logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
ukraine
  • Na Asha Business
  • October 17, 2022

Urusi yailenga miji ya Ukraine kwa ''droni za kamikaze''

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amelaani mashambulizi mapya ya Urusi yaliohusisha makombora na ndege zisizo na rubani na kuyataja kama ugaidi dhidi ya raia. Ndege hizo zisizo na rubani zilizotumiwa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 14, 2022

Korea Kaskazini yafyatua kombora lingine

Korea Kaskazini mapema leo imerusha kombora la masafa mafupi kuelekea katika bahari yake ya Mashariki na pia kutuma ndege za kivita karibu na mpaka na Korea Kusini, na kuongeza zaidi uhasama uliochoch . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • October 14, 2022

Aibiwa Figo Yake Akiwa Amelazwa Hospitali

 jambo la kustaajabisha sana kusikia kwamba mtu anaweza akapoteza kiungo cha mwili wake, tena cha ndani katika njia tatanishi. Ndio hali iliyompata mwanaume mmoja kutoka taifa jirani la Ugan . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • October 14, 2022

Mlinzi wa Ida Odinga Apigwa Risasi

Mlinzi wa mkewe Raila Odinga, Ida Odinga, ameuawa kwa kupigwa risasi na majambazi nyumbani kwake Riat Kisumu.Inaarifiwa Barrack Jaraha alipigwa risasi na watu wasiojulikana Ijumaa aubuhi akiwa nyumban . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • October 13, 2022

Korea Kaskazini yafanya majaribio mengine ya makombora ya masafa marefu

Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un, amesimamia mwenyewe majaribio ya makombora ya masafa marefu aliyoyaelezea kuwa ni mafanikio ya kupanuka kwa mpango wake wa nyuklia na kukua kwa uwezo wa jeshi . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • October 13, 2022

India yasimamisha kiwanda cha dawa iliyouwa watoto nchini Gambia

Mamlaka nchini India imesimamisha kazi za kiwanda kilichotengeneza dawa inayochunguzwa, ikishukiwa kusababisha vifo vya watoto 69 nchini Gambia. Shirika la Afya Ulimwenguni WHO lilitoa tahadhari wiki . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • October 11, 2022

Wawili wafariki, wengine wajeruhiwa

Watu wawili wamefariki na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya basi la Kyela Express kugongana uso kwa uso na basi dogo aina ya Toyota Coaster lililokuwa likisafirisha msiba kutoka mkoani Dodoma kwenda . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • October 11, 2022

Mlinzi wa kanisa la Kangemi adaiwa kutoweka na mchango wa milioni 1.5 uliotolewa Jumapili

Maafisa wa upelelezi katika kituo cha polisi cha Kangemi, kaunti ndogo ya Dagoretti, wameanzisha msako wa kumsaka mshukiwa anayedaiwa kuvunja kanisa na kuiba zaidi ya Shilingi milioni 1.5.Katika tukio . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • October 10, 2022

Mashambulizi ya makombora Kyiv yasababisha vifo

Mashambulizi ya makombora katika miji ya Ukraine ukiwemo mji mkuu wa Kyiv, yamesababisha vifo vya watu kadhaa na wengine kujeruhiwa leo Jumatatu, ikiwa ni siku moja baada ya Moscow kuishutumu Kyiv kwa . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • October 10, 2022

Watu 76 wauawa katika ajali ya boti nchini Nigeria

Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari amesema kuwa karibu wasafiri wote waliokuwa katika boti iliyopinduka kwenye mto Niger wamekufa. Wafanyakazi wa huduma za uokozi wa dharura wamekwishathibitisha vifo vy . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • October 9, 2022

Moto Mkubwa Wazuka katika Daraja linalounganisha Crimea na Russia

Moto mkubwa uliosababishwa na bomu la kwenye gari umelivunja daraja kuu linalounganisha Crimea hadi Russia, eneo ambalo Russia ililichukua mwaka 2014, Moscow iliripoti Jumamosi, bila ya mara moja kuli . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • October 6, 2022

Mama amchoma mkono mwanae akimtuhumu kuiba dagaa

Jeshi la Polisi mkoani Mtwara linamshikilia Somoe Mohamed mwenye umri wa miaka 34,   mkazi wa kata ya  Dihimba, halmashauri ya wilaya ya Mtwara, kwa tuhuma za kumchoma  moto mwanae &nbs . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 6, 2022

Korea Kaskazini yafyatua tena makombora mengine

Korea Kusini na Japan zimesema leo kuwa Korea Kaskazini imefyatua makombora mengine mawili, siku mbili tu baada ya jaribio lake la mwisho. Shirika la Habari la Korea Kusini, Yonhap limeripoti kuwa Kor . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • October 6, 2022

Mwanafunzi wa darasa la saba achomwa moto mikono na mama yake

Helena Mashaka (13), mwanafunzi wa darasa la saba shule ya Shahende iliyopo Kata ya Butobela, mkoani Geita, amechomwa mikono yake kwa moto na Mama yake kwa tuhuma za kuiba shilingi 30,000 na kupelekea . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • October 5, 2022

Amuua Mdogo Wake kwa Risasi Wakijaribu hirizi Kama itazuia Risasi

Mvulana miaka 12 kutoka Nigeria ameuawa na kaka yake alipokuwa akijaribu hirizi mpya ya “kuzuia risasi”, polisi wanasema.Wawili hao waliamini kuwa “wamejiimarisha kwa hirizi ya ulinzi”, kwa mu . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • October 5, 2022

Korea Kusini na Marekani zarusha makombora baada ya jaribio la Korea Kaskazini

Korea Kusini na Marekani zimefyatua makombora manne ya ardhini kuelekea katika Bahari ya Mashariki, inayojulikana zaidi kama Bahari ya Japan. Duru za kijeshi za Korea Kusini zimeeleza leo kuwa makombo . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • October 4, 2022

Somalia Yatangaza Kuua Kiongozi wa Al-Shabaab Katika Shambulizi la Ndege

Serikali ya Somalia imetangaa kuua kwa mmoja wa waanzilishi wa kundi la kigaidi la Al-Shabaab, Abdullahi Nadir kwenye shambulizi la ndege lililotokea Jumamosi, Oktoba 1.Shambulizi hilo lilitekelezwa n . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • October 4, 2022

Mwanaume Ambaye Mke Wake Alifariki Kwa Ajali Akiwa anamfuatilia Mumewe na Mchepuko Naye Amefariki

Mwanaume Ambaye Mke Wake Alifariki Wiki Zilizopita akiwa anamfuatilia “Mchepuko“ naye AmefarikiSonnie Bassey amekuwa katika hali ya kukosa fahamu “coma“ kutokana na mshtuko wa kumpoteza mke wa . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • September 30, 2022

Mtangazaji wa TV wa NBC Awa Gumzo

Mtangazaji wa TV Wa NBC ana trend baada ya kutumia Condom kufunika Mic yake akiwa na ripoti kuhusu Kimbunga Ian jimboni Florida. Kyla Galer aliwaambia watazamaji kuwa 'Hii ni condom, hatuwezi kulowesh . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • September 30, 2022

Mlemavu wa macho amuua mama yake

Bibi mwenye umri wa miaka 87 anayefahamika kwa jina la Elina Nzilano mkazi wa mtaa wa Idofi halmashauri ya mji wa Makambako mkoani Njombe ameuawa na mwanae mwenye ulemavu wa macho (Kipofu) anayefahami . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • September 29, 2022

Kimbunga Ian kimeacha nyumba milioni mbili bila umeme na kuharibu miundo mbinu Florida

Kimbunga Ian kiliwasili magharibi mwa Florida Jumatano kama kimbunga cha 4 chenye upepo wa zaidi ya kilomita 240 kwa saa, na kusababisha mafuriko mabaya katika maeneo kadhaa.Kimbunga Ian kilitua karib . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • September 29, 2022

Magaidi wauawa na wanyama wakali.

Majeshi ya Msumbuji yamesema kwamba yamewakamata watu wanne ambao wanatokea vikosi vya kijihad nchini humo ambao wamekua wakiwakamata na kuwaua watu huku  vikosi hivyo vikitangaza kuwaua wengine . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • September 29, 2022

Mjamzito adaiwa kubakwa hadi kufa

Jeshi la Polisi mkoani Iringa linamshikilia mkazi wa Manispaa, Mohamed Njali, kwa tuhuma za kumdhalilisha kijinsia mama mjamzito, Atka Kivenule na kumsababishia kifo chake.Tukio hilo limetokea Jumamos . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • September 29, 2022

Mfanyakazi auawa Kisa kukataa penzi la mtoto wa bosi

Grace Wangoi, 32, kutoka Kapkoi mkabala na Moi's Bridge mjini Kitale, kaunti ya Trans Nzoia, alikuwa msaidizi wa mzee mmoja raia wa Canada kabla ya mwanawe anayeishi Canada kumtembelea nchini Misri.Ak . . .

Kurasa 34 ya 56

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Habari
news
  • 12 masaa yaliopita

China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

Habari
news
  • 12 masaa yaliopita

Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

Habari
news
  • 13 masaa yaliopita

Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

Habari
news
  • 13 masaa yaliopita

Uhamiaji Simiyu yaendelea na jitihada za kudhibiti Wahamiaji haramu

Habari
news
  • 13 masaa yaliopita

Serikali kufuatilia Makala ya CNN kuhusu maandamano ya uchaguzi oktoba 29

Habari
news
  • 13 masaa yaliopita

Dkt, Samia anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi siku mbili mkoani Arusha

Habari
news
  • 14 masaa yaliopita

Kesi ya 3 yawasilishwa kupinga ujenzi wa Chuo Kikuu cha Nyamira

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

    • 12 masaa yaliopita
  • Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

    • 12 masaa yaliopita
  • Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

    • 13 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode