logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 15, 2022

Mashambuli ya makombora yaharibu miundo mbinu ya kijeshi Ukraine

Gavana wa jimbo la Lviv nchini Ukraine Maxim Kozitsky amesema leo kuwa mashambulizi manne ya makombora yamelenga miundo mbinu ya kijeshi katika eneo la Yavoriv Magharibi mwa Ukraine karibu na mpak . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • May 13, 2022

Wazazi wamshtaki mwanao wa kiume kwa kuchelewa kuwapa mjuku.

Wanadoa wawili kaskazini mwa India katika jimbo la Uttarakhand, wamefunguliwa kesi mwanao wa kiume pamoja na mkewe kwa kukosa kuwapa wajuku hata baada yao kuwa katika ndoa kwa kipindi cha miaka 6. . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • May 13, 2022

Mama Mwenye Rotuba Zaidi Duniani Aliyejaaliwa Watoto 44 Ambaye Alipigwa Marufuku Kuzaa Tena.

Mariam Nabatanzi alikuwa na umri wa miaka 13 tu alipojaaliwa pacha wake wa kwanza. Na wakati anafikisha umri wa miaka 36, tayari Mariam alikuwa amejifungua watoto wengine 42, ambao inambidi awalee pek . . .

Mtandaoni
  • Na Asha Business
  • May 13, 2022

Twitter Yawatimua Kazi Mameneja Wawili Kupisha Utawala wa Elon Musk

TWITTER imewatimua kazi Mameneja wawili wa ngazi ya juu na kusitisha ajira ikiwa ni mpango wake wa mabadiliko chini ya utawala mpya wa bilionea namba moja duniani Elon Musk. Mtandao huo wa kija . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • May 13, 2022

Wanafunzi Waislamu wamua kwa mawe mwanafunzi Mkristo wakimtuhumu kumkashifu Mtume Muhammad

Wanafunzi Waislamu katika mji wa jimbo la kaskazini magharibi mwa Nigeria la Sokoto Alhamisi wamempiga mawe mwanafunzi Mkristo hadi kufa na kuchoma maiti yake baada ya kumshtumu mwanafunzi huyo . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • May 12, 2022

Mama Aomba Mahakama Kumfunga Mwanawe Hadi Atakapoaga Dunia.

Mama mmoja alizua kizaazaa katika mahakama ya Eldoret nchini kenya baada ya kumlilia hakimu kumfunga mwanawe hadi pale ambapo yeye na mumewe watakapoaga dunia.Sally Rotich alikuwa akizungumza mahakama . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • May 12, 2022

Watu 11 wafariki katika ajali ya ndege nchini Cameroon

Ndege iliyokuwa inabeba watu 11 imefanya ajali Jumatano katika msitu katikati mwa Cameroon, wizara ya usafiri imesema.Wafanyakazi wa usafiri wa anga walipoteza mawasiliano na ndege hiyo ambayo ilion . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • May 12, 2022

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ATOA WITO KWA JAMII DHIDI YA UNYANYASAJI WA KIJINSIA.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa jamii kutonyamazia matukio ya ukatili wa kijinsia na badala yake watoe taarifa za wahusika wa matikio hayo ili wachukuliwe hatua stahiki.Waziri Mkuu ameyase . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 11, 2022

Urusi yaulenga mji wa Odesa kwa makombora

Ukraine imesema leo kuwa vikosi vya Urusi vimeishambulia bandari muhimu ya mji wa Odesa katika juhudi za karibuni kabisa za kuhujumu mifumo ya usambazaji wa bidhaa na upokeaji silaha kutoka mataif . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • May 11, 2022

Mwandishi Habari wa Al-Jazeera auwawa Ukingo wa Magharibi

Mwandishi habari wa shirika la utangazaji la Aljazeera ameuwawa leo wakati akiripoti katikati ya makabiliano baina ya wanajeshi wa Israel na Wapalestina kaskazini mwa Ukingo wa Magharibi. Wizara y . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 11, 2022

Russia yarusha makombora kwenye bandari ya Odesa kukwamisha usafirishaji wa silaha muhimu nchini Ukraine

Jeshi la Ukraine limesema Russia imerusha makombora saba katika mji wa Odesa, yaliyoanguka kwenye kituo cha biashara na ghala, na kuua mtu mmoja na kujeruhi wengine watano. Meya Gennady Thrukanov . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • May 11, 2022

Mahakama yaamuru rais wa zamani wa Burkina Faso Compaore, kulipa fidia kwa familia ya hayati Thomas Sankara

Mahakama nchini Burkina Faso Jummane imeamuru rais wa zamani Blaise Compaore na washtakiwa wengine tisa kulipa fidia ya zaidi ya dola milioni 1 kwa familia ya kiongozi wa zamani wa mapinduzi Tho . . .

Afrika
  • Na JZ The Brand
  • May 10, 2022

Goodluck Jonathan: Rais wa zamani wa Nigeria akataa uteuzi wa APC

Rais wa zamani wa Nigeria Goodluck Jonathan amekataa kupokea fomu ya uteuzi wa Urais , akisema kuwa ilinunuliwa bila ridhaa yake.Fomu hiyo ilikuwa ya chama tawala cha All Progressives Congress ( . . .

Habari
  • Na JZ The Brand
  • May 10, 2022

Mbunge ataka wafanyabiashara sokoni walipwe fidia kwa kuunguliwa na moto

Mbunge wa viti maalumu, Cecilia Pareso ameitaka Serikali ilieleze kwanini fidia hailipwi kwa wafanyabiashara ambao bidhaa zao huungua pindi moto unapozuka kwenye masoko husika.Pareso ametoa hoja h . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • May 9, 2022

Watu kadhaa wauwawa na waasi mashariki mwa Congo

Watu kadhaa wameuwawa na wengine wengi hawajulikani waliko baada ya wanaume waliokuwa wamejihami na silaha kuivamia kambi ya uchimbaji madini karibu na mji wa Mongwalu katika mkoa wa Ituri, mashar . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • May 9, 2022

Mrembo Afungwa Jela Miezi 6 kwa Kutoboa Kondomu za Mpenzi Wake.

Mahakama moja nchini Ujerumani imemhukumu mwanamke mwenye umri wa miaka 39, kifungo cha miezi sita jela baada ya kupatikana na hatia ya kuharibu kondomu za mpenzi wake kimakusudi.Katika uamuzi ambao h . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • May 9, 2022

Mwanamume Ahukumiwa Kifungo cha Miezi 3 Jela kwa Kuiba Sahani 3.

Mwanamume mwenye umri wa miaka 23, amehukumiwa kifungo cha miezi mitatu jela baada ya kukiri mashtaka ya kuiba chupachai na sahani tatu za mama yake.Kevin Okasimba, alikiri mashtaka hayo alipofikishwa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 6, 2022

Zaidi ya watu 10,000 wakimbia mapigano kaskazini mwa Iraq

Zaidi ya watu 10,000 wamekimbia mapigano kati ya jeshi la Iraq na wapiganaji wa Yazidi wenye mafungamano na chama cha wafanyikazi cha Kurdistan PKK kilichopigwa marufuku nchini Uturuki. Afisa kuto . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • May 5, 2022

Makabiliano mapya yazuka kwenye msikiti wa al-Aqsa

Yamezuka makabiliano mapya baina ya Waisraeli na Wapalestina kwenye katika uwanja wa msikiti wa al-Aqsa mjini Yerusalemu, siku kumi baada ya kutulia kwa mivutano ya awali katika eneo hilo linalogo . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • May 5, 2022

Mvua kubwa imesababisha vifo vya watu 22 Afghanistan

Mamlaka yenye kushughulika na majanga nchini Afghanistan imesema mvua kubwa na mafuriko yamesababisha vifo vya watu watu 22, kuharibu mamia ya nyumba na mazao, katika taifa hilo ambalo tayari lime . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 5, 2022

Korea Kaskazini yafyatua kombora la masafa marefu

Korea Kaskazini imefyatua kombora la masafa marefu kuelekea bahari yake ya mashariki, ikiwa ni siku chache tu baada ya kiongozi wake Kim Jong Un kuapa kuimarisha zana zake za nyuklia kwa kasi kubw . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 2, 2022

Mkulima Ukraine Aibiwa Trekta na Majeshi ya Urusi Linaloendeshwa kwa Rimoti

Majeshi ya Urusi katika mji unaoshikiliwa na majeshi hayo wa Melitopol yamegundulika kuiba Trekta la mkulima mmoja nchini Ukraine lenye thamani ya Dola milioni 5 wakiwa na lengo la kulipeleka Chec . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • May 2, 2022

Watu watano wamekufa baada ya ghorofa kuporomoka Nigeria

Watu watano wamekufa usiku wa kuamkia leo baada ya jengo moja la ghorofa tatu kuporomoka kwenye mji wa kibiashara wa Nigeria wa Lagos na kuna wasiwasi watu wengine kadhaa wamekwama chini ya kifusi . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • May 2, 2022

Mwizi wa Viatu Msikitini Apewa Adhabu ya Kula Pilipili Mwaka.

Baadhi ya wakaaji wa Mombasa sasa wameanza kuitumia pilipili kama kifaa cha kuadhibu watu wanaokutwa na makosa kwa mfano wizi. Waliomkamata katika tendo hilo walimlazimisha kukiri kuiba kabla ya kumpa . . .

Kurasa 43 ya 53

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Habari
news
  • 14 masaa yaliopita

GGML YATOA TAULO ZA KIKE ZAIDI YA ELFU 80 GEITA

Habari
news
  • 17 masaa yaliopita

NEC " Hakuna sheria inayoruhusu kura kupigwa mapema "

Habari
news
  • 17 masaa yaliopita

Akutwa amefariki kwenye dimbwi la maji

Habari
news
  • 18 masaa yaliopita

Polisi Mtwara wamkamata Ebitoke katika fukwe za bahari

Top Stories
news
  • 18 masaa yaliopita

RC KIHONGOSI AKUTANA NA BALOZI WA UINGEREZA NCHINI TANZANIA, WAKUBALIANA KUIMARISHA UTALII NA SEKTA YA AFYA

Habari
news
  • 18 masaa yaliopita

Waititu apawe agizo la kuleta dhamana ya Sh53 milioni ili atoke jela

Top Stories
news
  • 18 masaa yaliopita

Nyongeza ya mishahara ya walimu yageuka kuwa masikitiko

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • GGML YATOA TAULO ZA KIKE ZAIDI YA ELFU 80 GEITA

    • 14 masaa yaliopita
  • NEC " Hakuna sheria inayoruhusu kura kupigwa mapema "

    • 17 masaa yaliopita
  • Akutwa amefariki kwenye dimbwi la maji

    • 17 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode