logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Michezo

  • Pata Habari za Michezo Kwa Undani
news
SOKA
  • Na Asha Business
  • December 25, 2023

Azizi Ki Afunguka Ufungaji Bora Wa Ligi Kuu Bara

KIUNGO Mshambulijai wa Yanga, Stephane Azizi Ki amesema kuwa licha ya kuwa kinara katika mbio za ufungaji bora wa Ligi Kuu Bara lakini hafikirii kabisa kuwa mfu . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • December 22, 2023

Tshabalala Amvulia Kofia Kibabage

Mohamed Hussein 'Tshabalala' amempongeza mchezaji mwenzake wa timu ya Yanga ambao ni watani zao wa jadi, Nickson Kibabage kwa kuonyesha kiwango bora katika mchezo wa jana . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • December 21, 2023

Julio akubali uwezo wa Benchikha

Aliyewahi kuwa Mchezaji na Kocha wa Simba SC, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ amemwagia sifa Kocha Mkuu wa timu hiyo, Abdelhak Benchikha, kufuatia ushindi wa mabao 2-0 waliou . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • December 20, 2023

Kisa Medeama, Gamondi Atoa Maagizo Mazito Yanga

WAKIWA kwenye maandalizi ya mwisho kuwakabili wapinzani wao Medeama FC ya Ghana, Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi ametoa maagizo mazito kwa wachezaji wake wote ku . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • December 13, 2023

Uongozi Simba Wafurahishwa na Mabadiliko Haya Yaliyofanywa na Benchikha

AHMED Ally ambaye ni Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba, amefurahishwa na mabadiliko ya muda mfupi ya kikosi chao ikiwa ni siku chache tangu Kocha Mkuu raia wa Alge . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • December 5, 2023

Ally Kamwe "Mechi ya Medeama haitakuwa rahisi"

Klabu ya Young Africans imesafiri kuelekea nchini Ghana alfajiri ya leo kwa ajili ya mchezo wa tatu wa hatua ya makundi ya Ligi ya mabingwa Afrika dhidi ya Medeama.Afisa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • December 4, 2023

Ten Hag Kumzuia Onana AFCON

MANCHESTER United ipo kwenye mazungumzo na mamlaka ya soka ya Cameroon ili kumzuia Andre Onana asishiriki fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON).Kipa huyo wa mashe . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • December 3, 2023

Hatimaye FIFA yaiondolea Simba adhabu ya kutosajili

Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Mighh (FIFA) limeiondolea Simba SC, adhabu ya kufungiwa kusajili baada ya kuilipa Klabu ya Teungueth ya Senegal.Awali, FIFA iliifungia . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 28, 2023

Ahmed Ally afichua ujio wa Benchikha

Meneja wa Habari na Mawasilino wa Simba SC Ahmed Ally amefichua siri iliyomvuta Kocha Mkuu wa klabu hiyo kwa sasa Abdelhak Benchikha ambaye tayari ameshawasili jijini Dar . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 28, 2023

Italia ya beba ubingwa baada ya miaka 47

Timu ya taifa ya Italia imeshinda ubingwa wa michuano ya tenisi ya Davis Cup baada ya kuifunga timu ya taifa ya Australia kwenye mchezo wa fainali uliochezwa Malga nchini . . .

news
Masumbwi
  • Na Asha Business
  • November 26, 2023

Dulla Mbabe Apigwa Tena

DullahMbabe” ameendeleza unyonge kwa kupoteza kwa mara ya pili dhidi ya #EricKatompa wa DR Congo katika pambano lisilo la ubingwa la Uzito wa Super Middleweight lililof . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 20, 2023

Rais Samia anunua tiketi zote za Mzunguko Taifa Stars Vs Morocco

Rais Samia Suluhu Hassan, amenunua tiketi zote za mzunguko katika Uwanja wa Benjamini Mkapa jijini Dar mechi dhidi ya Morocco.Akizungumza mara baada ya kuwapokea Taifa St . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 17, 2023

Majanga yamuondoa Dalot kikosi cha Ureno

Beki wa Manchester United, Diogo Dalot amejiondoa kwenye kikosi cha Ureno kwa ajili ya mechi za kimataifa za mwezi huu.Ureno maarufu kama ‘Selecao’ tayari wamejihakik . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 16, 2023

Manchester City haikamatiki England

Klabu ya Manchester City imeweka rekodi ya mapato ya Premier League kufikia Pauni 712.8m kwa mwaka wa fedha wa 2022-23.Hii inazidi rekodi ya Pauni 648.4m iliyowekwa mwezi . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 14, 2023

Klabu ya Manchester United Hali inazidi Kuwa Mbaya

Klabu ya Manchester United imepata pigo baada ya majeruhi wapya ya Rasmus Hojlund na Christian Eriksen baada ya ushindi wao wa 1-0 dhidi ya Luton Town, juzi Jumamosi (Nov . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 13, 2023

Djokovic mchezaji namba 1 kwa ubora 2023

Novak Djokovic amejihakikishia kumaliza nafsi ya kwanza kwenye viwango vya ubora wa wachezaji wa tenisi Dunia upande wa wanaume mwaka 2023. Djkovic anamaliza mwaka akiwa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 12, 2023

Mshambulizi wa Ghana Afariki Wakati wa Mechi huko Albania

Mchezaji soka wa Ghana Raphael Dwamena amefariki dunia kwa masikitiko baada ya kuzimia wakati wa mchezo wa Albania Superliga kati ya FK Egnatia na KF Partizani. Mche . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 10, 2023

Man City wanakabiliwa na mtihani wa Chelsea huku presha ikiongezeka kwa Ten Hag

Viongozi wa Ligi ya Premia Manchester City watasafiri hadi Chelsea Jumapili huku Erling Haaland akiwa katika hali ya kutisha huku Arsenal na Tottenham zikijaribu kupata n . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 8, 2023

De Bruyne, Osimhen kutimkia Saudi Arabia

Kuna uwezekano mkubwa kwa timu ya A-Etifag ya Saudi Arabia ikawasilisha ofa ya kuwasajili kwa pamoja Kevin de Bruyne wa Man City na Victor Osimhen wa SSC Napoli katika di . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 8, 2023

Viongozi washinikizwa kujiuzulu Simba SC

Baadhi ya Mashabiki na Wanachama wa Simba SC wameanzisha kampeni katika mitandao ya kijamii wakishinikiza baadhi ya viongozi wa klabu hiyo waondoke (kujiuzulu) kwa kile w . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 8, 2023

Arsenal yajuta kumsajili Kai Havertz

Imefahamika kuwa Uongozi wa Klabu ya Arsenal unajutia uamuzi wa kumsajili Mshambuliaji kutoka nchini Ujerumani, Kai Havertz kwenye dirisha lililopita la majira ya kiangaz . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • November 7, 2023

Simba Wavunja Mkataba na Kocha Mkuu Robetinho

Klabu ya Simba imefikia makubaliano ya pande zote mbili ya kuvunja mkataba na Kocha Mkuu wa kikosi cha kwanza Roberto Oliveira Goncalves Do Carmo (Robetinho).Taarifa iliy . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • November 3, 2023

Beki Wydad Casablanca Afariki Dunia

Nyota wa klabu ya Wydad Casablanca Oussama Falouh amefariki Dunia baada ya kupata majeraha yaliyotokana na ajali ya gari aliyoipata wiki kadhaa zilizopita.Oussama alikuwa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 3, 2023

Manula Awagawa Mabosi Simba Kuelekea Mchezo Wa Kariakoo Dabi

PRESHA imezidi kuongezeka kuelekea mchezo wa Kariakoo Dabi, ni baada baadhi ya viongozi kumtaka kipa namba moja Aishi Manula akae golini kuchukua nafasi ya Ally Salim.Dab . . .

news
Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 2, 2023

Droo ya robo fainali ya Kombe la Carabao

Mbio za changamoto za Newcastle katika Kombe la Carabao zitaendelea baada ya vijana hao wa Eddie Howe kutolewa ugenini na Chelsea katika robo fainali.The Magpies walipata . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 30, 2023

Kiungo wa zamani wa Leicester na Chelsea Drinkwater anastaafu

Kiungo wa zamani wa Leicester na Chelsea Danny Drinkwater alitangaza kustaafu siku ya Jumatatu baada ya kukiri kuwa alikuwa "katika hali ya sintofahamu" kwa muda mrefu sa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 30, 2023

Messi anatarajiwa kutwaa tuzo ya Ballon d'Or ya nane huku Bonmati akikaribia kushinda tuzo ya wanawake

Lionel Messi ndiye anayepewa nafasi kubwa ya kushinda tuzo ya Ballon d'Or ya nane katika maisha yake ya ajabu wakati sherehe za mwaka huu za kutwaa taji la mwanasoka bora . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 30, 2023

Kocha Azam FC hajakata tamaa na Ubingwa

Baada ya timu yake kupoteza mechi ya pili mfululizo, Kocha Msaidizi wa Azam FC, Bruno Ferry amesema wachezaji wake hawakuwa na kiwango bora lakini wataendelea kujifunza k . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 27, 2023

Mama Mbappe amuanika hadharani Mwanaye

Mama wa Mshambuliaji wa Mabingwa wa Soka nchini Ufaransa PSG Kylian Mbappe amefichua siri ya mwanaye kwa kusema, aliwahi kuvaa jezi za Manchester United zilizoandikwa jin . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 26, 2023

Barca na City washinda mechi za awali za Champions

Manchester City ikiongozwa na Erling Haaland ilishinda mabao 3-1 dhidi ya Young Boys na kuongoza kundi G, ikifuatiwa na RB Leipzig iliyopata ushindi dhidi ya Red Star Bel . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 25, 2023

Aziz Ki ashindwa kuchagua bao bora

59 mins agoBaada ya kufanikiwa kufunga ‘Hat Trick’ dhidi ya Azam FC Kiungo Mshambuliaji wa Young Africans, Stephane Azizi Ki ameyachambua mabao yake hayo matatu.Aziz . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 23, 2023

Kinda wa miaka 17 aiokoa FC Barcelona

Kinda wa FC Barcelona Marc Guiu ameweka rekodi ya kuwa mchezaji mwenye umri mdogo zaidi kufunga bao kwenye mchezo wake wa kwanza kucheza kwenye kikosi cha kwanza cha timu . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 20, 2023

Arteta "Pochettino alinishauri nisiende kwenye ukocha"

Mikel Arteta alifichua Ijumaa kwamba "mfano wa kuigwa" Mauricio Pochettino alimshauri kutojihusisha na ukocha anapoitayarisha timu yake ya Arsenal kuivaa Chelsea.Wanaume . . .

Kurasa 9 ya 25

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • MAJALIWA MGENI RASMI SIKU YA CHAKULA DUNIANI.

    • 10 masaa yaliopita
  • DALILI ZA UWEPO WA GESI ASILIA ZAONEKANA KATIKA KITALU CHA LINDI-MTWARA

    • 11 masaa yaliopita
  • WANAWAKE VIJIJINI WAHIMIZWA KUENDELEZA MIFUMO ENDELEVU YA CHAKULA

    • 12 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode