logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Burudani

  • Pata Habari Zote Za Burudani Hapa
news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • June 6, 2025

Mama Wa Msanii Carina Afariki Dunia

Habari mbaya za kusikitisha zilizotufikia hivi punde zinaeleza kuwa mama wa msanii Hawa Hussen almaarufu Carina, Fatma Maruzuku amefariki dunia.Mama Carina amefariki yapa . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • May 30, 2025

Wanamuziki watano wauawa na wafanyabiasha wa dawa za kulevya

Wanamuziki watano wa bendi ya muziki ya Fugitivo nchini Mexico, waliotoweka tangu Jumapili, Mei 18, kaskazini mwa Mexico, waliuawa na washukiwa wa mauaji kutoka kundi la . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • May 23, 2025

Kusah hana mpango wakumuacha Aunty Ezekiel

Msanii wa kizazi kipya Kusah amefunguka kuwa hana kabisa mipango ya kuachana na mke wake AAunty Ezekiel kwasababu ana kila kitu ambacho yeye anakitaka,mbali na hiyo pia a . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • May 20, 2025

Jux tuhuma za kuiba wimbo wa Meja Kunta

Msanii wa muziki wa singeli Tanzania ametupa lawama za kuibiwa wimbo na msanii D voice ambapo kwa mujibu wake ni kuwa D voice ameuvujisha wimbo huo kwa Jux baada ya Meja . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • May 19, 2025

Chino Kidd kuwa mkubwa chini ya Marioo

Msanii Chino Kidd amefunguka kuwa bado yupo chini ya mwamvuli wa Bad Nation yake msanii Marioo na kusema kuwa kuwa chini yake haimaanishi kunamfanya kuwa msanii mdogo au . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • May 13, 2025

Diddy Akabiliwa Na Mashtaka Mazito Ya Unyanyasaji Wa Kijinsia Na Usafirishaji Wa Watu

Mwanamuziki maarufu nchini Marekani Sean “Diddy” CombsMwanamuziki maarufu nchini Marekani Sean “Diddy” Combs, mwenye umri wa miaka 55, anakabiliwa na mashtaka maz . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • May 12, 2025

Foby "Kwenye Lebo unaingia msafi ukitoka mchafu"

Mwanamuziki Foby Official juu ya wasanii kusainiwa na kusimamiwa kazi zao kwenye Records Label.Label nyingi za Bongo unaingia ukiwa Msafi unatoka Mchafu. Mifano ipo ndio . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • April 22, 2025

Huu hapa ubabe wa Wizkid mbele ya Davido

Licha ya 5ive ya Davido kupokelewa kwa kishindo na mashabiki duniani kote, bado hajafanikiwa kufuta rekodi iliyowekwa na Wizkid kupitia albamu yake ya Morayo kwenye Spoti . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • April 11, 2025

HII HAPA ASANTE KUTOKA KWA CHETTA FLYEE

Msanii wa kizazi kipya Steven Gaudence Kinyoto maarufu kama Chetta Flyee ameachia wimbo mpya unaokwenda kwa jina la "Asante" ukiwa kama wimbo rasmi wa kwanza kwa mwaka hu . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • March 28, 2025

Jessenation Adondosha ngoma mpya Goodbumps

Jessenation, anayejulikana pia kama Jesse Emeghara, ameendelea kuthibitisha ubora wake katika muziki na wimbo wake mpya *Goodbumps*, ambao unatikisa Kenya na Afrika Masha . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • March 2, 2025

JAMIN BEATS KUTOKA NCHINI GHANA AMEKUJA KIVINGINE

Msanii wa Ghana, **Jamin Beats**, ameachia wimbo wake mpya *Nothing Too Hard*, ambao unapatikana kwenye majukwaa mbalimbali ya muziki kama [Audiomack](https://audiomack.c . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • February 28, 2025

Vita ya Martha Mwaipaja na Biatrice Mwaipaja

Mvutano kati ya MarthaMwaipaja na mdogo wake BeatriceMwaipaja umechukua sura mpya baada ya sauti zao wakishambuliana kwa maneno makali kusambaa mitand . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • February 25, 2025

NASBOI AUNGANA NA D’BANJ KWENYE COMPOSE

Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria ambaye amefanikiwa kuwa kwenye muziki na kiwanda cha Sanaa kwa miaka kadhaa Nasboi ambaye amefanikiwa kufanya kazi nyingi na wasanii mba . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • February 23, 2025

Rais Dkt. Samia Ashiriki Hafla Ya Utoaji Tuzo Za Wasanii Wa Komedi, Washindi

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan Jumamosi Februari 22, 2025 amesema Serikali itaendelea kuwashika mkono wasanii wa ucheshi ili wafike ngazi z . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • February 19, 2025

Mume Wa Rihanna Ashinda Kesi Mahakamani

Jopo la majaji jijini Los Angeles, Jumanne, Februari 18, limemuachia huru rapa maarufu kwa jina la A$AP Rocky baada ya kumkuta hana hatia katika mashitaka mawili ya uhali . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • February 17, 2025

Shakira Ashindwa Kufanya Shoo, Akimbizwa Hospitali

Staa wa Pop duniani, Shakira, amelazimika kukatisha shoo yake nchini Peru na kukimbizwa hospitali baada ya kupatwa na maradhi ya tumbo.Kupitia akaunti zake za mitandao ya . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • January 31, 2025

ACHENI WASANII WAISHI MAISHA YAO - OMAR HARDWICK

Nyota wa filamu ambae amejipatia umaarufu zaidi kupitia Tamthilia ya Power , Omari Hardwick ameungana na baadhi ya watu kuwatetea wasanii ambao walipata nafasi ya kutumbu . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • January 31, 2025

LIL YACHTY - NAMUOGOPA NICK MINAJ, HIP-HOP HAIJAFA.

Rapa Lil Yachty amekiri kwamba mpaka sasa bado anajutia maamuzi yake kwa kuchagua upande kwenye vita kati ya Card B na Nick Minaj mwaka 2018 .Kupitia mahojiano ambayo ame . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • January 22, 2025

XZIBIT ATOA SABABU ZA DRAKE KUSHINDWA NA KENDRICK LAMAR

Rapa kutoka Marekani Alvin Nathaniel Joiner maarufu kama Xzibit ama Exhibit A . X to the Z. Wow Alvin.... Amesema kwamba ni kweli Drake alishindwa kwenye vita yake na Ken . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • January 22, 2025

KEVIN POWELL AMSHUTUMU SNOOP DOGG KUWA MSALITI

Kufuatia kuapishwa rasmi kwa Donald Trump kuwa raisi wa Marekani kwa mara nyingine tena baada ya ushindi wake katika uchaguzi uliopita dhidi ya mpinzani wake Kamala Harri . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • January 21, 2025

CARDI B AFUNGUKA KUHUSIANA NA MUZIKI

Hivi karibuni rapa Cardi B amefunguka kuhusu ushawishi wake kwenye Muziki tangu mwaka 2015 alipoanza kufanya Muziki .Cardi B amesema hayo wakati akijibia kuhusu watu wana . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • January 16, 2025

HIKI HAPA KICHUPA KIPYA KUTOKA KWA RHYME ASSASSIN - RUN EM UP ( TOLD YA )

Rapa na Emcee kutoka Uingereza mwenye asili ya Zimbabwe Rhyme Assassin ameachia rasmi video ya wimbo mpya unaokwenda kwa jina la Run Em Up ( Told Ya ) Wimbo huu unat . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • December 3, 2024

Takriban Mashabiki 56 Wamepoteza Maisha Uwanjani Nchini Guinea

Takriban watu 56 wamepoteza maisha katika msongamano uliotokea kwenye mechi ya soka katika Uwanja wa Stade du 3 Avril, Nzérékoré, nchini Guinea.Tukio hilo lilianza baa . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • November 26, 2024

MAAJABU ALICHOKIFANYA KHALIGRAPH JONES

Msanii wa Kufoka Khaligraph Jones Aonesha Maajabu Yake Kwenye Tasinia na Muziki Kwenye Nyimbo Yake Mpya  . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • November 20, 2024

USIYOYAFAHAMU KUHUSU MORIOX KIDS

USIYOYAFAHAMU KUHUSU MORIOX KIDS WATOTO WENYE VIPAJI KUTOKA RWANDA/ WAFUNGUKA HAYA . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • November 20, 2024

mama wa beyonce amkingia kifua mwanaye sakata la pesa za kampeni

Tina Knowles(70), mama mzazi wa Msanii Beyonce Knowles ameibuka na kumkingia kifua mwanaye, baada ya tuhuma za kuwa msanii huyo alilipwa pesa ili kumuunga mkono Makamu wa . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • November 17, 2024

FIVARA AWACHANA WASANII

FIVARA AWACHANA WASANII / MSIJIFUNGIE NDANI KAMA MISWAKI . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • November 15, 2024

Mzee wa Kitambaa Cheupe King Kikii Afariki Dunia

Mwanamuziki Mkongwe Kikumbi Mwanza Mpango King Kikii amefariki dunia.Mwanamuziki huyo ambaye ameugua kwa muda mrefu, amefariki usiku wa kuamkia leo katika Hospital ya Tai . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • November 8, 2024

RUFAA YA KESI YA NIPSEY HUSSLE KUSIKILIZWA TENA

Ripoti ya Chombo Cha Habari.... ALL HIP-HOP kutoka Nchini Marekani imeibua document za mahakama zinazohusisha maombi ya  kukataa rufaa kwenye hukumu ya kesi ya mauaj . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • November 8, 2024

MASTAA MBALIMBALI WA WAMPONGEZA DONALD TRUMP

Mastaa mbalimbali wa Muziki duniani wamejitokeza kumpongeza Donald Trump ambae ameibuka mshindi dhidi ya aliyekuwa mpinzani wake Kamala  Harris kwenye kinyang'anyiro . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • November 8, 2024

MTOTO WA PIDDY AAHIDI KUWAFURAHISHA MASHABIKI WA BABA YAKE

King Combs amehaidi kuwafurahisha mashabiki wa baba yake P Diddy baada ya kuanza rasmi kuendesha mitandao yake ya kijamiiFamilia ya P Diddy imekua kwenye midomo ya watu w . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • November 8, 2024

MSANII YOUNG THUG AWAASA WANAFUNZI KUWEKA JUHUDI KWENYE MASOMO

Rapa Young Thug amezungumza na wanafunzi wa chuo cha sheria Nchini Marekani na kuwahasa wanafunzi hao kuweka juhudi kwenye masomo yao ili kuja kusaidia watu mbalimbali we . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • November 3, 2024

Cardi B " Hakuna MTU Ninaemchukia kama Offset"

Cardi B na Offset wamekuwa wakitengana na kurudiana mara kadhaa, lakini inaonekana uhusiano wao umeshindikana kabisa baada ya rapa huyo wa "Bodak Yellow" kumkandia tena B . . .

Kurasa 3 ya 14

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

    • 8 masaa yaliopita
  • Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

    • 8 masaa yaliopita
  • Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

    • 8 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode