logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
Afrika
  • Na Asha Business
  • May 5, 2022

Mvua kubwa imesababisha vifo vya watu 22 Afghanistan

Mamlaka yenye kushughulika na majanga nchini Afghanistan imesema mvua kubwa na mafuriko yamesababisha vifo vya watu watu 22, kuharibu mamia ya nyumba na mazao, katika taifa hilo ambalo tayari lime . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 5, 2022

Korea Kaskazini yafyatua kombora la masafa marefu

Korea Kaskazini imefyatua kombora la masafa marefu kuelekea bahari yake ya mashariki, ikiwa ni siku chache tu baada ya kiongozi wake Kim Jong Un kuapa kuimarisha zana zake za nyuklia kwa kasi kubw . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 2, 2022

Mkulima Ukraine Aibiwa Trekta na Majeshi ya Urusi Linaloendeshwa kwa Rimoti

Majeshi ya Urusi katika mji unaoshikiliwa na majeshi hayo wa Melitopol yamegundulika kuiba Trekta la mkulima mmoja nchini Ukraine lenye thamani ya Dola milioni 5 wakiwa na lengo la kulipeleka Chec . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • May 2, 2022

Watu watano wamekufa baada ya ghorofa kuporomoka Nigeria

Watu watano wamekufa usiku wa kuamkia leo baada ya jengo moja la ghorofa tatu kuporomoka kwenye mji wa kibiashara wa Nigeria wa Lagos na kuna wasiwasi watu wengine kadhaa wamekwama chini ya kifusi . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • May 2, 2022

Mwizi wa Viatu Msikitini Apewa Adhabu ya Kula Pilipili Mwaka.

Baadhi ya wakaaji wa Mombasa sasa wameanza kuitumia pilipili kama kifaa cha kuadhibu watu wanaokutwa na makosa kwa mfano wizi. Waliomkamata katika tendo hilo walimlazimisha kukiri kuiba kabla ya kumpa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 2, 2022

Upinzani uliogawika Sri Lanka waungana kumtaka rais aondoke madarakani

Upinzani uliogawika nchini Sri Lanka hapo jana umeonyesha mshikamano wa nadra ulipoungana na kumtaka Rais Gotabaya Sajapaksa kujiuzulu kufuatia mzozo mbaya zaidi wa kiuchumi ulioikumba nchi hiyo. . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 2, 2022

Polisi Uturuki wawashikilia darzeni ya walioandamana Sikukuu ya Mei Mosi 2 Mei, 2022

Polisi wa kutuliza ghasia nchini Uturuki wamewakamata darzeni ya waandamanaji waliokuwa wakijaribu kufika katika Uwanja mkuu wa Taksimu mjini Istanbul katika maandamano ya Mei Mosi dhidi ya hali n . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 1, 2022

Mbunge ajiuzulu baada ya kuangalia video za ngono bungeni

Neil Parish ameiambia Jembe FM kuwa anajiuzulu kama mbunge baada ya kukiri kuwa alitazama ponografia mara mbili Bungeni.Bw. Parish, ambaye amewakilisha majimbo ya Tiverton na Honiton huko Devon tan . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • May 1, 2022

Wanaume Nchini Uingereza Hawafui Mashuka

UTAFITI uliofanywa na Shirika la Utafiti la Bedding Company la nchini uinereza umegundua kuwa zaidi ya nusu ya wanaume nchini humo hawafui na kutandika mashuka yako hadi kufikia kipindi cha miezi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 1, 2022

Mexico yamkamata kiongozi wa kundi lenye nguvu la wauza madawa ya kulevya

Mamlaka ya Mexico imemkamata kiongozi anayeshukiwa kuwa wa kundi lenye nguvu la wauza madawa ya kulevya la Jalisco New Generation. Francisco Javier Rodriguez Hernandez, anayejulikana kama "El Seno . . .

Habari
  • Na Asha Business
  • May 1, 2022

Dar yajipanga kupambana na ‘Panya Road’

Kufuatia matukio ya uporaji yanayofanywa na vijana wanaojulikana kwa jina la Panya Road jijini hapa, baadhi ya wakazi wameweka mikakati ya kupambana nao.Juzi vijana hao walisababisha taharuki b . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 29, 2022

Machafuko yazuka upya Al Aqsa Jerusalem

Machafuko yamezuka upya hii leo kati ya Wapalestina na polisi wa Israel katika eneo la msikiti wa Al-Aqsa mjini Jerusalem na watu 40 wamejeruhiwa 22 kati yao wakihitaji matibabu. Shirika la Hilali . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • April 29, 2022

Kenya yamuaga Mwai Kibaki.

Kenya leo inamuaga rasmi rais wa zamani wa nchi hiyo Mwai Kibaki aliyefariki wiki iliyopita akiwa na umri wa miaka 90. Viongozi mbalimbali kutoka barani Afrika wanatarajiwa kushiriki shughuli hiyo . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • April 29, 2022

Raia mzungu wa Afrika Kusini ampiga risasi mwanamke mweusi akidai alidhani ni kiboko

Raia mzungu wa Afrika Kusini mwenye umri wa miaka 77, ambaye ni mmiliki wa shamba, amefikishwa mahakamani Alhamisi kwa kumpiga risasi na kumjeruhi mwanamke mweusi akidai kuwa alidhani mwanamke h . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 29, 2022

Urusi yaushambulia mji wa Kyiv wakati Katibu Mkuu wa Umioja wa Mataifa akiwa ziarani kwenye mji huo

Urusi imeyashambulia kwa makombora maeneo kadhaa ya maakazi kwenye mji mkuu wa Ukraine, Kyiv wakati Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres akiwa ziarani kwenye mji huo. Guterres na ujumb . . .

Biashara
  • Na JZ The Brand
  • April 28, 2022

S.H Amon alivyopoteza jengo la ghorofa nane Kariakoo

Mbunge wa zamani wa Rungwe, Sauli Henry Amon amepoteza jengo la ghorofa nane lililoko Kariakoo jijini hapa, baada ya Mahakama ya Rufani kueleza kuwa nyumba hiyo ilijengwa kwenye kiwanja kilichouzw . . .

Afrika mashariki
  • Na JZ The Brand
  • April 28, 2022

Imam afungwa miaka mitano kwa kuua nguruwe msikitini Rwanda

Mahakama moja mashariki mwa Rwanda imemhukumu Imam Mwislamu kifungo cha miaka mitano jela kwa kosa la kuua nguruwe msikitini.Sadate Musengimana alikubali kumuua nguruwe huyo 'kwa bahati mbaya' mwez . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • April 28, 2022

Mwizi Avamia Kambi ya Kijeshi Kiambu na Kuiba Bunduki Wanajeshi Wakioga.

Polisi mjini Thika katika kaunti ya Kiambu wameanzisha msako wa kumsaka mwanamume asiyejulikana ambaye alivamia kambi ya Thika Barracks na kuiba bunduki.Kisa hicho kilitokea Jumatatu, Aprili 25, katik . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • April 28, 2022

Sudan yawaachilia huru wanaharakati waliopinga mapinduzi ya kijeshi

Sudan Jumatano imewaachilia huru viongozi kadhaa wa kiraia na mjumbe wa zamani wa Baraza kuu la uongozi, waliokamatwa katika miezi iliyofuata mapinduzi ya kijeshi mwaka jana, wakili wao amesema. . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • April 28, 2022

Polisi, mahabusu wafariki kwa ajali Mwanza

Watu wanne wakiwemo askari polisi wawili na mahabusu wawili wamepoteza maisha kwa ajali ya gari iliyotokea jana Jumatano jioni Aprili 27, 2022 Kijiji cha Ibanda barabara ya Geita-MwanzaKamanda wa . . .

Mtandaoni
  • Na Asha Business
  • April 27, 2022

Marekani yaahidi dola milioni 10 kwa atakaetoa habari kuhusu wadukuzi 6 wa mtandaoni kutoka Russia

Marekani Jumanne imesema itatoa kiasi cha hadi dola milioni 10 kwa atakaetoa habari kuhusu watu 6 wanaotambulishwa kama maafisa wa ujasusi wa jeshi la Russia, ambao waliendesha mashambulizi ya m . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • April 27, 2022

Muandaaji wa mashindano ya urembo nchini Rwanda akamatwa kwa tuhuma za unyanyasaji wa kingono

Muandaaji wa mashindano ya urembo nchini Rwanda na mwanamuziki mashuhuri wa zamani amekamatwa Jumanne kwa tuhuma za unyanyasaji wa kingono, polisi wamesema. Dieudonne Ishimwe kwa jina la . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • April 26, 2022

TRUMP ATOZWA FAINI

Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump, amekutwa na makosa ya kutoheshimu amri ya mahakama, baada ya kushindwa kuwasilisha nyaraka alizotakiwa kuzifikisha katika uchunguzi kuhusiana na biashara . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 26, 2022

Lavrov aonya kuhusu kitisho cha kuzuka vita vya nyuklia

Waziri wa Mambo ya Kigeni wa Urusi Sergei Lavrov amezionya nchi za Magharibi kutopuuza hatari inayoongezeka ya kuzuka mzozo wa nyuklia kuhusu Ukraine. Amesema kimsingi anaiona Jumuiya ya Kujihami . . .

Kurasa 39 ya 49

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Habari
news
  • 6 masaa yaliopita

Rais Samia Aongoza Taifa Kuaga Mwili wa Mzee Cleopa Msuya

Habari
news
  • 7 masaa yaliopita

Charles Hillary, Msemaji Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Afariki Dunia

Top Stories
news
  • 2 siku zilizopita

Kwa mala ya kwanza Papa Leo XIV akiwa PAPA, aongoza misa akisema; "Kanisa linaweza kusaidia Dunia"

Habari
news
  • 2 siku zilizopita

Mhe. Samia Suluhu Hassan, ametuma salamu za pongezi kwa Mhe. Vladimir Putin

Habari
news
  • 2 siku zilizopita

Tanzania Yajibu Azimio la Bunge la Ulaya Kuhusu Kesi za Kisheria, Yasisitiza Uhuru wa Mahakama

Makala
news
  • 3 siku zilizopita

Tumia vyakula hivi unapotatizwa na harufu mbaya kinywani

Michezo
news
  • 3 siku zilizopita

PSG WAMEFUZU FAINALI YA LIGI YA MABINGWA UALAYA

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Rais Samia Aongoza Taifa Kuaga Mwili wa Mzee Cleopa Msuya

    • 6 masaa yaliopita
  • Charles Hillary, Msemaji Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Afariki Dunia

    • 7 masaa yaliopita
  • Kwa mala ya kwanza Papa Leo XIV akiwa PAPA, aongoza misa akisema; "Kanisa linaweza kusaidia Dunia"

    • 2 siku zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode