logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Michezo

  • Pata Habari za Michezo Kwa Undani
news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • April 20, 2026

Mudathir afungiwa Mechi tatu na kutozwa faini

Kiungo wa Yanga, Mudathir Yahya amefungiwa michezo mitatu pamoja na kutozwa faini ya Tsh milioni 1 baada ya kukutwa na kosa la kumpiga kiwiko mchezaji wa&n . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • April 20, 2026

Bayern Munich yatwaa ubingwa wa 35 wa Bundesliga

Bayern Munich ndio mabingwa wa ligi kuu ya Ujerumani "Bundesliga" msimu huu, baada ya kupata ushindi siku ya Jumapili wa mabao 4-2 dhidi ya Stuttgart na hivyo kulichukua . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • April 15, 2026

Atlético Madrid yatinga nusu fainali UEFA baada ya kuiondoa FC Barcelona

Atlético Madrid iko kwenye kiwango cha juu cha mafanikio baada ya kutinga nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa (UEFA) na wakati huo huo ikiwa na nafasi ya kunyakuw . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • April 14, 2026

Robo fainali ya UEFA mkondo wa pili kulindima leo

Ligi ya Mabingwa barani Ulaya (UEFA) leo inatarajiwa kulindima kwa michezo miwili kupigwa ya robo fainali kwa mkondo wa pili Kwenye uwanja wa Annfield nchini England . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • April 9, 2026

Wachezaji 7 wa timu ya taifa ya Eritrea wazamia nchini Eswatini

Ushiriki wa timu ya taifa ya Eritrea katika michuano ya awali kufuzu kucheza fainali za kombe la mataifa ya Afrika, sasa umeleta maswali zaidi baada ya wachezaji wake 7 k . . .

news
Magari
  • Na Asha Business
  • April 2, 2026

Tiger Woods akataa kuwa nahodha wa Marekani Ryder Cup 2027

Tiger Woods amekataa kuiongoza timu ya Marekani Ryder Cup 2027 ili kuzingatia afya yake, baada ya ajali ya gari na tuhuma za kuendesha akiwa amelewa.Nyota wa gofu Tiger W . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • April 1, 2026

Axel Tuanzebe Aipeleka DR Congo Kombe la Dunia Baada ya Miaka 52

Bao pekee alilofunga Axel Tuanzebe katika mchezo wa mchujo dhidi ya timu ya Taifa ya Jamaica limetosha kuirudisha DR Congo katika michuano ya Kombe la Dunia itakayofanyik . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • March 31, 2026

Amnesty International Yatoa Onyo kwa Kombe la Dunia 2026

Shirika la kimataifa la Amnesty International limeonya kuwa mashindano ya Kombe la Dunia 2026, yanayotarajiwa kuanza Juni 11 hadi Julai 19, 2026 katika Marekani, Canada n . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • March 31, 2026

Ada ya $15,000 yawagusa mashabiki wa Afrika kuelekea kombe la dunia 2026

Marekani imedai kuwa mashabiki kutoka Algeria, Senegal, Cape Verde, Ivory Coast na Tunisia wanatakiwa kulipa amana ya dola 15,000( ambapo ni sawa na milioni 38 za Kitanza . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • March 28, 2026

Taifa Stars yashuka nafasi ya ubora FIFA

Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, imeshuka kwa nafasi tatu katika viwango vya ubora wa soka duniani vinavyotolewa na FIFA, na sasa kushika nafasi ya 113 kutoka 110 . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • March 27, 2026

Djigui Diarra afungiwa michezo mitatu na faini ya milioni 4

Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imetoa adhabu kwa mchezaji wa klabu ya Young Africans SC Djigui Diarra kufuatia ukiukwaji wa . . .

news
Riadha
  • Na Jembe Digital
  • March 26, 2026

Jackline Sakilu Afungiwa Miaka 10 Kutokana na Doping

Shirikisho la Riadha Tanzania (RT) limeeleza chanzo cha kufungiwa kwa nyota wa timu ya taifa, Jackline Sakilu, kwa miaka 10 kutokana na ukiukaji wa sheria za michezo. Ath . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 26, 2026

Mohamed Salah Atangaza Kuondoka Liverpool Bure Mwisho wa Msimu

Mshambuliaji nyota wa Mohamed Salah ametangaza rasmi kuwa ataondoka ndani ya klabu ya Liverpool mwishoni mwa msimu huu, akihitimisha safari ya kihistoria ya miaka tisa nd . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 26, 2026

Mashindano ya FIFA Series 2026 Kuanza Leo Rwanda, Stars Kukiwasha na Liechtenstein

Mashindano ya kimataifa ya soka ya FIFA Series 2026 yanaanza rasmi leo Machi 26, 2026 jijini Kigali, huku Rais wa Shirikisho la Soka Rwanda (FERWAFA), Fabrice Shema, akit . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • March 25, 2026

Polisi Mwanza wafanya msako wa kijana aliyeua kisa Simba na Yanga

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linamtafuta kijana mmoja (jina limehifadhiwa) kwa tuhuma za kumuua Abel Mganga Mazuri (25), mkazi wa Nyamahengo, na kuwajeruhi watu wawili. . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • March 25, 2026

Mashabiki Ulaya walalamikia bei kubwa Tiketi za FIFA World Cup 2026

Mashabiki wa kandanda barani Ulaya wamewasilisha malalamiko rasmi kuhusu gharama kubwa ya tiketi za FIFA World Cup 2026 inayotarajiwa kufanyika Amerika Kaskazini.Malalami . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • March 25, 2026

Mohamed Salah Atangaza Kuondoka Liverpool FC

Nyota wa Liverpool FC, Mohamed Salah, ametangaza rasmi kuondoka klabuni hapo kupitia ujumbe wa hisia aliowaandikia mashabiki, akieleza kuwa amefikia uamuzi wa kuanza safa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 25, 2026

Manchester United, Tottenham Wagombania Saini ya Orkun Kökçü

Manchester United wamejiunga na Tottenham Hotspur katika mbio za kumsajili kiungo na nahodha wa Beşiktaş, Orkun Kökçü, ambaye ameibuka kuwa miongoni mwa wachezaji wa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 25, 2026

Salah kuondoka Liverpool mwishoni mwa msimu

Nyota wa Liverpool, Mohamed Salah, ametangaza kwamba ataondoka katika klabu hiyo ya England mwishoni mwa msimu, akiashiria kuondoka mapema kuliko ilivyopangwa. Ni mmoja w . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 23, 2026

Elie Mpanzu Asaini Mkataba Mpya wa Miaka Miwili Simba

Kiungo mshambuliaji wa kimataifa kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Elie Mpanzu, ameongeza mkataba mpya wa miaka miwili kuendelea kuitumikia Simba , hatua inayoimar . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • March 20, 2026

Kenya Hatarini Kupoteza Haki ya Kuandaa Afcon 2027 Kwa Kushindwa Kulipa Ada

Afisa Mkuu wa Serikali ameonya kuwa Kenya iko katika hatari kubwa ya kupokonywa haki ya kuandaa michuano ya Africa Cup of Nations (AFCON) 2027 kutokana na changamoto za k . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 19, 2026

Harry Kane" Hatuiogopi Real Madrid"

Hii ni baada ya Bayern kujikatia tiketi ya robo fainali ya Ligi ya Vilabu Bingwa Ulaya kufuatia ushindi wao wa 4-1 dhidi ya Atalanta ya Italia usiku wa kuamkia Alhamis am . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • March 17, 2026

Iran Yataka Mechi za Kombe la Dunia Zichezwe Mexico

Iran imesema iko kwenye mazungumzo na FIFA kuhusu uwezekano wa kucheza mechi zake za FIFA World Cup nje ya United States kufuatia onyo lililotolewa na Donald Trump.Kwa mu . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 11, 2026

Rais wa Shirikisho la Soka Kongo Afungwa Jela Maisha kwa Kashfa ya Fedha

Mahakama nchini Kongo Brazzaville imemkuta na hatia Rais wa Shirikisho la Soka la nchi hiyo, Jean-Guy Blaise Mayolas, kwa makosa makubwa ya kifedha yaliyohusisha utakatis . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 10, 2026

Firat aombolezwa kama kocha nguli aliyefungulia Harambee Stars milango kimataifa

KOCHA wa zamani wa Harambee Stars Engin Firat ambaye aliaga dunia jana Uturuki, ameombolezwa kama aliyemakinikia kazi yake na mwenye taaluma pevu ambaye mchango wake kwen . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • March 6, 2026

Ouahbi Aanza Kazi Kuijenga Upya Morocco

Royal Moroccan Football Federation limemtangaza Mohamed Ouahbi kuwa Kocha Mkuu mpya wa timu ya taifa ya wanaume ya Morocco national football team maarufu kama The Atlas L . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • March 4, 2026

Rodrygo Nje Miezi 7–10, Aikosa Kombe la Dunia 2026

Mshambuliaji wa Real Madrid na Brazil national football team, Rodrygo, atakuwa nje ya uwanja kwa muda wa miezi saba hadi kumi kufuatia jeraha kubwa, hali itakayomfanya ku . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 3, 2026

Ndege ya Cristiano Ronaldo Yaondoka Ghafla

Ndege binafsi ya kifahari ya thamani ya pauni milioni 61 inayomilikiwa na nyota wa soka Cristiano Ronaldo imeripotiwa kuondoka Saudi Arabia kuelekea Madrid usiku wa kuamk . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 25, 2026

Achraf Hakimi kupanda kizimbani kwa tuhuma za ubakaji

Beki wa klabu ya Ufaransa, Paris Saint-Germain na timu ya taifa ya Morocco, Achraf Hakimi, ameshtakiwa rasmi kwa tuhuma za kumbaka mwanamke mmoja, wakili wake na mwendesh . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • February 19, 2026

Bayer Leverkusen yaisogelea 16 bora Ligi ya Vilabu Bingwa

Klabu inayoshiriki Ligi Kuu ya Ujerumani, Bundesliga, Bayer Leverkusen imepiga hatua muhimu katika kutinga raundi ya mtoano ya 16 bora ya Ligi ya Vilabu Bingwa Ulaya.Hii . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • February 19, 2026

Isak anatarajiwa kurejea Uwanjani hivi karibuni

Kocha mkuu wa Liverpool, Arne Slot, ametoa habari njema kwa mashabiki wa klabu hiyo baada ya kuthibitisha rasmi muda wa kurejea kwa mshambuliaji wao hatari, Alexander Isa . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • February 19, 2026

Yanga vs Simba: TFF Yataka Kampuni Moja Pekee ya Kubashiri

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kuwa linatafuta kampuni moja kwa ajili ya haki za kipekee za ubashiri (exclusive betting rights) katika mechi ya Y . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • February 18, 2026

Serikali Yaidhinisha Marekebisho ya Katiba ya Simba

Serikali kupitia Baraza la Michezo la Taifa (BMT) imeidhinisha rasmi marekebisho ya Katiba ya Simba Sports Club baada ya kukamilika kwa mchakato wa kisheria uliokuwa chin . . .

Kurasa 3 ya 31

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • WIZARA YA MADINI YAZITAKA KAMPUNI ZA KIGENI KUHESHIMU SHERIA, YAWAHAMASISHA WATANZANIA KUCHANGAMKIA FURSA MIGODINI.

    • 13 masaa yaliopita
  • MHE. SALEHE MBWANA MHANDO: UCHAGUZI UMEKWISHA, SASA NI MUDA WA KAZI NA MAENDELEO

    • 24 masaa yaliopita
  • Maandamano yakupinga mpango wa kubadilisha katiba yahairishwa

    • 24 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode