logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Zote Za Kisiasa

  • Pata Habari Zote Za Kisiasa
afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • August 4, 2022

Uchaguzi wa Kenya watumbua upya makovu ya ufisadi

Waziri wa mambo ya ndani nchini humo Fred Matiangi ameeleza kwamba wagombea viti vya ubunge wanawahonga wapiga kura walioko vijijini kwa kuwapa hata shilingi 100 pekee kama njia ya kuwashawishi ku . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • August 3, 2022

WANAFUNZI WAKAMATWA KWA KUMCHAFUA RUTO KWA UJUMBE.

Wanafunzi tisa wa Chuo Kikuu cha Moi nchini Kenya wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma zinazosemekana za kusambaza jumbe za kumchafua mgombea wa urais kwa tiketi ya Kenya Kwanza Naibu Rais William Ruto. . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 2, 2022

Tume ya uchaguzi ya Pakistan yasema chama cha Khan kilipokea fedha kinyume cha sheria

Tume ya uchaguzi ya Pakistan imeamua leo kuwa chama cha Waziri Mkuu wa zamani Imran Khan kilipokea fedha kwa njia haramu, hatua ambayo inaweza kusababisha nyota huyo wa zamani wa mchezo wa kriketi pam . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 26, 2022

Raia wa Tunisia washiriki kura ya maoni juu ya katiba mpya

Raia wa Tunisia Jumatatu wameshiriki kura ya maoni kwa ajili ya katiba mpya iliyohamasishwa na Rais Kais Saied, ambayo ilikosolewa kwa kumpa rais mamlaka makubwa zaidi na kutishia kuweka utawala . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • July 25, 2022

vigogo wajitosa kupigia debe mirengo yao

Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Agosti 9 zinapoendelea kushika kasi, wake wa vigogo wakuu wa kisiasa pia wamejitokeza kuwasaidia kuvumisha azma zao. Baadhi ya wale ambao wamejitokeza kuwasaidia vigog . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • July 22, 2022

Raia wa Venezuela aliyekamatwa na vibandiko vya Uchaguzi Kenya aachiliwa

Raia wa kigeni ambaye Alhamisi alikamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta (JKIA) nchini Kenya akiwa na stika za uchaguzi za Tume ya IEBC ameachiliwa kutoka kizuizini.Siku . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • July 22, 2022

BI JUMWA APATA AHUENI KUHUSU DIGRII YAKE KUTUPWA

Mbunge wa Malindi, Bi Aisha Jumwa, amepata afueni baada ya Mahakama Kuu ya Mombasa kutupilia mbali ombi lililokuwa likitaka kumfungia nje ya kinyang’anyiro cha ugavana wa Kaunti ya Kilifi kwa . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • July 20, 2022

William Ruto Ajipata Pabaya kwa Matashi yake Dhidi ya Ngilu.

Mgombea urais wa Kenya Kwanza William Ruto amejipata tena pabaya kwa kutoa matamshi yanayodhaniwa kuwa ya kudhalilisha kuhusu Gavana wa Kitui Charity Ngilu.Naibu Rais alikuwa kwenye kampeni katika kau . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • July 17, 2022

Chama tawala cha Jamhuri ya Congo charipoti kushinda katika uchaguzi

Chama tawala katika Jamhuri ya Congo kimeripoti kushinda katika uchaguzi wa bunge wa wiki iliyopita.Matokeo ya awali yaliyotangazwa kwenye televisheni ya taifa yanaonyesha chama cha Labour cha Con . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • July 15, 2022

Martin Fayulu aanza maandalizi ya uchaguzi wa mwaka 2023

Mwanasiasa wa upinzani nchini DRC, Martin Fayulu, ameanza maandalizi ya kuwania urais mwaka ujao baaya kongamano la siku tatu ya chama chake cha ECIDE mjini Kisangani. . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • July 15, 2022

Jubilee yakopa Sh300 bilioni inapojiandaa kuondoka mamlakani

SERIKALI ya Jubilee inaendelea kuongezea Wakenya mzigo wa madeni muda wake wa kwenda nyumbani unapokaribia kwa kukopa Sh300 bilioni zaidi kati ya Januari na Mei 2022. Hii imefikisha deni la kitai . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 14, 2022

Wanasiasa wanaotaka kumrithi Boris Johnson wajiandaa kwa duru ya pili ya mchujo

Wabunge wa chama cha tawala nchini Uingereza cha Conservative watapiga kura leo katika duru ya pili ya mchujo wa wagombea wanaowania kumrithi waziri mkuu Boris Johnson aliyetangaza kujiuzulu wiki . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • July 13, 2022

Raila Odinga"Nitachunguza chanzo cha utajiri wa Naibu Rais William Ruto iwapo atashinda "

Mgombea urais wa Azimio La Umoja, Raila Odinga, ameahidi kuchunguza chanzo cha utajiri wa Naibu Rais William Ruto iwapo atashinda uchaguzi wa Agosti 9. Raila alitilia shaka uhalali wa umiliki wa ardhi . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • July 11, 2022

YAMKUTA HAYA MUWANIA KITI CHA URAIS KENYA

KINYANG’ANYIRO cha kiti cha urais kimekumbwa na hali ya suitofahamu baada ya kuwasilishwa kwa kesi ya kumtimua mwaniaji urais wa chama cha Roots Profesa George Wajackoyah kwa madai kwamba yeye n . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • July 11, 2022

Wawaniaji 3 washinda viti bila kupingwa na yeyote

MGOMBEAJI mmoja wa kiti cha Mwakilishi wa Kike, na wawili wa udiwani wametangazwa washindi bila jasho baada ya kukosa wapinzani. Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) Jumapili ilimtangaza Beatrice . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • July 8, 2022

Raila Odinga " uchaguzi hautafanyika iwapo IEBC haitimizi matwaka yake "

Mgombea wa urais nchini Kenya Raila Odinga, ametishia kutoshiriki uchaguzi mkuu wa mwezi ujao, endapo tume huru ya uchaguzi na mipaka IEBC haitatumia daftari la wapiga kura iliyoandikwa kwa kara . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • July 7, 2022

Sakaja kifua mbele kura zikinukia

MWANIAJI urais kwa tikiti ya muungano wa Azimio la Umoja One Kenya, Raila Odinga na mgombea mwenza wake Martha Karua, wanaongoza kwa umaarufu katika Kaunti ya Nairobi, utafiti mpya umeonyesha. Ri . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • July 3, 2022

EACC kutwaa mali ya wenye vyeti ghushi

TUME ya Maadili ya Kupambana na Ufisadi Nchini (EACC) imeahidi kuwa itatwaa pesa na mali kutoka kwa wale ambao walitumia vyeti ghushi kuwania na kushinda vyeo vya uongozi katika uchaguzi mkuu. Af . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • July 1, 2022

William Ruto" Haya ndiyo ninayowaahidi Wakenya "

Mgombea urais nchini Kenya kupitia kwa chama cha United Democratic Alliance -UDA, William Ruto amezindua manifesto yake kuelekea uchaguzi mkuu wa Agosti 9 2022. Menifesto hiyo inazingat . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 1, 2022

Uteuzi wa vigogo Tume ya Uchaguzi utazamwe upya

Mwenyekiti mstaafu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva ameishauri Serikali kuutazama upya utaratibu wa kupatikana kwa watendaji wakuu wa taasisi hiyo ili kutoa fursa kwa Watazan . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • June 29, 2022

Samboja awindwa tena kuhusu cheti cha chuo kikuu baada ya kuponyoka

MASAIBU yanayomkumba Gavana Granton Samboja yameibuka upya, baada ya mpigakura kujaribu tena kumzuia kutetea kiti hicho katika uchaguzi unaopangiwa kufanyika Agosti. Bw Jeremiah Kiwoi, ameenda ko . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • June 29, 2022

kina Mdee kortini tena leo

Waliokuwa wanachama 19 wa Chadema, akiwamo Halima Mdee wanaingia katika mchuano na chama hicho wakati wa usikilizwaji wa pingamizi dhidi ya maombi ya amri ya kudumisha hali ilivyo (kulinda ubunge . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 28, 2022

Bunge la Israel lapiga kura ya kulivunja bunge na kufanya uchaguzi mpya

Bunge la Israel kwa kauli moja limeidhinisha muswada wa kulivunja bunge, hatua muhimu ya kisheria ambayo inaisukuma nchi hiyo kuelekea uchaguzi wake wa tano katika muda wa chini ya miaka minne. Ta . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • June 22, 2022

Maseneta waidhinisha pendekezo la serikali kupandisha kiwango cha mkopo hadi Sh10 trilioni

SERIKALI Kuu sasa imepata idhini ya kuchukua mkopo wa hadi Sh10 trilioni kutoka Sh9 trilioni baada ya maseneta kupitisha pendekezo la Wizara ya Fedha kuhusu suala hilo. Jumla ya maseneta 27 walip . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 20, 2022

Uchaguzi wa wabunge Ufaransa: Baadhi ya vyama vyapoteza na vingine vyafaulu

Vyama vikuu vya kisiasa nchini Ufaransa vilikuwa vikicheza dau kubwa kwa uchaguzi huu wa wabunge mwaka wa 2022, lakini matokeo ya hayakukidhi matarajio yote, baada ya kutanga . . .

Kurasa 12 ya 16

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Matukio
news
  • 10 masaa yaliopita

Ajiua baada ya kumumuua mtoto wake wa miaka 2

Matukio
news
  • jana

Wahanga wa maporomoko Chesongoch kuzikwa kaburi la pamoja

Top Stories
news
  • 4 siku zilizopita

Miaka kumi ya Jembefm

Matukio
news
  • 5 siku zilizopita

32 wamefariki dunia, baada ya mgodi wa Kobalt Congo i kuporomoka

Top Stories
news
  • 5 siku zilizopita

Wanafunzi 595,816 wa kidato cha nne wameanza rasmi leo mitihani ya kuhitimu elimu ya sekondari

Top Stories
news
  • 5 siku zilizopita

REA,TANESCO watakiwa kushirikiana kuongeza idadi ya wateja vijijini

Matukio
news
  • 5 siku zilizopita

Netanyahu aapa kupinga kuanzisha taifa la Palestina

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

    • 8 masaa yaliopita
  • Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

    • 9 masaa yaliopita
  • Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

    • 9 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode