logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 3, 2022

Korea Kaskazini yafyatua makombora, ikiwa ni pamoja na la masafa marefu

Korea Kaskazini imefyatua makombora kadhaa mapema hii leo ikiwa ni pamoja na linalohisiwa kuwa la masafa marefu hatua iliyoibua mashaka kwa wakazi wa maeneo ya kaskazini na katikati mwa Japan waliotoa . . .

Mtandaoni
  • Na Asha Business
  • November 3, 2022

Miss Argentina na Miss Puerto Rico Wafunga Ndoa ya Jinsia Moja

Miss Argentina 2019 na Miss Puerto Rico 2019 wametangaza kwamba wameoana.Mariana Varela and Fabiola Valentín, walianza kutoka kimapenzi tangu 2020 kwenye shindano la Miss Grand International.Wawili h . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 2, 2022

kufunga mara moja vituo vya polisi nchini Uholanzi

Serikali ya Uholanzi imeamuru China kufunga mara moja "vituo vya polisi" nchini Uholanzi, ambavyo ripoti zinasema vilitumiwa kuwanyanyasa wapinzani. Vituo vya polisi huko Amsterdam na Rotterdam . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • November 1, 2022

MTOTO WA DAVIDO AFARIKI DUNIA

Mtoto wa kiume wa Davido mwenye umri wa miaka 3  afariki dunia baada ya kuzama katika swimming pool katika nyumba yao huko Banana IslandKabla, Davido na Chioma walikuwa wamesafiri kwenda mji wa I . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • October 31, 2022

MAMA AUA MTOTO WAKE NA KUMUWEKA KWENYE NDOO ZAIDI YA MIEZI 3

Polisi katika kaunti ya Kajiado nchini Kenya, wamemkamata na kumzuilia mwanamke mwenye umri wa miaka 34, ambaye anatuhumiwa kumuua mwanawe mchanga na kutupa mwili wake nyumbani kwa zaidi ya miezi mita . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • October 30, 2022

Takribani watu 150 wamekufa katika mkanyagano Korea Kusini

Takribani watu 150 wamekufa katika wilaya ya Itaewon mjini Seoul nchini Korea Kusini sehemu ambayo ni maarufu kwa burudani za usiku na kutembelewa zaidi na vijana na wageni huku ikiwa imesheheni migah . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • October 28, 2022

Amuoa Mkewe Kwa Mara ya Pili Bila Kujua

Garry Richmond, mwanaume aliyepoteza fahamu na baadae kuvutiwa na kumuoa aliyekuwa mke wake kwa mara ya pili bila ya kujua.Inaelezwa kuwa Garry Richmond, alipoteza fahamu kwa muda mrefu na baada ya ku . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • October 28, 2022

Mwamba Awapachika Ujauzito Dada zake Watatu, Mama yao azirai Baada ya Kujua

Mkulima mmoja amewashangaza wengi baada ya kubainia kuwa aliwapachika mimba dada wake watatu wa tumbo moja.Ripoti zinasema kuwa ndugu hao wanne walilelewa na wazazi wakali na hawakuwa na uhuru mkubwa . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • October 26, 2022

Mwanamke Afumaniwa Chumbani Akifanya Ngono na Mwanaye

Mwanamke  mwenye umri wa kati kutoka kaunti ya Meru, amenusurika kifo jana Jumanne, Oktoba 25, baada ya wakazi wenye hasira kumvamia nyumbani kwake akidaiwa kufumaniwa akifanya mapenzi na mwanawe . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • October 26, 2022

Jeshi la Marekani lawaua waasi wawili wa Al-Shabaab nchini Somalia

Shambulizi la angani la jeshi la Marekani limewalenga waasi wa al-Shabab waliokuwa wakishambulia vikosi vya Jeshi la Taifa la Somalia, na kuwaua wawili kati yao, kwa mujibu wa Kamandi ya Marekani bara . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • October 25, 2022

BINTI ATUHUMIWA KWA UCHAWI

Flora juma mwenye umri wa mika 18, amabe alikua akifanya kazi za ndani katika familia moja iliyopo mtaa kombo masai, kata ya malolo mkoani tabora, amejikuta matatatni kwa kuuhumiwa na bosi wa kuwa bin . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • October 25, 2022

Shambulizi la 'kigaidi' nchini Burkina Faso laua wanajeshi 10

Jeshi la Burkina Faso, limesema wanajeshi wake 10 wameuawa jana Jumatatu, baada ya kushambuliwa katika eneo la Djibo, kaskazini mwa nchi hiyo.Jeshi limetaja shambulizi hilo dhidi ya kambi ya kikosi ch . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • October 25, 2022

Watu watatu wafariki, saba wajeruhiwa baada ya kupigwa risasi shuleni

Takriban watu watatu, akiwemo mshukiwa wamefariki na wengine saba kujeruhiwa baada ya ufyatuaji risasi katika shule ya sekondari iliyopoSt Louis, Missouri. Mtu mwenye silaha aliingia katika shule ya . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • October 25, 2022

Paka aandika barua kwa mwenye nyumba akidai fidia Sh 150,000 kwa kupigwa

Paka wa ajabu ameibuka na kuzua taharuki miongoni mwa wakazi wa Mji wa Tunduma Mkoani Songwe ambapo wananchi wa eneo hilo wanadai kuwa paka huyo amekuwa akiandika barua na kuziacha mlangoni kwa mama m . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • October 24, 2022

Mwandishi wa habari maarufu wa Pakistani auawa nchini Kenya

Mwandishi habari  maarufu wa Pakistan,Arshad Sharif ameuwawa kwa kupigwa risasi kichwani usiku wa kuamkia leo katika barabara kuu ya Nairobi-Magadi nchini Kenya. Taarifa za awali zinasema Ars . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • October 24, 2022

Polisi nchini Kenya yawasaka Al-shabaab

Polisi nchini Kenya imeimarisha operesheni za usalama katika mji wa Mandera uliopo mkoa wa Kaskazini Mashariki mwa Kenya, na kuwasaka wapiganaji wa al-Shabaab waliovamia misikiti miwili na baadaye . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • October 24, 2022

Abiria Aenda Haja Kubwa Katika Ndege Mbele ya Wenzake

Kizaazaa kilishuhudiwa katika uwanja wa ndege wa Heathrow jijini London nchini Uingereza baada ya mwanamume kuvua nguo zake na kwenda haja kubwa katika ndege ya British Airways.Kwa mujibu wa jarida la . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • October 21, 2022

Watu 50 wauwawa na karibu 300 wajeruhiwa katika ghasia Chad

Takriban watu 50 waliuawa na karibu wengine 300 kujeruhiwa katika ghasia zilizozuka nchini Chad siku ya Alhamisi huku mamia wakiingia mitaani kudai mabadiliko ya haraka kuelekea  utawa . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • October 20, 2022

Jela maisha kwa kumbaka mtoto

Mahakama ya wilaya Nkasi mkoani Rukwa imemhukumu kifungo cha maisha jela mfanyabiashara wa mjini Namanyere, Athanas Exavery (32) baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kumbaka mtoto wa kike wa miaka . . .

Mtandaoni
  • Na Asha Business
  • October 19, 2022

Watumishi KCMC kwa makosa ya kimtandao

Jeshi la Polisi mkoa wa Kilimanjaro, kitengo cha makosa ya kimtandao, linawahoji wafanyakazi kadhaa wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini ya KCMC ya mjini Moshi kwa tuhuma za makosa mbalimbali y . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • October 19, 2022

Watu wenye silaha wavamia hospitali mbili Nigeria

Watu wenye silaha walivamia hospitali mbili katika mashambulizi tofauti kaskazini-magharibi na katikati mwa Nigeria, afisa wa eneo hilo na shirika la misaada walisema Jumanne.Wahalifu wenye silaha nzi . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • October 19, 2022

Zelenskyy" Urusi kutumia ndege zisizo na rubani za Iran kunaonyesha imefilisika kijeshi"

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskiy amesema Urusi kutumia ndege zisizo na rubani za Iran ili kuyashambulia maeneo ya Ukraine, kunaweka wazi kuwa Urusi imefilisika kisiasa na kijeshi licha ya miongo ka . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • October 18, 2022

Makombora ya Russia yaharibu mitambo muhimu ya umeme na maji Ukraine

Makombora ya Russia yameharibu mitambo ya umeme na maji katika sehemu kadhaa nchini Ukraine leo Jumanne, katika hatua inayoonekana kama wanajeshi wa Russia kuharibu mifumo muhimu ya Ukraine kwa makusu . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • October 18, 2022

Aliyemuua Mkatisha Tiketi za Mabasi Ahukumiwa kunyongwa hadi Kufa

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemhukumu kunyongwa hadi kufa mshitakiwa Hemed Ally baada ya kupatikana na hatia ya kumuua, Farhani Maluni ambaye alikuwa mkatisha tiketi za mabasi ya kampuni ya waid . . .

Kurasa 33 ya 56

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Habari
news
  • 12 masaa yaliopita

China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

Habari
news
  • 12 masaa yaliopita

Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

Habari
news
  • 13 masaa yaliopita

Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

Habari
news
  • 13 masaa yaliopita

Uhamiaji Simiyu yaendelea na jitihada za kudhibiti Wahamiaji haramu

Habari
news
  • 13 masaa yaliopita

Serikali kufuatilia Makala ya CNN kuhusu maandamano ya uchaguzi oktoba 29

Habari
news
  • 13 masaa yaliopita

Dkt, Samia anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi siku mbili mkoani Arusha

Habari
news
  • 14 masaa yaliopita

Kesi ya 3 yawasilishwa kupinga ujenzi wa Chuo Kikuu cha Nyamira

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

    • 12 masaa yaliopita
  • Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

    • 12 masaa yaliopita
  • Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

    • 13 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode