logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
SOKA
  • Na Asha Business
  • August 12, 2022

Yanga Wathibitisha Kuachana na Hassani Bumbuli, Aliyekuwa Afisa wa Habari na Mawasiliano

YANGA wamethibitisha rasmi leo Agosti 12, 2022 kuachana na aliyekuwa Afisa wa habari na mawasiliano wake, Hassani Bumbuli. . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • August 12, 2022

Guterres azitaka Russia na Ukraine kusitisha harakati za kijeshi karibu na kiwanda cha nyuklia cha Ukraine

Katibu mkuu wa Umoja wa mataifa Antonio Guterres Alhamisi ametoa wito wa kusitisha harakati za kijeshi karibu na jengo la kiwanda cha nyukli . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • August 12, 2022

Polisi wa Afrika Kusini wawakamata watu 20 wanaoshukiwa kuchochea ghasia mbaya mwaka jana

Polisi wa Afrika Kusini Alhamisi wamesema wamewakamata watu 20 wanaoshukiwa kuwa miongoni mwa watu waliochochea vurugu ambazo zilisababisha . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • August 12, 2022

Ugonjwa wa ajabu waitesa familia Babati

 Utadhani unatazama filamu ya kutisha; hivyo ndivyo unavyoweza kusema unapofika Kijiji cha Imbilili Juu, Halmashauri ya Mji wa Babati M . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • August 12, 2022

Sabaya na wenzake wafikishwa tena mahakamani

Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya na wenzake wanne wamefikishwa tena katika mahakama ya hakimu mkazi Mos . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • August 12, 2022

Pacha wa pili aliyetenganishwa Muhimbili naye afariki

Pacha aliyesalia ‘Rehema’ kati ya mapacha wawili waliotenganishwa Julai Mosi mwaka huu, amefariki dunia jana saa 5 asubuhi Agosti 11, wa . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • August 11, 2022

Mali yatangaza siku tatu za maombolezo ya kitaifa kufuatia mauaji ya askari

Mamlaka nchini Mali zimetangaza siku tatu za maombolezo ya kitaifa kuanza leo, baada ya mashambulizi mawili yaliyofanywa na makundi ya Kiisl . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • August 11, 2022

Klabu ya Simba imeomba Radhi kwa Waumini wa Dini ya Kikristo Sakata la Msalaba

Klabu ya Simba imeomba radhi kwa Waumini wa Dini ya Kikristo, Viongozi wa Madhehebu yote ya Kikristo, Serikali, Shirikisho la Mpira wa Miguu . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • August 11, 2022

Mwanamke ajinyonga na kipande cha kitenge

Elizabeth Cheleo mwenye umri wa miaka 37 mkazi wa mtaa wa Nsemulwa, Kata ya Nsemulwa wilaya ya Mpanda mkoani Katavi, amepoteza maisha kwa ku . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • August 11, 2022

Muqtada al-Sadr atoa wito kwa mahakama kuvunja Bunge

Muqtada al-Sadr anaendelea na mapambano yake na wapinzani wake wa kisiasa nchini Iraq. Mhubiri huyo wa Kishia anatoa wito wa kuvunjwa kwa Bu . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • August 11, 2022

IEBC yawataka Wakenya kuwa watulivu wakati kura zikiendelea kuhesabiwa.

Wakenya kwa siku ya pili leo, bado wanasubiri matokeo ya uchaguzi wa urais, baada ya kupiga kura siku ya Jumanne. Maafisa wa tume huru . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • August 11, 2022

Trump akataa kujibu maswali ya mwendesha mashtaka katika uchunguzi kuhusu biashara yake

Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump Jumatano amekataa kujibu masuali katika uchunguzi kuhusu utaratibu wa biashara ya familia yake, akit . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 11, 2022

Polisi wawili wauawa Sierra Leonne katika maandamano ya kupinga hali ngumu ya uchumi

Maafisa wawili wa polisi wameuawa Jumatano nchini Sierra Leonne baada ya maandamano dhidi ya hali ngumu ya uchumi kugeuka kuwa mapambano kat . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 5, 2022

Wachimba migodi haramu washambuliwa Afrika Kusini

Maelfu ya waandamanaji wenye hasira nchini Afrika Kusini waliwasaka wachimba migodi wasiokuwa na vibali baada ya ubakaji wa wanawake wanane . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 5, 2022

Rais Samia akataa ombi la kuipandisha hadhi Mbalizi

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema Serikali yake haina mpango wa kukata maeneo kwa kuyapandisha hadhi, badala yake wanajielekeza . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 5, 2022

Amnesty International yasema Ukraine yahatarisha maisha ya raia

Shirika la Kimataifa la kutetea haki za binadamu lililo na makao yake mjini London Amnesty International, limesema kuwa vikosi vya Ukraine v . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • August 5, 2022

Pelosi kuzuru Japan baada ya Taiwan

Spika wa baraza la wawakilishi la Marekani Nancy Pelosi amesema leo mjini Tokyo kuwa Marekani "haitairuhusu" China kuitenga Taiwan, baada ya . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 5, 2022

TCRA yawapiga msasa waandishi wa TV za Mtandao, kupewa pesa ili kuziimarisha

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA imesema inaangalia mpango wa kuzipa kipaumbele na kuziwezesha kiuchumi runinga za mtandaoni kupitia mfu . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 5, 2022

WATOTO WAKAMATWA WAKIFUNGA NDOA

 Mzazi aliyepokea mahari ya kumuoza binti wa miaka 15 ambaye ni mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika Sekondari ya Makang’wa, ametem . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • August 5, 2022

mchezaji wa mpira wa kikapu Brittney Griner ahukumiwa miaka 9 jela

Hukumu ya mchezaji wa mpira wa kikapu wa Marekani Brittney Griner kwenda jela miaka 9 nchini Urusi kwa ulanguzi wa madawa ya kulevya, katika . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • August 5, 2022

Mjumbe wa Marekani kwenye UN afanya ziara ya Afrika

Mjumbe wa Markani kwenye Umoja wa Mataifa Alhamisi ameanza ziara yake barani Afrika, akisema kwamba madhumuni yake ni kutadhmini namna Marek . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 5, 2022

Serikali ya mpito ya Sudan Kusini kubaki madarakani kwa miaka miwili zaidi

Viongozi wa  Sudan Kusini Alhamisi wamesema kwamba serikali itabaki madarakani kwa miaka miwili zaidi, ili kukamilisha mageuzi ya . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • August 5, 2022

Manula apewa siku saba kwa Yanga

Kocha msaidizi na mtaalamu wa viungo Simba, Karim Sbai amesema kwa muda wa wiki mbili aliokuwa kwenye kikosi hicho amefanikiwa katika maeneo . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • August 5, 2022

Morrison apewa wiki mbili Yanga

Morrison ameanza kazi rasmi Yanga na leo akiingia siku ya nne mazoezini, lakini kocha mmoja fundi wa mazoezi ameshtukia kitu kwa winga huyo . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • August 5, 2022

Raila Ashinda Kesi Kuhusu Utumizi Wa Daftari

KINARA wa Azimio Raila Odinga alipata ushindi mkubwa baada ya Mahakama Kuu kuamuru Alhamisi  daftari la sajili ya wapiga kura litumike . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 4, 2022

Jeshi la Polisi limemkamata mtu mmoja tuhuma mauaji ya Mwanafunzi wa Chuo UDSM

. . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • August 4, 2022

Nandy "Billnass Punguza Mapenzi Utaniua! Ndoa Mpya Ndiyo Tamu Hivi"

Msanii wa Bongo Fleva, Faustina Charles Mfinanga ‘nandy’ ameamua kufunguka ya moyoni kuhusu mahaba anayopewa na mumewe ambaye pia ni . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 4, 2022

Biden asaini amri ya kulinda haki ya kutowa mimba

Rais Joe Biden wa Marekani amesaini amri inayolenga kulinda haki ya kutowa mimba. Uamuzi huo ni kujibu uamuzi wa hivi karibuni wa Mahakama . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 4, 2022

Ndege ya kijeshi ya China yaingia anga la Taiwan

Taiwan imesema imetuma ndege mbili kuziteka ndege za kivita za China karibu na kisiwa hicho chenye utawala wake wenyewe. Taipei imesema nd . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • August 4, 2022

Uchaguzi wa Kenya watumbua upya makovu ya ufisadi

Waziri wa mambo ya ndani nchini humo Fred Matiangi ameeleza kwamba wagombea viti vya ubunge wanawahonga wapiga kura walioko vijijini kwa . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • August 4, 2022

Vyombo vya habari vilivyopeperusha ripoti ya BBC kuhusu ujambazi vyalazimishwa kulipa faini

Tume inayofuatilia utangazaji nchini Nigeria imetoa adhabu ya faini ya naira milioni 5, sawa na dola 12,013 kwa kituo cha televisheni . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • August 4, 2022

China yapiga marufuku uagizaji bidhaa kutoka Taiwan

China Jumatano imepiga marufuku uagizaji wa matunda na samaki kutoka Taiwan wakati pia ikisitisha upelekaji wa mchanga wa ujenzi kisiwan . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • August 4, 2022

Simba sasa imeiva

Zikiwa zimebaki siku 10 kabla ya Simba na Yanga kukutana kwenye mchezo wa ufunguzi wa ligi wa Ngao ya Jamii, Agosti 13 kwenye Uwanja wa . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • August 4, 2022

Waarabu wamuwekea Sakho milioni 800

Klabu ya wananchi ya Raja Athletic ya Morocco iko katika hesabu kali ikipigania saini ya winga wa Simba, Pape Sakho na fedha ambayo wameit . . .

Mtandaoni
  • Na Asha Business
  • August 3, 2022

Rommy Jones Aomba Radhi kwa Watanzania

Rommy Jones almaarufu RJ the DJ kwa mara ya kwanza amefunguka kuhusu sakata la picha za utupu wake kuvujishwa mitandaoni na mwanaharakati mm . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • August 3, 2022

Lavrov awasili Myanmar kwa mazungumzo na jeshi

Waziri wa mambo ya nje wa Urusi Sergei Lavrov amewasili nchini Myanmar kufanya mazungumzo na viongozi wa kijeshi wa nchi hiyo ya Asia Kusini . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • August 3, 2022

Yemen zaongoza muda wa kusitisha mapigano kwa miezi mingine miwili

Umoja wa Mataifa umesema pande hasimu kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Yemen zimekubaliana kuongeza muda wa mkataba wao wa amani k . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 3, 2022

Marekani yaongeza vikwazo kwa watu mashuhuri wa Russia

Marekani Jumanne imeongeza vikwazo vipya, vikilenga watu mashuhuri wa Russia akiemo mwanamke aliyewahi kushiriki kwenye michezo ya Olimpiki . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • August 3, 2022

WANAFUNZI WAKAMATWA KWA KUMCHAFUA RUTO KWA UJUMBE.

Wanafunzi tisa wa Chuo Kikuu cha Moi nchini Kenya wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma zinazosemekana za kusambaza jumbe za kumchafua mgombea . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 3, 2022

Ofisi ya mwendesha mashitaka yamchunguza aliyekuwa rais Enrique Peña Nieto

Ofisi ya mwanasheria mkuu wa Mexico imesema Jumanne kuwa inamchunguza Enrique Peña Nieto, ambaye alitawala nchi hiyo kati ya mwaka 2012 na . . .

Kurasa 99 ya 159

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category