logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
ukraine
  • Na Asha Business
  • July 11, 2022

Watu 15 wauawa katika mashambulizi ya makombora

Maafisa wa Ukraine wamefahamisha kuwa watu 15 wameuawa baada ya majeshi ya Urusi kulishambulia kwa makombora jengo la ghorofa tano katika mji wa mashariki mwa Ukraine wa Chasiv Yar. Gavana wa jimb . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • July 11, 2022

Watu 15 wapigwa risasi katika eneo la Soweto.

Polisi nchini Afrika Kusini, imesema watu 19 wameuawa mwishoni mwa juma lililopita, wakati watu wenye silaha waliposhambulia maeneo mawili tofauti ambayo watu walikuwa wakibu . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 11, 2022

Waandamanaji wa Sri Lanka waapa kuendelea kukalia makazi ya rais na waziri mkuu

Waandamanaji wa Sri Lanka Jumapili wamesema wataendelea kukalia makazi rasmi ya rais na waziri mkuu mjini Colombo hadi viongozi hao wawili watakapoondoka mamlakani rasmi . Maelfu ya waand . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 8, 2022

Raia wa Tunisia waandamana kupinga kura ya maoni juu ya katiba mpya yenye utata

Polisi ya Tunisia imewazuia mamia ya waandamanaji kufika katika ofisi za tume ya uchaguzi, wakati waandamanaji wakimiminika barabarani kupinga kura ya maoni juu ya katiba mpya yenye utata ambayo i . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • July 8, 2022

Shinzo Abe afariki dunia baada ya kupigwa risasi

Waziri mkuu wa zamani wa Japan Shinzo Abe amefariki baada ya kupigwa risasi wakati akiwa katika mkutano wa kampeni katika mji wa Nara siku ya Ijumaa.Shirika la habari la Japan NHK limeonesha video . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 8, 2022

Ukraine imepandisha bendera yake kwenye Kisiwa cha Snake ikionyesha ukaidi kwa Russia

Ukraine ilipandisha bendera yake ya bluu na njano kwenye kisiwa cha Snake katika Black Sea hapo Alhamis ikionyesha ukaidi lakini Russia ilijibu haraka kwa shambulizi lililoharibu sehemu ya kituo . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 7, 2022

Vyombo vya habari Iran vyasema Jeshi la Mapinduzi limewakamata wanadiplomasia wa kigeni

Vyombo vya habari nchini Iran vinaripoti kwamba Jeshi la Mapinduzi la Iran limewakamata wanadiplomasia kadhaa wa kigeni akiwemo Muingereza mmoja kwa madai ya upelelezi. Lakini serikali ya Uingerez . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • July 7, 2022

Kundi la Boko Haram Lavamia Gereza na Kuwaachia Huru Wafungwa Zaidi ya 600

KUTOKA nchini Nigeria zinaarifu kwamba wanamgambo wa kundi la Boko Haram juzi walivamia gereza moja nchini humo na kuwafungulia wafungwa zaidi ya 600 ambao walikuwa wamefungwa gerezani. Haijuli . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • July 6, 2022

Maziko ya Vijana 21 waliofariki ndani ya klabu kufanyika leo

Ibada ya pamoja ya maziko ya vijana 21, waliofariki katika mazingira tatanishi kwenye klabu moja nchini Africa kusini, inafanyika leo. . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • July 6, 2022

Mvulana wa Darasa la Nane Amuua Mama Mjamzito na Wanawe Wawili

Huzuni umeghubika kijiji cha Poroko katika kaunti ndogo ya Trans Mara Magharibi baada ya mvulana wa darasa la nane kumuua kinyama mwanamke mjamzito na watoto wake wawili.Mvulana wa Darasa la Nane Amuu . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • July 6, 2022

Walioacha shule wakimbilia masomo ya uzeeni kujinusuru

WAZEE na vijana ambao hawakufanikiwa kumaliza mafunzo shuleni kaunti ya Mombasa, wamelazimika kurejea shuleni kukata kiu ya elimu. Kulingana na Mkurugenzi wa Masomo ya Watu Wazima (CDACE) kaunti ya . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • July 6, 2022

Afisa wa polisi afariki akikabiliana na mhalifu

AFISA wa polisi aliuawa kwa kufyatuliwa risasi na mshukiwa wa ujambazi wakati maafisa wa polisi walikuwa wakiingia katika nakazi ambako mshukiwa alikuwa amejificha. Aidha, afisa mwingine wa polis . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • July 4, 2022

Mshukiwa wa wizi auawa mtaani South B polisi wakifanikiwa kutwaa bastola

MAAFISA wa polisi walitibua mpango wa wizi wa mabavu katika jengo moja mtaani South B katika kaunti ndogo ya Starehe usiku wa kuamkia Jumapili. Mshukiwa mmoja aliuawa kwa kufyatuliwa risasi na po . . .

Mtandaoni
  • Na Asha Business
  • July 4, 2022

Akaunti za Twitter na Youtube za Jeshi la Uingereza Zadukuliwa, Jeshi Kufanya Uchunguzi

AKAUNTI za mitandao ya kijamii ya Twitter pamoja na Youtube za Jeshi la Uingereza zimedukuliwa na watu wasiojulikana huku zikionesha baadhi ya maudhui ya sarafu za mtandaoni (cryptocurrency) pamoj . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • July 4, 2022

Shambulio la risasi kwenye duka kubwa laua watu 3 mjini Copenhagen

Shambulio la risasi katika jengo la maduka mjini Copenhagen Jumapili limesababisha vifo vya watu watatu na kujeruhi wengine watatu, polisi wa Denmark wamesema, wakiongeza kuwa wamemkamata mshuki . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • July 4, 2022

Zelenskiy akiri kuondoka kwa majeshi ya Ukraine Lysychansk

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskiy amekiri kuondoka kwa vikosi vya nchi yake katika mji wa Lysychansk mashariki mwa jimbo la Donbass baada ya kuzidiwa nguvu na majeshi ya Urusi. Zelenskiy lakini . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 3, 2022

Raia wenye hasira waandamana kupinga ugumu wa maisha

Waandamanaji nchini Libya wamelivamia bunge kuonyesha hasira zao juu ya kuzorota kwa hali ya maisha na mkwamo wa kisiasa nchini humo.Waandamanaji walilivamia bunge katika mji wa mashariki wa Tobruk . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • July 3, 2022

Takriban watu 19 wameuwawa katika ajali ya basi nchini Pakistan

Watu takriban 19 wamepoteza maisha na wengine 12 wamejeruhiwa katika ajali ya basi la abiria lililoteleza na kutumbukia kwenye korongo la kina kirefu katika barabara ya milimani kusini magharibi m . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 3, 2022

Mafuriko yasababisha maafa mjini Sydney

Maeneo mengi ya mji wa Sydney yamefunikwa na maji kutokana na mafuriko yaliosababishwa na mvua kubwa ilionyesha katika mji huo mkubwa zaidi nchini Australia. Maji yenye kina cha mita 1.5 yamevizin . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • July 3, 2022

Sita wafa ajali ya gari Dodoma

Watu sita wamefariki dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa kwenye ajali iliyohusisha gari ndogo kugonga na mkokoteni uliokuwa unavutwa na ng’ombe katika Kijiji cha Lugala Wilaya ya Chamwino mkoani . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • July 3, 2022

Wafugaji wanaolisha mifugo mashamba ya wakulima kukamatwa

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki amemuagiza Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Zainab Telack kuhakikisha anawakamata wafugaji wanaopiga wakulima na kulisha mifugo yao katika mashamba yenye mazao.Ndak . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • July 1, 2022

Waandamanaji 7 wauawa katika maandamano ya kupinga utawala wa kijeshi nchini Sudan

Waandamanaji wasiopungua 7 wameuawa Alhamisi nchini Sudan wakati maafisa wa usalama wakijaribu kuzuia mikusanyiko mikubwa ya waandamanaji wanaodai kumalizika kwa utawala wa kijeshi, madaktari wa . . .

Habari
  • Na Asha Business
  • June 29, 2022

Marekani yafungua uchunguzi baada ya wahamiaji 51 kufa kwa joto ndani ya Trela

Idadi ya vifo vya wahamiaji wasio na vibali waliotelekezwa kwenye trela lenye joto kali mjini Texas imepanda hadi 51 jana Jumanne, huku Rais Joe Biden akiwalaumu wale aliowaita wahalifu wenye utaa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 29, 2022

Jeshi la Sudan lafyatua mizinga eneo la mpaka na Ethiopia

Wanajeshi wa Sudan wamefyatua mizinga wakati wa makabiliano katika eneo la mashariki lilalozozaniwa ambalo linapakana na Ethiopia. Hayo ni kwa mujibu wa afisa mmoja wa Ethiopia, ikiwa ni tukio la . . .

Kurasa 39 ya 56

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Habari
news
  • 11 masaa yaliopita

China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

Habari
news
  • 12 masaa yaliopita

Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

Habari
news
  • 12 masaa yaliopita

Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

Habari
news
  • 12 masaa yaliopita

Uhamiaji Simiyu yaendelea na jitihada za kudhibiti Wahamiaji haramu

Habari
news
  • 12 masaa yaliopita

Serikali kufuatilia Makala ya CNN kuhusu maandamano ya uchaguzi oktoba 29

Habari
news
  • 12 masaa yaliopita

Dkt, Samia anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi siku mbili mkoani Arusha

Habari
news
  • 13 masaa yaliopita

Kesi ya 3 yawasilishwa kupinga ujenzi wa Chuo Kikuu cha Nyamira

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

    • 11 masaa yaliopita
  • Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

    • 12 masaa yaliopita
  • Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

    • 12 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode