logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
Kimataifa
  • Na Asha Business
  • December 19, 2022

Wengi wafariki dunia nchini Afghanistan kutokana na ajali ya moto

Karibu watu 19 wamekufa baada ya lori la mafuta kuanguka na kushika moto nchini Afghnaistan huku wengine 30 wakijeruhiwa vibaya, taarifa hii ikiwa ni kulingana na maafisa jana Jumapili. Maafisa hao wa . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • December 16, 2022

Binti amzika mwanae akiwa hai ili ajiuze vizuri

Oliver Meshaki (19), mkazi wa Kata ya Buseresere wilayani Chato mkoani Geita, anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kumzika mtoto wake mwenye umri wa wiki mbili akiwa hai kwa kigezo cha kumnyi . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • December 15, 2022

Balozi wa Tanzania Nchini Austria Afariki Dunia

Balozi wa Tanzania nchini Austria, Celestine Mushy amefariki dunia katika ajali iliyotokea eneo la Mkata wilayani Handeni mkoa wa hapa.Mushy aliteuliwa na Rais Samia Suluhu kuwa Balozi wa Tanzania nch . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • December 14, 2022

Polisi wa Kenya wajipanga kukabiliana na al-shababu

Polisi wako macho baada ya kupokea ripoti za ujasusi zinazobainisha kwamba kundi la kigaidi la al-Shabaab, linapanga misururu ya mashambulizi wakati wa msimu wa sikukuu ya Christmas.Kamanda wa Kaunti . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • December 14, 2022

Idadi ya watu waliokufa kutokana na mafuriko DRC imefikia 140

Watu 140 wamethibitishwa kufariki na wengine kadhaa kujeruhiwa kafuatia mafuriko yaliyotokea sehemu mbalimbali katika mji mkuu wa Kinshasa, huko Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo.Waziri mkuu wa DRC Jea . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • December 14, 2022

Mahakama yatupa pingamizi kesi kina Sabaya

Mahakama Kuu Kanda ya Arusha imetupilia mbali pingamizi lililowekwa na mawakili wa utetezi katika kesi ya rufaa iliyofunguliwa na Mkurugenzi wa Mashtaka Tanzania dhidi ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya H . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • December 13, 2022

Gambo aibua tuhuma za kunusurika kuuawa mara mbili

Mbunge wa Arusha Mjini (CCM), Mrisho Gambo ameibua tuhuma dhidi ya viongozi wa Serikali akiwatuhumu kuuwinda uhai wake ikiwamo kumvamia nyumbani kwake eneo la Muriet kwa silaha mbalimbali.Hata hivyo, . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • December 13, 2022

Mshukiwa katika shambulizi la ndege ya Lockerbie, raia wa Libya afikishwa mahakamani Marekani

Afisa wa ujasusi wa Libya anayeshutumiwa kutengeneza bomu lililotumika kuiangusha ndege ya Pan Am na kuua watu 259, waliokuwa ndani ya ndege na 11 wakiwa chini, huko Lockerbie, Scotland, amefikishwa m . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • December 13, 2022

Iran yamnyonga mtuhumiwa mwengine wa maandamano ya umma

Iran imesema imemnyonga mtuhumiwa mwengine aliyetiwa hatiani kutokana na vurugu kwenye maandamano yanayopinga utawala wa Kiislamu wa nchi hiyo. Vyombo vya habari nchini Iran vinasema Majidreza Rahnava . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • December 9, 2022

Watu 14 Wakamatwa Baada ya Kudanganya Kuna Mama Mjamzito Anataka Kujifungua Kwenye Ndege

Polisi wa Uhispania wamewatia mbaroni abiria 14 akiwemo mama mjamzito baada ya kusababisha ndege ya kibiashara kutua kwa dharura ikiripotiwa mama huyo alikuwa akitaka kujifungua.Ndege hiyo ilikuwa i . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • December 8, 2022

Mtoto Wa Aliyekuwa Rais wa Msumbiji Afungwa Jela Miaka 12 kwa Wizi

Mahakama ya Msumbiji imemhukumu mwana wake aliyekuwa rais wa taifa hilo Armando Guebuza kifungo cha miaka 12 jela kwa kuhusika katika kashfa ya rushwa.Ndambi Guebuza, na wakuu wawili wa zamani wa ujas . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • December 8, 2022

Putin asema kwamba hataongeza wapiganaji zaidi nchini Ukraine

Rais wa Russia Vladimir Putin Jumatano amesema kwamba huenda vita vya Ukraine vikachukua muda mrefu, lakini haoni haja ya kuongeza wanajeshi wengine kwenye uwanja wa vita. Putin wakati akiwa k . . .

Mtandaoni
  • Na Asha Business
  • December 7, 2022

Makamu wa rais wa Argentina apatikana na hatia ya ubadhilifu wa fedha.

Makamu wa rais wa Argentina Christina Fernandez de Kirchner, Jumanne amepatikana na hatia ya ubadhirifu wa dola bilioni moja za kimarekani, alizopokea wakati wa kutoa kandarasi za umma akiwa mamlakani . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • December 5, 2022

MWILI WA ASKOFU KWANGU WAOKOTWA UKIELEA ZIWA VICTORIA

Askofu mstaafu wa Kanisa la Anglikana Tanzania Dayosisi ya Victoria Nyanza (DVN), Boniphace Kwangu (61) amekutwa amefariki dunia katika mazingira ya kutatanisha.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbr . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • December 4, 2022

Wavalishwa nguo za kiume baada ya kukeketwa

Kufuatia serikali na mashirika mbalimbali kuendelea kupiga vita suala la ukeketaji mkoani Mara, jamii ya Wakurya wilayani Tarime imebuni mbinu mpya za ukeketaji kwa kuwavalisha wasichana nguo za kiume . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • December 4, 2022

Bibi auawa kisa fedha na vitenge vyake

Kijana mwenye umri wa miaka 19, mkazi wa Kafukola wilayani Kalambo, anashikiliwa na Jeshi la polisi mkoani Rukwa kwa kosa la kumuua bibi yake mwenye umri wa miaka 80 baada ya bibi huyo kumnyang'anya v . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • December 2, 2022

Mbunge Amtandika Mwenzake Bungeni

Kizaazaa kilizuka katika Bunge la Kitaifa nchini Senegal siku ya Alhamisi, Disemba 1, baada ya mbunge wa kiume kumtandika mwenzake wa kike kichwani.Tukio hilo lilitokea wakati wa uwasilishaji wa bajet . . .

Habari
  • Na Asha Business
  • December 1, 2022

Dereva na Kondakta Wamlawiti mtoto Kwenye School Basi Kinondoni

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Godwin Gondwe amesema tayari Watu wawili akiwemo Dereva na Utingo wa Basi la Shule ya Starlight Pre and Primary wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kumbaka na k . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • November 30, 2022

Kiongozi wa chama cha upinzani akamatwa Uganda kwa kudai maendeleo

Wanasiasa wa upinzani nchini Uganda na makundi ya kutetea haki za kibinadamu wanataka maafisa wa usalama kumuachilia huru mwanasiasa wa upinzani Joseph Kabuleta aliyekamatwa Juamatatu. Polisi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 30, 2022

Watu wasiopungua 488 wameuawa katika maandamano Iran

Shirika linalochunguza haki za binadamu nchini Iran limesema watu 488 wameuawa na maafisa wa usalama katika kukandamiza maandamano yaliyozuka baada ya kifo cha msichana Mahsa amini, aliyekufa mikononi . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • November 29, 2022

NDUGU WAWILI WAHUKUMIWA KWENDA JELA MIAKA 10 KWA KUJARIBU KUMUUA MAMA YAO MDOGO KWA KUMPIGA NA NYUNDO KICHWANI

Mahakama ya hakimu mkazi Njombe imewahukumia kutumikia kifungo cha miaka 10 gerezani Focus lutengano na Aizack Lutengano baada ya kuwakuta na hatia ya kujaribu kumua mama yao mdogo Rehema Ngimbudzi mk . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • November 29, 2022

Jeshi la Somalia lawashinda wanamgambo walioivamia hoteli

Polisi nchini Somalia imesema operesheni dhidi ya wanamgambo wa al-Shabaab waliokuwa wameingia katika hoteli ya mjini Mogadishu imemalizika na magaidi wote sita waliokuwa wakitafutwa wameuawa. Msemaji . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 28, 2022

O Yeong-su ashtakiwa kwa unyanyasaji wa kingono

Muigizaji wa Squid Game, O Yeong-su amefunguliwa mashtaka ya unyanyasaji wa kingono kitendo alichofanya mwaka 2017. Mwendesha mashtaka wa Korea Kusini amesema kuwa, O Yeong-su mwenye umri wa miaka 78 . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • November 28, 2022

Majambazi Wavamia Kanisa Wakati wa Ibada na Kupora Waumini

Waumini wa kanisa la SDA jijini Johannesburg walipoteza vitu vya thamani ikiwemo pesa taslimu wakati wa ibada ya kanisaniRipoti zinaonyesha kuwa wanaume sita waliokuwa wamejihami na bunduki walivamia . . .

Kurasa 31 ya 56

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Habari
news
  • 12 masaa yaliopita

China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

Habari
news
  • 13 masaa yaliopita

Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

Habari
news
  • 13 masaa yaliopita

Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

Habari
news
  • 13 masaa yaliopita

Uhamiaji Simiyu yaendelea na jitihada za kudhibiti Wahamiaji haramu

Habari
news
  • 13 masaa yaliopita

Serikali kufuatilia Makala ya CNN kuhusu maandamano ya uchaguzi oktoba 29

Habari
news
  • 14 masaa yaliopita

Dkt, Samia anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi siku mbili mkoani Arusha

Habari
news
  • 14 masaa yaliopita

Kesi ya 3 yawasilishwa kupinga ujenzi wa Chuo Kikuu cha Nyamira

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

    • 12 masaa yaliopita
  • Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

    • 13 masaa yaliopita
  • Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

    • 13 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode