logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
Mauaji
  • Na Asha Business
  • November 28, 2022

Mnunuzi wa madini auwa

Jeshi la Polisi mkoa wa Mbeya linamshikilia Ezekia Luhweshe (31) mchimbaji na mnunuzi wa madini, wilayani Chunya, mkoani Mbeya kwa tuhuma za mauaji ya wakala wa maegesho ya magari aitwaye William Mgay . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • November 25, 2022

WATU WAWILI WAPIGWA KIFUNGO CHA MAISHA JELA KWA KULAWITI

WATU wawili waliotambulika kwa jina la Ibrahim Juma na Mohamed Kibavu wamehukumiwa kifungo cha maisha jela kutokana na kosa la kulawiti.Kamanda wa Polisi Mkoani Pwani ,Pius Lutumo alieleza hayo, wakat . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • November 24, 2022

Wanafunzi watatu wafariki dunia bweni likiteketea

Wanafunzi watatu wa Shule ya Msingi Buhangija Manispaa ya Shinyanga wamefariki dunia huku 29 wakinusirika baada ya bweni walilokuwa wamelala kuteketea kwa moto. Kamanda wa Polisi mkoa wa S . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 24, 2022

Panya wamekula kilo 200 za bangi iliyokamatwa

Polisi nchini India wamewalaumu panya kwa kuharibu karibu kilo 200 (lbs 440) za bangi iliyonaswa kutoka kwa wachuuzi na kuhifadhiwa katika vituo vya polisi. “Panya ni wanyama wadogo na hawa . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • November 24, 2022

Wapiganaji 49 wa al Shabaab wauawa

Serikali ya Somalia imesema wapiganaji 49 wa kundi la al Shabaab wameuliwa katika operesheni ya kijeshi kwenye eneo la Lower Shabelle kufuatia kampeni inaoendelea kwa miezi kadhaa kwa lengo la kul . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • November 22, 2022

Afariki Dunia Baada ya Kufungiwa Chumbani Mwaka Mzima

Huko Nigeria Mwanamama Alietambulika Kwa Jina La Sadiya amefariki baada yakufungiwa ndani na mume wake mwaka mzima Huku Akipata chakula Kidogo.Imaelezwa Mama Huyo Wa Watoto Wanne Alikua Anafungiwa . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • November 22, 2022

Watu 130 watekwa Nigeria

Mamlaka katika jimbo la Kaskazini Magharibi mwa Nigeria la Zamfara zinasema watu wasiopungua 130 wametekwa nyara na watu wenye silaha katika mfululizo wa mashambulizi katika maeneo mawili tofauti . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • November 22, 2022

Uganda kutuma wanajeshi DRC

Serikali ya Uganda imesema itatuma wanajeshi wake 1000 katika nchi jirani ya Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo kufikia mwishoni mwa mwezi huu. Wanajeshi hao wanaingia mashariki mwa DRC c . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 22, 2022

Tetemeko la ardhi lasababisha vifo zaidi ya160

Maafisa wa huduma za dharura nchini Indonesia wanaendelea kuitafuta miili zaidi ya watu kutoka kwenye vifusi vya nyumba na majengo yaliyoangushwa na tetemeko la ardhi lililosababisha vifo vya watu . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • November 21, 2022

MWANAUME AOMBA ARUDISHIWE MAHARI YAKE

Baada ya kugundua  kuwa  mke wake siku ya harusi yake, bwana harusi amefutilia mbali mipango ya ndoa.Kijana huyo  aligundua kwamba mrembo wake tayari alikuwa na watoto wawili na mwanamu . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • November 18, 2022

DRC yatumia ndege za kivita na vifaru dhidi ya waasi wa M23

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetuma jana ndege mbili za kivita ili kukabiliana na wanamgambo wa M23 wanaoendelea kusonga mbele katika eneo la mashariki mwa nchi hiyo lenye hali tete, baada ya jum . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • November 17, 2022

Polisi waua majambazi watatu

Watu watatu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi wamefariki dunia kutokana na kupigwa risasi na polisi usiku wa kuamkia jana, baada ya kutokea majibizano ya risasi baina ya kundi la watu watano na askari, k . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • November 17, 2022

Yule Diwani Aliyepotea kwa Miezi na Kupatikana Kwa Ashura Tabata Apotea Tena

Yule Diwani aliyepotea kwa Miezi mitatu na kupatikana kwenye nyumba ya mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina la Ashura Ally Matitu, mkazi wa Tabata darajani, Diwani Rwakatale wa kata ya Kawe amepotea . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • November 16, 2022

POPO WAVAMIA KITUO CHA POLISI

Maafisa katika Kituo cha Polisi cha Maragua, Kaunti ya Murang'a wanaishi kwa hofu baada ya maelefu ya popo kuvamia kituo hicho. Maafisa hao wa usalama wamesimulia masaibu ya kuvamiwa na popo weng . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • November 14, 2022

Maelfu ya watu waandamana Mexico

Maelfu ya watu waliingia katika mtaa muhimu wa jiji kuu la Mexico, kuandamana kupinga mapendekezo ya rais Andres Manuel Lopez Obrador ya mabadiliko ya tume ya uchaguzi. Maandamano hayo ni makub . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 14, 2022

watu sita wauawa

Takriban watu sita wameuawa na wengine 81 kujeruhiwa katika mlipuko katika eneo lenye shughuli nyingi katikati mwa Istanbul, mamlaka ya Uturuki imesema. Mlipuko huo ulitokea mwendo wa saa 16:20 kwa s . . .

Bungeni
  • Na Asha Business
  • November 10, 2022

waasi waanza tena kupigana

Mapigano yameanza upya jana nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, kati ya jeshi la kundi la waasi wa M23, siku moja baada ya watu wengi kukimbia maeneo yanayodhibitiwa na waasi yanayoshambuliwa na n . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 10, 2022

MWANAUME AKAMATWA BAADA YA KUMRUSHIA MFALME WA UINGEREZA CHARLES III MAYAI

Mfalme Charles III na mkewe Malkia Consort Camilla wapondwa  na mayai wakati wakiwa kwenye ziara ya kaskazini mwa Uingereza. Kisa hicho kilitokea wakati umati wa watu ulikusanyika kwenye eneo la . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • November 10, 2022

Ajali ya Magari Manne Yaua na Kujeruhi Mlima Iwambi Mbeya

Watu wawili wamefariki dunia na wengine watatu kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha magari manne likiwemo basi la abiria la Kampuni ya Mangare Express lenye namba za usajili T 601 DCX linalofanya safa . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • November 6, 2022

PRECISION AIR IKIVUTWA KWA KAMBA NA WANANCHI TOKA ZIWA VICTORIA MKOANI KAGERA BAADA YA KUTOKEA AJALI

PRECISION AIR IKIVUTWA KWA KAMBA NA WANANCHI TOKA ZIWA VICTORIA MKOANI KAGERA BAADA YA KUTOKEA AJALI  MAPEMA asubuhi ya leo Jumapili ya tarehe 6 November 2022 mara baada ya ajali wananchi wameon . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • November 6, 2022

Ndege ya Shirika la Precision Air imepata ajali katika Ziwa Victoria, muda mfupi kabla ya kutua mjini Bukoba mkoani Kagera.

 Akizungumza toka eneo la tukio leo Jumapili 6, 2022, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, William Mwampaghale amethibitisha taarifa za ajali hiyo na kusema kuwa yupo kwenye eneo la tukio akiendel . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • November 6, 2022

Ndege ya Precision Air Yaanguka

Ndege ya Shirika la Ndege la Precision, imeanguka ziwani mjini Bukoba, Mkoani Kagera asubuhi ya leo Novemba 6, 2022Taarifa za awali zinaonesha ndege hiyo imeanguka ziwani wakati ikijaribu kutua; uokoa . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • November 4, 2022

Kiongozi wa upinzani afikishwa mahakamani kwa ubakaji Senegal

Kiongozi mkuu wa upinzani nchini Senegal alifikishwa katika mahakama moja ya Dakar kutokana na tuhuma za ubakaji kwa mara ya kwanza siku ya Alhamisi, huku wakili wake akiitaja kesi hiyo kuwa ni njama . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • November 4, 2022

RC Malima atoa siku 7 walioua albino wakamatwe

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Adam Malima ametoa siku saba kwa viongozi  wa kamati ya ulinzi na usalama ya Mkoa huo kufanya opereshi na kuwakamata waliohusika na mauaji ya Joseph Mathias mwenye umri&nbs . . .

Kurasa 32 ya 56

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Habari
news
  • 12 masaa yaliopita

China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

Habari
news
  • 13 masaa yaliopita

Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

Habari
news
  • 13 masaa yaliopita

Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

Habari
news
  • 13 masaa yaliopita

Uhamiaji Simiyu yaendelea na jitihada za kudhibiti Wahamiaji haramu

Habari
news
  • 13 masaa yaliopita

Serikali kufuatilia Makala ya CNN kuhusu maandamano ya uchaguzi oktoba 29

Habari
news
  • 13 masaa yaliopita

Dkt, Samia anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi siku mbili mkoani Arusha

Habari
news
  • 14 masaa yaliopita

Kesi ya 3 yawasilishwa kupinga ujenzi wa Chuo Kikuu cha Nyamira

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

    • 12 masaa yaliopita
  • Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

    • 13 masaa yaliopita
  • Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

    • 13 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode