logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
Siasa
  • Na Asha Business
  • April 4, 2022

Baraza la mawaziri Sri Lanka lajiuzulu

Baraza zima la mawaziri la Sri Lanka limejiuzulu kufuatia maandamano makubwa ya kuipinga serikali, yaliyofanyika licha ya sheria ya kutotoka nje iliyotangazwa mwishoni mwa juma lililopita. Mawazir . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • April 4, 2022

Papa Francis awaenzi wanahabari waliouawa katika vita vya Ukraine.

Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis, Jumapili amewaenzi waandishi wa habari waliouawa katika vita vya Ukraine akisema anatumai Mwenyezi Mungu atawapa malipo kwa kuwatumikia kwa wema . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 3, 2022

Ukraine yachukua udhibiti wa eneo la Kyiv kutoka kwa Warusi

Ukraine imesema imechukua udhibiti wa eneo zima la Kyiv baada ya wanajeshi wa Urusi kurudi nyuma kutoka katika baadhi ya miji muhimu karibu na mji huo mkuu. Kuna hofu ya kutegwa mabomu ya ardhiniN . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • April 1, 2022

Watatu wafa kwenye ajali ya ndege za jeshi la anga Korea Kusini

Ndege mbili za Korea Kusini zimegongana angani wakati wa mazoezi na kuanguka karibu na kambi yake, na kuua watu wote wanne waliokuwemo ndani yake. Kulingana na mamlaka ya kijeshi, ndege hizo za ma . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 1, 2022

Eu yaitaka China kutoisaidia Urusi katika vita vya Ukraine

Viongozi wa Umoja wa Ulaya na China wamekutana leo kwa mara ya kwanza katika miaka miwili, huku Brussels ikiishinikiza Beijing kutoa uhakikisho kwamba haitopatia Urusi silaha wala kuisadia Moscow . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • April 1, 2022

Warusi waondoka Chernobyl wakati mapigano yakiendelea kwingineko

Wanajeshi wa Urusi wamekabidhi udhibiti wa kiwanda cha nyuklia cha Chernobyl kwa Waukraine na kuondoka eneo hilo lililochafuliwa na mionzi kwa kiasi kikubwa mapema leo. Maafisa wa Ukraine wamesema . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • April 1, 2022

Watu 45 wauawa katika mapigano ya kikabila Darfur nchini Sudan.

Mapigano makali kati ya makundi hasimu huko Darfur nchini Sudan yameua watu 45, maafisa wamesema Alhamisi, huku viongozi wa kikabila wakiripoti kwamba mapigano yaliendelea katika ghasia za kikab . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • April 1, 2022

Mwendesha mashtaka wa Uturuki aomba kesi ya mauaji ya Jamal Khashoggi ihamishiwe Saudi Arabia.

Mwendesha mashtaka wa Uturuki katika kesi dhidi ya raia 26 wa Saudi Arabia walioshtakiwa kwa mauaji ya mwandishi wa gazeti la Washington Post Jamal Khashoggi, Alhamisi amewasilisha ombi la kusha . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • March 31, 2022

Wapalestina 2 wauwawa Ukingo wa Magharibi

Mamlaka ya Palestina imesema Wapalestina wawili wameuwawa leo wakati majeshi ya Israel yalipofanya uvamizi katika Ukingo wa Magharibi. Hii ni baada ya msururu wa mashambulizi yaliyofanyika nchini . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • March 31, 2022

Urusi yatangaza kusitisha mapigano Mariupol

Urusi imesema imetangaza kusitisha kwa muda mapigano kwenye mji wa Mariupol ili kuruhusu raia kuondoka kwenye eneo hilo. Kamanda wa Urusi, Meja Jenerali Mikhail Mizintsev amesema mapigano yatasiti . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • March 31, 2022

Mme, Mke washikiliwa na polisi madai ya kuua mtoto wao

askari  Erinest(46) na mkewe Jeska Balitazali (39) wote wakazi wa Sengerema wanashikiliwa na  Jeshi la polisi Mkoa wa Mwanza kwa tuhuma za mauaji ya mtoto wao Aneth John(8) mwanafunzi wa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 30, 2022

Urusi Yapunguza shughuli za kijeshi Ukraine

Maafisa wa Ukraine wamesema leo kuwa wanajeshi wa Urusi wameuripua mji wa kaskazini wa Chernihiv licha ya ahadi za awali za Moscow kuwa inapunguza pakubwa baadhi ya shughuli zake za kijeshi nchini . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • March 30, 2022

Kenya yaruhusu Utoaji mimba

Mahakam Kuu ya nchini Kenya imetambua utoaji mimba kuwa ni Haki ya Msingi inayotambuliwa na Katiba ya Kenya Mahakama hiyo imesema kuwakamata wanaotoa mimba ni kinyume cha Sheria kwa kuwa ana . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • March 30, 2022

Saudi Arabia na washirika wake watangaza sitisho la mapigano Yemen

Muungano wa ushirika unaoongozwa na Saudi Arabia ambao unaunga mkono serikali ya Yemen katika vita dhidi ya Wahuthi umetangaza Jumanne sitisho la mapigano kuanzia leo Jumatano asubuhi na mazungu . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 30, 2022

Zelensky ana mashaka na ahadi ya Urusi kupunguza mashambulizi

Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky amesema mazungumzo ya amani kati ya wapatanishi wa nchi yake na Urusi yameonesha mwelekeo mzuri, ingawa ameonya kuwa Urusi haiwezi kuaminiwa. Baada ya mazungumz . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • March 30, 2022

Pasta wa Kike Azua Gumzo Akisema Warembo Wanaoomba "Fare" ni Maskini

Mchungaji mmoja amewashauri wanaume kutooa wasichana wavivu. Mahubiri yake yalikuwa yanawalenga warembo ambao huomba nauli wakienda deti.Pasta wa Kike Azua Gumzo Akisema Warembo Wanaomba "Fare" ni Mas . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • March 29, 2022

Jeshi la DRC ladai kuwakamata wanajeshi wawili wa Rwanda

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo inathibitisha na kushikilia kuwa Rwanda inaunga mkono waasi wa M23, vuguvugu ambalo lilishindwa miaka kumi iliyopita lakini limeibuka tena katika miezi ya hivi kar . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • March 29, 2022

AJALI YAUA SITA TANGA

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Safia Jongo amesema watu sita wamefariki dunia na wengine kadhaa wamejeruhiwa baada ya gari aina ya fuso walilokuwa wakisafiria kuacha njia na kutumbukia kwenye . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • March 29, 2022

Kisa cha mke wa Raila kuzomewa

Ida Odinga, mke wa Kiongozi wa Upinzani Kenya, Raila Odinga amekutana na fadhaa ya haja, baada ya kuzomewa alipokuwa anatoa hotuba kwenye kongamano la Jumuiya ya Wanawake Wakatoliki Kenya (CWA), D . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • March 29, 2022

Kenya Kupokea KSh450M Zilizoibwa na Wakenya 2 na Kufichwa Ughaibuni

Kenya na Jersey zimetia saini mkataba utakaowezesha zaidi ya KSh 450 milioni zilizoibwa na kufichwa kwenye akaunti za nje ya nchi kurejeshwa.Pesa hizo zilifichwa kwenye akaunti za nje ya nchi na maafi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 29, 2022

Will Smith amuomba radhi mchekeshaji Chris Rock

Usiku wa kuamkia Jumatatu zilifanyika utoaji wa tuzo za Oscar katika ukumbi wa Dolby Theatre huko nchini Marekani. Miongoni mwa stori zilizochukua vichwa vya habari ni baada ya Muigizaji Will Smith . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • March 29, 2022

Elimu ni bahari, Mzee wa miaka 101 ahitimu stashahada

Mzee mwenye umri wa miaka 101, hatimaye ana amani baada ya kuhitimu kutoka shule ya upili, ambayo ni ndoto kwake kutimia. Merrill Pittman Cooper alilazimika kuacha shule kwa sababu mama yake msimbe al . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 29, 2022

Juhudi Zinafanywa kuandikisha mamluki wa Wagner kwenda Ukraine, Africom inasema

Taasisi ya Russia ya mamluki ya Wagner Group imejaribu kuandikisha baadhi ya vitengo vyake vilivyopo barani Afrika kwenda kupigana pamoja na Russia nchini Ukraine, afisa wa juu ya jeshi la Marek . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • March 29, 2022

Umoja wa Mataifa wachunguza ripoti za makaburi ya watu wengi Libya

Wachunguzi wa Umoja wa Mataifa wamesema wanajaribu kuthibitisha taarifa za kuwepo makaburi ya watu wengi katika vituo vya kuwasafirisha wahamiaji nchini Libya. Umoja huo pia umesema umepokea taari . . .

Kurasa 44 ya 49

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Michezo
news
  • 16 dakika zilizopita

TFF Yamfungia Ramadhan Missiru Miaka 6 Na Faini Ya Milioni Tano

Burudani
news
  • 22 dakika zilizopita

Diddy Akabiliwa Na Mashtaka Mazito Ya Unyanyasaji Wa Kijinsia Na Usafirishaji Wa Watu

Top Stories
news
  • 44 dakika zilizopita

YANGA NA NAMUNGO HAPATOSHI LEO KMC COMPLEX

Habari
news
  • 3 masaa yaliopita

Papa Leo wa XIV azungumza kwa simu na Rais Zelensky

Siasa
news
  • 23 masaa yaliopita

SABABU ZA HECHE KUNYIMWA UWANJA WA FURAHISHA MWANZA

Michezo
news
  • 23 masaa yaliopita

RASMI CARLO ANCELOTTI KOCHA MPYA BRAZIL

Michezo
news
  • jana

XABI ALONSO KUANZA KUIFUNDISHA MADRID KOMBE LA DUNIA

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • TFF Yamfungia Ramadhan Missiru Miaka 6 Na Faini Ya Milioni Tano

    • 16 dakika zilizopita
  • Diddy Akabiliwa Na Mashtaka Mazito Ya Unyanyasaji Wa Kijinsia Na Usafirishaji Wa Watu

    • 22 dakika zilizopita
  • YANGA NA NAMUNGO HAPATOSHI LEO KMC COMPLEX

    • 44 dakika zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode