Yanga Mabingwa wa Safari Cup, Wampiga Mtu bao nne

Klabu ya Young Africans Sc imeibuka bingwa wa kombe la Safari Cup baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Safari Champions katika dimba la Benjamin Mkapa.



Pata Habari Kupitia Mitandao Yetu Ya Kijamii