logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Zote Za Kisiasa

  • Pata Habari Zote Za Kisiasa
Top Story
  • Na Asha Business
  • January 28, 2022

Xiomara Castro aapishwa kuwa rais wa Honduras

Xiomara Castro Alhamisi ameapishwa kama rais wa kwanza mwanamke wa Honduras, kwenye hafla iliyohudhuriwa na maelfu ya watu waliokuwa wakipeperusha vibendera vya taifa hilo kwenye uwanja wa kitai . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • January 27, 2022

Rais Samia atimiza miaka 62, Hivyo ndivyo alivyoikata keki Ikulu Chamwino

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akikata keki kama ishara ya kusherehekea kumbukumbu ya siku yake ya kuzaliwa leo tarehe 27 Januari, 2022 Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • January 27, 2022

Rais Kenyatta anatarajiwa kutia saini mswaada wa Marekebisho ya Vyama vya Siasa

Rais Uhuru Kenyatta anatarajiwa wiki hii kutia saini muswaada wa Marekebisho ya Vyama vya Kisiasa kuwa sheria baada ya bunge la Seneti kuupitisha bila marekebisho kwa kura ya Maseneta 28 dhidi y . . .

Drive Mix
  • Na Gsengo
  • January 24, 2022

MBUNGE NEEMA LUGANGIRA AWASILISHA MAPENDEKEZO YA KUFANYIWA KAZI ILI KUIMARISHA USTAWI WA NGOs KWA KATIBU MKUU DKT ZAINABU CHAULA

MBUNGE wa Viti Maalumu kupitia Kundi la Asasi za Kiraia NGOs Tanzania Bara, Mhe Neema Lugangira kulia akiteta jambo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum D . . .

Top Story
  • Na Jembefmtz
  • January 20, 2022

CCM yampitisha Dk Tulia kugombea uspika

Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM imepitisha jina pekee la Dk Tulia Ackson kuwa mgombea wa kiti cha Spika kilichoachwa wazi na Job Ndugai aliyejiuluzu nafasi hiyo Januari 6, 2022.Akizungumza na waa . . .

Top Story
  • Na JZ The Brand
  • January 20, 2022

MZOZO WA UKRAINE NA URUSI

Joe Biden: "Itakuwa janga kwa Urusi ikiwa itaivamia zaidi Ukraine"Rais wa Marekani Joe Biden amesema kuwa anafikiria mwenzake wa Urusu Vladimir Putin "ataivamia" Ukraine, lakini hataki "vita kamili".A . . .

Top Story
  • Na Suzuki
  • January 1, 2022

CCM KILIMANJARO WAMTAKA NDUGAI AJITAFAKARI.

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kilimanjaro, Patrick Boisafi amedai kuwa kauli aliyoitoa Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai, juu ya deni la taifa ni fedheha kwa Rais Samia Suluhu H . . .

Mahakamani
  • Na Jembefmtz
  • December 30, 2021

Yaliyojiri Mahakamani Kesi ya Sabaya

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha leo Jumatano Desemba 29, 2021 imeshindwa kutoa uamuzi mdogo katika kesi inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake sita baada ya mawakil . . .

Top Story
  • Na Jembefmtz
  • December 30, 2021

Polepole Akanusha Kutaka Kuanzisha Chama Kipya

Mbunge wa Kuteuliwa na Mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi Humphrey Polepole amekanusha taarifa za kutaka kuhama chama hicho na kuunda chama kipya. Polepole ametoa kauli hiyo alipoulizwa swali enda . . .

Top Story
  • Na Jembefmtz
  • December 29, 2021

Ndugai: Kuna siku nchi itapigwa mnada

Wakati Spika wa Bunge, Job Ndugai akihoji wanaofurahia nchi kukopa na kwamba deni limefika Sh 70 trilioni, Rais Samia Suluhu Hassan amesema ni lazima serikali ikope ili kumaliza miradi ya maendeleo.Ak . . .

Top Story
  • Na Jembefmtz
  • December 29, 2021

Samia: Tutakopa fedha kujenga reli ya kisasa

Rais wa Tanzania, Samia amesema ni lazima serikali ikope ili kumaliza mradi wa Reli ya Kisasa (SGR).Rais Samia ameyasema hayo leo Desemba 28, 2021 katika hafla ya utiaji saini mkataba wa ujenzi wa SGR . . .

Top Story
  • Na Jembefmtz
  • December 27, 2021

Rais Samia atoa msamaha kwa wafungwa 5,704

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametoa msamaha kwa wafungwa 5,704 katika kuadhimisha miaka 60 ya UhuruAkizungumza na wandishi wa habari leo Jumatatu Desemba 27, 2021 Waziri wa Mambo ya Ndani, Ge . . .

Top Story
  • Na Suzuki
  • December 13, 2021

MOTO WA JPM HAUTAZIMIKA.

"Leo tunashiriki kama wabia kwenye uchimbaji wa rasilimali zetu muhimu na adhimu (mkadini) kwa ajili ya kuliletea maendeleo Taifa letu. Tunapaswa kujipongeza kwa hatua hii."Hatua ya safari hii sikuian . . .

Top Story
  • Na Suzuki
  • December 13, 2021

Msigwa asema kilichotokea nyumbani kwa Polepole hakikubaliki.

Anaandika Peter Msigwa baada ya Humphrey Polepole kuvamiwa na wasiojulikana nyumbani kwake Dodoma, "Kilichotokea nyumbani kwa polepole hakikubaliki hata kidogo, hawa wote waliohusika wakamatwe na . . .

Top Story
  • Na Jembefmtz
  • December 11, 2021

TEUZI LEO 11.12.2021

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Balozi Ali Idd Siwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF).Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo na Mkurugenzi wa Mawasilia . . .

Top Story
  • Na Suzuki
  • December 10, 2021

FARU WA TANZANIA SASA RUKSA KUOA KENYA.

Wakati Tanzania ikiipatia Kenya ndege aina ya Korongo 20 kama zawadi ya Kristimas, Kenya imekubali Faru wa Tanzania waoe Kenya.Ndege 20 waliotolewa kwa Kenya kutaifanya nchi hiyo kuwa na ndege hao 32 . . .

Top Story
  • Na Suzuki
  • December 10, 2021

Mhe. Samia Suluhu Hassan, na mgeni wake Mhe. Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya Ikulu Jijini Dar es Salaam leo .

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, na mgeni wake Mhe. Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya wakiwa katika picha yenye waasisi wa Mataifa mawili Tanzania na Kenya Hayati Mwalim Ju . . .

Top Story
  • Na Suzuki
  • December 9, 2021

Pato kwa Mtu kwa Mwaka 1961 lilikuwa Tsh .776

"Wastani wa Pato kwa Mtu kwa Mwaka 1961 lilikuwa Tsh .776 na kwa mwaka jana 2020 ni Tsh milioni 2.6 jambo hili linaongeza hadhi yetu machoni mwa Jumuiya za Kimataifa na kutuondolea unyonge na unyanyap . . .

Mahakamani
  • Na Jembefmtz
  • December 8, 2021

Lissu afutiwa kesi za uchochezi, atoa masharti kurejea

Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) na Mahakama, wamefuta kesi zote za uchochezi zilizokuwa zikimkabili Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu katika Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu, Dar e . . .

Top Story
  • Na Jembefmtz
  • December 8, 2021

RC Homera apiga ‘stop’ likizo watumishi wa Serikali Mbeya

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya (RC), Juma Homera amefuta likizo kwa watumishi wote wa Serikali mkoa huo ambao idara zao zinahusika na ujenzi wa miradi ya miundombinu ya ujenzi wa vyumba  vya madarasa  . . .

Mahakamani
  • Na Jembefmtz
  • December 6, 2021

Mahakama yatupilia mbali ombi la kukamatwa shahidi kesi ya Sabaya

Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imetupilia mbali ombi la kutoa hati ya kukamatwa shahidi wa 10 wa Jamhuri, Francis Mroso baada ya ombi hilo kutokidhi matakwa ya kisheria.Desemba Mosi, 2921 Wakili wa u . . .

Mahakamani
  • Na Jembefmtz
  • December 6, 2021

Kesi inayomkabiri Mbowe na wenzake kuanza na kiporo cha mapingamizi

Dar es Salaam. Kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu wanaokabiliwa na mashtaka ya ugaidi kesho inatarajia kuendelea kuunguruma baada ya mapumziko y . . .

Top Story
  • Na Suzuki
  • December 6, 2021

Prof. Adelardus Lubango Kilangi kuwa Balozi wa Tanzania Nchini Brazil.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan,akimuapisha Prof. Adelardus Lubango Kilangi kuwa Balozi wa Tanzania Nchini Brazil leo tarehe 06 Desemba, 2021 Ikulu Jijini Dar es Salaa . . .

Top Story
  • Na Jembefmtz
  • December 5, 2021

TRUTH SOCIAL YA DONALD TRUMP KUANZA MAPEMA 2022

Taasisi ya habari na teknolojia ya Trump inatarajia kuzindua programu hiyo ya mitandao ya kijamii uitwayo Truth Social mapema mwaka ujao.Haya yanajiri wakati Bw Trump akiwa amepigwa marufuku kutoka kw . . .

Mahakamani
  • Na Jembefmtz
  • December 3, 2021

KESI YA ALIYEKUWA MKUU WA MKOA DAR ES SALAAM, PAUL MAKONDA YATUPILIWA MBALI

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni jijini Dar es Salaam, hii leo imetupilia mbali kesi iliyokuwa ikimkabili aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kutokana na mapungufu ya kisheria.Uamu . . .

Kurasa 12 ya 13

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Developing
news
  • 8 masaa yaliopita

Serikali imetangaza kufuta usajili Kanisa la Ufufuo na Uzima linalomilikiwa na Askofu Gwajima.

Top Stories
news
  • 9 masaa yaliopita

Serikali imetangaza kufuta usajili Kanisa la Ufufuo na Uzima linalomilikiwa na Askofu Gwajima.

Matukio
news
  • 10 masaa yaliopita

Ukraine inasema iliharibu ndege za kivita za Urusi kwenye Mji wa Siberia

Top Stories
news
  • 12 masaa yaliopita

WHO kuridhia siku ya watoto njiti kufanyika Novemba 17 kila mwaka

Top Stories
news
  • 12 masaa yaliopita

Mahakama ya Kisutu imeahirisha kesi ya Tundu Antiphas Lissu hadi Juni 16 mwaka huu

Top Stories
news
  • 13 masaa yaliopita

Kampeni ya Madaktari Bingwa imewanufaisha Wagonjwa 154,015

Top Stories
news
  • 13 masaa yaliopita

TANROADS yatangaza ajira mpya Dar es salaam kwaajili ya ujenzi wa barabara

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Serikali imetangaza kufuta usajili Kanisa la Ufufuo na Uzima linalomilikiwa na Askofu Gwajima.

    • 9 masaa yaliopita
  • Wachezaji Walioitwa Taifa Stars, Samatta Aomba Kupumzika

    • 10 masaa yaliopita
  • Mgombea wa Kihafidhina Karol Nawrocki ashinda uchaguzi wa urais

    • 10 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode