali ya awamu ya sita ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan, imeipa Yanga sehemu ya ardhi yake hapa Jangwani kwa ajili ya kujen . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 29, 2025

KIKOSI cha Yanga Vs Singida Black Stars Leo Tarehe 29 June 2025

Juni 29, Young Africans watakuwa wenyeji wa Singida Black Stars katika michuano ya Kombe la Shirikisho Tanzania. Mechi itaanza saa 21:15 saa za eneo lako.Kivutio kinageuk . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 27, 2025

Kocha wa soka, mkufunzi wa ndondi washtakiwa kuambia waandamanaji wavamie Ikulu

KOCHA wa zamani wa timu ya taifa ya soka, Harambee Stars, Robert Otiti, na mkufunzi wa ndondi katika ukumbi wa Muthurwa na Makongeni, Suleiman Bilali, Alhamisi walifikish . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 27, 2025

Fadlu Davids" Tutaboresha Kikosi Simba Kwa Msimu Ujao"

Kocha Mkuu wa Simba SC, Fadlu Davids, amesema kuwa kikosi hicho kinahitaji maboresho baada ya kumaliza msimu wa Ligi Kuu Bara kikiwa nafasi ya pili kwa alama 78, nyuma ya . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • June 27, 2025

Ronaldo apata mkataba mpya kwenda timu ya Al-Nassr

Nyota wa soka duniani, Cristiano Ronaldo, amepewa mkataba wa kipekee na klabu ya Al-Nassr ya Saudi Arabia, ambao unatajwa kuwa miongoni mwa mikataba ya gharama kubwa zaid . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 26, 2025

Sundowns, Al Ahly, Esperance Watolewa Kombe la Dunia la Vilabu

Juni 26, 2025 – Timu za soka kutoka bara la Afrika zimehitimisha safari yao mapema katika michuano ya Kombe la Dunia la Vilabu 2025, baada ya kushindwa kuvuka hatua za . . .

news
SOKA
  • Na Jacobmlaytz
  • June 25, 2025

MAKOCHA WA AZIZ KI WAPATA AJALI

Kocha wa klabu ya WYDAD AC  Mohamed Amin Benhashem, na daktari wa timu Abdel -razzaq Haifti wamepata ajali Mbaya ya Barabarani huko Washington, Marekani.Kocha huyo . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jacobmlaytz
  • June 25, 2025

NYOTA WA BARCELONA ATIMKIA AS MONACO

AS Monaco imefikia makubaliano na Barcelona ya kumsajili winga wake Ansu Fati kwa mkopo wenye chagua la kumnunua moja kwa moja Ansu Fati atasaini mkataba mpya na Bar . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jacobmlaytz
  • June 25, 2025

LYON YA UFARANSA YASHUSHWA DARAJA

Klabu ya Olympique Lyon Rasmi imeshushwa daraja kutoka Ligi kuu ya Ufaransa (Ligue 1) hadi Ligi Daraja la Pili (Ligue 2) lakini bado wanaruhusiwa kukata rufaa juu ya uamu . . .

news
Top Story
  • Na Jacobmlaytz
  • June 23, 2025

Waamuzi YANGA NA SIMBA ni waarabu watupu

Waamuzi wa mchezo wa Derby kati ya Yanga SC vs Simba SC wanatoka Misri na Somalia.Mwamuzi wa kati  - Amin Mohamed Amin Omary (Misri)Ass Referee 1 - Mahmoud Ahmed Abo . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 23, 2025

Shai Gilgeous-Alexander MVP wa fainali NBA 2025

Shai Gilgeous-Alexander mchezaji nyota wa timu ya The Oklahoma City Thunder ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa fainali ya ligi ya mpira wa kikapu Marekani NBA (NBA Final . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • June 21, 2025

Mgombea urais TFF aomba uchaguzi kusimamishwa

MGOMBEA urais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Shija Richard anatarajia kuwasilisha barua rasmi Baraza la Michezo la Taifa (BMT), Kamati ya Rufani ya Uchag . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 18, 2025

Ally Mayay Tembele Atangaza Nia ya Kugombea Urais wa TFF

NYOTA wa zamani wa klabu ya Yanga na timu ya Taifa, Taifa Stars, Ally Mayay Tembele, ametangaza rasmi nia ya kuwania nafasi ya Urais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanza . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • June 16, 2025

CAF) yaikingia kifua timu ya taifa Stars dhidi ya Guinea

Kamati ya rufaa ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limeitupilia mbali rufaa iliyokatwa na Guinea ikipinga uamuzi uliofanywa na kamati ya nidhamu ya Shirikisho h . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 15, 2025

TFF Yatangaza Uchaguzi Mkuu Agosti 16, 2025

Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) inatangaza Uchaguzi Mkuu wa TFF utakaofanyika tarehe 16/08/2025 jijini Tanga.Nafasi zinazogombewa ni Rai . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • June 13, 2025

Timu ya Tottenham Hotspur yamtangaza Thomas Frank kuwa kocha mkuu wa timu hiyo

Tottenham Hotspur imemtangaza kocha Thomas Frank kuwa meneja wake mkuu kuchukua mikoba ya Age Postecoglou aliyetimuliwa hivi karibuni baada ya kuiongoza timu hiyo kutwaa . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • June 11, 2025

Serikali kutoingilia kati mchezo wa Darby ya karyakoo mechi ya Simba na Yanga

Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Hamis Mwinjuma amesema serikali haiwezi kuingilia mgogoro unaoendelea kuhusu mechi ya Darby kati ya Simba na Yanga kutok . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • June 9, 2025

Klabu ya Yanga Africans wamendeleza msimamo wake wa kutocheza mechi na Simba SC

Uongozi wa Klabu ya Young Africans SC umetangaza rasmi kuwa hautashiriki mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Simba SC uliopangwa kufanyika tarehe 15 Juni, 2025. Kupitia t . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • June 6, 2025

Serikali iiko kwenye mpango madhubuti wa kukarabati uwanja wa CCM Kirumba

Serikali imesema bado iko kwenye mpango madhubuti wa kuhakikisha uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza unakarabatiwa na kukamilisha idadi ya viwanja vitano vilivyotengwa kwa ajil . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 4, 2025

Dickson Job kimeeleweka Yanga, Apewa Miaka Miwili

KLABU ya Yanga imefikia makubaliano mazuri ya kumuongezea mkataba mwingine beki na nahodha wake msaidizi, Dickson ‘Dick’ Job.Inealezwa makubaliano hayo yaliyofikiwa y . . .

Kurasa 3 ya 25

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Kukubali Masharti Bila Kusoma Yatajwa Kuhatarisha Usalama wa Taarifa Binafsi

    • 6 masaa yaliopita
  • Mpango amewasili Viwanja vya Sokoine kushiriki kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru

    • 8 masaa yaliopita
  • MANISPAA YA GEITA YANG’ARA KITAIFA KATIKA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025

    • 8 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode