Mwandishi wa habari maarufu wa Pakistani auawa nchini Kenya

Mwandishi habari  maarufu wa Pakistan,Arshad Sharif ameuwawa kwa kupigwa risasi kichwani usiku wa kuamkia leo katika barabara kuu ya Nairobi-Magadi nchini Kenya. Taarifa za awali zinasema Arshad Sharif aliuawawa baada ya yeye na dereva wake kukaidi amri ya  kusimamisha gari lao kwenye kizuizi kilichokuwa kimewekwa kukagua magari.

Pata Habari Kupitia Mitandao Yetu Ya Kijamii