Kocha wa Ureno Luis Castro anaondoka katika klabu ya Botafogo ya Brazil na kuwa meneja wa timu ya Saudi Pro League ya Al Nassr.Al Nassr alikuwa akitafuta meneja mpya tang . . .
Imeelezwa kuwa Klabu ya Chelsea inajipanga kuanza upya mazungumzo na Uongozi wa Brighton kwa ajili ya kumsajili kiungo, Moises Caicedo.The Blues ipo kwenye mchakato wa ku . . .
UDAKU SPECIALHomeTrending GossipKiungo Nelson Okwa Aendelea Kuivua Nguo Simba "Hawajanilipa Pesa za Kuvunja Mkataba"Kiungo Nelson Okwa Aendelea Kuivua Nguo Simba "Hawajan . . .
Baada ya kuupa heshima Mkoa wa Kigoma kwa kuipandisha Ligi Kuu Tanzana Bara Mashujaa FC kwa ushindi wa jumla wa 4-1 dhidi ya Mbeya City, Kocha Abdul Mingange ametamba kua . . .
Kiungo mkongwe wa Real Madrid Luka Modric atasalia katika klabu hiyo kwa msimu mwingine baada ya kuongeza mkataba wake hadi Juni 2024, timu hiyo ya Uhispania ilisema Juma . . .
Kocha kutoka nchini Burundi Cedrick Kaze anapewa nafasi kubwa ya kurithi mikoba ya Fredy Felix Minziro aliiyetupiwa virago Geita Gold FC, baada ya mkataba wake kufikia ki . . .
Kiungo wa kimataifa anayekipiga klabu ya Yanga, Khalid Aucho ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa mwaka nchini Uganda inayotolewa na mtandao wa Pulse Sports wa nchini humo. . . .
Chelsea ilikamilisha usajili wake wa kumnunua fowadi wa Ufaransa Christopher Nkunku kutoka RB Leipzig kwa mkataba wa thamani ya pauni milioni 63 siku ya Jumanne.Nkunku al . . .
Real Madrid ilithibitisha kuwasili kwa mshambuliaji wa Uhispania Joselu kwa mkopo kutoka Espanyol iliyoshuka daraja kwa msimu ujao Jumatatu."Real Madrid na Espanyol wamek . . .
ErlingHaaland amekutwa na tukio hilo baada ya Timu yake ya Taifa ya Norway kupoteza mchezo kwa magoli 2-1 dhidi ya Scotland, ambapo aliingia kwenye basi la timu moja . . .
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amefichua kuwa atajaribu kumshawishi nahodha wa timu ya taifa Kylian Mbappe asiondoke katika miamba hao wa soka ya Ufaransa.Macron alizun . . .
Manchester United wameshuhudia ofa yao ya awali ya pauni milioni 40 kwa kiungo wa kati Mason Mount kukataliwa na Chelsea. Inaripotiwa kuwa The Blues wanashikilia dau . . .
Mitandao inaripoti kwamba Cristiano Ronaldo amesaini makubaliano ya kabla ya ndoa (pre-nup agreement) ambapo imeelezwa kwamba, kama ikitokea wakaachana, nyota huyo wa Ure . . .
Klabu ya Singida Big Stars FC rasmi imeuzwa kwa Japhet Mboto Makau Mkurugenzi wa Fountain Gate Sports Academy, ambaye kuanzia sasa atakuwa mmiliki mpya wa timu hiyo iliyo . . .
Nahodha wa Ufaransa Kylian Mbappe ameambia Paris Saint-Germain kuwa hataongeza mkataba wake hadi mwaka 2025 na kuzua tumbo joto katika mabingwa hao wa Ligue 1.Mkataba wa . . .
Baada ya kumalizana na Kiungo kutoka visiwani Zanzibar Feisal Salum Abdallah ‘Fei Toto’ akitokea Young Africans, Uongozi wa Azam FC unatajwa kuhamishia nguvu Simba SC . . .
Katika kuhakikisha Azam FC na Singida Big Stars zinakidhi kanuni za kushiriki Michuano ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika msimu ujao 2023/24, Uongozi wa klabu hizo umea . . .
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), imefungua rasmi dirisha la kupokea maoni ya maboresho ya kanuni za Ligi Kuu Bara, Ligi ya Championship na First League kwa ajili ya maan . . .
Mshambuliaji kutoka nchini Norway na Klabu ya Manchester City Erling Haaland anaongoza katika orodha ya wachezaji wenye thamani kubwa duniani wakati wachezaji wawili wa E . . .
Wakati Club ya Yanga SC ikitangaza kupokea ofa ya Azam FC na kuthibitisha kumuuza Mchezaji huyo baada ya makubaliano ya pande zote mbili, Feisal tayari amesaini mkataba n . . .
Klabu ya Yanga SC imemuuza Mchezaji Feisal Salum (Fei Toto) kwa Klabu ya Azam FC kwa dau ambalo imesema halitawekwa wazi kutokana na makubaliano ya pande zote mbili.Siku . . .
Kocha Christophe Galtier amefukuzwa Paris Saint-Germain baada ya kushinda taji la Ligi Kuu Ufaransa, Ligue 1, vyanzo vimeiambia ESPN.Galtier aliiongoza PSG kutwaa taji la . . .
Ni suala la muda tu kwa mshambuliaji wa Marumo Gallants ya nchini Afrika Kusini, Ranga Chivaviro kutua Young Africans ni baada ya kusaini mkataba wa awali wa miaka miwili . . .
Baada ya kutunukiwa Tuzo ya Kitaifa ya Mwanachama wa Agizo la Jamhuri ya Shirikisho na Rais wa zamani, Meja Jenerali Muhammadu Buhari (mstaafu.), mshambuliaji wa Sup . . .
Baada ya kikao kizito hatimaye Mshambuliaji wa Yanga Sc, Fiston Mayele ameamua kuondoka klabuni humo mwishoni mwa msimu huu baada ya kudumu kwa muda wa miaka miwiliMayele . . .
Klabu ya Arsenal imefikia makubaliano binafsi na kiungo wa Brighton, Moises Caicedo lakini itapata upinzani kutoka kwa Chelsea.Taarifa zinaeleza kuwa Caicedo anatamani ku . . .
Meneja wa Real Madrid, Carlo Ancelotti amewaambia mabosi wa timu hiyo kuhakikisha wananasa saini ya Mshambuliaji kutoka England na Tottenham Hotspur Harry Kane kwenye dir . . .
Straika huyo raia wa Sweden ambaye ni Zlatan Ibrahimovic ametangaza kustaafu akiwa na umri wa Miaka 41 baada ya kucheza Soka kwa Miaka 24Amestaafu akiwa anaichezea ACMila . . .
Mshambuliaji na mfumaniaji nyavu wa Young Africans SC Fiston Kalala Mayele amezawadiwa tuzo ya mfungaji Bora wa michuano ya Shirikisho Barani Afrika katika msimu wa 2022/ . . .
MAGWIJI wa Simba SC wamesema kama Feisal Salum ‘Fei Toto’ atamaliza kesi yake na Young Africans ni mtu sahihi pale Msimbazi msimu ujao; kwani ana nafasi ya kumtoa mtu . . .
UEFA ilisema Ijumaa kwamba mwamuzi wa Poland Szymon Marciniak ataruhusiwa kuchezesha fainali ya Ligi ya Mabingwa kwa wanaume kati ya Manchester City na Inter Milan licha . . .
Mashabiki wa soka wa Uchina watahitaji kutoa hadi $680 ili kumuona Lionel Messi akiongoza Argentina dhidi ya Australia katika mechi ya kirafiki ya Beijing, waandaaji wali . . .
FIFA mnamo Ijumaa ilitangaza kutolewa kwa takriban tikiti 250,000 zaidi za Kombe la Dunia la Wanawake, huku kukiwa na wasiwasi juu ya mauzo ya mechi nchini New Zealand.Ku . . .